NABII ILYASA 7: KUSULUBIWA, KUFA NA KUFUFUKA KWA YESU KRISTO (QUR-AN)

CALL 0714750521

Пікірлер: 186

  • @johnmarco321
    @johnmarco3216 жыл бұрын

    Kila mtu ana haki ya kuchagua dini aipendayo. na uhuru wa kusema jambo lolote bila kuvunja sheria za nchi.. Hakika Mungu amekufunua,, ubarikiwe .. Sisi wakristo hatujafundishwa kutukana ,, Acha wakutukane tu maana hawajui walitendalo .. kukutukana kwao hakukusaidii wewe bali ni chukizo kwa Mwenyezi Mungu.. Hakuna Mungu anayefundisha kutukana watu.. Ubarikiwe sana tunategemea mengi kutoka kwako.

  • @rodagop9180
    @rodagop91806 жыл бұрын

    Yesu ndiye njia ya uzima

  • @johnsombi545
    @johnsombi5456 жыл бұрын

    Mungu ni mwema hongera ustadhi kwa kuijua kweli na kweli inakuweka huru sasa

  • @lazarkbrown9568

    @lazarkbrown9568

    6 жыл бұрын

    Kweli kabisa Shehe kaijua kweli ndio maana anahubiri

  • @nassirmishonat2368
    @nassirmishonat23684 жыл бұрын

    Hata usiku uwe mlefu vipi, lakini lazima iyo asubuhi itafika tu, utakacho kifanya hata uwe na umri kiasi gani lakini lazima utaingia kaburini, Allah akuongoze katika khaki kabla ya umauti

  • @fgbeatricegg145
    @fgbeatricegg1456 жыл бұрын

    Damu ya Yesu imenisafisha vyote barikiwa sana kujuwa iyo Mungu akujaze nguvu yuko pamoja nawe usiogope kaka

  • @111dudi

    @111dudi

    5 жыл бұрын

    Wapi imeandikwa katika biblia kuwa dam ya yesu inasafidha

  • @tiffahkillax6267
    @tiffahkillax62674 жыл бұрын

    Waumini tusihukumu tusije kuhukumiwa Allah ndo mjuzi wa yote ..... Hata yesu alisema yeye ajaye atanitukuza mimi na wala hatanena lolote kwa matamanio yake ....kipenzi cha umma nabii Muhammad hakunena chochote kwa ujuzi wake tu ispokuwa ni wahyi kutoka kwa Allah (s.w) . Allah atukuzwe hakika ni mola wa viumbe vyote

  • @rosenjau3576
    @rosenjau35766 жыл бұрын

    holyspirit iz upon u ustaz hamza tunazid kukuombea mungu akutie nguvu katik hili mana tunapenda na waaislam waijue kweli na hiyo kweli ni yesu kristo🙏🙏🙏👏👏💪💪

  • @joashwambua9988

    @joashwambua9988

    5 жыл бұрын

    Raised a christian until i made a personal decision to be born again, i used to like listen to An islam radio program and i found it interesting, i now realise it carries divine content, interesting! Preach brother, you are anionted.

  • @madammaggie7779
    @madammaggie77796 жыл бұрын

    safi sana ustadhi Hamza roho wa bwana akuongoze kujua kweli

  • @cupcakesanddounuts6555
    @cupcakesanddounuts65556 жыл бұрын

    Uyu atakwenda mbali sana

  • @chalesnaima1707
    @chalesnaima17077 ай бұрын

    Mungu yu pamoja nawe

  • @exseviangaeje1158
    @exseviangaeje11582 жыл бұрын

    Wewe shehe nyoosha Kiswahili sio mtu Bali ni mwana wa mungu

  • @josephmtemi5658
    @josephmtemi56586 жыл бұрын

    Shekhe Mungu anamakusudi na ww kuijua kweli,, na kuifumbua hyo kweli..... Ubarikiwe

