Ustadh makame kombo Awatoa machozi Masheikh wakubwa kwa ladha nzuri ya Dhikri
Жүктеу.....
Пікірлер: 177
@abamohamed7092 Жыл бұрын
Dhikri saadiyah Masha Allah mwenyezimungu awarahamu masheikh zetu waliotangulia mbele ya haki na murid wote waliotangulia mbele ya haki,nasi atujaalie kila la kheir na atuepushe kwa kila lililobaya insha allah
@rashidabuu9406 Жыл бұрын
Mashaallah ujumbe mzuri sanaa mungu azidi kuwabariki na kuutangaza uislam kwa dhikri
@user-gi3mp8nf2v Жыл бұрын
Mashaallah mashaallah Allah awap kipaj zaid ❤
@habibumadege8187 Жыл бұрын
Maashaa allaah, jamani naombeni mtutumie ile dhikri ya zamani inayosema sakaral mauti fanyeni mututumie kama mnayo japo ya audio , zaman nilikuwa naisikia kwenye Redio sauti ya tanzania zanzibar
@jamalselemani9624 Жыл бұрын
Mashaanlah Allah awajaze kila lakheri inshaanlah
@abamohamed7092 Жыл бұрын
Insha Allah siku Moja Allah swt anijaalie kuikanyaga ardhi ya kisiwa Cha tumbatu nikawatembelee ndugu zangu hawa wa qadiriyyah,
@salummakame26174 ай бұрын
Mashallah Allah awape nguvu mashehe wetu na umri mrefu
@user-qo4mm8hl4u4 ай бұрын
Lete vit maasha Allah ❤
@murshidjaffer2023 Жыл бұрын
قال الله تعالى ﴿الَّذينَ آمَنوا وَتَطمَئِنُّ قُلوبُهُم بِذِكرِ اللَّهِ أَلا بِذِكرِ اللَّهِ تَطمَئِنُّ القُلوبُ﴾ [Ar-Ra‘d: 28]
@habibhassan1960 Жыл бұрын
Mashaa Allah.....🇹🇿✅
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Shukran
@mageh8655 Жыл бұрын
mashaallah mashaallah mashaallah
@user-hb8vi9fx6g Жыл бұрын
ما شآء الله ! هذا من جملة وسائل الترفيه،،،، أظنه من مسلمي حجزائر تومباتوا! تصححوني إن خطأت🙏 اللهم صل وسلم وبارك على نبينا وحبيبنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Shukran
@BakariAlly-ke7ii Жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah
@user-kf6wo6yt4f Жыл бұрын
❤❤❤❤maashaa allah idhikri ni mzuri sana❤❤❤❤
@salimalaquimane3077 Жыл бұрын
Mashaallah mashaallah napenda dhiqr
@Jumaashaban
9 ай бұрын
Nitumie namba zako❤
@Mawazobrand
9 ай бұрын
0622467152
@OmarMbayayi6 ай бұрын
mashallah Allah awabariki
@YusuphAlly-dd6rw Жыл бұрын
Mashaallah
@user-ep3zd4up3z Жыл бұрын
Mashaa Allah
@SaadAli-jv7zq Жыл бұрын
Mashaallah fundi
@mahmudahmad536910 ай бұрын
Mashalla allha awabariki
@KhamisAwesiAbdalla-of4no3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@shehajuma4978 Жыл бұрын
Tuache ushabiki kutoa kasoro y masaala y dini,kikubwa tusomeni tupate uyakinifu(TAALUMA)
@user-xm7pg6ug8o4 ай бұрын
Masha Allah
@abuuayoubayoub9260 Жыл бұрын
نعرف الرجال بالحق ولا نعرف الحق بالرجال Wale walopiga magoti kwa mashekhe zao wakelewa basi watakuwa wamenielewa
@UmmYusrah110 ай бұрын
Khutba ya kutosha MashaAllah
@MohamediKilimila10 ай бұрын
Mash allah
@rahmahmuhenda3736 Жыл бұрын
Subhannallah
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Kwann
@tifu678
9 ай бұрын
@@Mawazobrand Kwa sababu huu ni upotofu wa hali ya juu. Hii si dini ya uislamu wala ishara ya kumkumbuka mola azzawajal. Ibada haina ngoma wala dansi na kuhema kama mwenda wazimu. Fanyeni tauba ndugu zangu na mufuate mwendo wa Nabii Muhammad kama tulivyoelezwa katika hadeeth. Yote mengine ni uzushi na kuchafua dini ya haki.
