MADRASAT AZHARG GABA WAKIWA NA MUHAMMAD MUHIYA 2024_ MUNTA NAI & SAID OUD

Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
KZread: / @babdeomiladu

Пікірлер: 28

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto43034 ай бұрын

    Mashallah

  • @IddiAli-sd5sb
    @IddiAli-sd5sbАй бұрын

    Subhanallah ukowapi uwisilam alokujajanao Mtume namaswahaba zake jehivi ndotulivyo achiwa tushikamane navyo ausuna zamtume tumefikia mpaka kwenye ala zamziki masheghe wa natumbuiza je haya ndo alotufunza Mtume was Allah

  • @Arifsabqiy
    @Arifsabqiy4 ай бұрын

    Kaz kubwa ust Suley MUNTA saidy Mukhtary Muhammad muhiya Fannani ayubu ust Salim shabain Santos badru beat na wote MashaAllah ❤

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary874313 күн бұрын

    Mnaingia na magita siku hizi dah🥲🥲 Inna Lillah Wainna Ilayh Rajiun

  • @sheryscoffcanal4050
    @sheryscoffcanal40504 ай бұрын

    Minha unatuumiza jamani ya rabii

  • @allyfundi6405
    @allyfundi64054 ай бұрын

    Wamisriiiiiii

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto43034 ай бұрын

    WISLAM RAH SAN

  • @JumaneMujtaba
    @JumaneMujtaba3 ай бұрын

    Kaz kubwa.....🎉

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto43034 ай бұрын

    Japan wap hapo

  • @sultanbakary4292
    @sultanbakary42922 ай бұрын

    Hiii rasti balaa

  • @AbuuSaad7
    @AbuuSaad74 ай бұрын

    Innalillah wainnaillah rajiuun nawaonea huruma mpaka moyo wangu unaumia. Hivyi vitu ni dhahiri kabisa vimetawala na shaitwan. Hivi vitu mnavitoa wapi? Hivi kweli aliesoma uislam na kumuogopa Allah anaweza kufanya vitu kama Hivi? Allah awaongeze. Namshukuru Allah kwa kunionyesha njia ya manhaj salaf

  • @saaayyednaaraashid3339

    @saaayyednaaraashid3339

    4 ай бұрын

    Kama ushaonyeshwaa njiaa tuliiaaa waache walioangamiiaa waendelee kuangamiia kilaa MTU na kabur lake

  • @allyfundi6405

    @allyfundi6405

    4 ай бұрын

    Wee chiz manhaji salaf sindio vibaka wa uislam kabisa tuliza makasiriko yako

  • @ustadhomarykifigisa1282

    @ustadhomarykifigisa1282

    4 ай бұрын

    Fumba macho usiangalie kwani umelazimishwa kuangalia wewe vip

  • @AbuuSaad7

    @AbuuSaad7

    4 ай бұрын

    Allah awaongoze. Msisahau kumuumba Allah awape hidaya

  • @katalayshemndolwa3146

    @katalayshemndolwa3146

    2 ай бұрын

    Kwanini umeangalia ili hali tume katazwa kuangalia batil mpaka umeanagalia uka sikiliza maneno ya semwayo humo basi ujue umependa na umefulahishwa

  • @salumally663
    @salumally6634 ай бұрын

    Mnaharibuu kutumia magitaaa...hii mtakuja kutumia madrums kama walokolee....kwani shwytan istritraaj yake hatari...ushauri tu...

  • @saaayyednaaraashid3339

    @saaayyednaaraashid3339

    4 ай бұрын

    Tulia wewe kilaa mtuu atazikwa katka kaburii lake kwahy hakn dhambii zingine kubwaa tofautii na magita ukazisema???

  • @user-hh3on8fg5o

    @user-hh3on8fg5o

    3 ай бұрын

    Kama kitu haukijui ukae kimya usikurupuke na kusema mnaharibu wakati hujui kinachofanyika hapo nn

  • @tigerroar3545

    @tigerroar3545

    2 ай бұрын

    Taarabu hii nzuri ,ni ya wapi?

  • @Abinelymsanya-tc5xl

    @Abinelymsanya-tc5xl

    2 ай бұрын

    umechelew,kufaham

  • @WaziriAbdallah-vr4xg

    @WaziriAbdallah-vr4xg

    9 күн бұрын

    Hapo.hakuna.gitaa ww inapigwa nai na dufu tu elewa

  • @khulaydkhamis3753
    @khulaydkhamis37534 ай бұрын

    Vitta mwalim wametumia saut gan hpo 😢😢

  • @shafisaggaf1889

    @shafisaggaf1889

    4 ай бұрын

    Maqaam Rast hii

  • @ramadhaniwaziri-jd2vv

    @ramadhaniwaziri-jd2vv

    4 ай бұрын

    Apo imesomwa rasti

  • @narutonaruto4303

    @narutonaruto4303

    4 ай бұрын

    MASHALLAH

Келесі