NAFASI ZA KUJIUNGA NA JWTZ ZATANGAZWA

KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
Jeshi la Wananchi Tanzania limetangaza nafasi za kujiandikisha kujiunga na jeshi hilo kwa vijana waliopo kambi za Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na waliopo mitaani lakini walishatumikia JKT kwa miaka miwili.
Nafasi hizo zimetangazwa na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Jeshi hilo, Luteni Kanali Gaudentius Ilonda wakati wa mkutano na vyombo vya habari kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari-MAELEZO, jijini Dodoma Machi 9, 2023.

Пікірлер

    Келесі