@jakuabdull34
9 ай бұрын
@@tifu678 si zani kama unaelimu kiwango cha kutoa fatwa ndugu yangu tupambane na wasioamini nawwfanya unayoyaamini
@MubarakSaidy-pz9mu8 ай бұрын
Gooood
@hilalskach6205 Жыл бұрын
Mashallah ❤
@lilianhigilo2527 Жыл бұрын
Mashallah
@Halima-zx4pg Жыл бұрын
❤❤❤
@imranbanda3963 Жыл бұрын
ماشاالله
@KhamisAwesiAbdalla-of4no4 ай бұрын
Utamu umezid wallah
@mgeniali2856 Жыл бұрын
Ewe Mola wetu tuelekeze kuliko ndiko
@baryus75 ай бұрын
Eti na hii nayo inaitwa dhikr.... ههه ههه ههه
@athmanustadh92394 ай бұрын
Makame wewe Lete raha
@bahozisaidiradjab4902 Жыл бұрын
Acheni uzishi jameni...uislam umekamilika
@azizayussuf9324
Жыл бұрын
❤
@ShomariShukuru-kh2uz Жыл бұрын
Rahaa sana mungu azidi wa bariki
@mangulimanguli3974 Жыл бұрын
MASHAA Allah
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Shukran
@abdulfattaahnassir8266 Жыл бұрын
لاإله إلا الله ما اسرع هلكاتكم يا أمة محمد تحدثون في دين الله إن البدع شر وبلاء وأي بلاء, ومصيبا وأي مصييا, والله لن تفلحوا حتى تتوبوا الى ربكم فقد حذرناالنبى صلى الله عليه وسلم من البدع أشد تحذير فالبدع نهايتها الى النار والعياذ بالله
@abdulfattaahnassir8266
Жыл бұрын
خسارة وأي خسارة البدع شرها عظيم
@rashidabuu9406 Жыл бұрын
Nadhira ujumbe huo uloutoa sio wa mwanadin kulaan watu mungu akusameh nataman ningepata namba yako nikuelimishe na uwe mke wangu kama una ndoa
@hashimsalum5687
Жыл бұрын
Kwani umeambiw uyo nadhir ni mwanamke? Au unahangaishwa na shahwa tu
@tifu6789 ай бұрын
Huu ni upotofu wa hali ya juu. Hii si dini ya uislamu wala ishara ya kumkumbuka mola azzawajal. Ibada haina ngoma wala dansi na kuhema kama mwenda wazimu. Fanyeni tauba ndugu zangu na mufuate mwendo wa Nabii Muhammad kama tulivyoelezwa katika hadeeth. Yote mengine ni uzushi na kuchafua dini ya haki.
@BimGeni11 ай бұрын
😅
@hamadifaki9827 Жыл бұрын
Saf
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Shkran
@shadhirimaalim9739
Жыл бұрын
Safi mini UKu ni kuudhalilisha uslamu wetu msafi
@simbillamachiyya
Жыл бұрын
@@shadhirimaalim9739 Imamu Mahdi amekuja kuondoa ikhitilaaf Kati ya waislam, na kuvunja msalaba, msihangaike bure!!!!
@naufaljamal3089 Жыл бұрын
Jamn hii ibada inatoka kwa Mtume gani
@oklahommy9838 Жыл бұрын
Hii ni shirk tuu hamna lolote hapa
@BakariAlly-ke7ii
Жыл бұрын
Ni kwako upo kama mwanga
@saidkhamisi9592 Жыл бұрын
Hakuna dhikri hapo wallahi haya hakuyafundisha Mtume swalallahu alaihi wasalam .....Masufi wamezusha mambo mengi ambayo hayakufundishwa na Uislamu
@lilianmakwati5228
Жыл бұрын
Je kutumia KZread ni Sunnah?
