Maalim Nash - Nianzie Wapi? (Official Music Video) In loving memory of Asimwe Novart.

Музыка

Huu ni wimbo maalum kwa ajili ya kupaza sauti kuhusu mauwaji ya mtoto mwenye ualbino ,aliyeuwawa mkoa wa Kagera na kukatwa viongo vyake. Watanzania kwa pamoja tuungane kupinga mauwaji ya Albino.

Пікірлер: 376

  • @allymnali4918
    @allymnali491819 күн бұрын

    Flow 100% Beat 100% Lugha 100% Ujumbe 100%

  • @travellahmsafirihiphop5325
    @travellahmsafirihiphop532520 күн бұрын

    WAKWANZA KUVIEW,,GONGA LIKE HAPA🔥🔥🔥🔥MAALIM⚡⚡⚡

  • @mohamedkhamis8470
    @mohamedkhamis847020 күн бұрын

    Daaa kila navyozidi kuskiliza hii nyimbo machozi yanazidi kunitoka hongera kaka Nash Mc kwa hii zawadi ya uyu binti mdogo asie na hatia yoyote kafa kifo cha kinyama sana

  • @salehemwenyevyale7875
    @salehemwenyevyale787519 күн бұрын

    Darasa lingine toka kwa Maalim kwamba nyimbo sio mpaka wafe viongozi. Pa kuanzia Maalim kaweka 💯

  • @NassorSuleiman-jy4ro

    @NassorSuleiman-jy4ro

    6 күн бұрын

    Walishamuandaa msechu na wakasahau hata komba aliwaambia nae hayupo wanajisahau Sana kisa waneona Dunia ni Yao Kwa Kodi zetu

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile323419 күн бұрын

    Tumsapoti mtu huyu kwa kununua kazi zake,na sio kwa maneno matupu jamani,huyu mtu ni sauti ya umma

  • @ibrakadablaa7525
    @ibrakadablaa752519 күн бұрын

    Wasanii Igeni Maadili ya Huyu br Nash kazi kuimba mapenzi na siasa za kifala mambo ya muhimu kimya hongera sana kaka nashi

  • @jamerude3753
    @jamerude375320 күн бұрын

    Hii ndo maana halisi ya Hip Hop inaelezea uhalisia wa maisha yanayotuzunguka kila siku

  • @sembojwamaterial8409
    @sembojwamaterial840919 күн бұрын

    Tupunguze mihemko sasa tununuee albums za nash mi nnayo " tuzidi kupush na m-subscribe apo juu..ahsanteni sana🤝🤝

  • @littlesakhoiv1893
    @littlesakhoiv189319 күн бұрын

    nchi ngumu sana hiii 😭😭😭 alafu eti umpigie kura msanii unaemtaka,,, nash wewe ndio msaniii bora wa hiphop wa mda woteee✅✅✅

  • @bossbillionare
    @bossbillionare15 күн бұрын

    Nash ni simba..iyo beat men naikubali toka kenya nikiwa mnyama wa hip-hop hapa kwetu

  • @haashimuvc8742
    @haashimuvc874219 күн бұрын

    Mistari yenye matukio halisi ya maisha ya watu na jamii kwa ujumla inapatikana hapa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @praymwalu
    @praymwalu19 күн бұрын

    From DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 this song ni international mana ma albino wana pata changa moto sio Tanzania tu ila Kona nyingi za dunia Big up Brother

  • @chabrumachabruma
    @chabrumachabruma18 күн бұрын

    Kipoozeo Cha sule......bro anajua kukichezea Kiswahili

  • @Nickbrown127
    @Nickbrown12719 күн бұрын

    Maalim Nash ni mmoja tu. Wengine wote ni machawa hawawezi kuongea ukweli kama huu.

  • @TheKizuki
    @TheKizuki19 күн бұрын

    Walioelewa mstari wa kipoozeo Cha Sule ni pesa gonga like hapa. Nash Mc mziki wa kweli

  • @salehemwenyevyale7875

    @salehemwenyevyale7875

    18 күн бұрын

    Hebu dada vua hapa huo mstari. Sina uhakika kama nimeelewa

  • @herryshabanimakomberasimba9722
    @herryshabanimakomberasimba972220 күн бұрын

    NAAAMH KAKA ALLAH AKUBARIKI KWA KUMBUKIZI HII ELIMU,ONYO NA UWAJIBIKAJI JUU YA UKATILI

  • @user-cv4jb1bm6i
    @user-cv4jb1bm6i19 күн бұрын

    Wasanii wao wa kimataifa sijui wamekaa kimya??😡SALUTE BROO NASH🎉

  • @mtumbad4359
    @mtumbad435920 күн бұрын

    Mungu ampuzishe kwa amani kwenye nyumba yake ya milele Nash Mc shukrani sana kwa zawadi hii ya asimwe nianzie wapi kukupongeza kwa hii elimu?