  • @bugusambalinga3603
    @bugusambalinga36036 жыл бұрын

    Ubarikiwe ustadhi Hamza nimekuelewa Neema ni kwa ulimwengu mzima Mungu amekutumia hakika

  • @qc5clickclick558
    @qc5clickclick5584 жыл бұрын

    Takbiir,haleluyaa,then gonga meza

  • @mzazilyimolyimo5465
    @mzazilyimolyimo54655 жыл бұрын

    Huko ndokwako, mfuasi wa masii dajjal.Waislam ss tunajua kitabu chetu ndo muongozo wetu na mtume wetu Mohamed.Sio geni yote hayo tushayasoma na mtume alisha sema, shetani mtu kama ww, bado mungu wako masii dajjal kuja tu. Dalili za kiama.

  • @salimkaimbwana6598
    @salimkaimbwana65984 жыл бұрын

    Usicheze na Allah(sw) cheza na ngoma

  • @anithabenson2464
    @anithabenson24645 жыл бұрын

    Mtu asipomkiri Yesu kwa BWANA na Mwokozi hataingia ufalme wa MUNGU aliye HAI .Ubarikiwe mtumishi.

  • @anithabenson2464

    @anithabenson2464

    5 жыл бұрын

    Kweli kabisa Sauti ya mtu aliye nyika tengeneze njia zetu.

  • @deodatusmagagura519
    @deodatusmagagura5194 жыл бұрын

    Huyu ndio mtalamu sheikh Amza akiitafuta mbingu kupitia njia pekee ya kuuona ufalme wa MUNGU nayo ni jina na damu ya YESU. Wananeema kuu walioitambua njia hii moja tu maana hakuna nyingine duniani na mbinguni. Asante YESU Kristo hakimu wa yenye roho wote.

  • @BoboManya
    @BoboManyaАй бұрын

    Kweli

  • @Kabendera-s1w
    @Kabendera-s1w12 күн бұрын

    Ubarikiwe mutumishi wa Mungu Sasa ikiwa maneno yote haya yanatoka katika Quran mbona wa Islam wana mupinga Yesu Kristo? Jameni Shetani anajuwa kufunga Roho zawatu

  • @NeemaMhina-km8ok
    @NeemaMhina-km8ok Жыл бұрын

    Haleluya kubwa, hakuna jina lipaswa kuokolea kwalo, isipokuwa jina la Yesu pekee

  • @isaacmwakosya5493
    @isaacmwakosya54932 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mtu wa Mungu. Unaongea ya kweli

  • @thomasmvungi9539
    @thomasmvungi95393 жыл бұрын

    Aah wewe una roho wa Mungu Mungu akubariki endelea kutoa huduma ya kweli wazwaz nnmekuona Leo Ila nmekuelewa kwan la ukwel hueleweka mapema ucwackilize wanaokupnga Mungu ni mmoja njia yetu n Yesu Amina Takbir Alah Akbar japo mm n mroma Ila nmekuelewa ntaungana nawe

  • @ebenezerholychurch2647
    @ebenezerholychurch26476 жыл бұрын

    mwenyezi mungu akubaliki

  • @allyfutto8763
    @allyfutto87636 жыл бұрын

    kuhubiri Amani ni sawa na si kufarakanisha huyu shekh apewe wakayi aonyeshe mawazo yake Mungu anajuwa mwanzo na mwisho wa kila jambo ni mipango ya mungu mungu ni mwema daima.

  • @rahimaaaaa8699

    @rahimaaaaa8699

    6 жыл бұрын

    Ally Futto dhehebu lake nimelipenda . Akifungua dhehebu wafuasi atapata saaana.

