SUPRISE YA OMMY DIMPOZ TIGO FIESTA/ AMWAGA MACHOZI/ KIFUA/TUMBO WAZI JUKWAANI KWA MARA YA KWANZA/ INASIKITISHA
Жүктеу.....
Пікірлер: 175
@kawilikaguti87024 жыл бұрын
Tc was so sad😥... Bt now tunaandika historia upya #ommy dimpoz nakubari Sanaa uliamsha popo broo km unamkubar @OMMY DIMPOZ ngonga like HAPA tukuwe sawa🇰🇪🇹🇿🇺🇬
@mabenzimabenzi43484 жыл бұрын
kwa mara ya kwanza omy dimpoz unashiriki fiesta good
@muniraahmed6244 жыл бұрын
Who's agree this is the best show of FIESTA. U did brother ommy💕
@abeDeveloper
4 жыл бұрын
Always following you
@shedrackmegustar68004 жыл бұрын
Mamae mpaka mjuba apa nimecomment afu sipati ata like 😪
@nestpol69304 жыл бұрын
Like hapa kama unaamini MUNGU mkubwa
@calvinismcharlz65194 жыл бұрын
Ommy dimpoz fundii sana
@esharamadhani34384 жыл бұрын
Machozi yamenitoka Wallah pole Ommy InshaAllah Allah akusimamie maradhi hayo yasieze kurudi
@stephanosanga9984 жыл бұрын
Kama unamkubali ommy gonga like apa alafu Kama ulikua bado kutazama video yangu ya *koleza* naomba uguse link inayofuata👉 kzread.info/dash/bejne/qqFr0tCdhKjLf7g.html naomba usisahau *kusubscrible na kushare ktk channel yangu*🙏🙏
@evpatrickmpunguministries7114 жыл бұрын
Mungu mukubwa kabisa Wa fans Wa ommy gongeni likes twende sambamba
@elibarikielikana18244 жыл бұрын
Aliye sikia tumsifu Mungu like hapaaa Jesus ata jifunua tuu
@jackemanuel46974 жыл бұрын
ommy dimpoz ulifanya jambo zuri kuimba wimbo wa kumshukuru mungu na kumsifu kwa kukuponya mungu akupe maisha marefu ya kuishi duniani
@bahatevagre9334 жыл бұрын
Umetisha broo,mm pia hua nawazaga familia yangu itakuaje akati nategemewa,YAANI UNANITOAGA MACHOZI NA HUU WIMBO MASTER
@abdulmasali3422
4 жыл бұрын
Hatari
@hamidunamwilanga9739
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@leankubali20644 жыл бұрын
I like it ommy god bless you guy
@abdulukwachu44474 жыл бұрын
Dimpozi Kwa Pozi pkp Sijawahi kupata Like Mia👀
@bananatz42164 жыл бұрын
Haki Ommy umeniliza na mimi😢😢
@TheSalma1999
4 жыл бұрын
banana tz hata mimi nimelia
@khamicholo1164 жыл бұрын
Verry Nice
@daniellazaro75064 жыл бұрын
Nimependaaaa
@omarymbalala62244 жыл бұрын
Ommy wajina wewe n mbunifu Clouds mtabaki juu miaka 1000000
@mkalimussa18464 жыл бұрын
Kwa mateso ulopitia ni nusu ya kifo ushaur Wang broo ungerud kwa mola wak
@supertal29434 жыл бұрын
Very Creative !!!
@jasminmylovejasmin28794 жыл бұрын
Nic ommy😘
@angelchristian49084 жыл бұрын
mziki ni vocal @@@🎹🎷🎷🎷🎺🎺🎺🎶🎶🎶🎶
@salehabdalla7773
4 жыл бұрын
Yani mm nnchowkubli hawa jamaa ata wakiimba live sauti ni km ya nymbo halis good vocal sio wngne utskia zogo tu
@joshuaprincess21674 жыл бұрын
Ommydimpoz ommyrockstar 🌟
@legawayz60934 жыл бұрын
kariii🙌🙌🙌🙌
@user-xi1pi4zr3b4 жыл бұрын
Show kali kama umemwona mwijaku kawa doctor gonga like hapa
@alexteophil29664 жыл бұрын
Your The Best #Ommy
@lugikoenterpriseslugiko30504 жыл бұрын
Ommy uko creative sana
@jacksonvalence73654 жыл бұрын
Wozaaa asee ubunifu mzuri sana ommydimpoz
@mabetablacklion64304 жыл бұрын
Hii show imenifurahisha hadi nikaamua kufungua channel yangu (Mabeta the black lion )like hii comment na usubscribe kwa channel yangu
@orpuladventuretours43134 жыл бұрын
Very creativity,I like it
@akimudominik68244 жыл бұрын
Good Sana song imenibariki mungu mkubwa twende sawa na like
@swaibuomari36184 жыл бұрын
Da broo very fan
@sifaahmed86434 жыл бұрын
Yoooo ommy nakukubali
@angelmasala95684 жыл бұрын
Umetiiiishaaaaaaa
@youngvicent10474 жыл бұрын
Nomaa Sanaa ommy dimpoz
@annajackson85384 жыл бұрын
God is good all the time
@sadruhsnowwhite46794 жыл бұрын
Yes we nomaaa
@kenethjaphet81304 жыл бұрын
kama umeona ommy kaanza na Mungu halafu akamaliza na shetan like yako mhimu
@reymasenya64504 жыл бұрын
Noma Sana
