PATANISHO : HUYU MWANAMKE NI KAMA AKO NA MAPEPO
Ойын-сауық
Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya
Subscribe to RadioJambo KZread - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
Пікірлер: 180
Nancy usirudi kwa huyo jamaa na ukirudi utakiona cha mtema kuni,Gidi ongezeni time kwa patanisho mtu ajieleze maoni tu.
Caro kemunto watching from saudia 2021date17may Team single mko wapi??gonga likes zetu hapa tukiendanga, hii nguvu ya kupembeleza wanaume mnatoawapi? Unatutia aibu sana , t
Hawa ndo wanawake huwa wana post fb that i cant marry a man who don't have money ,Mwenye hana gari ,mwenye hakusoma,aki acheni umama wanadada ndoa ni mapenzi hizi zingine badaye ukiomba Mungu utapewa kwa imani....so ladies style up acheni kujipendekeza ati nyinyi ndo kusema pia mimi nikiwa ndani 💃💃
@shemmosoti2808
3 жыл бұрын
This coming from a lady is encouraging
I support this man 💯💯...hawa wanawake wametuzoea Sana......let her learn the lessons........
@aldojay8629
2 жыл бұрын
i realize it's quite off topic but does anyone know of a good place to stream new series online ?
@carmelolennon6259
2 жыл бұрын
@Aldo Jay Flixportal xD
@aldojay8629
2 жыл бұрын
@Carmelo Lennon thank you, I signed up and it seems to work :) Appreciate it!
@carmelolennon6259
2 жыл бұрын
@Aldo Jay Glad I could help xD
@kaninamargaret8025
Жыл бұрын
AM A LADY, SINGLE MOTHER OF 4, AND I AGREE WITH YOU. I WILL NEVER GO BACK
Woi ati kulea vijana ni ngumu 😳😳mummy hapo hakuna ndoa, mwanaume ukibembeleza sana anafura kichwa, mwanaume ukiona anatupa maneno jua hapo Huna chako, mimi nalea my son na mungu wangu 💪💪
@susanmuthoni1167
3 жыл бұрын
True,wakibembelezwa sana ndio kiburi na madharau inazidi
@marygpresmo1972
3 жыл бұрын
Jaman
Life ikifika hapa wacha nisungue hamamm Nile watoto Wangu kuliko kutengemea bweha kama hii
@gladysmmbone1101
3 жыл бұрын
Kabisa my dear, I support you acha tu tusugue hamamm
Gidi na ghost nawapenda sana kwenye patanisho asubui.....🔥🔥🔥💪💪
Huyu mwanaume si mzuri. There r so many bad n big things happening in families. These r just issues to solve. Mke alikosa kwa kutoka. Bt huyu mume fidhuli ni mnyama. Wachana nae life must go on...anaoa na hata kulea mke alishindwa
Gidi l like your wisdom Nakufuata sana kutoka Burundi 🇧🇮
Ulijitoa mwenyewe na umeanza kulia mwenyewe .Anyway uzidharau mwezako.
@jerusaokemwa6952
3 жыл бұрын
Take care of ur kidsWomen are babies
Dadangu ww kaa kwenu Linda watoto wako mungu atuonekanie tuko wengi single
@linetnekesa8019
3 жыл бұрын
Na tuko Sawa bila sons of jezebel kakamega na visanga zao atajinjwa kama kuku
@susanmuthoni1167
3 жыл бұрын
Tell her ,sio mwisho wa dunia tuko wengi.na watoto wanasoma na wanagrow.
@ellyswai1801
3 жыл бұрын
Nyie ndio mnashaur watu kuachika juu hamna waume eeeee
@linetnekesa8019
3 жыл бұрын
@@ellyswai1801 wazimu we tuna wanaume watoto tuko nao tulizaa na panya tumia akili for once mapenzi hayalazimishwi
@susanmuthoni1167
3 жыл бұрын
@@linetnekesa8019 🤣🤣🤣
Wapi likes za 974
Hufai kuacha mwanaume juu Hana pesa this man was hurt we are supposed to stand by each other... Anyway men have feelings too I understand how he feels
Nancy move on.tuko hapa single and we are doing good.kuna Siku atakutamani.kama wilson anaongea hivyo kwa mamako hakuna ndoa hapo.lakini asifikirihe ule bibi anataka kuoa ni malaika.pia watakosanatu.heshim mama mkwe wilson
Caro kemunto watching from Saudi. Hii dunia Iko na maneno
Nancy either urudi ukue second wife.ama upambane na life ulee watoto wako.Kuwa Single sio death sentence.jipange mummy!!
