Maalim Nash - Nianzie Wapi? (Official Music Video) In loving memory of Asimwe Novart.
Музыка
Huu ni wimbo maalum kwa ajili ya kupaza sauti kuhusu mauwaji ya mtoto mwenye ualbino ,aliyeuwawa mkoa wa Kagera na kukatwa viongo vyake. Watanzania kwa pamoja tuungane kupinga mauwaji ya Albino.
Пікірлер: 376
Flow 100% Beat 100% Lugha 100% Ujumbe 100%
WAKWANZA KUVIEW,,GONGA LIKE HAPA🔥🔥🔥🔥MAALIM⚡⚡⚡
Daaa kila navyozidi kuskiliza hii nyimbo machozi yanazidi kunitoka hongera kaka Nash Mc kwa hii zawadi ya uyu binti mdogo asie na hatia yoyote kafa kifo cha kinyama sana
Darasa lingine toka kwa Maalim kwamba nyimbo sio mpaka wafe viongozi. Pa kuanzia Maalim kaweka 💯
@NassorSuleiman-jy4ro
6 күн бұрын
Walishamuandaa msechu na wakasahau hata komba aliwaambia nae hayupo wanajisahau Sana kisa waneona Dunia ni Yao Kwa Kodi zetu
Tumsapoti mtu huyu kwa kununua kazi zake,na sio kwa maneno matupu jamani,huyu mtu ni sauti ya umma
Wasanii Igeni Maadili ya Huyu br Nash kazi kuimba mapenzi na siasa za kifala mambo ya muhimu kimya hongera sana kaka nashi
Hii ndo maana halisi ya Hip Hop inaelezea uhalisia wa maisha yanayotuzunguka kila siku
Tupunguze mihemko sasa tununuee albums za nash mi nnayo " tuzidi kupush na m-subscribe apo juu..ahsanteni sana🤝🤝
nchi ngumu sana hiii 😭😭😭 alafu eti umpigie kura msanii unaemtaka,,, nash wewe ndio msaniii bora wa hiphop wa mda woteee✅✅✅
Nash ni simba..iyo beat men naikubali toka kenya nikiwa mnyama wa hip-hop hapa kwetu
Mistari yenye matukio halisi ya maisha ya watu na jamii kwa ujumla inapatikana hapa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
From DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 this song ni international mana ma albino wana pata changa moto sio Tanzania tu ila Kona nyingi za dunia Big up Brother
Kipoozeo Cha sule......bro anajua kukichezea Kiswahili
Maalim Nash ni mmoja tu. Wengine wote ni machawa hawawezi kuongea ukweli kama huu.
Walioelewa mstari wa kipoozeo Cha Sule ni pesa gonga like hapa. Nash Mc mziki wa kweli
@salehemwenyevyale7875
18 күн бұрын
Hebu dada vua hapa huo mstari. Sina uhakika kama nimeelewa
NAAAMH KAKA ALLAH AKUBARIKI KWA KUMBUKIZI HII ELIMU,ONYO NA UWAJIBIKAJI JUU YA UKATILI
Wasanii wao wa kimataifa sijui wamekaa kimya??😡SALUTE BROO NASH🎉
Mungu ampuzishe kwa amani kwenye nyumba yake ya milele Nash Mc shukrani sana kwa zawadi hii ya asimwe nianzie wapi kukupongeza kwa hii elimu?
Aminiy Maalim Semakwaawo Jama Kaze buletu aminiy is ✊
Hip hop icyo na njaa au kiu ya pesa🔥🔥🔥🔥 Hip hop ya asili💪💪
Wewe ndio kioo cha jamii.. Asante sana kwa huu uandishi..
Nash wa Mc ...nakubal mzee we ndo umebak mwnamapinduz wa kwel, kunawengne waloapa hawatakauwa wanasiasa sbabu ni waongo lakn leo ndo tunawaona viti vya mbele kwenye siasa ,big up Nash
Huu wimbo Una hisia nyingi aisee, this is pure art.
Mungu ailaze roho ya asiime salama peponi
My favorite mc maalim nash
Yaah hisia zinaumiza sana, maalim umewakilisha uma Kwa ujumla
Zuzu mungu akupe maisha marefu kaka hujawai kukosea
Tukemee Kwa pamoja mungu alaze roho ya marehemu pahala pema peponi
10/10 maalimu. Mitaa bado inaheshimu hip hop bro
Asante kaka kwa hip hop inayoishi milele.