@christinamichaeel97134 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@vrsrecordstudios..47414 жыл бұрын
Hatari kweli mbosso ft zuchu Amina iko kwenye channel
@amenahussien61344 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana
@alphokingmarthin57154 жыл бұрын
Daah ommy dimpoz mwaka 1000 me shabiki wako kindaki ndaki
@rosemaiko9405
4 жыл бұрын
Mm pia miaka 100000
@ashashabani42104 жыл бұрын
ommy unaniliza jamani mungu aendeleee kukupigania
@harunimfaume62804 жыл бұрын
nakubali kwako omi dmpz mungu azid kukupa uzma
@sheikhnambilili42694 жыл бұрын
hoyooo ye baba gonga like 👅🙌🙌. #ommy
@maulidrehani4 жыл бұрын
Very touching😢
@bnztechnologies26764 жыл бұрын
I LOVE U OMMY MUNGU AKUPE UMRI MREFU HAKIKA YOU'RE SO INSPIRING
@asiasuleiman20274 жыл бұрын
Asantee mungu kwakukufanya kuwa bora zaidi
@deomichael30814 жыл бұрын
Mwanza walikosa lile vibe la kutosha, wamekua kinyonge sana this time around!. Shangwe low sana, tusikilizie mikoa inayofuata labla kutakua na amsha amsha
@nelsonngemera9832
4 жыл бұрын
Hali ya uchumi ni mbaya sn hata hivyo tumejitahidi nilikuwepo. Unajua kipindi cha nyuma fiesta ilkua inabamba kwa sababu mtu anakuwa na balance baada ya kutoa kiingilio lakin saivi wengi tunajitahidi kupata kiingilio tu yaani hali ni mbaya hapa Mwz
@ziadaibrahim6189
4 жыл бұрын
Wasukuma safarii wamemgomea adi ndugu yao wamepoa
@aminashq11814 жыл бұрын
sawa yangu macho tuuuuuuu
@tuonhfhgf16054 жыл бұрын
Doctor Mwijaku...
@hadiyyahadiyya5174
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@user-zw6ne3qy4s
4 жыл бұрын
Tuon Hfhgf 😂😂😂
@bressfabians45374 жыл бұрын
Ommy keep going brud 🙏
@mwendwamjukuu94684 жыл бұрын
Dimpoz mungu azidi kukuongoza
@kambachaku83904 жыл бұрын
kama umeona ommydimpo bdo anastukia koo yko gonga like twende sawa
@o.o.80744 жыл бұрын
Mungu ndie mwenye anaejua pale tunapoelekea..... Mwijaku pia umeweza....
@monicahmbala58814 жыл бұрын
Mungu wangu!!!!!!bora ungemtukuza Mungu tu kakaangu
@angelmasala95684 жыл бұрын
Mpaka nmeliaa
@emmanuelmlule91014 жыл бұрын
Big up bro
@gwakisamawazo75094 жыл бұрын
Bro unajua
@ashritaabdallah64744 жыл бұрын
Ommy acha mziki mrudie mungu wewe ni muislam
@hamispeter82904 жыл бұрын
sana ommy
@alexlutengano6874 жыл бұрын
Bonge la shoo
@godlovegeorge23344 жыл бұрын
Dah Ommy umetisha, had inahuzunisha mzee
@stephanomgala65164 жыл бұрын
Your My Rockstar
@asnakudra134 жыл бұрын
Kuumwa ni ibada kubwa sanaa
@nestpol69304 жыл бұрын
#Babakasema🔥🔥
@maryanadhan37394 жыл бұрын
Woow nice
@mwanzashinyanga80604 жыл бұрын
nice one
@hidayaking33834 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥😭😭
@khamicholo1164 жыл бұрын
😭😭😭😭
@shangwerevocatus55704 жыл бұрын
💥💥💥💥
@ifruitx20964 жыл бұрын
Mwijakuu umetisha sana doktor😂
@superbosskijanamrmkinga5174 жыл бұрын
Jamaa unajuaaaaaa
@mrishorajabu11344 жыл бұрын
kwaya tenaa😁😁😁😁😁
@thomasrichard61694 жыл бұрын
Shoo kal
@happiedeogratius54374 жыл бұрын
Mungu anaweza be blessed always ommy we love u
@priscasiame91794 жыл бұрын
Unajua kaka
@charleszakayo23764 жыл бұрын
Umeingia vizur
@lucykiwango19994 жыл бұрын
kumbe mwijaku falaaa iviiiiiii
@bafaello26194 жыл бұрын
Glory to God
@jacquesprimayele6944 жыл бұрын
King of music ommy
@heavenmwandu69394 жыл бұрын
God bless you
@merrynancesimoni27284 жыл бұрын
Amen❤️❤️❤️❤️
@zainabumshihiri70414 жыл бұрын
Jaman mungu n mkubwa sana zaid ya sana siyo kwa Mshono huo dah Fanya ibada sana ommy acha utan
@dr.tumainiandrea69574 жыл бұрын
Kutoka ng'ambo mpaka Tanzania Bofya hapa #KaziNaAjira
@jildow45334 жыл бұрын
🙏🏾
@barakashabani41384 жыл бұрын
Noma
@evarisaernest80484 жыл бұрын
Good
@shaadenshaduni77554 жыл бұрын
😭😭😭😭😭 Onmy ame niliza
@halimatanzani85874 жыл бұрын
🔥🔥🔥😭
@mwanatz59804 жыл бұрын
Dah! Mungu mwema akupe afya njema amiin.
