PATANISHO : LYDIAH - HUYU ALINIHANGAISHA MPAKA AKANIPELEKA KWA POLISI
Ойын-сауық
Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya
Subscribe to RadioJambo KZread - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
Пікірлер: 113
Wuuuuuiiii, thats me a few years ago!! A man used me mpaka I felt like a slave, providing and doing everything else while he did nothing.... Run, mrembo ruuuuuuuuuun!!!!!!!!
Ndaani, # 3
You are the best Gidi and Ghost
I feel like this man hako na kaukweli kisi ,let's not be selfish here
My favorite channel❤
Karibu!!
Greetings all Listening from italy
@thinkingkenyan9002
3 жыл бұрын
Buongiorno. Ti auguro tutto il meglio. Italy is really beautiful. Be blessed.
Huyo sio mume🙌
Lakini in life if u get a good woman doing well in life, don't pull her down, if u can't keep up with her, let her go in peace.
@karsynanders8224
3 жыл бұрын
pro tip : you can watch movies at Flixzone. Me and my gf have been using it for watching a lot of movies during the lockdown.
@kendrickroland7939
3 жыл бұрын
@Karsyn Anders yup, I have been watching on flixzone for since november myself :)
@bobbyturner2477
3 жыл бұрын
@Karsyn Anders yea, have been using Flixzone for months myself =)
Mashaaalla hadi ulikua unapika masikimi 👌👌
Life challenges, we should pray for each other, otherwise pia huyu jamaa ajitume ka mwanaume.
Waaa🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
No 1 leo
THIS MAN IS REAL......
Wa mwisho nipewe likes Kuna baridi sana
quick recovery ghost ukiwa patanisho inakuanga 🔥🔥
@dotytydo2342
3 жыл бұрын
Ghost kwani nimgonjwa ama amekwama India
Jamani wanaume wengine BAHATI uwa inawangukia ya kupata wake, I wish nikapata Mke kama huyu.
@dotytydo2342
3 жыл бұрын
Niko apa ata usiangaike tena
@aishaatashi8326
3 жыл бұрын
nyinyi hambebeki ukiona mwamke ana jituma mnachilia kilakitu
@ibrahimwerejuma4816
3 жыл бұрын
@@aishaatashi8326 Sema baadhi yao na si wote, mana yake mimi ni mwanaume ambae najituma kufanya kazi kwa nguvu zangu zote na uwa sichagui kazi muradi ni kazi halali uwa sichagui mimi
@aishaatashi8326
3 жыл бұрын
@@ibrahimwerejuma4816 aah mmi hata sitengemei hela ya mwanaume ana kupa na mashrt napambana na hali yangu
From Abudhabi nawaget vipoa
Eeeee wanaume jamaniiiii😭
Had same problem mpaka now niko single
Wanaume wengine, mko na tatizo, tafuteni ushauri kwa wazee, hamjui maana ya ndoa. Hiyo dharau ya kudharau mwanamke ilipitwa na wakati.
🙋♀️🙋♀️🙋♀️🙋♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️
the idleness with my country people hawawezi niachilia nicomment nikiwa wa kwanza😁😁
@mosessiampei2553
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Niko ndaaaani
@aomealaome4933
3 жыл бұрын
Am am vicitim too I thank God where iam now men's men's work
Men's men's men's but not all 😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
966 ya sallam
Namba saba Leo...Niipeeni likes plzzzz.Maisha ni ngumu sometimes walai
@rackemakunda4047
3 жыл бұрын
Tulisema hii mambo ya likes tukomeshe tuskize patanisho na tutoe maoni then kallas
@violetadhiambo1153
3 жыл бұрын
@@rackemakunda4047 OK OK OK !!!!!......
@rackemakunda4047
3 жыл бұрын
@@violetadhiambo1153 I hope you got my point well!!
Kenya bwana
Wah bibi akikulisha siku moja hata miaka mia moja atasema tu nilikua nakulisha kila mtu apambane na hali yake
Waaaa hapa akuna ndoa🤔🤔🤔
Now coz of 90k in his life tym he wants to puul the world dwn saa juu amelipa lilian hangekula sasa? Useless man. Thank u lilian.
Huyo naye Kweli ni mwanaume jike tu! Aaiii!!!
@biancaqui1810
3 жыл бұрын
🤣🤣ukweli
Muendelee na maisha.....ukisumbua mtoto wa wenyewe
Wachana na huyu nuggle..atakufilishisa zaidi.
