MZIWANDA AMCHANA ANAEMRADI ATOA NAMBA ZA SIMU "USIONGELEE JIKONI NJOO MIMI MWANAUME NIPO BARAZANI

Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
KZread: / @babdeomiladu

Пікірлер: 146

  • @yusufukitulu
    @yusufukitulu7 ай бұрын

    Mashaallah. Allah awaongoze Masheikh wetu ktk kweli.

  • @ndayisengaamissi6102

    @ndayisengaamissi6102

    7 ай бұрын

    Allahuma aamyn aamyn aamyn kwa sote pia. Maana nimasikitiko sana haki ya Mungu😢😢

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b7 ай бұрын

    MTUME (SAW) ALIADHIMISHA KUZALIWA KWAKE KWA KUFUNGA JUMA TATU EMBU TUPE DALILI YA MTUME KUSOMA BARZANJI NA KUPIGA DUFU

  • @user-cy8ko9eh4q
    @user-cy8ko9eh4q7 ай бұрын

    Alhamdulillah kwa kuniongoza

  • @user-ls4ih7hz8s
    @user-ls4ih7hz8s7 ай бұрын

    Abuu khaula Kaka siraha yako kubwa endelelea kuwa ikhilasi hawatokuweza hao hakuna haja ya mnaqasha hawachelewi kuweka maji kwenye kiti na kusema kajikolea ili waonekane washindi hao no watu wa matamanio mziwanda wewe jibu kielim

  • @wakatikaisi6743

    @wakatikaisi6743

    7 ай бұрын

    Katoa nmba amtafutee...aache janjajanjaaa...

  • @huseynmaitaya9002
    @huseynmaitaya90027 ай бұрын

    Na Sheykh Wetu Abuu Khaylah Allaah amuhifadhi , na amlinde , kakuchapia msikitini Ir shaad , mtaa wa morogoro dsm , wewe nawe wagugumia kibarazani فأيالفريقين أحق بالأمن إنكتم تعلمون Kati ya wa Msikitini na wa kibarazani ewe kitinda miba wa kao ?!!!

  • @shilingi-Ahmadi

    @shilingi-Ahmadi

    7 ай бұрын

    Wewe hata khathwi hujui wajibu nini sasa?

  • @maftahmusa9513

    @maftahmusa9513

    7 ай бұрын

    Mimi nilifikiri anaongea la maana kumbe anapotosha tafsiri kutetea Maulid we pokea maokoto tu sasa umekua chawa wa askari Allah tuhifadhi

  • @zainulabidiendhulfikar7398

    @zainulabidiendhulfikar7398

    7 ай бұрын

    Kwqn uwahabi hauend mpaka muradd watu au hamna kitu 😅

  • @zainulabidiendhulfikar7398

    @zainulabidiendhulfikar7398

    7 ай бұрын

    Kwqn uwahabi hauend mpaka muradd watu au hamna kitu 😅

  • @MwamvuaKing

    @MwamvuaKing

    7 ай бұрын

    ​@@maftahmusa9513Msiba ndugu

  • @aliabdullahi9200
    @aliabdullahi92006 ай бұрын

    Mashaalah baarakallahu ❤❤❤❤❤

  • @huseynmaitaya9002
    @huseynmaitaya90027 ай бұрын

    We ukisema urongo , waona sawa ukiwashambulia wenzako sawa , ila ukipunyuliwa wewe محمد الرسول الله والذين معه أشداء على الكفار رحماء بينهم.... wasoma aya za huruma , we stahimili uingiziwe misumali ya moto tu lasivyo hacha bida’a zako , na kuwaghushi waislamu katika dini yao

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese77247 ай бұрын

    Sisi Tunadhani Tunauhinua Uislam, Kumbe Tunakuinua Wewe❤.