Pole mummy just move on that's not the end of life 💔💔💔
Eti kulea wavulana ni ngumu uwaga nasikia ivo ivo kumbe kulea boys not easy pole dada
Hapo hakuna ndoa,achia mamako watoto,kuja gulf ulee watoi wako.wacha kukuwa desperate.
@stevomaish4635
3 жыл бұрын
👏👏
Huyu mwanamke siku ya conference alikuwa wapi? Tulisema hakuna kubebeleza mwanaume,, mwenye atamuona amwambie akujie notes,ata kama ulijitoa mwenyewe
@noreenwabwile6879
3 жыл бұрын
Nitampelekea zangu acopy
Wololooo ati mwanamke nikama pepo waaah ghaiii sasa jamaa kazi ata haiko poa na anataka afikishe hadi mke wa tatu
Nancy panga tu vile jamaa atashughulikia watoto wake hakuna ndoa hapo na usiwahi toka kwa mtu tena juu amekosa pesa huwezi jua kesho, mwanaume pia wew usitupe watoto wako juu ya makosa ya mama yao
I feel this man...his action is just right,mpende anayekupenda..
@mwendapoleee
3 жыл бұрын
Kama anampenda ama alimpenda agemsamehea .Watu hukosa kwani mwenye ataleta atakua malaika.
@paulochieng4258
3 жыл бұрын
@@mwendapoleee but dem alimtoroka,akiwa down..then akapata mwingine mwenye anampenda..huyo dem ajipange bwana..Alaah!!
@mwendapoleee
3 жыл бұрын
@@paulochieng4258 usiteme big G kwa karaga za kuonyeshwa!🤔🤔
@paulochieng4258
3 жыл бұрын
@@mwendapoleee 😅😅😅
@linetnekesa8019
3 жыл бұрын
@@paulochieng4258 hata ningewa boi child cngemkubali hapo hakuna mapenzi n Mali alitaka akanyake kubwa kubwa atapata migora hapa nrb asettle na kumoja
Huyu bwana aki atakama ni Mapenzi inaisha vile anarusha maneno woiii.Nimbuk kiburi too much.
Eti today +316 mazee siniko wakwanza daah
Nelson jamani Watu hukosana na pia husameheana, Halafu some time kina Nancy jamani mwache midomo jamani.
Waa!
Wa kwanza! Salamu to wote
@virginiandava5340
3 жыл бұрын
Bravo kesho nakushinda😋
@nahyialetomia9284
3 жыл бұрын
@@virginiandava5340, poa! Pokea salamu
Nancy Nancy Nancy toka hapo mbiyo
Nimefika sasa
Uyo mwanaume kabila yao ni takataka, kabila ya ukuma mamao, I wish izi kabila Zipatiwe na Corona zoote, zikufe.
@vincentomondi5612
3 жыл бұрын
Cletus acha kuita kabila la watu ni takataka,,sasa wewe kabila lako ni malaika? Ona vile wengine wanaongea hapa ,anyway huyo jamaa akirudiana na huyo mwanamke haki atakua mhjinga wa mwisho,,ametembea amekula maisha sasa ameona huyo kijana ni muhimu.
@jokestrokes1882
3 жыл бұрын
Gitonga, How old are you ? Juveniles are not welcome on this forum.....sawa sawa...now enda ukacheze video games...
Nancy mtu anaongea hivi kuhusu mama yako kweli unaweza mrudia?? 🤔 Never ever over my dead body...
Pole mommy..
