Hizi ndizo sifa za Vijana wanaotakiwa kuomba kujiunga JWTZ "Wote mnatuma Barua, hakuna kujuana"
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetangaza nafasi za kujiunga na Jeshi hilo kwa vijana wa kitanzania wenye elimu kuanzia kidato cha nne hadi shahada ya uzamili ambao wamemaliza mkataba wa mafunzo ya kujitolea JKT na kurudishwa majumbani.
Ajira hizo zimetangazwa leo Alhamisi, Machi 9,2023 na Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Mahusiano JWTZ,Luteni Kanali Gaudentius Ilonda wakati alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari,Jijini hapa.
Пікірлер: 18
JKT inatukosesha ajira
Tanzania tuna hazina kubwa Sana,kamanda unajua kuongea vizur Sana 🙏
Mungu ibariki Africa
😢
sikilizen vizur mbn kajielez vizur wapendwa ajil hizoo mzingatie hii sio ya kukosa
Kwa anaetaka kujiunga na jkt ambae anaetak mafunzo na kujitolea anasaidiwaje
Niko Zanzbar pia tunapelek Dodoma??
MUNGU anisaidie na mm nataka kujiunga na Jeshi Mungu nisaidie
@davidtito6785
Жыл бұрын
Oya em fikilia mara mbl kjn
Sisi je tuliyojenga taifa jku hatupaswi kuomba ama ni jkt peke yako na sisi ni watanzania
Ifikiriwe na jku japo kidog
Ila kamanda nina swali,je vijana walioenda jkt kwa mujibu wa sheria vip?
@mkundukunuks
Жыл бұрын
Wale miaka 2 na sio miezi 2
Mbn mujibu wametengwa
@adkajisi4536
Жыл бұрын
Kujitolea miaka2 sio poa Usimfananishe na miezi 3
Vitambulisho vya taifa Tatzo hata namba itumike
@konshazikonsha6180
Жыл бұрын
Mbona kasema hapo msikilize vizuri hata namba inatumikaa
Mim nahitaj ila nina tatoo