Wanahitajika watu kama hawa wenye IQ km umemkubali gonga like apa twende sawa
@ummystanley74375 жыл бұрын
Mimi shabiki namba moja wa pasha hajisikii ni mcheshi kwa kila mtu aliwahi kufika Zanzibar ngome kongwe akashuka stejini kutupa hi nilifarijika sana mungu azidi kumpa uwezo zaidi ya huo alionao 🙏
@aishamohammed42755 жыл бұрын
Daah nakupenda sana pasha wangu
@mbodzebemasika74775 жыл бұрын
Na ni muhandsome huyu pasha😊😚...ulitisha sana zamani..hatujakusahau sema mkirudi mnabadilisha ladha zenu mnaiga hawa wageni
@HazinaSaid-ze8lk8 ай бұрын
Pasha we ni handsome alafu napenda sana nyimbo yako ya hidayaa❤
@tamimbinaltan1325
7 ай бұрын
Hata mimi napenda Hidaya sana
@yusufumbwene89495 жыл бұрын
Sema Huyu Jamaa anajua music kuliko Harmonize
@sadabkari55322 жыл бұрын
.pasha mm nakupenda bureee nyimbo ya thamani siwezi iacha naipenda sana inaniliwaza kwani maumivu makali sana kupenda mtu asokupenda
@qaltumsaid30954 жыл бұрын
Pasha i love all song and you look so smart boy.. Welcome back pasha
@giovanmsigwa91365 жыл бұрын
nakumbuka nilinunua album ya nisoo ...kali sana .....
@christinaboniphace57965 жыл бұрын
Pasha handsome jamoon
@allytodo45113 ай бұрын
uyo jamaa anaweza mwambie aendelee kuimba uyo msanii nzuri sana kwa kuimba yuko vizur
@kwtkwt41585 жыл бұрын
Wow! sijuwinisem nn amaniach nn kiukwer nafurah sn pasha kwakuwa umerudi tena.kweny gemu ninafurahakubw ndania mwoyowang lov so much from burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@jamlaashiri3725 жыл бұрын
Mashaallah pasha rudi kwenye gem .upo vizuri
@mariamhaidari71705 жыл бұрын
Pasha nakumiss sanaaa alafu umekuwa bonge moja la Hendsome Boy😍😍😍😍
@AAa-xv2mw5 жыл бұрын
Wowo uyu kijana nampenda sanaa toka nikingali mdogo sasa nimekuwa nawe piya umebadilika Ma Ansha Allah .uko vizur sana
@engineermtangoo5664
5 жыл бұрын
Nadhani Mimi peke angu ndo nimekuelewa unamaanisha nn
@odiliavicent8242 жыл бұрын
Pasha wewe hata ukirudi mm nitakupokea coz nakupenda sana
@deboramatpapaztv5 жыл бұрын
Anafanana na Joel Kwaga
@ibrahimkigomba23135 жыл бұрын
Ad kesho jamaa n best singer Wang. Baraka ziwe juu yko pasher.
@mwanajumaomahundumla65045 жыл бұрын
Pasha msanii bora kwangu maana napenda sana nyimbo zake hasa ni soo na hidaya
@salmarajab8707
5 жыл бұрын
Mwanajuma O Mahundumla h
@salmarajab8707
5 жыл бұрын
Mwanajuma O Mahundumla y
@frenkrevocatus1213
5 жыл бұрын
Mimi naipenda sana hidaya na umeniweza
@AaaBbb-mv7wl3 жыл бұрын
Nakupend bureee xn uko handsome xnaa akii😘😘😘
@habarimtaani22545 жыл бұрын
My legend star #pasha
@subrynerysegerow13235 жыл бұрын
Pasha upo vzur bro Karib tunakuelewa asee
@zawadihamisi95855 жыл бұрын
Woooow pasha wangu aki nimekumiss rundi bhna hny wangu
@neemaiddy37505 жыл бұрын
Nakukubali sana king Pasha
@rosemarybenjamin58665 жыл бұрын
Uyo ndo pasha love uuu and muzic wako
@mwakahassan87425 жыл бұрын
Maa shaa Allah kazur na ulivo nenep ndio umezid uzur ila fanya uowe bas km bdo haujaow
