Ustadh makame kombo Awatoa machozi Masheikh wakubwa kwa ladha nzuri ya Dhikri

Пікірлер: 177

  • @abamohamed7092
    @abamohamed7092 Жыл бұрын

    Dhikri saadiyah Masha Allah mwenyezimungu awarahamu masheikh zetu waliotangulia mbele ya haki na murid wote waliotangulia mbele ya haki,nasi atujaalie kila la kheir na atuepushe kwa kila lililobaya insha allah

  • @rashidabuu9406
    @rashidabuu9406 Жыл бұрын

    Mashaallah ujumbe mzuri sanaa mungu azidi kuwabariki na kuutangaza uislam kwa dhikri

  • @user-gi3mp8nf2v
    @user-gi3mp8nf2v Жыл бұрын

    Mashaallah mashaallah Allah awap kipaj zaid ❤

  • @habibumadege8187
    @habibumadege8187 Жыл бұрын

    Maashaa allaah, jamani naombeni mtutumie ile dhikri ya zamani inayosema sakaral mauti fanyeni mututumie kama mnayo japo ya audio , zaman nilikuwa naisikia kwenye Redio sauti ya tanzania zanzibar

  • @jamalselemani9624
    @jamalselemani9624 Жыл бұрын

    Mashaanlah Allah awajaze kila lakheri inshaanlah

  • @abamohamed7092
    @abamohamed7092 Жыл бұрын

    Insha Allah siku Moja Allah swt anijaalie kuikanyaga ardhi ya kisiwa Cha tumbatu nikawatembelee ndugu zangu hawa wa qadiriyyah,

  • @salummakame2617
    @salummakame26174 ай бұрын

    Mashallah Allah awape nguvu mashehe wetu na umri mrefu

  • @user-qo4mm8hl4u
    @user-qo4mm8hl4u4 ай бұрын

    Lete vit maasha Allah ❤

  • @murshidjaffer2023
    @murshidjaffer2023 Жыл бұрын

    قال الله تعالى ﴿الَّذينَ آمَنوا وَتَطمَئِنُّ قُلوبُهُم بِذِكرِ اللَّهِ أَلا بِذِكرِ اللَّهِ تَطمَئِنُّ القُلوبُ﴾ [Ar-Ra‘d: 28]

  • @habibhassan1960
    @habibhassan1960 Жыл бұрын

    Mashaa Allah.....🇹🇿✅

  • @Mawazobrand

    @Mawazobrand

    Жыл бұрын

    Shukran

  • @mageh8655
    @mageh8655 Жыл бұрын

    mashaallah mashaallah mashaallah

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g Жыл бұрын

    ما شآء الله ! هذا من جملة وسائل الترفيه،،،، أظنه من مسلمي حجزائر تومباتوا! تصححوني إن خطأت🙏 اللهم صل وسلم وبارك على نبينا وحبيبنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين

  • @Mawazobrand

    @Mawazobrand

    Жыл бұрын

    Shukran

  • @BakariAlly-ke7ii
    @BakariAlly-ke7ii Жыл бұрын

    Masha Allah tabaraka Allah

  • @user-kf6wo6yt4f
    @user-kf6wo6yt4f Жыл бұрын

    ❤❤❤❤maashaa allah idhikri ni mzuri sana❤❤❤❤

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 Жыл бұрын

    Mashaallah mashaallah napenda dhiqr

  • @Jumaashaban

    @Jumaashaban

    9 ай бұрын

    Nitumie namba zako❤

  • @Mawazobrand

    @Mawazobrand

    9 ай бұрын

    0622467152

  • @OmarMbayayi
    @OmarMbayayi6 ай бұрын

    mashallah Allah awabariki

  • @YusuphAlly-dd6rw
    @YusuphAlly-dd6rw Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @user-ep3zd4up3z
    @user-ep3zd4up3z Жыл бұрын

