“NDUGU WAZIKA JAMBAZI ALIYECHOMWA MOTO WAKIDHANI NI MIMI, MZIMU”
Жүктеу.....
Пікірлер: 118
@StellaJohn-dz6gv2 күн бұрын
Hii Dunia😭😭pole sana kaka Mungu akupe maisha marefu
@aishamussa8532 күн бұрын
Asante Mungu kwa Rogate Pia hongereni Moi kwa ubinadamu mliouonyesha Mungu atawalipa
@SinemaZaChina2 күн бұрын
Mungu akuzidishie umri mrefu pia pole sana tunakuombea upate kupona haraka sana
@jacklinesimon75442 күн бұрын
Mungu awabariki wauguzi wote mliokuwa name kipindi chote hicho
@WinifridaFidelis2 күн бұрын
Mungu wabariki madaktari uliomtibia ndugu yetu
@user-sv6zy3hc8o
2 күн бұрын
Kiukweri umli wake Bado mungu anamtaka Aishi mana hata hapo hospital asinge hudumiwa bila ndugu Wala pesa ashukuliwe mungu
@samkoka32 күн бұрын
Hongera san hospital ya MOI kutibia mtu pasipo kujali fedha
@JaliaMuro2 күн бұрын
Mungu ni mwema hongereni sana moi
@ruqaiamohammed3452 күн бұрын
Hyo ndio yale ya Arusha yule kaka wamezika mait sio yao
@allymdoka86342 күн бұрын
Kiukweli nipende kushukuru uongozi wa iyo hospital ubinadamu kwanza
@user-xk7vy4gb6g2 күн бұрын
Pole Sana mdogo Mungu awe faraja kwako. Mbarikiwe madaktari wote mlimtibia.
@Gml-wi5nv2 күн бұрын
Ndo haya ya arusha wanasema mtu kafufuka dah pole sana
@mohdmohd8428
2 күн бұрын
😢
@SuleimanKhdija
2 күн бұрын
😮😮
@ruqaiamohammed345
2 күн бұрын
Kabisa wale walizika mtu sio wao
@dirismail95122 күн бұрын
Amebahtika kua na nugu wanao weza kumtafuta, vipi kwa wasio na mahusiano mazuri na ndugu zao? Allah atubariki zaidi.
@everlyne8595
2 күн бұрын
Ndio watashangaa amefufuk
@Djso262 күн бұрын
Pole sana kaka,Mwenyezi Mungu mkubwa,Alhamdulillah!
@Ashrey829 сағат бұрын
Mungu mkubwa 🙏 insh'allah uwe na maisha marefu!
@user-mr5yf1hp7t2 күн бұрын
Allah awalipe kheri madaktari wamoi huo ndio utendaji wakazi rais wetu samia suruhu hasani kiupande wangu naomba uwapandishe vyeo hao madaktari wamejituma sana hawa kujali pesa wamejali utu asante ni sana
@SamwelDickson-zh5gj2 күн бұрын
Daaa pole sana Brother Mungu akupe maisha marefu
@dorahmushi-we6tsКүн бұрын
Hakika Mungu ni mkuu, Moi Mungu azidi kuwalinda kuanzia uogoozi, madaktari na wauguzi wote.. Hosiptali nyngn angekutana na wenye roho mbaya, wangemtelekeza!!..kuna hosipitali wahudumu utafikiri watoa roho na sio matabibu!!
@magrethmbuma30452 күн бұрын
Hao marafiki zake wa kazini wana maroho mabaya tuu kwanini wasitoe ushirikiano kwa mdugu na jamaa zake
@franknzowa222 күн бұрын
Tatizo ni hilo la umakini tu,..alafu baadae ungesikia mtu kafufuka.....poleni sana ndugu
@user-fs7xc2bb5d
2 күн бұрын
Nikweli usemacho
@user-qk1iv2is9f2 күн бұрын
Asante yesu mm ni mmja wa walioenda msbn, nilivopat taarf hz nimefurah kwel
@user-fs7xc2bb5d
2 күн бұрын
🥺🥺
@hildamakundi2812 күн бұрын
Pole Sana kijana. Wakati mwingine ndugu tuwe na subira. Tusikurupuke. Mungu akutunze uwe na maisha marefu. Amina
@pendosailo1989
2 күн бұрын
Shida hakuna vipimo vya ziada vinavyofanyika kama DNA kujua uhalisia wa mtu kama ndie au la...