@BakariAlly-ke7ii
Жыл бұрын
Pita kule
@bilalikaoneka5080 Жыл бұрын
Mnaopinga .. kwan kuimba ni haramu??
@mohdhajihaji Жыл бұрын
sikiliza ujumbe tu ndugu yangu ni sahihi au la halafu uhukumu jinsi ulivyowasilishwa kwa hadhira
@azizayussuf9324 Жыл бұрын
Hakika hii sio zikir....hivyo diyo bidaaa...dhikiri ni kumtaja mungu subhana alllah...ama hiyo ni kufuru...jamani nakuomeni muacheni hii ni kuchukuwa mazabi...mungu anashuhudiya niliyaandika
@BakariAlly-ke7ii
Жыл бұрын
Kwenda zako hujui chochote ww ulitaka waimbe taarabu
@mbwnanyuki-gg1ot Жыл бұрын
Mwalim nawez kupat mawasiliano yake
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Utapata inshaallah
@alijabiri9879
Жыл бұрын
Mwalimu yupi unahitaji no zake?
@alijabiri9879
Жыл бұрын
Mwalimu yupi unahitaji no zake?
@OMAR-se6rb Жыл бұрын
Eti dhikiri 😁hamuna adabu kweli mwafikiri mtume (SAW) kaacha kitu
@lilianmakwati5228
Жыл бұрын
Acha kiburi
@zahorsalum4976
Жыл бұрын
Ww hujasoma Hilo ndotatizo lako mtu alosoma hawezi kutusi watu kasome ww
@BakariAlly-ke7ii
Жыл бұрын
Acha upumbav wew ulitaka waimbe singeli hii tunafikishiwa ujumbe mzur
@nanahakiim4810 Жыл бұрын
كل محدثت بدعة وكل بدعة ضلالة وكل ضلالة في النار
@nanahakiim4810
Жыл бұрын
Allah atuongoze sisi na wenzentu maskini
@omaryramdhani9823
Жыл бұрын
Waambie hao mawahabi wenzio wasojua kusoma Kama wewe,rudini mkazidi kulishwa vitango pori huko suudia mnapo pewa pesa
@adamsamata8754
Жыл бұрын
ما كل بدعة ضلالة في بدعة حسن
@muktarkassim6647
Жыл бұрын
Wee pia ni bida'a utaingia motoni na ikiwa lugha huelew nyamaza
@mswakisaid2320
Жыл бұрын
Umekaririshwa wewe😀wenzio wameisoma كل na wakaielewa.Nenda na wewe ukasomeshwe كل tu! Maana hapo ndiyo inayo kutia taabu. Ukielewa utaheshimu tu. Maana wewe umesomeshwa hiyo Hadith lakini hujafahamishwa kwa fani. Hivi kweli watu wote hao hapo wakusanyikie lisofaa? Kesha wewe pekeo ndiyo uwe umeelewa sana hiyo Hadith? Mtume asema? Umati wangu haukusanyiki juu ya upotevu!!!. Uko wapi wewe na mkusanyiko huu? Huu ujumbe unaotolewa ni mkubwa sana uchukue. Muhimu ni kusoma tu kila kitu ndiyo hukaa sawa sawa. Mungu atujaalie Elimu na Ufahamu.
@swah555suhayl8 Жыл бұрын
Naona kiupande wangu dhikkir inafaa na c ktk shirk
@abdillahhashim7127
Жыл бұрын
Dini sio maoni bali ni dalili za kisheria
@alijabiri9879
10 ай бұрын
Dhikri ina faaa, tena ALLAH S W, ametusisitiza tumtaje sana,, na vile vile tumsalie MTUME MUHHAMAD S A W sana,, Tatizo ufahamu ,, Kila mmoja wetu ana ufahamu wake,, Kwa mujibu wa alivosomeshwa.
@muhamadberhe
8 ай бұрын
@@alijabiri9879 kwani Kuna aliyekuambia dhikr ni haraam mutwlaq,Bali hiyo dhikiri ya kukohoa hakuna ktk dini yetu hii
@abdulahmahamed3790 Жыл бұрын
Watajuta siku ya kiyama wasipotubu
@jumatano242
Жыл бұрын
Ww una uhakika unapatia ??