@abditech144 жыл бұрын
Dah you kill it
@ibrackibrahim69093 жыл бұрын
Nimefurqhi kuhanza n'a wimbo wako n'a daktari wako #super star #mwijaku.
@sadruhsnowwhite46794 жыл бұрын
Uyo doctor mwijaku voo
@JayJay-qd1yn4 жыл бұрын
💥💥💥💥💥
@DonMooSTUDIO_Express4 жыл бұрын
episourd 02 💖 YOU ARE THE BEAST 💖 mtunzi.............. Tajmin Staa loved................. Kanumba Staa kikundi.............. Ziro sc School ILIPOISHIA namba MOJA...... Sara anabeba mizigo na kuipeleka chumbani. Ommy anakuwa kaduwaa kidogo akitizama mazingira ya hapo nyumbani. "Vipi Ommy! Unapaonaje hapa!? Maana miaka saba kama sikosei haujakanyaga hapa nyumbani" "Aaa! naona mabadiliko makubwa. Lakini Anti naweza kuuliza?" "Bila shaka uliza" "Japo sio muda muafaka ila wacha niuoize. Huyu binti anaishi hapa?" "Eee! Ni mfanyakazi wetu wa ndani. Tupo nae hapa mwaka wa kwanza sasa. Hata usijali kama mambo ya usafi anafanya vizuri. Kwahiyo ondoa shaka Ommy" INAENDELEA namba MBILI... "Sawa Anti" Anaitikia Ommy. Mgeni anakaribishwa vizuri kabisa. Stori siku hiyo zinapamba moto mpaka majira ya usiku wa saa nne. Ambapo Shangazi yake (Mama Maimuna) anamwambia Maimuna amuache Binamu yake aende akajipumzishe kwanza kwaajili ya mchoko wa safari. "Jamani mama. Mimi nimemkumbuka Bina Ommy. Hapa ni mwendo wa stori mpaka kukuche" "Jamani Maimuna! Mwenzio kachoka muonee huruma jama" "Ha ha haaaaa... Usijari Anti, ntapiga naye stori mpaka ataomba mapoo mwenyewe. Namjua huyu kulala kwake saa tano havuki" "Ha ha haaaa Mwenzio sikuhisi anaweza mpaka kukesha na televisheni yake mpaka kukuche" "Anhaa! Dawa yake nimekuja nayo. Atalala mapema tu" "Hahahaaaaa. Sawa, mlale salama. Mimi ngojea nikajilaze kwanza" "Amin!" (Wanaitikia) Wanasalia sebuleni Ommy na Maimuna wakiendelea kupiga soga za hapa na pale. "Saraaaaaaa?" "Abee dada" "Embu lete juisi mbili za embe baridi" "Sawa daa" (Sara akaja upesi na juisi akaziweka mezani akipiga magoti ya heshima) "Dada hizi hapa" "Haya kalete na mkate wa kumimina upesi basi" "Sawa dada" (Sara anasimama upesi na kuelekea jikoni. Macho ya Ommy yanaishia kumsindikizia Sara bila kupata tafakul) "Yaani Bina kesho unanisindikiza chuo" "Usijari. Mimi na wewe tena" "Mh! Mimi na wewe tumefanyeje tena!?" "He! Mimi na wewe sikama mapacha. Au umesahau ulivyokuwa ukiniambia enzi zile tuko wadogo wadogo" "Ha ha haaaaaa.... Kumbe unakichwa cha kukumbuka sana. Unakumbuka yote hayo?" "Sio yote hayo tu. Kuna mengineyo mengi mpaka umeyasahau" "Mfano!" "Upikuwa unaogopa mende." "Ah!... Usiseme hivyo!" (Maimuna akipandisha miguu juu ya sofa) "Ha ha ha haaaaaahahahahaaaaa... Kumbe mpaka leo unaendelea kuogopa mende!?. Kumbe wala haukui" Sara analeta mkatebwa kumimina ukiwa kwenye sahani pana. "Mbona haujaleta na maji ya kunywa". "Nimesahau dada. Naleta sasahivi". Sara anaendea maji ya kunawa na vijiko vya kulia mkate. Anawakalibisha chakula kwa kuwapigia magoti ya kuwakaribisha kisha anaondoka kuelekea jikoni. Ommy na Maimuna wanakamua ipasavyo. Usiku unazidi kutanda hatimae Maimuna usingizi unampanda. Ommy anamwambia akajilaze wataonana kesho panapo majaaliwa wataongea vizuri. Maimuna anakuwa king'ang'anizi kuwa hana usingizi. Lakini Ommy anamsisitizia akalale kwanza. Maimuna anapokuwa mbishi hataki kwenda kulala. "Sasa mende watajaa hapa sebuleni kote wakupande. Wakung'ate