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb14 күн бұрын

    Aminiy Maalim Semakwaawo Jama Kaze buletu aminiy is ✊

  • @The_Mad_Philosopher
    @The_Mad_Philosopher14 күн бұрын

    Hip hop icyo na njaa au kiu ya pesa🔥🔥🔥🔥 Hip hop ya asili💪💪

  • @hafidhimarijani4961
    @hafidhimarijani496119 күн бұрын

    Wewe ndio kioo cha jamii.. Asante sana kwa huu uandishi..

  • @alexmnogi1822
    @alexmnogi182218 күн бұрын

    Nash wa Mc ...nakubal mzee we ndo umebak mwnamapinduz wa kwel, kunawengne waloapa hawatakauwa wanasiasa sbabu ni waongo lakn leo ndo tunawaona viti vya mbele kwenye siasa ,big up Nash

  • @Yegon254
    @Yegon25419 күн бұрын

    Huu wimbo Una hisia nyingi aisee, this is pure art.

  • @user-cd4dv7wq9g
    @user-cd4dv7wq9g19 күн бұрын

    Mungu ailaze roho ya asiime salama peponi

  • @machinegunfelly8282
    @machinegunfelly828220 күн бұрын

    My favorite mc maalim nash

  • @richardmandia-ni1rp
    @richardmandia-ni1rp20 күн бұрын

    Yaah hisia zinaumiza sana, maalim umewakilisha uma Kwa ujumla

  • @mussasellemani8220
    @mussasellemani822019 күн бұрын

    Zuzu mungu akupe maisha marefu kaka hujawai kukosea

  • @kitumbuakitamu9046
    @kitumbuakitamu904620 күн бұрын

    Tukemee Kwa pamoja mungu alaze roho ya marehemu pahala pema peponi

  • @gaspersessi9987
    @gaspersessi998719 күн бұрын

    10/10 maalimu. Mitaa bado inaheshimu hip hop bro

  • @ahmadchibwiko
    @ahmadchibwiko20 күн бұрын

    Asante kaka kwa hip hop inayoishi milele.

  • @HassanMpina2014
    @HassanMpina201418 күн бұрын

    Next afande sele unazama sana kimashairi hakuna msanii bongo anazama kimashairi kama wewe vvu

  • @ShafiiKupenda
    @ShafiiKupenda19 күн бұрын

    Hii ndio maana halisi ya Utamaduni wa Hip hop kukemea, kupaza sauti kwa umma juu ya maovu yote yanayotendwa kwenye jamii. NASH MCEE ALLAH AKUBARIKI SANA BROTHER

  • @sosomokobiasharamgaya3020
    @sosomokobiasharamgaya302019 күн бұрын

    Nash ww ni mfano wa kuigwa kwa Ma mc wa bovu Bro Hip hop for life#Okoa Hiphop

  • @DonaldMpili-de3kc
    @DonaldMpili-de3kc19 күн бұрын

    Dunia bhna... hongera Sana mwanamuzik kwenye zama za wasanii...rip bnt

  • @freemonhenry3448
    @freemonhenry344819 күн бұрын

    Inauma sana 😭😭. Hii nyimbo ni zawadi tosha bro. Asante sana.

  • @ShakaKilimba
    @ShakaKilimba18 күн бұрын

    Mungu atawalipa waliomuua mtoto ambaye hana hatia, hapa hapa duniani na kesho akhera kwa uwezo wake kama Muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo. MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA Asimwe.

