JWTZ WAFAFANUA AJIRA YA VIJANA WALIOPO MTAANI "Hakuna ajira kuna kuandikishwa | hatulipwi mishahara"

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 13

  • @jumachabalaa8506
    @jumachabalaa850611 ай бұрын

    ninae ushahidi wakutosha tunasubiria uchaguzi uanze ili tupate sehemu ya kusemea maana kunawadogozetu wamekalishwa jkt miaka mimnee nahawajapewa ajira wakati watoto wawenye pesa wamepewa.ajira ndio tanzania yetu

  • @ROCKY-mc1ky
    @ROCKY-mc1ky2 ай бұрын

    asalam alaykum je ukitaka kujiunga na jileshi la jkt unaazaje au utumie njia gani ili ujiunge

  • @AmaniSamweliMbwambo
    @AmaniSamweliMbwambo4 күн бұрын

    Waliopitia mafunzo ya jeshi la akiba hawapewi nafasi?

  • @SaidiKitange-us2ej
    @SaidiKitange-us2ej Жыл бұрын

    Hivi watoto wao wameisha wangeendelea kuenda tu maana hao ndo wanastahili nchi hii wengine hatuna ndugu wanajeshi wa kutupigania ngoja tutulie tusubili kulindwa na familia za wanajeshi.

  • @jumachabalaa8506
    @jumachabalaa850611 ай бұрын

    jeshi la zanzania la jwt linachukua watu kwa kufahamiana wakati watoto wa masikini wanavigezo lakini wameachwa ndio hali halisi ya tanzaniaa

  • @bezckmosam-bh4gu
    @bezckmosam-bh4gu Жыл бұрын

    Jeshi la akiba Mgambo halitajwi kuandikishwa kwenye majeshi wakati wa Vita wanahitajika yaani kwenye kazi ngumu wanafaa Ila wakati wa amani hawafai 😂😂😂😂😂

  • @mwajemwafula5777
    @mwajemwafula5777 Жыл бұрын

    Kuna kitu ambacho kina Kela kama kitendo Cha vijana wa Jkt kuwalidisha nyumbani na ikifika wakati jwtz inawandakisha kwa Nini wasinge waacha vikosini na umli hapo umezidi hapo sheria hiyo ya ifutwe sio hivyo

  • @user-kb8bc7zy5d
    @user-kb8bc7zy5d10 ай бұрын

    Biashara kubwa kulikozote dunian

  • @stellahlinusi8215
    @stellahlinusi8215 Жыл бұрын

    mbona ana nichanya kwamba awa lipwi Wana pewa posho tu hee

  • @AmaniSamweliMbwambo
    @AmaniSamweliMbwambo4 күн бұрын

    Kama mtu amepitia mafunzo ya jeshi la akiba hapewi nafasi?

  • @SaidiKitange-us2ej
    @SaidiKitange-us2ej Жыл бұрын

    JKT kuna OPERATION hapa mngekuwa mnamaana mnge taja OPERATION husika kama OP MERERANI mlio warudisha nyumani baada ya kuwajengea sana afu mkawaajiri watoto wenu chombo cha ajabu sana kimevamiwa na siasa.

  • @mwajemwafula5777

    @mwajemwafula5777

    Жыл бұрын

    Kaka op zipo nyingi sana tatizo ni sheria ilekebishwe mazala Jkt kuwalidisha nyumbani wanajua Jkt wenyewe ni vema Jkt ipewe mamlaka ya kuajili na kuwandikisha jeshini sio hivyo jwtz aijui vzl umuhimu wa Jkt ndio maana wanaumua kuwalidisha nyumbani

  • @Mosses8
    @Mosses8 Жыл бұрын

    mimi naitwa mosses sareyo molleli

Келесі