  • @mdathirhassan2187
    @mdathirhassan21874 жыл бұрын

    Humshindi firauni ww mungu hana haraka na ww mal, uun

  • @olaislukumay571
    @olaislukumay5716 жыл бұрын

    Ubarikwee sana hakika umeijua kweli na imekuweka huru

  • @qc5clickclick558
    @qc5clickclick5584 жыл бұрын

    Mwenye funguo ya mbingu na amhukumu mwana adam na si vinginevyo.Takbiiir

  • @tracykibetjames7120

    @tracykibetjames7120

    4 жыл бұрын

    Nikuelewa

  • @kinogekimbeho3781
    @kinogekimbeho37816 жыл бұрын

    Km wee sheikh unaupenda ukristo si ulitadi uwe mkiristo tu

  • @mfaumejuma84

    @mfaumejuma84

    5 жыл бұрын

    Huyo mnafik mpiva mpigaji tu

  • @stokimjini4471
    @stokimjini44715 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana kwa kujua ukweli

  • @111dudi
    @111dudi5 жыл бұрын

    Msikilize Ustaadh Shafii kamjibu vizuri

  • @babylidyaandrea4568
    @babylidyaandrea45686 жыл бұрын

    Asante san Shekhe Hamza issa kwakuujua ukwer kwamba Damu ya yesu ina nena mema 💪💪 😂😂 Takibiiiiiiiiiiiiiiiii?

  • @paulaminzi114
    @paulaminzi1142 жыл бұрын

    Yua truly a Man of God

  • @mshindi3476
    @mshindi34766 жыл бұрын

    Napenda kumuabudu Mungu ila wanawake vaeni mavazi yawapasayo wanawake na kujisitiri

  • @omarymkuyawa7739
    @omarymkuyawa77396 жыл бұрын

    Subhaanallah

  • @frankmboya9862
    @frankmboya98624 жыл бұрын

    Balikiwa sana nabii

  • @hassankaesa187
    @hassankaesa1873 жыл бұрын

    Njaaaa itakuua Hamza Issa,,,rudi darasan kama kwel unahitaji kufaham Uislam

  • @jailaniramadhani4755
    @jailaniramadhani47556 жыл бұрын

    we si shekhe wallah we ni mkiristo ulitumwa ujiite mwiislam ili uje uuchafue uislam ili uondoke na mtaji wa watu

  • @barackamosi4116
    @barackamosi41162 жыл бұрын

    Jamani angalieni wasilamuwasije jinyonga wengine waka mwinda wamuuwe mmuwekee mlinzi

  • @shabaniathumani6273
    @shabaniathumani62732 жыл бұрын

    Damu ya YESU Kristo inangivu ya kuponya

  • @revocatusi4548
    @revocatusi45486 жыл бұрын

    Najiuliza kwapasta issa kama anaona ukristo ndio dini yakweli kwanini bado anavaa kivuli chakuwajulisha waislamu kua nayeye nimuislamu kwanini asifungue kanisa ili akawa anahubir ayo maneno kama wakina kakobe au gwajima

  • @mapishiyetumazuri2312
    @mapishiyetumazuri23126 жыл бұрын

    Shubuhanallah

  • @rufirufi520
    @rufirufi5206 жыл бұрын

    Yesu alijibu kuwa Dini ya kweli ni upendo,utuwema, na usafi wa moyo:

  • @hassanisadiki824
    @hassanisadiki8244 жыл бұрын

    Huyo ni mkristo ambae ameenda kusoma uislam ili kuujua vizuri uislam, na baada ya hapo aje awapotoshe waislam na kwa hilo hatoweza Alhamdulilah, Allah ameshasema uislam ataulinda na utaelea kuwepo, Alafi chengine huyo kafiri hapo natka aniambie ni sehem gani katk Quran au aya gani ktk Quran imeendikwa kwamba pasaka ipo katk Quran na akaniambia mimi nawa mkristo

  • @ambrosekizidio8976
    @ambrosekizidio89762 жыл бұрын

    Kali hii. Haya basi wakristo hawaabudu na majini. Chunga bwana usilete majini makanisani. Ama vipi?

