ALIKIBA alivyowaliza WAREMBO na Wimbo wake "UTU" Jukwaani MWANZA kwenye Only One King Tour
Ойын-сауық
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Alikiba
Пікірлер: 450
Mashaallah sauti wanimaliza alikiba wauwa kukimba kama usabiki wa kigi gongo liki💖🔥🔥
Mimi ni team konde ila jamaa mungu amembariki saut na jinsi yakuitumia anajua👏👏👏👏
@petermunabi1106
2 жыл бұрын
hapoa kweli
Hii ndio maana ya king watu waelewe wimbo naona watu tumeielewa vizuri mzuuuuuka
Hiii ndio nyimbo Bora 2021 like Kama umekuli king👑🇹🇿
@255kwetu8
Жыл бұрын
Nakubali 💯
Usiwahi kusahau kusali king.Dua zako ndio zinakupigania,Allah is for you 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Akitwa king watu hawajui maana ya mfalme hana makele king wafuas ndo wanajua mfalme wao yupo vip na awafanyia nn wafuas wake mim binafs kiba heshima zakutosha nakupa rick media shukran kwa burudan kusaport hii kitu
Alikiba anaweza saaaaaaana music wa Africa, from DR CONGO
Duuuuuuuuh,halafu unakuta mtu mshenz mshenz ana mfananisha na taka taka za ajabu ajabu
Hatari Sana I believe on you Brother the only one Tanzania King of Bongo flevour
King kiba msanii mwenye sifa za ueledi wa kina...love ♥ King kiba...🇴🇲🇹🇿
@faridaali3279
2 жыл бұрын
Oooh ueledi ni professionalism. Had to Google
@karosiamani9179
2 жыл бұрын
Kaka wewe ni noma sana unajuwa mpaka unahumwa
Hiv mnawasikia Back vocals walivyo wa noma🔥🔥👑
@kimweritz6364
2 жыл бұрын
Wee unajua kuskiliza mziki good good
@johnteonas3144
2 жыл бұрын
hatari kabisa
@delphinkakudji
2 жыл бұрын
Damn bro they are amazing 💯
Alikiba is the best and nobody can stop him 🔥
@shimadosun
2 жыл бұрын
kabisa ur are king🔥🔥🔥 usisahau.ku sapoti sis madogo zako👆💪💖💖
@lurrysam.2534
2 жыл бұрын
wengine nanaimba ujinga tu hao wakina domo ww ndio muimbaji
@elieneapalangyo6938
2 жыл бұрын
Hapo ni Mwanza Tanzania siyo Sudan au Seraleoni
@annamwakalekamotunamtakama2572
2 жыл бұрын
Alikiba noma 😍
@rahmarajab3688
2 жыл бұрын
You're right, Yebabaa!!!!
Hii nyimbo ni fire🔥🔥🔥🔥 Utu
Daah wimbo unanikosha sana kiba unajua kuimba balaa blue
@jacquelineissah5374
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
Smoothy voice,riffs and runs,falseto,alto,vibrato,humblity,yn full of package
TEAM KIBA RAHA SANA
Utu forever in my heart♥️ Indeed you are King Kiba👑
Since this song released, there's no song pick up than this song in Tanzania.King is the King
I would pay to see again the live performance of this song by King Kiba
Yaani stage iko na utulivu hakuna kurushiwa maji siju watu wamwagiwe maji yaani ni muziki bila jasho pole pole taratibu kiustarabu 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@manerick3568
2 жыл бұрын
Muziki imeenda skuli
@LEO-dy8sd
2 жыл бұрын
@@manerick3568 you can say that again bruh
@eltajir
2 жыл бұрын
Yale maji ya misukure ukimwagiwa unakua huon huxkii kw wasaf
@LEO-dy8sd
2 жыл бұрын
@@eltajir yaani mimi hukereka punde nikiona vile,☹
@jamesjoseph6825
2 жыл бұрын
Yale sio maji, ule Ni ushetani mnamwagiwa
Music is about enjoying and not jumping on stage. Much love King kiba from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@revinajedidah2597
2 жыл бұрын
Not jumping on stage 😂😂😂 I like your comment akiii ✌✌✌✌
@orangodommyshta3072
2 жыл бұрын
Walai 😍😍😔, thats a pregnant fiction kwanza kenyans artists kama hajaruka anaona baado hajafika stage
@mungatanamedia5157
2 жыл бұрын
Yea one love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@anodearsulusi7536
2 жыл бұрын
@@orangodommyshta3072 🤣🤣🤣🤣
@saumsalim9966
2 жыл бұрын
@@orangodommyshta3072 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Can someone help me express what king is causing to my soul..... Alikiba forever 💯💯💕💕
Nakupenda sana we kaka unajua sana Mungu akupe maisha marefu mana hatar sana unafanya mziki sio mziki wa biashara yan unakipaji salute kwako.
