NI BALAA, MCHUNGAJI MSIGWA APOKELEWA KWA KISHINDO CCM IRINGA, ATOA KAULI NZITO

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 32

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon106414 күн бұрын

    SAF SANA ISHI MAISHA YAKO BRO USIWASIKILIZE WABONGO SIKILIZA MOYO WAKO MAN SO KAMA UNAJISKIA KUKAA CCM WE TULIA ZAKO WASIKUPANGIE MAISHA

  • @madegezakayo3232
    @madegezakayo323215 күн бұрын

    Kweli hela shetan sana

  • @JonathanMatembo
    @JonathanMatembo15 күн бұрын

    Mnafki uyooooo,msaliti uyooooo,shetani wa mguu mmoja

  • @ShamteMohmed-ed2kk
    @ShamteMohmed-ed2kk15 күн бұрын

    Ongera msigwa chapa kazi

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6z15 күн бұрын

    Inasikitisha lkn hamna namna..... Njaa MBAYA sn

  • @emanuelmushi9917
    @emanuelmushi991715 күн бұрын

    Msigwa wala hakua na mvuto wowote asjidanganye

  • @madegezakayo3232
    @madegezakayo323215 күн бұрын

    Huoni hata aibu mchungaji gan msalit

  • @user-vp1zu3fb5w
    @user-vp1zu3fb5w15 күн бұрын

    MSIGWA hajiamini ana wasiWasi

  • @user-id3sv2gu4p
    @user-id3sv2gu4p14 күн бұрын

    Msigwaaa lud nyumban kumenogaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila218214 күн бұрын

    inaonekana kweli CDM walimuumiza aisee i can see it from this man's face

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6z15 күн бұрын

    Imani yangu wananchi wa Iringa waamua juu Yako....

  • @user-cv9du5nc9y
    @user-cv9du5nc9y14 күн бұрын

    Mpeni cheo

  • @PatrceKimario-ws6nl
    @PatrceKimario-ws6nl15 күн бұрын

    Vijana hao wamepewa gogo jamani hata kichaa anaona haliilivyo mbaya hao wanaakili kweli? Watanania tunafeli kwaajili ya kukosa elimu na kufuata mkumbo

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    15 күн бұрын

    Kabisa unaweza kulia ukitizama mazezeta wa nchi hii sijui nani atawazingua hawa fikra zao

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila218214 күн бұрын

    mbona kama anamsongo wa mawazo

  • @benedictgamuya8855
    @benedictgamuya885514 күн бұрын

    Duuuh....

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba14 күн бұрын

    Una zeeka baada ya kuingia kapu lashetani

  • @emanuelurio-ok8yl
    @emanuelurio-ok8yl11 күн бұрын

    Vipi uliyokuwa unaongea yalikuwa ya kweli au yalikuwa uongo mweshimiw Msigwa

  • @CharlesiPhilimoni
    @CharlesiPhilimoni15 күн бұрын

    Hivi sisi watanzania katuroga nani msigwa alisema mwenyewe kuwa nikienda ccm nyumbayangu ichomwe moto leo kafanya hivi tuamini nini wanatuchezea sisi watanzania tusiwe wanyinga

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    15 күн бұрын

    Wamelogwa na elimu umaskini upeo hawana ujinga na kupumbazwa

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara303813 күн бұрын

    Mwimwi kalogwa

  • @PenuelDaniel
    @PenuelDaniel15 күн бұрын

    😂😂😂 the song says...na msigwa...na msigwa how I Wonder how you are....😂😂😂

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.329715 күн бұрын

    Masikio.ni ya namna gani 😂 ?

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.329715 күн бұрын

    Watazaliwa Wasariti Wengi kuhujumu D. Akina Muzorewa na N.Sithole. Marafiki wa Aliyekuwa Ampendi Mugabe.Cheo tu. hivyo je Dhima ya Ukuu itakuwaje.Ungepigwa ningekutetea. Kwa Ajili ya Cheo Unasariti Upin zani.Ni Aibu kwa Jamii Funguka iliyokuamini.Tuna Mapopo wa Siasa Vyeo.Mtu Mzima.Utamaliza kwa ile nyimbo yenye mashairi Lukuki.

  • @frenksambo6301
    @frenksambo630115 күн бұрын

    🐍

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h15 күн бұрын

    Sasa angalia vijana kama kweli nchi hii inalaana wewe kijana kama uatimamu unakuwa mkeletwa wa ccm bogasi kabisa mkifiwa ndugu kumtoa malehemu hospital hela dawa hazipo hospital nyie mnao jifanya kushangilia njaa zinawasumbua wadogo zenu dalasa moja wanakaa watoto mia 50 alafu mtu analeta ushabiki wahovyo msigwa kaisha kua kupe huyo kajiunga nawanyonyaji

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga639015 күн бұрын

    Huyu Baba wa Taifa alituambia kuna wanasiasa malaya malaya mpka sura imezeeka ghafla

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai749615 күн бұрын

    Msaliti

  • @user-fx4pr4vp8p
    @user-fx4pr4vp8p15 күн бұрын

    Umezeeka afu saut inakwaluza kulikon

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega4015 күн бұрын

    Kajikaanga kwa mafuta yake

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina6315 күн бұрын

    Mbona umeanza kuzeeka gafla

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph787715 күн бұрын

    Zero 😂

Келесі