@hadijapazia6845 жыл бұрын
Nakukubali sn Pasha, Welcome back broo
@DAMUSAFI5 жыл бұрын
PASHA NOMA SANA KWA WALE WAPENDA MAPENZI SIKILIZENI MYIMBO YAKE YA ( Thamani ya Mapenzi)
@sadabkari55322 жыл бұрын
Yaani god job
@nimbonaalexandre11592 жыл бұрын
Burundi tuna mupenda pasha
@faridabakari85115 жыл бұрын
Pasha ako vzuri n.a. anajitunza big up to u brother
@janenyambura5357
4 жыл бұрын
Nakupenda Sana Kaka uko juu
@chainbre2755 жыл бұрын
Just following 🌼🌸🌷🌹🔥💯
@julianarobert98154 жыл бұрын
Huyu kaka ni mcheshi sana na kipaji anacho 😘
@kwtkwt41585 жыл бұрын
Kaributen pasha tumeku miss sanaaaa❤❤❤❤❤❤
@didawahida99845 жыл бұрын
Ni soo My Lovly song
@reginalaurent51755 жыл бұрын
Pasha unajua kujieleza had mtu anakuelewa
@idayakeymataifa79995 жыл бұрын
Wewe kaka mziki umekupendeza sana kwakweli kaza buti
@asiazuberi97225 жыл бұрын
Duh long time#pasha nilikua napenda wimbo wko ule wa hidaya😘😘
@masungamwandu49603 жыл бұрын
Pasha wa ni Soo uko pw bro daaah hidaya ulifanya vizur xana
@fatmaone11525 жыл бұрын
miss bro pasha
@maureenjobita93975 жыл бұрын
Miaka imeenda but u still look cute. Keep it up bro. Love Ur New look.❤
@Zetona-wk8de5 жыл бұрын
Nakukubali pasha
@heriethsamwel71902 жыл бұрын
Aise mmmh bs tuu
@mwanaishambili2415 жыл бұрын
Tushamzika runge ssa wacha tuangalie interview za wtu welcome back handsome
@jumamdoe8576
5 жыл бұрын
Gd pasha
@renildevenerand8256
5 жыл бұрын
Yeah pasha is handsome
@djmeza411a585 жыл бұрын
Nakukubari bro nice song pasha
@mwinyimcheni2572
5 жыл бұрын
Nakubali pasha nyimbo yake ya hidaya
@jamlaashiri3723 жыл бұрын
Pasha,nakumbuka Bibi kizee
@khatibumanyanya6505 жыл бұрын
Pasha nakukubari kinoma wakunyumba
@fasanitzfasanitz96315 жыл бұрын
Kama life inaenda vzuri mitego imekaa poa achana na geme kwass ugumu upo sana inachangia adi kufamapema na stress
@nahianahia26355 жыл бұрын
nampendajeeee pasha
@ayshamahariq66655 жыл бұрын
Nakukubal sanaaa braza
@hasnaabduly49455 жыл бұрын
Nisoo nilikua naupenda balaaa
@fatumaally32665 жыл бұрын
Haji wahaji umerudi kwagem missi u sana brother
@azzamahamdu70395 жыл бұрын
Mie siusahau HIDAYA NI 🔥✔
@damianjeremia38215 жыл бұрын
humu asilimia kubwa wadada wanampenda huyu jamaa yaani hata bureeee
@gloryjane41475 жыл бұрын
Yuko vzr@iv mmakonde kweli uyu duh Mungu Fundi bhana🤭
@fatumaabdallah5665 жыл бұрын
Nisooo mamaaa jaman ngoja nikai dawrod kwanza
@deborahguyabi64334 жыл бұрын
Love pasha
@zaitunijuma36845 жыл бұрын
Umepotea sana kaka
@ndayisengafrorence39915 жыл бұрын
Pasha karibu san kwenye gem mm nishabiki wako toka niko mdog nimekuwa napenda san music wako kwa hivi unarudi tena vizurii san ila usiw mtu wa mambo mambo mengi ubaki kuwa Pasha wazanani mambo ya makiki apana saw Pasha nakupenda bure mm uwa napenda wasani kama ww awana mambo mengi mengi kunavitu najifuza kutoka kwao
@selemanally4186
5 жыл бұрын
Nakupenda bure
@manalibaby41925 жыл бұрын
Nakumbuka pia kuna movie moja nimemuona na riama aly.
