Shukran sana kaka tupo vizur mdogo mdogo ndio mwendo,, kuna watu hawatokipenda unacho kifanya ila ss wengine tupo pamoja kaka tunafurahi tukiiyona zanzibar yetu hata kama ni kwenye you tube,, Allah akubaarik kaka.
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Ameen kwa sote na shukran kwa support.
@nurudinjafferji Жыл бұрын
I am amazed to see that Zanzibar has developed so well.
@f66_vortex952 жыл бұрын
Pole sana na kazi piya allah akufanyiye wepesi
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Ameen kwa sote Yaarab. Shukran
@jambo37512 жыл бұрын
Hongera sana bro...kuhusu mji ZANZIBAR bado sana. Sasa hivi ndio inaitwa JIJI la ZANZIBAR lakini ah! Kwanza mji haujapangika katika ule mfumo wa mipango miji urban plan na pili mji mchafu sana.. mitaro ikitibuka tafrani tupu. Sikuhizi naona kidogo wanajitahidi uzoaji taka angalau. Serikali ijitahidi sana kuhusu usafi hata ikiwa mji wetu haujajengwa kama miji ya wenzetu lakini tukijitahidi kwenye usafi mji wetu utavutia sana. Mji huu huu ikiwa majumba ya mji mkongwe na ya michezani yatafanyiwa ukarabati na kupakwa rangi mpya na mji ukawa safi mbona utavutia na tutaweza kuishinda miji ambayo imejengwa mijumba mirefu lakini michafu. Usafi ndio kipaumbele. USAFI KWANZA.
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Kitu muhimu wananchi pia tubadilike mambo ya kutupa tupa mitaka ovyo kila kona tuache na Serikali iandae mpango madhubuti wa kudhibiti hili na kuwaekea wananchi na wafanyabiashara maeneo maalum ya kukusanya taka zao.
@j.c.maxima816
2 жыл бұрын
Hahaha! Mwambieni Mama ajifunze kwa mtangulizi wake! Mzee alipoingia madarakani, siku hiyo hiyo, alianza mbinu zote za kujenga kwao, na alifanikiwa kubadilisha kijiji kuwa Jiji kwa dakika chache sana!!! 😆😆😆
@j.c.maxima816
2 жыл бұрын
Natamani kuiona Z'zbr ikiwa na look ya Mauritius Island, Seychelles Islands, Singapore (hasa SINGAPORE kwa sababu ule mpango mji wa Singapore ndio unaozingatia suala la growth of population)! Siku mmoja, Insh'Allah !
@salmsalmo931 Жыл бұрын
Kwetu nimekumis naiyona kwenye KZread zanzibar yetu lakin ipo siku nitaiona live yote maisha ahsante kwa kutuonesha zanzibar yetu sijui nikirud sitopotea
@discoverzanzibar
Жыл бұрын
Shukran sana na karibu tena nyumbani
@salmsalmo931
Жыл бұрын
@@discoverzanzibar ahsante
@ummtuma81372 жыл бұрын
Good job my dear
@f66_vortex952 жыл бұрын
Asante sana nimefurahi Nimeona Zanzibar yetu mzur mashallah
@ZanzibarKamiliTV2 жыл бұрын
Safi sana. Kazi nzuri. Tunaiona Zanzibar macho yanafurahi. Keep up the good work.
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Thank you.
@fatmasaid97652 жыл бұрын
Shukran jazaka Allah kheri nakutakia kila kheri katika shughuli zako ss wengine tunafurahi kuona mandhari ya kwetu maana miaka mingapi hatupo huko
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Shukran sana kwa support naelewa hakuna mafanikio bila changamoto
@shersaid79882 жыл бұрын
kazi nzuri tunafurahi kuona Znz.Allah akubariki.
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Ameen Shukran na ww
@dubzman58742 жыл бұрын
Great Video good for Zanzibar diaspora remind us of home. Thanks for upload.
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Thanks Brother
@aishaally66022 жыл бұрын
Tunaburudika vile hatujaja zenji sikunyingi lakini IN SHAA ALLAH home SWEET home
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Ndio nawatumia hizi msije mkapotea njia. Thanks for watching.
@nassorhaji26372 жыл бұрын
Kuko poa kabisa Alhamdulillah..Maashaallah..kazi inaendelea vzurii nakukubali mzee
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Shukran sana bro
@abdyleluu90512 жыл бұрын
Kazi nzuri
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Ahsante
@juangpusu93992 жыл бұрын
unguja pazuri
@talibmuhsin52212 жыл бұрын
Hii discovery Ina discover unguja TU Pemba haiyendi au Pemba sio Zanzibar
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Hahaha kwakweli inshaallah lengo ni Unguja na Pemba so soon mtaanza kuona za Chake Mkoani Wete konde nk
@fatmasaid97652 жыл бұрын
Lakini leo mbona hukuandika hapa ni na hapa wapi
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
duh kwakweli kichwa kina mengi lakini hayo maeneo maarufu Michenzani Mall na Mlendege na Magorofa yale mapya ya ZSSF Kijangwani.
@amanrashid70612 жыл бұрын
Now Zanzibar is looking like India
@jumamohamed3168
2 жыл бұрын
Sio kweli.
@j.c.maxima816
2 жыл бұрын
Tunataka iwe na look ya Seychelles, Mauritius, Singapore!
@saidmohamed46192 жыл бұрын
Keep.doing what you do man, usiwasikilize watu wajinga km noffel...
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Thanks brother
@noffelsalim8302 жыл бұрын
Ww unaechukua vidio hizi ukiwa huna la kufanya kazi yako ni kufanya usenge tu,ushamba tu
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Ahsante kwa comment nilijua tu mtatokea watu kama ww.