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp7 ай бұрын

    Mh 😂😂😂😂 masufi kwa mdahalo hata waione hakki hawaitaki lakini hakki inazidi kudhihiri nchini, mausuf na maokoto ikataeni tu kwa kibri chenu

  • @Marjeby
    @Marjeby7 ай бұрын

    Dini haiko hivyo bnaa acheni kujikweza huyu jamaa Mziwanda binafsi huwa simuelewi yeye kila siku kupasha pasha watu kiakili tu ukiona mtu anajifanya hapendi maneno maneno anajifanya muwazi sana unatakiwa uchukue tahadhali naye sababu yeye ndiye anaweza kuwa mtu wa maneno no 1 na ndiyo tatizo kwetu. Nakujiona yeye kama mufti wa Tanzania nakutaka kujionyesha yeye anaelimu kubwaaa

  • @suuahmed71

    @suuahmed71

    5 ай бұрын

    Wee una Hasad na Mziwanda. Hakuna anae muingia Shekh Mziwanda. Anajuwa anachosema na ni msomi namba 1. Anasema haki na ukweli. Wacha Hasad

  • @azadida801
    @azadida8017 ай бұрын

    Haya kidume kimekuja barazani anaejiweza namba ya simu hiyo amtwangie kwa munaqasha wa kielimu, ili nasi maamuma tustafidi😂

  • @jumaajambiamusa8214

    @jumaajambiamusa8214

    7 ай бұрын

    aaaaam habibb mawahabiyuuna waoga wana ongelea jikon

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b7 ай бұрын

    Mtume alitukutanisha Msikitini sio kwenye MAULIDI NA KUOMBA MAITI

  • @hajimuhidini1903

    @hajimuhidini1903

    7 ай бұрын

    Msibamwengine watuwengi wamesoma wapate kujifakharishatu na wasomiwengi wataanguka kwa fakhari riyaa sumua ujubu hizi zitakua nisababu ya kuanguka wasomiwengisana

  • @athumanisaid759
    @athumanisaid7597 ай бұрын

    Jitokezeni kwa mjadala mbona munamshambulia hamuwezi kukutana nae?

  • @abdalahaby3658
    @abdalahaby36587 ай бұрын

    Yani nasoma coment mpaka mwili wanitetemeka.. waislamu mmekuwaje jamani????? Jaman uislamu umekuwa kama timu za mipira SUBHANALLAH daaah.

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    7 ай бұрын

    Ushenzi huu wameuanzisha masalafi wamewachokonoa sana hawa masheikh wanaofatwa na watu wengi hapa Tanzania, na haya yanayotokea kwa waislamu wenyewe kwa wenyewe kuparurana ndivyo walivyokuwa wakitaka.

  • @azizihfarijala5307

    @azizihfarijala5307

    7 ай бұрын

    kwani huyo sheikh kasema nini mpaka malumbano

  • @hassaniomari9407
    @hassaniomari94077 ай бұрын

    Sasa kwanini na wewe unaongea kibarazani uliona ni vyema upigiwe simu kwanini wewe usipige simu kwako badala ya kuongea kibarazani😅😅😅HUYU JAMAA ANAJIFANYA MJUAJI SANA HALAFU HAMNA KITU

  • @jumaajambiamusa8214

    @jumaajambiamusa8214

    7 ай бұрын

    😂😂😂😂 acha kulalamika ww chukua namba bs ww muhabi uka nyooshwe

  • @ubaydahrajab7161
    @ubaydahrajab71617 ай бұрын

    Kwa kweli huyu mtu haji elewi anajionesha tu hapa kama kasoma .mtu aliye soma akamtabuwa Allah na kumuogapa anapoiyona haqq huifata haraka na kuachana na mambo ya kizushi

  • @user-qm5sn2id5e

    @user-qm5sn2id5e

    7 ай бұрын

    Usiseme hivoo akhyh mtume hakuelekeza kwa kumtoa mtu akili

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam93127 ай бұрын

    Sheikh sense yako ni ndogo aya ya zungumza kumswalia mtume na mtume akatufundisha kumswalia .

  • @alhilaltvonline

    @alhilaltvonline

    7 ай бұрын

    Sogea barazani, namba ipo hiyo....

  • @dottokivambo330

    @dottokivambo330

    7 ай бұрын

    Njoo usome kaka..

  • @user-fp9ye4vv3y

    @user-fp9ye4vv3y

    7 ай бұрын

    Tofautisha namna ya kumswalia na mahala na wakati. Amefundisha namna ya kumswalia wakati gani na mahala gani?

