TAJIRIKA HARAKA KWA KUTUMIA SURATUL WAQIAH, ISOME KWA UTARATIBU HUU
Wasiliana na Sheikh Nassoro Muhammad kwa namba hizi 0717749113 kwa Maswali, ushauri na kwatiba za kuwatoa majini na vifungo mbalimbali
⚫️ WASILIANA NASI MIRAJ KHAN ( WHATSAPP +255 713 730 907), ( +255 745 661 711)
⚫️ Email: buikhan21@gmail.com
Пікірлер: 51
Na Mimi naomba msada wa duwa nisomewe hii kwasababu nimejikita kwenye ufakiri wa Siku nyingi sana kbx Jina langu naitwa Ibrahim Rajab napayikana inci jirani ya Rwanda Kigali
Shukran snaa ustadh. Allah akuweke pamoja na kipenzi chetu mtume (saw)wetu peponi in shaaAllah
Shukuran sana sheikh wangu mungu akubariki daima milele
Allah akupe zaidi shehk wetu
Awww habari zenu bwana Cheikh
Shukrani kwako bwana Cheikh
Mtume ,saw kafundisha hayo kweli.toa ushahidi jamani usizungumzee tu
Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️🤲
Shukran hapo inabid hapa mtu ufunge mkanda khaasa
@Catherine-mh8sw
10 ай бұрын
Tena mkanda wa chuma
Allah akulipe kheri
بارك لله فيك
Jazzakh la kheir maaljm
😂😂21mara 7 wallah ni kweli nimejaribu lakin nimedondka mama mzigo
Sheikh kwa hesabu ya chini hyo dua itachukua masaa 9 na dakika 8.
@Namanda425
Жыл бұрын
Yani lau ukaanza sa moja asubuhi utamaliza SAA tisa.
@Catherine-mh8sw
10 ай бұрын
@@Namanda425hatari kweli. Si utakufa
Shukrani
Shuquran
Subhan Allah hamna dalili kabisa.... Naomba tufate quran na suna...... Siyo hawa na Shiekh kupoteza watu
a alahkum je muda sahihi ni upi
Sasa waqia 100 na zaidi si uchache wa yaqin kikubwa mtu kutengeneza mafungamano mazuri na mola wako kila kitu kitakaa sawa
@hussenkapaya4723
Жыл бұрын
Aalau aalam lakin ukifanya yanatokea kuwa na yakin
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
@@hussenkapaya4723 🙏🙏
ivi vtu mnatoa wap jmn na mwenyez haikalfish nafsi kw ktu isichoweza
Jifunze qran kusoma na kuandika gusa picha yangu hapo
Uliitumia wakati gani ?
Tuna omba dalili yake... Quran??? Au hadithi??? Wewe ni tajiri???? Wangapi wame tajirika na hi????
She masaa mangapi
Wanaingiza pesa tu
uyo anaye zungumza yeye tajir? hizo siri za surat waqiy na hayo matumiz mtume aliyaficha yeye ndio anatuambia
Unaisoma muda gani sasa
mbona hupokei ukipigwa
sasa Kama nimuskiti muda ya usiku
IDADI kubwa sanaaa jamani 21 kweli kila mubiin Subhanallah nna dhiki sana ila hii nitaiweza kweli maana naamini dua bora niyakujiombea mwenyewe
@SheikhNassorMuhammad
2 жыл бұрын
ondosha uvivu na kukata tamaa utafanikiwa inshaallah
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
Sio idadi kubwa Jamillah ukilinganisha na shida zetu Wallahi! Tujitahid kumlilia Allah SW
@alidugesh
Жыл бұрын
Hamna kitu hapo.... Ni uongo mtupu.... Hamna hadithi wala aya la hi jambo.... Ingekuwa ukweli mbona maskini bado ???? Yeye mwenyewe angekuwa ame park Lamborghini inje..... Tusikubali kila kitu
@lifeinmiddleeast8179
10 ай бұрын
@@alidugeshwe huelew sis ni wavivu wa kusoma Qur'an hata angesema mara 2 bado si rahis mi nikaanza Tu usingizi mzito au naongea mambo ya ajabu
@Catherine-mh8sw
10 ай бұрын
@@lifeinmiddleeast8179labda una majini
Mubin ni nini?
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
Anamaanisha! Ukisoma suratu Yaasiin! Kuna aya ambazo mwisho wake kuna neno Mubiin
Waqia kwa speed ina dakika 5 unaisoma mara 22x 7 (mubin Za yasin) = 5 x 22 x 7 = 770 dakika Sawa na masaa 12.8 takriban masaa 13 ukisoma slow itachukuwa takriba masaa 15-16 Ivi sheikh iyo kweliiiiii ao unatuongopea 😅😅😅😅 Mhhhh
@Catherine-mh8sw
10 ай бұрын
Yani mda mrefu kweli.
Maneno ambayo hayana dalili mwisho nilijua ni udalali tu,,umsomee mtu Ili iweje
@broumaiyyah8018
Жыл бұрын
Dalili ya mvua au nn unataka!!
@sfiaalanazi5479
Жыл бұрын
@@broumaiyyah8018 wanataka vya rahisi na hakuna walizoea kulala tu
@broumaiyyah8018
Жыл бұрын
@@sfiaalanazi5479 we km iman ako haikufany uamin tulia tuachie sie tunao amin
@sfiaalanazi5479
Жыл бұрын
@@broumaiyyah8018 kabisaaa mtaka cha mvunguni sharti ainame sasa hizo waaqia 21 alikuwq yuwataka aambiwe2 😂😂😂😂
@lifeinmiddleeast8179
10 ай бұрын
@@sfiaalanazi5479😅😅