Nash Mc - Ongea na Mwanao (official video)

Музыка

Nash Mc Maalim nakukaribisha kutazama Video yangu mpya ya wimbo uitwao ONGEA NA MWANAO, unaopatikana katika album yangu ya VITASAMOTO iliyotoka mwaka 2020.
Ukihitaji kununua album zangu nicheki Whatsapp katika nambari ,
0769 522 346
0787 639 655.

Пікірлер: 238

  • @jacksonsabana2150
    @jacksonsabana21503 жыл бұрын

    Hii ndo hip hop halisi ambayo ata marekani amna kiukwel nash tutafika siku moja na watakuja kuelewa somo

  • @jumannebilal771
    @jumannebilal7713 жыл бұрын

    Mfungulie akaunti ya busara na nidhamu.... anaitwa maalim 🙌🙌🙌

  • @ngongasement3110
    @ngongasement31103 жыл бұрын

    Ongea na mwanao sema nae sikio lako uligawe Mfungulie akaunti ya Busara na Nidhamu na sio akaunti ya mtandao Instagram💪💪💚❤ Kazi nzuri MC Hujawahi kwenda tofauti Mc wangu Upendo sana #nashmc

  • @graphixmaster6146
    @graphixmaster61463 жыл бұрын

    Sijamsikiliza Nash miaka mingi, ila hapa nimefurahi kuona kwamba Nash ni yuleyule, wale watoto wengine wa Tamaduni wamepoteza focus. Big up!!

  • @user-bf3wz3fi1j
    @user-bf3wz3fi1j3 ай бұрын

    noma san mkubwa bonge laujumbe maalim

  • @tzmagaladiah5680
    @tzmagaladiah56803 жыл бұрын

    Nitaongea na mwanangu asante kwa kutukumbusha

  • @godfreymagoso2689
    @godfreymagoso26893 жыл бұрын

    Sawa mate ,,, heshima kwa ticha Abogast,,,, kweli umekomaa sasa

  • @millardmbaraka6114
    @millardmbaraka61143 жыл бұрын

    Hongera kaka maalim kwa video hili la ki ubaba maana anatizama babu na mjikuu baba mama na watoto 💯💯🔥🔥🔥

  • @mwafrikabarz4507
    @mwafrikabarz45073 жыл бұрын

    Maalimu Ponda ,Ahsante sana kwa Muziki mzuri #Mahudhui safi sana

  • @simongaudence2685
    @simongaudence26853 жыл бұрын

    Maalimu Nash very intelligent

  • @chebenako5112
    @chebenako51123 жыл бұрын

    Kaka kila unapoachia kazi ni lazima nipate elimu, shukran saana kila leo kaka @Nash mwenyezi akuongoze 🙏🙏 amein

  • @samcharzy4657
    @samcharzy46573 жыл бұрын

    Ongea na mwanao....!!! Sema nae sikio lake ulifawe....!!!

  • @khaledymaumba7980
    @khaledymaumba79803 жыл бұрын

    Maaalim Gadaf zuzu .... umetisha

  • @shabanamiry1981
    @shabanamiry19813 жыл бұрын

    Najua siku ukifa mengi yatafufuliwa kuhusu wewe na wengi watajiuliza mbona mambo yako ulofanya ni makubwa lakini hawakukujua.... CHIZI LA MISTARI MZIMU WA SHAABAN ROBERT MAALIM NASH MCHOCHEZI @kiswahili na sanaa (KINASA)

  • @jumamnyeke266
    @jumamnyeke26627 күн бұрын

    Duuuh sure ongea na mwanao n kubwa mnoo

  • @khamisramadhan5133
    @khamisramadhan51333 жыл бұрын

    Ndio oi oi... Adimu pia nasubiria

  • @georgelangen5585
    @georgelangen55853 жыл бұрын

    Maan halisi ya hip hop Unajua sana broo

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama3 жыл бұрын

    Maalim ana ushawishi mkubwa sana kabla siku kupita elfu mia6 watu wake ni halisi na wapo sawia(active) nakubari kaz konk pia