ng'ate mwipi mzima" "Mamaaaaaa!" (Maimun anamkumbatia Ommy sofani tokana na uoga wake wa kitoto wa kuogopa mende) Ommy anacheka sana akisimama na kukimbilia chumbani kwake. Maimuna anainuka na kukimbilia na yeye chumbani kwake. Ommy anacheka sana kwa kumuona Maimuna kakuwa lakini bado akilibza kuogopa mende anazo. Ommy akiwa chumbani mwake. Anafungua begi lake moja anatowa vutu vyake na kuvipanga vizuri kabatiani. Anahakikisha chumba kimekaa safi kabisa. Anachukua tauro lake anatoka kwenye korido anaelekea bafuni. Mabafu ni manne yote yapo nje ya vyumba. Ukivuka vyumba vyote kwa kupita kwenye korido ndefu ndipo unafika kwenye mabafu na vyoo. Ommy anaingia bafuni na kuoga vizuri. Anatoka kuoga akihisi kama kuna sauti ya mtu ina lia chini chini. Anasimama kwenye korido kama stelingi wa picha vile. Anataakari kwa muda. Anagundua sauti inatokea jikoni. Ommy anaelekea jikoni kwa machale zaidi akijipa moyo asikutane na mauza uza. Kufika jikoni anafungua mlango wa jikoni anamkuta Sara kajilaza sakafuni alipotandika kipande cha kanga. Sara anashtuka sana kumuona Ommy ameingia jikoni. Tena isitoshe kavalia taulo tu. Sara anasimama haraka haraka akijificha uso. "Mbona umelala hapa?" "A!A!..." "Hauna chumba cha kulala?" "Ninacho" "Mbona umelala hapa sasa!?" "Ili niwahi kuamka nipike chakula na kuanza usafi" "...... Nenda ukalale chumbani kwako ntaamka mapema niwahi kukuamsha usijari. Shika na hii ni saa utakuwa unatizama majira" (Akavuwa saa ya mkononi na kumpatia Sara. Sara akawa anaogopa sana kuipokea) "Usiogope, pokea ni saa ya kawaida tu" "Asa...Asante..." "Usijari. Ulale salama. Lakini uhakikishe unaenda kulala chumbani" "Sawa kaka" Ommy anataka kutoka jikoni lakini anasimama nakumuomba Sara aende kwanza chumbani kwake ndipo na yeye aondoke. Sara anafanya hivyo. Anaelekea chumbani kwake. Ndipo Ommy na yeye anaelekea chumbani kwake. Ommy anaingia chumbani kwake akijiimbia imbia huku yupo bize kujifuta maji kwa taulo na kujipaka mafuta. "Asubuhi aliamka, na kwenda kutafuta. Hakuna alichoshika, mdomoni kuweka. Ya Kariamaaa aaa, Ya maulana aaaaa. Ya Ratwif, Ewe Molaaa aaaaa.... Ali pita mama mmoja, Mfanya biashara eee. Pembezoni mwa barabara mwa Karima" Ommy akiendelea kuimba taratibu taratibu huku anajiweka sawa kwenye kioo. Kamera inatuonesha kiza kikitanda. Punde tunaona asubuhi kumepambazuka. Sara anakurupuka kitandani kwake moyo ukimwenda MBIO mithili ya MVUMO WA RADI. Anawahi fungua dirisha nafsi inagonga akili anajihisi kudata baada ya kuona kumepambazuka sana. Anawahi kutoka chumbani anatizama korido imesha dekiwa. Anawahi sebule iko safi. Anaelekea jikoni anamkuta Ommy analekebisha chakula cha asububi huku anaimba taratibu taratibu. "Nilimwambia asile, Ye alikula, Akavimba paja. Mtoto mzuri aliye zaaa. Na yule jamaaaa. Mwenye mahela. Akaniacha nanjaaaa. Kwenye mataaaa. Yeye akaniacha nalia na Mola. Ali wa leo nalia na Mola onaaa. Yule aliye kupa wewe, Ndiye kaninyima mimi. Na kama riziki anatowa yeye, Basi nikakosa mimi. Ila mola ndiye anaye toa, Tena kwazamu hatakama nipo nyuma, Nitapata lazima. Asile! ana maana yuleee. Mimi na yule tulifunga ndoaa" Ommy bado hajamuona Sara kama kaingia jikoni. Sara anajikuta kutabasamu kwa mara ya kwanza. Kitambo sana hajawahi kutabasamu. Ila leo tabasamu linajileta lenyewe. Kwanza