    Mashaa Allah

  • @SaadAli-jv7zq
    @SaadAli-jv7zq Жыл бұрын

    Mashaallah fundi

  • @mahmudahmad5369
    @mahmudahmad536910 ай бұрын

    Mashalla allha awabariki

  • @KhamisAwesiAbdalla-of4no
    @KhamisAwesiAbdalla-of4no3 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @shehajuma4978
    @shehajuma4978 Жыл бұрын

    Tuache ushabiki kutoa kasoro y masaala y dini,kikubwa tusomeni tupate uyakinifu(TAALUMA)

  • @user-xm7pg6ug8o
    @user-xm7pg6ug8o4 ай бұрын

    Masha Allah

  • @abuuayoubayoub9260
    @abuuayoubayoub9260 Жыл бұрын

    نعرف الرجال بالحق ولا نعرف الحق بالرجال Wale walopiga magoti kwa mashekhe zao wakelewa basi watakuwa wamenielewa

  • @UmmYusrah1
    @UmmYusrah110 ай бұрын

    Khutba ya kutosha MashaAllah

  • @MohamediKilimila
    @MohamediKilimila10 ай бұрын

    Mash allah

  • @rahmahmuhenda3736
    @rahmahmuhenda3736 Жыл бұрын

    Subhannallah

  • @Mawazobrand

    @Mawazobrand

    Жыл бұрын

    Kwann

  • @tifu678

    @tifu678

    9 ай бұрын

    @@Mawazobrand Kwa sababu huu ni upotofu wa hali ya juu. Hii si dini ya uislamu wala ishara ya kumkumbuka mola azzawajal. Ibada haina ngoma wala dansi na kuhema kama mwenda wazimu. Fanyeni tauba ndugu zangu na mufuate mwendo wa Nabii Muhammad kama tulivyoelezwa katika hadeeth. Yote mengine ni uzushi na kuchafua dini ya haki.

  • @jakuabdull34

    @jakuabdull34

    9 ай бұрын

    @@tifu678 si zani kama unaelimu kiwango cha kutoa fatwa ndugu yangu tupambane na wasioamini nawwfanya unayoyaamini

  • @MubarakSaidy-pz9mu
    @MubarakSaidy-pz9mu8 ай бұрын

    Gooood

  • @hilalskach6205
    @hilalskach6205 Жыл бұрын

    Mashallah ❤

  • @lilianhigilo2527
    @lilianhigilo2527 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @Halima-zx4pg
    @Halima-zx4pg Жыл бұрын

    ❤❤❤

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 Жыл бұрын

    ماشاالله

  • @KhamisAwesiAbdalla-of4no
    @KhamisAwesiAbdalla-of4no4 ай бұрын

    Utamu umezid wallah

  • @mgeniali2856
    @mgeniali2856 Жыл бұрын

    Ewe Mola wetu tuelekeze kuliko ndiko

  • @baryus7
    @baryus75 ай бұрын

    Eti na hii nayo inaitwa dhikr.... ههه ههه ههه

  • @athmanustadh9239
    @athmanustadh92394 ай бұрын

    Makame wewe Lete raha

  • @bahozisaidiradjab4902
    @bahozisaidiradjab4902 Жыл бұрын

    Acheni uzishi jameni...uislam umekamilika

  • @azizayussuf9324

    @azizayussuf9324

    Жыл бұрын

  • @ShomariShukuru-kh2uz
    @ShomariShukuru-kh2uz Жыл бұрын

    Rahaa sana mungu azidi wa bariki

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Жыл бұрын

    MASHAA Allah

  • @Mawazobrand

    @Mawazobrand

    Жыл бұрын

    Shukran

  • @abdulfattaahnassir8266
    @abdulfattaahnassir8266 Жыл бұрын

    لاإله إلا الله ما اسرع هلكاتكم يا أمة محمد تحدثون في دين الله إن البدع شر وبلاء وأي بلاء, ومصيبا وأي مصييا, والله لن تفلحوا حتى تتوبوا الى ربكم فقد حذرناالنبى صلى الله عليه وسلم من البدع أشد تحذير فالبدع نهايتها الى النار والعياذ بالله

