ALIKIBA Alichomfanyia RUGE Leo Kwenye Jukwaa La TIGO FIESTA | SHOW YAKE NI HISTORIA

Ойын-сауық

ALIKIBA Alichomfanyia RUGE Leo Kwenye Jukwaa La TIGO FIESTA | SHOW YAKE NI HISTORIA

Пікірлер: 1 100

  • @fredymgina9732
    @fredymgina97324 жыл бұрын

    Alikiba ni moja tu dunia nzimaaa✊🔆 team kiba tujivunie

  • @iqraabuhet6588

    @iqraabuhet6588

    4 жыл бұрын

    👑 👑 😍

  • @prosperitymaarifa6278

    @prosperitymaarifa6278

    4 жыл бұрын

    Fredy Mgina mmmmmh

  • @saidjuma9782

    @saidjuma9782

    4 жыл бұрын

    🌹🌹🌹🔥🔥💕🤔

  • @zainabubakari3630

    @zainabubakari3630

    4 жыл бұрын

    Safi kiba ni mmoja tu

  • @happycharls8961

    @happycharls8961

    4 жыл бұрын

    🥰

  • @omarymatandika8386
    @omarymatandika83864 жыл бұрын

    Hamken hamken njooni hoku muje kuangalia mahajabu ya funga mwaka hambayo hayajawai tokea kwa mfalme Wetu WA mzik TANZANIA Sema kiba juuuuuuuuuuuuuu!!!! Sema kiba hoyoooooooooo!!!! Gonga like hapa

  • @hassanlogu8972
    @hassanlogu89724 жыл бұрын

    Kiba wasn't my favorite after watching this live performance I think this guy is really talented#salute you king Kiba from +254#.......

  • @elizabethnorbet9339
    @elizabethnorbet93394 жыл бұрын

    Naomba tuelewane kidogo wanavyosema msaniii anajua ndy huyu na wanvyosema muziki wa bongo fleva basi kichwa cha kiba is everything nampendaaa hadi naumwa .........kuimba anajua afu msaatarabu kingkiba ......kingmusic kingforeverything kingTanzania and more moreeee blessed

  • @halfahalfa9728
    @halfahalfa97284 жыл бұрын

    Tuache unafki hili jamaa jamani linajua kwakweli hakuna mtu yeyote anayeweza kumzuia ❤❤🔥🔥

  • @mathayomkumbuchile1569
    @mathayomkumbuchile15694 жыл бұрын

    You remind me about Ruge a great man of our time. RIP brother

  • @mishaelmisana1973

    @mishaelmisana1973

    4 жыл бұрын

    Saruti

  • @newgreeneaglestudio3089
    @newgreeneaglestudio30894 жыл бұрын

    Masha Allah endelea more because you’re the oldest of tanzanian musicians

  • @mayaaymaan5980

    @mayaaymaan5980

    4 жыл бұрын

    Hahahahaaaaaa umeona he's the only one old still trying loool diamond kiboko yke

  • @maggiek.mwamburi3086
    @maggiek.mwamburi30864 жыл бұрын

    King kiba will always be my best forever,,mob Love outta Kenya 💞❤️

  • @bazilchiduo5971
    @bazilchiduo59714 жыл бұрын

    Eee bwana hizi kwel levels baby. Thc is wat we've been waiting for. To be remembered RUGE. U gave us light!!!!!

  • @princessemmy2347
    @princessemmy23474 жыл бұрын

    Nikimpenda naambiwa mshamba acha tu niwe mshamba king kiba Love you kiba mfalme wa wanamuziki sio wa wasanii 👑👑👑👑👑👑👑

  • @sophiamtuta6121

    @sophiamtuta6121

    4 жыл бұрын

    Mimi mshamba mwenzako nampenda saaaaaana

  • @amosymwema4844
    @amosymwema48444 жыл бұрын

    Huyu kweli king wa mziki mzuri aseee salute

  • @fomboboy7236
    @fomboboy72364 жыл бұрын

    cijui niseme nn jaman huyu kijana mm nampendaga yan ananilazimisha nimpenda nakukubali xana king KIBA

