MWENDOKASI IMEFELI? JIONEE RIPOTI YA UCHUNGUZI | KASRI LA KIKEKE
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Пікірлер: 192
Kikeke umekuja kufanya mapinduz ya WANAHABARI yani kama naangalia BBC the way waandishi wa habari wanavo present! hii kama sio tanzania kabisa kongole kwako KIKEKE
Kikeke wa moto sana na team yake 🔥🔥🔧 crown inaleta habari za moto mashaallah watu wanapekua kila angle ❤❤❤💜👑🏠
Yani kwa hakika siku hizi tunapata taarifa nzuri
Hii redio ni ya moto, wengi wanajipendekeza kwenye serikali ila hii ni kiboko. Kikeke amewasha moto
@starjay3052
3 күн бұрын
dah kweli amini damu yangu kikeke kama bbc amini alafu kikeke. dunia anajua anachokifanya
@dicksontimotheo7617
3 күн бұрын
kweli asee zile rsdio nyingine kila wanaongelea mapenzi tu ndoa mahusiano asee tunashkuru sana ila tuombe mungu wasinunuliwe tu
Journalism inagain respect kupitia crown media, ni ukweli media nyingi Tanzania zinaongozwa na failures watu wenye akili ndogo sana, crown imeleta revolution unafatilia story mpaka unaridhika
@Mr-GMB
3 күн бұрын
Labda huko mbeleni nao wasibanwe kama media nyingine zilivyobanwa na kugeuka😅
Yani crown ni habar kma nje vile❤
Ahsante sana Crown👑 nyie ni radio ya uma👏🏽👏🏽👏🏽🫱🏽🫲🏾
Safi sana nakuona kama Kikeke namba 2 upo vizuri sana ndugu yangu
BBC ya Tanzania 🇹🇿 crown media
@aminata3702
3 күн бұрын
BBC ni uchafu ,Usifananishe na CROWN baba lao😊
@fredducaunt
Күн бұрын
@@aminata3702😂😂 BBC ya Tanzania dogo
Hongera kikeke na na time Yako maana kocha ni kikeke
Media nyingine wanatumiaga camera za itel croun imekuja na iphone 20 kabla haijatoka kabisa namaanisha hii sio level za Dunia hi angavu sana❤❤❤❤
Mzee muchunguzi anaongea kitaalamu sana ,anahitaji interview ndefu.
Wa Pili Naomba Like zangu za Crown Hapa Ni Nyumban ❤
@christianmatosha4283
3 күн бұрын
Unaomba like we mtoto wa kike? Acheni ushamba wanongo😅
@BarakerZeonlist
3 күн бұрын
CHUKUA LIKE NA COMMENT
Habari imenyooka sana hii safi sana
Dah aisee hii tv itafka mbali sana
Kiukweli mwendi kas zinatesa sana
Kikeke on 🔥
hamna ayo asiejua ayo wote ni 🔥🔥🔥🔥
Taarifa inatolewa kisasa hadi raha
Mwendo Kasi sije nyingi daladala zisirudi zitaongeza foleni
Imepowa crown 👑 hapa ninyumban
Hongera Crown TV Habari Yako imejaa uchambuzi wa pande zote. " Watoa huduma na wanaohudumiwa,,".
Hiii Media ina criativity saana. Congractulation kwenu🎉
Hizi ndizo habari acha misifa ya kipuuzi
Mzee wa kihaya kaongea kitaalam
Crown hatuna baya
Ila hiz kampuni zngekua kama tatu ingekua sawa mno
hii ndio media ya wana nchi apa ni nyumbani
Nilikuwa nasubir kwa hamu Media itakayo fanya cover ya issue ya mwendo kasi maana vyombo vya Habari vilikaa kimya kutokureport kitu muhimu kama hiki
@ANDREWAMANI-se4bp
3 күн бұрын
Nakuunga mkono mzee sisi watumiaji tunaelewa ugumu WA huu usafir
@NardhisMhagama-sy3eq
Күн бұрын
SI wanakataza watu wasitowe taarifa utakamatwa mtakosa ya mitandao
@NardhisMhagama-sy3eq
Күн бұрын
Mawaziri wapande mwendokasi wakati Wana waogopa raia kwasababu ni waongo Kwa ahadi
@NardhisMhagama-sy3eq
Күн бұрын
Mwishowe MTA muita DPW msidanganye watu dawa nikutobowa nzege nakufunga reli
Mbondiya salimu kikeke so de mozambeq Napenda sana crown media😅😊😊😅😮
Mwendokasi haijakizi kabisaaaaa
BBC ndani ya CROWN MEDIA, Congratulations 😁👏👏
HII CHANEL IPO POSA SANA MWANDISHI UMEUPIGA MWINGI KEEP UP U DESERVE SUBSCRIPTION
Hongereni sana.. kipindi kimekaa vizuri
I appreciate this station
CROWN HAPA NI NYUMBANI 👑👑🎉🎉
Tuweke na train kama inawezekana watu wanazidi kuongzeka .
HONGERENI SANA CROWN MEDIA KWA HABARI YENYE UWAZI, PICHA ANGAVU NA SAUTI NZURI 👏👏👏👏
Positive news.
