ALIKIBA Alivyovamiwa na Warembo Jukwaani baada ya kuichapa Utu Live/Wammwagia Pesa ndefu
Ойын-сауық
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Пікірлер: 253
Huyu Kiba ndo R Kelly wa Tz wanaoamini waniambie
@ericndayima260
Жыл бұрын
Mimi na kubali
@stephanomwangoka2448
Жыл бұрын
No one like king kiba forever
@ramamtanga3482
Жыл бұрын
itachukua mda sana kupata msanii mwenye vocal kama kiba
@zaidihussein4311
Жыл бұрын
Wa africa
@davismzae7467
Жыл бұрын
Naaminia kaka
Iyooooo nyimbo ukiimba kwanza mwili wote wasisimka UTU KAMA UTU 👐🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯
Now we have known the real king. Salute kiba haunanga wivu umekuja kusurpport
Mziki mzuri bila matusi wala maneno ya kejeli!!! Nice job king of kings
Tanzania's greatest of all time,King Kiba👑 Utu will always be my favorite track
Tanzania people be proud of this artist alikiba he's so talented I'm telling you from congo 🇨🇩 alikiba is my number one artist ✌
@ngowibeatrice1701
Жыл бұрын
That true numero uno
@supertallone1902
Жыл бұрын
Absolutely! We proud of him❤👑🎶 TheOnlyOneKing🔥
Hakuna nyimbo nzuri mwaka wa 2022 kama Utu kama ipo niambiwe tafadhali nipate kuiskiliza iyo nyimbo zaidi ya hii
@sharifabahar9905
Жыл бұрын
Hakuna
Tokea mm mdogo namuona Ali kiba hivi na huu mwili hadi sai nmekua na yeye hajabadilika wow. King asozeeka🥰
ALIKIBA ALICHO KIFANYA KWENYE SHOW YA MARIOO NIUNYANYASAJI WAKIJINSIA ASE KILA KONA ANAZUNGUMZIWA UTADHAN SHOW NIYAKE AISE HUYU NI 👑 nahakuna ubishi wala mjadala aise alikiba nakuita maratatu kiba kiba kiba aloooo
@jonesiha6919
Жыл бұрын
😂😂🤣🤣 hii kali...
Alikiba haulinganishwi na msanii yeyote hapa Africa am crazy when saying this he is the real King
@edithajonh2970
Жыл бұрын
Ndio wajifuze na wawe na adabu mm nawambiaga alikiba ndio msani mkubwa tz na East Africa Mario amekula ugali bila mboga
Hapa ndio naelewa kuwa King ukiwa rafiki yake basi hatokuangusha kwenye jambo lako...nakumbuka harusi ya Nandy nayo aliinogesha sana🔥🎶👑💕 Ameonesha upendo mkubwa! Hongera Marioo na Kiba🙌
@josephjulius3327
Жыл бұрын
Real recognize real💪
Tunatrending na 12 na mbili twende namba moja King kiba
King kiba 4real haipingwi wewe ndio mfalme wao🔥🔥🔥🔥🔥🔥wafundishe
Nimependa kitu kiba alichokionyesha kwakumsapoti mdogowake marioo jukwani.more love kibamarioo
sijawai Ona msanii kama Kiba kuwa appreciated while on stage. Haya ni kati ya maajabu na maumbo yake Mwenyezi Mungu
@ngowibeatrice1701
Жыл бұрын
Hata mimi sijaona tanzania
So amazing performance 💪💪king kiba no one like u, good voice brother
Dah! Hiii Show niya Marioo Au Alikiba sikwakufinikwa huko anyway imeweza huyo ndo King" mwengine hatokeii😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥
@ostermfungwe5377
Жыл бұрын