  • @pascalbura5558
    @pascalbura55583 жыл бұрын

    Oya Nash Oya Oaaya Oooya Hatar para Zuzu🔥🔥

  • @dangomc_niger
    @dangomc_niger3 жыл бұрын

    Nashi nakukubali hasa magoma km Elimu Elimisha Tabia Mitihan Na km zoooooooote

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.26792 жыл бұрын

    Nash mc good work.👍👍👍

  • @geuzasilvester1715
    @geuzasilvester17152 жыл бұрын

    Maaalim hujawahi niangusha.what a conscious lyrics from conscious lyricist.Lit

  • @chaualuvagiza4127
    @chaualuvagiza41273 жыл бұрын

    Nakubali ujumbe umefika 💯

  • @emanuelnkotya2112
    @emanuelnkotya21123 жыл бұрын

    Maalim Mwalimu naandika, mitihani now ongea na mwanao nakupata vizuri kutoka Hungary, Budapest

  • @youngchillax6414
    @youngchillax64143 жыл бұрын

    #tunaizinduamitaa #mitihani#vvu #tabia#mwanangu #penaltyamwisho n.k sasa naongea na mwanangu ujawai niangusha nashir mc 👊

  • @mohamedkhamis8470
    @mohamedkhamis84703 жыл бұрын

    Ngoma kali sana

  • @lusekelocharles8066
    @lusekelocharles80663 жыл бұрын

    Sipendeleagi tamaduni but napenda nash alwayz napata fravour shoot out to nikk mbishi pia only this two giez am the fun

  • @funniestanimalsandfails3161
    @funniestanimalsandfails31613 жыл бұрын

    Ngoma ina maudhui safi sana

  • @mwahijahamisi9846
    @mwahijahamisi98463 жыл бұрын

    Hujawah kuniangusha bro Maalim Nashiiii

  • @mpandajr683
    @mpandajr6833 жыл бұрын

    Maalim una kila sifa ya kuonyesha na kufungua akili za watu kuwa hip hop sio mziki wa kihuni ila ni uhalisia wa maisha yetu..

  • @dowgguerrila9503
    @dowgguerrila95033 жыл бұрын

    Nash Mc Bonga la video Heshima sana mkongwe Nash

  • @nashmc5668

    @nashmc5668

    3 жыл бұрын

    Asante sana Kamanda wangu.

  • @dowgguerrila9503

    @dowgguerrila9503

    3 жыл бұрын

    @@nashmc5668 Mzuka sana King Nash wana tulikua tumemiss sana videos kutoka kwako

  • @expert5898
    @expert58982 жыл бұрын

    Unajua sana mzee... Ww n mkali mno Nash

  • @bajerbajer8224
    @bajerbajer82242 жыл бұрын

    Hongera sana bro

  • @solozukc-1
    @solozukc-13 жыл бұрын

    Uki uliza mtu kuhusu hip hop ata kwambia muziki wa kiuni. Nash endelea kutufundisha ata kama tukiwa wachache.

  • @hhurbert
    @hhurbert3 жыл бұрын

    Nash mwandishi makini sana

  • @richardmahamba1803
    @richardmahamba18033 жыл бұрын

    Motooo! damu yng nakubali#maalim NASH

  • @binyezanch8271
    @binyezanch82713 жыл бұрын

    Ayeeee3 malim msela

  • @nellyblack6598
    @nellyblack65983 жыл бұрын

    Noma sana akuna kama we by Noell from mbagala

  • @Gomsrap
    @Gomsrap3 жыл бұрын

    Baba, Nipo Mwanao Hapa MwanaUpeo

  • @romanwella4102
    @romanwella41023 жыл бұрын

    Mjaze mtoto hekima ndo utajili wa thamani..Genius Maalim Nash

  • @jayromantic390
    @jayromantic3903 жыл бұрын

    Safi ujumbe mzitooo

  • @alhaji6094
    @alhaji60943 жыл бұрын

    Nakubali

  • @shaphiyabdul1630
    @shaphiyabdul16303 жыл бұрын

    Amna kama wewe mwisho wa matatizo we ndo kioo chajamii we ndoo unaandika vyamaana na hakuna kama nash saluti kwako blaza