@najmaawadh1359
Жыл бұрын
@@jumatano242 namshangaa .yaani wajifanya wapo xhihiii .hayo ya kukutana na watt wawatu kuwashka matiti yafaa ni girlfriend wake washenzi na mengii tu wayafanya lkni hawayaini kwamba ni haramu
@BakariAlly-ke7ii
Жыл бұрын
Wa kwanza niwewe huna lolot
@athumaninchula2299 Жыл бұрын
Kama bado hujaichimba elimu huruhusiwi kukoment jambo usilolijua undani wake utapata laana za bure urukwe na akili bila kujijua
@alijabiri9879
Жыл бұрын
Sio kweli, kukoment ni hhaki ya Kila anaesoma post,, kikubwa asitukane
@alijabiri9879
Жыл бұрын
Sio kweli, kukoment ni hhaki ya Kila anaesoma post,, kikubwa asitukane
@alijabiri9879
10 ай бұрын
Elimu ni Bahari pana yenye kina kisicho na mwisho sheikhe wangu,, watu wengi wamesoma na hao hao wanatafautiana ufahamu wao,, kwaio usimdharau mtu na kumuona hajasoma , kisa tu hajafanana na ufahamu wako.
@nadhiralfane8875 Жыл бұрын
Wanafiki wa Uislamu, mmelaaniwa. Badala ya kusoma ukweli kwa ajili ya ukweli, unazusha ibada za kishetani kusema zinatoka kwa Mwenyezi Mungu
@suleimanabdallah5563
Жыл бұрын
mmhhh unatoa hukumu unaingilia kazi ya Mungu unaweza kutoa ushahid wa hiyo laana au
@allyal-sharawymwadini3111
Жыл бұрын
Tupe elimu yako wewe mja wa laana uloaza kulaniwa ndani ya tumbo la mama yo ndo ukaweza kuwa lani wengine
@jumaamohamed4203
Жыл бұрын
Wewe ndio umelaaniwa soma babu elimu huna then unahukum watu !!! Soma mzee utajua
@ismailjuma3692
Жыл бұрын
wacha ujinga
@azamomar9920
Жыл бұрын
@Jumaa Mohamed. Wewe ulosoma twambie hizo dhikri katufundisha mtume gani? njoo na ushahidi kutoka ndani Qur ‘aan na hadithi za mtume Muhammad s.a.w huo ndo muongozo wa Muislaam. Tufundishe kwaajili yafaida kwetu sisi Waislaam ili nasisi tuyanoe makoo yetu tuanze kukohoa mpaka damu. Pindi tutakapo jua ukweli.
@shadhirimaalim9739 Жыл бұрын
Ivi ndugu zangu kuna tofauti Kati ya ili Jambo na lile la waganga WA kienyeji
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Ndio tafaut kubwa ipo sana
@shadhirimaalim9739
Жыл бұрын
Lete iyo tofauti
@alawikihema8676
Жыл бұрын
Innamal A'maal binniat
@mwinyirama2751
Жыл бұрын
Wengi wao katika hawa huwa ni waganga
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Una ushahid gan
@Ali-nl2du Жыл бұрын
Haya mambo mtume wetu SAW hajayafanya. Masahaba zake hawajayafanya, sijui yameibukia wapi. Naona kama hayamo katika uisilamu. Wajuzi mtujuze tujuzike.
@idarous09
Жыл бұрын
kwani ubaya gani au umeona anakashifiwa mungu mtume na masahaba wake na uislam pia hebu sikiliza kinachosemwa than ndio utoe neno musiwe munataka kuharamisha kila kitu
@Ali-nl2du
Жыл бұрын
@@idarous09 Assalaam alaykum akhy. Mie nauliza tu nipate kuelimika. Sina uwezo wa kuharamisha wala kuhalalisha. Elimu yangu khafifu inanambia kuwa uislamu Allah aliukamilisha mwenyewe. Kwa kupitia kitabu chake na mtume wake SAW. Ndio nataka kujua hizi ibada za ziada zimetokea wapi?