@pendosailo1989
2 күн бұрын
Wenzetu hawaziki mpk wapime kujua ndie au sio
@ruqaiamohammed345
2 күн бұрын
Mbona vipo ndg tu walikuwa wazembe @@pendosailo1989
@msakadoobongeladada-uh3sk
Күн бұрын
vipimo vipo Ila ndugu hawakupata sintofahamu hata wakapima na inasemekana alipoteza mwezi mzima lazma washikwe na kiwewe @@pendosailo1989
@njapukaadhra95502 күн бұрын
Allah ashukuriwe
@machasofficialsite62212 күн бұрын
Duh pole sana aisee khaa
@cheiknamouna20582 күн бұрын
Alafu utakuta mjinga mmoja anasema Tanzania masikini hebu oneni mgonjwa kaokotwa katibiwa hadi kapona hakuna hata alidaiwa bill Mungu azidi kuwalinda wauguzi wetu na serekali iwajali🤲🙏🙏
@aminamoody5865
2 күн бұрын
Wakipatikana ndugu wanalipa bills
@cheiknamouna2058
Күн бұрын
@@aminamoody5865 Sawa italipwa tu hâta ukoo utachanga bora wameokoa maisha yake ni jambo lakuwashukuru nchi zingine unaachwa hapo ndugu apatikane uanze matibabu
@dianajohnson7268
Күн бұрын
@@aminamoody5865ndio wakati maisha wameshaokoa❤
@ritapiusnicolaus70682 күн бұрын
Pole sana kijana Mungu azidi kukulinda🙏
@rosemtwaki2 күн бұрын
Pole kipenz MUNGU akutunze❤
@GdFf-ik2eo2 күн бұрын
Pole Sana mwsnangu
@joslinchuwa12982 күн бұрын
Mungu akulinde mwanangu
@Aminahlamranl420-hw2ie2 күн бұрын
Subhannallah pole sana 😢😢
@Shafikimanga72 күн бұрын
Pole
@frankjackson4435Күн бұрын
Amina
@user-xd9ye7wk6c2 күн бұрын
Dah pole sana
@HadijaZabroni-pu1lt2 күн бұрын
Pole Sana kaka
@madinajamada91802 күн бұрын
Pole sana wakwetu kumbe tunatoka mkoa mmoja pole sana mdogo wangu
@evertheobald1811Күн бұрын
Pole sana, ila bado akili haiko sawa, ukisikiliza kwa makini hasa kipengele cha kuomba boda kwa mteja uendeshe half wakati huo, mteja unamwacha kazini kwako....
@barackmoses70032 күн бұрын
Pole sana ndugu
@mpefu_49362 күн бұрын
Pole sana
@daudymlauletv84892 күн бұрын
Poleni san lkn huyu jamaa akili hazijaludi
@barackmoses7003
2 күн бұрын
Sasa angewezaje kujielezea🤔🤔
@maidaamie648
2 күн бұрын
Eeeeh bado akili hazijarudi sawasawa ukisikiliza vzur majibu yake
@evertheobald1811
Күн бұрын
Kwakweli hayuko sawa, maana anavyojieleza ni hakika akili haiko ok
@evertheobald1811
Күн бұрын
Hivi unaweza acha mteja halafu unaomba boda yake uendeshe tuu
@rosehaule67652 күн бұрын
Pole.kijana wngu
@adeladamasi43912 күн бұрын
Duuuuuuuu😮
@NeemaSolla2 күн бұрын
Pole San Kaka ya dunian
@evertheobald1811Күн бұрын
Huyu jamaa bado kabisa, hayuko sawa na hata nahisi anayeongea kama vo yeye vile!
@visionman8277Күн бұрын
millard ayo huyu jamaa kama nimemkumbuka hivii kwa mbalii alipataga ajali pale rafia bagamoyo road muda wa saa kumi na mbili jioni. Nilimsaidia sana kumchomoa kwenye pkpk iliyomlalia na kumpa huduma ya kwanza alikuwa anatoka damu puani na mkono ulichunika sana adi ngozi nyeupe ilitoka pia walikuwa wamepakizana wawili.kama siyo yeye basi nitakuwa nimemfananisha maana stori yake kama inafanana na yule niliyemsaidia mm. pia alivyoumia kwenye mkono na kichwani ni kama yule nilomsaidia maana alikuwa ameumia vilevile kama yeye alivyoumia
@zahrababygarl15682 күн бұрын
Pole sana kaka imekuaje usikumbuke ajali au ni uchawi wa kutupiwa
@janethmdachi5334
Күн бұрын
Itakuwa aliumia kichwa kwahy kukumbuka inakuwa ngumu
@user-ms1xg1fp4v2 күн бұрын
Sherehe yakutokufa
@saraphinawillson9392 күн бұрын
Asee pole sanaa lkn kwann mnamuhoji huyu bado kichwa hakija kaa sawa jamn
@nancyg8664
2 күн бұрын
yan sijui wapoje
@user-lo8ef9qn2r2 күн бұрын
Swali langu Uyo aliyemiazima bodaboda yy akujua?