tokana na nyimbo anayo iimba Ommy. Ni nyimbo tamu yenye akili na inayo eleweka sana tu. Alafu pili anamsaidia kufanya kazi. Sara anarudi nyuma taratibu il Ommy asigundue kama Sara kaingia jikoni humo. Sara anaelekea nje upesi kwenda kufanya usafi ulio salia. Anahakimisha anaanya haraka haraka sana. Akiwa bize anafanya usafi anakuja mama Maimuna akiwa haraka haraka kama mtu aliye koswa koswa na Bomu la Mbagara. "Lalalalalalalalaaaaa! Yaani wewe mtoto wewe mtoto!. Leo itakuwa ndio mwisho na mwanzo wa mimi kukuhitaji kwenye nyumba yangu. Yaaani unamuacha mgeni anapika chakula!?. Ten mtoto wa kuume ndiye anaingia jikoni wewe unazunguka zunguka nje kama tiala!?" "Mama nisamehe mama. Naenda haraka kupika" "Sitaki umeniudhi sana Sara. Kuanzia leo sikutaki...." Punde Ommy anatoka nje "Anti kulikoni!?" "Hamna kitu... Hahahahahaaaa.... hakuna kitu mwanangu. Nona ulikuwa unaandaa andaa chai?" "Ndiyo Anti. Kama kawaida yangu napenda kuandaa chakula mwenyewe. Au umesahau nilipokuwa mdogo?" "A! sijasahau. Lakini kwasasa tuna mfanyakazi sio kama mwanzoni ulikuwa ukinisaidia. Kwasasa usifanye hivyo huyu hapa ndio kazo zake zote hizo" "Sawa Anti. Lakini.... Napenda sana kupika mimi kuliko kupikiwa" "Basi sawa" Mama Maimuna akarudi ndani. Sara akamtizama Ommy Ommy akatabasam kidogo. Sara uchoyo wa tabasamu ukamshinda na yeye akagawa tabasamu kwa Ommy. Ommy akarejea ndani akimuacha Sara akitabasam. Sara akatoka eneo hilo akijizungusha zungusha kama tiala kweli. Anajikuta kidogo kuwa na nafuu ya moyo. Anajisemea kimoyo moyo. "Ahdante Muumba kwa kunisaidia sana kwa siku ya leo" 💜UKIITAKA STORI HII MWANZO MPAKA MWISHO NIFUATE whatsApp inbox no: 0689 248 566
Пікірлер: 175
Tc was so sad😥... Bt now tunaandika historia upya #ommy dimpoz nakubari Sanaa uliamsha popo broo km unamkubar @OMMY DIMPOZ ngonga like HAPA tukuwe sawa🇰🇪🇹🇿🇺🇬
kwa mara ya kwanza omy dimpoz unashiriki fiesta good
Who's agree this is the best show of FIESTA. U did brother ommy💕
@abeDeveloper
4 жыл бұрын
Always following you
Mamae mpaka mjuba apa nimecomment afu sipati ata like 😪
Like hapa kama unaamini MUNGU mkubwa
Ommy dimpoz fundii sana
Machozi yamenitoka Wallah pole Ommy InshaAllah Allah akusimamie maradhi hayo yasieze kurudi
Kama unamkubali ommy gonga like apa alafu Kama ulikua bado kutazama video yangu ya *koleza* naomba uguse link inayofuata👉 kzread.info/dash/bejne/qqFr0tCdhKjLf7g.html naomba usisahau *kusubscrible na kushare ktk channel yangu*🙏🙏
Mungu mukubwa kabisa Wa fans Wa ommy gongeni likes twende sambamba
Aliye sikia tumsifu Mungu like hapaaa Jesus ata jifunua tuu
ommy dimpoz ulifanya jambo zuri kuimba wimbo wa kumshukuru mungu na kumsifu kwa kukuponya mungu akupe maisha marefu ya kuishi duniani
Umetisha broo,mm pia hua nawazaga familia yangu itakuaje akati nategemewa,YAANI UNANITOAGA MACHOZI NA HUU WIMBO MASTER
@abdulmasali3422
4 жыл бұрын
Hatari
@hamidunamwilanga9739
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
I like it ommy god bless you guy
Dimpozi Kwa Pozi pkp Sijawahi kupata Like Mia👀
Haki Ommy umeniliza na mimi😢😢
@TheSalma1999
4 жыл бұрын
banana tz hata mimi nimelia
Verry Nice
Nimependaaaa
Ommy wajina wewe n mbunifu Clouds mtabaki juu miaka 1000000
Kwa mateso ulopitia ni nusu ya kifo ushaur Wang broo ungerud kwa mola wak
Very Creative !!!