@yasinomary2147
Жыл бұрын
Kama huu ni uzushi bas uzushi sasa umetamalaki,haya mtume hakufanya,pia mashindano ya kuhifadhi qur aan ni uzushi maana mtume hakufanya!uislam mpya uliozuka miaka ya90 pia mtume hajauridhia na hakufanya.uislam mpya namaanisha uzushi wa mwezi wa kimataifa,nchi Moja Baba anaswali idd leo Mama anaswali idd kesho,dini hii ya mwezi wa kimataifa mtume pia hajakuwa nayo kwahyo ni bid aa
@yasinomary2147
Жыл бұрын
@@Ali-nl2du hata dini ya mwezi wa kimataifa mtume hakufanya,watu walifunga kwa kufuata matlay ya huko walipo, lakin xilipokuja television na cm,hapo ukazuka uislam mpya miaka ya90,hata mashindano ya kuhifadhi qur aan mtume hakufanya kwahyo pia ni uzushi,wajuzi mtujuze jaman huu uzushi wa mashindano ya kuhifadhi qur aan ibada hii imetoka wapi????na ibada ya kufunga kwa kuifuata saudia imetoka wapi? maana ibada hii imezuka miaka ya
@Ali-nl2du
Жыл бұрын
@@yasinomary2147 Assalaam alaykum akhy. Asante sana kwa kunielimisha. Lengo langu ni kujua tu akhy. Hayo uliyoyataja tujaalie ni uzushi, je hii inakuwa sababu ya kuhalalisha dhikri kama hizi? Maana itakuwa uzushi mmoja unahalalisha uzushi mwengine. Basi si ingekuwa bora tuyawache yote tu, au vipi? Turejee kwenye dini ya Allah kama ilivyokuja kupitia kwa mtume wake SAW.
@haarunsaidabdillahi4082 Жыл бұрын
Hii ni ibada au wanajifurahisha tu?
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Kujfrahsha kwa kumsalia mtume (s.w.a) nijambo zur
@arunamusli504
Жыл бұрын
Elimu yako ni ndogo wewe :::::: sheikh hauwezi kuelewa kitu tuwachie sisi wenyewe
@alijabiri9879
Жыл бұрын
Waulize waliosoma masheikh na maostadh sio wapiga porojo,
@alijabiri9879
Жыл бұрын
Utavo ona ndo ivo ivotu.
@alijabiri9879
Жыл бұрын
Utavo ona ndo ivo ivotu.
@hanzwala9704 Жыл бұрын
Mashaallah
@micheweni Жыл бұрын
Mashallah
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Shukran
@suleimanabdallah5563
Жыл бұрын
mnaosema hayafai Kaeni bora mkemee miziki inawezekana watoto wenu wapo waoimba Mziki ila nmekaa kimyaaaa
Пікірлер: 177
Dhikri saadiyah Masha Allah mwenyezimungu awarahamu masheikh zetu waliotangulia mbele ya haki na murid wote waliotangulia mbele ya haki,nasi atujaalie kila la kheir na atuepushe kwa kila lililobaya insha allah
Mashaallah ujumbe mzuri sanaa mungu azidi kuwabariki na kuutangaza uislam kwa dhikri
Mashaallah mashaallah Allah awap kipaj zaid ❤
Maashaa allaah, jamani naombeni mtutumie ile dhikri ya zamani inayosema sakaral mauti fanyeni mututumie kama mnayo japo ya audio , zaman nilikuwa naisikia kwenye Redio sauti ya tanzania zanzibar
Mashaanlah Allah awajaze kila lakheri inshaanlah
Insha Allah siku Moja Allah swt anijaalie kuikanyaga ardhi ya kisiwa Cha tumbatu nikawatembelee ndugu zangu hawa wa qadiriyyah,
Mashallah Allah awape nguvu mashehe wetu na umri mrefu
Lete vit maasha Allah ❤
قال الله تعالى ﴿الَّذينَ آمَنوا وَتَطمَئِنُّ قُلوبُهُم بِذِكرِ اللَّهِ أَلا بِذِكرِ اللَّهِ تَطمَئِنُّ القُلوبُ﴾ [Ar-Ra‘d: 28]