  • @user-qv9ep6wq1t
    @user-qv9ep6wq1t7 ай бұрын

    Wanachoweza mawahabi nimipashotu wakiwa kwenye duruusu zao na mimbarini kama wanawake mashangini lakini sikutetea itikadi zao wakijadiliana na masufi huwa waoga kama kunguru

  • @huseynmaitaya9002
    @huseynmaitaya90027 ай бұрын

    Hakuna alie kuzungumzia jikoni , kama yupo lete ushahidi , halafu nyie kumbe mwazungumzia kibarazani wakina mama ndio huzungumza kibarazani hili elewa , wanaume mambo wa ruduud huzungumzia misikitini

  • @shilingi-Ahmadi

    @shilingi-Ahmadi

    7 ай бұрын

    Barazani mpaka sasa hujajua maana yake??? Hili ni neno asili yake ni kiarabu برز Ingia darasani usome

  • @huseynmaitaya9002

    @huseynmaitaya9002

    7 ай бұрын

    @@shilingi-Ahmadi we kiarabu kipi hicho kina itwa barazani , halafu alikua aongea kiarabu au kiswahili , ila isiwe kesi nyie ni kichapo tu hakuna kingine , nyie neng’enekeni tu sie tuna watandike tu , hatutski kujua mko kibarazani au jikoni au uvunguni sie kichapo tu mpaka mnyooke , si kupinda mlivyo pinda !!! Iwe kibarazani ni kiarabu au kichina shauri zenu , nyie ngeu tu .

  • @misrusaidi3627
    @misrusaidi36277 ай бұрын

    Shkh kujifunze kwanza sira.ufaham majina ya wake za mtume.maana yaonesha hauwajui kisha urudi kusoma qaida. Maana wachanganya RA na LA. Ukiweza hyo utakubariwa mnaqasha

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b7 ай бұрын

    Huyu Sufi Mziwanda ndie alijitia kuwashambulia Mashia lkn hajui Maulidi khitima Hauli Arubaini Talakini Kuomba makaburi wamekopa toka kwa Hao Mashia

  • @user-ls4ih7hz8s
    @user-ls4ih7hz8s7 ай бұрын

    Endelelea abuu khaula kumbana mziwanda ameumia kweli mnaqasha wa Nini haumuchelewi kuweka kiti maji halafu mnasema kajikolea ili Kama mlivyomfanyia bacho Kenya wewe jibu hoja kielim unaleta mifano ya mpira kwenye dini

  • @huseynmaitaya9002

    @huseynmaitaya9002

    7 ай бұрын

    Halafu ukiona mwenye mashetwani ana zungumza jua jini kisomo kime mkolea , ndio mziwanda huyo , rududi zime mkolea sasa ajikuna kuna , hana la kujibu , halafu adai eti mjadaaaala , kwani ukipigwa raddi tu ni mjadala waitisha hata baada ya mjadala ukizingua , unazinguliwa kudaaaasdaki zenu masufi

  • @saadayoub7179
    @saadayoub71797 ай бұрын

    Wanadai wana kazi nyingi za kufanya kumbe wanakimbia.. kazi nyingi kila siku wapo kwenye mangoma ya maulidi alafu wanajidai hawana muda.hakuna sufiy atakae simama na salafiy akatoboa....kwa sababu hawa masufiy wanaongea kwa kufata hawaa/matamanio za nafsi zao ,lakini masalafiy wao ni kwa hoja na dalili .

  • @dottokivambo330

    @dottokivambo330

    7 ай бұрын

    Namba hiyoooo, karibuni kwenye meza msome majuha nyie

  • @user-uc8zc9pi9s
    @user-uc8zc9pi9s7 ай бұрын

    Kumbe kubebeshana majungu sio uislam lkn maulidi ndio uislam

  • @nassifsuleiman9860
    @nassifsuleiman98607 ай бұрын

    Sheikh Mziwanda bhana wanifanya nicheke tena kwa Sauti, Yaan wajigamba na kuanzisha mapambano hadharani halafu atokea mpambanaji mwenzio eti wamwambia aje nyumban kwako asa hizi ni Akili au ni nini?? mie naona huku ni kufilisika kwa hoja, weye Sheikh Mziwanda ikiwa unahoja zilete km ulivyofanya mara ya kwanza kisha tuone mwsho wake utakuaje.

