NYUMBA YA VYUMBA 6, NIFFER ALIYOMJENGEA MAMA YAKE, WAHAMIA NA KUFUNGUKA FURAHA WALIYONAYO
Жүктеу.....
Пікірлер: 152
@leasamson70719 ай бұрын
Huyu binti huwa namuelewa saana, hongela saana na uwe na moyo huohuo wa kutunza wazazi wako ndo kila ki2❤❤❤❤💯🙏
@fatimaalmahrouqi67119 ай бұрын
Hongera saana Niffer Allah azidi kukuongoza na kukubarikia kwa cc tulio toka Bukoba tunakuombea saana Dua'a njema kwa kumtanguliza mamaako qabla yako na njia ya kufanikiwa ni kumpa furaha mzazi wako..endelea kutafuta vya halali ubarikiwe..Mkama Mungu akubere, akuwe omugisha, Wakora muno muno
@ashazuber65489 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢kila nikiangalia nilipo toka daaah Alhamdulillh❤❤❤❤❤masha Allah Niffer ake
@ritapiusnicolaus70689 ай бұрын
Hongera saaaaaaaaaaanaaa Niffer umefanya jambo zuri kumueshimisha mzazi wako 🙏💐❤️💖
@morjanoman51819 ай бұрын
Ongera sana. Mwanangu wanaojari kudangamjini na kupanga nyumba zagarama bila kuangari mazingiraya mzazi wacha wachukuemfano kwako
@ayshazambia65099 ай бұрын
Mashaallah hongera sana mdogo wangu mungu akujalie maisha malefu inshaalla akuondole hasadi
@HabibuHoseni-sv8hd9 ай бұрын
Kawamotivate vijana wenzie mashaalah bint hongera sana tunakupendaa sna nakupenda hufake maish mwaya utafika mbaliii muhaya wetu
@SweetTaste-st9 ай бұрын
Congratulations niffer your shero always ,never give up for any situation
@yukundapeter82009 ай бұрын
Hongera sn! Miji2 mingine inadanga tena inachuna waxaxi badala liwasaidie.Malaya ni mslaya tu.Hongera kubwa mnoo.
@khayraatabdool22869 ай бұрын
Maa Shaa Allahu Tabaaraka Allahu
@Yunis-hn9hn9 ай бұрын
Mjengee tu maana mama alikuzaa mno mzuri mzuri sana wewe Niffer.
@jojomohamed34189 ай бұрын
Mashaallah hongera sanaa kipenzi Niffer❤❤
@umaima11789 ай бұрын
Huyu bint ana Akili Sana tena atafika mbali Sana
@kabwelasutiviraka4765
9 ай бұрын
Muhaya huyo bila shaka ukiwa na biashara za kuzuga mjini na kuuza kuma unafanikisha hao wahaya hawajui kukataa ukiwa na pesa zao hata wanaume 20 mtachanganywa !
@busnaoman9981
9 ай бұрын
@@kabwelasutiviraka4765😂😂😂
@nancyg8664
9 ай бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 nawewe kauze yako kama utajenga ata jiko, kama rahisi
@rahmaoman470
9 ай бұрын
Heeee wew😢
@neema_mollel
9 ай бұрын
@@kabwelasutiviraka4765😂😂kwani kabwela hunaga jema what's wrong with you
@dottohami9 ай бұрын
Hongera sana niffer ww ni mdada ambae unajitambua sana 🥰
@happynesbaemuhappynes88139 ай бұрын
MashAllah Allah akujaze kila la kheri ongera kwa kumjali Mama
@martinigabriel7029 ай бұрын
Hongera sana Nifa. Kuna wasanii wengine kujiproud mjini hata kwao hawafiki. Waige mfano kwako
@user-fs7xc2bb5d9 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah Mwenyeez Mungu akuzidishie pale ulipotoa kwa ajili ya familia yako umefanya jambo kubwa kwa mzazi na ndugu
@nasrafadhili74089 ай бұрын
Mtoto mdg akili nyingi hongera zako
@kekiplus1andonly9 ай бұрын
Hongera sana kwao, Kwani watanzania kuongea kiswahili moja kwa moja tunashindwa nini?? Halafu wale wenye ngeli kweli huwa wanatumia lugha moja tu wakiongea labda na vinogesho vya bahati mbaya apa na pale..ila sasa web zetu vizubgu vya kuunga tutajua hatujui,interview unaulizwa kiswahili we unajibu kingereza😂😂😂😂mbona..
