Goodluck Gozbert Ashusha Upako Tigo Fiesta Mwanza / Aandika Historia
Ойын-сауық
CHAKULA CHA KIROHO KATIKATI YA JUKWAA LA TIGO FIESTA
Kwa mara ya kwanza @goodluckgozbert ameweka historia katika jukwaa la #TigoFiesta2019.
Tazama namna alivyofanikiwa kushusha baraka na uwepo wa neema za Mungu kwa ndugu zetu wa Rock City Mwanza.
Пікірлер: 814
ipo njia ionekanayo machon pa mtu kuwa nisawa kumbe no njia ya upotevu kama umeona godlack anapotea like yako n mhimu
@rosejoseph5139
4 жыл бұрын
Keneth Japhet willy Paul wa. Kenya alianza hivihivi mwisho akarudi dunian mazima
@lazackbrown1645
4 жыл бұрын
Kapotelea wapi
@ivansanda187
4 жыл бұрын
Umechukua hatua ya kumuombea kwa mfano
@kenethjaphet8130
4 жыл бұрын
Lazack Brown tigo fiesta
@frolamwaalukamwaluka7302
4 жыл бұрын
Niseme tu kuimba ninjia tu yakufikisha ujumbe wa maneno ya mungu kwa watu lakini siyo kwamba wewe muimbaji ndiyo uko sahihi kwahiyo bora ufanye unachoona kinalipa kidunia, kwasababu unaweza usifanye na mbinguni ukapasikia tyu,soo muacheni apige helaaaa
Lazima zipingwe nyimbo za kidunia zinazomtukuza mwanadamu zikijifanya kuwa ni za Mungu. Hizi ni bongo fleva wala si gospels. Inasikitisha sana Shetani ameuteka ukristo. Wasabato pekee ndo wamebaki na nyimbo za kumtukuza Mungu mtakatifu. Hatutaki dance wala singeli tunataka injili yenye ujumbe wa wetu kutubu dhambi.
Mungu akubariki G wapo watakaofikir vibaya ila hapo umehubiri na sio kutafuta pesa ubarikiwe sana Mungu akubariki sana sanaaaa
Daaaah bwana yesu atuhurumie..... Wakristu wenzangu msisite kusema...huruma.... Nimejikuta natililisha machozi yenyekilio kikubwa kumuona mtumishi nae akiyavunja yakwake ndani yajukwaaaa..... Namuombea xana goodluck mungu asimpe chochote kibaya Bali ampatie hekima kama aliyopewa suleimani.... Kweli nimeamini ule msemo Hata mbuyu ulianza kama mchicha... Wakwisto tusisite kumuombea goodluck
@frolamwaalukamwaluka7302
4 жыл бұрын
Wewe umejiombea maana dhambi haiko moja mwancheni mwenzenu ajipigie helaaa
@lusekeloleonard314
4 жыл бұрын
Mbona no kawaida tu jaman, rose mhando na ile nyimbo yake shikilia uliona Yale mauno??
@saitakitalika7970
4 жыл бұрын
putteny deee gold Daah kweli maombi maana sio kwauimbaji huo jamani
@evanswinston5102
4 жыл бұрын
Mbona hujaongelea ushauri aliowapa was kutengeneza na MUNGU? #chuki2
@pendogikaro5888
4 жыл бұрын
Daaah yan ukiristo watu ndo wamekua wakiifanyia dhambi mungu waadhibu hawa
Ipo kazi kubwa sana ya kumwelewa Mungu japo tunajitahidi kujitoa kwenye mateka ya shetani lakini ukweli ni kwamba shetani ametutega mitego mingi sana ya kutukwamisha kumwelewa Mungu halisi aliyeziumba mbingu na nchi
@fadk2138
4 жыл бұрын
Haikua Kazi ya Mungu hiyo ila ilikuwa kazi ya mburudishaji kupitia nyimbo za Mungu japo kufanya vibaya
@chainbre275
4 жыл бұрын
Kbsa
@kimwagaismail7734
4 жыл бұрын
Kaka sjamuelewa huyu jamaa kiufp nko njia panda
@gfreyjames9306
4 жыл бұрын
Yes
@gilbertvalerian7252
4 жыл бұрын
Inahitaji neema ya Mungu sana kututoa kwenye mitego ya shetani. Dada yetu Rose naye alianza hivi hivi.. Mungu atusaidie tuu maana shetani anaitwa mkuu wa Ulimwengu huu Ila Yesu ni mkuu kuliko shetani anaweza kumaliza hiyo ubaya.. Siko na ubaya!!