@user-jh4hg2ev9s
2 күн бұрын
Swali zuri na la msingi mwandishi hajauliza ni vema amtafute wenye pikipiki hapo hapaeleweki.
@NixonJohnson-zn8nkКүн бұрын
Mwili umechomwa moto... Ina maana wewe sio mzuri kwenye familia yenu
@seifmohammed3053Күн бұрын
Daaah yani Tanzania bado watu wanagaiwa mwili bila DNA kisha ndo munakuja na story za uongo mtu kafufuka. Eti watu bado miiili Mpaka umtambue dah.
@eggysulle79882 күн бұрын
Allah awe pamoja n wauguz
@perfectfilm36562 күн бұрын
Duuuh Yan hospital ya taifa inafanya hayo duuuh
@aishajuma7813Күн бұрын
Kweli uchawi upo
@deadcrush2 күн бұрын
Hata fahamu bado.
@Officalnaph
2 күн бұрын
yaaah kama una mtazamo wa ndani zaidi utaona bado hayupo sawa
@Officalnaph
2 күн бұрын
yaaah kama una mtazamo wa ndani zaidi utaona bado hayupo sawa
@fatmamsiliwa8485
2 күн бұрын
Kweli na shingo haiwezi halafu mzuri mashallah
@josephjohnmbelwa49982 күн бұрын
Hakika mgonjwa kazinduka,lakini hajapona!Asiruhusiwe hospitali hadi waakikishe kapona na akili kwani bado yupo na maluweluwe!
@FreeGod368
Күн бұрын
Amna kitu ww😂
@Official836402 күн бұрын
Watu wa Dar tumefikiwa tumezoea Arusha haya mambo😂😂😂
@SallyMinja2 күн бұрын
Maisha na kifo ni siri kubwa sana😢
@zaburi23862 күн бұрын
Hilo tukio niswa na tukio la juz la ile familia wanaodai ndugu yao kufufuka hali inakuaga ivo wanandugu huchukua miili isiyo yao hospital na kwenda kuzka bila kuchunguza miili kumbe ndg yao yupo hai
@annastevensteven95152 күн бұрын
Mhuuu
@abedysteven49302 күн бұрын
Yan hata cjui niseme nn ila pole dah😭😭😭😭
@everlyne85952 күн бұрын
Hao watu walio kua nae kwny biashar pia hawan utuuu
@pendosailo1989
2 күн бұрын
Wanatakiwa wachunguzwe..
@collinsulomi1008Күн бұрын
Akipatikana huyo jamaa mwenye pikipiki hii story itaweza ku balance. Otherwise mtu anaweza ku generate maswali mengi nayakawa ya msingi
@evertheobald1811
Күн бұрын
Kwakweli, maana huyo boda sana akili yake haiko okay
@user-qk1iv2is9f2 күн бұрын
Kumbe huko hai!!
@renatusblandes11312 күн бұрын
Alizinduka Kwa mda gani?
@aishajuma7813Күн бұрын
Kwe
@nancyg86642 күн бұрын
mtangazaji nawewe upo kama mgonjwa
@jordantv6840Күн бұрын
Daaaah mwanangu Rogati Polee sanaa😢😢
@jkomedikaduli2 күн бұрын
Daa Dunia hiii hatali kweli
@SamwelMbagaКүн бұрын
Uondio ubinadamu ongeleni madocta
@WaziriRamadhan-ML2 күн бұрын
Isije ikawa mwamba kafufuka😂😂
@remidusmwanandenje-yy5gs2 күн бұрын
Apo mnanichanganya jaman au walitaka kumtoa kafala jaman ?
@gloriadaniel38272 күн бұрын
Waandishi hamna busara. Huyo mgonjwa kichwa hakiko sawa.