@nancyg8664
9 ай бұрын
Jaman ni upendeleo wa mtu hamna restriction kwenye lugha ndomana iyoiyo English inafundishwa mashuleni na hatukatazwi kuongea popote tunapotaka.
@svt3
9 ай бұрын
@@nancyg8664tatizo wanao changanya ukimuambia sasa tuongee ama interview iwe kwa kingereza pekee ndio utajuwa kumbe hawajuwe kingereza
@eleinahlenny65289 ай бұрын
Hongera Niffer Utafika mbali.Nakupenda❤❤
@florencemeza65409 ай бұрын
Niffer anajitambua wanaume mnakwama wapi??
@khamisshee8039 ай бұрын
MashaAllah Aka bachuchu Mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@rainaldambawi-cq9yu9 ай бұрын
Hongera sana binti.
@khadijaali46579 ай бұрын
Mashallah Tabaraka Allah mungu akuzidishie dadangu kwani ushatimiza lengo lilokua likikuumiza maishani mwako kuhusu mzazi akae sehemu sahii Mashallah nakupenda sana from kenya ❤❤
@janeroselusuva85209 ай бұрын
Hongera sana Mungu azidi kukuinua ktk kila hatua upigayo.
@Happy-tx7p9 ай бұрын
Imenitoa machoz san but one day yes
@sophiakassim6784
9 ай бұрын
Aamiin yaa rabbi
@fallymetoo1919 ай бұрын
Allahumma bareek inshaallah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@magdalenasumbali57268 ай бұрын
Hongera sn wengi wanatamani tufanye hivyo lkn malengo hawafiki.i kwa hilo hongera sn Mungu akupe miaka mingibna heri duniani akupe kila hitaji la moyo wako
@wozanawewoz9799 ай бұрын
We dada Ubarikiwe,, acha wengine wadangee , again Ubarikiwe. .
@user-qq6mv6vh3e
9 ай бұрын
Hakika
@MsHn-cv3nd9 ай бұрын
Safi Sanaa watoto wakike nijembe nawapa ga asilimia mia
@judithsalvatory28929 ай бұрын
Mungu atakufikisha mbali
@Asiamohammed13179 ай бұрын
Hongera bint yetu mungu awe nawe daima
@gladnessmoshi47829 ай бұрын
I love this girl❤
@salamsabdullah-st9pt9 ай бұрын
Nampenda huyu dada
@fatumasuleiman69899 ай бұрын
Akili nyingi niffer❤
@aaa64sa139 ай бұрын
MashaAllah...
@user-qv5tk3mt7g9 ай бұрын
Mashaallah ❤️ ❤️ hongera sana my Allah akujalie kz ya mikono yako
@sleymanimaneno94398 ай бұрын
Hongera mamy MUNGU azid kukujaalia roho ya kumfanyia mama makubwa zaid na mm napenda sik moja aje afurah kama hiv
@user-ln9px2vh6r9 ай бұрын
Huyu dada ni mdogo ila ana akil
@GaudenciaMadirisha9 ай бұрын
Natamani na mm siku mmoja niwe hivyo na mm
@MuniraShughuli-kc7vj9 ай бұрын
Ma Shaa Allah 🤲
@johanjoha52623 ай бұрын
Amenenepa mashaa ALLAH
@user-oq6hb9hh2b9 ай бұрын
Mimi huanasemaga kumpa mama furaha zawadi y nyumba nizawadi kubwa nikua umemsitiri mama jua kwamba ni yko wewe mwenyewe ila nikua umemweka mahali pa zuri
@khadjamhozya9 ай бұрын
Wana wake bongo ya wasani ni watatu lady je dee , shilole,niffah wengine ucwara tumaisha ya kuigiza😂😂😂😂😂
@fatumahapesamohamedfatumah46339 ай бұрын
MASHALLAH.Umeweza.