Aliyeona jamaa kajiita mjumbe wa kristo wakati anazingua like yako hapa twende sawa
@sophiatohanisi6079
4 жыл бұрын
Mjumbe wa shetan huyu
Wanadamu kuna kitu tunatakiwa tukielewe kufikisha ujumbe wa Mungu kuna njia nyingi sana lengo ni kumfanya yule hadhira apate ujumbe haijarishi unacheza vipi,,, Wala kuimba umesimama kama askar yupo kwenye pared hy haimaniishi ndo ujumbe wako utapokelewa Sana,,,, congratulations kwako gudluck kwa namna unavyoufikisha ujumbe wa Mungu wanakosema na waseme tu
@yustinaminde1427
4 жыл бұрын
Unajua uongeacho au unasema tu?
@ibnahmad607
4 жыл бұрын
@@yustinaminde1427 Huyu jamaa nahisi hajui anachokionge, Mungu amsamehe tu.
@irisvistin633
4 жыл бұрын
@@ibnahmad607 umeonaee
@youngkid724
4 жыл бұрын
nmekuelewa broo
@youngkid724
4 жыл бұрын
blessup
Hongera SANA GOODLUCKY Mungu akupiganie sana, tambua Wewe unaimbia wenye dhambi waokoke na sio waliokoka wanaoenda mbinguni tayar, mi nakuelewa sana mzee
@clarashirima2951
4 жыл бұрын
Hiyo kwenda mbinguni kwa kukata mauno huko no kumsingizia MUNGU na kuopaka dhambi mafuta aimbe tu nyimbo za kidunia
Toka mwanzo sijawai kuskia chochote katika nyimbo zako wakati utafika na kuamua niwapi umesimama kama upo hapo kwa utukufu wa Yesu kristo Mungu aliye hai jina Lake litukuzwe ila kama upo Hapo kwa masrai yako jina LA Yesu kristo likufedheheshe
Heri kuwa vuguvugu kuliko kuwa vuguvugu na kuwa baridi......chagua hatua moja ya kufanya kazi na sio kumfananisha Mungu na mambo ya dunia 2018 ulikuwa 100% 2019 umekuwa 23% Hiyo rate sanaaaaaaaaaaaaa Mungu tusaidie
" Kama vp ianzishwe fiesta za waimbaji wa Gospel, but c mchanganyo, uo wa madhabau mbili tofauti...
mwaya broo unachotoa ni huduma ya bwana kati ya watenda maovu .big up sana ,sema tu watu hawachukuliagi manaani ujumbe uliopelekwa bali wanajali starehe .tenda wema kisha nenda zako wala shukurani na pongez usizitazame .edo boy hapo na kama umenipata tupia yako coment ,,,,,,,,,,,,,,,
MUNGU atusamehe sana. Kwa hivi sijui jmn!!
Kumbuka shetani ndiye alikuwa na kipawa chote cha uimbaji and He had all instruments in him na kazi yake ilikua kumwimbia mungu all styles zilitoka kwa mungu lazima tusirudishe kwa mungu.Good luck keep the fire burning and May God give you more energy
Nikiwa kama mkristu kutoka moyoni sijaipenda hii na Mungu akusamehe bure Gdluck
@rehemasistus4530
4 жыл бұрын
Kweli uko na ubaya bwana akubadirishe
Naitwa Nabii Mary Good luck big up songa mbele nakuombea kiuno ni cha Mungu nyimbo zote ni za Mungu Bongo fleava ni ya Mungu. Atarudisha shetani tu vipaji vyote hana chochote nakuombea
@perismoki1030
3 жыл бұрын
True
Kazi kweli kweli...... Majukwaa nayo yanatofautiana. Liko Jukwaa la Injli, Siasa, Mziki na Midahalo ya Kijamii (NGO), n.k. Kiuhalisia ni vigumu kuchanganya hayo Majukwaa. Maana kila jukwaa lina aina ya wafuasi wake.