  • @SengoHussein-im8zy
    @SengoHussein-im8zy7 ай бұрын

    Naam

  • @a.mbaurokea3619
    @a.mbaurokea36197 ай бұрын

    اَلسَلامُ عَلَيْكُم وَرَحْمَةُ اَللهِ وَبَرَكاتُهُ‎ Usitishe watu hapo hakuna mambo ya kiusulu hata kidogo Hacha. Al-akh Mziwada Utabeba dhima kubwa kwa Allah kwa kuwapotosha watu.

  • @ubaydahrajab7161

    @ubaydahrajab7161

    7 ай бұрын

    Kweli kabisa hapo hapana mambo ya kiusuli wala mambo ya kimisili yange kuwepo ange ya sema uyo masufi cc tuna wajuwa kwa kujionesha wamesoma kumbe hamna lolote kazi yao sifa tu hawana hofu na Allah na ndomana hawataki kuacha mambo yao hayo

  • @ubaydahrajab7161

    @ubaydahrajab7161

    7 ай бұрын

    Wanacho kitaka wao kuwekewa izo pesa katika kofiya zao

  • @ubaydahrajab7161

    @ubaydahrajab7161

    7 ай бұрын

    Hawna jengine hao

  • @ubaydahrajab7161

    @ubaydahrajab7161

    7 ай бұрын

    Mashekhe zetu kaeni nae abuu khawla mumwambie acfanye mjadala na hao masufi vyengineyo na mm ntakuwa sufi

  • @ubaydahrajab7161

    @ubaydahrajab7161

    7 ай бұрын

    Maana mm nimetokajuzi tu katika usufi baada kuona hawajamaa c wa kweli

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b7 ай бұрын

    Kumbe unajua Uislam wa leo sio wa Mtume sasa mbona mmekazana kwenye mabidaaa na mauongo ya kuzua ktk DINI

  • @abuuammar4924
    @abuuammar49247 ай бұрын

    Kwahiyo msikitini ni jikoni? mana abuu khawla kaongea msikitini Alaf alisema hatak kuhangaika na hao watt mbna anatoa namba afanye mdahalo? Pia kwan elimu inapimwa kwa shahada? Mbna na ww una shahada ya thanawi tu ya pale alharamain kariakoo? Masufi kwa mikwara bana

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    7 ай бұрын

    Kama yeye kidume mbona anajificha?

  • @abuuammar4924

    @abuuammar4924

    7 ай бұрын

    @@rayisadesigns2646 Anaongea msikiti wa ilala pale mtaa wa morogoro mbele ya watu ww ukienda utamuona sasa anajificha vp?

  • @suwedisuwedi3305

    @suwedisuwedi3305

    7 ай бұрын

    Vzur mkakutan nae

  • @huseynmaitaya9002

    @huseynmaitaya9002

    7 ай бұрын

    Ndio we hujui kwa matabligh msikiti pia ni jiko au sheykh Al Albaaniy asema matabliygh ni masufiy wa asri hii , kwa hiyo usimshangae sufiy mziwanda akisema msikitini ni jikini hahahahaha , Abaa khawlah chapaaaaa

  • @huseynmaitaya9002

    @huseynmaitaya9002

    7 ай бұрын

    @@rayisadesigns2646 maneno ya haya mwanamke huyasema anapo dai tendo la ndia kwa mumeo ikawa mume hataki , humuambia mumewe “kama wewe kidume “ kweli “ sasa wewe hatukuelewi una maanisha nini

  • @hbsalum5209
    @hbsalum52096 ай бұрын

    Sheikh mimi naona ww umechanganyikiwa, umesema abuu khawlah hana elimu sasa vp wataka mdahalo nae? Hujitambui ww

  • @user-sf3jq7wo5e
    @user-sf3jq7wo5e7 ай бұрын

    Mziwanda hojazako auna tafauti na ndacha mko sawa2

  • @athumanisaid759
    @athumanisaid7597 ай бұрын

    Jamani kinachotakiwa kukutana nae mbona maneno mengi kwani imeshindikana?