Tuache utani kiba kwenye live performance ni waya 😁😂 angalia ya keysha alivoua
@ibrahimuselemani4076
Жыл бұрын
Anaebisha aje na mwanasheria wake jela inamuhusu😂 King n mmoja tu
@aminaalabri4170
Жыл бұрын
@@ostermfungwe5377 kbsa my
@stellahwilfred5762
Жыл бұрын
MTU wa watu KIBA JAMANI hana makuu kaka wa watu
@salma9390
Жыл бұрын
@@ibrahimuselemani4076 😂😂😂😂😂😂
Wimbo hadi waheshimiwa wanaimba no matusi, mashairi mazuri unaweza kuusikiliza na familia yako🔥🔥🙌 sasa unakuta wimbo mwingine unasema njoo nikupekeche pekeshe
@hussenhemed1050
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@maxomari3542
Жыл бұрын
Chitaki chitaki🙄🤔🤣ww sambusa mimi maandazi
@rosestephano326
Жыл бұрын
Gres Mungu anakuona😅😅😅😅😅
@witneyemas1736
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
King ni mmoja tuu akuna chasimba Wala chui au tembo king ni kiba saut yenyew ni moto
This is the real music the one you feel better when listening
Uyo ndo king 👑 upewe ulinzi nakupendaga mpaka basi kama wewe tanzania hakuna
I’m very sure marioo alijuta kumualika alikiba perform… jamaa ana turn black to white viva king
Hata sisi wa mozambique tunamjua king king the only one king
Asake yupo Kweli au basi maana Mfalme kauwa sana❤❤❤❤❤
@thomasmartinez786
Жыл бұрын
🤪🤪🤪🔩asake
@JoeMziwanda
Жыл бұрын
Yaan Kwa live band kama hyo aje atake nn asee na anajua TU Kuna kuaibishwa na king kiba hapo watu wananyoosha live bn👑🔥🔥🔥
Classic one king kiba live voko 🔥🔥🔥💯
Hii show vipi yaani nimechanganyikiwa mwenye show kaekwa chini kweli King is only one amd is Ali Kiba
Hela za wadada warembo 🤸🏾♂️🔥 king 🥰
King ni mmoja tu kwenye mziki wa Tz
Kiba Kama vile Chris brown Fulani I love your voice Kiba You have a good voice too.
@saidikitambulio6264
Жыл бұрын
Utasema Justin biba
Jaman UTU ni wimbo wa taifa kubali kataa,King hapa alionyesha ukubwa wake kwa kweli.
Show nzuri sana mziki mtam sana Marioo unahitaji mazoezi ya Live kwa kweli
Jamani huyu kiba huyu jamani🔥🔥🔥🔥🔥
That is what we call music Classic one with vibe Mario and king you pple amaizing...
@stellahwilfred5762
Жыл бұрын
Truly
Wallah watanzania hapa kwa kiba mulipata msanii
Alikiba mungu amtunze miaka na miaka aisee
@ngowibeatrice1701
Жыл бұрын
Amen
Asallam maalequ maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala Allamdulirai Ishaalla Ali K. and Marioo Ishaalla Allah hjelp you
Is this Alikba's show or Marioo's? am oves🤣!!
Alikibaaaaaaaaa weeeeeeeeeeeeh!!! Utaua watu! Basi kaka mariooo anakuangalia macho kodoo
💥💥💥💥 wamuache jaman mbona hawaelewi ety nawambiaajeeee wamuache KING wetu🎉😂😂😂😂😂
@thomasmartinez786
Жыл бұрын
Alikiba king
Love you king kiba ♥️♥️♥️♥️ you are the best.
Marioo sikubingine asialike alikiba jamaa kafuka show ila kwakweli palinoga sana 🔥🔥
Kip the gud music alive...