Nic ommy😘
mziki ni vocal @@@🎹🎷🎷🎷🎺🎺🎺🎶🎶🎶🎶
@salehabdalla7773
4 жыл бұрын
Yani mm nnchowkubli hawa jamaa ata wakiimba live sauti ni km ya nymbo halis good vocal sio wngne utskia zogo tu
Ommydimpoz ommyrockstar 🌟
kariii🙌🙌🙌🙌
Show kali kama umemwona mwijaku kawa doctor gonga like hapa
Your The Best #Ommy
Ommy uko creative sana
Wozaaa asee ubunifu mzuri sana ommydimpoz
Hii show imenifurahisha hadi nikaamua kufungua channel yangu (Mabeta the black lion )like hii comment na usubscribe kwa channel yangu
Very creativity,I like it
Good Sana song imenibariki mungu mkubwa twende sawa na like
Da broo very fan
Yoooo ommy nakukubali
Umetiiiishaaaaaaa
Nomaa Sanaa ommy dimpoz
God is good all the time
Yes we nomaaa
kama umeona ommy kaanza na Mungu halafu akamaliza na shetan like yako mhimu
Noma Sana
Mungu ni mwema
Hatari kweli mbosso ft zuchu Amina iko kwenye channel
Mungu ni mwema sana
Daah ommy dimpoz mwaka 1000 me shabiki wako kindaki ndaki
@rosemaiko9405
4 жыл бұрын
Mm pia miaka 100000
ommy unaniliza jamani mungu aendeleee kukupigania
nakubali kwako omi dmpz mungu azid kukupa uzma
hoyooo ye baba gonga like 👅🙌🙌. #ommy
Very touching😢
I LOVE U OMMY MUNGU AKUPE UMRI MREFU HAKIKA YOU'RE SO INSPIRING
Asantee mungu kwakukufanya kuwa bora zaidi
Mwanza walikosa lile vibe la kutosha, wamekua kinyonge sana this time around!. Shangwe low sana, tusikilizie mikoa inayofuata labla kutakua na amsha amsha
@nelsonngemera9832
4 жыл бұрын
Hali ya uchumi ni mbaya sn hata hivyo tumejitahidi nilikuwepo. Unajua kipindi cha nyuma fiesta ilkua inabamba kwa sababu mtu anakuwa na balance baada ya kutoa kiingilio lakin saivi wengi tunajitahidi kupata kiingilio tu yaani hali ni mbaya hapa Mwz
@ziadaibrahim6189
4 жыл бұрын
Wasukuma safarii wamemgomea adi ndugu yao wamepoa
sawa yangu macho tuuuuuuu
Doctor Mwijaku...
@hadiyyahadiyya5174
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@user-zw6ne3qy4s
4 жыл бұрын
Tuon Hfhgf 😂😂😂
Ommy keep going brud 🙏
Dimpoz mungu azidi kukuongoza
kama umeona ommydimpo bdo anastukia koo yko gonga like twende sawa
Mungu ndie mwenye anaejua pale tunapoelekea..... Mwijaku pia umeweza....
Mungu wangu!!!!!!bora ungemtukuza Mungu tu kakaangu
Mpaka nmeliaa
Big up bro
Bro unajua
Ommy acha mziki mrudie mungu wewe ni muislam
sana ommy
Bonge la shoo
Dah Ommy umetisha, had inahuzunisha mzee
Your My Rockstar
Kuumwa ni ibada kubwa sanaa
#Babakasema🔥🔥
Woow nice
nice one
🔥🔥🔥🔥🔥😭😭
😭😭😭😭
💥💥💥💥
Mwijakuu umetisha sana doktor😂
Jamaa unajuaaaaaa
kwaya tenaa😁😁😁😁😁
Shoo kal
Mungu anaweza be blessed always ommy we love u
Unajua kaka
Umeingia vizur
kumbe mwijaku falaaa iviiiiiii
Glory to God
King of music ommy
God bless you
Amen❤️❤️❤️❤️
Jaman mungu n mkubwa sana zaid ya sana siyo kwa Mshono huo dah Fanya ibada sana ommy acha utan
Kutoka ng'ambo mpaka Tanzania Bofya hapa #KaziNaAjira
🙏🏾
Noma
Good
😭😭😭😭😭 Onmy ame niliza
🔥🔥🔥😭
Dah! Mungu mwema akupe afya njema amiin.
Dah you kill it
Nimefurqhi kuhanza n'a wimbo wako n'a daktari wako #super star #mwijaku.
