SIRI YA SURA YASIN KATIKA KUONDOA HARAKA MARADHI YA MAJINI NA UCHAWI
Wasiliana na Sheikh Nassoro Muhammad kwa namba hizi 0717749113 kwa Maswali, ushauri na kwatiba za kuwatoa majini na vifungo mbalimbali
⚫️ WASILIANA NASI MIRAJ KHAN ( WHATSAPP +255 713 730 907), ( +255 745 661 711)
⚫️ Email: buikhan21@gmail.com
Пікірлер: 66
Shukran sana sheikh nafanyia kazi hili inshaallah, jaafar kutoka kahama
Mashaallah tabaraka Allah allah akujazi kheri fidunia wal akhera
Allah_akulipe_kheri_DAIMA_nimefurahii_sana_yasin_ni_kisomo_kizito
Mola akupe kila la heri duniani na ahera asanti sana
Allah akupe kila la kheri amiin upo sahihi
Maashaallah shekh nassor nakupenda kwajili ya Allah unatupa faida kubwa sana wallahi
@rehema5110
Жыл бұрын
mashallah
Alhamndulillah Namuomba ALLAH Akujalie Zaidi Amiina
Manshallah Allah akujaze Amani akupe kila la kheri akufungulie riski akupe umri murefu wenye furaha manshallah
Jazzaqallahu kheri, Al akhiy Allah s.w) akuifadhi mzee wa kazi
Asalam alykum waramatullah warakaatu shekh Nassoro tuletee ya kujifunga mwili inshaallah shukran shekh wetu Allah akuhifadhi.
@user-pc6io7wt5l
4 ай бұрын
Tunaomba tuletee za kujifunga miili sasa maan ni hatar sana
Mungu yakupe kila cha kheri amin shukrana
Shukrani Sana shekh wetu Qur'an ni tiba sema ibilisi anatuzonga na usingizi
@sfiaalanazi5479
8 ай бұрын
Kabisa ukitaka tu kusoma quran wasinzia
Alhamndulillah shekh wangu nilisoma nilipatwa na mambo makubwa nilitapika sana vitu vikaanza kunitembea mwili mzima yamejitokeza majini yanasema yalipotoka
@muddymuzungu4357
4 күн бұрын
Allahu Akbar Pole sana Aisha Allah akufanyie wepesi yatoke
Shukrani djazila
Alihamdullilah Yah Rabb, Aksante sana Sheikh
Mashaallah ❤
Mashallah mashallah mashallah sheikh jazakallahul khair
Kwenye kila alamnashrah unaanza na Bismillah au unaunganisha?
shukran shekhe
shukran sana shekhe
Mashallah 🙏
Shekhe barakallahu shukrani
Mashaalah
Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu,shehe namiaka zaidi ya ishirini naumwa jamani nisaidieni dua
بارك الله فيك
Jazakallah khair
Shekhe mm nimesoma nikaona miujiza mikubwa
@lifeinmiddleeast8179
9 ай бұрын
Twambie umefanyeje umesema alamnshrah jumla 498
@muddymuzungu4357
4 күн бұрын
Umeona nn dada tupe ushahidi
JAZAKA LWAHL-KHEIR
Asalamalekum sheikh kama hujii kuisoma yassin je
Shukrani al akhy
Uko vizuur Alhabib
Asalaam alaikum sheikh wangu.Msaada Wako HASAD imenikumba Hali ya kiuchumi inazidi kuporomoka ,Wateja wamekoma na Hali imenibadilikia Sana
Bismillahi Rahman Rahmi niyamuhimu sana.
Mashaallah
SHUKRAN
Asalam aleykum hakika nitasadiki maana surat Yassin ilinikomboa na uchawi na majini,ALLAH KAREEM 🙏
@Namanda425
Жыл бұрын
Vipi ilikukomboa
@lifeinmiddleeast8179
10 ай бұрын
@@Namanda425ni kweli namimi imenisaidia Sana unaisoma mara 3 kila ikifika mubin unasimama na kusoma alamnshrah 10, ukimaliza.sema ya rabbi nifungue vifungo vya kishetani mpaka unamaliza
Asalaam aleikhum shekhe. Nafaa hiki kisomo nisome mara ngapi labda Kwa wiki? Shukran
Asant ustadhi
Naam shukran sana,kwakuzingua nyumba imefungwa kichawi tunaweza tumia utaratibu huo?
As salaam alaykum wa rahamatullahi wa barakaatuh Akhil kariim Baarakallahu fiik! Mimi Nina swali ! Nimepata clip hii Leo lakini nataka niulize tu haya yalioaungumziwa hapa yanapatikana katika kitabu Gani? Na ni Nani katika wema walio tangulia ameyafunza haya ? Ao Mtume (Rehma Na Amani ziwe juu yake) kayafunza haya kweli ? Naomba Ndugu yangu Lillahi unipe ushahidi
Bismillah
Shekh wangu niendele kusoma tena yatatoka?
Kama mimi sijuwi ata kusoma nishaumwa sikunyingi na nishahangaika shehe sasa kama kusoma hatujuwi tunaweza kusomewa
Mími sijui kusoma kurani lkn naomba kisomo
@lifeinmiddleeast8179
10 ай бұрын
Jifunze utajua
@alimwamgunga3588
8 ай бұрын
Unaweza kusomewa kaka ukihitajia
Shehe tunataka kusomewa
Mm nauliza unavyosoma Surat Inshrah unaanza bismillahi au unasoma bila bismillahi
@zakariaathman9019
Жыл бұрын
Lazima bismillahy
@kassimukilima
Жыл бұрын
unaunginisha. unapoanza na Bismilahi maana unaanza kitu kingine
ahsante sana sheikh ila nna suali moja ukisoma hio mubiyn ya saba ukasoma huo sura alamnashrah zote , unaishiya hapo nakuomba dua zako au unamalizia yasin tena adi mwisho??
@aminaally5436
Жыл бұрын
Unamaliziy
@adelinibrahim9283
Ай бұрын
Mpaka mwisho utamaliza
Kwa siku ngapi
Shekhar ikiwa namsomea mtu??????
@mirajkhan_
2 жыл бұрын
Mpigie sheikh kwenye namba yake kwa maelezo zaidi
@alhajjanabi1298
Жыл бұрын
NAOMBA NAMBA YAKO SHEIKH WANGU