MWALIMU MAULANA ALIVYOMUUMBUA MWINJILISTI DANIEL MWANKEMWA ALIEDAI MUHAMMAD SWA SIO MTUME WA ALLAH.

Пікірлер: 83

  • @mimahmimah1595
    @mimahmimah15952 жыл бұрын

    Mm ni muislam Allah ndio mola wangu na Muhammad ni mtume wangu awe alirogwa au hakurogwa namuamini namkubali Allah anifishe nikiwa muislam🤲🏻

  • @meekman654
    @meekman6543 жыл бұрын

    Maulana nakukubali sana. Allah akujaalie umri mrefu wenye manufaa kwako na kwa umma Aamin.

  • @onetap8009
    @onetap80093 жыл бұрын

    Masha Allah Allah awahifadhi mashekhe wetu. Alhamdulillah kuzaliwa muislamu

  • @hamidanatu2834
    @hamidanatu2834 Жыл бұрын

    Namshukuru Allah kuzaliwa mwisilam Mimi na wazazi wangu

  • @meekman654
    @meekman6543 жыл бұрын

    Maashallah! Allah awabariki Wahadhiri wote Wakiislam wazidi kuendeleza Neno la ALLAH. (Aamin)

  • @happynesbaemuhappynes8813

    @happynesbaemuhappynes8813

    2 жыл бұрын

    Amiin Amiin Amiin

  • @chabunu3367
    @chabunu33673 жыл бұрын

    Raha si raha round hii mutaelewa tu uislamu ukiwepo basi hakuna dini yoyote inaweza kuwa juu ya uislamu hata siku moja

  • @jaffarslim6436
    @jaffarslim64363 жыл бұрын

    Tunajivunia kuwa waislam Allah utujaalie mwisho mwema amin

  • @aishadaba7045

    @aishadaba7045

    2 жыл бұрын

    Insha Allah Wat'Allah

  • @norregaraper5383
    @norregaraper53833 жыл бұрын

    Nafurahiya sana kuzaliwa katika uisilam ni neeema kubwa sana

  • @hashimmhashim2663
    @hashimmhashim26632 жыл бұрын

    Shukran kwa maustadhi wetu mungu awahifadhi

  • @costazia6507
    @costazia65072 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi Daniel Wahambie ukweli yesu ndie njia ya kweli na uzima 🙏🙏

  • @shuaibumsofe6292

    @shuaibumsofe6292

    2 жыл бұрын

    wakristo hebu jitathmin acheni ushabiki.

  • @allyhafidhshariff177

    @allyhafidhshariff177

    Жыл бұрын

    mmmh yani majitu inapotea unaimezea majibu lakini aieelewii ata ukiwaelekeza bado

  • @ammydaniel8947
    @ammydaniel89472 жыл бұрын

    Iman yako ndiyo itakayo kuponya! Dini haitakupeleka peponi bila kufany yampendezayo Mungu.

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak74182 жыл бұрын

    Mashaallah nawapenda masheikh wote kwa ajili ya Allah

  • @salimmohamed4919
    @salimmohamed4919 Жыл бұрын

    Njaa mbaya Sana huyu mchungaji hii ni kazi ya kutafutia rizki tu

  • @somojarso9614
    @somojarso96142 жыл бұрын

    Ma Sha Allah Ustadh kwa kazi ya kheiry..Allah awajalie mema na afya ili muendelee kupambana na wanafiki

  • @hashimmhashim2663
    @hashimmhashim26632 жыл бұрын

    حفظك الله يا مولانا

  • @khadijaiddi9422
    @khadijaiddi94223 жыл бұрын

    Alhamdulillah kuwa kuzaliwa muislam

  • @SwaabirMuhammad12
    @SwaabirMuhammad123 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78473 жыл бұрын

    Mashallah Allah

  • @kullumbakaduka5068
    @kullumbakaduka50682 жыл бұрын

    Islam is a true religion

  • @abubakaribati8602
    @abubakaribati86023 жыл бұрын

    Mashallah

  • @hamoodalrawahy2026
    @hamoodalrawahy20263 жыл бұрын

    WAPE UKWELI WA UISLAAM HUKO ULAYA WANAPO PATA MISAADA JINSI WANAVIO INGIA WISLAAM NA MWISHO WATAJIKUTA WA AFRICA PEKE YAO WAKRISTO

  • @babawawili3139
    @babawawili31393 жыл бұрын

    Raha wallahi

  • @mkasijuma8970
    @mkasijuma89702 жыл бұрын

    Waislam takbir

  • @maherzain615
    @maherzain6152 жыл бұрын

    Acheni mchezo na muhammad nyinyi.muhammad sio size yenu

  • @maherzain615

    @maherzain615

    2 жыл бұрын

    @@fadhilaongezaongeza226 hatujamzulia yesu sisi kama nyinyi kumuita mungu wanafiq nyinyi yesu hajasema ye ni mungu.