Alikiba is always my favorite King
O rey👑 da música🎶 africana 💪💪💪🔥🔥🔥 Meu Rey 💪
King kiba no one likely you bro u know
Hii show siku zote napenda kuiona it's my best
Alikiba ni munoma hii show kaifunika hatari
Huyu jamaa anavyo imba waweza dhan mzk n ki2 simple sana sasa jarb ww
@winniegesy982
Жыл бұрын
Ukweli
I miss you feat Alikiba moto sana🔥🔥
Huyu jamaa anajua kuimba daa kiba salut
Kiba hana mpinzani kwa live performances
@jamilahshilah4327
Жыл бұрын
Barnaba nae yupo vzr
@ramamtanga3482
Жыл бұрын
@@jamilahshilah4327 ila kiba legend
@ibrahimuselemani4076
Жыл бұрын
100%
@JoeMziwanda
Жыл бұрын
Hakuna ubishiii mbona juu ya Hilo
@rosestephano326
Жыл бұрын
Barnaba Ni moto bhn
Ali kiba ur the best all the time
Yaani wasanii wetu wangeshikana hivi Tzd ingekuwa kama wasanii wa mbele ongera kiba kwa saport yako kwa marioo
Alikiba uyu mbwa anakipaj kuliko msanii yeyote bongo ila juudi sas👑👑👑👑😂😂
show ni ya king au marioo mbona sielew
Kwl sarut kwako kiba
King tunajivunia sana kwa kipaji chako mmetisha sana na marioo
Good performance Ali
Likiba linaimba km alitak khaaa😂🔥🔥🔥🔥
@sefuselemani3080
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani ata ukimchukia alikiba bado utaipenda sauti yake tuu
Kasema ukweli kiba anajitoa sana kanikumbusha kwenye nai nai hakuimba sana ila alivyokuwa anaflow jimbo likanogaaa
OrganicKing🔥🎶👑
King 🤴 👑 kiba✌
Kuna huyu jamaa mmoja ni balaa kwy live czaani km Kuna msanii kwa bongo atakayeweza hii mambo🤣ni yy
Kingkiba
Weeeeekiba unabalaaaaaaaaaa🤔🤔😋❣️❤️♥️❤️
King sikualiki kwenye harusi yangu usije shangiliwa wewe kumbe muolewaji n mimi 🤣🤣🤣 MARIO umepata kampani kijanaaaaaa
@user-ww5nm5ck2e
Жыл бұрын
Kweli nayo😍watu watadhan kuna show kumbe n harusi yal
King kama king
Napenda kiba Nandy Gigy wanavyosuport wenzao bila chuki za kijinga yan palipo ushirikiano Mungu anafungua nchia cheki watu walivyojaa kingilio cha kawaida
Booongee moja la show 🔥🔥🔥
Kiba kaiba show ya Mario kaigeuza yake 🤣, king kama king
@salma9390
Жыл бұрын
Sasa atakosa aje kuiba wakati mweny show kapoa kama ugali wa jana 😂😂😂 baba levo 😂😂😂ndo kasema siyo mimi 😂😂😂
King 🤴 kiba
Kwani alikiba unatatizo gani kaka wewe ni 🔥
@thomasmartinez786
Жыл бұрын
Kwann umeuliza hivyo🤪🤪🔩nikupe jibu yule king
Khaaa king mbona kafunika adi mwenye show 😂😂atari sana kwenye live bend kiba
@salma9390
Жыл бұрын
Sana,nilikuwa najua kama show ni ya Kiba maana anajituma saana
Huyu kiba asee hapan umeua babaa 👏
Uko juu mzee baba
good love king kiba
wachana na king Aitwe king inamanaaake sw🔥🔥🔥
Kando na nyimbo zako u r soo gud king love u
Kinggggggg 👑
Chui _rayvan Simba_daimond Tembo_harmonize King_KIBAAA
Nomaaaaaaaa
Noma sana king kiba
Tajiri kitasa kama kawaid mibandiko 🙌
The only one king 🤴
King na live performance ni chupi na Tako haviachan
@evepaul5377
Жыл бұрын
🙌🙌
@kassimali2273
Жыл бұрын
Tako tena la nani eeeee hahahhahah
@happinesshappy5079
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@fauziaomar4661
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@vennyrichard2139
Жыл бұрын
Hahaaaa fal wew
Ali kiba anaburudisha mabosi na walala hoi mikono mitano kwake
Mashaallah Woow amazing
King kibaaaa
akuna Kama zaidi ya king kiba
Atumii ata nguvu dah mpaka raha
Kali sana hiii🔥🔥🔥🔥🔥
Oy king kiba anaimba daah
King n mmoja tu
Hadi mwili unasisimuka dah kiba hiyo saiti noma xana level zakina Chris brown
@ngowibeatrice1701
Жыл бұрын
Kabisa mwili unasisimuka
Waaaaah King yooooo
Eti marioo msanii bora ALLY NI MWAMBA TANGU 2005 HADI LEO SAUTI NDIO ILE ILE YA 2005.
Show imeweza sana
King forever
King wa tz respeito alikiba wewe ni Mufaume