  • @jeremiahelijah3874
    @jeremiahelijah38743 жыл бұрын

    Oyaaaaaa chumaaaaa

  • @alphaabdallah1406
    @alphaabdallah14063 жыл бұрын

    Kuna maalim mmoja tu duniani...💥

  • @eliamsopokingkola890
    @eliamsopokingkola8903 жыл бұрын

    Safi Sana hii Kise p kwenye mdundo

  • @mwenikayankanawa7511
    @mwenikayankanawa75113 жыл бұрын

    Nash dagama.. Chizii.. Mfungulie akaunti ya busara sio akaunti ya mtandao Instagramu *Sikio lako ligawe*

  • @saidimkutu7860
    @saidimkutu78603 жыл бұрын

    Kaka nipo nawewe Daaaa Mitihani

  • @nguyamtwartz5413
    @nguyamtwartz54133 жыл бұрын

    Maalim kama maalim🙌💪💪

  • @francismandwa7413
    @francismandwa74133 жыл бұрын

    Nash MC bonge la msanii💯

  • @masterjumbe5124
    @masterjumbe51242 жыл бұрын

    Maalim Nash #genius

  • @Msomi_400
    @Msomi_4003 жыл бұрын

    Bro nash siku moja natamani kufanya nawe Kazi

  • @othumanomary3298
    @othumanomary32983 жыл бұрын

    Mzee Nash Mc Ongea na Mwanao💥💥💥

  • @ezradaniel4613
    @ezradaniel46133 жыл бұрын

    Nash mc,the best rapa@imcoolzeddy

  • @cosmastitus1165
    @cosmastitus11653 жыл бұрын

    Respect master

  • @eliatoshamapande7873
    @eliatoshamapande78732 жыл бұрын

    Naaaaaash....livelong

  • @dimosobariki4915
    @dimosobariki49153 жыл бұрын

    Moto

  • @molodashbotolo329
    @molodashbotolo3293 жыл бұрын

    Nakubari bro ipo siku ndakua kama ww npo najifunza ving toka kwako

  • @bakarishaban2460
    @bakarishaban24603 жыл бұрын

    Kuna wakati nawaza ni jinsi gani haya maudhui yawafikie hadhira kwa wingi, ili waelewe kipi kinazungumzwa. Kiukweli Nash Mc anaandika 👍👍👍. Big up sana, hip hop for life

  • @azizonesmo1130
    @azizonesmo11303 жыл бұрын

    Tutazidi kusaport kazi zako tuwezavyo kazi zinajieleza

  • @sayyedkudaid3712
    @sayyedkudaid37122 жыл бұрын

    DC wetu wakahw 🔥🔥

  • @beberurafiki3534
    @beberurafiki35343 жыл бұрын

    Duh! balaa. Nash hatari.

  • @imanyjohn1755
    @imanyjohn17553 жыл бұрын

    Wenye watoto wanaurudia huu wimbo mara kwa mara.

  • @lonnmutta2073
    @lonnmutta2073 Жыл бұрын

    ongea HIP HOP wazo ujumbe uwazi nathari

  • @binqalid9801
    @binqalid98013 жыл бұрын

    Ngoma noma

  • @yussufmussa91
    @yussufmussa913 жыл бұрын

    Nash mc is the Hip hop teacher in TZ...the song is full of lessons and messages...to our society...

  • @rinompemba5926
    @rinompemba59263 жыл бұрын

    Chafu moja hii umetisha apoooo mzee ongea na mwanao 🏌️‍♂️🏌️‍♂️

  • @ernestmlonganyundo1139
    @ernestmlonganyundo11393 жыл бұрын

    Oyooo zuzuu

  • @mazabegang3812
    @mazabegang38123 жыл бұрын

    Oyiii mzazi kama mzazi

  • @adamrule6636
    @adamrule66363 жыл бұрын

    noma san nashndw ht chkuandk hiphop real

  • @mustafaabdalla6667
    @mustafaabdalla66673 жыл бұрын

    Nash mc wimbo wangu Bora 2021

  • @mwanaharakatimukoyaaywahma1940
    @mwanaharakatimukoyaaywahma1940 Жыл бұрын

    Umegonga ndipo gwiji... 👊🏿🇹🇿🇰🇪👊🏿👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾❤️

  • @kazyn9554
    @kazyn95543 жыл бұрын

    Unajua Sana Kaka kurap kwa kiswahili fasaha mwanzo mwisho rappers waskuiz kazi Sana kwao🙌🙌

  • @arafatinfo1681
    @arafatinfo16813 жыл бұрын

    Ongea na mwanao

  • @iim428
    @iim4283 жыл бұрын

    Somo na ni muongozo katika ukuaji wa mtoto AFRICA

  • @muddylikwena128
    @muddylikwena128 Жыл бұрын

    Saluti kwako kamanda..hawezi kufanya unachofanya...