Uyo doctor mwijaku voo
💥💥💥💥💥
episourd 02 💖 YOU ARE THE BEAST 💖 mtunzi.............. Tajmin Staa loved................. Kanumba Staa kikundi.............. Ziro sc School ILIPOISHIA namba MOJA...... Sara anabeba mizigo na kuipeleka chumbani. Ommy anakuwa kaduwaa kidogo akitizama mazingira ya hapo nyumbani. "Vipi Ommy! Unapaonaje hapa!? Maana miaka saba kama sikosei haujakanyaga hapa nyumbani" "Aaa! naona mabadiliko makubwa. Lakini Anti naweza kuuliza?" "Bila shaka uliza" "Japo sio muda muafaka ila wacha niuoize. Huyu binti anaishi hapa?" "Eee! Ni mfanyakazi wetu wa ndani. Tupo nae hapa mwaka wa kwanza sasa. Hata usijali kama mambo ya usafi anafanya vizuri. Kwahiyo ondoa shaka Ommy" INAENDELEA namba MBILI... "Sawa Anti" Anaitikia Ommy. Mgeni anakaribishwa vizuri kabisa. Stori siku hiyo zinapamba moto mpaka majira ya usiku wa saa nne. Ambapo Shangazi yake (Mama Maimuna) anamwambia Maimuna amuache Binamu yake aende akajipumzishe kwanza kwaajili ya mchoko wa safari. "Jamani mama. Mimi nimemkumbuka Bina Ommy. Hapa ni mwendo wa stori mpaka kukuche" "Jamani Maimuna! Mwenzio kachoka muonee huruma jama" "Ha ha haaaaa... Usijari Anti, ntapiga naye stori mpaka ataomba mapoo mwenyewe. Namjua huyu kulala kwake saa tano havuki" "Ha ha haaaa Mwenzio sikuhisi anaweza mpaka kukesha na televisheni yake mpaka kukuche" "Anhaa! Dawa yake nimekuja nayo. Atalala mapema tu" "Hahahaaaaa. Sawa, mlale salama. Mimi ngojea nikajilaze kwanza" "Amin!" (Wanaitikia) Wanasalia sebuleni Ommy na Maimuna wakiendelea kupiga soga za hapa na pale. "Saraaaaaaa?" "Abee dada" "Embu lete juisi mbili za embe baridi" "Sawa daa" (Sara akaja upesi na juisi akaziweka mezani akipiga magoti ya heshima) "Dada hizi hapa" "Haya kalete na mkate wa kumimina upesi basi" "Sawa dada" (Sara anasimama upesi na kuelekea jikoni. Macho ya Ommy yanaishia kumsindikizia Sara bila kupata tafakul) "Yaani Bina kesho unanisindikiza chuo" "Usijari. Mimi na wewe tena" "Mh! Mimi na wewe tumefanyeje tena!?" "He! Mimi na wewe sikama mapacha. Au umesahau ulivyokuwa ukiniambia enzi zile tuko wadogo wadogo" "Ha ha haaaaaa.... Kumbe unakichwa cha kukumbuka sana. Unakumbuka yote hayo?" "Sio yote hayo tu. Kuna mengineyo mengi mpaka umeyasahau" "Mfano!" "Upikuwa unaogopa mende." "Ah!... Usiseme hivyo!" (Maimuna akipandisha miguu juu ya sofa) "Ha ha ha haaaaaahahahahaaaaa... Kumbe mpaka leo unaendelea kuogopa mende!?. Kumbe wala haukui" Sara analeta mkatebwa kumimina ukiwa kwenye sahani pana. "Mbona haujaleta na maji ya kunywa". "Nimesahau dada. Naleta sasahivi". Sara anaendea maji ya kunawa na vijiko vya kulia mkate. Anawakalibisha chakula kwa kuwapigia magoti ya kuwakaribisha kisha anaondoka kuelekea jikoni. Ommy na Maimuna wanakamua ipasavyo. Usiku unazidi kutanda hatimae Maimuna usingizi unampanda. Ommy anamwambia akajilaze wataonana kesho panapo majaaliwa wataongea vizuri. Maimuna anakuwa king'ang'anizi kuwa hana usingizi. Lakini Ommy anamsisitizia akalale kwanza. Maimuna anapokuwa mbishi hataki kwenda kulala. "Sasa mende watajaa hapa sebuleni kote wakupande. Wakung'ate ng'ate mwipi mzima" "Mamaaaaaa!" (Maimun anamkumbatia Ommy sofani tokana na uoga wake wa kitoto wa kuogopa mende) Ommy anacheka sana akisimama na kukimbilia chumbani kwake. Maimuna anainuka na kukimbilia na yeye chumbani kwake. Ommy anacheka sana kwa kumuona Maimuna kakuwa lakini bado akilibza kuogopa mende anazo. Ommy akiwa chumbani mwake. Anafungua begi lake moja anatowa vutu vyake na kuvipanga vizuri kabatiani. Anahakikisha chumba kimekaa safi kabisa. Anachukua tauro lake anatoka kwenye korido anaelekea bafuni. Mabafu ni manne yote yapo nje ya vyumba. Ukivuka vyumba vyote kwa kupita kwenye korido ndefu ndipo unafika kwenye mabafu na vyoo. Ommy anaingia bafuni na kuoga vizuri. Anatoka kuoga akihisi kama kuna sauti ya mtu ina lia chini chini. Anasimama kwenye korido kama stelingi wa picha vile. Anataakari kwa muda. Anagundua sauti inatokea jikoni. Ommy anaelekea jikoni kwa machale zaidi akijipa moyo asikutane na mauza uza. Kufika jikoni anafungua mlango