  • @ubaydahrajab7161

    @ubaydahrajab7161

    7 ай бұрын

    Masufi tunawafahamu cc hawataki haqq na ndomana hatutaki ataaonane nae uyo jamaa

  • @user-dj1os5ib8x

    @user-dj1os5ib8x

    7 ай бұрын

    Hatutaki kuonana na masufi,sunna zimewashinda mnajidai kuwa na nahau,kwani hao maswahaba hawakua na nahau mbona nyinyi mnataka kuifanya dini inaendeshwa na nahau,hiyo ni lugha tu ya kusomea vitabu sio ya kukufanya ulete uzushi wako ktk dini

  • @WazirrashadYussuf-um5uq
    @WazirrashadYussuf-um5uq7 ай бұрын

    Mara mtoto mdogo mara si jibu mara mpe namba asiongee jikoni ...kuwa na kilma mmoja tu Sheikh

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    7 ай бұрын

    Tafuta pepo acha kushangilia migogoro kama mpira

  • @WazirrashadYussuf-um5uq

    @WazirrashadYussuf-um5uq

    7 ай бұрын

    @@fahadfaraj6474 kajifunze kwanza pepo inatafutwaje ....alafu ndio uniambie mie nitafute pepo

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    7 ай бұрын

    @@WazirrashadYussuf-um5uq wewe unahangaika kujifanya Unauhakika

  • @huseynmaitaya9002

    @huseynmaitaya9002

    7 ай бұрын

    @@fahadfaraj6474 huu si mgogoro wewe bali ni mapambano kati haki na baatwili , migogoro ni kama mtu na mkewe warushiana maneno hiyo ndio migogoro , kwa hiyo tofautisha kati ya nyota na mavi ya ngamia ewe unae pamia pamia mambo usoyajua

  • @user-dj1os5ib8x
    @user-dj1os5ib8x7 ай бұрын

    Eti wamekuja kuwatoa watu katika uislam,unatumia sana akili kuliko elimu Mziwanda,,eti baada ya kutoa dalili anasema sitaki kutoa dalili za kiusuli,kwani dalili za dini zipo kwenye usuli au Qur'an na sunna?

  • @nassorally8139
    @nassorally81397 ай бұрын

    @babdeo Miladu kaka jitahidi kutafuta microphone za kupunguza noise

  • @yusufntamila541

    @yusufntamila541

    7 ай бұрын

    Maoni mazuri ila ingekuwa vizuri me na we tukachangia pia kununua hiyo microphone kusapoti jitihada za kupeleka dini mbele

  • @misrusaidi3627

    @misrusaidi3627

    7 ай бұрын

    Kuchangia channel kama hii ni kupoteza Mali.na kujibebesha janga mbele ya ALLAH

  • @yusufntamila541

    @yusufntamila541

    7 ай бұрын

    @@misrusaidi3627 sawa kamchangie kasimu mafuta maana ana tiketi za kwenda pepon

  • @aljahuur
    @aljahuur7 ай бұрын

    Washensi mliopita bwana wenu anawaita huku mje kunya safari hii

  • @daudijuma5914
    @daudijuma59147 ай бұрын

    Eti maulid ndo uislam!!!!! ina maana masahaba hawakufanya maulid so hawakujua uislam!!! Sisi ni wajuz zaid

  • @alhilaltvonline

    @alhilaltvonline

    7 ай бұрын

    Sogea barazani, upewe jibu. Umefahamu maneno Kwa kuyasikia na sio elimu....

