MWENDOKASI IMEFELI? JIONEE RIPOTI YA UCHUNGUZI | KASRI LA KIKEKE

Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 192

  • @nasirahassan9373
    @nasirahassan93733 күн бұрын

    Kikeke umekuja kufanya mapinduz ya WANAHABARI yani kama naangalia BBC the way waandishi wa habari wanavo present! hii kama sio tanzania kabisa kongole kwako KIKEKE

  • @dr_donye
    @dr_donye3 күн бұрын

    Kikeke wa moto sana na team yake 🔥🔥🔧 crown inaleta habari za moto mashaallah watu wanapekua kila angle ❤❤❤💜👑🏠

  • @talibthetruth8709
    @talibthetruth87093 күн бұрын

    Yani kwa hakika siku hizi tunapata taarifa nzuri

  • @stateofart1089
    @stateofart10893 күн бұрын

    Hii redio ni ya moto, wengi wanajipendekeza kwenye serikali ila hii ni kiboko. Kikeke amewasha moto

  • @starjay3052

    @starjay3052

    3 күн бұрын

    dah kweli amini damu yangu kikeke kama bbc amini alafu kikeke. dunia anajua anachokifanya

  • @dicksontimotheo7617

    @dicksontimotheo7617

    3 күн бұрын

    kweli asee zile rsdio nyingine kila wanaongelea mapenzi tu ndoa mahusiano asee tunashkuru sana ila tuombe mungu wasinunuliwe tu

  • @HASASON
    @HASASON3 күн бұрын

    Journalism inagain respect kupitia crown media, ni ukweli media nyingi Tanzania zinaongozwa na failures watu wenye akili ndogo sana, crown imeleta revolution unafatilia story mpaka unaridhika

  • @Mr-GMB

    @Mr-GMB

    3 күн бұрын

    Labda huko mbeleni nao wasibanwe kama media nyingine zilivyobanwa na kugeuka😅

  • @talibthetruth8709
    @talibthetruth87093 күн бұрын

    Yani crown ni habar kma nje vile❤

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra6363 күн бұрын

    Ahsante sana Crown👑 nyie ni radio ya uma👏🏽👏🏽👏🏽🫱🏽‍🫲🏾

  • @shabanimpalazo2695
    @shabanimpalazo26953 күн бұрын

    Safi sana nakuona kama Kikeke namba 2 upo vizuri sana ndugu yangu

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice80883 күн бұрын

    BBC ya Tanzania 🇹🇿 crown media

  • @aminata3702

    @aminata3702

    3 күн бұрын

    BBC ni uchafu ,Usifananishe na CROWN baba lao😊

  • @fredducaunt

    @fredducaunt

    Күн бұрын

    ​@@aminata3702😂😂 BBC ya Tanzania dogo

  • @MarthaBura-or8fe
    @MarthaBura-or8fe3 күн бұрын

    Hongera kikeke na na time Yako maana kocha ni kikeke

  • @Ndenza
    @Ndenza3 күн бұрын

    Media nyingine wanatumiaga camera za itel croun imekuja na iphone 20 kabla haijatoka kabisa namaanisha hii sio level za Dunia hi angavu sana❤❤❤❤

  • @Relis_talkswisdom.
    @Relis_talkswisdom.3 күн бұрын

    Mzee muchunguzi anaongea kitaalamu sana ,anahitaji interview ndefu.

  • @DavidYamungu-rl5os
    @DavidYamungu-rl5os3 күн бұрын

    Wa Pili Naomba Like zangu za Crown Hapa Ni Nyumban ❤

  • @christianmatosha4283

    @christianmatosha4283

    3 күн бұрын

    Unaomba like we mtoto wa kike? Acheni ushamba wanongo😅

  • @BarakerZeonlist

    @BarakerZeonlist

    3 күн бұрын

    CHUKUA LIKE NA COMMENT

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms34643 күн бұрын

    Habari imenyooka sana hii safi sana

  • @user-sy4wf5ll4o
    @user-sy4wf5ll4o3 күн бұрын

    Dah aisee hii tv itafka mbali sana

  • @user-sy4wf5ll4o
    @user-sy4wf5ll4o3 күн бұрын

    Kiukweli mwendi kas zinatesa sana

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz3 күн бұрын

    Kikeke on 🔥

  • @cartalunya
    @cartalunya3 күн бұрын

    hamna ayo asiejua ayo wote ni 🔥🔥🔥🔥

  • @johnmichael2524
    @johnmichael25243 күн бұрын

    Taarifa inatolewa kisasa hadi raha

  • @MarthaBura-or8fe
    @MarthaBura-or8fe3 күн бұрын

    Mwendo Kasi sije nyingi daladala zisirudi zitaongeza foleni

  • @josephfrank4446
    @josephfrank44463 күн бұрын

    Imepowa crown 👑 hapa ninyumban

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139Күн бұрын

    Hongera Crown TV Habari Yako imejaa uchambuzi wa pande zote. " Watoa huduma na wanaohudumiwa,,".

