PATANISHO : Jamaa achapwa na mpenzi wa mwanamke
Ойын-сауық
Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya
Subscribe to RadioJambo KZread - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
Пікірлер: 83
Like za mama faith,, huyu mume atalia, time will tell
The first one Leo uku Nipeni likes😂😂
@alicekmusic3925
2 жыл бұрын
Nisha kupea yangu
Geoffrey uko na bibi mzuri ww endelea kumcheza. Siku moja utalilia Chooni kaka
This guy has a good wife, I can tell from where I am
Tuned in ...😅😅 Nipewe likes ..
Leo nko no 11 please like zangu naomba tu
Huyo mme ni mkora....the lady is so mature for him... nigutee
Hyu rabecca ni grown up Sana na anapenda huyu jamaa, Geoffrey be faithful
Ahsante kwa yule alimpiga
@lydiahmogire4518
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@susanmuthoni1167
2 жыл бұрын
Wacha achapwe vizuri!!🤣🤣🤣
Mnisaidie namba 6a radio jambo
Patanishooo
Wife anafanya uchunguzi siku ile huu ujinga wako itamfikia kwa koo hutaamini utapata nyumba ikiwa hall .just respect your wife period
Nice lady congratulations
Huyu jamaa hako serious ..endelea kuongea na wanawake utaaachwa..man to man advice
GIDI unapelekanga wanaume Mbio sana.Give him time to explain himself. Akijaribu kujitetea umemkatisha.
@lucykcira2189
2 жыл бұрын
Hakuna, jamaa ni player awachane na wanawake
Tuned in
Number 14
Fisi huwa anakasirika haraka kwanza akijua kuwa una suspect kitu juu yake
@maburgudanation1748
2 жыл бұрын
wooh
kenya ina mambo
🔥🔥🔥🔥
wapi ghost jamen😳😳😳 Alafu sikuizi mbona Amuleti patansho kila siku,n?
ndani kabisa😜😜
Mature lady ww endelea kumchezea
Huyu mwanaume ni fisi na madharau ati nimechoka tuongee kesho napasua iyo simu aki ya mungu
Iko sawa
Geoffrey vile unavyo ongea na wanawake wengi hapa ndio utajikuta kwa trap na hutajua uliazia lini kupenda mwanamke mwingine I can only advise you punguza hizo number za waschana wengi hata kama niwa kwenu kuwe na kiasi na mipaka kati ya rafiki na mke wako. As we ladies pia tuna wivu hakuna vile tunaweza onaa number za wanawake wengine na tukafurahi as you men too
Ladies, Ladies, ladies,,wachaneni na simu za bwana zenu kama hamtaki BP kwenda juu kila wakati.
Thanks for the update
Huyo mwanaume awache kona kona alinde ndoa
😂😂😂😂alikuwa ameenda kurandaranda angetwangwa hiyo kichwa vizuri ndio ashike adabu yake
Mama faith ni wife mzuri wewe kijana endelea kuhanya utakuja lilia kwa choo
@jdjdjdjjdjdj180
2 жыл бұрын
Very true,
Geoffrey we nimwanyaji 🤣🤣
Huyo jamaa ni bure kabisaaa achapwe
Niko ndanindani gidi nangocha pataniso
Huyu mwanaume ni Malaya bt bibi yake ni mzuri aky mm mtu anijibu hivyo 🤣🤣🤣😂naeza rukwa na akili aky
@brianmokaya8432
2 жыл бұрын
Wewe kojoa apo uende ukalale
@millicentaluoch3880
2 жыл бұрын
Mimi hio nyumba itageuzwa up side down n kesho landlord atuhamishe
Yawa,,,, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂,,,I missed ghost nikiskia vitu kama hizo,,,,,huyo jamaa awachane na mpango wa kando
Inaitwa ndoa waah
Likes zangu
Wanatakanga tu hivyo wacha wachapwa 😂
Uyu m2 n mora aki wanaume wana story mob sana wacha niixhi single aki
🙄🙄🤣🤣🤣🤣😂😂😂 aty Nyama choma uongo tupu
Tuned in Iraq
@jamilasalimvilog6752
2 жыл бұрын
@Tarkwen Kwema
@RoroRoserororo
2 жыл бұрын
Nko ndani
@essieessie4404
2 жыл бұрын
@@jamilasalimvilog6752 uko iraq wapi
Huyo mtu ni malaya hakuna kitu anasema hapo
Loh hehehe mapenzi shikamoooo
ni mapenzi
Mwanaume fisi ukasirika ndio usimlize suspect zake
Love is blind
Outside is bad
Alikua anataka majibu alale so jana alilala poa?😂😂😂
hii story ya msamaha hutokea wapi some time....gidi
When God fights for u🤣🤣🤣🤣next atapigwa ashindwe kurudi kw nyumba
@susanmuthoni1167
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Kuna outbreak ya homa. imekukamata sana Gidi
Inaitwa marriage
Huyu si mume
Huyo jamaa ni malaya
@ririkenya6574
2 жыл бұрын
100%
Huyu mwanaume aagh kwan wanasalimiana na huyu dem kila siku mcheew
@susanmuthoni1167
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
He is sorry because he got caught huyu jamaa ni kadinya
@theresaelizabethelijah117
2 жыл бұрын
Kitombi sana huyu
Gidi uko na homa
Mwanaume Malaya huyo
@marykwelinimungutupekeemar7305
2 жыл бұрын
Ukona bibi mzuri sana wewe mwanaume
It is not good to know everything about the phone of our husbands we are doing bad to our husbands
@jdjdjdjjdjdj180
2 жыл бұрын
Wacha kudanganya wenzako😏😏
Gidi u just the best in what u r doing. Please ask Ghost to STOP laughing to the way he does since he is too boring with it. He makes the show boring. Fake laugh I would call it
@the-legal
2 жыл бұрын
Bila ghost kucheka si poa sana....ghost acheke tu ni poa
@Elsahkey254
2 жыл бұрын
Stop listening to the show sisi tunapenda ghost na iyo kicheko whether it's fake or not shush 🤫 🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@estherbeiby8792
Жыл бұрын
Mimi napenda kicheko ya ghost hiyo do hufanya nipende patanisho Gidi ghost 👻 aendelee kucheka
PATANISHO PLEASE HOST (SAFARA GATHIMITI)HAWA WATOTO WETU,,TO GET TO KNOW WHO THEY ARE.YOU WILL BE PROMOTING THEM,,AND THEY WILL BE PROMOTING YOU.PLEASE GHOST AND GIDII 🙏
PATANISHO PLEASE HOST (SAFARA GATHIMITI)HAWA WATOTO WETU,,TO GET TO KNOW WHO THEY ARE.YOU WILL BE PROMOTING THEM,,AND THEY WILL BE PROMOTING YOU.PLEASE GHOST AND GIDII 🙏