Crown media noma❤❤
Noma sana
BBC ya bongo...hongera Salim Kikeke kwa kuleta mapinduzi ktk sekta ya habari
❤❤
impressive
Mradi ukisimamiwa na watumishi wa umma shughuli imeisha. Utasikia changamoto na mchakato kila kukicha.
Kule kwengine utaskia Lokole kanyamba pamoja na mashalove😂
@user-qo5it1uc9m
3 күн бұрын
Hahahahahaha
Ase safi sana hadi namuona anaepiga pesa zake kwa kesh money mko vizuri kufatilia tabu anazo pitia mtanzania
Kubaliiii sanaaa Crown 👑tv and Fm
Safi
Aiseeeeee mwandishi wa habari. Kongole sanaaa nimeenjoy kuitazama hiii habari yako. INAVUTIA, INAELEWEKA VIZURI KABISAAA NA haichoshi kusikiliza haina makele mengi yaan iko kwa viwango vya kimataifa hongera sana crown media
Rais wa jamuhur ya muungano wa tz fanya kitu mama angu tunateseka sisi wenye maisha ya chini nunua Ata magari ya umeme
Uhondo huu ni kutoka Crown Media tu
🎉🎉
Dr. Mchunguzi ni safi sana forward thinking
Hii ndio Radio ya kweli sasa
Crown taifa
Camera za crown 📸
Wekeni miundombinu ya train za majini kuondoa ttz mabas pekee hayawez kuondoa ttz
Mwendo Kasi Bado sana
Safi sana mtupe vitu vya kueleweka sasa
Mwendo kasi inahitaji mwekezaji aweke gari za kutosha Dart wamefeli
Watalamu wetu wanatuangusha wanakula hela tu na Hakuna kununua Magari.
Mm sipandi tena mwendo Kasi, Bora Dala Dala, mambo Gani unasimama kituoni masaa zaidi ya 2 eti unasubiria mwendo Kasi, ni upuzi mtupu, mwendokasi imefeli sana ya xpress , Alf wao wanatukalisha ili tugombanie
Hapo mmetisha sana asante kwa kutufikia. Solution ni hiyo Magari yaongezwe na mfumo wanmalipo ubadilishwe kutatua taizo la mtu unafika kituoni unaambiwa chenji hamna
Habari bora kuwahi kutokea Tanzania
yote kwa yote grown mmetisha kaz nzuri
Mwekezaji yu wap ety...kama ameshindwa wamuondoe
Yaaan vitu vingine vinachekesha sana nipeni mimi kazi ya kusimamia nionyeshe mfan hiki kinachoendelea ni upuuzi
Crown media safi sana, king kiba
yap
Big up crown media
Magari machache sana
❤
Safiiii crown media
Imefeli siku nyingi sana kama serikali haipo
Media zingine zinasifisifia wakat mambi hayaendi sjawahi sikia taarifa hii kwenye media yeyote
👑 salute
Hata tren itakufa tu
Huy ndo therealtemedayoo❤❤#Crownhapani nyumbani
Safi sana
Temidayo kazi nzuri sana kaka
Huyo sijui ni mama au Shangai ni hovyo tu
Kama kawaida wanahabari igeni sasa kwa Kikeke ruksa kwasababu huwa hamjiongezi uongo mwingi na uchawa sasa hapa mkiiga ni vizuri.
Mwendo kasi wamechemka ni mateso tupu kwakweli,basi ni chache sana wawape Abood au Bm izo njia kila leo ni adithi izo izo..
Daaaaah safi saaaana
Watasikia?maana wakuu wetu kurekebishwa kwaovni Kero au ugomvi🙏🏿
Toka makambako Town hapa
Dar inahitaji pia kuwa metro yaanii zile treni za ardhini
🤔
Waturudishie daladala . Bajaji sh 5000 kutoka kariakoo mpaka mbezi .mwendokasi zinajaa unaweza fia ndani na magonjwa ya kuambukiza ukirudi
Aisee crown mumegusa kwenyewe mwendokasi ni majanga sana yaani shida tupu binafsi sipandagi magari hayo saiv
Hii hali ni uongo tu hakuna kitu hapo. bila kushirikisha watu binafsi hakuna kitu. kwenye hela hakuna cha uaminifu hapo.
Ni mradi wa Kwanza kufeli kutokana na kuwa na wateja wengi, dah! Hii inapatikana Tanzania tu
@user-ki9wu6no3d
14 сағат бұрын
Yaan hapo huu ni utakatishaj wa mradi kutok Kwa vigogo Wenye Daladal zao hapo mjini,Unadhan serikali haioni na Uhitaji wa mabasi WANAON Sana Sema mwend Kasi inauliwa na haohao wa serikal
Safi sanaa kikeke hy ndokazi ya kutatua changamoto ndotunayo itaka
Mm nahisi kikeke ana hisa hapo crown
Hapa ni nyumbani
Changamoto kubwa pia unakuta mpo kwenye vituo gari zikifika badala ya kupakia watu wanapaki magari sasa hapo ndio kupunguza au kuongeza tatizo kazi yao nikubeba abiria na huo ni mwendo kasi ukifika kituoni hautakiwi kupaki nikupakia na kuondoka cyo unapaki gari wakati abiria wamejazana kwenye vituo cyo sawa
Wamefeli ni usafiri mbovu Sana mm nauita usafiri wa kupeana marazi
Ni kweli wame fail unakaa 2hrs muda mwingine
Wanazingua tu