NI BALAA, MCHUNGAJI MSIGWA APOKELEWA KWA KISHINDO CCM IRINGA, ATOA KAULI NZITO
#UhondoTV #Uhondo
Жүктеу.....
Пікірлер: 32
@exaverysimon106414 күн бұрын
SAF SANA ISHI MAISHA YAKO BRO USIWASIKILIZE WABONGO SIKILIZA MOYO WAKO MAN SO KAMA UNAJISKIA KUKAA CCM WE TULIA ZAKO WASIKUPANGIE MAISHA
@madegezakayo323215 күн бұрын
Kweli hela shetan sana
@JonathanMatembo15 күн бұрын
Mnafki uyooooo,msaliti uyooooo,shetani wa mguu mmoja
@ShamteMohmed-ed2kk15 күн бұрын
Ongera msigwa chapa kazi
@user-uz9mw1ie6z15 күн бұрын
Inasikitisha lkn hamna namna..... Njaa MBAYA sn
@emanuelmushi991715 күн бұрын
Msigwa wala hakua na mvuto wowote asjidanganye
@madegezakayo323215 күн бұрын
Huoni hata aibu mchungaji gan msalit
@user-vp1zu3fb5w15 күн бұрын
MSIGWA hajiamini ana wasiWasi
@user-id3sv2gu4p14 күн бұрын
Msigwaaa lud nyumban kumenogaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
@denisnjaila218214 күн бұрын
inaonekana kweli CDM walimuumiza aisee i can see it from this man's face
@user-uz9mw1ie6z15 күн бұрын
Imani yangu wananchi wa Iringa waamua juu Yako....
@user-cv9du5nc9y14 күн бұрын
Mpeni cheo
@PatrceKimario-ws6nl15 күн бұрын
Vijana hao wamepewa gogo jamani hata kichaa anaona haliilivyo mbaya hao wanaakili kweli? Watanania tunafeli kwaajili ya kukosa elimu na kufuata mkumbo
@leokamil6284
15 күн бұрын
Kabisa unaweza kulia ukitizama mazezeta wa nchi hii sijui nani atawazingua hawa fikra zao
@denisnjaila218214 күн бұрын
mbona kama anamsongo wa mawazo
@benedictgamuya885514 күн бұрын
Duuuh....
@Peterchipemba14 күн бұрын
Una zeeka baada ya kuingia kapu lashetani
@emanuelurio-ok8yl11 күн бұрын
Vipi uliyokuwa unaongea yalikuwa ya kweli au yalikuwa uongo mweshimiw Msigwa
@CharlesiPhilimoni15 күн бұрын
Hivi sisi watanzania katuroga nani msigwa alisema mwenyewe kuwa nikienda ccm nyumbayangu ichomwe moto leo kafanya hivi tuamini nini wanatuchezea sisi watanzania tusiwe wanyinga
@leokamil6284
15 күн бұрын
Wamelogwa na elimu umaskini upeo hawana ujinga na kupumbazwa
@jakobongwara303813 күн бұрын
Mwimwi kalogwa
@PenuelDaniel15 күн бұрын
😂😂😂 the song says...na msigwa...na msigwa how I Wonder how you are....😂😂😂
@johakhimu.mgembe.329715 күн бұрын
Masikio.ni ya namna gani 😂 ?
@johakhimu.mgembe.329715 күн бұрын
Watazaliwa Wasariti Wengi kuhujumu D. Akina Muzorewa na N.Sithole. Marafiki wa Aliyekuwa Ampendi Mugabe.Cheo tu. hivyo je Dhima ya Ukuu itakuwaje.Ungepigwa ningekutetea. Kwa Ajili ya Cheo Unasariti Upin zani.Ni Aibu kwa Jamii Funguka iliyokuamini.Tuna Mapopo wa Siasa Vyeo.Mtu Mzima.Utamaliza kwa ile nyimbo yenye mashairi Lukuki.