  • @halimahamis5866
    @halimahamis58666 жыл бұрын

    bac tumuachie mungu so kwahayo hamza

  • @jailaniramadhani4755
    @jailaniramadhani47556 жыл бұрын

    uislam upo mbali na ww

  • @sarifimikidad3994
    @sarifimikidad39945 жыл бұрын

    Inalilah wainalilah lajiuni kafiri hamza umekufa Kingali uko hai,umeoZa Kingali hujatokwa na wadudu utapata shida sana hapa dunia na kesho akhera.

  • @joashwambua9988
    @joashwambua99885 жыл бұрын

    🙏

  • @godfreyndetaramo3110
    @godfreyndetaramo31106 жыл бұрын

    Kumbe roho ya sauli inafanyakazi duniani maana sauli alipotumwa kwenda kuangamiza wa kristo hapo ndipo YESU alipojifunua na kujipigania mwenyewe

  • @user-jp9tf5nw9l
    @user-jp9tf5nw9l4 ай бұрын

    chizi uyo

  • @mdathirhassan2187
    @mdathirhassan21874 жыл бұрын

    Wamaa kataluhu wamaa swalabuhu, Hawakumuua wala hawakumsulubu.

  • @tiberioustuti715

    @tiberioustuti715

    3 жыл бұрын

    Quran yenyewe inamuambia Mohammed kwamba hawakumufanya binadamu yoyote wa kabla yake kuishi milele na yesu aliishi kabla ya Mohammed kumaanisha yesu kafa

  • @ramadhanimussa882
    @ramadhanimussa8826 жыл бұрын

    Lakumu diinu kum wal yadeen Hamza anasema "ahsanteni nyote ambae tumeshiriki ibada hii. Hakika Muislaam hashirjki ibada kanisani

  • @kijuuborongo6405

    @kijuuborongo6405

    5 жыл бұрын

    Ibada na swallaa nivitu viwili tofauti, Shekhe HAMZA nikweli alichokifanya kanisani ,ni Ibada na sii swala ingelikuwa niswala taratibu za swala zinafamika

  • @amilymawazo1721
    @amilymawazo17216 жыл бұрын

    Subira jamani ndo jambo kubwa njoon tuvute subira

  • @snkhannassoro2404
    @snkhannassoro24046 жыл бұрын

    Wallah,,huyu mzee ni miongoni mwa makasisi wakubwa wa shaitwan ,and i hope, he has a khafir sign in his face, the sign of dajjal

  • @chilamboemmanuel7479
    @chilamboemmanuel74795 жыл бұрын

    Nguvu za Bwana hakika zikondani yako

  • @venancegaspatv1961
    @venancegaspatv19613 жыл бұрын

    Na kwa hakika yeye ni alama ya Saa ya Kiyama. Basi usiitilie shaka, na nifuateni. Hii ndiyo Njia Iliyo Nyooka.

  • @abdallahmhd8072
    @abdallahmhd80723 жыл бұрын

    hili jamaaaa chiziii

  • @tracykibetjames7120
    @tracykibetjames71204 жыл бұрын

    Jumpe layesu

  • @mzazilyimolyimo5465
    @mzazilyimolyimo54655 жыл бұрын

    Kesho mbele ya mungu (Allah) jiandae kujibu

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 Жыл бұрын

    Nabii Elias ni Gumzo duniani🤔🤔 tumpige Picha jamani kesho huyu Mtu atakiwa asogeleki🤳🤳

  • @user-cs1ow1nk6t
    @user-cs1ow1nk6t8 ай бұрын

    Kila goti litapigwa

  • @joycekangero7897
    @joycekangero78976 жыл бұрын

    M! Sikuamini saana, waimbaji hao wamevaa kihuni nawamenyoa kihuni, kwawatu wakristo ni dhambi. Basi amuakabisa uokoke kabisa utubu dhambi nakuziacha ndipo uendelee kumhubiri kristo kwani nimtakatifu sana

  • @SHEIKHMWAIPOPOTV

    @SHEIKHMWAIPOPOTV

    2 жыл бұрын

    Muogope mungu Hamza unaenda motoni wewe toka huko

  • @mfaumejuma84
    @mfaumejuma845 жыл бұрын

    Ama hakika mm nakufananisha na ahmad milza halaf nimekuskia unasema ahsani wazazi wetu kwa hio umeshajijua ww ni mtoto wa nani

