SIRI YA SURA YASIN KATIKA KUONDOA HARAKA MARADHI YA MAJINI NA UCHAWI

Wasiliana na Sheikh Nassoro Muhammad kwa namba hizi 0717749113 kwa Maswali, ushauri na kwatiba za kuwatoa majini na vifungo mbalimbali
⚫️ WASILIANA NASI MIRAJ KHAN ( WHATSAPP +255 713 730 907), ( +255 745 661 711)
⚫️ Email: buikhan21@gmail.com

Пікірлер: 66

  • @japharymakula262
    @japharymakula2624 ай бұрын

    Shukran sana sheikh nafanyia kazi hili inshaallah, jaafar kutoka kahama

  • @janataninaim9193
    @janataninaim91932 жыл бұрын

    Mashaallah tabaraka Allah allah akujazi kheri fidunia wal akhera

  • @habibakhalfan1065
    @habibakhalfan1065 Жыл бұрын

    Allah_akulipe_kheri_DAIMA_nimefurahii_sana_yasin_ni_kisomo_kizito

  • @nasramohamed9497
    @nasramohamed9497 Жыл бұрын

    Mola akupe kila la heri duniani na ahera asanti sana

  • @welcome-qk6ps
    @welcome-qk6ps2 жыл бұрын

    Allah akupe kila la kheri amiin upo sahihi

  • @aishaabdallah5838
    @aishaabdallah5838 Жыл бұрын

    Maashaallah shekh nassor nakupenda kwajili ya Allah unatupa faida kubwa sana wallahi

  • @rehema5110

    @rehema5110

    Жыл бұрын

    mashallah

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed8 ай бұрын

    Alhamndulillah Namuomba ALLAH Akujalie Zaidi Amiina

  • @binthatv2794
    @binthatv27942 жыл бұрын

    Manshallah Allah akujaze Amani akupe kila la kheri akufungulie riski akupe umri murefu wenye furaha manshallah

  • @athumanimachozi3360
    @athumanimachozi33602 жыл бұрын

    Jazzaqallahu kheri, Al akhiy Allah s.w) akuifadhi mzee wa kazi

  • @sfiaalanazi5479
    @sfiaalanazi54798 ай бұрын

    Asalam alykum waramatullah warakaatu shekh Nassoro tuletee ya kujifunga mwili inshaallah shukran shekh wetu Allah akuhifadhi.

  • @user-pc6io7wt5l

    @user-pc6io7wt5l

    4 ай бұрын

    Tunaomba tuletee za kujifunga miili sasa maan ni hatar sana

  • @saandiyamusilm399
    @saandiyamusilm399 Жыл бұрын

    Mungu yakupe kila cha kheri amin shukrana

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast817910 ай бұрын

    Shukrani Sana shekh wetu Qur'an ni tiba sema ibilisi anatuzonga na usingizi

  • @sfiaalanazi5479

    @sfiaalanazi5479

    8 ай бұрын

    Kabisa ukitaka tu kusoma quran wasinzia

  • @AishaAthimani
    @AishaAthimaniАй бұрын

    Alhamndulillah shekh wangu nilisoma nilipatwa na mambo makubwa nilitapika sana vitu vikaanza kunitembea mwili mzima yamejitokeza majini yanasema yalipotoka

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    4 күн бұрын

    Allahu Akbar Pole sana Aisha Allah akufanyie wepesi yatoke

  • @rolandolussoca8124
    @rolandolussoca8124Ай бұрын

    Shukrani djazila

  • @simwangepierre4036
    @simwangepierre4036 Жыл бұрын

    Alihamdullilah Yah Rabb, Aksante sana Sheikh

  • @user-sk7ir2nv1z
    @user-sk7ir2nv1zАй бұрын

    Mashaallah ❤

  • @hidayahemedi9423
    @hidayahemedi94232 жыл бұрын

    Mashallah mashallah mashallah sheikh jazakallahul khair

  • @salummnguruta4518
    @salummnguruta4518 Жыл бұрын

    Kwenye kila alamnashrah unaanza na Bismillah au unaunganisha?

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed1991 Жыл бұрын

    shukran shekhe

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed19912 жыл бұрын

    shukran sana shekhe

  • @FatumaTwalib-so9wj
    @FatumaTwalib-so9wj Жыл бұрын

    Mashallah 🙏

  • @abdulmalickupete9015
    @abdulmalickupete90152 жыл бұрын

    Shekhe barakallahu shukrani

  • @chimenyamwatuwa7341
    @chimenyamwatuwa7341 Жыл бұрын

    Mashaalah

  • @HajrahRamadan
    @HajrahRamadan15 күн бұрын

    Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu,shehe namiaka zaidi ya ishirini naumwa jamani nisaidieni dua

