TAJIRIKA HARAKA KWA KUTUMIA SURATUL WAQIAH, ISOME KWA UTARATIBU HUU

Wasiliana na Sheikh Nassoro Muhammad kwa namba hizi 0717749113 kwa Maswali, ushauri na kwatiba za kuwatoa majini na vifungo mbalimbali
⚫️ WASILIANA NASI MIRAJ KHAN ( WHATSAPP +255 713 730 907), ( +255 745 661 711)
⚫️ Email: buikhan21@gmail.com

Пікірлер: 51

  • @AbrahamManzi-db4gx
    @AbrahamManzi-db4gx3 ай бұрын

    Na Mimi naomba msada wa duwa nisomewe hii kwasababu nimejikita kwenye ufakiri wa Siku nyingi sana kbx Jina langu naitwa Ibrahim Rajab napayikana inci jirani ya Rwanda Kigali

  • @wahidaysf1278
    @wahidaysf12782 жыл бұрын

    Shukran snaa ustadh. Allah akuweke pamoja na kipenzi chetu mtume (saw)wetu peponi in shaaAllah

  • @anliomar4308
    @anliomar4308 Жыл бұрын

    Shukuran sana sheikh wangu mungu akubariki daima milele

  • @umutetsidayana5770
    @umutetsidayana5770 Жыл бұрын

    Allah akupe zaidi shehk wetu

  • @AbrahamManzi-db4gx
    @AbrahamManzi-db4gx3 ай бұрын

    Awww habari zenu bwana Cheikh

  • @AbrahamManzi-db4gx
    @AbrahamManzi-db4gx3 ай бұрын

    Shukrani kwako bwana Cheikh

  • @SaidKatuga-qx1xr
    @SaidKatuga-qx1xr2 ай бұрын

    Mtume ,saw kafundisha hayo kweli.toa ushahidi jamani usizungumzee tu

  • @nasirshekhi6070
    @nasirshekhi60702 жыл бұрын

    Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️🤲

  • @hyasintajoseph2589
    @hyasintajoseph2589 Жыл бұрын

    Shukran hapo inabid hapa mtu ufunge mkanda khaasa

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    10 ай бұрын

    Tena mkanda wa chuma

  • @user-uf6jm4jr7r
    @user-uf6jm4jr7r11 ай бұрын

    Allah akulipe kheri

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi33772 жыл бұрын

    بارك لله فيك

  • @selemansalum
    @selemansalum2 жыл бұрын

    Jazzakh la kheir maaljm

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast817910 ай бұрын

    😂😂21mara 7 wallah ni kweli nimejaribu lakin nimedondka mama mzigo

  • @wazirisalum8227
    @wazirisalum8227 Жыл бұрын

    Sheikh kwa hesabu ya chini hyo dua itachukua masaa 9 na dakika 8.

  • @Namanda425

    @Namanda425

    Жыл бұрын

    Yani lau ukaanza sa moja asubuhi utamaliza SAA tisa.

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    10 ай бұрын

    ​@@Namanda425hatari kweli. Si utakufa

  • @abdulmalickupete9015
    @abdulmalickupete90152 жыл бұрын

    Shukrani

  • @user-vf1su9ur5w
    @user-vf1su9ur5w Жыл бұрын

    Shuquran

  • @alidugesh
    @alidugesh Жыл бұрын

    Subhan Allah hamna dalili kabisa.... Naomba tufate quran na suna...... Siyo hawa na Shiekh kupoteza watu

  • @saidakunga2586
    @saidakunga25862 жыл бұрын

    a alahkum je muda sahihi ni upi

  • @asiamuhammad8718
    @asiamuhammad87182 жыл бұрын

    Sasa waqia 100 na zaidi si uchache wa yaqin kikubwa mtu kutengeneza mafungamano mazuri na mola wako kila kitu kitakaa sawa

  • @hussenkapaya4723

    @hussenkapaya4723

    Жыл бұрын

    Aalau aalam lakin ukifanya yanatokea kuwa na yakin

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    Жыл бұрын

    @@hussenkapaya4723 🙏🙏

  • @sondice3364
    @sondice33645 ай бұрын

    ivi vtu mnatoa wap jmn na mwenyez haikalfish nafsi kw ktu isichoweza

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv26742 жыл бұрын

    Jifunze qran kusoma na kuandika gusa picha yangu hapo

  • @foodcook3626
    @foodcook3626 Жыл бұрын

    Uliitumia wakati gani ?