@maidaamie648
2 күн бұрын
Ni kwel kichwa bado hakikosawa
@InocentGalinoma-dq6hlКүн бұрын
Vp alie mpa pikipik alikua nae au
@upendoeliya93292 күн бұрын
Ndugu walitakiwa kupima DNA ule mwili pmja na mzazi
@DM.22002 күн бұрын
Dah wangejua wangepima DNA kama walikua wana wasiwasi na mtu mwenyewe 😢
@abdulnaseermrisho4342
2 күн бұрын
Tatizo hela ya kupima hiyo ni dna na proceas zake
@lilianwaflotina12882 күн бұрын
Huyu bado hajakaa sawa😢
@maidaamie648
2 күн бұрын
Ni kwel akili bado haijarudi sawasawa
@user-by4xk2vx5w
Күн бұрын
Atakuwa sawa tu polepole.🙏
@vicentmapunda31462 күн бұрын
Sasa... hospital zina kaz gan kupima vina saba7mbkq wat wazike mt ambae sio wao? Wat wanapima mbka mifupaa ya mika 70 sasa inakuwaj apo
@nancyg8664
2 күн бұрын
ukute ndugu wenyewe ndo walitaka kuchukua sababu ilikua maiti ya muda mrefu
@marykennedymarwa16412 күн бұрын
Kwani Tanzania hakunaga DNA test Kwa maiti zisizotambulika??!!!! Hii ni masikitiko.
@jameshensdouglass76322 күн бұрын
DNA ikashindikana kupimwa au
@King_Movies_Series
2 күн бұрын
DNA Bongo hatuna mambo hayo na inategemeana na uwezo wa familia
Пікірлер: 118
Hii Dunia😭😭pole sana kaka Mungu akupe maisha marefu
Asante Mungu kwa Rogate Pia hongereni Moi kwa ubinadamu mliouonyesha Mungu atawalipa
Mungu akuzidishie umri mrefu pia pole sana tunakuombea upate kupona haraka sana
Mungu awabariki wauguzi wote mliokuwa name kipindi chote hicho
Mungu wabariki madaktari uliomtibia ndugu yetu
@user-sv6zy3hc8o
2 күн бұрын
Kiukweri umli wake Bado mungu anamtaka Aishi mana hata hapo hospital asinge hudumiwa bila ndugu Wala pesa ashukuliwe mungu
Hongera san hospital ya MOI kutibia mtu pasipo kujali fedha
Mungu ni mwema hongereni sana moi
Hyo ndio yale ya Arusha yule kaka wamezika mait sio yao
Kiukweli nipende kushukuru uongozi wa iyo hospital ubinadamu kwanza
Pole Sana mdogo Mungu awe faraja kwako. Mbarikiwe madaktari wote mlimtibia.
Ndo haya ya arusha wanasema mtu kafufuka dah pole sana
@mohdmohd8428
2 күн бұрын
😢
@SuleimanKhdija
2 күн бұрын
😮😮
@ruqaiamohammed345
2 күн бұрын
Kabisa wale walizika mtu sio wao
Amebahtika kua na nugu wanao weza kumtafuta, vipi kwa wasio na mahusiano mazuri na ndugu zao? Allah atubariki zaidi.
@everlyne8595
2 күн бұрын
Ndio watashangaa amefufuk
Pole sana kaka,Mwenyezi Mungu mkubwa,Alhamdulillah!
Mungu mkubwa 🙏 insh'allah uwe na maisha marefu!
Allah awalipe kheri madaktari wamoi huo ndio utendaji wakazi rais wetu samia suruhu hasani kiupande wangu naomba uwapandishe vyeo hao madaktari wamejituma sana hawa kujali pesa wamejali utu asante ni sana
Daaa pole sana Brother Mungu akupe maisha marefu
Hakika Mungu ni mkuu, Moi Mungu azidi kuwalinda kuanzia uogoozi, madaktari na wauguzi wote.. Hosiptali nyngn angekutana na wenye roho mbaya, wangemtelekeza!!..kuna hosipitali wahudumu utafikiri watoa roho na sio matabibu!!