Wacha kulia kaa kama mama tulia mungu yuko
Waaaaa Noma sana.dada acha kulia move on na ulee watoto wako .huyo jamaa ashapata mke mwengine hana aja na wewe
The man is so arrogant hakina ndoa hapa huyu dada akubali tu aliachwa atafte jinsi atalea watoto wake awajibike tu wanawake wengi tuko hapa tunawajibika bila msaada wa mwanaume n God is so faithful
@susanmuthoni1167
3 жыл бұрын
We are so many.And doing great‼️💪💪
@shemmosoti2808
3 жыл бұрын
Mwanaume akisema ukweli mnasema ni madharau
@the_computer_scientist
3 жыл бұрын
Wanaweke sometimes hukuwa na madharu na mume akikasirika then mnaanza ooh sitegemea mwanaume. I agree that man is arrogant but I dont support anybody any partner who do not stand with another especially in difficult times. Moreover, ladies usually use crying as a weapon. I was once hurt by a lady from Kakamega, I feel you man.
@malkiahellen2030
3 жыл бұрын
@@the_computer_scientist kojoa ulale nani usilete feelings kwa comment yangu buana.
@the_computer_scientist
3 жыл бұрын
@@malkiahellen2030 feelings ni wewe, I request you use your brain before using your fingers to type. Kama comment ni yako iweke kwa nyumba. Even the way you engage yourself here depicts your character and where you come from.
Nancy pembeleza KAZI upate pesa ukipembeleza mapenzi utapata pressure
Free advice to my fellow women ukiamua kutolewa kubali for better for worse face the problem but don't 🏃🏃🏃🏃🏃🏃 away u r not a wife material cz akifilizika utaendatu bado mwana Mme huwa hakatai BB n vile ana hasira be patient atakutafta but usimtafte
Wanawake mliumbwa kupitia ubavu wa mwanaume hamuezi tuheshimu! Mnatudhalilisha alafu mmarudi mkilia lia ndio tuwafanyie nini
Mwanadada pliz hio ni Ndoana sio ndoa jiandae na maisha yako,hugo mume sio mtu achana nae
Waaaaa sasa ata akioa huyu wa pili bado ataoa wa tatu.hapa hakuna ndoa nancy kanyaga kubwa kubwa hapa hakuna ndoa
Huyo wilson ako na roho mbaya sana
Urimdharau juu hana kazi pabana na hali yako wewe mwana mke
Gidi hii patanisho inakuanga sawa sana wakati utapea mtu time ya kujieleza ile awe free please kuambia aweke story iwe short
@agnesandalo6936
3 жыл бұрын
Yes because they have limited time,other programs are ahead
@denilsonmecha2370
3 жыл бұрын
@@agnesandalo6936 if you watch this patanisho they have different mins some even have 20mins
Single five yrs now...na nikona two Bois na wakwaza saii anajoin class eight na mwingine six....na nitawalea pekee ....so mrembo ngangana uyu anaogea ivi ni madharau tupu
mtu awe mke au mum akigundua makosa yake na aombe msama anafaa kusameehewa sion kwa nn uyu jamal awesi kumsamehe uyu dada asithan mwenye anataka kuoa nimalaika ata yy ni binadamiu kaw uyu so alifa2 kumsame tayari ako na watoto wake Roho mbaya uwa aisaidi kitu.😳😳😳
Kwani uyu mwanamke ni mjinga aje anasikia mtu akisema anaweza kumugonga na ngari si kurudi anamuua too sijui ana lia nini move on mamaaa
Dunia ina mambo kweli
I would advise the man not to take her back She is not there for love but money Kama hawezi kaa nawewe kama huna y should u she when he has cash
@lydiahmogire4518
3 жыл бұрын
Yeah huyu demu ndo ako na makosa. Ata anasikia mambo ya watu
Vile hulitoka mwenyewe rundi mwenyewe la si ivo tafuta sitakabadhi ukuje tuoshe hamam uku loI 🤣🤣🤣🤣
samia people
🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Ndoa kama hizi ndio unaskia watu wametoana uhai, Nancy just move on, simple
Waaa hapo akuna ndoa aki mum mbele kuzuri
@linetnekesa8019
3 жыл бұрын
🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃 let her be Dr turn back kama anataka kuishi aione Kesho na alee wAnawe mpaka bwana akasema Amalia nn Huyo mjinga uliachiwa achika
@linetnekesa8019
3 жыл бұрын
🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃 let her be Dr turn back kama anataka kuishi aione Kesho na alee wAnawe mpaka bwana akasema Amalia nn Huyo mjinga uliachiwa achika
Giidi ambia mjamaa amsamehe kukosa sio kosa kurudia n kosa
Apart from hii patanisho... Hii mambo ya kusema "damu ya kwetu" Ndo inafanya watu kuishi under generational curses.... Coz instead of getting out of it unaikaribisha kwa mdomo wako mwenyewe
@fiddiggokirimi9630
3 жыл бұрын
Maria Marie very true
Nancy karibu Gulf
Ndoa ni more than kuvumilia
Pls bwa gidi na ghost nawaombeni muhongeze time
NANCY Nancy Nancy nimekuita mara ngapi?ukitaka ukae na bwana aja kutoa maneno kwako ukipeleka kwenu.
