Nash MC Naandika Prod by:Jeysan/Needlez Kali Nation Dir:eddie creativemindstz eddie entertainment 2014
Жүктеу.....
Пікірлер: 152
@jrsaid4270 Жыл бұрын
"Siandiki kuhusu mambo ya Ushoga,sijui mapenzi ya jinsia moja ,ukitia sain we Rais ni muoga" 2022
@media-rs6lo8 жыл бұрын
naandik kuhusu utukufu wa mungu wangu anayeniongoza kwenye haya maisha yangu
@kaloymlambi8038
7 жыл бұрын
yea ah noumer
@mukakathejoker65047 ай бұрын
Nasikiliza hili goma kwa hisani ya hip hop
@olalaokumu9 жыл бұрын
Its a shame that the video has only 18k views. am kenyan and i can't get enough of this music. keep up nash mc.
@christeknics
6 жыл бұрын
Rusesa Wa Bagina oi
@carloskitheka5401
5 жыл бұрын
Naipenda sana ata mimi....nash anarap kama Mwana FA.
@mangimaplan69417 жыл бұрын
Nash big up broo....wanaokupinga ndo wanaosemag nyimbo yako ya tabia umeimba matusi.......
@lastjap92796 жыл бұрын
Music kama huu unaponya nafsi na roho kwa wanaojua lkn
@nassoryahya4588 Жыл бұрын
Nikisikiliza nyimbo hii moyowangu una ukosha
@amryabdallasaid20775 жыл бұрын
Naandkka khs kesi ya babu sea hamkufanya fea. Big up sana broo. We ndo kioo cha jamii.
@johnthiga25095 жыл бұрын
Sina budi kuadika kuhusu wasanii walijifanya hip hop na leo wamebadilka
@skillz255310 жыл бұрын
Bonge moja la ngoma, Huu ndo mziki ambao tunauitaji, Message zinafloo kama H2O Big up Nash Mc, This is truly definition of Hip Hop, I love this
@stammeringprogrammer7535 Жыл бұрын
From "Hurt me soul" track's beat from Lupe Fiasco, Nash you killed it
@jideibiko27237 жыл бұрын
NASH MC The King!!! Heshima tu toka Kenia!!! ASOHUSIKA NA HIP TOP ATOKE!!!!
@sammydeesamuel10 ай бұрын
Hii sasa ndo hiphop ya bongo. Kali sana🔥🔥🔥
@nory4saad10 жыл бұрын
Bonge Moja La Video Palestina Mjeshi....Safi sanaa!! Naandika......endelea kuandika Arife!! #Scooby
@collegedropout55254 жыл бұрын
ONE OF THE CLASSIC FROM HIP HOP
@jonathankatembo95464 жыл бұрын
Safi sana brother Nash ngoma hii inaleta hisia sana, inamsukumo wa kuleta badaliko kwa jamii kiujumla na mtu binafsi.
@gracembungu8336 Жыл бұрын
Still here🤝
@Respondent_Online6 жыл бұрын
Mwanangu Nash mungu anaona unachojaribu kutuambia watanzania na wasanii wengine wa kibongo hasa wabana pua na waimbaji wa mipasho
@danielkope4663
4 жыл бұрын
Mi nafikiri anatuambia moja kwa moja sio anajaribu
@ndimuafrica3 жыл бұрын
Just remembered this song. Used to listen to it all the time on Hip Hop Tuesday with Mzazi Willy Tuva.#GoodTimes
@dariusmsagha
5 ай бұрын
True. As from 2014 this song was always played on Hip Hop Tuesday. It was about the same time that Kaa La Moto and Nash MC came to Citizen radio and did a very dope freestyle.