  • @abdulfattaahnassir8266

    @abdulfattaahnassir8266

    Жыл бұрын

    خسارة وأي خسارة البدع شرها عظيم

  • @rashidabuu9406
    @rashidabuu9406 Жыл бұрын

    Nadhira ujumbe huo uloutoa sio wa mwanadin kulaan watu mungu akusameh nataman ningepata namba yako nikuelimishe na uwe mke wangu kama una ndoa

  • @hashimsalum5687

    @hashimsalum5687

    Жыл бұрын

    Kwani umeambiw uyo nadhir ni mwanamke? Au unahangaishwa na shahwa tu

  • @tifu678
    @tifu6789 ай бұрын

    Huu ni upotofu wa hali ya juu. Hii si dini ya uislamu wala ishara ya kumkumbuka mola azzawajal. Ibada haina ngoma wala dansi na kuhema kama mwenda wazimu. Fanyeni tauba ndugu zangu na mufuate mwendo wa Nabii Muhammad kama tulivyoelezwa katika hadeeth. Yote mengine ni uzushi na kuchafua dini ya haki.

  • @BimGeni
    @BimGeni11 ай бұрын

    😅

  • @hamadifaki9827
    @hamadifaki9827 Жыл бұрын

    Saf

  • @Mawazobrand

    @Mawazobrand

    Жыл бұрын

    Shkran

  • @shadhirimaalim9739

    @shadhirimaalim9739

    Жыл бұрын

    Safi mini UKu ni kuudhalilisha uslamu wetu msafi

  • @simbillamachiyya

    @simbillamachiyya

    Жыл бұрын

    @@shadhirimaalim9739 Imamu Mahdi amekuja kuondoa ikhitilaaf Kati ya waislam, na kuvunja msalaba, msihangaike bure!!!!

  • @naufaljamal3089
    @naufaljamal3089 Жыл бұрын

    Jamn hii ibada inatoka kwa Mtume gani

  • @oklahommy9838
    @oklahommy9838 Жыл бұрын

    Hii ni shirk tuu hamna lolote hapa

  • @BakariAlly-ke7ii

    @BakariAlly-ke7ii

    Жыл бұрын

    Ni kwako upo kama mwanga

  • @saidkhamisi9592
    @saidkhamisi9592 Жыл бұрын

    Hakuna dhikri hapo wallahi haya hakuyafundisha Mtume swalallahu alaihi wasalam .....Masufi wamezusha mambo mengi ambayo hayakufundishwa na Uislamu

  • @lilianmakwati5228

    @lilianmakwati5228

    Жыл бұрын

    Je kutumia KZread ni Sunnah?

  • @BakariAlly-ke7ii

    @BakariAlly-ke7ii

    Жыл бұрын

    Pita kule

  • @bilalikaoneka5080
    @bilalikaoneka5080 Жыл бұрын

    Mnaopinga .. kwan kuimba ni haramu??

  • @mohdhajihaji
    @mohdhajihaji Жыл бұрын

    sikiliza ujumbe tu ndugu yangu ni sahihi au la halafu uhukumu jinsi ulivyowasilishwa kwa hadhira

  • @azizayussuf9324
    @azizayussuf9324 Жыл бұрын

    Hakika hii sio zikir....hivyo diyo bidaaa...dhikiri ni kumtaja mungu subhana alllah...ama hiyo ni kufuru...jamani nakuomeni muacheni hii ni kuchukuwa mazabi...mungu anashuhudiya niliyaandika

  • @BakariAlly-ke7ii

    @BakariAlly-ke7ii

    Жыл бұрын

    Kwenda zako hujui chochote ww ulitaka waimbe taarabu

  • @mbwnanyuki-gg1ot
    @mbwnanyuki-gg1ot Жыл бұрын

    Mwalim nawez kupat mawasiliano yake

  • @Mawazobrand

    @Mawazobrand

    Жыл бұрын

    Utapata inshaallah

  • @alijabiri9879

    @alijabiri9879

    Жыл бұрын

    Mwalimu yupi unahitaji no zake?

  • @alijabiri9879

    @alijabiri9879

    Жыл бұрын

    Mwalimu yupi unahitaji no zake?