  • @ombeninyemba6428
    @ombeninyemba642815 күн бұрын

    Real Tamaduni music

  • @mukakathejoker6504
    @mukakathejoker650420 күн бұрын

    Pumzika kwa amani Asimwe kipenzi changu.😢😢 Vitendo dhidi ya maneno.....harakati mwanzo mwsiho. Nakubali

  • @abuutekashi3286
    @abuutekashi328619 күн бұрын

    Dah! Maalim mi sijakosea kabisa kufatilia mziki wako yaan

  • @bromanfexxaofficial935
    @bromanfexxaofficial93518 күн бұрын

    This is what it takes for one to be the voice of the people n real MC ......na sio kukata mauno na amapiano zao wakati watu wanapoteza maisha kwa imani potofu ....HipHop Love!!!....

  • @kombozuberi3143
    @kombozuberi314319 күн бұрын

    Mola Amuweke Panapostahili Binti yetu Asimwe, shukran sana kaka Maalim Nash kwa kutulingania ukumbusho huu

  • @amnekay-mx7dp
    @amnekay-mx7dp19 күн бұрын

    Dakika 3 za maana kabisa sijajutia kusikiliza. Emcee kama emcee. Nakupendaga tu.

  • @omaryahmed7100
    @omaryahmed710020 күн бұрын

    Daah !! Mpaka chozi limenitoka aice!! Umeongea ukweli mtupu maalim, tukio la kutekwa lilipo tangazwa walichukuilia kawaida tu mpaka zilipo kuja habari kuwa amefariki!! KAZI SAFI MAALIM,ALLAH AKUBARIKI

  • @matthewkyamba3707
    @matthewkyamba370719 күн бұрын

    Hakika sina pa kuanzia 🙌🏿 Shukrani sana kwa ujumbe madhubuti kaka Nash Mcee

  • @paulahmed2919
    @paulahmed291919 күн бұрын

    Tunajua tutakufa na maisha ni ya muda tu. Ila wauwaji hawakujali kuwa si muda mrefu watakuwa wafu pia. Mamlaka hayadumu, maisha ni ya muda mfupi tu na baadhi yetu haitufikirishi kufupisha maisha ambayo tayari ni mafupi, ambapo pia maisha haya hapa duniani sio ya milele... Haina maana. Kumdhulumu mwanadamu mwingine uhai hakuwezi kuwa na sababu yoyote yenye maana kuliko maana ya uhai wenyewe. Asimwe alistahili kulindwa na sisi sote. Kifo chake kitukumbushe kuwa tuna wajibu wa kulinda na kutetea uhai wa kila mmoja wetu. Nilinde nikulinde. Tusamehe Asimwe.

  • @marcokihongo7373
    @marcokihongo737319 күн бұрын

    Inagusa hisia sana sana, hongera Nash MC Kwa uandishi unaoonyesha uzalendo mkubwa na mapenzi kama mzazi Kwa mtoto. Mungu ampokee asimwe..

  • @waitinmboto8716
    @waitinmboto871619 күн бұрын

    Daaa inauma sana.asante kaka kwa kufikisha ujumbe kwa jamii hakika kazi ya sanaa unaitumikia ipasavyo Ameen

  • @adonaimwankenja2280
    @adonaimwankenja228018 күн бұрын

    Power to the people, power to Maalim Nash Mc, Asante sana kwa hii zawadi, Wanaharakati wa Hip hop tuungane kwa pamoja na umoja

  • @maxtz4692
    @maxtz469219 күн бұрын

    Huu ni ukweli usio pingika 1 love kaka R.I.P ASIMWE NOVART

  • @SolomonKatanga
    @SolomonKatanga19 күн бұрын

    Anhaaaa kaka nash nash mc weni mwanaharakat hakika

  • @supacklaizer7662
    @supacklaizer766215 күн бұрын

    Imeniumiza sana hiii..., halafu sasa maalim hii n level za mbali sana sema n vile hunaga mambo mengi

  • @joshuasanga8387
    @joshuasanga838719 күн бұрын

    Mwenyezi Mungu Uketiye Mahala patakatifu Naungana Na Watanzania wote Sambamba na Mtunzi wa Nyimbo hii Kukuomba Uipokee Roho ya Mtoto Asimwe aliyeuwawa kinyama 😭😭 na watu uliowaumba wewe kwa Mapenzi mema tu Tunakemea hivi vitendo wanaowaza kutenda hivi Mungu uwatie Upofu. Amina🙏🙏

