MVUTANO MKALI BUNGENI - SPIKA AHOJI BEI ya SUKARI - SHIGONGO - MATHAYO - MWIJAGE WATOA MAJIBU....

MVUTANO MKALI BUNGENI - SPIKA AHOJI BEI ya SUKARI - SHIGONGO - MATHAYO - MWIJAGE WATOA MAJIBU....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 53

  • @globaltv_online
    @globaltv_online26 күн бұрын

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @GervasGerasMashimba-zw3gn
    @GervasGerasMashimba-zw3gn26 күн бұрын

    Mpina alikuwa sahihi kabisa

  • @birianination7097

    @birianination7097

    26 күн бұрын

    Mpina alisema ton 120 zina tosha na hakuna haja ya ton za ziada, jambo ambalo sio sahihi

  • @kimwerihamza4152
    @kimwerihamza415225 күн бұрын

    Spika hao watu wako wezi sana na shangaa wtz wakipewa kapelo wanakuwa mazuzu na kuishi maisha ya dhiki kwa miaka mitano

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.267926 күн бұрын

    Daa mwijage😂😂😂. Niwaombe msifanye mzaha katika mambo ya msingi kama haya. Big up Spika tulia katika hili. Wananchi watazamwe sana kwa jicho la pekee.

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q26 күн бұрын

    Mimi naona kwenye sukari ni kama kuna kamchezo kinachezwa kwa akili nyingi sana

  • @DaudiMgallah
    @DaudiMgallah26 күн бұрын

    Hongera Sana Mh spika.🎉🎉

  • @festokemibala5832
    @festokemibala583226 күн бұрын

    Hawa jamaa ni wababaishaji, wanajadili kitu ambacho washindani wao hawawajui na wala gharama zao. Mkoa wa Kagera sukari sh.3,200 wakati dsm sukari leo nimwnunua sh.2,600/- kutoka sh.2800/ niliponunua mara ya mwisho trh 4/06

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud600125 күн бұрын

    Nyie haeni tu' Yana MWISHO hayo, mtapaona PACHUNGU hapo..!

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo26 күн бұрын

    Mpina ndio kichwa kwa sasa

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk25 күн бұрын

    Tanzania tutanunua sukari bei ya shs elf 4 ndio maisha ya mtanzania tunaumia saana

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie26 күн бұрын

    Hawa jamaa sijui walimsimamisha nini mpina wakat alikuwa sahihi, kuna mchezo unafanyika hapa

  • @birianination7097

    @birianination7097

    26 күн бұрын

    Mpina naye alipinga hifadhi ya sukari, hapa Tulia ndio yupo sawa

  • @migerajacob581
    @migerajacob58126 күн бұрын

    Bunge, mlimkata Mr mpina juu Kwa juu, ili msiumbuke,, Kuna masrahi ya wachache katika swala la sukari,

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps26 күн бұрын

    Hapo umenena spika

  • @joyceKingu
    @joyceKingu25 күн бұрын

    Uhifadhi wa sukari unatakiwa ufanyike kama mazao ya chakula mengine.

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta159726 күн бұрын

    Kwanini sukari IKO juu namna hii kwetu Hawa ni wezi sana wauza sukari Kwa sababu zipi

  • @gililwise
    @gililwise26 күн бұрын

    Machozi ya mpina yanaanza kuonekana mapemaaa.mnachoongea no ubabaishaji tu.Mpinaaa Mungu atakulinda na mabaya yote amina

  • @birianination7097

    @birianination7097

    26 күн бұрын

    Mpina alipinga haja ya kuongeza hifadhi, jambo ambalo sio sawa, Tulia ndio anaye toa wazo jema.

  • @lazaroandrew4371
    @lazaroandrew437123 күн бұрын

    Nina hofu sana juu ya mwekeo wa Bunge! Naliona bunge linalofanya uamuzi mzito sana bila kuiangalia na kulinda viwanda vya ndani.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba31326 күн бұрын

    Watanzania wezi lhaga mmemuonea bure

  • @joyceKingu
    @joyceKingu25 күн бұрын

    Wabunge tumieni elimu ya kiuchumi. Wataalamu wa chuo kikuu idara ya uchumi ihudishwe.

  • @aloycekomba1
    @aloycekomba126 күн бұрын

    Mwijage bhana😂😂 siasa nyingi ukwel kdg

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius179626 күн бұрын

    Huyu mwijage hana hakili

  • @kelvinfussi5210
    @kelvinfussi521026 күн бұрын

    Mbona mnakimbia mbali sana. Ulipaswa kuuliza sukari zanzibar ni bei gani?