  • @nelsonnmwaipaja6980

    @nelsonnmwaipaja6980

    4 жыл бұрын

    Yeah baba

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley61244 жыл бұрын

    Mwanamuziki wa live band hongera kingkiba ❤🔥😂

  • @enockdaniel290
    @enockdaniel2904 жыл бұрын

    Tanzania tunaye mwanamziki mmoja tu wa kuimba live band nipe like moja kwa king

  • @bensonkalson3157
    @bensonkalson31574 жыл бұрын

    Dah ametisha sana king kiba yaaaaaap ye baba

  • @hawamakau1027
    @hawamakau10274 жыл бұрын

    Jamani 👑 👑 kiba nisaidieni kunipa like kwaajili ya mfalme wa music💕💕💕💕💕💕

  • @asheryzomwandambo317

    @asheryzomwandambo317

    4 жыл бұрын

    Sana

  • @lizmass6866
    @lizmass68664 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni wire soma hiyo ni live band watu wangu daah! Hatari. King kiba na flavour ndio wasanii nawakubali Africa they are original

  • @jumamhando4546
    @jumamhando45464 жыл бұрын

    Kam unakubali huyu jamaa anajua had anaboa gong like twende xaw

  • @samirasaid7640
    @samirasaid76404 жыл бұрын

    Niliwambia walio sema ooh kiba ajui ndo wamekua wa kwanza hahahahahaaa...mwenye sifa apewe tu king kiba 4life

  • @othmandaddy7084
    @othmandaddy70844 жыл бұрын

    km mnakubali wekeni like zenu hp kwa king kiba

  • @abeidmayanga809

    @abeidmayanga809

    4 жыл бұрын

    Kinoma

  • @rayanalhabsi8029

    @rayanalhabsi8029

    4 жыл бұрын

    kiba juuuu uuuuuuuuuu

  • @ibranoahngidange5909
    @ibranoahngidange59094 жыл бұрын

    Huuu ndio mziki ambao sijawahi kuuona tanzania nyimbo zimepigwa live paka raha unapata uhondo wa muziki halisi hongereni sana tigo fiesta mmepiga hatua kubwa

  • @keagleeagle821

    @keagleeagle821

    4 жыл бұрын

    Mbona upo sama sema tumeudharau.Music wa bendi bndio music halisi na live kabisa

  • @hawaynatimam982

    @hawaynatimam982

    4 жыл бұрын

    Seme wewe nikisema mm nitaambiwa nnachuki

  • @hadijahalidi1375
    @hadijahalidi13754 жыл бұрын

    Sijutii kukupenda mfalme..mungu akupe afya na umri zaid tuweze kujivunia uwepo wako sis tunaokupenda

  • @wilbertpeter3147
    @wilbertpeter31474 жыл бұрын

    King kiba ndio mufalume wa misc kaka unawezaa kama unamukumbali kba weka like hapo wapenz was kiba

  • @timezonlinemedia2665
    @timezonlinemedia26654 жыл бұрын

    Jamani hii ni LIVE PERFORMANCE!!!!!! Na huyu ndio MFALME!!!!

  • @abbatv5939
    @abbatv59394 жыл бұрын

    Team kiba like yako hapaaaaaaa muhimu tujuane mapemaaaaaaa

  • @hamadisalumhamadisalum1645

    @hamadisalumhamadisalum1645

    4 жыл бұрын

    Sana

  • @agaaah6697
    @agaaah66974 жыл бұрын

    Mimi nimeshindwa kuingia ndani akuna pa kukanyaga siku nyngn chukueni uwanja mkubwa jmn akuna kama FIESTA mpo juuu

  • @shanikhai0769
    @shanikhai07694 жыл бұрын

    Huyu mtu ni fireeee Ali mayai king him self Naombeni likes zangu jaman

  • @emmanuelbura7506

    @emmanuelbura7506

    4 жыл бұрын

    Shanira Mohamed ametisha

  • @shanikhai0769

    @shanikhai0769

    4 жыл бұрын

    Mnoooo aseee

  • @abeidmayanga809

    @abeidmayanga809

    4 жыл бұрын

    Kibakuli nishidaa mjini

  • @rankokotransport9419

    @rankokotransport9419

    4 жыл бұрын

    hakuna anaemuweza alli kiba tz acheni ubishani huyo mtu ni balaaaa frm south africa