@oscarezekiel1826
2 жыл бұрын
@@discoverzanzibar Nivyema ukablock hio mbuzi
@innocentman5954
2 жыл бұрын
@@discoverzanzibar yeah watu fedhuli wapo kila sehem na kwenye mitandao hutowakosa..by the way thanks for great job bro!
Пікірлер: 45
Shukran sana kaka tupo vizur mdogo mdogo ndio mwendo,, kuna watu hawatokipenda unacho kifanya ila ss wengine tupo pamoja kaka tunafurahi tukiiyona zanzibar yetu hata kama ni kwenye you tube,, Allah akubaarik kaka.
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Ameen kwa sote na shukran kwa support.
I am amazed to see that Zanzibar has developed so well.
Pole sana na kazi piya allah akufanyiye wepesi
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Ameen kwa sote Yaarab. Shukran
Hongera sana bro...kuhusu mji ZANZIBAR bado sana. Sasa hivi ndio inaitwa JIJI la ZANZIBAR lakini ah! Kwanza mji haujapangika katika ule mfumo wa mipango miji urban plan na pili mji mchafu sana.. mitaro ikitibuka tafrani tupu. Sikuhizi naona kidogo wanajitahidi uzoaji taka angalau. Serikali ijitahidi sana kuhusu usafi hata ikiwa mji wetu haujajengwa kama miji ya wenzetu lakini tukijitahidi kwenye usafi mji wetu utavutia sana. Mji huu huu ikiwa majumba ya mji mkongwe na ya michezani yatafanyiwa ukarabati na kupakwa rangi mpya na mji ukawa safi mbona utavutia na tutaweza kuishinda miji ambayo imejengwa mijumba mirefu lakini michafu. Usafi ndio kipaumbele. USAFI KWANZA.
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Kitu muhimu wananchi pia tubadilike mambo ya kutupa tupa mitaka ovyo kila kona tuache na Serikali iandae mpango madhubuti wa kudhibiti hili na kuwaekea wananchi na wafanyabiashara maeneo maalum ya kukusanya taka zao.
@j.c.maxima816
2 жыл бұрын
Hahaha! Mwambieni Mama ajifunze kwa mtangulizi wake! Mzee alipoingia madarakani, siku hiyo hiyo, alianza mbinu zote za kujenga kwao, na alifanikiwa kubadilisha kijiji kuwa Jiji kwa dakika chache sana!!! 😆😆😆
@j.c.maxima816
2 жыл бұрын
Natamani kuiona Z'zbr ikiwa na look ya Mauritius Island, Seychelles Islands, Singapore (hasa SINGAPORE kwa sababu ule mpango mji wa Singapore ndio unaozingatia suala la growth of population)! Siku mmoja, Insh'Allah !
Kwetu nimekumis naiyona kwenye KZread zanzibar yetu lakin ipo siku nitaiona live yote maisha ahsante kwa kutuonesha zanzibar yetu sijui nikirud sitopotea
@discoverzanzibar
Жыл бұрын
Shukran sana na karibu tena nyumbani
@salmsalmo931
Жыл бұрын
@@discoverzanzibar ahsante
Good job my dear
Asante sana nimefurahi Nimeona Zanzibar yetu mzur mashallah
Safi sana. Kazi nzuri. Tunaiona Zanzibar macho yanafurahi. Keep up the good work.
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Thank you.
Shukran jazaka Allah kheri nakutakia kila kheri katika shughuli zako ss wengine tunafurahi kuona mandhari ya kwetu maana miaka mingapi hatupo huko
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Shukran sana kwa support naelewa hakuna mafanikio bila changamoto
kazi nzuri tunafurahi kuona Znz.Allah akubariki.
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Ameen Shukran na ww
Great Video good for Zanzibar diaspora remind us of home. Thanks for upload.
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Thanks Brother
Tunaburudika vile hatujaja zenji sikunyingi lakini IN SHAA ALLAH home SWEET home
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Ndio nawatumia hizi msije mkapotea njia. Thanks for watching.
Kuko poa kabisa Alhamdulillah..Maashaallah..kazi inaendelea vzurii nakukubali mzee
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Shukran sana bro
Kazi nzuri
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Ahsante
unguja pazuri
Hii discovery Ina discover unguja TU Pemba haiyendi au Pemba sio Zanzibar
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Hahaha kwakweli inshaallah lengo ni Unguja na Pemba so soon mtaanza kuona za Chake Mkoani Wete konde nk
Lakini leo mbona hukuandika hapa ni na hapa wapi
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
duh kwakweli kichwa kina mengi lakini hayo maeneo maarufu Michenzani Mall na Mlendege na Magorofa yale mapya ya ZSSF Kijangwani.
Now Zanzibar is looking like India
@jumamohamed3168
2 жыл бұрын
Sio kweli.
@j.c.maxima816
2 жыл бұрын
Tunataka iwe na look ya Seychelles, Mauritius, Singapore!
Keep.doing what you do man, usiwasikilize watu wajinga km noffel...
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Thanks brother
Ww unaechukua vidio hizi ukiwa huna la kufanya kazi yako ni kufanya usenge tu,ushamba tu
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
Ahsante kwa comment nilijua tu mtatokea watu kama ww.
@oscarezekiel1826
2 жыл бұрын
@@discoverzanzibar Nivyema ukablock hio mbuzi
@innocentman5954
2 жыл бұрын
@@discoverzanzibar yeah watu fedhuli wapo kila sehem na kwenye mitandao hutowakosa..by the way thanks for great job bro!
@discoverzanzibar
2 жыл бұрын
@@innocentman5954 Thank you for the support bro.
@talibmuhsin5221
2 жыл бұрын
C mzanzibar uyo mukiona ivo