Next afande sele unazama sana kimashairi hakuna msanii bongo anazama kimashairi kama wewe vvu
Hii ndio maana halisi ya Utamaduni wa Hip hop kukemea, kupaza sauti kwa umma juu ya maovu yote yanayotendwa kwenye jamii. NASH MCEE ALLAH AKUBARIKI SANA BROTHER
Nash ww ni mfano wa kuigwa kwa Ma mc wa bovu Bro Hip hop for life#Okoa Hiphop
Dunia bhna... hongera Sana mwanamuzik kwenye zama za wasanii...rip bnt
Inauma sana 😭😭. Hii nyimbo ni zawadi tosha bro. Asante sana.
Mungu atawalipa waliomuua mtoto ambaye hana hatia, hapa hapa duniani na kesho akhera kwa uwezo wake kama Muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo. MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA Asimwe.
Real Tamaduni music
Pumzika kwa amani Asimwe kipenzi changu.😢😢 Vitendo dhidi ya maneno.....harakati mwanzo mwsiho. Nakubali
Dah! Maalim mi sijakosea kabisa kufatilia mziki wako yaan
This is what it takes for one to be the voice of the people n real MC ......na sio kukata mauno na amapiano zao wakati watu wanapoteza maisha kwa imani potofu ....HipHop Love!!!....
Mola Amuweke Panapostahili Binti yetu Asimwe, shukran sana kaka Maalim Nash kwa kutulingania ukumbusho huu
Dakika 3 za maana kabisa sijajutia kusikiliza. Emcee kama emcee. Nakupendaga tu.
Daah !! Mpaka chozi limenitoka aice!! Umeongea ukweli mtupu maalim, tukio la kutekwa lilipo tangazwa walichukuilia kawaida tu mpaka zilipo kuja habari kuwa amefariki!! KAZI SAFI MAALIM,ALLAH AKUBARIKI
Hakika sina pa kuanzia 🙌🏿 Shukrani sana kwa ujumbe madhubuti kaka Nash Mcee
Tunajua tutakufa na maisha ni ya muda tu. Ila wauwaji hawakujali kuwa si muda mrefu watakuwa wafu pia. Mamlaka hayadumu, maisha ni ya muda mfupi tu na baadhi yetu haitufikirishi kufupisha maisha ambayo tayari ni mafupi, ambapo pia maisha haya hapa duniani sio ya milele... Haina maana. Kumdhulumu mwanadamu mwingine uhai hakuwezi kuwa na sababu yoyote yenye maana kuliko maana ya uhai wenyewe. Asimwe alistahili kulindwa na sisi sote. Kifo chake kitukumbushe kuwa tuna wajibu wa kulinda na kutetea uhai wa kila mmoja wetu. Nilinde nikulinde. Tusamehe Asimwe.
Inagusa hisia sana sana, hongera Nash MC Kwa uandishi unaoonyesha uzalendo mkubwa na mapenzi kama mzazi Kwa mtoto. Mungu ampokee asimwe..
Daaa inauma sana.asante kaka kwa kufikisha ujumbe kwa jamii hakika kazi ya sanaa unaitumikia ipasavyo Ameen
Power to the people, power to Maalim Nash Mc, Asante sana kwa hii zawadi, Wanaharakati wa Hip hop tuungane kwa pamoja na umoja
Huu ni ukweli usio pingika 1 love kaka R.I.P ASIMWE NOVART
Anhaaaa kaka nash nash mc weni mwanaharakat hakika
Imeniumiza sana hiii..., halafu sasa maalim hii n level za mbali sana sema n vile hunaga mambo mengi
Mwenyezi Mungu Uketiye Mahala patakatifu Naungana Na Watanzania wote Sambamba na Mtunzi wa Nyimbo hii Kukuomba Uipokee Roho ya Mtoto Asimwe aliyeuwawa kinyama 😭😭 na watu uliowaumba wewe kwa Mapenzi mema tu Tunakemea hivi vitendo wanaowaza kutenda hivi Mungu uwatie Upofu. Amina🙏🙏
Bkb stand up maalimu nashi mc kama umekubali gonga like apa utakua umetisha sana
Inauma Sanaa kaka SEMA mungu alituumba tofauti Sanaa ss binadamu 😭😭😭
We need more Nash mcs to help us talk about the killings of albino,big up hommie
Mkubwa ni mkubwa tu hata mawazo yake yatakuwa yakikubwa hachana na wale wakubwa jinga wasiojua kuimba namuongeleea maalim Nash hii kubwa kaka hongera
Ndiyo mana ukajiita malim kweli unastahili hili jina heshima sana kwako Malim😢
".....Mpe makazi mema wajina huyu wa mwanangu." 😥😓RIP
Safi sana kaka nash nimeipenda aisee mola ampuzishe mwenetu salama
Maalimu Nash.mc.be blessed my brother mtoto wa KR
Hisia kari sana....usipo mtanguliza mwenyezi Mungu mbele unaweza ikimbia Tz 😮 twendeni tu ila tutafika tu majitu yanaloho mbaya
Yaaah, ujumbe mzuri - u arikiwe sana NASH MC✊✊✊
Shukrani Bro kwa kutukumbusha jamii wajibu wetu dhidi ya kuwalinda hawa ndugu zetu
Kongole maalim tuna mengi sana ya kuilipa jamii yetu....