  • @dottokivambo330

    @dottokivambo330

    7 ай бұрын

    Njoo usome.. Usinakiri ujuha ulionakirishwa

  • @daudijuma5914

    @daudijuma5914

    7 ай бұрын

    Nisome kipi na lipiii ambalo halifahamikiii

  • @chamchuuconsult4682
    @chamchuuconsult46826 ай бұрын

    Tupo na wewe sheikh pasua wachane hao wa

  • @shabaniissa3464
    @shabaniissa34647 ай бұрын

    Naam naam naam wanamme huongelea barazani

  • @JabirBakar-ys8dw
    @JabirBakar-ys8dw7 ай бұрын

    imetosha sheikh mziwanda haji huyo

  • @Abuu_ayman
    @Abuu_ayman7 ай бұрын

    Nyie ni masufi wanamuziki tu hamna lolote mpo kimaslahi

  • @user-uc8zc9pi9s
    @user-uc8zc9pi9s7 ай бұрын

    Maulidi sio kaswida tuu maulidi ndio uislam

  • @abuunufaysah5328
    @abuunufaysah53287 ай бұрын

    Huwezi kutetea bidaa' ukabaki salama,hii dini siyo yako,wacha Masheikh wa kisalafi wakunyooshe ufate sunnah, Mwanaume wa kweli analazimiana na Sunnah,we mtu wa bidaa' unajisifu eti mi Mwanaume hata haya huna? Umefika wakati wa kuondoa shubha ambazo umeziweka kwa muda mrefu katika vichwa vya wajinga mfano wako,Baatwili haiwezi shinda haqqi daima!

  • @officialmutrahlg2484

    @officialmutrahlg2484

    7 ай бұрын

    Nachojua mimi makafiri wakisikia akitajwa mtume hukasirika na kuchukia we mwenzetu uko upande gani

  • @mohammedalghannami3150

    @mohammedalghannami3150

    7 ай бұрын

    Sema Mawahabi hawana hikma, heshima, ihtiram Wala Respec, Kwa kipengele hichi TU unawatoa thamani haw jamaa

  • @abuunufaysah5328

    @abuunufaysah5328

    7 ай бұрын

    @@mohammedalghannami3150 Allah akuongoza Akhiy Kwa sababu hata hiyo hikma huijui maana yake waongea tu... نسأل الله العافية والسلامة في الدنيا والآخرة

  • @mohammedalghannami3150

    @mohammedalghannami3150

    7 ай бұрын

    Sote Kwa hakika tunahitaji Uongozi kutoka kwake, Point yangu ni kuwa Akhlaq ktk Uislam ni jambo kubwa mno, Mtume Salallah Alayh wasalam amesifiwa Kwa Tabia njema, Bado tunaona hata Nabii Mussa anatumwa Kwa Firauni anaambiwa akazungumze nae Kwa upole, Kwangu sioni kama matukano na kukashifiana ndio kupeleka gurudumu mbele la Uislam,

  • @user-mi3cs9lc6y

    @user-mi3cs9lc6y

    7 ай бұрын

    Huna hekma

  • @ubaydahrajab7161
    @ubaydahrajab71617 ай бұрын

    Mpige radd ukouko anakosema jikoni

  • @HuseniMaulidi
    @HuseniMaulidi7 ай бұрын

    Mnao koment acheni ushabiki

  • @abuumuhammad7133
    @abuumuhammad71337 ай бұрын

    Njaa tuu nyie vinawasumbuwa tu nyie dini yetu ya Uislaam haionglewi kww mfano wale akili ya mtu ni inatakikana Dalili.

  • @taurehassan7399

    @taurehassan7399

    7 ай бұрын

    Nashangaa hutupi dalili ya kukataza maulid unakz y kuandk pumba,lete dalili y makatzobya maulid ili tuache kufnya maulid

  • @abuumuhammad7133

    @abuumuhammad7133

    7 ай бұрын

    @@taurehassan7399 dalili zipo nyingi hajajiafanyia Mtume wetu wala Maswahaba hawakufanya wote Maulidi na Maulidi imeletwa na Mashia wale waliemsingizia Bi Aisha mzinifu

  • @abubakarymaulidy5681

    @abubakarymaulidy5681

    7 ай бұрын

    Dalili gani unataka chukua namba apo upewe dalili fala mkubwa wewe kazi kufata tu kama kipofu

  • @taurehassan7399

    @taurehassan7399

    7 ай бұрын

    @@abuumuhammad7133 kwn kla ambalo hakulifnya mtume halifai kufanywa?ndio kanuni y sheria ktk uislamu?embu nijuze swhb Tarah nipte kujifnz kwko