  • @razaqyahaya9944
    @razaqyahaya9944 Жыл бұрын

    Nakubali sana maslim

  • @reggiefilmtz
    @reggiefilmtz3 жыл бұрын

    Mchocheziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @thomasrobert7346
    @thomasrobert73463 жыл бұрын

    Hehehehehe.... Tomplex Maalim... (Zuzu). Naenda kma Shabani Robert.... We unaenda kma nani!!!!???

  • @Sobo740
    @Sobo7403 ай бұрын

    Umenena vema maalim

  • @samwushutz9354
    @samwushutz93543 жыл бұрын

    Mashaalah mashairi mazuri

  • @jeremyson7729
    @jeremyson77293 жыл бұрын

    kazi nzuri sana bro

  • @abduljuma2147
    @abduljuma21473 жыл бұрын

    Biti lakuvutia alafu ujumbe ndio kabisaa usiulizeee

  • @abdarahamaniabubakari4036
    @abdarahamaniabubakari40363 жыл бұрын

    babkubwa maalim

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid963710 ай бұрын

    Hii ndo fasihi yenyewe inayopeleka ujumbe kwa jamii nyimbo itaishi miaka Mia haishi hadhi#

  • @ridermc7734
    @ridermc77343 жыл бұрын

    Noma sana

  • @jrkjs29
    @jrkjs293 жыл бұрын

    ..nakubali mkubwaaa

  • @abuwaleed01
    @abuwaleed013 жыл бұрын

    Nash hawakupi heshima yako but sisi tunaokujua na kukuelewa, Daima utabaki mmoja kati ya wakali wa game

  • @salimyahaya2235
    @salimyahaya22353 жыл бұрын

    Big up nguli zuzu

  • @vicentmasaka2720
    @vicentmasaka27203 жыл бұрын

    Pongezi maalimu lugha tumeienzi

  • @Yegon254
    @Yegon2543 жыл бұрын

    Nash mc nakuheshimu sana,madini kama haya ni finyu Sana kwenye jamii

  • @ridermc7734
    @ridermc77343 жыл бұрын

    ONGEA na mwanao nash

  • @oscarkalimilwa4079
    @oscarkalimilwa40792 жыл бұрын

    One Man Army...You are Real and Conscious!Salute

  • @priscamwakalimdila337
    @priscamwakalimdila3373 жыл бұрын

    Nakupenda Nash

  • @emmanueljoseph4052
    @emmanueljoseph40523 жыл бұрын

    Ooooii maalimu

  • @selinasimon4167
    @selinasimon41673 жыл бұрын

    Uko poa mate

  • @sportarena3133

    @sportarena3133

    3 жыл бұрын

    maaaalim 🙌🙌🙌

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale3 жыл бұрын

    Nimerudi tena hapa! Aisee nimesisimkwa balaa!

  • @muddyally799
    @muddyally7993 жыл бұрын

    Wewe ni mfano wa kuigwa bro ,kazi nzuri ujumbe bora kabisa hii ni Hip Hop100%

  • @abasimageta386
    @abasimageta3863 жыл бұрын

    Kaka unajuwa Ila Mimi nilikuwa naona kwenye video tubadilike kidogo ubunifu uwepo

  • @mankijoka1258

    @mankijoka1258

    3 жыл бұрын

    Inabidi atupie swaga kati ama nini?

  • @abasimageta386

    @abasimageta386

    3 жыл бұрын

    @@mankijoka1258 yeah na swaga sio lazma mpk watu wakae uchi au wavuke hiyo misingi ya hip-hop anayoifata hapana unaweza ukawa na swaga za kisasa na bado ukabakia kwenye misingi yako ya hip-hop

  • @mankijoka1258

    @mankijoka1258

    3 жыл бұрын

    Sikiliza mziki mzur achana na swaga kati

  • @goodluckvincentntiyaba91
    @goodluckvincentntiyaba913 жыл бұрын

    Imetulia ndg yng unatisha

Келесі