Mashaa Allah.....🇹🇿✅
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Shukran
mashaallah mashaallah mashaallah
ما شآء الله ! هذا من جملة وسائل الترفيه،،،، أظنه من مسلمي حجزائر تومباتوا! تصححوني إن خطأت🙏 اللهم صل وسلم وبارك على نبينا وحبيبنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Shukran
Masha Allah tabaraka Allah
❤❤❤❤maashaa allah idhikri ni mzuri sana❤❤❤❤
Mashaallah mashaallah napenda dhiqr
@Jumaashaban
9 ай бұрын
Nitumie namba zako❤
@Mawazobrand
9 ай бұрын
0622467152
mashallah Allah awabariki
Mashaallah
Mashaa Allah
Mashaallah fundi
Mashalla allha awabariki
❤❤❤❤❤❤
Tuache ushabiki kutoa kasoro y masaala y dini,kikubwa tusomeni tupate uyakinifu(TAALUMA)
Masha Allah
نعرف الرجال بالحق ولا نعرف الحق بالرجال Wale walopiga magoti kwa mashekhe zao wakelewa basi watakuwa wamenielewa
Khutba ya kutosha MashaAllah
Mash allah
Subhannallah
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Kwann
@tifu678
9 ай бұрын
@@Mawazobrand Kwa sababu huu ni upotofu wa hali ya juu. Hii si dini ya uislamu wala ishara ya kumkumbuka mola azzawajal. Ibada haina ngoma wala dansi na kuhema kama mwenda wazimu. Fanyeni tauba ndugu zangu na mufuate mwendo wa Nabii Muhammad kama tulivyoelezwa katika hadeeth. Yote mengine ni uzushi na kuchafua dini ya haki.
@jakuabdull34
9 ай бұрын
@@tifu678 si zani kama unaelimu kiwango cha kutoa fatwa ndugu yangu tupambane na wasioamini nawwfanya unayoyaamini
Gooood
Mashallah ❤
Mashallah
❤❤❤
ماشاالله
Utamu umezid wallah
Ewe Mola wetu tuelekeze kuliko ndiko
Eti na hii nayo inaitwa dhikr.... ههه ههه ههه
Makame wewe Lete raha
Acheni uzishi jameni...uislam umekamilika
@azizayussuf9324
Жыл бұрын
❤
Rahaa sana mungu azidi wa bariki
MASHAA Allah
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Shukran
لاإله إلا الله ما اسرع هلكاتكم يا أمة محمد تحدثون في دين الله إن البدع شر وبلاء وأي بلاء, ومصيبا وأي مصييا, والله لن تفلحوا حتى تتوبوا الى ربكم فقد حذرناالنبى صلى الله عليه وسلم من البدع أشد تحذير فالبدع نهايتها الى النار والعياذ بالله
@abdulfattaahnassir8266
Жыл бұрын
خسارة وأي خسارة البدع شرها عظيم
Nadhira ujumbe huo uloutoa sio wa mwanadin kulaan watu mungu akusameh nataman ningepata namba yako nikuelimishe na uwe mke wangu kama una ndoa
@hashimsalum5687
Жыл бұрын
Kwani umeambiw uyo nadhir ni mwanamke? Au unahangaishwa na shahwa tu
Huu ni upotofu wa hali ya juu. Hii si dini ya uislamu wala ishara ya kumkumbuka mola azzawajal. Ibada haina ngoma wala dansi na kuhema kama mwenda wazimu. Fanyeni tauba ndugu zangu na mufuate mwendo wa Nabii Muhammad kama tulivyoelezwa katika hadeeth. Yote mengine ni uzushi na kuchafua dini ya haki.
😅
Saf
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Shkran
@shadhirimaalim9739
Жыл бұрын
Safi mini UKu ni kuudhalilisha uslamu wetu msafi
@simbillamachiyya
Жыл бұрын
@@shadhirimaalim9739 Imamu Mahdi amekuja kuondoa ikhitilaaf Kati ya waislam, na kuvunja msalaba, msihangaike bure!!!!