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi33772 жыл бұрын

    بارك الله فيك

  • @welcomeorange7357
    @welcomeorange73572 жыл бұрын

    Jazakallah khair

  • @nurusalumu8663
    @nurusalumu8663 Жыл бұрын

    Shekhe mm nimesoma nikaona miujiza mikubwa

  • @lifeinmiddleeast8179

    @lifeinmiddleeast8179

    9 ай бұрын

    Twambie umefanyeje umesema alamnshrah jumla 498

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    4 күн бұрын

    Umeona nn dada tupe ushahidi

  • @mwanamakahaji240
    @mwanamakahaji2403 ай бұрын

    JAZAKA LWAHL-KHEIR

  • @nebulanhiijjj
    @nebulanhiijjj Жыл бұрын

    Asalamalekum sheikh kama hujii kuisoma yassin je

  • @abdulmalickupete7540
    @abdulmalickupete75402 жыл бұрын

    Shukrani al akhy

  • @israkikitano311
    @israkikitano3112 жыл бұрын

    Uko vizuur Alhabib

  • @omaryjongo7436
    @omaryjongo74365 ай бұрын

    Asalaam alaikum sheikh wangu.Msaada Wako HASAD imenikumba Hali ya kiuchumi inazidi kuporomoka ,Wateja wamekoma na Hali imenibadilikia Sana

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani64186 ай бұрын

    Bismillahi Rahman Rahmi niyamuhimu sana.

  • @munaisa5850
    @munaisa5850 Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @user-wq8lp4th2b
    @user-wq8lp4th2b4 ай бұрын

    SHUKRAN

  • @aminamkindi922
    @aminamkindi9222 жыл бұрын

    Asalam aleykum hakika nitasadiki maana surat Yassin ilinikomboa na uchawi na majini,ALLAH KAREEM 🙏

  • @Namanda425

    @Namanda425

    Жыл бұрын

    Vipi ilikukomboa

  • @lifeinmiddleeast8179

    @lifeinmiddleeast8179

    10 ай бұрын

    ​@@Namanda425ni kweli namimi imenisaidia Sana unaisoma mara 3 kila ikifika mubin unasimama na kusoma alamnshrah 10, ukimaliza.sema ya rabbi nifungue vifungo vya kishetani mpaka unamaliza

  • @jenephawangui7472
    @jenephawangui74722 жыл бұрын

    Asalaam aleikhum shekhe. Nafaa hiki kisomo nisome mara ngapi labda Kwa wiki? Shukran

  • @user-yi8yr9gl8i
    @user-yi8yr9gl8i4 ай бұрын

    Asant ustadhi

  • @RazzackNdayambaje
    @RazzackNdayambaje24 күн бұрын

    Naam shukran sana,kwakuzingua nyumba imefungwa kichawi tunaweza tumia utaratibu huo?

  • @AbujannatyRayaan-sf4fx
    @AbujannatyRayaan-sf4fx23 күн бұрын

    As salaam alaykum wa rahamatullahi wa barakaatuh Akhil kariim Baarakallahu fiik! Mimi Nina swali ! Nimepata clip hii Leo lakini nataka niulize tu haya yalioaungumziwa hapa yanapatikana katika kitabu Gani? Na ni Nani katika wema walio tangulia ameyafunza haya ? Ao Mtume (Rehma Na Amani ziwe juu yake) kayafunza haya kweli ? Naomba Ndugu yangu Lillahi unipe ushahidi

  • @user-bk2de8ov6c
    @user-bk2de8ov6c4 ай бұрын

    Bismillah

  • @AishaAthimani
    @AishaAthimaniАй бұрын

    Shekh wangu niendele kusoma tena yatatoka?

  • @user-yi8yr9gl8i
    @user-yi8yr9gl8i4 ай бұрын

    Kama mimi sijuwi ata kusoma nishaumwa sikunyingi na nishahangaika shehe sasa kama kusoma hatujuwi tunaweza kusomewa

  • @marohoibramaroho7511
    @marohoibramaroho751111 ай бұрын

    Mími sijui kusoma kurani lkn naomba kisomo

  • @lifeinmiddleeast8179

    @lifeinmiddleeast8179

    10 ай бұрын

    Jifunze utajua

  • @alimwamgunga3588

    @alimwamgunga3588

    8 ай бұрын

    Unaweza kusomewa kaka ukihitajia

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib3 ай бұрын

    Shehe tunataka kusomewa

  • @abilahirufai8269
    @abilahirufai82692 жыл бұрын

    Mm nauliza unavyosoma Surat Inshrah unaanza bismillahi au unasoma bila bismillahi

  • @zakariaathman9019

    @zakariaathman9019

    Жыл бұрын

    Lazima bismillahy

  • @kassimukilima

    @kassimukilima

    Жыл бұрын

    unaunginisha. unapoanza na Bismilahi maana unaanza kitu kingine

  • @chibarmohamed1913
    @chibarmohamed1913 Жыл бұрын

    ahsante sana sheikh ila nna suali moja ukisoma hio mubiyn ya saba ukasoma huo sura alamnashrah zote , unaishiya hapo nakuomba dua zako au unamalizia yasin tena adi mwisho??

  • @aminaally5436

    @aminaally5436

    Жыл бұрын

    Unamaliziy

  • @adelinibrahim9283

    @adelinibrahim9283

    Ай бұрын

    Mpaka mwisho utamaliza

  • @user-yi8yr9gl8i
    @user-yi8yr9gl8i4 ай бұрын

    Kwa siku ngapi

  • @hamzamatar6708
    @hamzamatar67082 жыл бұрын

    Shekhar ikiwa namsomea mtu??????

  • @mirajkhan_

    @mirajkhan_

    2 жыл бұрын

    Mpigie sheikh kwenye namba yake kwa maelezo zaidi

  • @alhajjanabi1298

    @alhajjanabi1298

    Жыл бұрын

    NAOMBA NAMBA YAKO SHEIKH WANGU