Uko juuu baba poga kazi wanaokujadili siku za mwisho wataulizwa mbona injili ilihubiriwa kila mahali Goodluck aliimba kote mkasema kachanganikiwa Hamkumsikia Imeisha hiyo baba piga kaziiii
Hamuimbii Mungu hyo anatafuta tinge unaonyeshaje nguo ya ndan na ww unajiita mtumishi wa mungu
Safi sana Gosberth.... Injili imefika pia.... tutaelewana tu. Mungu akubariki sana.
Kwakwel mungu ni kiumbe cha ajabu sana ila. Atusamehe sana ,,, kwa hali hii jehanam is waiting for us,, no way out: ";';" Zekaria 1:3
Sas sehemu kama hizo huezi kumtuma ambwene mwasongwe,au bahati bukuku lakin alietumwa hapo nahisi anaendana na hadhira na ndo maana amesikilizwa,huezi kutuma mtu timamu kwenye kundi la wendawazimu lazima umte wanaeweza kumuelewa kidogo so nahisi inaweza ikawa sahihi Gozbert kua hapo!!!!!
@salmathkhamis3561
4 жыл бұрын
Nassor Njelikus haahahahaha
Kwa jina la yesu kristo ushindwe godlook una pepo kaka uponywe
Mungu amsamehe halijui alitendalo
Wengine tunaomba Mungu kila tupewe vpaj vya kumtukuza Mungu ktk roho na kwel halafu wezetu wengi wemebahatka kukitana na NEEMA ya Mungu lakn unakuja unafanya vitu tofaut kabisa,kumbuka kuna watu nyuma yako wanataka hiyo NEEMA ulio pewa ww ila ww naona umejisahau kukaa ktk zam yako uliopangiwa na Mungu
Iko njia ionekanayo ni sawa machoni pa mtu, lakini mwisho wake ni njia za mauti. Mithali 16:25.
@mosesmwailenge6749
4 жыл бұрын
Mh mwana wajoka
@johnfaustinechannel746
3 жыл бұрын
Lazima zipingwe nyimbo za kidunia zinazomtukuza mwanadamu zikijifanya kuwa ni za Mungu. Hizi ni bongo fleva wala si gospels. Inasikitisha sana Shetani ameuteka ukristo. Wasabato pekee ndo wamebaki na nyimbo za kumtukuza Mungu mtakatifu. Hatutaki dance wala singeli tunataka injili yenye ujumbe wa wetu kutubu dhambi.
Mimi nimtumkshi wa Mungu mwimbaji .....inaniuma sanaaaa hats sjui nnnseme..........ila kwa hiz comments....ameelewa kuwa Mungu hachezew wapo wasiomjua Mungu had na wao wanasema kakosea ...................sijui 2......da!! bora ungeimba umesimama ndo ingejulkana unaMtangaza Yesu kwel......lakn....kumbuka nuru na Giza havikai pamoja......ipo SKU utalipa ....kama hayo unayo fanya si mapenz ya Mungu ....Mungu hachezewi hivi ila anatuacha..............tubadirike nawengine tusweke ushabiki2 ....nihayo2
@sharifumniachi1864
4 жыл бұрын
Robert Jacobo me naomba unitajie kosa lake halafu jibu maswali yangu 1.ni nani ambaye anahitajika kupata burudani au neno? 2.unaamini kwamba alipotoka hapo wengine ndio wameanza na kufuatilia huo mziki? 3.yeye anatumia gharama kutengeneza nyimbo itarudi vipi hiyo gharama? 4.we unasema amekosea wewe umejiombea msamaha kwa makosa yako? 5.kumbe dini ina matabaka walevi hawaruhusiwa kuipata? 6.manabii walikuja kwa ajili ya waliopotea au waliosalama?