@haidaryjoe5546 Жыл бұрын
nani yupo hapa kwa ajili ya Bandari..'kuhusu wawekezaji niachiwe'
@fredrickwisiko37094 жыл бұрын
Zi zaidi ya utunzi,,,huwa inaponya akili na mawazo salute Zuzu
@Daniel-rs9nv11 ай бұрын
Who else is here 2023.? Lupe fiasco " Hurt me soul " song. Na umeifanyia justice mkuu. Peace Mkuu
@amanyisyebodeni13429 жыл бұрын
Kama unajua unajua tu haina aja ya promo Nash ni noma
@hustleradui52835 жыл бұрын
ni nyimbo bora ya hip hop miaka yote
@allykazoa83244 жыл бұрын
Nakubari Sana Brooo.Hii Ndo Hip hop,
@davidphidelis25534 жыл бұрын
nakukubali sana nash mc kwa mistari
@richardmsongolo71219 жыл бұрын
''...UKITIA SAINI WE RAIS NI MUOGA..''SANA NASH TUELIMISHE WANAO.
@johnsonmarick454 жыл бұрын
Respect mc makini @Nash Mc, japo wasema kweli hawapendwi ila #Hiphop forever
@silentmaxbln72279 жыл бұрын
Kaka nimekubali kipake wanazingua kweli........ na subiri kesi ya babu seha sasa
@athanasndiganya81003 жыл бұрын
Bado nakusikiliza kaka 2020 maneno kuntu huu ndomzk sasa
@gideonaire_ke6 жыл бұрын
Bado ni mziki mkubwa sana. Staying real to date
@romanikazimoto84785 жыл бұрын
Ma mc wa siku hiz hataki Elimu..🙌💪🔥 unajua sana
@lovetonny07938 жыл бұрын
Hakika wewe ni mzimu wa Shabani Robert
@msabatozeson90232 жыл бұрын
Naisikiliza hii 2022
@mwigakatumpula21755 жыл бұрын
Hapo neema wa mitego ina mhusu hiyo massage sent and delivered
@juliusmwamed7584
3 жыл бұрын
Ok
@alexmwambona26582 жыл бұрын
Brother I do believe in best rhyme as u portray
@mwangikuria12808 жыл бұрын
Aaaaah, clap clap clap.... brathy uko fine
@emmanuelmoses92495 жыл бұрын
Hii ngoma inaish iasee
@Maria-wc1yv2 жыл бұрын
ninapenda wimbo huu. Ninajifunza kiswahili :)
@carloskitheka54015 жыл бұрын
I feel this ngoma.
@mussadembelle28456 жыл бұрын
We Nash basi tu ambao hawajui nn unafanya ao ni wangonjwa wa akili we ni mc wa kwel
@joachimhassan87667 жыл бұрын
naandika wewe nash ninmkali wao sio lazima wakuje leo hata ukifa ngoma wataigonga kigan'sta..kama langa na mangwear
@christeknics
6 жыл бұрын
Joachim Hassan karbu kwenye channel yang subscribe na kulike kama nlvofanya kwako
@SingleMalters_Whisky5 жыл бұрын
Conscious Music. I really wish people would be listening to this kind of music. Keep it up Nash MC.
@SingleMalters_Whisky
5 жыл бұрын
How do I et your Album or mixtape. i want to buy it
@jessamsteven99748 жыл бұрын
sasa nipo jikoni kuandika kuhusu kesi ya babu seya ......hamkufanya fear.....but kitambo mbona hahtuisikki kaka maalimu
@richardyusuphmsongolomakat20496 жыл бұрын
NAANDIKA NJIMBO YA TAIFA LA HIP- HOP
@mtuwapicha50764 жыл бұрын
254🇰🇪Tuko ndanii
@denismakweba38704 жыл бұрын
...kuusu wawekezaji niachie mm,je utawafanya nn
@solo93966 жыл бұрын
hip hop ya kweli
@rapmeddo60898 жыл бұрын
Safiiiiii....xema beat la hurt me soul
@raymondjefwa1962
5 жыл бұрын
Nash mc mzito paka Mombasa that's Hip Hop
@kingkongmadiba31744 жыл бұрын
Hip Pop in blood
@zinguanikuzingue51332 жыл бұрын
2022 gonga like
@jafarisintoo37435 жыл бұрын
I appreciate bruh 🔥
@chidyguy32595 жыл бұрын
Naandika kuhusu langa na mangwea kanumba na sajuki wap sharo milionea
@abigailkighombe19609 жыл бұрын
Heshima tu ndio nakupea
@christeknics
6 жыл бұрын
ABIGAIL KIGHOMBE your also welcome to my channel subscribe and like as I did to yours
@michaelmicah278 жыл бұрын
Hahahahaha Nash wee ni hater... Kaka chunga hayo maneno ya kipuzi nitakuteka
@mukakathejoker6504
4 жыл бұрын
Baba hiyo ngoma inaitwa maswali ya kiwack. Kama unayo naiomba wasap 0762769496
@solomonichisaye8767
2 жыл бұрын
@@mukakathejoker6504 Uliipata
@erickselei3426 Жыл бұрын
Maalim ii ngoma utaamini inaongea wakati huu tuliopo na imeandikwa 9years ago
@josphatmwania58002 жыл бұрын
+254 Inakubali kasi safi
@boeihongoa14364 жыл бұрын
Nani yuko hapa 2020 akisikiliza huku akiandika.