Kings music records we are the best and nobody can stop us
@shabanswahibu6130
2 жыл бұрын
Jamaa anajua sana no body can stop us
Nice show kiba utu njoohabari ya mjini 😘😘😘naipenda
Noma sna Kaka king kiba yote kw sababu hujioni upo sawa na kila mtu one love sna
Much respect to King Kiba ✌️🇺🇬this song alone is equivalent to all foa album 🤔
Wawoooo jaman huyu baba anajua
Music wa king kiba hauitaji nguvu kuupushi unaenda tuu wenye king anajua Sana anamadini
Alikiba anaweza kuijaza 02 arena London mwakani au akipiga show marekani mwakani kwenye miji mikubwa ngoma zake zinaeleweka mashabiki wanaimba nae sio wanachukua wasaniiii wa trending social media
@kassimrajabu7805
2 жыл бұрын
🤣😂😂🤣😂daaah!!!
@davidsika5292
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 sio kwel
@classicwaisala6677
2 жыл бұрын
Daaaaa😂😂😂
@britonngale6644
2 жыл бұрын
Hapo tu hajajaza ndo akajaze marekani?
@madyba450
2 жыл бұрын
Unafikiri O2 Arena ni kama choo cha umma unajaza tu kirahisi.... Jitafakari ww
Woooooooow amazing performance I wish I could be there
This song is huge. Ali Kiba should allow to redentions of their respective languages all over the world. Besides that, Ali Kiba fanya remix na 254 ndio tuwakilishe kiswahili kisawasawa. Fanya na diva awakilishe bibye kama malkia haha. Nafikiri Nadia mukami atawezana!! Sisi kama wazaliwa WA 80s tunamkubali mwanzilishi wa bongo The only One king Kiba . 254🇰🇪🇰🇪 tuko ndaaaani kabisaa. the best song of the all times. the GOAT
@faithaction2505
2 жыл бұрын
N kwel ila nahis Kama Jovior apa ataua vzur
@joelmogunde
2 жыл бұрын
Kweli... Ako Sawa huyo mrembo. Tena sana. Jovial anaweza kweli
Wow!!!!!!!!that show is very nice🎤Alikiba congrats❤️❤️❤️❤️❤️ bro
Alikiba unajua sana keep fighting my favorite act in tz✅🥰🥰
My best Artist always 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤
You are unstoppable.. always my NO1 Artist... much love.
The king of live performance
Wapi like za king kwa hii show
Shida ya show za Tanzania ni music sound system iko weak ila jamaa anajua sana live
@selemanidugilo4381
2 жыл бұрын
Dah ni kweli ndugu Yan makelele tuu
@aaronsimiyu3302
2 жыл бұрын
Sure
@canamartin7835
2 жыл бұрын
Hapo Sound iko poa, sema hii online media imerikodi normal. Ingetakiwa ichukue audio kutoka kwenye Mixer. 😊
@juniorkassongo4814
2 жыл бұрын
njo mana yake
@hassaniissa9871
2 жыл бұрын
Upo sahihi kaka
King kiba,much love from Dubai
Huyu king kiba anaujua mziki hatumii hata nguvu nyingi angekua nyange hapo hapatoshi 🤣🤣😂🤣
@constancekarisa1605
2 жыл бұрын
Be kind😂😂😂😂😂😂😂
@awadhally1052
2 жыл бұрын
😂🤣🤣
Naifanyia cover Utu ya Alikiba am Fanuel Zurich Bangladesh,,, Alikiba is the King Of Bongo music
Huu wimbo akitolea video utapata 1M ndani ya siku moja
@cristabeltamara1465
2 жыл бұрын
Kwanza aeke wife wake ndani juu hii wimbo nikama aliimbia wife wake itakuwa 🔥
@andrewkilave3532
2 жыл бұрын
@@cristabeltamara1465 true
@kimweritz6364
2 жыл бұрын
Bila shaka
@iskodady5786
2 жыл бұрын
video aitoe usiku wa kuamkia February 14 siku ya wapendanao
@zulfamaunde9897
2 жыл бұрын
Apo umenena atowe xiku ya wapendanao
Hii nyimbo alikiba alifikiria sana yaani namkumbuka k2ga tu
He's always the best
Pamoja sana king kib
In live performance no body can stop him♨️♨️
I love the way mashabiki wanavyoitikia eeeh ase Allah akuzidishie kiba ww ni the best no one like you
The king Kiba you killing me .bro...this is my song of the year Utu...best of best
The best singer ever in Africa
Tupo mbali sana lakini tuna injoy mziki mzuli kutoka kwa king thank my brother I love you so mach
✨👑🔐💞 The only Real King in Tanzania. Humble,blessed and productive Inshallah Allah umhifadhi pema wasimtie najic🤧 My favorite hit song✨🔥🔥🔥💖
@rahmarajab3688
2 жыл бұрын
Wasimtie Najis!!!!!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Can we say this is best love ever????!!!!
