Nash Mc - Ongea na Mwanao (official video)
Музыка
Nash Mc Maalim nakukaribisha kutazama Video yangu mpya ya wimbo uitwao ONGEA NA MWANAO, unaopatikana katika album yangu ya VITASAMOTO iliyotoka mwaka 2020.
Ukihitaji kununua album zangu nicheki Whatsapp katika nambari ,
0769 522 346
0787 639 655.
Пікірлер: 238
Hii ndo hip hop halisi ambayo ata marekani amna kiukwel nash tutafika siku moja na watakuja kuelewa somo
Mfungulie akaunti ya busara na nidhamu.... anaitwa maalim 🙌🙌🙌
Ongea na mwanao sema nae sikio lako uligawe Mfungulie akaunti ya Busara na Nidhamu na sio akaunti ya mtandao Instagram💪💪💚❤ Kazi nzuri MC Hujawahi kwenda tofauti Mc wangu Upendo sana #nashmc
Sijamsikiliza Nash miaka mingi, ila hapa nimefurahi kuona kwamba Nash ni yuleyule, wale watoto wengine wa Tamaduni wamepoteza focus. Big up!!
noma san mkubwa bonge laujumbe maalim
Nitaongea na mwanangu asante kwa kutukumbusha
Sawa mate ,,, heshima kwa ticha Abogast,,,, kweli umekomaa sasa
Hongera kaka maalim kwa video hili la ki ubaba maana anatizama babu na mjikuu baba mama na watoto 💯💯🔥🔥🔥
Maalimu Ponda ,Ahsante sana kwa Muziki mzuri #Mahudhui safi sana
Maalimu Nash very intelligent
Kaka kila unapoachia kazi ni lazima nipate elimu, shukran saana kila leo kaka @Nash mwenyezi akuongoze 🙏🙏 amein
Ongea na mwanao....!!! Sema nae sikio lake ulifawe....!!!
Maaalim Gadaf zuzu .... umetisha
Najua siku ukifa mengi yatafufuliwa kuhusu wewe na wengi watajiuliza mbona mambo yako ulofanya ni makubwa lakini hawakukujua.... CHIZI LA MISTARI MZIMU WA SHAABAN ROBERT MAALIM NASH MCHOCHEZI @kiswahili na sanaa (KINASA)
Duuuh sure ongea na mwanao n kubwa mnoo
Ndio oi oi... Adimu pia nasubiria
Maan halisi ya hip hop Unajua sana broo
Maalim ana ushawishi mkubwa sana kabla siku kupita elfu mia6 watu wake ni halisi na wapo sawia(active) nakubari kaz konk pia
Oya Nash Oya Oaaya Oooya Hatar para Zuzu🔥🔥
Nashi nakukubali hasa magoma km Elimu Elimisha Tabia Mitihan Na km zoooooooote
Nash mc good work.👍👍👍
Maaalim hujawahi niangusha.what a conscious lyrics from conscious lyricist.Lit
Nakubali ujumbe umefika 💯
Maalim Mwalimu naandika, mitihani now ongea na mwanao nakupata vizuri kutoka Hungary, Budapest
#tunaizinduamitaa #mitihani#vvu #tabia#mwanangu #penaltyamwisho n.k sasa naongea na mwanangu ujawai niangusha nashir mc 👊
Ngoma kali sana
Sipendeleagi tamaduni but napenda nash alwayz napata fravour shoot out to nikk mbishi pia only this two giez am the fun
Ngoma ina maudhui safi sana
Hujawah kuniangusha bro Maalim Nashiiii
Maalim una kila sifa ya kuonyesha na kufungua akili za watu kuwa hip hop sio mziki wa kihuni ila ni uhalisia wa maisha yetu..
Nash Mc Bonga la video Heshima sana mkongwe Nash
@nashmc5668
3 жыл бұрын
Asante sana Kamanda wangu.
@dowgguerrila9503
3 жыл бұрын
@@nashmc5668 Mzuka sana King Nash wana tulikua tumemiss sana videos kutoka kwako
Unajua sana mzee... Ww n mkali mno Nash
Hongera sana bro
Uki uliza mtu kuhusu hip hop ata kwambia muziki wa kiuni. Nash endelea kutufundisha ata kama tukiwa wachache.