@belzylucas72759 ай бұрын
Hongera sana
@lettysalala25049 ай бұрын
Hongera sana binti umeweza
@tabuabdallah79809 ай бұрын
Masha Allah
@halimamfaume19259 ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤
@SARAHKATAGIRA9 ай бұрын
Manshaallah
@KudraNtegakaje-ni3dz9 ай бұрын
Umefanya vizuli san dd yang uko saw🎉
@AishaMaganga-vd1jg8 ай бұрын
Ameen Yaarab 🤲🤲🤲 Maashallah Allah amjalie zaidi.
@user-fp4ru5qh3p9 ай бұрын
Mashaallah
@CECILIAMAGANGA-sk8md9 ай бұрын
Mungu akubarik jamn
@susankahindi2449 ай бұрын
Ameen All best ❤
@joycerichard92742 ай бұрын
Daah hongera sana dada
@faithfaith-zr6gz9 ай бұрын
Is bigger house,Iiii 6. Hongera
@user-sn5tu8kc1j8 ай бұрын
Hongera sanaaaana dad's niffer mung akuzidisshie
@joycelivingston55759 ай бұрын
Hongeraa Sana Sana
@zaharamuna58619 ай бұрын
Hongera zako dada umeweza
@khadijahali48379 ай бұрын
Maa shaa Allah
@ayshamahariq66659 ай бұрын
maa shaa Allah😍😍😍😍😍😍😍
@sisifaty91839 ай бұрын
MAINSHAALAH
@shamsakiobia64218 ай бұрын
Waoo Niffa ongera sana kwa kumpenda mama yako
@HabibuHoseni-sv8hd9 ай бұрын
Hongeraa bint
@samsonimwashitete49218 ай бұрын
Hongera mm pia nataman kuwa hapo uliko
@user-qq6mv6vh3e9 ай бұрын
Ongera niffer❤
@husnasalim96149 ай бұрын
Maishallah
@SalamaNauthar3 ай бұрын
Hongera Niffer
@wemakalama64589 ай бұрын
Alleef mabroukh
@ayshamahariq66659 ай бұрын
In shaa Allah atujaalie🤗🤗🤗🤝🤝🤝
@user-cl8cp6ux2m8 ай бұрын
I proud of you ❤
@ghhhhy18129 ай бұрын
From 🇧🇮mashaallah ❤️
@NiyonzimaspesSpes
Ай бұрын
Bite
@saay42738 ай бұрын
MashaaAllah
@safiyanirram-pf3sv8 ай бұрын
Ukiwa unauwakika wa kuingiza pesa yani unajenga fasta tu ss wengine miaka ss nyumba azijaisha lnshallhantizidi kupambana nilitamani na mm mama yangu aone kidogo changu😢😢
@irenemacha56619 ай бұрын
Good girl
@omanmct1358 ай бұрын
Mashalllah naic❤
@samsonimwashitete49218 ай бұрын
Mungu akuzidishie
@user-dn4bh5cl8d8 ай бұрын
Hongera sanaaaaa
@sharifamuhd4554Ай бұрын
Una akili sana.Hongera
@AzizNgitu-wk3ey9 ай бұрын
Wow safiiiiiiiiiii
@glorianikiza39408 ай бұрын
Ajengewe sanamu yake ❤
@faudhiasalum72799 ай бұрын
🎉
@mukeshimanarose13349 ай бұрын
👏🤝👌
@yukundapeter82009 ай бұрын
0:22 0:24
@Happy-rm7gs8 ай бұрын
Unahakiri sana Mungu azindi kukuongoza
@azizamvungi18719 ай бұрын
Pambana na Mungu atakuzidishia😊
@trillhappybeautypoint98748 ай бұрын
🔥🔥
@OmanOman-bm1lr8 ай бұрын
Ameen
@user-gq9gd1zn9w8 ай бұрын
Ongera sana
@faudhahamisi75888 ай бұрын
Mashallah 🥰
@evachuwa38099 ай бұрын
🙏🙏🙏💪🥰
@ndogolofadhila62039 ай бұрын
Hadi raha
@lightnessabdallah23409 ай бұрын
Nifa umefanana na mama ake
@anithakayozanakupenda948 ай бұрын
Ongera Sana nifeer
@Ramadhansaidy-zk2fb9 ай бұрын
Umeganya lamaana san nifer
@user-zi3lo4yp4x9 ай бұрын
Hujajiunga wew😮
@user-uc6xe7ht4k
9 ай бұрын
😂 freemasons
@user-sn4dl4qb3g8 ай бұрын
Kama kweli anaolewa siamini kama mume wake angekubali kununuliy mama yake hiyo majengo hiii njo inaitwa nguvu ya mwanamuke
Пікірлер: 152