  • @shanikhai0769

    @shanikhai0769

    4 жыл бұрын

    Kabisa kipusa ni pasua kichwa jmn

  • @danochieng1910
    @danochieng19104 жыл бұрын

    A true definition of an artist 😎😎performs with a live band #Kibah is my King

  • @moha9043
    @moha90434 жыл бұрын

    Termkiba@Ruge for life#❤❤🇰🇪🇸🇦🇰🇪🇸🇦👍🎼

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz15734 жыл бұрын

    Nataka like 45 mil ya tz kwa #Kingkiba

  • @junemuchiri609
    @junemuchiri6094 жыл бұрын

    Hii imenifanya niskie kulia japo Niko Nairobi,Kiba barikiwa Kwa kumkumbuka alowashika mikono wasanii wa tz wakiwa wachanga👏👏👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏,Kiba is King of Live Performance

  • @Prino17
    @Prino174 жыл бұрын

    Hiii ni shoooooooooooo,kiba tisha sanaaaaaaa,this is the meaning of perfomance

  • @gambonmgaya1286
    @gambonmgaya12864 жыл бұрын

    Alkiba kiboko yao. 🔥🔥🔥

  • @azizahabdalla2338
    @azizahabdalla23384 жыл бұрын

    Yaani Ali Salehe Kiba ni zaidi ya yoyote💖💖💖💖💖💖💖💖

  • @mussakhatibu2808
    @mussakhatibu28084 жыл бұрын

    Nimefurahi kuona Upande wa Pili umetuliza mishono yao... Like za kutosha kama unamkubali KING KIBA

  • @actionmovies4646
    @actionmovies46464 жыл бұрын

    Like za Kutosha kwa Dedication song to Ruge Mtahaba..... Tutakukumbuka DAIMA RUGE.

  • @kevrealgaucho7892
    @kevrealgaucho78924 жыл бұрын

    Kiba For real all the way from Kenya🇰🇪...Give me Likes

  • @pwoka5208
    @pwoka52084 жыл бұрын

    Wanamziki wachache wanauwezo kama wa Kiba kupiga live shows usikie vocals zao... Kipusa Kiba the King Yeee Baba... 💣💥🔥 wa kuiga lazima wachezewe backup coz wanasahau lyrics coz ngoma si ni wasanii wa kuiga tu...

  • @moumymullah8799
    @moumymullah87994 жыл бұрын

    For real kiba ni msanii anaeweza kupiga live band kuliko woteeeeee kwa wasanii wa kiume... Lov yuh king ....❤❤❤

  • @elishaferuzi5230
    @elishaferuzi52304 жыл бұрын

    From 🇺🇸🇺🇸🇺🇸 Kiba ndie king wa live performance East African nzima 👌

  • @ismailinusso1544
    @ismailinusso15444 жыл бұрын

    Iam from mozambique King kiba

  • @samcharzy4657
    @samcharzy46574 жыл бұрын

    Show za live ndio huwa zinafanywa nimtambue msanii na mwanamuziki, kiba is a king pure talent artist, nandy kabolonga sijamuelewa kazidiwa mpaka na mimi Mars...!!

  • @majidkisula84
    @majidkisula844 жыл бұрын

    Anaejua huwa mkia wala haionyeshi na kujiskia ila wanaomjua wanajua kua anajua all the best king of music tz much respect

  • @malbykidy6864
    @malbykidy68644 жыл бұрын

    Ukiona watu wamekaa kimya ujue wapo makini wanasikiliza kwa umakin..King 👑 kiba ni mwanamziki asee i respect unachofanya yeee baba

  • @tulisanga2023
    @tulisanga20234 жыл бұрын

    Huyu jmaa cio msanii ni mwanamziki tujue kutofautisha msanii na mwanamziki huyu nimwanamziki cio msanii saruti kiba unajua saana big up

  • @marymonjemghalu9362

    @marymonjemghalu9362

    4 жыл бұрын

    Yes hapo sina shaka king kiba mfalume wa muziki mziki wake uko makini sana hata siwezi mlinganisha na huyo mtoto wa simba ukweli upo wazi jamani tusiwe mashabiki wa unafiki na kiki

  • @veronicadaniel1122

    @veronicadaniel1122

    4 жыл бұрын

    Tuli Sanga Yaani mimi sauti jamani kwani huwa anakunywa mini❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤💓❤💓❤❤💓💓💓💓💓💓

  • @tulisanga2023

    @tulisanga2023

    4 жыл бұрын

    @@veronicadaniel1122 ndio mana anaitwa mwanamziki cio msanii hahaha namwita hivo kwa hishima aliyo nayo kifupi kwakila kitu kiba anafaa kuitwa mwanamziki