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz3 күн бұрын

    Hiii Media ina criativity saana. Congractulation kwenu🎉

  • @eliasakhamisi7947
    @eliasakhamisi79473 күн бұрын

    Hizi ndizo habari acha misifa ya kipuuzi

  • @NoelChambo
    @NoelChambo3 күн бұрын

    Mzee wa kihaya kaongea kitaalam

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo103 күн бұрын

    Crown hatuna baya

  • @user-sy4wf5ll4o
    @user-sy4wf5ll4o3 күн бұрын

    Ila hiz kampuni zngekua kama tatu ingekua sawa mno

  • @idrisaibrahim9537
    @idrisaibrahim95373 күн бұрын

    hii ndio media ya wana nchi apa ni nyumbani

  • @salimhamad3878
    @salimhamad38783 күн бұрын

    Nilikuwa nasubir kwa hamu Media itakayo fanya cover ya issue ya mwendo kasi maana vyombo vya Habari vilikaa kimya kutokureport kitu muhimu kama hiki

  • @ANDREWAMANI-se4bp

    @ANDREWAMANI-se4bp

    3 күн бұрын

    Nakuunga mkono mzee sisi watumiaji tunaelewa ugumu WA huu usafir

  • @NardhisMhagama-sy3eq

    @NardhisMhagama-sy3eq

    Күн бұрын

    SI wanakataza watu wasitowe taarifa utakamatwa mtakosa ya mitandao

  • @NardhisMhagama-sy3eq

    @NardhisMhagama-sy3eq

    Күн бұрын

    Mawaziri wapande mwendokasi wakati Wana waogopa raia kwasababu ni waongo Kwa ahadi

  • @NardhisMhagama-sy3eq

    @NardhisMhagama-sy3eq

    Күн бұрын

    Mwishowe MTA muita DPW msidanganye watu dawa nikutobowa nzege nakufunga reli

  • @FahareJuma
    @FahareJuma3 күн бұрын

    Mbondiya salimu kikeke so de mozambeq Napenda sana crown media😅😊😊😅😮

  • @swaggerizedninjagoseprocom8523
    @swaggerizedninjagoseprocom8523Күн бұрын

    Mwendokasi haijakizi kabisaaaaa

  • @alexmavindi2104
    @alexmavindi21043 күн бұрын

    BBC ndani ya CROWN MEDIA, Congratulations 😁👏👏

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlist3 күн бұрын

    HII CHANEL IPO POSA SANA MWANDISHI UMEUPIGA MWINGI KEEP UP U DESERVE SUBSCRIPTION

  • @rajabubonero6396
    @rajabubonero63963 күн бұрын

    Hongereni sana.. kipindi kimekaa vizuri

  • @BRIGHTMORNINGMINISTRIES-xf1pr
    @BRIGHTMORNINGMINISTRIES-xf1pr18 сағат бұрын

    I appreciate this station

  • @DambweRama
    @DambweRama2 күн бұрын

    CROWN HAPA NI NYUMBANI 👑👑🎉🎉

  • @Joecharles-vu7lo
    @Joecharles-vu7lo3 күн бұрын

    Tuweke na train kama inawezekana watu wanazidi kuongzeka .

  • @augenmagabila3081
    @augenmagabila30813 күн бұрын

    HONGERENI SANA CROWN MEDIA KWA HABARI YENYE UWAZI, PICHA ANGAVU NA SAUTI NZURI 👏👏👏👏

  • @isayakitaponda8337
    @isayakitaponda83379 сағат бұрын

    Positive news.

  • @DazzWazenji-uy6cr
    @DazzWazenji-uy6cr3 күн бұрын

    Crown media noma❤❤

  • @KhuzaniSady
    @KhuzaniSady3 күн бұрын

    Noma sana

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad96152 күн бұрын

    BBC ya bongo...hongera Salim Kikeke kwa kuleta mapinduzi ktk sekta ya habari

  • @Laiterz007
    @Laiterz0073 күн бұрын

    ❤❤

  • @ALiBAba-zz2td
    @ALiBAba-zz2td3 күн бұрын

    impressive

  • @mohamedomari6129
    @mohamedomari61293 күн бұрын

    Mradi ukisimamiwa na watumishi wa umma shughuli imeisha. Utasikia changamoto na mchakato kila kukicha.