  • @abuumuhammad7133

    @abuumuhammad7133

    7 ай бұрын

    @@taurehassan7399 Ummra ya mwisho ya mtume Sala na Salaam zimfikie alishushiwa Aya katika Suratul Maida inasema NIMEKAMILISHA DINI YENU NA NIMERIDHIA KUWA UISLAAM NDIO DINI YENU, Maswahaba Walilia sana siku hiyo walijuwa ndio Mwisho umekaribia wa Mtume Muhammad Sala na Salaam ziwe juu yake sasa pata faida hapo juu ya hiyo Aya na Uislam wote upo ndani ya Qur-an na Sunna za Mtume Sala na Salaam zimfikie hivyo yeye ndi alietumwa kuleta Dini kwetu na Aya ya mwisho ndio hiyo, hivyo ukifanya jambo hajalifanya Mtume Sala na Salaam zimfike umezuwa katika Dini na Dhabi za uzushi ni kubwa na zina adhabu kali mbela ya Allah.

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b7 ай бұрын

    Uislam ni Kumjua Allah na Mtume wake kwa uelewa wa wema waliopita sasa ww Sufi Khawariji na Makhurafi wengine katafuteni dini ya Uislam kwenye ndoto makaburini kwenye uganga kwa Masharifu na mawalii wa lamu Huyo Sheikh Abdul Qadir Jailan mnaemsingizia utwarika ndio alikua akifanya mnayofanya nyinyi mapilau mabiriani na maubwabwa???????

  • @dottokivambo330

    @dottokivambo330

    7 ай бұрын

    Roho mbaya ndio imekukaa, acheni roho mbayaaa, watu kula ndio inawauma kiasi hiko???😮

  • @SamMus-qn1pu
    @SamMus-qn1pu7 ай бұрын

    UPUZI NA UPUMBAVU MTUPU TU

  • @sijartv9554
    @sijartv95547 ай бұрын

    أما الصيغة صل الله عليه وسلم فهذه الصيغة مأخوذة من الآية إن الله وملائكته يصلون على................. كتاب شروح بلوغ المرام للشيخ محمد بن عثيمين وفيه كثير من صيغ ذكرها العلامة ابن عثيمين رحمه الله جل ذكره وقال ايضا الإمام النووي في شرح الهذب وقد قيل عنها في كثير من الكتب العلمية و الحديثية المعتمدة والله أعلم

  • @Kan332

    @Kan332

    7 ай бұрын

    Nipe tafsiri ya neno أخذ na watu wanaposema مأخوذة wanakusudia nini ? Jee limetolewa huko Kwa dhwaahiri au ishara ?

  • @swalehabdulrahman4118
    @swalehabdulrahman41187 ай бұрын

    MAWAHABI CHUKUENI NO HIYO KAMA NI VIDUME MKIJIONA MPO VIZUR TUPIGIENI ,HATUTAKI MANENO YA KIKE KUONGELEA WAKATI MWANAUME HAYUPO😂😂😂

  • @leonardmbonea4117

    @leonardmbonea4117

    7 ай бұрын

    Yaani mpaka leo kuna kanjanja anatumia jina la uhabi we box wenzio washajua ni uveve na ukasuku

  • @mkubwamasoud2776

    @mkubwamasoud2776

    7 ай бұрын

    Naomba mimi hiyo namba hana kitu debe tupu hilo

  • @swalehabdulrahman4118

    @swalehabdulrahman4118

    7 ай бұрын

    @@mkubwamasoud2776 Ina maana kwenye hiyo clip hujasikia namba zikitajwa?!

  • @topfreelancer5151

    @topfreelancer5151

    7 ай бұрын

    Kumbe matusi pia mwayaweza

  • @ubaydahrajab7161
    @ubaydahrajab71617 ай бұрын

    Shekh wetu abuu khawla tunakunasihi usifanye mjadala na huyu mtu kwa sababu hajielewi mana yuko tayari kutajwa kwa ubaya

  • @khamismussa1599
    @khamismussa15997 ай бұрын

    Sasa km hyo salafiy yuko tayari si namba za simu zishatolewa kwa mdahalo,tunahitaji na yy aseme yuko tayari,lkn sidhani km atajiingiza kwenye mdahalo kwa sababu jamaa hawa ni watu wa jikoni tuu.