  • @nelsonnmwaipaja6980

    @nelsonnmwaipaja6980

    4 жыл бұрын

    yooooooo

  • @joshuajoseph44

    @joshuajoseph44

    4 жыл бұрын

    Njoo

  • @maryanahmedali9059
    @maryanahmedali90594 жыл бұрын

    As far as I now music its haram subuhanallah but as human being Ali kiba hes one of the best Muslim brother may Allah guide you to the Right path may Allah increase your imaan brother and be among the good people in Janatul fardowsa I will definitely advise you to stop all this because I really care for you brother use you voice buy reading Quran Karim I have full imaan inshaa Allah you will definitely change for the best

  • @diggermnyama8427

    @diggermnyama8427

    4 жыл бұрын

    Am argue wth you guy

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga8094 жыл бұрын

    Daaaah huyu jama nimnyama sanaa hiyo live bandi sasa mmmmh now I believe your the king of music Tz

  • @omaniallybakari2372
    @omaniallybakari23724 жыл бұрын

    Asante clouds KWA show Kali ya live band kwan hapo ndo utajua uwezo wa msanii ila king anajua hadi anakela love you so much mfalme

  • @neemapaul8559
    @neemapaul85594 жыл бұрын

    Ama kweli mungu aliuumba watu Wenye hofu yamungu nawasio nahofu yamungu huyu kiba anahofu yamungu na anajielewa nandomana anapendwa nakila mtu hana mdomo wakuropoka yaani Yuko kiubinadamu zaidi nakupenda buree kaka mungu akupe maisha marefu nayakumpendaza mungu Usije ukabadirka ukawa kama Domo kupata pesa zaharaka kukamfanya awadharau hata aliowakuta wakiwa tayari wanapesaa

  • @athumanhusen4558

    @athumanhusen4558

    4 жыл бұрын

    Hofu ya mungu?kutomba watoto wa miaka 13

  • @santodelove4351

    @santodelove4351

    4 жыл бұрын

    @@athumanhusen4558 ulikuwepo muogope Mungu kusema usivyokuwa na ushahidi navyo

  • @kassimngohengo3281

    @kassimngohengo3281

    4 жыл бұрын

    Hofu ya mungu 😎😎😎

  • @bahatimpilly5302

    @bahatimpilly5302

    4 жыл бұрын

    Hofu ya mungu anatangaza dini uyo au anaimba injil

  • @behumbel1419

    @behumbel1419

    4 жыл бұрын

    @@athumanhusen4558 mwanang we aujtambui then usirudie ku comnt shit coz one day itakuja kukukost ONYO usirudie tena

  • @priscafrancis6684
    @priscafrancis66844 жыл бұрын

    Alikiba the king Mungu wambinguni amuweke miaka mingi nakumwongezea utashi kwanza anahofu ya Mungu haimbi matusi ukweli huyu kaka ajua jamani hata kama palipo na ukweli natuusemeni ukweli long live@ali k👑👑👑💓💓💓

  • @susanruo8087
    @susanruo80874 жыл бұрын

    Big up fiesta,miaka 20 kwenye game sio mchezo . Thenx King Kiba for showing up, it was lit 🔥 🔥 🔥

  • @lillianbarongo2807
    @lillianbarongo28074 жыл бұрын

    Safi sana Kiba kumkumbuka Ruge, unakumbuka na uenzi waliokushika mkono. Utabarikiwa Daima. RIP Ruge!

  • @georgepetermfalme4600
    @georgepetermfalme46004 жыл бұрын

    King kiba nimeipenda hii show yako ya historia Gonga like zakushato kama alikiba Ni kijana wa kitanzania

  • @lukizapetro2042
    @lukizapetro20424 жыл бұрын

    Kwel we king of the stage yaan achna na mond wa kuruka ruka tu kuna mda watu tunataka mziki fresh congratulations king kiba,

  • @akibarahamadi5058

    @akibarahamadi5058

    4 жыл бұрын

    uko kiwelele kweli unawez kumshindanish msani wa africa diamond platnumz na ayo mavi yenu

  • @sanurymkangala3679

    @sanurymkangala3679

    4 жыл бұрын

    Wekuma mondi atabaki kua mondi bongo Hana wakupingana nae atakama huoni vitendo pia hujui mpuuz

  • @mr_ogc6233

    @mr_ogc6233

    4 жыл бұрын

    Lukiza Petro 🤣

  • @bcozhenry2698

    @bcozhenry2698

    4 жыл бұрын

    Watu walikuwa na mzuka badala aukoleze, amewakata stimu... Platinum akishambulia stage muzuka mwanzo mwisho...