wa jikoni anamkuta Sara kajilaza sakafuni alipotandika kipande cha kanga. Sara anashtuka sana kumuona Ommy ameingia jikoni. Tena isitoshe kavalia taulo tu. Sara anasimama haraka haraka akijificha uso. "Mbona umelala hapa?" "A!A!..." "Hauna chumba cha kulala?" "Ninacho" "Mbona umelala hapa sasa!?" "Ili niwahi kuamka nipike chakula na kuanza usafi" "...... Nenda ukalale chumbani kwako ntaamka mapema niwahi kukuamsha usijari. Shika na hii ni saa utakuwa unatizama majira" (Akavuwa saa ya mkononi na kumpatia Sara. Sara akawa anaogopa sana kuipokea) "Usiogope, pokea ni saa ya kawaida tu" "Asa...Asante..." "Usijari. Ulale salama. Lakini uhakikishe unaenda kulala chumbani" "Sawa kaka" Ommy anataka kutoka jikoni lakini anasimama nakumuomba Sara aende kwanza chumbani kwake ndipo na yeye aondoke. Sara anafanya hivyo. Anaelekea chumbani kwake. Ndipo Ommy na yeye anaelekea chumbani kwake. Ommy anaingia chumbani kwake akijiimbia imbia huku yupo bize kujifuta maji kwa taulo na kujipaka mafuta. "Asubuhi aliamka, na kwenda kutafuta. Hakuna alichoshika, mdomoni kuweka. Ya Kariamaaa aaa, Ya maulana aaaaa. Ya Ratwif, Ewe Molaaa aaaaa.... Ali pita mama mmoja, Mfanya biashara eee. Pembezoni mwa barabara mwa Karima" Ommy akiendelea kuimba taratibu taratibu huku anajiweka sawa kwenye kioo. Kamera inatuonesha kiza kikitanda. Punde tunaona asubuhi kumepambazuka. Sara anakurupuka kitandani kwake moyo ukimwenda MBIO mithili ya MVUMO WA RADI. Anawahi fungua dirisha nafsi inagonga akili anajihisi kudata baada ya kuona kumepambazuka sana. Anawahi kutoka chumbani anatizama korido imesha dekiwa. Anawahi sebule iko safi. Anaelekea jikoni anamkuta Ommy analekebisha chakula cha asububi huku anaimba taratibu taratibu. "Nilimwambia asile, Ye alikula, Akavimba paja. Mtoto mzuri aliye zaaa. Na yule jamaaaa. Mwenye mahela. Akaniacha nanjaaaa. Kwenye mataaaa. Yeye akaniacha nalia na Mola. Ali wa leo nalia na Mola onaaa. Yule aliye kupa wewe, Ndiye kaninyima mimi. Na kama riziki anatowa yeye, Basi nikakosa mimi. Ila mola ndiye anaye toa, Tena kwazamu hatakama nipo nyuma, Nitapata lazima. Asile! ana maana yuleee. Mimi na yule tulifunga ndoaa" Ommy bado hajamuona Sara kama kaingia jikoni. Sara anajikuta kutabasamu kwa mara ya kwanza. Kitambo sana hajawahi kutabasamu. Ila leo tabasamu linajileta lenyewe. Kwanza tokana na nyimbo anayo iimba Ommy. Ni nyimbo tamu yenye akili na inayo eleweka sana tu. Alafu pili anamsaidia kufanya kazi. Sara anarudi nyuma taratibu il Ommy asigundue kama Sara kaingia jikoni humo. Sara anaelekea nje upesi kwenda kufanya usafi ulio salia. Anahakimisha anaanya haraka haraka sana. Akiwa bize anafanya usafi anakuja mama Maimuna akiwa haraka haraka kama mtu aliye koswa koswa na Bomu la Mbagara. "Lalalalalalalalaaaaa! Yaani wewe mtoto wewe mtoto!. Leo itakuwa ndio mwisho na mwanzo wa mimi kukuhitaji kwenye nyumba yangu. Yaaani unamuacha mgeni anapika chakula!?. Ten mtoto wa kuume ndiye anaingia jikoni wewe unazunguka zunguka nje kama tiala!?" "Mama nisamehe mama. Naenda haraka kupika" "Sitaki umeniudhi sana Sara. Kuanzia leo sikutaki...." Punde Ommy anatoka nje "Anti kulikoni!?" "Hamna kitu... Hahahahahaaaa.... hakuna kitu mwanangu. Nona ulikuwa unaandaa andaa chai?" "Ndiyo Anti. Kama kawaida yangu napenda kuandaa chakula mwenyewe. Au umesahau nilipokuwa mdogo?" "A! sijasahau. Lakini kwasasa tuna mfanyakazi sio kama mwanzoni ulikuwa ukinisaidia. Kwasasa usifanye hivyo huyu hapa ndio kazo zake zote hizo" "Sawa Anti. Lakini.... Napenda sana kupika mimi kuliko kupikiwa" "Basi sawa" Mama Maimuna akarudi ndani. Sara akamtizama Ommy Ommy akatabasam kidogo. Sara uchoyo wa tabasamu ukamshinda na yeye akagawa tabasamu kwa Ommy. Ommy akarejea ndani akimuacha Sara akitabasam. Sara akatoka eneo hilo akijizungusha zungusha kama tiala kweli. Anajikuta kidogo kuwa na nafuu ya moyo. Anajisemea kimoyo moyo. "Ahdante Muumba kwa kunisaidia sana kwa siku ya leo" 💜UKIITAKA STORI HII MWANZO MPAKA MWISHO NIFUATE whatsApp inbox no: 0689 248 566
Dokta Mwijaku😂😂😂
Show kam mambelee
ʜᴀᴛᴀʀ 🔥🔥