No video

NJIA RAHISI YAKUOMBA DUA YAKUMNASA ANAEKUROGA AU ANAEKUFANYIA UBAYA

Wasiliana na Sheikh Nassoro Muhammad kwa namba hizi 0717749113 kwa Maswali, ushauri na kwatiba za kuwatoa majini na vifungo mbalimbali
⚫️ WASILIANA NASI MIRAJ KHAN ( WHATSAPP +255 713 730 907), ( +255 745 661 711)
⚫️ Email: buikhan21@gmail.com

Пікірлер: 31

  • @user-yg3re7tw2h
    @user-yg3re7tw2h11 ай бұрын

    Allah akuhifadhi inshallah,,

  • @saadamasud4591
    @saadamasud4591 Жыл бұрын

    Shukraani shekhe allah akupe afya inshaallah napenda kusikiliza mawaidha ALHAMDULILAH

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983Ай бұрын

    Nakupenda kwa ajili ya Allah mpaka machozi yananitoka

  • @AishaAthimani
    @AishaAthimani2 ай бұрын

    Jazakallah khair shekh ALLAH akupe afya nimefaidika na masomo yako yasini imenifungua vifungo Alhamndulillah

  • @user-ms1sz4mq9m
    @user-ms1sz4mq9m Жыл бұрын

    Mwenye ezimungu ukuzidishieujuzi

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed1991 Жыл бұрын

    Amiin mungu akupe afya

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 Жыл бұрын

    Shukran Sheikh Allah akupe afya na umri mrefu na baraka tele.

  • @mtawasimbonde4562
    @mtawasimbonde45622 жыл бұрын

    Nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @fwk584
    @fwk584 Жыл бұрын

    Shukran kwa mafunzo.kwa wale ambao sio waislamu Huwa munawafanyia dua

  • @nasirshekhi6070
    @nasirshekhi60702 жыл бұрын

    Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️🤲

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g2 жыл бұрын

    إن الحسنات يذهبن السيئات

  • @welcomeorange7357
    @welcomeorange73572 жыл бұрын

    Tabarak Rahman Allah akulinde

  • @user-bk2de8ov6c
    @user-bk2de8ov6c5 ай бұрын

    Bismillah

  • @sheikhdoctorabdurahmani6194
    @sheikhdoctorabdurahmani6194 Жыл бұрын

    Tunashukur sana mwalim

  • @husseinrashidi5828
    @husseinrashidi58282 жыл бұрын

    Ayya yenyewe unaisoma vibaya

  • @FatumaMwaluhanga-ui3kl

    @FatumaMwaluhanga-ui3kl

    9 ай бұрын

    Kasome wewe

  • @malyunyerrow7753
    @malyunyerrow77539 ай бұрын

    Asalaam aleykum sheikh

  • @alikhamees3342
    @alikhamees3342 Жыл бұрын

    Wengine mtambiwa ingieni peponi mtahitaji dalili yakuingia peponi... au

  • @sfiaalanazi5479

    @sfiaalanazi5479

    Жыл бұрын

    Wanasinya aki wame zoea kurogwa hao

  • @FatumaMwaluhanga-ui3kl

    @FatumaMwaluhanga-ui3kl

    9 ай бұрын

    Umesema kweli maana utafikili wanadalili yakuvaa suruali

  • @raqmaanu466
    @raqmaanu4662 жыл бұрын

    Hayo maneno shk walau uwe unatupa na dalili katika mafundisho ya sunna Tuseme hivyo

  • @1nesoch

    @1nesoch

    Жыл бұрын

    Wewe ndugu, ukitumia falsafa yako hio, nakuomba usiongeze kutumia huu mtandao wa KZread ila umetuleteya dalili katika mafundisho ya sunna, ya kutumia KZread video. Sio kila elimu iko katika Sunna.

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    10 ай бұрын

    ​@@1nesoch😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @sadihashimu4664

    @sadihashimu4664

    2 ай бұрын

    Imeandikwa wapi utumie simu ? Tupe dalili mtume wapi alitumia mitandao ya kijamii🙄🤔

  • @raqmaanu466
    @raqmaanu4662 жыл бұрын

    Wachawi hawavai vazi la heshma

  • @mwalimumwanyongo880

    @mwalimumwanyongo880

    Жыл бұрын

    Acha hasadi wewe, mnatafuta mtu anapokosea tu mumkosoe maana mnajua kila kitu

  • @malyunyerrow7753
    @malyunyerrow77539 ай бұрын

    Hii namba unaweza piga WhatsApp??

  • @salhiamkubwa1560
    @salhiamkubwa15602 жыл бұрын

    Dalili wa hili ni lipi!?

  • @mwalimumwanyongo880

    @mwalimumwanyongo880

    Жыл бұрын

    Wewe Kaa tu hapohapo isubiri dalili itakuja, tunafanya madhambi chungu tele na Wala hatuhitaji dalili ya madhambi yetu

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    10 ай бұрын

    ​@@mwalimumwanyongo880😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @FatumaMwaluhanga-ui3kl

    @FatumaMwaluhanga-ui3kl

    9 ай бұрын

    Nenda kamuulize alie kuzaaa

Келесі