  • @OMAR-se6rb
    @OMAR-se6rb Жыл бұрын

    Eti dhikiri 😁hamuna adabu kweli mwafikiri mtume (SAW) kaacha kitu

  • @lilianmakwati5228

    @lilianmakwati5228

    Жыл бұрын

    Acha kiburi

  • @zahorsalum4976

    @zahorsalum4976

    Жыл бұрын

    Ww hujasoma Hilo ndotatizo lako mtu alosoma hawezi kutusi watu kasome ww

  • @BakariAlly-ke7ii

    @BakariAlly-ke7ii

    Жыл бұрын

    Acha upumbav wew ulitaka waimbe singeli hii tunafikishiwa ujumbe mzur

  • @nanahakiim4810
    @nanahakiim4810 Жыл бұрын

    كل محدثت بدعة وكل بدعة ضلالة وكل ضلالة في النار

  • @nanahakiim4810

    @nanahakiim4810

    Жыл бұрын

    Allah atuongoze sisi na wenzentu maskini

  • @omaryramdhani9823

    @omaryramdhani9823

    Жыл бұрын

    Waambie hao mawahabi wenzio wasojua kusoma Kama wewe,rudini mkazidi kulishwa vitango pori huko suudia mnapo pewa pesa

  • @adamsamata8754

    @adamsamata8754

    Жыл бұрын

    ما كل بدعة ضلالة في بدعة حسن

  • @muktarkassim6647

    @muktarkassim6647

    Жыл бұрын

    Wee pia ni bida'a utaingia motoni na ikiwa lugha huelew nyamaza

  • @mswakisaid2320

    @mswakisaid2320

    Жыл бұрын

    Umekaririshwa wewe😀wenzio wameisoma كل na wakaielewa.Nenda na wewe ukasomeshwe كل tu! Maana hapo ndiyo inayo kutia taabu. Ukielewa utaheshimu tu. Maana wewe umesomeshwa hiyo Hadith lakini hujafahamishwa kwa fani. Hivi kweli watu wote hao hapo wakusanyikie lisofaa? Kesha wewe pekeo ndiyo uwe umeelewa sana hiyo Hadith? Mtume asema? Umati wangu haukusanyiki juu ya upotevu!!!. Uko wapi wewe na mkusanyiko huu? Huu ujumbe unaotolewa ni mkubwa sana uchukue. Muhimu ni kusoma tu kila kitu ndiyo hukaa sawa sawa. Mungu atujaalie Elimu na Ufahamu.

  • @swah555suhayl8
    @swah555suhayl8 Жыл бұрын

    Naona kiupande wangu dhikkir inafaa na c ktk shirk

  • @abdillahhashim7127

    @abdillahhashim7127

    Жыл бұрын

    Dini sio maoni bali ni dalili za kisheria

  • @alijabiri9879

    @alijabiri9879

    10 ай бұрын

    Dhikri ina faaa, tena ALLAH S W, ametusisitiza tumtaje sana,, na vile vile tumsalie MTUME MUHHAMAD S A W sana,, Tatizo ufahamu ,, Kila mmoja wetu ana ufahamu wake,, Kwa mujibu wa alivosomeshwa.

  • @muhamadberhe

    @muhamadberhe

    8 ай бұрын

    @@alijabiri9879 kwani Kuna aliyekuambia dhikr ni haraam mutwlaq,Bali hiyo dhikiri ya kukohoa hakuna ktk dini yetu hii

  • @abdulahmahamed3790
    @abdulahmahamed3790 Жыл бұрын

    Watajuta siku ya kiyama wasipotubu

  • @jumatano242

    @jumatano242

    Жыл бұрын

    Ww una uhakika unapatia ??