  • @WendoJuma
    @WendoJuma3 күн бұрын

    Kule kwengine utaskia Lokole kanyamba pamoja na mashalove😂

  • @user-qo5it1uc9m

    @user-qo5it1uc9m

    3 күн бұрын

    Hahahahahaha

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232Күн бұрын

    Ase safi sana hadi namuona anaepiga pesa zake kwa kesh money mko vizuri kufatilia tabu anazo pitia mtanzania

  • @barakaPaulo-ei8zp
    @barakaPaulo-ei8zp3 күн бұрын

    Kubaliiii sanaaa Crown 👑tv and Fm

  • @sadile1057
    @sadile10573 күн бұрын

    Safi

  • @kidsontemba1641
    @kidsontemba16412 күн бұрын

    Aiseeeeee mwandishi wa habari. Kongole sanaaa nimeenjoy kuitazama hiii habari yako. INAVUTIA, INAELEWEKA VIZURI KABISAAA NA haichoshi kusikiliza haina makele mengi yaan iko kwa viwango vya kimataifa hongera sana crown media

  • @salamSalehhhhh
    @salamSalehhhhh3 күн бұрын

    Rais wa jamuhur ya muungano wa tz fanya kitu mama angu tunateseka sisi wenye maisha ya chini nunua Ata magari ya umeme

  • @Chida
    @Chida3 күн бұрын

    Uhondo huu ni kutoka Crown Media tu

  • @GIDEONEMMANUEL-hb3ok
    @GIDEONEMMANUEL-hb3ok3 күн бұрын

    🎉🎉

  • @PeterGunze
    @PeterGunze2 күн бұрын

    Dr. Mchunguzi ni safi sana forward thinking

  • @peternguluchuma
    @peternguluchumaКүн бұрын

    Hii ndio Radio ya kweli sasa

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r3 күн бұрын

    Crown taifa

  • @AbdullahMwela
    @AbdullahMwela3 күн бұрын

    Camera za crown 📸

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro51473 күн бұрын

    Wekeni miundombinu ya train za majini kuondoa ttz mabas pekee hayawez kuondoa ttz

  • @ludobudege1662
    @ludobudege1662Күн бұрын

    Mwendo Kasi Bado sana

  • @fatmaathumani7116
    @fatmaathumani7116Күн бұрын

    Safi sana mtupe vitu vya kueleweka sasa

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies96703 күн бұрын

    Mwendo kasi inahitaji mwekezaji aweke gari za kutosha Dart wamefeli

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz13 күн бұрын

    Watalamu wetu wanatuangusha wanakula hela tu na Hakuna kununua Magari.

  • @fortidaskashaigili7496
    @fortidaskashaigili74962 күн бұрын

    Mm sipandi tena mwendo Kasi, Bora Dala Dala, mambo Gani unasimama kituoni masaa zaidi ya 2 eti unasubiria mwendo Kasi, ni upuzi mtupu, mwendokasi imefeli sana ya xpress , Alf wao wanatukalisha ili tugombanie

  • @ANDREWAMANI-se4bp
    @ANDREWAMANI-se4bp3 күн бұрын

    Hapo mmetisha sana asante kwa kutufikia. Solution ni hiyo Magari yaongezwe na mfumo wanmalipo ubadilishwe kutatua taizo la mtu unafika kituoni unaambiwa chenji hamna

  • @omarylugusha
    @omarylugusha2 күн бұрын

    Habari bora kuwahi kutokea Tanzania

  • @user-ht5ez5gf7w
    @user-ht5ez5gf7wКүн бұрын

    yote kwa yote grown mmetisha kaz nzuri

  • @jumashedafa
    @jumashedafa3 күн бұрын

    Mwekezaji yu wap ety...kama ameshindwa wamuondoe

  • @princekagame8203
    @princekagame8203Сағат бұрын

    Yaaan vitu vingine vinachekesha sana nipeni mimi kazi ya kusimamia nionyeshe mfan hiki kinachoendelea ni upuuzi