  • @abdullipunjaje9603
    @abdullipunjaje96036 жыл бұрын

    Kwann wote wasiungane wawe na dini moja ili mmoja hapo awe kiongozi na mwingine awe msaidizi na waliobakia wawe wafuasi, vinginevyo hapo hao wawili Ni wasanii tu

  • @kigomanocpro5553
    @kigomanocpro55535 жыл бұрын

    Kafiri mkubwa wew

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything2 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️

  • @jacksonke2425
    @jacksonke24253 жыл бұрын

    Look at the reactions of Muslims.. Kuhukumu tu

  • @mrishoathuman9389
    @mrishoathuman93895 жыл бұрын

    Kafiri na mungo. Namba za simu ameweka lakini kumbe hamna kitu. Tulitaka tumpigie huku tunamrekodi ili watu wbaini kua huyu si msomi bali ni JAAHILU MURAKKABU... aendelee kulitumikia tumbo kisha akachomwe sawasawa.

  • @ramadhanishaibu7788
    @ramadhanishaibu77886 жыл бұрын

    Duuuh hiyo hatar

  • @sashashaibu6821
    @sashashaibu68212 жыл бұрын

    Nikweriy

  • @mfaumejuma84
    @mfaumejuma845 жыл бұрын

    Hahaha ndo unajifunza? Kwa hio nabii unajifunza kwa wanafunzi wako?

  • @bkmt6571
    @bkmt65716 жыл бұрын

    WEWE HAMZA NI MUSTASHIRKUN (ORIENTALIST) HAMZA KASOME VZURI HALAFU.. KUMBUKA QUR'AN IMESHUKA KWA LUGHA YA KIARABU LUGHA ILOJITISHELEZA..SIO LUGHA YAKO YAKIJIJIN KWENU HUKO

  • @johnmnonjela9809

    @johnmnonjela9809

    5 жыл бұрын

    Mpuuzi wewe lugha, iliyotumika sio kiarabu ni kikureshi ndio maana waarabu wengi hawajui kusoma

  • @josephbonday8510

    @josephbonday8510

    4 жыл бұрын

    @@johnmnonjela9809 SAWA SAWA KAKA NI KWELI KABISA

  • @halimahamis5866
    @halimahamis58666 жыл бұрын

    sikuwahi kuota

  • @111dudi
    @111dudi5 жыл бұрын

    Haleluya kaipata wapi? Haimo kwenye biblia

  • @tracykibetjames7120

    @tracykibetjames7120

    4 жыл бұрын

    Soma zaburi 150

  • @ismailngolloh4517
    @ismailngolloh45176 жыл бұрын

    Kweli ALLAH huwa hachezewi huyu jamaa alianza akawa kama anatania hivi, sasa keshageuziwa huko huko ndo kesha potea hivo.....hajielewi Na hatambui anaongea nn, pili Binafsi nàwaonea huruma hao anaowadanganya maana anazidi kuwapoteza , uislam upo mbali Na huo upuuzi anaoongea!

  • @halimahaji58
    @halimahaji586 жыл бұрын

    kinoge kuwa na subra usiwe na subra mi tokea nimsikie huyu ustadhi namufatilia na hata mashekhe walipomkataa mi sikukata tamaa nilikuwa namuomba mungu kama nimtume kweli hawawezi kumfanya chochote na ataendelea na harakati alhamdulilah leo tunamuona anaendelea na da' wa allah ampe ulinzi

  • @amilymawazo1721

    @amilymawazo1721

    6 жыл бұрын

    Halima Haji Aaamin ....yan Halima Allah aendelee kukupa hery bi maaana subira ndo muongozo ...mi naona mafunzo yataendelea kuleta uhalisia na Allah atuongoze ...duh hii dunia tulipo fika ni hatar sana

  • @ramadhanishaibu7788

    @ramadhanishaibu7788

    6 жыл бұрын

    Halima Haji halima haji Upo?