Hao marafiki zake wa kazini wana maroho mabaya tuu kwanini wasitoe ushirikiano kwa mdugu na jamaa zake
Tatizo ni hilo la umakini tu,..alafu baadae ungesikia mtu kafufuka.....poleni sana ndugu
@user-fs7xc2bb5d
2 күн бұрын
Nikweli usemacho
Asante yesu mm ni mmja wa walioenda msbn, nilivopat taarf hz nimefurah kwel
@user-fs7xc2bb5d
2 күн бұрын
🥺🥺
Pole Sana kijana. Wakati mwingine ndugu tuwe na subira. Tusikurupuke. Mungu akutunze uwe na maisha marefu. Amina
@pendosailo1989
2 күн бұрын
Shida hakuna vipimo vya ziada vinavyofanyika kama DNA kujua uhalisia wa mtu kama ndie au la...
@pendosailo1989
2 күн бұрын
Wenzetu hawaziki mpk wapime kujua ndie au sio
@ruqaiamohammed345
2 күн бұрын
Mbona vipo ndg tu walikuwa wazembe @@pendosailo1989
@msakadoobongeladada-uh3sk
Күн бұрын
vipimo vipo Ila ndugu hawakupata sintofahamu hata wakapima na inasemekana alipoteza mwezi mzima lazma washikwe na kiwewe @@pendosailo1989
Allah ashukuriwe
Duh pole sana aisee khaa
Alafu utakuta mjinga mmoja anasema Tanzania masikini hebu oneni mgonjwa kaokotwa katibiwa hadi kapona hakuna hata alidaiwa bill Mungu azidi kuwalinda wauguzi wetu na serekali iwajali🤲🙏🙏
@aminamoody5865
2 күн бұрын
Wakipatikana ndugu wanalipa bills
@cheiknamouna2058
Күн бұрын
@@aminamoody5865 Sawa italipwa tu hâta ukoo utachanga bora wameokoa maisha yake ni jambo lakuwashukuru nchi zingine unaachwa hapo ndugu apatikane uanze matibabu
@dianajohnson7268
Күн бұрын
@@aminamoody5865ndio wakati maisha wameshaokoa❤
Pole sana kijana Mungu azidi kukulinda🙏
Pole kipenz MUNGU akutunze❤
Pole Sana mwsnangu
Mungu akulinde mwanangu
Subhannallah pole sana 😢😢
Pole
Amina
Dah pole sana
Pole Sana kaka
Pole sana wakwetu kumbe tunatoka mkoa mmoja pole sana mdogo wangu
Pole sana, ila bado akili haiko sawa, ukisikiliza kwa makini hasa kipengele cha kuomba boda kwa mteja uendeshe half wakati huo, mteja unamwacha kazini kwako....
Pole sana ndugu
Pole sana
Poleni san lkn huyu jamaa akili hazijaludi
@barackmoses7003
2 күн бұрын
Sasa angewezaje kujielezea🤔🤔
@maidaamie648
2 күн бұрын
Eeeeh bado akili hazijarudi sawasawa ukisikiliza vzur majibu yake
@evertheobald1811
Күн бұрын
Kwakweli hayuko sawa, maana anavyojieleza ni hakika akili haiko ok
@evertheobald1811
Күн бұрын
Hivi unaweza acha mteja halafu unaomba boda yake uendeshe tuu
Pole.kijana wngu
Duuuuuuuu😮
Pole San Kaka ya dunian
Huyu jamaa bado kabisa, hayuko sawa na hata nahisi anayeongea kama vo yeye vile!
millard ayo huyu jamaa kama nimemkumbuka hivii kwa mbalii alipataga ajali pale rafia bagamoyo road muda wa saa kumi na mbili jioni. Nilimsaidia sana kumchomoa kwenye pkpk iliyomlalia na kumpa huduma ya kwanza alikuwa anatoka damu puani na mkono ulichunika sana adi ngozi nyeupe ilitoka pia walikuwa wamepakizana wawili.kama siyo yeye basi nitakuwa nimemfananisha maana stori yake kama inafanana na yule niliyemsaidia mm. pia alivyoumia kwenye mkono na kichwani ni kama yule nilomsaidia maana alikuwa ameumia vilevile kama yeye alivyoumia
Pole sana kaka imekuaje usikumbuke ajali au ni uchawi wa kutupiwa
@janethmdachi5334
Күн бұрын
Itakuwa aliumia kichwa kwahy kukumbuka inakuwa ngumu
Sherehe yakutokufa
Asee pole sanaa lkn kwann mnamuhoji huyu bado kichwa hakija kaa sawa jamn
@nancyg8664
2 күн бұрын
yan sijui wapoje
Swali langu Uyo aliyemiazima bodaboda yy akujua?