Leo nikutegea tu Sina la kusema
Quick recovery Ghost...nimemiss kicheko yako
@sylvianjeri6216
3 жыл бұрын
Kwani nimugojwa?
@dotytydo2342
3 жыл бұрын
@@sylvianjeri6216 nashanga pia mmi na google wanasema wamekwama India
Mogaka mama yako ndio atakukubali bila pesa sisi wengine forget. Na uache hasira silly
@salomeomashibo1971
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣😳😳😳
@cleophasayiro10
3 жыл бұрын
Mwanaume huwa haliswi,mwanaume ni kujituma my friend,huyo mwanamke ako sawaa kabisa,wacha asonge mbele.
@GoEunbeol_049
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 hapo Kwa silly .
The man/boy is mouthy, huuyo hawezi ishi na mke
@ibugharib389
3 жыл бұрын
Haaaa kwann
@halimashaban7637
3 жыл бұрын
@@ibugharib389 wewe humskii hana fullstop
ulikubali upishi we pika tuu
Ulikua unampenda kwasababu alikua akikulisha stupid
Wanawake tunamazito mno jmn😭
😎😎😎
Wee mama fanya shuguli zako achana na huyo mwanaume hana akili timamu
This man is broke now ndio amekumbuka huyu mwanaume 🥴🥴ameona hakuna mwanamke anaeza mbembeleza kaa huyu, you only know what you have when you've lost it, kula uvivu daddy
one thing i like with kisii men,they dont know how to beg women
@kiiaknia7232
3 жыл бұрын
Mnakuanga sana na kiburi sana na hasira baya
@nyarokeyo
3 жыл бұрын
🤸🤸🤸🤸🤸🤸 na vyenye kamoja kananii,,,,
@GoEunbeol_049
2 жыл бұрын
And that's not something to celebrate about.
Hadi unatafutiwa kazi hutaki. Shenzy
Afadhali angekuja na oreo 😂😂😂😂
That's a lazy man..ana mabibi wengi nyumbani anapotezea huyu mwana dada wakati. Move on sister ulee wanao.
Lydia wachana na huyu mwanaume ni mtu wakukurudisha nyuma
@sarahraymond7719
3 жыл бұрын
True
Ombasa hajakoma kiakili
Weeh 🙄🙄🙄
Wanawake muache matusi
Gidi huyo WA kucheka yuko wapi leo
Shughulika na life yako lydia am victim also
Hawa ndio wanaharibia wanaume wakisii sifa jameni😤😤😤 mwanaume ni gubegube
Akwende huko kwani yeye ni ndio samaki wa kipekee
Gaki omonto nabo okorosa pi 🤔🤔
hiyo ni nyang.au ya mwanaume
Huyu jamaa ni fala makanga stupid he have nothing to say about shenzi sana
WAPI WAKIISII NDANI YA NYUMBA
@cyprinekemuntomose3157
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Sasa zingine wanaume huji mess tu. Ni ujinga tu
Mwanaume ni kuchakarika 🤪🤪🤪mtu mwenye analala kwa kiti akisonga na remote ni balaa wacha akae tu
Hajatoroka nikukata simu amekata jameni 😂😂
Wat marriage smtym n gumu🙊🙊🙊
Ukifuza mtoto sweet lazma ujitaidi kila siku👉
Wacha kuzoa kuiigia jikoni atiunapika utakaliwa
Ombasa nikama ex wangu with zero common sense
@GoEunbeol_049
2 жыл бұрын
Wanaume kama hao huchosha ,they see no sense in everything. Wako na kiujinga fulani, with victim mentality.
Mtu hataki kufanya kazi akwende🙄
Eeeeeeeeee.mrembo.endeleya.peke.yako.ata.mimi.ningetoka.singeweza.kuvumiliya.nilishe.mwanaume..ni.lipe.rent..iyo.apana.no.no.no.no
Ati kupika😂😂,siwezi,
Akuna.kusameyana.kwanza.wewe.ni.musharati.sana.çha.pili.wewe.ni.muvivu.sana..lidha.wacha.kusumbuwana.na.mume.wacha.kusukuma.punda.kwa.mulima..kuja.tuliye.watoto.
Eeeee wanaume jamaniiiii😭
Gid Ghostalienda wapi hio kijeko namic yawah
Wee mama fanya shuguli zako achana na huyo mwanaume hana akili timamu