NIKKI MBISHI NA JYGGA LOO KWENYE PUNCHLINE / MICHANO YA KILINGENI /HIP HOP
Ойын-сауық
PRO24 is a company founded in 2008,with the combination of multi talented Deejays from Tanzania playing the Best mixes from Africa and around the world.| MIXTAPES | HIP HOP| | R&B| | CRUNK| | REGGAE| | DANCEHALL| | HOUSE| | KWAITO| | NIGERIA| BONGO FLEVA| | GENGE| AND EVERYTHING YOU LOVE..|MORE INFO @ WWW.PRO24DJS.COM| @PRO24DJS
Пікірлер: 213
Watu hawaelewi mbishi ana freestyle...
Nikimbishi hamna kitu kujibeza tu jyga loo kamfunika sana jamaa katema cheche kinoma jygaa loo on the top
Jiggah! Simama Juu.... Nikki Kaa Chini.
Nikki mbishi Hana kitu kila siku anarudia mistari hiyo hiyo Hana huwezi
@tulisanga2023
5 жыл бұрын
Nik mbn umepoa mzazi afu jiga looo mbn kakazaa saana
Nikki umefanya nn duh dharau mbaya sana,big up gygaloo
Nakukubali jigga safi mwana kaza uyo niki miyeyysho tu sauti ya hip hop haiwi ivo kapooza
Hili jiga lo linajua mamae
NISHAPATA JIBU MAZEE... UKIMTOA CHID BENZ BONGO ANAFATA JIGGA LOO
@jamesmushi2552
5 жыл бұрын
Braza unaijua hip pop y bongo vzur
@nackplankton1669
5 жыл бұрын
Inawezekana
Nikki mbishi anajua tatzo anajijua Kama anajua ajaonesha uwezo wake hapo!😀😀😀 Unjuu!
@jwizzygang6680
4 жыл бұрын
Nikk lap acha masiala utapotea
JIGGA KAPANIA SANA YAAN 🔥🔥🔥
jigalo noma sana....afu upo international kinoma....ww ndio true definition ya bongo bahati mbaya dadek....
Jygga we ni mbwa nikki hafati
JIGA katisha sana
Nikki noma sana
Niki ka freestyle jigaloo kaimba zake lazima uone tofauti Niki Mbishi ni fire
@lubavaclassic7048
5 жыл бұрын
Amefristly Wapiii mashairi si iyoiyo ameiimba Michano 1o1. Clouds kaimba kule kwenyee 10 za maangamizi.. Iyoiyo ameimba pale times FM Relomi... Tatizo sofa tunazompa uku kitaani ndio zinamjaza maujinga anabaki kushuka Kila Leo.. Embu fatilia alivyokuwa akifristile kwajina DJ Fety wakishindana na Zilla na Yule Jamaal wa Mbagala utaona wazi Kuwa amebweteka.
@stanyshinemusic3347
5 жыл бұрын
Kaxingua amna freestyle apo kafunikwa apo
@moudymchemia6598
5 жыл бұрын
Kwani alikatwaza kuimba yake
@lubavaclassic7048
5 жыл бұрын
@@stanyshinemusic3347 amelewa sifaa mjinga uyuu
@lubavaclassic7048
5 жыл бұрын
@@moudymchemia6598 ndio hapo sasa...waswahili wanasema kuchamba kwingi utoka na kinyesi ndio ivyoooo
Big up jyga lo safi sana mwanangu umekaza, nikki acha dharau aisee huyu jamaa msimuite tena kwenye interview hana adabu
nikki kawa Kuma tu siyo mbishi tena
Poa sana fresh like huuh
Jayz wabongo jigalow ma men
Aaah Niki umezngua saloot kwa jigalooo
ila nikki ni hatar sana umeskia alivyoanzaa 😁😁😁😁
Ruge alivyokwambia acha uhuni mfanye biashara, he waz damn right..look at u, unapenda interview umelewa
Jigga low is so underrated.
@PRO24DJS
4 жыл бұрын
Kweli… yupo njema!!
Bado chid Benz hana mpinzan kwenye kipande cha freestyle
Jigalo ajab nikii hana issue. Jigalo ft benz noma
Jygaloo ameua
Niki mbixhi nikuma anachana uxenge amna kitu nikuma tu anapitwa na biga loo
Kazi kwanza mitungi baada ya kazi
Nikki umefunikwa babu
Jigaloo anazinguaga ila leo kafanya poa sana leo
Nikki mbishi msengi kweli
@abubackarramadhan5728
2 жыл бұрын
Kazingua
Safii jigaloo
Hip hop misingi, noma Sanaa wana hip hop lv so much ma Nicca
Nikki kafunikwa vibaya sana humu !!! hatari sana
@idrisjaffary6198
5 жыл бұрын
Ahh wapi we huoni uyo dogo alijianda iyo mistari ya kuandika unju kafree style alaf akaflow easy
Nikk mbish yuko tungi hapo
Nikki hpa ulisizi sana aisee sio poa unaongea kama hutak vle 😂😂😂😂😂 #Unju
Niki kastua kidogo ukimcheki vizur utagundua ( yuko bwiii)
Nikki mbishi🔥🔥🔥🔥🔥
Nikki miyeyusho halafu punguza mitungi bro unapewa heshima unaitwa radio fanya kwaajili ya mashabiki unafeli
Nikki ameanza kutumia. Yuko confidence zilizopitiliza,. Mizigo kichwani inampeleka km yupo Miami FM vile kumbe yupo kawe kwa mnyamani!!
unamuiga zizi we unju huweziiiiii
nick noma
Nikki mbishi haujafika bado na unaitaji nguvu za ziada kufikia malengo yako...unapea chance unachana kama unamuimbia dem wako geto ndio maana mtoki daily mnatubu umepata jina umeridhika saaa ukipata pesa itakuwaje jirekebishe mzee mashabiki wanakiu na wewe unata ushubwada kwenye mic...big up sana jigaloo
@TheBlkk100mk
5 жыл бұрын
Na hana ujumbe anao towa. Hajui kipangia maneno. Kuna maneno kama : kwamba, nilikwenda, nilitaka. Lazina atafute maneno mafupi na yenye kufahamika.