  • @user-qo5it1uc9m
    @user-qo5it1uc9m3 күн бұрын

    Crown media safi sana, king kiba

  • @dottombilinyi5979
    @dottombilinyi59793 күн бұрын

    yap

  • @mosesmdindile332
    @mosesmdindile3322 күн бұрын

    Big up crown media

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama81662 күн бұрын

    Magari machache sana

  • @MpendaNgalagale
    @MpendaNgalagaleКүн бұрын

  • @jumannemfaume
    @jumannemfaume2 күн бұрын

    Safiiii crown media

  • @Ba63828
    @Ba638283 күн бұрын

    Imefeli siku nyingi sana kama serikali haipo

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232Күн бұрын

    Media zingine zinasifisifia wakat mambi hayaendi sjawahi sikia taarifa hii kwenye media yeyote

  • @JoelMafulahya
    @JoelMafulahya3 күн бұрын

    👑 salute

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r3 күн бұрын

    Hata tren itakufa tu

  • @DeusMasunga-lq1jo
    @DeusMasunga-lq1jo3 күн бұрын

    Huy ndo therealtemedayoo❤❤#Crownhapani nyumbani

  • @mathayobmasunzu278
    @mathayobmasunzu2783 күн бұрын

    Safi sana

  • @eliaspius4949
    @eliaspius49493 күн бұрын

    Temidayo kazi nzuri sana kaka

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r3 күн бұрын

    Huyo sijui ni mama au Shangai ni hovyo tu

  • @denismugisha2
    @denismugisha22 күн бұрын

    Kama kawaida wanahabari igeni sasa kwa Kikeke ruksa kwasababu huwa hamjiongezi uongo mwingi na uchawa sasa hapa mkiiga ni vizuri.

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n2 күн бұрын

    Mwendo kasi wamechemka ni mateso tupu kwakweli,basi ni chache sana wawape Abood au Bm izo njia kila leo ni adithi izo izo..

  • @fadhilidanieli1478
    @fadhilidanieli14783 күн бұрын

    Daaaaah safi saaaana

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani3 күн бұрын

    Watasikia?maana wakuu wetu kurekebishwa kwaovni Kero au ugomvi🙏🏿

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h3 күн бұрын

    Toka makambako Town hapa

  • @jumannemfaume
    @jumannemfaume2 күн бұрын

    Dar inahitaji pia kuwa metro yaanii zile treni za ardhini

  • @knight6757
    @knight67572 күн бұрын

    🤔

  • @user-oy2gp3nq4j
    @user-oy2gp3nq4jКүн бұрын

    Waturudishie daladala . Bajaji sh 5000 kutoka kariakoo mpaka mbezi .mwendokasi zinajaa unaweza fia ndani na magonjwa ya kuambukiza ukirudi

  • @HemedDaudi
    @HemedDaudi3 күн бұрын

    Aisee crown mumegusa kwenyewe mwendokasi ni majanga sana yaani shida tupu binafsi sipandagi magari hayo saiv

  • @RobertMachenga-tz3re
    @RobertMachenga-tz3re3 сағат бұрын

    Hii hali ni uongo tu hakuna kitu hapo. bila kushirikisha watu binafsi hakuna kitu. kwenye hela hakuna cha uaminifu hapo.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295Күн бұрын

    Ni mradi wa Kwanza kufeli kutokana na kuwa na wateja wengi, dah! Hii inapatikana Tanzania tu

  • @user-ki9wu6no3d

    @user-ki9wu6no3d

    14 сағат бұрын

    Yaan hapo huu ni utakatishaj wa mradi kutok Kwa vigogo Wenye Daladal zao hapo mjini,Unadhan serikali haioni na Uhitaji wa mabasi WANAON Sana Sema mwend Kasi inauliwa na haohao wa serikal

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga8093 күн бұрын

    Safi sanaa kikeke hy ndokazi ya kutatua changamoto ndotunayo itaka

  • @user-bf4xh9kc3n
    @user-bf4xh9kc3n3 күн бұрын

    Mm nahisi kikeke ana hisa hapo crown

  • @AbdallahAmani-xw5vq
    @AbdallahAmani-xw5vq3 күн бұрын

    Hapa ni nyumbani

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559Күн бұрын

    Changamoto kubwa pia unakuta mpo kwenye vituo gari zikifika badala ya kupakia watu wanapaki magari sasa hapo ndio kupunguza au kuongeza tatizo kazi yao nikubeba abiria na huo ni mwendo kasi ukifika kituoni hautakiwi kupaki nikupakia na kuondoka cyo unapaki gari wakati abiria wamejazana kwenye vituo cyo sawa

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb5 сағат бұрын

    Wamefeli ni usafiri mbovu Sana mm nauita usafiri wa kupeana marazi

  • @kwisa4899
    @kwisa48993 күн бұрын

    Ni kweli wame fail unakaa 2hrs muda mwingine

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba78743 күн бұрын

    Wanazingua tu