  • @MweusiAlly
    @MweusiAlly18 күн бұрын

    Bkb stand up maalimu nashi mc kama umekubali gonga like apa utakua umetisha sana

  • @user-ui7lb5yc2l
    @user-ui7lb5yc2l19 күн бұрын

    Inauma Sanaa kaka SEMA mungu alituumba tofauti Sanaa ss binadamu 😭😭😭

  • @mitsuBaya-xj8lc
    @mitsuBaya-xj8lc16 күн бұрын

    We need more Nash mcs to help us talk about the killings of albino,big up hommie

  • @Mr_YesTz
    @Mr_YesTz19 күн бұрын

    Mkubwa ni mkubwa tu hata mawazo yake yatakuwa yakikubwa hachana na wale wakubwa jinga wasiojua kuimba namuongeleea maalim Nash hii kubwa kaka hongera

  • @ShomaryMasunga-jz9jo
    @ShomaryMasunga-jz9jo16 күн бұрын

    Ndiyo mana ukajiita malim kweli unastahili hili jina heshima sana kwako Malim😢

  • @leonardmhagama5828
    @leonardmhagama582817 күн бұрын

    ".....Mpe makazi mema wajina huyu wa mwanangu." 😥😓RIP

  • @FarijalaAwadh-oo1yv
    @FarijalaAwadh-oo1yv19 күн бұрын

    Safi sana kaka nash nimeipenda aisee mola ampuzishe mwenetu salama

  • @tembomlawa2065
    @tembomlawa206513 күн бұрын

    Maalimu Nash.mc.be blessed my brother mtoto wa KR

  • @josephmaico8240
    @josephmaico82404 күн бұрын

    Hisia kari sana....usipo mtanguliza mwenyezi Mungu mbele unaweza ikimbia Tz 😮 twendeni tu ila tutafika tu majitu yanaloho mbaya

  • @omarypetro3207
    @omarypetro320717 күн бұрын

    Yaaah, ujumbe mzuri - u arikiwe sana NASH MC✊✊✊

  • @bonifacemeela5247
    @bonifacemeela524719 күн бұрын

    Shukrani Bro kwa kutukumbusha jamii wajibu wetu dhidi ya kuwalinda hawa ndugu zetu

  • @vincentkigosi5119
    @vincentkigosi511917 күн бұрын

    Kongole maalim tuna mengi sana ya kuilipa jamii yetu....

  • @EmanuelBlassy-uz4gm
    @EmanuelBlassy-uz4gm19 күн бұрын

    Hii hip hop ya kweli .Never die NASH.MC

  • @gwalughanomerryrose4913
    @gwalughanomerryrose491319 күн бұрын

    Umemimina na kipande cha moyo wako kwenye hii ngoma... hisia kali sana. Heshima nyingi sana. Hakika wewe ni fanani na muhadhiri. Heshima kwako Nash

  • @DonSompo
    @DonSompo19 күн бұрын

    Kazi nzuri sana Nash, the beat and the lyrics are touching the hearts.. Message well delivered!

  • @bakwine
    @bakwine16 күн бұрын

    Black ninja huu mdundo Noma mzee

  • @MackameHassani
    @MackameHassani19 күн бұрын

    Kazi nzuri, hongera Nash zuzu.....

  • @Mchambuzi-hv6iq
    @Mchambuzi-hv6iq19 күн бұрын

    Hii ndiyo maana ya hiphop kinaimbwa kitu halisia nash mc one love jah azidi kukubless

  • @STRIKEKIBUTI
    @STRIKEKIBUTI19 күн бұрын

    Trumpet ipo powaaaa sana Maalim nash

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale15 күн бұрын

    Kazi nzuri sana kaka. Dah! Ujumbe umefika vema.

  • @dullazaxzaxbora516
    @dullazaxzaxbora51618 күн бұрын

    Nash umeongea Kaka ninapo sikiliza hii ngoma machozi yananitoka. M. A. P #ASIMWE

  • @danielmpanda8609
    @danielmpanda860919 күн бұрын

    Huyu ndiyo Maalim...Anaandika mambo mengi hata pale TABIA alipomfanyia ushenzi 💪💪

  • @magrethswai6055
    @magrethswai605517 күн бұрын

    Daaah naumia sanaa Kila nikiskiliza huu ujumbe, hakika kazi Yako ni nzuri sanaa kaka, barikiwa sanaa

  • @ramadhaniali1102
    @ramadhaniali110219 күн бұрын

    Dah imeniuma sanaaa

  • @mowales8040
    @mowales804019 күн бұрын

    ✊🏽Hip Hop vs Everybody... M. A. P Asimwe🙏🏼

  • @shukranihamisi9989
    @shukranihamisi998919 күн бұрын

    Nakubali mzee hisia kali

  • @ivymedia9921
    @ivymedia992119 күн бұрын

    Lakini Nash unaju sana kuoanga mashairi.. Big up bro...