The best .king's songs are such heart calming
Kaa tu baba waimbe wao😄😄😄😄
@awadhally1052
2 жыл бұрын
😂🤣
@kimweritz6364
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
King Ni mmoja tu jaman..kwakweli Ali anajua kuimba🥰❤️❤️
Good music team kings
Courage kiba niko 🇨🇩 injini Goma napenda sana iyi wimbo sana de tout mon cœur bro kosa ni vidéo mais kwahiyi moya vraiment 🔥🔥🔥🔥🔥
UTU ni noumah, mpaka nahic nipo kwenye show!
@zulfamaunde9897
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 me kama nirimtuma aniambie yaaan inanichoma atali
Nyimbo Kali Sana hiii
Only u king of Tanzania 🔥🔥🔥🔥🔥
My all time king kiba
Kwani kiba wamaliza nasauti nzuri saaaaana
🔥🔥🔥🔥🔥😍😍😍😍😍😍😍❤❤❤❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩dé King Alikiba kitoko sss de King Alikiba❤❤❤❤❤❤❤
King Kiba a lover not a fighter
Sema alie simamia sound mungu anamuona
The best performance King Kiba🥰
@evaristebyamungucigwigwi8276
2 жыл бұрын
Napenda sana iyo kitu apa
Bongo flavour song of the CENTURY
King kiba I am so waiting for the video of this epic love song👌👌👌🔥🔥🔥🔥
Noamba serikali imutafutie ulizi anasitahili please
This song is a song of year 2021 the only one king 🔥🔥🔥🔥yoooh
Baddest shit all da time yo🔥🚀
@Amadkelly
2 жыл бұрын
Is it mean you watched it? You love it 😅😅😅
Only one king...👑👑👑
Nampenda sana king unaelewek jaman 😘
Kuna wanaoimbaaaa na wanaobwataa my king Achana na wabwataji watu tunataka mziki mzuri
Only one king🔥
Asante alikei kwa kunifurahisha unaimba kitaratibu
Bongo hakuna hakuna kama 👑
Much love King Kiba. You rock.
Muito bom alikiba força
@Amadkelly
2 жыл бұрын
Maning
A guy is trying to do this job Shem I love it special this song utu ❤️❤️❤️🙏🏼🎁
King kiba, Nice song,MashaAllah
Show imetisha yani kinyama...... King ni King na atabaki kuwa King Forever
Da king him xelf yo🔥🚀
Beautiful performance 🔥
Ali kiba unaweza na utu kusema kweli unaweza afrika Zima hakuna kama wewe ilike your songs
Vyombo vimetulia uimbaji unasikika vizuri bigger up king of king
Nakubali kiba mimwenyeye nasikiya raha sana japo niko mbali
Kizazi sana king nakukubali bro
Kiba hongera sana shoo kali sana 🔥 utu ngoma kali hatari nanusu yooo
🇰🇪Very impressive boss man....kiba for real
King 👑
King kiba🔥🔥🔥
Ndoo king kiba huyo soo much my brother
Yani hadi raha😍😍
I enjoy it ali is so amazing ure song utu
Mon artiste 🔥 préféré 🙏❤️🇨🇩
@edsoncharles3893
2 жыл бұрын
👍
Umetisha king.kiba.🔥🔥🔥🔥
Sadal amka amka umeona king kiba au mfalume mmoja tu king 🤴♥
Kingkiba🙏🙏🙏🙏💚💞💞💞