@Tripo7unLocked70005 жыл бұрын
2019
@mohammedngaharajr28916 жыл бұрын
respect to Nash
@denisnyambita60342 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@davidnkuna962610 жыл бұрын
noma sana broo
@boazmbembela47969 жыл бұрын
Zuzu Mc... pamoja braza 2$0nge
@christeknics
6 жыл бұрын
BOAZ MBEMBELA karbu kwenye channel yang subscribe na kulike kama nlvofanya kwako
@jeromemugisha15046 жыл бұрын
Keep it up dude
@khalidimsuya41652 жыл бұрын
Nyimbo ambayo haiishi hamu
@fredrickbuteye71534 жыл бұрын
Naandika kuhusu uchaguzi 2020🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@sigwafamirisongea21694 жыл бұрын
uwezi kijutia mb kwaiimstari unajuwa kaka
@bulegeashaban70915 жыл бұрын
2019 yoo
@filbertjiskaka4774 Жыл бұрын
Bado nipo nasikiliza 23/1/2023
@Informationtz3 жыл бұрын
✍️💯💯💯💯💯💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥👊
@kidizoofficial45423 жыл бұрын
Appreciate maalim nash mjomba @monterooh
@aminaeliud10683 жыл бұрын
Big up to you bro
@ramadanjabir16643 жыл бұрын
Listening this in 2021
@bunanzesumbayaza27304 жыл бұрын
Kweli ukitia saini we raisi ni muoga
@josephatchanzi16482 жыл бұрын
2021 december
@ombenmichael34734 жыл бұрын
Sina budi kuandika wasanii wana hip hop na leo wamebadilika
@vanovano31285 жыл бұрын
Это на него мс мох дисс делал?
@johnmosha82853 жыл бұрын
Kaz nzur
@spoilamdudu63915 жыл бұрын
Nash danger
@omarymikombe27625 ай бұрын
Hip Hop Mzuka 🔥🔥
@ShaibuHassani10 күн бұрын
Hip hop no darasa hulu
@mussadembelle28456 жыл бұрын
Naandika kuhusu ardhi na madini kuhusu wawekezaji naomba mniachie nini muone ntawafanya nini aya utawafanya nini? ntwawauzia vyote kisha naingia mitini
@epimarkmallya73305 жыл бұрын
nash z ms bbm
@Tripo7unLocked70005 жыл бұрын
2018
@richardyusuphmsongolomakat20496 жыл бұрын
...Naaaandika kuhusu uozo wa Serikari...
@jengamzugaofficial62896 жыл бұрын
congratulations
@King_Of_Everything10 ай бұрын
👊👍✌️.
@vanchittadima17218 жыл бұрын
Big up kaka
@masuseleman9785 жыл бұрын
Usisubutu kukutwa na takukuru ya mtaa.watakata funua watatambaa
@hashjamal60716 жыл бұрын
Salute
@saulimwakyusa38598 жыл бұрын
weee nishidah
@mussaharun72578 жыл бұрын
mwiba kwa watawala
@christeknics
6 жыл бұрын
Mussa Harun karbu kwenye channel yang subscribe na kulike kama nlvofanya kwako
@manyweletheboss60535 жыл бұрын
naipenda hii kitu
@hashimabdallah85234 жыл бұрын
Zuzu
@muddymaulid27718 жыл бұрын
safi bro
@rasibuga54283 жыл бұрын
Nice song kamanda apa AR umetsha
@amanhassan74604 жыл бұрын
hiv ndo tunavitaka kuskia kwanin maredio hwapigi vitu vya maana kama hivi.tumechoka kuimbiwa pombe na ngono
Пікірлер: 152
"Siandiki kuhusu mambo ya Ushoga,sijui mapenzi ya jinsia moja ,ukitia sain we Rais ni muoga" 2022
naandik kuhusu utukufu wa mungu wangu anayeniongoza kwenye haya maisha yangu
@kaloymlambi8038
7 жыл бұрын
yea ah noumer
Nasikiliza hili goma kwa hisani ya hip hop
Its a shame that the video has only 18k views. am kenyan and i can't get enough of this music. keep up nash mc.