Jamn hii ibada inatoka kwa Mtume gani
Hii ni shirk tuu hamna lolote hapa
@BakariAlly-ke7ii
Жыл бұрын
Ni kwako upo kama mwanga
Hakuna dhikri hapo wallahi haya hakuyafundisha Mtume swalallahu alaihi wasalam .....Masufi wamezusha mambo mengi ambayo hayakufundishwa na Uislamu
@lilianmakwati5228
Жыл бұрын
Je kutumia KZread ni Sunnah?
@BakariAlly-ke7ii
Жыл бұрын
Pita kule
Mnaopinga .. kwan kuimba ni haramu??
sikiliza ujumbe tu ndugu yangu ni sahihi au la halafu uhukumu jinsi ulivyowasilishwa kwa hadhira
Hakika hii sio zikir....hivyo diyo bidaaa...dhikiri ni kumtaja mungu subhana alllah...ama hiyo ni kufuru...jamani nakuomeni muacheni hii ni kuchukuwa mazabi...mungu anashuhudiya niliyaandika
@BakariAlly-ke7ii
Жыл бұрын
Kwenda zako hujui chochote ww ulitaka waimbe taarabu
Mwalim nawez kupat mawasiliano yake
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Utapata inshaallah
@alijabiri9879
Жыл бұрын
Mwalimu yupi unahitaji no zake?
@alijabiri9879
Жыл бұрын
Mwalimu yupi unahitaji no zake?
Eti dhikiri 😁hamuna adabu kweli mwafikiri mtume (SAW) kaacha kitu
@lilianmakwati5228
Жыл бұрын
Acha kiburi
@zahorsalum4976
Жыл бұрын
Ww hujasoma Hilo ndotatizo lako mtu alosoma hawezi kutusi watu kasome ww
@BakariAlly-ke7ii
Жыл бұрын
Acha upumbav wew ulitaka waimbe singeli hii tunafikishiwa ujumbe mzur
كل محدثت بدعة وكل بدعة ضلالة وكل ضلالة في النار
@nanahakiim4810
Жыл бұрын
Allah atuongoze sisi na wenzentu maskini
@omaryramdhani9823
Жыл бұрын
Waambie hao mawahabi wenzio wasojua kusoma Kama wewe,rudini mkazidi kulishwa vitango pori huko suudia mnapo pewa pesa
@adamsamata8754
Жыл бұрын
ما كل بدعة ضلالة في بدعة حسن
@muktarkassim6647
Жыл бұрын
Wee pia ni bida'a utaingia motoni na ikiwa lugha huelew nyamaza
@mswakisaid2320
Жыл бұрын
Umekaririshwa wewe😀wenzio wameisoma كل na wakaielewa.Nenda na wewe ukasomeshwe كل tu! Maana hapo ndiyo inayo kutia taabu. Ukielewa utaheshimu tu. Maana wewe umesomeshwa hiyo Hadith lakini hujafahamishwa kwa fani. Hivi kweli watu wote hao hapo wakusanyikie lisofaa? Kesha wewe pekeo ndiyo uwe umeelewa sana hiyo Hadith? Mtume asema? Umati wangu haukusanyiki juu ya upotevu!!!. Uko wapi wewe na mkusanyiko huu? Huu ujumbe unaotolewa ni mkubwa sana uchukue. Muhimu ni kusoma tu kila kitu ndiyo hukaa sawa sawa. Mungu atujaalie Elimu na Ufahamu.
Naona kiupande wangu dhikkir inafaa na c ktk shirk
@abdillahhashim7127
Жыл бұрын
Dini sio maoni bali ni dalili za kisheria
@alijabiri9879
10 ай бұрын
Dhikri ina faaa, tena ALLAH S W, ametusisitiza tumtaje sana,, na vile vile tumsalie MTUME MUHHAMAD S A W sana,, Tatizo ufahamu ,, Kila mmoja wetu ana ufahamu wake,, Kwa mujibu wa alivosomeshwa.