Ni Bora kuchagua moja kuwa mlokole au mdunia kuliko kuchanganya yote mawili ni hasara kubwa.Dunia waipenda na Mungu wampenda
Ni nzur ila so njema kwa a man praising God anakata kiuno daaah
Mungu akusamehe kwa ulichonifanya hapo mwanza. Umeonesha kilichoko ndani yako. Giza na Nuru haviwezi kukaa pamoja
Mungu amsaidie arudi kwenye mstari Mungu ni wa huruma hata ss tu a makosa yetu ,Ila adui ana mitego wamemtangazia dau kubwa akaingia kichwa kichwa
@mussaabdiel9797
4 жыл бұрын
Happiness Misanga kijana atafute ela kwanza
Mungu umeshamuacha hapo huna mungu, kaimbe tu bongo freva
Wooote mnao comment negative kuhusu huyu mtumishi wa Mungu kupitia uimbaji mnakosea sana kuna vitu nadhani mmesahau au ndo kujihesabia haki kuna wasumbua!,ina maana Yesu alipo ingia katika nyumba ya zakayo mfupialikosea sana si eti eeeh wacha Mungu?,kwa taarifa yenu Gospel inatakiwa iwafate watu mkisubiri watu ndo waifate mtakua mnazidi kukosea!.Mungu akubariki Goodluck endelea kupeleka injiri mbele!
Ohhh hiyoo saiz yako kweli @@gudluckgozbert fiesta baba kasema😅😅👍
yesu mwenyewe alikuja kwajili ya sisituliopotea,, piga kazi broo Mungu yupamoja nawe
@susanraphael5894
4 жыл бұрын
lkn tusihukumu tumwachie Mungu tu
Goodluck kama unataka kuwa moto na uwe moto na kama unataka kuwa baridi na uwe baridi lakini usiwe vuguvugu kwa kuwa utatapikwa. Amua moja kaka Yesu wetu hatangazwi kwa style hiyo bhana mbona mwanzo ulikuwa vizuri ati nani aliyekuloga wewe naumia kwasababu nakupenda kaka kwa sehemu kubwa umenibariki sana lakini unakoelekea siyo kabisa yaani unapotea kaka duuuh!
Hapo ni eneo sahihi kulitangaza neno la mungu kwa maana neno la mungu linahitaj wasio mjua Mungu na wala sio watakatifu,,Mungu alikuja kuwakomboa wenye dhambi na wala sio watakatifu,Yani wanaosema G kapotea Wao ndy wamepotea kwa maana mnadhani mungu anaangalia eneo la kazi! Neno la Mungu linatangazwa popote pale,, na kucheza kukata mauno sio shida,, wakati kwenye bibilia kuna watu walicheza mpaka nguo zikavulika,,Mungu anaangalia moyo wako
@theresiakayombo5985
4 жыл бұрын
upo sahihi alex, daud alicheza had nguo zikamvulia sasa nyie mnaoanglia mengne nakusema anakosea poleniiiiii mwenzenu anapona hapo
@yasintaisango9754
4 жыл бұрын
MUNGU Ni wa ustaalabu
@amlezitvonline5337
4 жыл бұрын
ALEX SEBASTIAN kumbe we uko mbali kwenye mamb ya kiroho mch wako anatakiwa afundshe kabisa
@aroundtheworld4173
4 жыл бұрын
Hapo ana hubiri ama anaburudisha? Unaweza kuweka ushuhuda ni watu wangapi waliokoka kwenye tamasha hilo la wazinzi na walevi? Acheni kumweka Mwenyezi Mungu kwenye mambo ya kishetani.
@priscamboya6422
4 жыл бұрын
@@justinebanigwa umenenaaaa
Mwanadamu akitaka kubadili MBWA hatakiwi kabisa aanze kuziiga tabia au kufanya matendo ya MBWA!!!!!!! Mana kwa kufanya hivyo yule MBWA hataona tofauti ya U-MBWA wake na Ubinadamu wetu!!!!! Mwenye ufahamu na afahamu!!!!!
Pole kijana umepotea kwakweli...Tafakari kwa kina..