Nash mwandishi makini sana
Motooo! damu yng nakubali#maalim NASH
Ayeeee3 malim msela
Noma sana akuna kama we by Noell from mbagala
Baba, Nipo Mwanao Hapa MwanaUpeo
Mjaze mtoto hekima ndo utajili wa thamani..Genius Maalim Nash
Safi ujumbe mzitooo
Nakubali
Amna kama wewe mwisho wa matatizo we ndo kioo chajamii we ndoo unaandika vyamaana na hakuna kama nash saluti kwako blaza
Oyaaaaaa chumaaaaa
Kuna maalim mmoja tu duniani...💥
Safi Sana hii Kise p kwenye mdundo
Nash dagama.. Chizii.. Mfungulie akaunti ya busara sio akaunti ya mtandao Instagramu *Sikio lako ligawe*
Kaka nipo nawewe Daaaa Mitihani
Maalim kama maalim🙌💪💪
Nash MC bonge la msanii💯
Maalim Nash #genius
Bro nash siku moja natamani kufanya nawe Kazi
Mzee Nash Mc Ongea na Mwanao💥💥💥
Nash mc,the best rapa@imcoolzeddy
Respect master
Naaaaaash....livelong
Moto
Nakubari bro ipo siku ndakua kama ww npo najifunza ving toka kwako
Kuna wakati nawaza ni jinsi gani haya maudhui yawafikie hadhira kwa wingi, ili waelewe kipi kinazungumzwa. Kiukweli Nash Mc anaandika 👍👍👍. Big up sana, hip hop for life
Tutazidi kusaport kazi zako tuwezavyo kazi zinajieleza
DC wetu wakahw 🔥🔥
Duh! balaa. Nash hatari.
Wenye watoto wanaurudia huu wimbo mara kwa mara.
ongea HIP HOP wazo ujumbe uwazi nathari
Ngoma noma
Nash mc is the Hip hop teacher in TZ...the song is full of lessons and messages...to our society...
Chafu moja hii umetisha apoooo mzee ongea na mwanao 🏌️♂️🏌️♂️
Oyooo zuzuu
Oyiii mzazi kama mzazi
noma san nashndw ht chkuandk hiphop real
Nash mc wimbo wangu Bora 2021
Umegonga ndipo gwiji... 👊🏿🇹🇿🇰🇪👊🏿👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾❤️
Unajua Sana Kaka kurap kwa kiswahili fasaha mwanzo mwisho rappers waskuiz kazi Sana kwao🙌🙌
Ongea na mwanao
Somo na ni muongozo katika ukuaji wa mtoto AFRICA
Saluti kwako kamanda..hawezi kufanya unachofanya...
Nakubali sana maslim
Mchocheziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hehehehehe.... Tomplex Maalim... (Zuzu). Naenda kma Shabani Robert.... We unaenda kma nani!!!!???
Umenena vema maalim
Mashaalah mashairi mazuri
kazi nzuri sana bro
Biti lakuvutia alafu ujumbe ndio kabisaa usiulizeee
babkubwa maalim
Hii ndo fasihi yenyewe inayopeleka ujumbe kwa jamii nyimbo itaishi miaka Mia haishi hadhi#
Noma sana
..nakubali mkubwaaa
Nash hawakupi heshima yako but sisi tunaokujua na kukuelewa, Daima utabaki mmoja kati ya wakali wa game
Big up nguli zuzu
Pongezi maalimu lugha tumeienzi
Nash mc nakuheshimu sana,madini kama haya ni finyu Sana kwenye jamii
ONGEA na mwanao nash
One Man Army...You are Real and Conscious!Salute
Nakupenda Nash
Ooooii maalimu
Uko poa mate
@sportarena3133
3 жыл бұрын
maaaalim 🙌🙌🙌
Nimerudi tena hapa! Aisee nimesisimkwa balaa!
Wewe ni mfano wa kuigwa bro ,kazi nzuri ujumbe bora kabisa hii ni Hip Hop100%
Kaka unajuwa Ila Mimi nilikuwa naona kwenye video tubadilike kidogo ubunifu uwepo
@mankijoka1258
3 жыл бұрын
Inabidi atupie swaga kati ama nini?
@abasimageta386
3 жыл бұрын
@@mankijoka1258 yeah na swaga sio lazma mpk watu wakae uchi au wavuke hiyo misingi ya hip-hop anayoifata hapana unaweza ukawa na swaga za kisasa na bado ukabakia kwenye misingi yako ya hip-hop
@mankijoka1258
3 жыл бұрын
Sikiliza mziki mzur achana na swaga kati
Imetulia ndg yng unatisha