ndoa gani?? sienzi, wakati ulikua unaringa??
Waaa... Nelson hauna huruma unaroboka vibaya watu hukosana na msamaha upo... dada move on achana naye
Huyu mwanaume n shenzi sana
Kwani kuwa wa kwanza mnalipwa? Hata hamsikizi kwanza msaidie na maoni, ni kiherehere tu ati wa kwanza 😂😂🙄 shame on you
@emilyaholi9009
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣waaah
@verahmunala4019
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃
@essiemofficial1002
3 жыл бұрын
🙂🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂
@noreenwabwile6879
3 жыл бұрын
Nancy nikuite Mara ngapi...bwana aliyekuenjoy ukaacha kwako-amekuruka ama....maisha ni Milima na mabonde.. Akikosa Kesho yatakuwa mazuri X100
@stellahwilliam7143
3 жыл бұрын
Wanaboa..et nipeni likes..nimekua wakwanza...kwani tunakuj kushindania liks
Ukiwasha moto ni uhakikishe una mbinu ya kuuzima
Huyu kusema ukweli alikuwa ameongozwa na mwanaume mwingine na vale alipotoka jamaa akapotea sasa doo anataka kupatanishwa
Uyo mwanaume anaongea mengi na uyo ni mama mwenye amemzalia watoi some men should style up na wajue kuongelesha wanawake mm ningeadvice uyo dame atafute kazi na ashughulikie watoi how can you go back na anakwambia hatakushughulikia kwani hujipendi yaani anakuongelesha ajy aai
@edwinogola3589
3 жыл бұрын
Agree
Haina haja urudi huko keti kwenu
Hawa wanaonekana wana migogoro ya siku nyingi Na wana majeraha kibao Hakuna suluhu hapo Mbona unaweza ishi tuu bi dada Bila mume??? Mie nimeachana na baba watoto wangu mwaka wa tisa sasa na nalea wanangu bila presha.
Ongezeni time kwa patanisho mtu atoe ushauri
Hapo hamna ndoa. Nancy tafuta kazi Pambana na hali ulionayo sasa huyo baba ana mapenzi na wewe. Mtu anafika kumtukana mamaako wala hakufai. Na ukiolewa usimpe nafasi tena yakukuona. Hasara roho pesa makaratasi.
Kawaida y wanawake maringo mtaiaja
Haki Nancy pls...single mother hood is sweet....
Wilson is still bitter. Kuoa mke wa pili is showing his prowess, avenging his pain. Wilson yafaa atulie kabla ya kufanya maamuzi yoyote
@susanmuthoni1167
3 жыл бұрын
He sounds very Authoritive and bossy🙄🙄
@shemmosoti2808
3 жыл бұрын
@@susanmuthoni1167 he's talking the truth, ua expectations was the man to be on the wrong
@susanmuthoni1167
3 жыл бұрын
@@shemmosoti2808 kwangu vile anaongea he is too Arrogant, hawa wanaume wakujipiga kifua,Jogoo ya Mtaa.is a No!! Aongee,pole,pole ajihumble!! I think bado ako na hasira. Reread and understand my comment sijasema the Guy is on the wrong.Wote wako namakosa.