Nimebarikiwa sana,ni Jambo ambalo haliku tarajiwa,Kama kungekueepo na nymb Kam hyo na kuwakumbusha wat watengeneze
Nmebarkiwa sana, nwachache sna wanaoweza kumtangaza kristo kwa kias hcho, Mungu akupe kibali zaidi, maadamu tu unajua nn unamaanisha
@joyceedward3324
4 жыл бұрын
Mmh
@rommierenardy8121
4 жыл бұрын
Joyce Edward nn
@joyceedward3324
4 жыл бұрын
@@rommierenardy8121 hamna kitu naguna tu huo uchezaji
Unajua nini Yesu alikuja duniani kuwaokoa waliopotea..kwenda kuimba pale nisawa na nifursa yakuwafikishia ujumbe wengi..tatizo ni pale kuna walioitwa na Mungy na waliojiita ...Hapo tumuachie Mungu tu sasa
🤛🤛🤛🤛🤛Asante kwa kuifanya siku yng ianze poa
@petermasawe7894
4 жыл бұрын
Wewe nawe utubu uwezi kuwa na siku nzuri kwa njia ya uovu ole wako wewe.....
Kapotea Sana godluck hana uwepo tena
barikiwa sana tunamtukuza mungu mahari popotee
Daa nimeamin pesa ndo shetani wa kwanza Duniani😢 Shetan ameweka dhambi za kimitego kwenye pesa😞 Mungu amsamehe Goodluck mana pesa imemzid ujanja, hakua na namna, Ukristo unazalilishwa na Dini saiv zimekua kama hazina maana tena, Nishukuru kua mwisho wa siku kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe Mungu Atusamehe
@johnmogella9798
4 жыл бұрын
Habari Mtaani kweli kbs umeongea point
@babalaujamaa7131
4 жыл бұрын
Fact
@alphokingmarthin5715
4 жыл бұрын
kabx
@bumimwankenja9064
4 жыл бұрын
Sawa, pengne ni kosa laknn japo siamini sana kama amekosea kwasababu biblia imesema kila kitu kifanyike kwa utukufu wa kristo, so mimi naona yuko sahihi kwasababu ameimba kwa utukufu wa mungu
@amanimariki4671
4 жыл бұрын
kiuno na Mungu vinahusiana vp. injili inahubiriwa kwa ambao hawajaipata bado. so yupo sahihi
Mungu anatujua tangu tumboni kwa mama zetu
@venancebarnabas4542
4 жыл бұрын
ESTHERGLORY WILLY kwakeli mungu yu mwema sanaa
Mungu akurudishe kwenye maadiri yake wanaoungana na mm kumuombea abadike twende sawa
😁😁 wew bro ni wamoto sana
Hii NDIO NDOMBOLO, KANYAGA KWA YESU.Big up sana Godluck
@happymaiko5121
4 жыл бұрын
🤣😂🤣🤣😂😂
@cyruskimei8546
4 жыл бұрын
Huwez changanya jina la yesu na BONGO FLEVA
@happymaiko5121
4 жыл бұрын
@@cyruskimei8546 asikasirike mkuu
Kama hizo ni nyimbo za Mungu dunia kwishaaaa
@youngkid724
4 жыл бұрын
mshamba hawez elewa
@gracelema4849
4 жыл бұрын
Usihukumu,coz kila mtu anamtazamo wake kuhusu Mungu anayemuabudu ,mambo ya Mungu ni personal issue na san imani ,if he thinks anaspread gospel n vema hao watu wanaitaj kuhubiriw coz tukitegemea kanisan awaj tunawafuata hukohuko mzikin.
@davidnchambi952
4 жыл бұрын
Mbarak Hassan
@sintasmarty4974
4 жыл бұрын
Kwendra dunia yako
@sagengejackson3623
4 жыл бұрын
Ha haaaaaaa , hakuna Mungu hapo, usanii mtupu
tunaoangalia uku tunasoma Comments tujuane hapa
@davidedward7281
4 жыл бұрын
This is port unit itumie mseme yesuu Vila hi yo huwapati ,wrote wafikiwe injili kwa namna yeyote
@faithunosyemwangoka.4254
4 жыл бұрын
😆😆😆😆
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Mama wee Goodluck anakata miuno kama hiyo😄
@hatamimnimempendabulejaman1596
4 жыл бұрын
Analepu tena Sema siku hizi Kuna hipapu ya yesu na lumba La yesu
@alextillya2473
4 жыл бұрын
Poa
Mbona amekatika sana jaman.. kama mziki wa kidunia mh
@estermwasumbi6526
4 жыл бұрын
upo sahihi kaka injili had kwenye kumbi za starehe lazm waokoke watu hapo
Ooooooooh my God anapoteaa uliyemtuma kabadili njiaaaa
ndugu yangu ulikuwa unamtumikia mungu bt now umekuwa mtumishi wa shetani kaa fikilia niabu pia unazalilisha dini nakama mchungaji wako yupo nibola ufutwe ushirika wako naona sifa zimekujaa ndugu yangu
@frankpascal1220
4 жыл бұрын
Manongi Chotile yan angekuwa mshirika wangu huyu nafukiza
Alietuaminisha kuwa ili uonekane mtumishi na umekubaliwa na mungu na ni mnyenyekevu machoni pa watu basi kila kitu kifanyie kwenye nyumba za ibada,MUNGU AMPUNGUZIE ADHABU YA KABULI
Aise Mtumishi wa Mungu umepotea kabisa kwenda kushiriki na mambo ya walimwengu ni shida tupu hapo
Nzuriii sana brother
Kanyaga twende Gosberth... Mungu yuko pamoja nawe.