  • @dianabana7063

    @dianabana7063

    4 жыл бұрын

    @@sanurymkangala3679 ni baba ako mond tako ww,anaweza kupiga live kama hiyo fara ww

  • @velmaagwona1945
    @velmaagwona19454 жыл бұрын

    Wow I love this, thank you for remembering RUGE kwa kweli alikua jasiri

  • @veronicadaniel1122
    @veronicadaniel11224 жыл бұрын

    Yaani sauti ilichujiwa tumboni jamani Hongera mamakiba kutuzalia king wa mziki💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜

  • @doristemba5443
    @doristemba54434 жыл бұрын

    I love you Mungu akupe maisha marefu kaka we love you sanaaa hautoi nyimbo kwa kukurupuka Mungu akujalie afya kila iitwapo leo na akuepush kil mabya wakusemeayo uzid kufanikiwa king

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah70834 жыл бұрын

    Hivi Ali kaba ulitengemea shangwe kama hili wana dar hongera kwa upendo

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    4 жыл бұрын

    ALI HAEZI TEGEMEA MANA MPANGA RIZIKI NI MUNGU PEKEE SI BINADAMU

  • @marthakambona4809

    @marthakambona4809

    4 жыл бұрын

    Nikuambiyeni kitu kiba na mond ni kama Bob wine na chameleon , Bob wine kipenzi cha waganda na muziki wake ni ndani ya uganda wakati chameleon alikuwa anapendwa east Africa na Africa kwa ujumla mwisho wasiku wote matajili

  • @mwabwagizojaytummumwabwagi7182

    @mwabwagizojaytummumwabwagi7182

    4 жыл бұрын

    @@marthakambona4809 hapo umesema

  • @beatricekamenge3117
    @beatricekamenge31174 жыл бұрын

    Wap kiba oyooo team kiba like twende sawa

  • @beatricekamenge3117

    @beatricekamenge3117

    4 жыл бұрын

    Ye baba

  • @aishaabdallah7081

    @aishaabdallah7081

    4 жыл бұрын

    Tm kiba.from oman😅😅😅😅

  • @daudintambala3896
    @daudintambala38964 жыл бұрын

    God bless you king of Bongo freva

  • @djb2kzer0
    @djb2kzer04 жыл бұрын

    Alafu utasikia ooh ooh Kiba ajuwi we Matako nini ivi kiBongo Flava nani anae juwa ku perform live Sauti Is the same ... Kiba is kiba and he ll be a King always Like if ur a fans of #kingkiba 👊🏾 all the way In Canada 🇨🇦👌🏾

  • @geofreybahema5118

    @geofreybahema5118

    4 жыл бұрын

    So wew unaona hyo ndo live au ujui live is all about vibes from artist to the crowd

  • @qeensalmaty5557

    @qeensalmaty5557

    4 жыл бұрын

    iindo live

  • @djb2kzer0

    @djb2kzer0

    4 жыл бұрын

    Geofrey Bahema au ww ndo u don’t know how the artist performs live It mean not playback Vibes isn’t nothing DadeQ 🖕🏾

  • @AdAhmed-cy7ii

    @AdAhmed-cy7ii

    4 жыл бұрын

    @@geofreybahema5118 acha ushamba hii live anaimba mwenyewe bila biti

  • @djb2kzer0

    @djb2kzer0

    4 жыл бұрын

    A2017d Ahmed sio freestyle Freestyle ndo inaibwa bila beat Akili zenu mbovu kama kaka domo 🖕🏾🖕🏾🖕🏾

  • @manga255
    @manga2554 жыл бұрын

    Kama unamkubari king kiba gonga like🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @rachelpeter5050