@christeknics
6 жыл бұрын
Rusesa Wa Bagina oi
@carloskitheka5401
5 жыл бұрын
Naipenda sana ata mimi....nash anarap kama Mwana FA.
Nash big up broo....wanaokupinga ndo wanaosemag nyimbo yako ya tabia umeimba matusi.......
Music kama huu unaponya nafsi na roho kwa wanaojua lkn
Nikisikiliza nyimbo hii moyowangu una ukosha
Naandkka khs kesi ya babu sea hamkufanya fea. Big up sana broo. We ndo kioo cha jamii.
Sina budi kuadika kuhusu wasanii walijifanya hip hop na leo wamebadilka
Bonge moja la ngoma, Huu ndo mziki ambao tunauitaji, Message zinafloo kama H2O Big up Nash Mc, This is truly definition of Hip Hop, I love this
From "Hurt me soul" track's beat from Lupe Fiasco, Nash you killed it
NASH MC The King!!! Heshima tu toka Kenia!!! ASOHUSIKA NA HIP TOP ATOKE!!!!
Hii sasa ndo hiphop ya bongo. Kali sana🔥🔥🔥
Bonge Moja La Video Palestina Mjeshi....Safi sanaa!! Naandika......endelea kuandika Arife!! #Scooby
ONE OF THE CLASSIC FROM HIP HOP
Safi sana brother Nash ngoma hii inaleta hisia sana, inamsukumo wa kuleta badaliko kwa jamii kiujumla na mtu binafsi.
Still here🤝
Mwanangu Nash mungu anaona unachojaribu kutuambia watanzania na wasanii wengine wa kibongo hasa wabana pua na waimbaji wa mipasho
@danielkope4663
4 жыл бұрын
Mi nafikiri anatuambia moja kwa moja sio anajaribu
Just remembered this song. Used to listen to it all the time on Hip Hop Tuesday with Mzazi Willy Tuva.#GoodTimes
@dariusmsagha
5 ай бұрын
True. As from 2014 this song was always played on Hip Hop Tuesday. It was about the same time that Kaa La Moto and Nash MC came to Citizen radio and did a very dope freestyle.
nani yupo hapa kwa ajili ya Bandari..'kuhusu wawekezaji niachiwe'
Zi zaidi ya utunzi,,,huwa inaponya akili na mawazo salute Zuzu
Who else is here 2023.? Lupe fiasco " Hurt me soul " song. Na umeifanyia justice mkuu. Peace Mkuu
Kama unajua unajua tu haina aja ya promo Nash ni noma
ni nyimbo bora ya hip hop miaka yote
Nakubari Sana Brooo.Hii Ndo Hip hop,
nakukubali sana nash mc kwa mistari
''...UKITIA SAINI WE RAIS NI MUOGA..''SANA NASH TUELIMISHE WANAO.
Respect mc makini @Nash Mc, japo wasema kweli hawapendwi ila #Hiphop forever
Kaka nimekubali kipake wanazingua kweli........ na subiri kesi ya babu seha sasa
Bado nakusikiliza kaka 2020 maneno kuntu huu ndomzk sasa
Bado ni mziki mkubwa sana. Staying real to date
Ma mc wa siku hiz hataki Elimu..🙌💪🔥 unajua sana
Hakika wewe ni mzimu wa Shabani Robert
Naisikiliza hii 2022
Hapo neema wa mitego ina mhusu hiyo massage sent and delivered
@juliusmwamed7584
3 жыл бұрын
Ok
Brother I do believe in best rhyme as u portray
Aaaaah, clap clap clap.... brathy uko fine
Hii ngoma inaish iasee
ninapenda wimbo huu. Ninajifunza kiswahili :)
I feel this ngoma.