Kujaa saudi Nancy wachana na huyo jana ume😏
@stellahwilliam7143
3 жыл бұрын
Naomba number byako dda hadija
filisika dyo ujue tabia za mkeo
Siezi oana na mtu mwenye anasema angepatana na mama yangu atamuua kwa gari, Red flag🤔🤔🤔🤔🤔
Move on mommy
Akae uko uko huo mwaka mzima alikua wap??? hawa wanawake wanatubebaga ufala maisha ikiwashinda wanacngizia watoto
Umejikaraga mwenyewe
Mmm
Mtu wa kinyozi hawezi lisha bibi mmoja but he want to add one more?? 🙆♀️
Musameh mke wako lelson watu hukosana na hurekepisha jamani
Mm ningekushauri dadangu achana na huyo mwanaume tafuta kazi ufanye ulishe watoto wako huyo mwanaume atakunyonga dea juu sahii ameona sidechik siwewe wakwaza kuwanjwa
Hawa ni waluhya
Uuuuuuuu..hayo.madarau.yote..aki.kama.ni.mimi.siwezi.rudi.kama.ni.mume..wacha.ikae...unarudi.penye.mtu.hakutaki..weeeee....
Msiba wa kujitakia hauna kilio
Huyu dem aache kulia lia hapa ni yeye alijitoa utakula ulicho panda
Mkikosana na bbi msiweke wazazi ndani Nancy Ali fanya makosa bt pia Wwe boss eeh ugonge mma ya mtu juu ya mapenzi yenyu pia Wwe boy child uko na mdomo mingi eish 🙄🙄
Where is Ghost? Iam getting worried
@shynaline9534
3 жыл бұрын
India
@christinekraus121
3 жыл бұрын
Ati India?😮😮😮 i hope he is not sick! In addition India is at the moment a no go zone.
Hata sjui niseme nn ndoa nwdyz ni mchezo wapaka na panya
Wacha.strees.dada.yangu..kuja.tuleye.watoto...wachs.strees.za.bure.wacha.kujipendekesa.kwa.mume..hata.ukirudi.bado.madarau.sasa.yatazidi
Nani ako na number ya melinda gates ? Niko single
Hapo hakuna marriage, mrembo ajipee shughuli
Boma ya polygamies..haaa nikubaya
Hahaha
Nancy pls usikonde mwili bure sababu ya mwanaume. Tafuta tu kazi na ulee watoto wako mm pia kama single mom nilipata tu hiyo type so move on usingoje firimbi.
Weee dada unashughulikiwa kwani wewe Ni kiwete unangojea tuu bwana alete uuuu Maisha Ni kusaidiana
BAADAE NDO MNAANZA KULIA
@susanmuthoni1167
3 жыл бұрын
Umeskia ni wangapa wanalia??
@kenyanniggar357
3 жыл бұрын
@@susanmuthoni1167 wewe tukiachana si ulilia? eti unataka kurudi umerealize makosa yako
@susanmuthoni1167
3 жыл бұрын
@@kenyanniggar357 Nefer!!! Nilikulilia wapi?? Olisikia wapi??🤣🤣🤣
🙆🙆baby girl kuja gulf siku hizi wanawake hatupeberezi mapenzi ngidi nipee no ya huyo dem nitamsimamia kuja gulf
@nimuhsteve1079
3 жыл бұрын
Waaaaooh namesake Gods blessing I have so many even relatives but no can help so just help her.
@peterkamau6708
3 жыл бұрын
Wacha mdomo saudis watu wenyu kwanza 🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️
@shiruwairimu9270
3 жыл бұрын
@@peterkamau6708 tuko huku na siz wa tatu na bro wawili kwa hivo wacha kupayuka kama wanamke
@shiruwairimu9270
3 жыл бұрын
@@nimuhsteve1079 hawa mafara hawajui hii pesa ya saudia vile imetusaidia
@stellahwilliam7143
3 жыл бұрын
Shiruu..naomba mawasilianao yako..au nitafute fcbk..Stella shujaa