Nikk unazingua
Respect unju ur shown how u are LEGENDARRO
Hatar sana
Uyo jamaaa mwengne yko vzuli ila Nikki nimkali kwakua anajina kubwa
Huyu JYGGA LOO sio mtu mzuri,,,vichwa kama hivi mbona havitoki aiseee,,,,Tisha sana
Nikki Mbishi ana free style, Jygalooo anaimba mistari aliyoichora
Nikk mbishi ni mkali yani lyrical genius
nakubali san jz watz umetisha
Mbishi unakera sana cku izi hatuon ulipofika ushatepeta
duh! hii kivyovyote mbishi alikuwa bywiiii 😂
Niki mbishi acha zarau kaka
Unajuaa NIKI AMEANZAAA ACT KAMA ZILA ... UWEZOOOO WAKE UNAPUNGUAAA YAAAN ALAFU MISTARI ANARUDIAAA INTERVIEW TATU EAST AFRICA NA KWENYE THE PLAYLIST .....so uwezooooo Nicki unazinguaaaaaaa Jyger anaaasiraaaaa ...keep goin Nick unazingua unakujaaa interview umelewaaaa
jgaloo umemfunika niki pale ulipoanza na matatizo komaa utafika mbali
@avizpaul3086
5 жыл бұрын
chali anakomaa
@mo_zillaa5428
5 жыл бұрын
Hahahaaa!! Nick haez funikwa na anajua kama anajua so hatumii nguvu nyingi
Jgya unatishaa sanaaa.
Nikki leo kazingua labda katumia kidogo
Mbishi Hapa Umezengua Sana 😅
Pumbavuuu nikk uo n uxengee dogo amekukumbizaa mbal ...najua unajua ila apo jygga amekuua kama umelazimixha x ungekataa tyu
Ka wa bongo tunahitaji kitu kama hii💪💪💪💪
Limelwa lisengwe
Niki mbishi anatia aibu sana cku izi
mamae Nikki unalewa sn cfa au kw 7bu mpinzani wko Zilla hayupo tna..
@mdachiog5211
5 жыл бұрын
Hilo nalo neno
Wamejaribu,,, Chidi Benz babayao
Nikki mbishi umetisha bro ulichokifny n nafasi yko inatakiwa uwe hvo
Oya laiya mbn kama mbajifany hamjui hip pop mazee.....njga loooo ni trap flow mzee
King of the fres tyl nikki mbishi saf umeshinda
achen ushamba unju alikua ..a chan freestyle... akiwa serious uyo noma mpk.kimasai freestyles ana piga uyo bongo ana mpnzan
JYGGA LOO.NI BABA YAOO EVERRY DAY ANDO EVERRY DAY.
Unju Umezingua mwamba, hebu kaa #Kitaalaamu tushinde@nikkimbishi
Nikki umezingua mzaz, dogo yupo vizuri. Kama vile umeshiba makande
yeeeeeeeah, ila nn nikki is ma hood at ila skuizi maringo mengi kwenye kipaza.
@mchinathegreat9619
5 жыл бұрын
Kayumba xana
Habari za kukazi ni pindi watu wanatafuta jina ila kwa nikki ka chana az star men! Nikki ni nomaaaa
Niki kasaisha huyoooo fara sana
Hata mm nnhetsha nikki anaznguaa
jigaa ni fireeeee
Niki ali free style ali rap kali sana 🔥🔥
Daahh kweli ntamkumbuka zilla
Huyu Jamaa mbona anaimba nyimbo zake sio freestyle
Nilikuepo akat ww na huyu hamna ushoga 😂😂 yaan urafiki
😂😂😂😂Unju mkali wa michano
Nikki yuko tungi'..
Nikki Mkali kuandika sio freestyle.
nikki kalewa
Unju was drunk or Wat he ain't serious
Nikki achakufree kilegend ndo mnaonekana kufunikwa nawatoto
Kiburi na dharau ni vitu vibaya sana Nikki
Huyo gygga loo anabalaa
Baba Nathan umeonyesh ukubwa
Aaah mbishii unazunguaa bhaanaa malingo meng afu ndo unapo felia apo ctunataka tuskie freestyle kalii
Pengo lake halitoziba r.i.p mangwea hakuna atakae kufikia kwa freestyle
DaDeqqqqqqqqqq uyu jyga loo ni nyoko
Unju acha kuringa,unapopewa chana kwa respect..Unajijua unajijua ndio maana unaringa
Nikki katuzengua
Unju....!!Nikki Mbish.
Jygga nimekukubar
Huyu Nikki Mbishi wa sasaiv amekuwa mtu wa kudiss sana
Legendary Nikk mbish
#Nikki ni More lyrical than #jayz2