  • @najmaawadh1359

    @najmaawadh1359

    Жыл бұрын

    @@jumatano242 namshangaa .yaani wajifanya wapo xhihiii .hayo ya kukutana na watt wawatu kuwashka matiti yafaa ni girlfriend wake washenzi na mengii tu wayafanya lkni hawayaini kwamba ni haramu

  • @BakariAlly-ke7ii

    @BakariAlly-ke7ii

    Жыл бұрын

    Wa kwanza niwewe huna lolot

  • @athumaninchula2299
    @athumaninchula2299 Жыл бұрын

    Kama bado hujaichimba elimu huruhusiwi kukoment jambo usilolijua undani wake utapata laana za bure urukwe na akili bila kujijua

  • @alijabiri9879

    @alijabiri9879

    Жыл бұрын

    Sio kweli, kukoment ni hhaki ya Kila anaesoma post,, kikubwa asitukane

  • @alijabiri9879

    @alijabiri9879

    Жыл бұрын

    Sio kweli, kukoment ni hhaki ya Kila anaesoma post,, kikubwa asitukane

  • @alijabiri9879

    @alijabiri9879

    10 ай бұрын

    Elimu ni Bahari pana yenye kina kisicho na mwisho sheikhe wangu,, watu wengi wamesoma na hao hao wanatafautiana ufahamu wao,, kwaio usimdharau mtu na kumuona hajasoma , kisa tu hajafanana na ufahamu wako.

  • @nadhiralfane8875
    @nadhiralfane8875 Жыл бұрын

    Wanafiki wa Uislamu, mmelaaniwa. Badala ya kusoma ukweli kwa ajili ya ukweli, unazusha ibada za kishetani kusema zinatoka kwa Mwenyezi Mungu

  • @suleimanabdallah5563

    @suleimanabdallah5563

    Жыл бұрын

    mmhhh unatoa hukumu unaingilia kazi ya Mungu unaweza kutoa ushahid wa hiyo laana au

  • @allyal-sharawymwadini3111

    @allyal-sharawymwadini3111

    Жыл бұрын

    Tupe elimu yako wewe mja wa laana uloaza kulaniwa ndani ya tumbo la mama yo ndo ukaweza kuwa lani wengine

  • @jumaamohamed4203

    @jumaamohamed4203

    Жыл бұрын

    Wewe ndio umelaaniwa soma babu elimu huna then unahukum watu !!! Soma mzee utajua

  • @ismailjuma3692

    @ismailjuma3692

    Жыл бұрын

    wacha ujinga

  • @azamomar9920

    @azamomar9920

    Жыл бұрын

    @Jumaa Mohamed. Wewe ulosoma twambie hizo dhikri katufundisha mtume gani? njoo na ushahidi kutoka ndani Qur ‘aan na hadithi za mtume Muhammad s.a.w huo ndo muongozo wa Muislaam. Tufundishe kwaajili yafaida kwetu sisi Waislaam ili nasisi tuyanoe makoo yetu tuanze kukohoa mpaka damu. Pindi tutakapo jua ukweli.

  • @shadhirimaalim9739
    @shadhirimaalim9739 Жыл бұрын

    Ivi ndugu zangu kuna tofauti Kati ya ili Jambo na lile la waganga WA kienyeji

  • @Mawazobrand

    @Mawazobrand

    Жыл бұрын

    Ndio tafaut kubwa ipo sana

  • @shadhirimaalim9739

    @shadhirimaalim9739

    Жыл бұрын

    Lete iyo tofauti

  • @alawikihema8676

    @alawikihema8676

    Жыл бұрын

    Innamal A'maal binniat

  • @mwinyirama2751

    @mwinyirama2751

    Жыл бұрын

    Wengi wao katika hawa huwa ni waganga

  • @Mawazobrand

    @Mawazobrand

    Жыл бұрын

    Una ushahid gan

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Жыл бұрын

    Haya mambo mtume wetu SAW hajayafanya. Masahaba zake hawajayafanya, sijui yameibukia wapi. Naona kama hayamo katika uisilamu. Wajuzi mtujuze tujuzike.

