Miaka tatu ao 30? Miye naona itawachukuwa miaka 100 na zaidi na pengine hatatokea wa kumufikia
@NoName-pp4lo
9 күн бұрын
True
@RomanMwinyi
9 күн бұрын
We una akilii wap kibao wakina konde boy Vani boy Wana kiwasha kushindwa uyo boya wenuuu kafanya nn chaaajabu Kuna watu waliwazaa uka patikana mzikiii WA bongo felevaa we etii mondiii nyinyi ndio mna uwa vipaji vyaa watuu Kuna marioo wa motoo saanaa
@chrispinmkanda6097
9 күн бұрын
Hakuna wa kumfikia
@user-pk1yl7zt8p
9 күн бұрын
Xx we shoga hata Kam hujui kusoma ta picha ikuxhnde kuielewa#hao vistul unaowasifu yy nd kawafundsha Kila ki2 kuhusu music afu unatoka na komwe lako ilo ka Tako la mwjk unabwabwaja😂😂😂😂😂😂#in shot atakayekuja kumfunka Simba labda watt watakaozaliwa 9800
@BigZhumbe
9 күн бұрын
@@RomanMwinyi Vanny na Harmo ni maajabu yake yeye bila yeye wasingefika walipo sasa na wao wamefanya makubwa gani kumzidi Mondi
@Tariq_Tryagain9 күн бұрын
Tushkuru tulichonacho na tuendelee kupambania kizidi.. ila sio kulia eti mziki wa bongo mgumu.. Bro kuna nchi kama Burundi🇧🇮 wanatuangalia sisi kama ma role models though tunalialia
@yohanamwalongo-rx2vt9 күн бұрын
Huwa nafrai kuona msanii ana uwezo flani au maarifa ya kujua mazingira kwa upana wa elim yake anakua mwepesi wakupangilia maudhui
@ullyamos42058 күн бұрын
Kaka sky hapo loui aliposema kujaza uwanja taifa stadium diamond anajaza fact ni miaka sita iliyopita 28 july 2017 alijaza taifa ,pia ww mwenyewe kupitia sns miaka mnne a Iliyopita alijaza Sierra leone watu 70000 stadium na ni show zake sio matamasha ya kisiasa ,au endorsement za makampuni bas taifa inawezekana embu mkatafute nilivyosema koz ni ukweli mtupu niliosema, huyu diamond wetu tu msupport plan yake ni kujaza nje ya africa kwa wingi huo huo km africa anavyifanya ,about loui nitasema km interview yake alifanya na almando bongo 5 kwamba diamond hakumuona loui na bruce africa akamsign dvoice kweli daah inashangaza japo ni biashar za watuu
@CamweziKarrashnekov9 күн бұрын
Kwenye muziki acheni tusubiri ujio wa Yesu wenda huko ndo tutamuona Diamond mwengine
@kennedymafole9 күн бұрын
daxo chali like zake hapa
@imanimhagama46478 күн бұрын
Rekebisha kauli ile haikua mchana ni usiku ila hakukua giza totoro
@Robinson245607 күн бұрын
Miaka tatu itawachukua miaka mia tatu hamsini chibudee hashikiki leo walo kesho
@malkavoice25709 күн бұрын
Ujue Sisi hatuwezagi kufungua interview ye yote anayemsema vby Diamond kbs alafu tupo wengi
@johnmichaellukindo218 күн бұрын
Lewis Hamilton alionekana kwenye clip akiisifia ngoma yako selema!
@iam_sami9 күн бұрын
Uyu jamaa anajua sema nimjuaji sna aisee na iyo ndo itmkwamisha eti aliyo yafanya diamond kwake atatumia miaka mitatu nakunya ato tokea kama diamond ata akijalibu
@tagbaya23479 күн бұрын
Loui aanze kujitafuta kuanzia chini ili afanikiwe zaidi ahakikishe kwanza amejulikana Tanzania ndo aupeleke nje aache kudili na mataifa ya nje wakati bongo tu watu awajamjua
@fj8317
9 күн бұрын
Hiyo point kubwa sana haioni sababu ana numbers nje ila ndani ni muhimu Ili apate endorsement na shows
@rosemahenge9071
8 күн бұрын
Mimi ndiyo kwanza namwona sijui wimbo wake hata mmoja
@user-vq3vj4ih6x9 күн бұрын
Kauli za wasanii ambao hamjui mnachotaka ndo itafanya wengine washndwe
@achawanunetv11679 күн бұрын
Nguvu ipi? yani hizi média na watangazaji ndio wanazidi kuwaua wasanii wa Tz kuwasifia uongo. Tz akuna msani ambae anaweza akafanya show Ulaya ama Marekani afu akapata watu 1500 akuna uyo msani Tz nzima hata waungane. sasa mkishashiba munakaa kwenye média mnaanza kusifia uongo
Пікірлер: 38
Hongera kamera quality
Loui talent yake si ya kibongo at all ila ndoivo.. He's really a Grammy Bway🙌.. S/O to u brother Sky.. Studio noma sna S/O to our sis Bby Sky🙌🔥
Chemistry ya loui & sky kwent interview imekubaliiii🙌🔥🔥🔥
Loui anaongea facts and facts only
FALLY IPUPA anayo concert mbele ya watu 16000k kwenye LDCL ARENA ya ufaransa leo usiku tunaomba sky utuleteya abari za iyo concert pls
wasanii wengine kama Harmonize anaamini kuroga youtube account ya Diamond itamufanya atrend sana😅😅😅😅😅
@mkgorilla7200
9 күн бұрын
Anayeamini hivo ni wewe
@SaidSaid-nr2xe
9 күн бұрын
Apo TN bado
@geomangi6123
8 күн бұрын
acha nyege
@Ruderapper-hl8ej
7 күн бұрын
Unawashwa,una hamu yakukunwa😂😂 uliona lini akoroga...