Huyu binti huwa namuelewa saana, hongela saana na uwe na moyo huohuo wa kutunza wazazi wako ndo kila ki2❤❤❤❤💯🙏
Hongera saana Niffer Allah azidi kukuongoza na kukubarikia kwa cc tulio toka Bukoba tunakuombea saana Dua'a njema kwa kumtanguliza mamaako qabla yako na njia ya kufanikiwa ni kumpa furaha mzazi wako..endelea kutafuta vya halali ubarikiwe..Mkama Mungu akubere, akuwe omugisha, Wakora muno muno
😢😢😢😢😢😢kila nikiangalia nilipo toka daaah Alhamdulillh❤❤❤❤❤masha Allah Niffer ake
Hongera saaaaaaaaaaanaaa Niffer umefanya jambo zuri kumueshimisha mzazi wako 🙏💐❤️💖
Ongera sana. Mwanangu wanaojari kudangamjini na kupanga nyumba zagarama bila kuangari mazingiraya mzazi wacha wachukuemfano kwako
Mashaallah hongera sana mdogo wangu mungu akujalie maisha malefu inshaalla akuondole hasadi
Kawamotivate vijana wenzie mashaalah bint hongera sana tunakupendaa sna nakupenda hufake maish mwaya utafika mbaliii muhaya wetu
Congratulations niffer your shero always ,never give up for any situation
Hongera sn! Miji2 mingine inadanga tena inachuna waxaxi badala liwasaidie.Malaya ni mslaya tu.Hongera kubwa mnoo.
Maa Shaa Allahu Tabaaraka Allahu
Mjengee tu maana mama alikuzaa mno mzuri mzuri sana wewe Niffer.
Mashaallah hongera sanaa kipenzi Niffer❤❤
Huyu bint ana Akili Sana tena atafika mbali Sana
@kabwelasutiviraka4765
9 ай бұрын
Muhaya huyo bila shaka ukiwa na biashara za kuzuga mjini na kuuza kuma unafanikisha hao wahaya hawajui kukataa ukiwa na pesa zao hata wanaume 20 mtachanganywa !
@busnaoman9981
9 ай бұрын
@@kabwelasutiviraka4765😂😂😂
@nancyg8664
9 ай бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 nawewe kauze yako kama utajenga ata jiko, kama rahisi
@rahmaoman470
9 ай бұрын
Heeee wew😢
@neema_mollel
9 ай бұрын
@@kabwelasutiviraka4765😂😂kwani kabwela hunaga jema what's wrong with you
Hongera sana niffer ww ni mdada ambae unajitambua sana 🥰
MashAllah Allah akujaze kila la kheri ongera kwa kumjali Mama
Hongera sana Nifa. Kuna wasanii wengine kujiproud mjini hata kwao hawafiki. Waige mfano kwako
MashaAllah MashaAllah Mwenyeez Mungu akuzidishie pale ulipotoa kwa ajili ya familia yako umefanya jambo kubwa kwa mzazi na ndugu
Mtoto mdg akili nyingi hongera zako
Hongera sana kwao, Kwani watanzania kuongea kiswahili moja kwa moja tunashindwa nini?? Halafu wale wenye ngeli kweli huwa wanatumia lugha moja tu wakiongea labda na vinogesho vya bahati mbaya apa na pale..ila sasa web zetu vizubgu vya kuunga tutajua hatujui,interview unaulizwa kiswahili we unajibu kingereza😂😂😂😂mbona..
@nancyg8664
9 ай бұрын
Jaman ni upendeleo wa mtu hamna restriction kwenye lugha ndomana iyoiyo English inafundishwa mashuleni na hatukatazwi kuongea popote tunapotaka.
@svt3
9 ай бұрын
@@nancyg8664tatizo wanao changanya ukimuambia sasa tuongee ama interview iwe kwa kingereza pekee ndio utajuwa kumbe hawajuwe kingereza
Hongera Niffer Utafika mbali.Nakupenda❤❤
Niffer anajitambua wanaume mnakwama wapi??