@AAa-xv2mw5 жыл бұрын
Unacheka vizur duuu hadi raha
@racheldauson94715 жыл бұрын
Tena ngoja nidownload nyimbo zako handsome usiechuja
@leencastillo62205 жыл бұрын
Karibu kaka tumekumiss kiukweli
@jumahamisi75145 жыл бұрын
umetisha kaka
@rosemaryjimy71195 жыл бұрын
Mmakonde wa wapi huyu mwee😘😘
@goodlife67255 жыл бұрын
Welcome broo kwnye game hii ya bongo fleva nafac yko bdo IPO 2
@zaharadaffa68515 жыл бұрын
Mko vzr sana
@babanjuru87385 жыл бұрын
Pasha rudi kwenye game
@victorhemed7355 жыл бұрын
Pasha mkali
@jamlaashiri3725 жыл бұрын
Nawe upo vizuri kuliko hamonze ila sptoty
@zlfamz35402 жыл бұрын
Pasha rudi kwa gm plz tunaumia san broo
@khadijahkhdoo63875 жыл бұрын
"Nisooo"jamaniii pasha kumbe upo? Rudi tena plz plz
@toawela7364 жыл бұрын
Half biti zako anazo shirko au Bob junio au lill gheto Mana unafanyaj mzk flan Wa kiislam, nakubali pasha
@janatamoe34665 жыл бұрын
Bonge la show
@hasnaabduly49455 жыл бұрын
Bora wengine wamebaki kulia lia tu eti wasanii tumenyonywa na ruge wamekaa kutegemea mziki tu
Пікірлер: 117
Wanahitajika watu kama hawa wenye IQ km umemkubali gonga like apa twende sawa
Mimi shabiki namba moja wa pasha hajisikii ni mcheshi kwa kila mtu aliwahi kufika Zanzibar ngome kongwe akashuka stejini kutupa hi nilifarijika sana mungu azidi kumpa uwezo zaidi ya huo alionao 🙏
Daah nakupenda sana pasha wangu
Na ni muhandsome huyu pasha😊😚...ulitisha sana zamani..hatujakusahau sema mkirudi mnabadilisha ladha zenu mnaiga hawa wageni
Pasha we ni handsome alafu napenda sana nyimbo yako ya hidayaa❤
@tamimbinaltan1325
7 ай бұрын
Hata mimi napenda Hidaya sana
Sema Huyu Jamaa anajua music kuliko Harmonize
.pasha mm nakupenda bureee nyimbo ya thamani siwezi iacha naipenda sana inaniliwaza kwani maumivu makali sana kupenda mtu asokupenda
Pasha i love all song and you look so smart boy.. Welcome back pasha
nakumbuka nilinunua album ya nisoo ...kali sana .....
Pasha handsome jamoon
uyo jamaa anaweza mwambie aendelee kuimba uyo msanii nzuri sana kwa kuimba yuko vizur
Wow! sijuwinisem nn amaniach nn kiukwer nafurah sn pasha kwakuwa umerudi tena.kweny gemu ninafurahakubw ndania mwoyowang lov so much from burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mashaallah pasha rudi kwenye gem .upo vizuri
Pasha nakumiss sanaaa alafu umekuwa bonge moja la Hendsome Boy😍😍😍😍
Wowo uyu kijana nampenda sanaa toka nikingali mdogo sasa nimekuwa nawe piya umebadilika Ma Ansha Allah .uko vizur sana
@engineermtangoo5664
5 жыл бұрын
Nadhani Mimi peke angu ndo nimekuelewa unamaanisha nn
Pasha wewe hata ukirudi mm nitakupokea coz nakupenda sana
Anafanana na Joel Kwaga
Ad kesho jamaa n best singer Wang. Baraka ziwe juu yko pasher.
Pasha msanii bora kwangu maana napenda sana nyimbo zake hasa ni soo na hidaya
@salmarajab8707
5 жыл бұрын
Mwanajuma O Mahundumla h
@salmarajab8707
5 жыл бұрын
Mwanajuma O Mahundumla y
@frenkrevocatus1213
5 жыл бұрын
Mimi naipenda sana hidaya na umeniweza
Nakupend bureee xn uko handsome xnaa akii😘😘😘
My legend star #pasha
Pasha upo vzur bro Karib tunakuelewa asee
Woooow pasha wangu aki nimekumiss rundi bhna hny wangu
Nakukubali sana king Pasha
Uyo ndo pasha love uuu and muzic wako
Maa shaa Allah kazur na ulivo nenep ndio umezid uzur ila fanya uowe bas km bdo haujaow
Nakukubali sn Pasha, Welcome back broo
PASHA NOMA SANA KWA WALE WAPENDA MAPENZI SIKILIZENI MYIMBO YAKE YA ( Thamani ya Mapenzi)
Yaani god job
Burundi tuna mupenda pasha
Pasha ako vzuri n.a. anajitunza big up to u brother
@janenyambura5357
4 жыл бұрын
Nakupenda Sana Kaka uko juu
Just following 🌼🌸🌷🌹🔥💯