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k10 ай бұрын

    Huyu danieli anajielewa kweli hebu tuachie Muhamadi wetu Baki wewendio muongo maana unaogea vitu usivyo vielewa

  • @amurisabiti7037
    @amurisabiti70373 жыл бұрын

    Wewe hata uka tae muhamad ni mtume wa kweli

  • @mohmedchum8271
    @mohmedchum82713 жыл бұрын

    Masha allah

  • @haruniaisha5905
    @haruniaisha59058 ай бұрын

    Mbona mmemkata danieli mingemuacha amalize

  • @rjzion123
    @rjzion1232 жыл бұрын

    Which pr0phecy did muhamed prophecy and it came to pass

  • @rjzion123

    @rjzion123

    2 жыл бұрын

    Like jesus,Jeremy,isaiah

  • @wadimtwana7286
    @wadimtwana72863 жыл бұрын

    Uzima wako ndio unakufanya uwe na kiburi huwezi kutafrisi quran kama huna vitu visivyopungua vitatu ndugu jiangalie sana

  • @UswegeJohn-ov3ym
    @UswegeJohn-ov3ymАй бұрын

    Nimeamini kweli waislam ni mbumbumbu sana! Yaani aya zote hizo mlizosomewa na Mwl Daniel bado hamjaziona? Daniel amejikita katika chimbuko la huyo mtume wenu ,nyie mnasema wapi aya inasema Muhammad ni mtume wa uongo,kwani hayo maandiko mliyosomewa hamuoni kuwa yanamkataa Muhammad???

  • @mariajosejonasjonas
    @mariajosejonasjonas Жыл бұрын

    Tatizo shule waislam ndiomana hakili zime tekwa na shetani

  • @hassankipyego9712
    @hassankipyego97122 жыл бұрын

    Huyu daniel ni kichwa mbaya

  • @internationaldakimp3828
    @internationaldakimp38282 жыл бұрын

    mbona vipande vya kisabato havirushwe

  • @allymuhammad325
    @allymuhammad32529 күн бұрын

    Hii tulikuwa nchini msumbiji

  • @jotafungo4622
    @jotafungo46223 жыл бұрын

    Palma moja

  • @khamissalum9285
    @khamissalum92852 жыл бұрын

    Kamaneno haya hataka nimiiristo unasilimu tu kma hutakua mbishi

  • @shabanilugome9892
    @shabanilugome98923 жыл бұрын

    Nn t d

  • @jumashabani8474
    @jumashabani84743 жыл бұрын

    Hivi inakuaje kafiri anashika Quran tukufu hebu tuangalie hili waislamu.

  • @jumashabani8474

    @jumashabani8474

    2 жыл бұрын

    @@fadhilaongezaongeza226 Nipe ushahidi wa hilo

  • @lileoh3893
    @lileoh38932 жыл бұрын

    Nitabaki maka natenda madina

  • @mkasijuma8970
    @mkasijuma89702 жыл бұрын

    Yeni hawaa mikafiriii hatasijuii waekwee fungu lipiii 🤔🤔🤔🤔

  • @prettyaysha7892

    @prettyaysha7892

    2 жыл бұрын

    😂😂Fungu lakukosa maana wanakosa

  • @mkasijuma8970

    @mkasijuma8970

    2 жыл бұрын

    @@prettyaysha7892 😂

  • @allyhafidhshariff177

    @allyhafidhshariff177

    Жыл бұрын

    kabisa ata aielewii imekaa kama mizoga inamezewa majibu lkini imekaa kama mazombii

  • @mkasijuma8970

    @mkasijuma8970

    Жыл бұрын

    @@allyhafidhshariff177 Ubishii mwingii tu 🤔

  • @zaburi2386
    @zaburi23862 жыл бұрын

    Wahuni nyie mnaweka clip kwa msemaj wa kikristo mnakata anakuja msemaj wa kiislam mnaacha had mwisho na ukwel hautoondoka Muhammad alilogwa mtume wa mungu hawez kulogwa

  • @allyhafidhshariff177

    @allyhafidhshariff177

    Жыл бұрын

    na ww umeona wapi mungu anakufa !!! yesu c mungu wenu mbona kafa …

  • @charlesjoseph2092
    @charlesjoseph20923 жыл бұрын

    Huko nikutojiamini Kwanini mmekata kipande cha Mwalimu wa kikristo na huku alikua na Dkk 30??? Uislam bila Kubebwa hauwendi

  • @sharifjuma1220

    @sharifjuma1220

    3 жыл бұрын

    Nenda KATAFUTE kwa channel za wakristo kwani si wanarikodi.

  • @kishingokishingo1840

    @kishingokishingo1840

    3 жыл бұрын

    @@sharifjuma1220 tena wanavifaa vingi. Vya kurikodi ila wanashidwa kupost kwa sababu kila siku wanaumbuliwa na kushindwa hoja

  • @uuubfyfftyvcf4896

    @uuubfyfftyvcf4896

    3 жыл бұрын

    Christo uongo uislamu ni dini ya haki

  • @ibrahimbakari6017

    @ibrahimbakari6017

    3 жыл бұрын

    Wazungu kilasiku wanasilimu wewe Bado hujaamini kuwa makini ukweli umeuona inabidi uwe muisilamu dini yahaki ni uisilam

  • @charlesjoseph2092

    @charlesjoseph2092

    3 жыл бұрын

    @@ibrahimbakari6017 kwa hoja gani nisilimu?

Келесі