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja834222 күн бұрын

    Tuliaa wakoseaa.....umetahayari..umemtoaa mpina Sasa waongeaa nini

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk26 күн бұрын

    Hao wbunge na kuwalipa kote mishahara mikubwa hawajui bei ya sukari duuuuh ni hatari sana

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    26 күн бұрын

    Hapa hakuna bunge kazi Yao ndiyooooooo na kugonga meza

  • @joyceKingu

    @joyceKingu

    25 күн бұрын

    Wabunge mnatuangusha. Kweli mnaweza kujadili kitu nyeti namna hii kwa kubuni na kutumia hisia. Naomba ifanyike Market research ya kitaalamu mpate scientific results ndio hiyo data mtumie kwenye majadiliano. Tumieni wataalamu wa market research kitengo cha agriculture chuo UNIVERSITY OF DARESALAM. Epukeni kutumia kamati za bunge tu kwa maamuzi mazito kama haya. Madam speaker tunakutegemea na tunakuamini . Fanya kazi nzuri.

  • @joyceKingu

    @joyceKingu

    25 күн бұрын

    Bei zinategemea supply na demand ya sugar sio maturity ya Kiwanda. Mwijage

  • @philemonkorio9867
    @philemonkorio986726 күн бұрын

    Kenya sukari kilo moja ni Tsh 2250.

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q26 күн бұрын

    kuna mchezo wa akili hapo

  • @GodfreyOsward

    @GodfreyOsward

    26 күн бұрын

    Jambo Kijinga,alibadiki kuwa, la akili.

  • @chajothobujotho5730
    @chajothobujotho573026 күн бұрын

    Shida kubwa tanzania nimakadilio ya kodi tanzania ulizeni viwanda vinalipaje cod ndio mtajua why sukari inakuajuu zaidi ya nchi zote jirani zetu

  • @Xnadtz
    @Xnadtz26 күн бұрын

    tanzania bei kua juu haina uhusiano na kodi?

  • @toshakisasi8331
    @toshakisasi833126 күн бұрын

    Aa tiuyaache tu tu Bongo hamna ukweli ni ujanja+tu

  • @Nedjadist
    @Nedjadist26 күн бұрын

    Nadhani tatizo la Tanzania na Afrika ni kujaribu kufuata mifumo iliyoachwa na wakoloni. Hakuna aliyejaribu kutafuta mfumo mbadala unaoendana na akili na tajriba za watu. Ndiyo yote haya.

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    26 күн бұрын

    Vinngozi wa Africa nikama sokwe hawanaga jipya kazi Yao wizi nakujinufaisha wao na familia zao

  • @jacobletema3681
    @jacobletema368126 күн бұрын

    Time will tell

  • @user-hb8er6dq2q
    @user-hb8er6dq2q26 күн бұрын

    Mstusumbuwe mnatwambia nn wakat mlisema mpna hamedanganya tutawanyoosha tu

  • @user-pp7ug2bc1y
    @user-pp7ug2bc1y26 күн бұрын

    Mswahili na porojo? Umeulizwa bei unaanza story ndefuuuuu

  • @bahatitumaini347
    @bahatitumaini34726 күн бұрын

    Mpina ndo habar ya mjini

  • @paschalmartin9598
    @paschalmartin959826 күн бұрын

    Sasa mpina alitolewa wa nini

  • @NanaMaembe
    @NanaMaembe26 күн бұрын

    NYINYI WA BUNGE MAFISADI ENDELEENI TU NA UPUMBAVU WENU WAKUWAUMIZA WANAINCH WA TZ KWA BEI YA SUKARI.

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri955826 күн бұрын

    Mwijage haha

  • @najalinanyambo3971
    @najalinanyambo397125 күн бұрын

    Sukari 5000

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo250226 күн бұрын

    Hivi kwanini serikali haitaki kujenga viwanda vya sukari???

  • @kakak1245

    @kakak1245

    26 күн бұрын

    Imejenga

  • @festokemibala5832

    @festokemibala5832

    26 күн бұрын

    Viwanda vipo ni Kagera, Mtibwa, TPC, Kilombero I& II, Bagamoyo na kingine kipo Morogoro kinamilikiwa na Magereza

  • @NixonJohnson-zn8nk

    @NixonJohnson-zn8nk

    26 күн бұрын

    Utapeli tu

  • @SADICKITHOMAS

    @SADICKITHOMAS

    26 күн бұрын

    Wakali wa donta

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg26 күн бұрын

    Kweli mbunge ni mpina tu mvutano wote mliovutana nao hapo ndo ukweli wa kuwa humo ndani wote ni bogazi kidogo mwijage ameonyesha usomi wake

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta159726 күн бұрын

    Dawa ni kuandamana hapa kama Kenya ndiyo mtanyooka wezi nyie

Келесі