hapa Mdogo wangu memkosea sana yesu wew ninuru
YESU HAJAMJUA BADO.
Dunia kungia Kanisani uwezi kuwa na Roho Wa Mungu ukaitwa fiesta ukaenda nisawa na Yuda aliye msaliti Yesu kwa pesa
@yusuphkayoka5452
4 жыл бұрын
Walioko fiesta ni viumbe wa Mungu, na kuingia fiesta ni Jambo jema kabisa kwani ukiwa mkristo huwezi hudhulia msiba wa kiislamu
Mungu atusaidie dunia imeisha injili imeingiliwa
Tishaa sanaa brother
@samsonmalya2063
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana bro
Nakukubari sana endelea kutangaza enjiri nakumchezea Mungu mtumikie ubado kijana wanaosema umefuata pesa endelea kuwaombea Mungu awatolee mdudu alie waingia maana kunawengine hata mlango wakanisa hawaujui ila kupitia ww huko Mwanza wameza kuskia Nyimbo za kumsifu Mungu
Tngeneza Mbona yy anaharibu mlegezo kama wote.....hizo njaa tu Goodluck.....na upo ktk mporomoko usioujua
@skolasewando7265
4 жыл бұрын
Hata mm nimeona mlegezo jamanii
@neemajohn1973
4 жыл бұрын
Mungu wa huruma naomba unirehemu Mimi nisije Sena kitu nikawa nakukosea
@ezekielissaya4216
4 жыл бұрын
Sikiliza godluck kuna njia mbili ya uzima na mautii sasa chagua njia sahihi kama ni ya uzima au yamautii mungu na kama unamtumikia mungu mtumikie lakinii kama utatumikia udunia mungu akudaidie
Duu kweli Bwana akubadilishe na aina ya uchezaji
Love u so much n UA music too am UA number one fun from Kenya UA dances UA choice
Kabisa hauezi kushindana na mwenye kinywa amen
@user-wk5kv1xs4u
4 ай бұрын
Kweliii nakwambia
daaah hizi ndizo nyakati za mwisho ulipo simama cz waimbaji Mungu awasaidie sana Mungu wetu niwatalatibu
Kudadadekii mijituuu haitaki kupokea miujizaa ya munguu imekodooa mimachooo tyu
Wanadamu hatuwezi jaji only God juu hata zama zile walishiriki Kula meza moja na wasio haki na hakuna aliekamilika 100%
Mungu wetu ni wa utaratibu.. Inategemeana na injil inahubiriwa na watu wapo na hali gan si kihivo Mungu atuhurumie
Nina raha leo naskia vinanda Nimekubaliiiiii Kristo anahubiriwa kwa njia Yeyote
Kazi nzuri kijana
Good work great guy, en thank you for being proud of ur faith to stage up in search an event and minister the gospel through ur art. To all fast to judge if u are clean then throw the stones, remember Christ came for the lost en to reach them u have to go where u can find them👊
@jacobezekielhoya1626
4 жыл бұрын
ur right
@evangelistdastandeacon375
4 жыл бұрын
We can preach by sinning
@unpredictablegjb100
4 жыл бұрын
@@evangelistdastandeacon375 Who are we to point fingers!?
