Hizi ndizo sifa za Vijana wanaotakiwa kuomba kujiunga JWTZ "Wote mnatuma Barua, hakuna kujuana"

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetangaza nafasi za kujiunga na Jeshi hilo kwa vijana wa kitanzania wenye elimu kuanzia kidato cha nne hadi shahada ya uzamili ambao wamemaliza mkataba wa mafunzo ya kujitolea JKT na kurudishwa majumbani.
Ajira hizo zimetangazwa leo Alhamisi, Machi 9,2023 na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Mahusiano JWTZ,Luteni Kanali Gaudentius Ilonda wakati alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari,Jijini hapa.

Пікірлер: 18

  • @vicentelias491
    @vicentelias491 Жыл бұрын

    JKT inatukosesha ajira

  • @yasinomary2147
    @yasinomary2147 Жыл бұрын

    Tanzania tuna hazina kubwa Sana,kamanda unajua kuongea vizur Sana 🙏

  • @forgethnassary-cj5zr
    @forgethnassary-cj5zr Жыл бұрын

    Mungu ibariki Africa

  • @feisalfaki3268
    @feisalfaki32684 ай бұрын

    😢

  • @mimahrobyn9777
    @mimahrobyn9777 Жыл бұрын

    sikilizen vizur mbn kajielez vizur wapendwa ajil hizoo mzingatie hii sio ya kukosa

  • @ShadyaSaid-sg8cd
    @ShadyaSaid-sg8cd10 ай бұрын

    Kwa anaetaka kujiunga na jkt ambae anaetak mafunzo na kujitolea anasaidiwaje

  • @elizabethnongo-lp4fc
    @elizabethnongo-lp4fc Жыл бұрын

    Niko Zanzbar pia tunapelek Dodoma??

  • @annacharles1900
    @annacharles1900 Жыл бұрын

    MUNGU anisaidie na mm nataka kujiunga na Jeshi Mungu nisaidie

  • @davidtito6785

    @davidtito6785

    Жыл бұрын

    Oya em fikilia mara mbl kjn

  • @mansoursoud9590
    @mansoursoud9590 Жыл бұрын

    Sisi je tuliyojenga taifa jku hatupaswi kuomba ama ni jkt peke yako na sisi ni watanzania

  • @MohamedKhalfan-ij4zq
    @MohamedKhalfan-ij4zq Жыл бұрын

    Ifikiriwe na jku japo kidog

  • @yasinomary2147
    @yasinomary2147 Жыл бұрын

    Ila kamanda nina swali,je vijana walioenda jkt kwa mujibu wa sheria vip?

  • @mkundukunuks

    @mkundukunuks

    Жыл бұрын

    Wale miaka 2 na sio miezi 2

  • @pocha2979
    @pocha2979 Жыл бұрын

    Mbn mujibu wametengwa

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    Жыл бұрын

    Kujitolea miaka2 sio poa Usimfananishe na miezi 3

  • @adkajisi4536
    @adkajisi4536 Жыл бұрын

    Vitambulisho vya taifa Tatzo hata namba itumike

  • @konshazikonsha6180

    @konshazikonsha6180

    Жыл бұрын

    Mbona kasema hapo msikilize vizuri hata namba inatumikaa

  • @rizikirobert4596
    @rizikirobert45969 ай бұрын

    Mim nahitaj ila nina tatoo

Келесі