    @rachelpeter5050

    4 жыл бұрын

    Rockstars

  • @jedrampole2513

    @jedrampole2513

    4 жыл бұрын

    Fire

  • @yosamasamwely2380

    @yosamasamwely2380

    4 жыл бұрын

    Cmba nomaa sana

  • @rayanalhabsi8029

    @rayanalhabsi8029

    4 жыл бұрын

    watu nyomiii

  • @stevewanga957
    @stevewanga9574 жыл бұрын

    Kweli huyu ni king.. Wasanii wengi ku perform live kunawashinda

  • @asheryzomwandambo317

    @asheryzomwandambo317

    4 жыл бұрын

    Vzr

  • @aishaomary7384
    @aishaomary73844 жыл бұрын

    R.i.p Ruge uligusa wengi kamwe hutosahaulika

  • @shedyjr3227
    @shedyjr32274 жыл бұрын

    Hey fans wa live band kama hii ya mfalume wa mziki bongoo.. badili hako kamkono kuwa blue 👇🏽👇🏽

  • @brysonngulo5897
    @brysonngulo58974 жыл бұрын

    Kiba is King , very talented guy ! Salute to Kings music. Jamaa halazimishi game Kama we wale wapumbavu wengine.

  • @nunuuali5316
    @nunuuali53164 жыл бұрын

    Kiba umenitoa machozi Jama, Ruge amefanya wengi saa hizi wanapata kula na jeuri. RIP Ruge!!! Yebaaaaaaaaaaaaaaaa King kibaaaaaaaaa💪

  • @khadijamzee2739

    @khadijamzee2739

    4 жыл бұрын

    Tuko wengi

  • @pinoymovie2406
    @pinoymovie24064 жыл бұрын

    Hili jamaaa lina jua mpka kero 👑 👑 kama ww umefurahia show gonga likes tujuanee ...

  • @mamuumamu6558

    @mamuumamu6558

    4 жыл бұрын

    Ht c juiii niseme nin khs hy kiumbe ni upendo ❤❤tyuuùu kwako king...KIBA👑 ........mungu akutangulieee kwa kila hatuaaa👣..👏👏👏

  • @ummytv5164
    @ummytv51644 жыл бұрын

    Mfalmeeeee umenikosha moyo from #Burundi🇧🇮 ❤❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @asiajuma8330
    @asiajuma83304 жыл бұрын

    Wooow jamani huyu kaka nampenda jamani na alichonifurahisha zaid leo live band ❤🔥

  • @kikurundoole8454
    @kikurundoole84544 жыл бұрын

    That's very nice performance

  • @itsgracie6349

    @itsgracie6349

    4 жыл бұрын

    Love love sanaaaaa kingkiba

  • @zainabubakari3630
    @zainabubakari36304 жыл бұрын

    Km umeona kiba alichokifanya nipe like zangu

  • @jeanmikiko9236
    @jeanmikiko92364 жыл бұрын

    Safi sana bro👏👏

  • @yasinomary9975
    @yasinomary99754 жыл бұрын

    Show live king kiba🔥🔥💥💥💥 umetisha sana

  • @ikrammahonda4566
    @ikrammahonda45664 жыл бұрын

    Mwanaume asiyoongea Sana twakupenda na kukuombea uishi miaka mingi love u kibaaa

  • @aishakassim7037
    @aishakassim70374 жыл бұрын

    What a wonderful show with life band love you king 👑 Kiba from kenya 🇰🇪

  • @yustinrockboy4091
    @yustinrockboy40914 жыл бұрын

    Dah kwel kiba mwanamzki Fire 🔥🔥🔥yebababah

  • @nelsonngemera9832
    @nelsonngemera98324 жыл бұрын

    Kweli we ni King na umemtendea haki jasiri muongoza njia make kuna wengne wanaangalia mabaya machache tu wanasahau mazuri mengi. Bigup mfalme Kiba

  • @rajabulipongo133
    @rajabulipongo1334 жыл бұрын

    King music for life

  • @khamicholo116
    @khamicholo1164 жыл бұрын

    King Kiba atabaki kuwa Mfalme

  • @abeidmayanga809

    @abeidmayanga809

    4 жыл бұрын

    Haswaaa

  • @husseinbhatia434
    @husseinbhatia4344 жыл бұрын

    Kinanda wakat shoo inaanza kimenikosha sana ungeimbia tena nyimbo yahuzuni hiv boss king

  • @jasminyiddysulaiman9807
    @jasminyiddysulaiman98074 жыл бұрын

    Atar atar atareeeee...mo fireeeeeeeeeeeee

  • @tumainimnenga6545
    @tumainimnenga65454 жыл бұрын

    Nimesoma comment nimeridhika sana nilichotegemea ndicho daaaaah congraturations kiba #kiba4life

  • @jacobmazziwajr6221
    @jacobmazziwajr62214 жыл бұрын

    Kingkiba

  • @alextanda7307
    @alextanda73074 жыл бұрын

    Noma sana

  • @siaelgerald31
    @siaelgerald314 жыл бұрын

    Kibaaaa ni motoo wa kuotea mbal aisee.......gonga like yako hapa kama unaamin hilo.