  • @alidugesh
    @alidugesh Жыл бұрын

    Tuna omba dalili yake... Quran??? Au hadithi??? Wewe ni tajiri???? Wangapi wame tajirika na hi????

  • @ramadhaniadinani744
    @ramadhaniadinani7445 ай бұрын

    She masaa mangapi

  • @ramadhaniadinani744
    @ramadhaniadinani7445 ай бұрын

    Wanaingiza pesa tu

  • @SalumuMatimbwa
    @SalumuMatimbwa3 ай бұрын

    uyo anaye zungumza yeye tajir? hizo siri za surat waqiy na hayo matumiz mtume aliyaficha yeye ndio anatuambia

  • @zawaidarashid7099
    @zawaidarashid70996 ай бұрын

    Unaisoma muda gani sasa

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed19912 жыл бұрын

    mbona hupokei ukipigwa

  • @Abdulshakur_fawzan
    @Abdulshakur_fawzan11 ай бұрын

    sasa Kama nimuskiti muda ya usiku

  • @jamillahaidha8184
    @jamillahaidha81842 жыл бұрын

    IDADI kubwa sanaaa jamani 21 kweli kila mubiin Subhanallah nna dhiki sana ila hii nitaiweza kweli maana naamini dua bora niyakujiombea mwenyewe

  • @SheikhNassorMuhammad

    @SheikhNassorMuhammad

    2 жыл бұрын

    ondosha uvivu na kukata tamaa utafanikiwa inshaallah

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    Жыл бұрын

    Sio idadi kubwa Jamillah ukilinganisha na shida zetu Wallahi! Tujitahid kumlilia Allah SW

  • @alidugesh

    @alidugesh

    Жыл бұрын

    Hamna kitu hapo.... Ni uongo mtupu.... Hamna hadithi wala aya la hi jambo.... Ingekuwa ukweli mbona maskini bado ???? Yeye mwenyewe angekuwa ame park Lamborghini inje..... Tusikubali kila kitu

  • @lifeinmiddleeast8179

    @lifeinmiddleeast8179

    10 ай бұрын

    ​@@alidugeshwe huelew sis ni wavivu wa kusoma Qur'an hata angesema mara 2 bado si rahis mi nikaanza Tu usingizi mzito au naongea mambo ya ajabu

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    10 ай бұрын

    ​@@lifeinmiddleeast8179labda una majini

  • @Namanda425
    @Namanda425 Жыл бұрын

    Mubin ni nini?

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    Жыл бұрын

    Anamaanisha! Ukisoma suratu Yaasiin! Kuna aya ambazo mwisho wake kuna neno Mubiin

  • @shabanihassan8678
    @shabanihassan8678 Жыл бұрын

    Waqia kwa speed ina dakika 5 unaisoma mara 22x 7 (mubin Za yasin) = 5 x 22 x 7 = 770 dakika Sawa na masaa 12.8 takriban masaa 13 ukisoma slow itachukuwa takriba masaa 15-16 Ivi sheikh iyo kweliiiiii ao unatuongopea 😅😅😅😅 Mhhhh

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    10 ай бұрын

    Yani mda mrefu kweli.

  • @fredquinbi2389
    @fredquinbi23892 жыл бұрын

    Maneno ambayo hayana dalili mwisho nilijua ni udalali tu,,umsomee mtu Ili iweje

  • @broumaiyyah8018

    @broumaiyyah8018

    Жыл бұрын

    Dalili ya mvua au nn unataka!!

  • @sfiaalanazi5479

    @sfiaalanazi5479

    Жыл бұрын

    @@broumaiyyah8018 wanataka vya rahisi na hakuna walizoea kulala tu

  • @broumaiyyah8018

    @broumaiyyah8018

    Жыл бұрын

    @@sfiaalanazi5479 we km iman ako haikufany uamin tulia tuachie sie tunao amin

  • @sfiaalanazi5479

    @sfiaalanazi5479

    Жыл бұрын

    @@broumaiyyah8018 kabisaaa mtaka cha mvunguni sharti ainame sasa hizo waaqia 21 alikuwq yuwataka aambiwe2 😂😂😂😂

  • @lifeinmiddleeast8179

    @lifeinmiddleeast8179

    10 ай бұрын

    ​@@sfiaalanazi5479😅😅