PATANISHO : MELODY - HUYU MWANAUME AKO NA UTOTO SANA,SITAKI MAMBO YAKE
Ойын-сауық
Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #gidinaghostasubuhi #patanisho #humour
Subscribe to RadioJambo KZread - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
Пікірлер: 30
The lady sounds a very good lady
@Big-a-low
11 күн бұрын
She may sound but evil.
giddi yeye utetea tu wanawa😮
Mambo ya watu wamegusana tususu ni ngumu 😂 Rudisha langat kwa radio 😂weka full story
Uki ignore red flagskinakuramba good gal
Gidi. Shida ni mmoja. Mwanaume wale wanaoa mabinti/ msichana mdogo;:. Wanagifanya wadogo na tena wako na matharahu mengi!?. . Ni kama wameshinda "Loto".;😅😂. Na wasichana wanachanganyikiwa..!!?.
Leteni tena langat kwa radio 😂
Man up ,huyo mwanaume na vile ako na miaka mingi ,but anatusi msichana wa 26yrs ,she is very mature
Gidi hakuna kitu ngumu kama kuolewa na MTU Bibi alienda ,juu kilichomtoa mwenzio bado kitskutoa pia ,moreso penye kuna watoto is a big noo
Huyu mwanamme ako Na utoto
@carsquare
11 күн бұрын
Mwanaume Hana hatia
@carsquare
11 күн бұрын
Mwanaume hana hatia.
Ruto ndio rais 😂😂
Haki Gidi anachocha eti red flag😂😂😂
The lady is mature and she knows what she wants.
😂atii labda unaenda kuolewa na jambazi,😂akina kimatwek
gidii yeye utetea tu wanawake
hatumupati hapa kisumu obunga
Gidi na wewe uko single ama nilete mambo yetu kwa radio Jambo my love.
@paulinekamau9633
6 күн бұрын
Adisa kindiki 😂
@irineadisa7289
6 күн бұрын
@@paulinekamau9633 hahahaa....msaza wange Gidi
Aki wewe gidi
Mwanaume mpumbafu 😢😢😢
maturity nowadaiz isn't yrs,
What happened to Kale men! They use to be strong men like Somalis, Merus and Kisiis. What a waste of space!
Huyo jamaa ni kama hana pesa enough
I like listening to You guys but hii story za watu kutaja majina yao mpaka na place i don't get it. Atleast birth na first name tu. People wawe na privacy policy.
@catherinemaria650
4 күн бұрын
Mwenye anataka privacy anafanya nini kwa Media??
giddi yeye utetea tu wanawa😮