Huyu kaka ni mcheshi sana na kipaji anacho 😘
Kaributen pasha tumeku miss sanaaaa❤❤❤❤❤❤
Ni soo My Lovly song
Pasha unajua kujieleza had mtu anakuelewa
Wewe kaka mziki umekupendeza sana kwakweli kaza buti
Duh long time#pasha nilikua napenda wimbo wko ule wa hidaya😘😘
Pasha wa ni Soo uko pw bro daaah hidaya ulifanya vizur xana
miss bro pasha
Miaka imeenda but u still look cute. Keep it up bro. Love Ur New look.❤
Nakukubali pasha
Aise mmmh bs tuu
Tushamzika runge ssa wacha tuangalie interview za wtu welcome back handsome
@jumamdoe8576
5 жыл бұрын
Gd pasha
@renildevenerand8256
5 жыл бұрын
Yeah pasha is handsome
Nakukubari bro nice song pasha
@mwinyimcheni2572
5 жыл бұрын
Nakubali pasha nyimbo yake ya hidaya
Pasha,nakumbuka Bibi kizee
Pasha nakukubari kinoma wakunyumba
Kama life inaenda vzuri mitego imekaa poa achana na geme kwass ugumu upo sana inachangia adi kufamapema na stress
nampendajeeee pasha
Nakukubal sanaaa braza
Nisoo nilikua naupenda balaaa
Haji wahaji umerudi kwagem missi u sana brother
Mie siusahau HIDAYA NI 🔥✔
humu asilimia kubwa wadada wanampenda huyu jamaa yaani hata bureeee
Yuko vzr@iv mmakonde kweli uyu duh Mungu Fundi bhana🤭
Nisooo mamaaa jaman ngoja nikai dawrod kwanza
Love pasha
Umepotea sana kaka
Pasha karibu san kwenye gem mm nishabiki wako toka niko mdog nimekuwa napenda san music wako kwa hivi unarudi tena vizurii san ila usiw mtu wa mambo mambo mengi ubaki kuwa Pasha wazanani mambo ya makiki apana saw Pasha nakupenda bure mm uwa napenda wasani kama ww awana mambo mengi mengi kunavitu najifuza kutoka kwao
@selemanally4186
5 жыл бұрын
Nakupenda bure
Nakumbuka pia kuna movie moja nimemuona na riama aly.
Unacheka vizur duuu hadi raha
Tena ngoja nidownload nyimbo zako handsome usiechuja
Karibu kaka tumekumiss kiukweli
umetisha kaka
Mmakonde wa wapi huyu mwee😘😘
Welcome broo kwnye game hii ya bongo fleva nafac yko bdo IPO 2
Mko vzr sana
Pasha rudi kwenye game
Pasha mkali
Nawe upo vizuri kuliko hamonze ila sptoty
Pasha rudi kwa gm plz tunaumia san broo
"Nisooo"jamaniii pasha kumbe upo? Rudi tena plz plz
Half biti zako anazo shirko au Bob junio au lill gheto Mana unafanyaj mzk flan Wa kiislam, nakubali pasha
Bonge la show
Bora wengine wamebaki kulia lia tu eti wasanii tumenyonywa na ruge wamekaa kutegemea mziki tu
Handsome
Ila huyu jamaa mzuri
Wanyumbani
Pasha umekua mcharo😋naomba namba zako😘😍
@fatumaabdallah566
5 жыл бұрын
Aisha Hussein 😂😂😂😂😂
Pasha
kaka mtangazaji wa sms nilikumisi 😍
Mic u shetta
Pasha kwann wanitesa ivi
@emmahbishoo7303
5 жыл бұрын
Salma unanitesa Sana pia beb
@maarifajuma8160
5 жыл бұрын
Nn kinaendelea hapa😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@emmahbishoo7303
5 жыл бұрын
Nakupenda sana
namkubali sana
Umenenepa pasha rudi kwenye game bro we mic u
Jmn pasha uko wapi ww aisee
@mmn7480
Жыл бұрын
yupo uku goba anauza genge
Kwan xx hv kapotea wap
Brother ume nikaa Sana'a mishabiki wako wakweli (warembo waruriwazuri)
@toawela736
4 жыл бұрын
Kumbe unaijua hyo mwanang
Instar anatumia jina gani
@mmn7480
Жыл бұрын
Official pasha
Jamaa alikuwa anakataa kabila
@kwzjkwz3532
5 жыл бұрын
Hamisi Liyadu kwan kabila gani
Jomon Pasha ushaoa??I lov you ....wl you marry me??plz say yes
@williamdeba96
5 жыл бұрын
Marry me
@damianjeremia3821
5 жыл бұрын
Millie Asili ok well come!!
Acha ujinga heb angalia mashabik wanavyokupenda sio umesema unarud half baada ya hapo unakausha
Pasha nakupenda mnoo uko juu kaza buti tuko pamoja
Pasha unatuangusha bwana to a ngoma mm nishabiki wako number 1
Nilitokea kumpenda sana uyu kaka jmn bora arudi tuuuuy