  • @kitotaabdillahi4609

    @kitotaabdillahi4609

    6 жыл бұрын

    Ni bora usikomenti kama huna ujuzi wa mambo. Sina imani kama wewe ni mwislam

  • @ukristosiodiniyakweli9404

    @ukristosiodiniyakweli9404

    6 жыл бұрын

    We Halima bila shaka utakuwa kafir au muislam jina manake Quran33:40 unasema Muhammad s.a.w ni mtume/nabii wa mwisho ila ww huoni aibu kusema huyo kafir hamza ni nabii pia?? Hebu acheni upumbav wa kuufananisha uislam na ukristo Kama hujui kaa kimya sio kukoment upumbav

  • @barackamosi4116
    @barackamosi41162 жыл бұрын

    Mmmmh hapana nimecheka hadi nataka kulia mana so kwahao waisilamu wanavyo Lia na huyo shehe mwenzenu ndo kasha okolewa mnasubili nini nyie msie mtaka huyu yesu 😆😆😆😆

  • @josephbonday8510
    @josephbonday85104 жыл бұрын

    Ukiona MTU au WATU wanatukana humu kwenye comments,UJUE NDIVYO MAISHA YAO YALIVYO.

  • @naomypaul1014
    @naomypaul10143 жыл бұрын

    Neno la MUNGU halitarudi bure,,kingne waislam walio wengi waijui kweli zaid wamekalia kumezeshwa maneno ya kiarabu,Kuna wengne humu leo ndyo wanajua nn maana ya takibiiiiiii

  • @hassanabdallah7499
    @hassanabdallah74996 жыл бұрын

    mola akuangamize Kwa siku hizi tukufu

  • @zacharynganga2124

    @zacharynganga2124

    3 жыл бұрын

    Hamza amefunguka macho

  • @halimahaji58
    @halimahaji586 жыл бұрын

    mi nikikusikiliza huwa nafarijika ila mbona kama unawaogopa hao wachungaji? Kwa mfano hapo, uliposema, ili kupata uzima wa milele ni lazima utamke shahada mbili, mbona hujasisitiza hapo ili waelewe? kama kusilimu wasim? lakin tunakupenda yani nashindwa

  • @marygaspar6429

    @marygaspar6429

    6 жыл бұрын

    Waliofungwa na ufahamu ni vigumu kumuelewa Hamza ni mfano wa wawanadamu kugoma kupanda safina na maji yalipojaa waliita Nuhu tufungulie Hamza ni safina pandeniii msije lia ee Nuhu tufungulie ni maandiko cyo mimi

  • @Rastamuslim
    @Rastamuslim6 жыл бұрын

    njaaa mbaya sana

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi89775 жыл бұрын

    BILISI HUYU MWENYE KUVAA MAVAZI YA KIISLAMU ETI PIGA MAKOFI SHETANI WA KITANGANYIKA HAWA 😇👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👀😇👀👀👀👀👀 ETI NA BII HUYO INNALILLAHI WAINNAILAIHI RAJIUN

  • @anuaryally6177

    @anuaryally6177

    4 жыл бұрын

    Usiukumu kabla ujaukumiwa

  • @mirajishentembo4962
    @mirajishentembo49622 жыл бұрын

    Wwe ni kafiri duniani na akhera

  • @macrinchimb
    @macrinchimb Жыл бұрын

    Ee Mungu mwenye Enzi yote aliyeumba mbingu na nchi... Mafundisho tunayopata kupitia Nabii ILIYAS/ ELIYA ni hakika... Ila jambo Moja niseme Kwa hai waimbaji kama kumsifu Mungu ktk roho na kweli na biblia & Quran inasema mwanamke avae mavazi ya kuusitiri mwili je? kuwapi kujisitiri Kwa hao waimbaji? Ombi langu Ili watu wengine wasitie shaka juu ya mafundisho Yako Nabii ILIYAS/ ELIYA waelekezwe hao wanaweza wakawafanya wanaotaka kuja ktk darasa lako wakawazuia Kina la BWANA libarikiwe sana