Jamaa yuko vizuri +dancers wameuwa
Kazi nzuri pandeni milimani na mabondeni mkawavute watu,hata mfalme daudi alicheza mpaka nguo zikamvuka
Tumeambiwa tutengeneze jaman....ata Yesu alipopelekewa mwanamke aliyefumaniwa torat ilisema afe lakn kwaajil ya Yesu hakufa akasema anayejiona ajawaifanya kosa awe wa kwanza kumpoiga jiwe ila hakusogea ata mmoja .Sikiliza ujumbe mengne mwachie aliyeumba wewe humjui
@ephraimandrew8649
4 жыл бұрын
aphen Charlz Umeongee point sana
@danielhezron2693
4 жыл бұрын
aphen Charlz Mh Hivi wewe unajua Biblia kweli umesoma vizuri
@aphencharlz1952
4 жыл бұрын
Daniel Hezron naielewa ndio ,,nn shida
@vaillethboniphace5487
4 жыл бұрын
Mung amsamee bure
@rechomasawe6131
4 жыл бұрын
aphen Charlz yaan katika watu wote nliowaelewa ni wew tu
Your the best singer
Mungu wangu 😢 dunia kwisha
Kwa stairi hii yesu awezi kurudi kamwe.
@glorymlay9530
4 жыл бұрын
Hahaha why
Mungu ajuaye ndani yetu atahukumu,
mnadhalilisha ukristo bora WASAFIIIIIFESTIVALLLL@Diamond platnumz
Honger as8limia zote
watenda dhambi wanavunga kumchukia ujumbe umefika popote kambi goodluck god bless you
@stellamashinda1330
4 жыл бұрын
True
Nakupendaga sana mungu akubark
Mungu atusamehe sana mana atujui wapi tunakosea na wap tunapatia
Oyooooooooo!!! Huku ndiyo kuvamiwa kwa gospel maana Masai kaingia disko
He is of the world, shetani alikuwa muongo toka mwanzoni sisikilizi tena nyimbo zake chemichemi moja haiwezi kutoa maji matamu na machungu it can never be happening
Yani ukisikiza nyimbo za goodluck zazamani unaingia kweli kweny imani😭😭 ila saiz duuuuh din sijui bongofolv maan sii elew kwakweli 🙉🙉
@christopherdavid7660
4 жыл бұрын
Hauifaham iman ya kikristo,yule bongo fleva
@lydiakatunguti6628
4 жыл бұрын
Kwa kwel MUNGU amsaidiee2
@hellenpascal9605
4 жыл бұрын
Chuki
@christinemaneno5518
4 жыл бұрын
Hata shusho pia ako njia hii hii so waimbaji wetu watushangaza
@ayubuluka5740
4 жыл бұрын
Nawe umeona kweli
Mungu atusamehe goodluck na embasha wanatuzalilisha wakristo
Kwakweli hapa goodluck umemkosea mungu na Wa kristor wote kwa ujumla KATUBU
Ni kweli kabisa Gospel ni habari njema kwa wote ,sishangai kwa nini kaenda kuimba hapo, kinachosahangaza na kuhuzunisha ni namna alivyofanya kufikisha ujumbe kama kweli yupo kumwakilisha Mungu angekuwa katika madili ya ki kristo kuanzia kuvaa,dancing styles, na uimbaji wake apo tungelewa kuwa kaenda kuhubiri, kwa namna alivyofanya apana huko ni kufuatisha namna ya Dunia hii!!
Mung jitukuzeee mwenyw maan uy MTU naon anajichangy San mar mot mar barid km mind bwan kha
Mcpowapita mafarisayo hamtauona ufalme wa Mungu goodluck nakushaur acha kufanya mambo ya this world mbona zaman hukuwa hvy it's not too late CHANGE
Duuuh kaziii kwakweeeellll
Brother unajua sanaa
injiri itahubiliwa kila mahari paka dunia waseme Yesu bwana
@joyceedward3324
4 жыл бұрын
Hiyo nayo injil?
@davidedward7281
4 жыл бұрын
,mekazana miuno miuno hivi hamuoni gospor za ulaya wanavyocheza mbele za mungu du waafrica bana
Kweli kuna watumishi wa mungu na wasanii wa mungu