  • @adammagogwa8563
    @adammagogwa856319 күн бұрын

    AKSANTE SANA MTANI MAALIM KWA UJUMBE HUUU

  • @daviskweka8198
    @daviskweka819819 күн бұрын

    Vitendo dhidi ya maneno! One love sana kaka

  • @DenisMero-tt2oj
    @DenisMero-tt2oj19 күн бұрын

    Nianzie wapi? Respect 🙏 Maalim Nash 🙌

  • @user-sk2cr8pm1e
    @user-sk2cr8pm1e9 күн бұрын

    Maalim nash Madina vina mpk uchina. umefany vzr broo sasa hii ndo hip hop innalilahi wainnalillah rajuun asimwe mtoto wetu

  • @user-zv7ef5ke1e
    @user-zv7ef5ke1e20 күн бұрын

    Zuzu umetisha sana

  • @johnpaulkirenga5824
    @johnpaulkirenga582413 күн бұрын

    Much bless to Nash vs BlackNinja! Rest well Asimwe,😭😭😭

  • @erickselei3426
    @erickselei342619 күн бұрын

    Maalim Nash ii ndo maana ya ii kitu HipHop

  • @mchizikichizii
    @mchizikichizii19 күн бұрын

    Sauti popote itasikika ;kweli hayo mambo yanafikirisha na kuumiza kwenye yetu jamii Kila kukicha /Mungu atusimamie zaidi kututoa kwenye huu ukatili

  • @ismailykawambwa0028
    @ismailykawambwa002819 күн бұрын

    Wajibu umeutekeleza Maalim, huna dhima🙌

  • @japhariramadhani7272
    @japhariramadhani727219 күн бұрын

    Kaka maalimnash bonge la message bro🫡

  • @monsterboy290
    @monsterboy29018 күн бұрын

    Bro nimekuwa fans wako kwa kitambo nakupenda Sana nakukubali naupenda mziki wako na kwa hili uliloliimba kwa mtoto huyu asimwe ni jambo la heshima kwako bro na kila nikiingaria video na picha za mtoto asimwe naumia Sana hivi watanzania tunaenda wapi kama ni kiongozi wa dini anahusika pamoja na Baba mzazi anahusika kweli

  • @deogratiusmunisi7305
    @deogratiusmunisi730518 күн бұрын

    Hii ndo HIP ya kweli, Nash Da Gama MC

  • @Bamutumubaya
    @Bamutumubaya19 күн бұрын

    Mungu ailaze Roho ya Asimwe mahala pema peponi Amen. 😢😢😢

  • @pitiimbishi3833
    @pitiimbishi383319 күн бұрын

    Sauti imesikika maalim

  • @samiemacroded-kb1er
    @samiemacroded-kb1er19 күн бұрын

    Big up maalim nash mc njia umeifungua ya kutoa ujumbe co mpka waondoke wakina fulani ndo waimbie

  • @alhaji6094
    @alhaji609420 күн бұрын

    Daah..Bonge moja la ngoma

  • @sumadashsumadash-yx8eb
    @sumadashsumadash-yx8eb19 күн бұрын

    Itkad za Ukweli zipo katika Hip-hop Ustaadh Nash heko kwako brother Umeweka waz yanayoendelea kufichwa kuhusu Ukatili wa Malaika huhuyu aliyeuawa kikatili

  • @YohaniDimoso-zn8zh
    @YohaniDimoso-zn8zh19 күн бұрын

    Mungu akubariki sana maalim kwa kitu kikubwa hiki ulichofanya.

  • @kingnyamafutv8646
    @kingnyamafutv8646Күн бұрын

    UBARIKIWE KAKA KWA HUU WIMBO KWELI HII INAUMA SANA

  • @davidadolf2667
    @davidadolf266719 күн бұрын

    🔥🔥 Mungu akuzidishiee katika hili jambo kubwa sana bro

  • @HaruniMtindya
    @HaruniMtindya12 күн бұрын

    Asimwe pumzika kwa amani dada angu tusamehe atukukulinda

Келесі