  • @idarous09

    @idarous09

    Жыл бұрын

    kwani ubaya gani au umeona anakashifiwa mungu mtume na masahaba wake na uislam pia hebu sikiliza kinachosemwa than ndio utoe neno musiwe munataka kuharamisha kila kitu

  • @Ali-nl2du

    @Ali-nl2du

    Жыл бұрын

    @@idarous09 Assalaam alaykum akhy. Mie nauliza tu nipate kuelimika. Sina uwezo wa kuharamisha wala kuhalalisha. Elimu yangu khafifu inanambia kuwa uislamu Allah aliukamilisha mwenyewe. Kwa kupitia kitabu chake na mtume wake SAW. Ndio nataka kujua hizi ibada za ziada zimetokea wapi?

  • @yasinomary2147

    @yasinomary2147

    Жыл бұрын

    Kama huu ni uzushi bas uzushi sasa umetamalaki,haya mtume hakufanya,pia mashindano ya kuhifadhi qur aan ni uzushi maana mtume hakufanya!uislam mpya uliozuka miaka ya90 pia mtume hajauridhia na hakufanya.uislam mpya namaanisha uzushi wa mwezi wa kimataifa,nchi Moja Baba anaswali idd leo Mama anaswali idd kesho,dini hii ya mwezi wa kimataifa mtume pia hajakuwa nayo kwahyo ni bid aa

  • @yasinomary2147

    @yasinomary2147

    Жыл бұрын

    @@Ali-nl2du hata dini ya mwezi wa kimataifa mtume hakufanya,watu walifunga kwa kufuata matlay ya huko walipo, lakin xilipokuja television na cm,hapo ukazuka uislam mpya miaka ya90,hata mashindano ya kuhifadhi qur aan mtume hakufanya kwahyo pia ni uzushi,wajuzi mtujuze jaman huu uzushi wa mashindano ya kuhifadhi qur aan ibada hii imetoka wapi????na ibada ya kufunga kwa kuifuata saudia imetoka wapi? maana ibada hii imezuka miaka ya

  • @Ali-nl2du

    @Ali-nl2du

    Жыл бұрын

    @@yasinomary2147 Assalaam alaykum akhy. Asante sana kwa kunielimisha. Lengo langu ni kujua tu akhy. Hayo uliyoyataja tujaalie ni uzushi, je hii inakuwa sababu ya kuhalalisha dhikri kama hizi? Maana itakuwa uzushi mmoja unahalalisha uzushi mwengine. Basi si ingekuwa bora tuyawache yote tu, au vipi? Turejee kwenye dini ya Allah kama ilivyokuja kupitia kwa mtume wake SAW.

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 Жыл бұрын

    Hii ni ibada au wanajifurahisha tu?

  • @Mawazobrand

    @Mawazobrand

    Жыл бұрын

    Kujfrahsha kwa kumsalia mtume (s.w.a) nijambo zur

  • @arunamusli504

    @arunamusli504

    Жыл бұрын

    Elimu yako ni ndogo wewe :::::: sheikh hauwezi kuelewa kitu tuwachie sisi wenyewe

  • @alijabiri9879

    @alijabiri9879

    Жыл бұрын

    Waulize waliosoma masheikh na maostadh sio wapiga porojo,

  • @alijabiri9879

    @alijabiri9879

    Жыл бұрын

    Utavo ona ndo ivo ivotu.

  • @alijabiri9879

    @alijabiri9879

    Жыл бұрын

    Utavo ona ndo ivo ivotu.

  • @hanzwala9704
    @hanzwala9704 Жыл бұрын

    Mashaallah

  • @micheweni
    @micheweni Жыл бұрын

    Mashallah

  • @Mawazobrand

    @Mawazobrand

    Жыл бұрын

    Shukran

  • @suleimanabdallah5563

    @suleimanabdallah5563

    Жыл бұрын

    mnaosema hayafai Kaeni bora mkemee miziki inawezekana watoto wenu wapo waoimba Mziki ila nmekaa kimyaaaa

  • @abullazzsuleman2051

    @abullazzsuleman2051

    Жыл бұрын

    Maswahaba wamefanyahiv

  • @abullazzsuleman2051

    @abullazzsuleman2051

    Жыл бұрын

    Uwislam tunauchukuwa kwanan 2spendeku kufuta ki2kamanz

  • @ibrahimzubeir4649
    @ibrahimzubeir4649 Жыл бұрын

    Mashaallah