  • @rehemermlander6731
    @rehemermlander67314 жыл бұрын

    Sasa unae waza kumfananixha kiba na harmonize poleeee hahahaahhahhhahh kiba ni fireeeeeeeee.hutaki minyana huyu ndo king kibaaaa no.one

  • @rehemamohd7523
    @rehemamohd75234 жыл бұрын

    Nice sana nakupenda siku, zote naombeni like jamani

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express4 жыл бұрын

    Ebana ee Live band hakuna anayemkaribia Kiba maana sauti yake niile ile kama yupo studio. Heiyaaaa like za kiba na subscribe chanel yangu kama unamkubali King Kiba

  • @khadijamzee2739

    @khadijamzee2739

    4 жыл бұрын

    Absolutely

  • @procyottumail3378

    @procyottumail3378

    4 жыл бұрын

    Exactly adi raha kuckiliza utulivu mzur sound iko mwaaaa'

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    4 жыл бұрын

    @@procyottumail3378 Nakuomba usubscribe chanel yangu 👉 kzread.info/dron/6NPwS0aUVVlp3AAToVUAIw.html

  • @hawashaban8628
    @hawashaban86284 жыл бұрын

    Very classic live music from Kiba wallah.. Kadogo my favorite song ever

  • @musamwinyi2049
    @musamwinyi20494 жыл бұрын

    sijawahipo kuhudhuria kwenye show yoyote ile, ila huyu jamaa anaweza kunishawishi sana tuu big up sana kwake

  • @makongomaras7297
    @makongomaras72974 жыл бұрын

    Timu kiba piga kelele🔊kama umemwelewa kiba like apa twende saw

  • @mwanahamisishabani4483

    @mwanahamisishabani4483

    4 жыл бұрын

    🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊

  • @mamuumamu6558

    @mamuumamu6558

    4 жыл бұрын

    Woooooyooooooooo wallah sautiiiiiiii mpk imenikaukaaaaaaaaaa📢📢📢📢📢

  • @veronicadaniel1122
    @veronicadaniel11224 жыл бұрын

    Kingkiba fireeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee💪✌👏

  • @mariameena5248
    @mariameena52484 жыл бұрын

    King of best music # Alikiba

  • @enymoh
    @enymoh4 жыл бұрын

    Re..-re-..respect to RUGE MUTAHABA🙌🙌🙌🙌IR.I.P@alikiba big up Bro🔥🔥🔥

  • @pivothimself1164
    @pivothimself11644 жыл бұрын

    *Kama umeona na umekubali alichofanya King Kiba Gong **_Like._* 👍

  • @tobamagala1925
    @tobamagala19254 жыл бұрын

    kama unamkubali king kipusa dondosha like hapo

  • @isaacsamwelilumwecha7004
    @isaacsamwelilumwecha70044 жыл бұрын

    Kweli hii burudani kiba unajua acha like yako kama umependa alichokifanya

  • @angelinanicholaus6670

    @angelinanicholaus6670

    4 жыл бұрын

    Nakukubari kiba nakupenda sana

  • @yahyajarufu5893
    @yahyajarufu58934 жыл бұрын

    That's a really definition of Musician sio wale wa piga Kelele watu wana lipa kingilio kuimbiwa sio kuimba King 👑 ana jua Vocal ipo clear live band imetulia King 👑 ni pure Musician

  • @adolphyamin1245
    @adolphyamin12454 жыл бұрын

    Tafadhalini sana msiguse hapo kwenye "Read more" Kama umegusa usiodoke bure, niachie like yangu hapa.

  • @salehemkweso7544

    @salehemkweso7544

    4 жыл бұрын

    Kibaaaaaaaaaaaa king yebaaaaaaa

  • @mbagatamaximillian2034

    @mbagatamaximillian2034

    4 жыл бұрын

    Hahhahhahah

Келесі