We Nash basi tu ambao hawajui nn unafanya ao ni wangonjwa wa akili we ni mc wa kwel
naandika wewe nash ninmkali wao sio lazima wakuje leo hata ukifa ngoma wataigonga kigan'sta..kama langa na mangwear
@christeknics
6 жыл бұрын
Joachim Hassan karbu kwenye channel yang subscribe na kulike kama nlvofanya kwako
Conscious Music. I really wish people would be listening to this kind of music. Keep it up Nash MC.
@SingleMalters_Whisky
5 жыл бұрын
How do I et your Album or mixtape. i want to buy it
sasa nipo jikoni kuandika kuhusu kesi ya babu seya ......hamkufanya fear.....but kitambo mbona hahtuisikki kaka maalimu
NAANDIKA NJIMBO YA TAIFA LA HIP- HOP
254🇰🇪Tuko ndanii
...kuusu wawekezaji niachie mm,je utawafanya nn
hip hop ya kweli
Safiiiiii....xema beat la hurt me soul
@raymondjefwa1962
5 жыл бұрын
Nash mc mzito paka Mombasa that's Hip Hop
Hip Pop in blood
2022 gonga like
I appreciate bruh 🔥
Naandika kuhusu langa na mangwea kanumba na sajuki wap sharo milionea
Heshima tu ndio nakupea
@christeknics
6 жыл бұрын
ABIGAIL KIGHOMBE your also welcome to my channel subscribe and like as I did to yours
Hahahahaha Nash wee ni hater... Kaka chunga hayo maneno ya kipuzi nitakuteka
@mukakathejoker6504
4 жыл бұрын
Baba hiyo ngoma inaitwa maswali ya kiwack. Kama unayo naiomba wasap 0762769496
@solomonichisaye8767
2 жыл бұрын
@@mukakathejoker6504 Uliipata
Maalim ii ngoma utaamini inaongea wakati huu tuliopo na imeandikwa 9years ago
+254 Inakubali kasi safi
Nani yuko hapa 2020 akisikiliza huku akiandika.
2019
respect to Nash
Mungu akubariki sana
noma sana broo
Zuzu Mc... pamoja braza 2$0nge
@christeknics
6 жыл бұрын
BOAZ MBEMBELA karbu kwenye channel yang subscribe na kulike kama nlvofanya kwako
Keep it up dude
Nyimbo ambayo haiishi hamu
Naandika kuhusu uchaguzi 2020🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
uwezi kijutia mb kwaiimstari unajuwa kaka
2019 yoo
Bado nipo nasikiliza 23/1/2023
✍️💯💯💯💯💯💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥👊
Appreciate maalim nash mjomba @monterooh
Big up to you bro
Listening this in 2021
Kweli ukitia saini we raisi ni muoga
2021 december
Sina budi kuandika wasanii wana hip hop na leo wamebadilika
Это на него мс мох дисс делал?
Kaz nzur
Nash danger
Hip Hop Mzuka 🔥🔥
Hip hop no darasa hulu
Naandika kuhusu ardhi na madini kuhusu wawekezaji naomba mniachie nini muone ntawafanya nini aya utawafanya nini? ntwawauzia vyote kisha naingia mitini
nash z ms bbm
2018
...Naaaandika kuhusu uozo wa Serikari...
congratulations
👊👍✌️.
Big up kaka
Usisubutu kukutwa na takukuru ya mtaa.watakata funua watatambaa
Salute
weee nishidah
mwiba kwa watawala
@christeknics
6 жыл бұрын
Mussa Harun karbu kwenye channel yang subscribe na kulike kama nlvofanya kwako
naipenda hii kitu
Zuzu
safi bro
Nice song kamanda apa AR umetsha
hiv ndo tunavitaka kuskia kwanin maredio hwapigi vitu vya maana kama hivi.tumechoka kuimbiwa pombe na ngono
😮
Nakubali
Zimaaa