  • @shabaniadam7015

    @shabaniadam7015

    7 ай бұрын

    Ww hujitambui ni sawa na mkirstu au myahudi wewe na mashekh wote mnaoadhimisha habari ya kuzaliwa kwa mazazi ya (s.w) maana hata jana wakristo wao waliazimisha kuzaliwa kwa yesu kristo na nyie hivyo hivyo , munaendelea kauzimisha ndio maana mtume alisema hawata kua radhi mayahudi na manaswala ambao ni nyie hapo mpka mfuate Mila zao na nyie bila kufikilia kwa ajili ya masilahi na matamanio yenu binafx ndio maana Kila cku mko Tyr kunadilisha tafsir za Aya Ili muweze kufanikiwa na kutimiza hitaji la moyo wenu ,na kiacha hakki na kufuata batili yote kwa ajili ya masilahi binafx ya matumbo yenu so kumbukeni Kuna kifo baada ya haya yote hivyo tufanye mema sanaa kuliko kutangaza uongo kwa ajili ya kujipatia riziki tumia akili yko vzr uweze kujikomboa na kutoka kwenye Hilo Giza uliopo sawa na ufuate njia iliyonyooka ahsante naimani utakua umenielewa vzr

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b7 ай бұрын

    Mzee wa mipasho Mumeulizwa nyinyi ndio mnauelewa zaidi kuliko Maswahaba wa Mtume!!!! Salafi wamekuja karne ya nne(4) au tangu karne ya kwanza(1) Masufi mtachezeshwa ngoma na Masalaf na msijue kwamba mwaipeleka mbele dawatul Salafiya

  • @mohamedrashid7864
    @mohamedrashid78647 ай бұрын

    Wapumbavu wa kiwahabi mnatokwa povu tu hapa

  • @user-tw4nf6bv8b

    @user-tw4nf6bv8b

    7 ай бұрын

    Muhammed Allah atakuondolea Usingizi waliokulaza nao Masheikh wa Kitwarika jitahidi kusoma Uislam hakuna wa kukusomea ww uislam kisha akaja kukueleza Hukmu tusome wote waislam laiti ungekua ndugu umepitia ungejua namna Mashekh Zetu Twariqa wanavyotupiga kanyangaa uongo uzushi ili jamii iendelee kuwaaamini wao ndio wajuzi Mpaka leo hawazungumzii Uchumi wa Kiislam Jamii ya Kislam Diplomasia Technology ktk Uisalm kwa sbb hawajui wao ni mabobezi tu ktk Talakini Maulid Kuomba Makaburi Talaka Ndoa Khedhi Nifasi hawajishughulishi kabisa na Kumkomboa Muislam na Matatizo na changamoto zinazowakabili hawana majibu migogoro misikitini imekithiri ktk miskiti ya Twariq Ndugu soma utaelewa

  • @mohamedrashid7864

    @mohamedrashid7864

    7 ай бұрын

    @@user-tw4nf6bv8b niko macho kaka uwahabi ,usalafi ni ukristo.kuna utatu huko kuna Allah wamempa kiwiliwili kuna uvundo sana .pia hao viongozi wa kiwahabi wahuni tu

  • @user-uc8zc9pi9s
    @user-uc8zc9pi9s7 ай бұрын

    Kumbe kubebeshana majungu sio uislam lkn maulidi ndio uislam

  • @ubaydahrajab7161
    @ubaydahrajab71617 ай бұрын

    Shekhe wetu abuu khawla ukifanya mjadala na huyu. Jamaa itakuwa ww hujieelewi na yy haji elewi

  • @nassifsuleiman9860

    @nassifsuleiman9860

    7 ай бұрын

    Hata mie siungi mkono mjadala huo wa kipuuzi kwasababu alisema na yeye kajibiwa kwahyo mjadala wa nn wakat mambo yako wazi

Келесі