Ila loui😂
Hongera Diamond
Uchumi wa Tanzania tatizo wananchi wengi masikini
Miaka tatu ao 30? Miye naona itawachukuwa miaka 100 na zaidi na pengine hatatokea wa kumufikia
@NoName-pp4lo
9 күн бұрын
True
@RomanMwinyi
9 күн бұрын
We una akilii wap kibao wakina konde boy Vani boy Wana kiwasha kushindwa uyo boya wenuuu kafanya nn chaaajabu Kuna watu waliwazaa uka patikana mzikiii WA bongo felevaa we etii mondiii nyinyi ndio mna uwa vipaji vyaa watuu Kuna marioo wa motoo saanaa
@chrispinmkanda6097
9 күн бұрын
Hakuna wa kumfikia
@user-pk1yl7zt8p
9 күн бұрын
Xx we shoga hata Kam hujui kusoma ta picha ikuxhnde kuielewa#hao vistul unaowasifu yy nd kawafundsha Kila ki2 kuhusu music afu unatoka na komwe lako ilo ka Tako la mwjk unabwabwaja😂😂😂😂😂😂#in shot atakayekuja kumfunka Simba labda watt watakaozaliwa 9800
@BigZhumbe
9 күн бұрын
@@RomanMwinyi Vanny na Harmo ni maajabu yake yeye bila yeye wasingefika walipo sasa na wao wamefanya makubwa gani kumzidi Mondi
Tushkuru tulichonacho na tuendelee kupambania kizidi.. ila sio kulia eti mziki wa bongo mgumu.. Bro kuna nchi kama Burundi🇧🇮 wanatuangalia sisi kama ma role models though tunalialia
Huwa nafrai kuona msanii ana uwezo flani au maarifa ya kujua mazingira kwa upana wa elim yake anakua mwepesi wakupangilia maudhui
Kaka sky hapo loui aliposema kujaza uwanja taifa stadium diamond anajaza fact ni miaka sita iliyopita 28 july 2017 alijaza taifa ,pia ww mwenyewe kupitia sns miaka mnne a Iliyopita alijaza Sierra leone watu 70000 stadium na ni show zake sio matamasha ya kisiasa ,au endorsement za makampuni bas taifa inawezekana embu mkatafute nilivyosema koz ni ukweli mtupu niliosema, huyu diamond wetu tu msupport plan yake ni kujaza nje ya africa kwa wingi huo huo km africa anavyifanya ,about loui nitasema km interview yake alifanya na almando bongo 5 kwamba diamond hakumuona loui na bruce africa akamsign dvoice kweli daah inashangaza japo ni biashar za watuu
Kwenye muziki acheni tusubiri ujio wa Yesu wenda huko ndo tutamuona Diamond mwengine
daxo chali like zake hapa
Rekebisha kauli ile haikua mchana ni usiku ila hakukua giza totoro
Miaka tatu itawachukua miaka mia tatu hamsini chibudee hashikiki leo walo kesho
Ujue Sisi hatuwezagi kufungua interview ye yote anayemsema vby Diamond kbs alafu tupo wengi
Lewis Hamilton alionekana kwenye clip akiisifia ngoma yako selema!
Uyu jamaa anajua sema nimjuaji sna aisee na iyo ndo itmkwamisha eti aliyo yafanya diamond kwake atatumia miaka mitatu nakunya ato tokea kama diamond ata akijalibu
Loui aanze kujitafuta kuanzia chini ili afanikiwe zaidi ahakikishe kwanza amejulikana Tanzania ndo aupeleke nje aache kudili na mataifa ya nje wakati bongo tu watu awajamjua
@fj8317
9 күн бұрын
Hiyo point kubwa sana haioni sababu ana numbers nje ila ndani ni muhimu Ili apate endorsement na shows
@rosemahenge9071
8 күн бұрын
Mimi ndiyo kwanza namwona sijui wimbo wake hata mmoja
Kauli za wasanii ambao hamjui mnachotaka ndo itafanya wengine washndwe
Nguvu ipi? yani hizi média na watangazaji ndio wanazidi kuwaua wasanii wa Tz kuwasifia uongo. Tz akuna msani ambae anaweza akafanya show Ulaya ama Marekani afu akapata watu 1500 akuna uyo msani Tz nzima hata waungane. sasa mkishashiba munakaa kwenye média mnaanza kusifia uongo
@user-vq3vj4ih6x
9 күн бұрын
Sana kaka hakuna jpya hapa