JWTZ WAFAFANUA AJIRA YA VIJANA WALIOPO MTAANI "Hakuna ajira kuna kuandikishwa | hatulipwi mishahara"
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 13
ninae ushahidi wakutosha tunasubiria uchaguzi uanze ili tupate sehemu ya kusemea maana kunawadogozetu wamekalishwa jkt miaka mimnee nahawajapewa ajira wakati watoto wawenye pesa wamepewa.ajira ndio tanzania yetu
asalam alaykum je ukitaka kujiunga na jileshi la jkt unaazaje au utumie njia gani ili ujiunge
Waliopitia mafunzo ya jeshi la akiba hawapewi nafasi?
Hivi watoto wao wameisha wangeendelea kuenda tu maana hao ndo wanastahili nchi hii wengine hatuna ndugu wanajeshi wa kutupigania ngoja tutulie tusubili kulindwa na familia za wanajeshi.
jeshi la zanzania la jwt linachukua watu kwa kufahamiana wakati watoto wa masikini wanavigezo lakini wameachwa ndio hali halisi ya tanzaniaa
Jeshi la akiba Mgambo halitajwi kuandikishwa kwenye majeshi wakati wa Vita wanahitajika yaani kwenye kazi ngumu wanafaa Ila wakati wa amani hawafai 😂😂😂😂😂
Kuna kitu ambacho kina Kela kama kitendo Cha vijana wa Jkt kuwalidisha nyumbani na ikifika wakati jwtz inawandakisha kwa Nini wasinge waacha vikosini na umli hapo umezidi hapo sheria hiyo ya ifutwe sio hivyo
Biashara kubwa kulikozote dunian
mbona ana nichanya kwamba awa lipwi Wana pewa posho tu hee
Kama mtu amepitia mafunzo ya jeshi la akiba hapewi nafasi?
JKT kuna OPERATION hapa mngekuwa mnamaana mnge taja OPERATION husika kama OP MERERANI mlio warudisha nyumani baada ya kuwajengea sana afu mkawaajiri watoto wenu chombo cha ajabu sana kimevamiwa na siasa.
@mwajemwafula5777
Жыл бұрын
Kaka op zipo nyingi sana tatizo ni sheria ilekebishwe mazala Jkt kuwalidisha nyumbani wanajua Jkt wenyewe ni vema Jkt ipewe mamlaka ya kuajili na kuwandikisha jeshini sio hivyo jwtz aijui vzl umuhimu wa Jkt ndio maana wanaumua kuwalidisha nyumbani
mimi naitwa mosses sareyo molleli