@frenksambo630115 күн бұрын
🐍
@user-io6yj9fs2h15 күн бұрын
Sasa angalia vijana kama kweli nchi hii inalaana wewe kijana kama uatimamu unakuwa mkeletwa wa ccm bogasi kabisa mkifiwa ndugu kumtoa malehemu hospital hela dawa hazipo hospital nyie mnao jifanya kushangilia njaa zinawasumbua wadogo zenu dalasa moja wanakaa watoto mia 50 alafu mtu analeta ushabiki wahovyo msigwa kaisha kua kupe huyo kajiunga nawanyonyaji
@fredrickmwakalinga639015 күн бұрын
Huyu Baba wa Taifa alituambia kuna wanasiasa malaya malaya mpka sura imezeeka ghafla
Пікірлер: 32
SAF SANA ISHI MAISHA YAKO BRO USIWASIKILIZE WABONGO SIKILIZA MOYO WAKO MAN SO KAMA UNAJISKIA KUKAA CCM WE TULIA ZAKO WASIKUPANGIE MAISHA
Kweli hela shetan sana
Mnafki uyooooo,msaliti uyooooo,shetani wa mguu mmoja
Ongera msigwa chapa kazi
Inasikitisha lkn hamna namna..... Njaa MBAYA sn
Msigwa wala hakua na mvuto wowote asjidanganye
Huoni hata aibu mchungaji gan msalit
MSIGWA hajiamini ana wasiWasi
Msigwaaa lud nyumban kumenogaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
inaonekana kweli CDM walimuumiza aisee i can see it from this man's face
Imani yangu wananchi wa Iringa waamua juu Yako....
Mpeni cheo
Vijana hao wamepewa gogo jamani hata kichaa anaona haliilivyo mbaya hao wanaakili kweli? Watanania tunafeli kwaajili ya kukosa elimu na kufuata mkumbo
@leokamil6284
15 күн бұрын
Kabisa unaweza kulia ukitizama mazezeta wa nchi hii sijui nani atawazingua hawa fikra zao
mbona kama anamsongo wa mawazo
Duuuh....
Una zeeka baada ya kuingia kapu lashetani
Vipi uliyokuwa unaongea yalikuwa ya kweli au yalikuwa uongo mweshimiw Msigwa
Hivi sisi watanzania katuroga nani msigwa alisema mwenyewe kuwa nikienda ccm nyumbayangu ichomwe moto leo kafanya hivi tuamini nini wanatuchezea sisi watanzania tusiwe wanyinga
@leokamil6284
15 күн бұрын
Wamelogwa na elimu umaskini upeo hawana ujinga na kupumbazwa
Mwimwi kalogwa
😂😂😂 the song says...na msigwa...na msigwa how I Wonder how you are....😂😂😂
Masikio.ni ya namna gani 😂 ?
Watazaliwa Wasariti Wengi kuhujumu D. Akina Muzorewa na N.Sithole. Marafiki wa Aliyekuwa Ampendi Mugabe.Cheo tu. hivyo je Dhima ya Ukuu itakuwaje.Ungepigwa ningekutetea. Kwa Ajili ya Cheo Unasariti Upin zani.Ni Aibu kwa Jamii Funguka iliyokuamini.Tuna Mapopo wa Siasa Vyeo.Mtu Mzima.Utamaliza kwa ile nyimbo yenye mashairi Lukuki.
🐍
Sasa angalia vijana kama kweli nchi hii inalaana wewe kijana kama uatimamu unakuwa mkeletwa wa ccm bogasi kabisa mkifiwa ndugu kumtoa malehemu hospital hela dawa hazipo hospital nyie mnao jifanya kushangilia njaa zinawasumbua wadogo zenu dalasa moja wanakaa watoto mia 50 alafu mtu analeta ushabiki wahovyo msigwa kaisha kua kupe huyo kajiunga nawanyonyaji
Huyu Baba wa Taifa alituambia kuna wanasiasa malaya malaya mpka sura imezeeka ghafla
Msaliti
Umezeeka afu saut inakwaluza kulikon
Kajikaanga kwa mafuta yake
Mbona umeanza kuzeeka gafla
Zero 😂