Hii hip hop ya kweli .Never die NASH.MC
Umemimina na kipande cha moyo wako kwenye hii ngoma... hisia kali sana. Heshima nyingi sana. Hakika wewe ni fanani na muhadhiri. Heshima kwako Nash
Kazi nzuri sana Nash, the beat and the lyrics are touching the hearts.. Message well delivered!
Black ninja huu mdundo Noma mzee
Kazi nzuri, hongera Nash zuzu.....
Hii ndiyo maana ya hiphop kinaimbwa kitu halisia nash mc one love jah azidi kukubless
Trumpet ipo powaaaa sana Maalim nash
Kazi nzuri sana kaka. Dah! Ujumbe umefika vema.
Nash umeongea Kaka ninapo sikiliza hii ngoma machozi yananitoka. M. A. P #ASIMWE
Huyu ndiyo Maalim...Anaandika mambo mengi hata pale TABIA alipomfanyia ushenzi 💪💪
Daaah naumia sanaa Kila nikiskiliza huu ujumbe, hakika kazi Yako ni nzuri sanaa kaka, barikiwa sanaa
Dah imeniuma sanaaa
✊🏽Hip Hop vs Everybody... M. A. P Asimwe🙏🏼
Nakubali mzee hisia kali
Lakini Nash unaju sana kuoanga mashairi.. Big up bro...
AKSANTE SANA MTANI MAALIM KWA UJUMBE HUUU
Vitendo dhidi ya maneno! One love sana kaka
Nianzie wapi? Respect 🙏 Maalim Nash 🙌
Maalim nash Madina vina mpk uchina. umefany vzr broo sasa hii ndo hip hop innalilahi wainnalillah rajuun asimwe mtoto wetu
Zuzu umetisha sana
Much bless to Nash vs BlackNinja! Rest well Asimwe,😭😭😭
Maalim Nash ii ndo maana ya ii kitu HipHop
Sauti popote itasikika ;kweli hayo mambo yanafikirisha na kuumiza kwenye yetu jamii Kila kukicha /Mungu atusimamie zaidi kututoa kwenye huu ukatili
Wajibu umeutekeleza Maalim, huna dhima🙌
Kaka maalimnash bonge la message bro🫡
Bro nimekuwa fans wako kwa kitambo nakupenda Sana nakukubali naupenda mziki wako na kwa hili uliloliimba kwa mtoto huyu asimwe ni jambo la heshima kwako bro na kila nikiingaria video na picha za mtoto asimwe naumia Sana hivi watanzania tunaenda wapi kama ni kiongozi wa dini anahusika pamoja na Baba mzazi anahusika kweli
Hii ndo HIP ya kweli, Nash Da Gama MC
Mungu ailaze Roho ya Asimwe mahala pema peponi Amen. 😢😢😢
Sauti imesikika maalim
Big up maalim nash mc njia umeifungua ya kutoa ujumbe co mpka waondoke wakina fulani ndo waimbie
Daah..Bonge moja la ngoma
Itkad za Ukweli zipo katika Hip-hop Ustaadh Nash heko kwako brother Umeweka waz yanayoendelea kufichwa kuhusu Ukatili wa Malaika huhuyu aliyeuawa kikatili
Mungu akubariki sana maalim kwa kitu kikubwa hiki ulichofanya.
UBARIKIWE KAKA KWA HUU WIMBO KWELI HII INAUMA SANA
🔥🔥 Mungu akuzidishiee katika hili jambo kubwa sana bro
Asimwe pumzika kwa amani dada angu tusamehe atukukulinda