  • @mazikuraphael5935
    @mazikuraphael59354 жыл бұрын

    ewe ujiitae nabii eliasa hatalini utaacha mpango wako wa kudanganya watu unataka kuingiza uislam ndani ya ukristo kwa njia ya siri unacho taka kufanya uchotara yaani kuchanganya uislam na ukristo na kitabu hicho kisimame kwa jina lako hakika jaribio hilo litakuangusha tu

  • @nyotatv6606
    @nyotatv66064 жыл бұрын

    Wewe kamata maboya wako nazuzu

  • @rukiamatano7764
    @rukiamatano77644 жыл бұрын

    Astakafirullah laana tullah

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy13185 жыл бұрын

    Kulikuwa na watu majabari wenye nguvu sana kuliko huyu kafiri,

  • @ligerboy7949
    @ligerboy79494 жыл бұрын

    Qafir ww

  • @nassirmishonat2368
    @nassirmishonat23684 жыл бұрын

    Qur an ina wenyewe, hamza uiwezi ww elekea uko uko ndo kunakufaa

  • @sharifakhamis2461
    @sharifakhamis24616 жыл бұрын

    Yan hata simuelewi huyu jamaa anafuata dini gan

  • @Mhandisi2008

    @Mhandisi2008

    6 жыл бұрын

    Sharifa Khamis ni muislam ameiweka wazi Surat Al imran

  • @lungusii
    @lungusii4 жыл бұрын

    Huyu haeleweki baada ya kushindwa kujibu hoja za waislam na kajionea hawezi pewa uongozi ana jaribu kupata wafuasi ili awe kiongozi kweli wewe ni DAJALI

  • @ayuburamadhani573
    @ayuburamadhani5736 жыл бұрын

    daaa mnatudanganya din mseto

  • @halemamohammed4383
    @halemamohammed43836 жыл бұрын

    suhbanallah we so shekhe tena unajiita muisilamu

  • @Mhandisi2008

    @Mhandisi2008

    6 жыл бұрын

    Halema Mohammed ni muislam mzuri hapo anaelezea vzr Surat Al imran maana ameelewa vzr

  • @user-qy9oe5uu3v
    @user-qy9oe5uu3v8 ай бұрын

    Mpotoshaji mkubwa wewe

  • @oyay2821
    @oyay28216 жыл бұрын

    Sheikh au Shehena njaa

  • @tracykibetjames7120

    @tracykibetjames7120

    4 жыл бұрын

    Mpingaji wewe kafiri

  • @rashidathumani6756
    @rashidathumani67566 жыл бұрын

    inna lillah wa inna illaih rajiun...!!!!

  • @marygaspar6429

    @marygaspar6429

    6 жыл бұрын

    Hamza ni safina pandeniii

  • @marygaspar6429

    @marygaspar6429

    6 жыл бұрын

    Kristo alikufa Kristo alifufuka na Atarudi tena Amin

  • @marygaspar6429

    @marygaspar6429

    6 жыл бұрын

    Maana Mungu hakumtuma mwanaye ulimwenguni ili ahukumu Ulimwengu. , Bali aukomboe ulimwengu

  • @yahyabukuru4040
    @yahyabukuru40405 жыл бұрын

    Hivi kweli unaridhika kupoteza watu sababu ya maslahi yako. Naelewa unajuwa ukweli wote tatizo ni njaa njo inakuponza. Sasa jiandaye kukutana na Allah na sio mbali. Unapo lala na kuamka ndipo uhayi wako unapunguka na kusogeleya kaburi. Vuwa hicho kivazi cha kiislam uvaye vazi la kikafiri sababu uko unaweka ukafiri wako kwa mavazi ya kiislam.

Келесі