@user-jh4hg2ev9s
2 күн бұрын
Swali zuri na la msingi mwandishi hajauliza ni vema amtafute wenye pikipiki hapo hapaeleweki.
Mwili umechomwa moto... Ina maana wewe sio mzuri kwenye familia yenu
Daaah yani Tanzania bado watu wanagaiwa mwili bila DNA kisha ndo munakuja na story za uongo mtu kafufuka. Eti watu bado miiili Mpaka umtambue dah.
Allah awe pamoja n wauguz
Duuuh Yan hospital ya taifa inafanya hayo duuuh
Kweli uchawi upo
Hata fahamu bado.
@Officalnaph
2 күн бұрын
yaaah kama una mtazamo wa ndani zaidi utaona bado hayupo sawa
@Officalnaph
2 күн бұрын
yaaah kama una mtazamo wa ndani zaidi utaona bado hayupo sawa
@fatmamsiliwa8485
2 күн бұрын
Kweli na shingo haiwezi halafu mzuri mashallah
Hakika mgonjwa kazinduka,lakini hajapona!Asiruhusiwe hospitali hadi waakikishe kapona na akili kwani bado yupo na maluweluwe!
@FreeGod368
Күн бұрын
Amna kitu ww😂
Watu wa Dar tumefikiwa tumezoea Arusha haya mambo😂😂😂
Maisha na kifo ni siri kubwa sana😢
Hilo tukio niswa na tukio la juz la ile familia wanaodai ndugu yao kufufuka hali inakuaga ivo wanandugu huchukua miili isiyo yao hospital na kwenda kuzka bila kuchunguza miili kumbe ndg yao yupo hai
Mhuuu
Yan hata cjui niseme nn ila pole dah😭😭😭😭
Hao watu walio kua nae kwny biashar pia hawan utuuu
@pendosailo1989
2 күн бұрын
Wanatakiwa wachunguzwe..
Akipatikana huyo jamaa mwenye pikipiki hii story itaweza ku balance. Otherwise mtu anaweza ku generate maswali mengi nayakawa ya msingi
@evertheobald1811
Күн бұрын
Kwakweli, maana huyo boda sana akili yake haiko okay
Kumbe huko hai!!
Alizinduka Kwa mda gani?
Kwe
mtangazaji nawewe upo kama mgonjwa
Daaaah mwanangu Rogati Polee sanaa😢😢
Daa Dunia hiii hatali kweli
Uondio ubinadamu ongeleni madocta
Isije ikawa mwamba kafufuka😂😂
Apo mnanichanganya jaman au walitaka kumtoa kafala jaman ?
Waandishi hamna busara. Huyo mgonjwa kichwa hakiko sawa.
@maidaamie648
2 күн бұрын
Ni kwel kichwa bado hakikosawa
Vp alie mpa pikipik alikua nae au
Ndugu walitakiwa kupima DNA ule mwili pmja na mzazi
Dah wangejua wangepima DNA kama walikua wana wasiwasi na mtu mwenyewe 😢
@abdulnaseermrisho4342
2 күн бұрын
Tatizo hela ya kupima hiyo ni dna na proceas zake
Huyu bado hajakaa sawa😢
@maidaamie648
2 күн бұрын
Ni kwel akili bado haijarudi sawasawa
@user-by4xk2vx5w
Күн бұрын
Atakuwa sawa tu polepole.🙏
Sasa... hospital zina kaz gan kupima vina saba7mbkq wat wazike mt ambae sio wao? Wat wanapima mbka mifupaa ya mika 70 sasa inakuwaj apo
@nancyg8664
2 күн бұрын
ukute ndugu wenyewe ndo walitaka kuchukua sababu ilikua maiti ya muda mrefu
Kwani Tanzania hakunaga DNA test Kwa maiti zisizotambulika??!!!! Hii ni masikitiko.
DNA ikashindikana kupimwa au
@King_Movies_Series
2 күн бұрын
DNA Bongo hatuna mambo hayo na inategemeana na uwezo wa familia
Intro inakuwa ndefu mno ndg mwandishi okoa MB zetu.
@fatmamsiliwa8485
2 күн бұрын
Huyo mgonjwa hana fahamu uzur kwahyo akimkatisha atampoteza kabisaaaa
😪😪😪😪🙏🙏🙏🙏🎎
Kijana bado kidogo hayupo sawa
Pole sana kaka,Mwenyezi Mungu mkubwa,Alhamdulillah!
Pole sana
Polee sana kaka