MashaAllah Aka bachuchu Mombasa 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongera sana binti.
Mashallah Tabaraka Allah mungu akuzidishie dadangu kwani ushatimiza lengo lilokua likikuumiza maishani mwako kuhusu mzazi akae sehemu sahii Mashallah nakupenda sana from kenya ❤❤
Hongera sana Mungu azidi kukuinua ktk kila hatua upigayo.
Imenitoa machoz san but one day yes
@sophiakassim6784
9 ай бұрын
Aamiin yaa rabbi
Allahumma bareek inshaallah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera sn wengi wanatamani tufanye hivyo lkn malengo hawafiki.i kwa hilo hongera sn Mungu akupe miaka mingibna heri duniani akupe kila hitaji la moyo wako
We dada Ubarikiwe,, acha wengine wadangee , again Ubarikiwe. .
@user-qq6mv6vh3e
9 ай бұрын
Hakika
Safi Sanaa watoto wakike nijembe nawapa ga asilimia mia
Mungu atakufikisha mbali
Hongera bint yetu mungu awe nawe daima
I love this girl❤
Nampenda huyu dada
Akili nyingi niffer❤
MashaAllah...
Mashaallah ❤️ ❤️ hongera sana my Allah akujalie kz ya mikono yako
Hongera mamy MUNGU azid kukujaalia roho ya kumfanyia mama makubwa zaid na mm napenda sik moja aje afurah kama hiv
Huyu dada ni mdogo ila ana akil
Natamani na mm siku mmoja niwe hivyo na mm
Ma Shaa Allah 🤲
Amenenepa mashaa ALLAH
Mimi huanasemaga kumpa mama furaha zawadi y nyumba nizawadi kubwa nikua umemsitiri mama jua kwamba ni yko wewe mwenyewe ila nikua umemweka mahali pa zuri
Wana wake bongo ya wasani ni watatu lady je dee , shilole,niffah wengine ucwara tumaisha ya kuigiza😂😂😂😂😂
MASHALLAH.Umeweza.
Hongera sana
Hongera sana binti umeweza
Masha Allah
MashaAllah ❤❤❤
Manshaallah
Umefanya vizuli san dd yang uko saw🎉
Ameen Yaarab 🤲🤲🤲 Maashallah Allah amjalie zaidi.
Mashaallah
Mungu akubarik jamn
Ameen All best ❤
Daah hongera sana dada
Is bigger house,Iiii 6. Hongera
Hongera sanaaaana dad's niffer mung akuzidisshie
Hongeraa Sana Sana
Hongera zako dada umeweza
Maa shaa Allah
maa shaa Allah😍😍😍😍😍😍😍
MAINSHAALAH
Waoo Niffa ongera sana kwa kumpenda mama yako
Hongeraa bint
Hongera mm pia nataman kuwa hapo uliko
Ongera niffer❤
Maishallah
Hongera Niffer
Alleef mabroukh
In shaa Allah atujaalie🤗🤗🤗🤝🤝🤝
I proud of you ❤
From 🇧🇮mashaallah ❤️
@NiyonzimaspesSpes
Ай бұрын
Bite
MashaaAllah
Ukiwa unauwakika wa kuingiza pesa yani unajenga fasta tu ss wengine miaka ss nyumba azijaisha lnshallhantizidi kupambana nilitamani na mm mama yangu aone kidogo changu😢😢
Good girl
Mashalllah naic❤
Mungu akuzidishie
Hongera sanaaaaa
Una akili sana.Hongera
Wow safiiiiiiiiiii
Ajengewe sanamu yake ❤
🎉
👏🤝👌
0:22 0:24
Unahakiri sana Mungu azindi kukuongoza
Pambana na Mungu atakuzidishia😊
🔥🔥
Ameen
Ongera sana
Mashallah 🥰
🙏🙏🙏💪🥰
Hadi raha
Nifa umefanana na mama ake
Ongera Sana nifeer
Umeganya lamaana san nifer
Hujajiunga wew😮
@user-uc6xe7ht4k
9 ай бұрын
😂 freemasons
Kama kweli anaolewa siamini kama mume wake angekubali kununuliy mama yake hiyo majengo hiii njo inaitwa nguvu ya mwanamuke
❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mashaaallah