@muhamadberhe
8 ай бұрын
@@alijabiri9879 kwani Kuna aliyekuambia dhikr ni haraam mutwlaq,Bali hiyo dhikiri ya kukohoa hakuna ktk dini yetu hii
Watajuta siku ya kiyama wasipotubu
@jumatano242
Жыл бұрын
Ww una uhakika unapatia ??
@najmaawadh1359
Жыл бұрын
@@jumatano242 namshangaa .yaani wajifanya wapo xhihiii .hayo ya kukutana na watt wawatu kuwashka matiti yafaa ni girlfriend wake washenzi na mengii tu wayafanya lkni hawayaini kwamba ni haramu
@BakariAlly-ke7ii
Жыл бұрын
Wa kwanza niwewe huna lolot
Kama bado hujaichimba elimu huruhusiwi kukoment jambo usilolijua undani wake utapata laana za bure urukwe na akili bila kujijua
@alijabiri9879
Жыл бұрын
Sio kweli, kukoment ni hhaki ya Kila anaesoma post,, kikubwa asitukane
@alijabiri9879
Жыл бұрын
Sio kweli, kukoment ni hhaki ya Kila anaesoma post,, kikubwa asitukane
@alijabiri9879
10 ай бұрын
Elimu ni Bahari pana yenye kina kisicho na mwisho sheikhe wangu,, watu wengi wamesoma na hao hao wanatafautiana ufahamu wao,, kwaio usimdharau mtu na kumuona hajasoma , kisa tu hajafanana na ufahamu wako.
Wanafiki wa Uislamu, mmelaaniwa. Badala ya kusoma ukweli kwa ajili ya ukweli, unazusha ibada za kishetani kusema zinatoka kwa Mwenyezi Mungu
@suleimanabdallah5563
Жыл бұрын
mmhhh unatoa hukumu unaingilia kazi ya Mungu unaweza kutoa ushahid wa hiyo laana au
@allyal-sharawymwadini3111
Жыл бұрын
Tupe elimu yako wewe mja wa laana uloaza kulaniwa ndani ya tumbo la mama yo ndo ukaweza kuwa lani wengine
@jumaamohamed4203
Жыл бұрын
Wewe ndio umelaaniwa soma babu elimu huna then unahukum watu !!! Soma mzee utajua
@ismailjuma3692
Жыл бұрын
wacha ujinga
@azamomar9920
Жыл бұрын
@Jumaa Mohamed. Wewe ulosoma twambie hizo dhikri katufundisha mtume gani? njoo na ushahidi kutoka ndani Qur ‘aan na hadithi za mtume Muhammad s.a.w huo ndo muongozo wa Muislaam. Tufundishe kwaajili yafaida kwetu sisi Waislaam ili nasisi tuyanoe makoo yetu tuanze kukohoa mpaka damu. Pindi tutakapo jua ukweli.
Ivi ndugu zangu kuna tofauti Kati ya ili Jambo na lile la waganga WA kienyeji
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Ndio tafaut kubwa ipo sana
@shadhirimaalim9739
Жыл бұрын
Lete iyo tofauti
@alawikihema8676
Жыл бұрын
Innamal A'maal binniat
@mwinyirama2751
Жыл бұрын
Wengi wao katika hawa huwa ni waganga
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Una ushahid gan
Haya mambo mtume wetu SAW hajayafanya. Masahaba zake hawajayafanya, sijui yameibukia wapi. Naona kama hayamo katika uisilamu. Wajuzi mtujuze tujuzike.
@idarous09
Жыл бұрын
kwani ubaya gani au umeona anakashifiwa mungu mtume na masahaba wake na uislam pia hebu sikiliza kinachosemwa than ndio utoe neno musiwe munataka kuharamisha kila kitu
@Ali-nl2du
Жыл бұрын
@@idarous09 Assalaam alaykum akhy. Mie nauliza tu nipate kuelimika. Sina uwezo wa kuharamisha wala kuhalalisha. Elimu yangu khafifu inanambia kuwa uislamu Allah aliukamilisha mwenyewe. Kwa kupitia kitabu chake na mtume wake SAW. Ndio nataka kujua hizi ibada za ziada zimetokea wapi?
@yasinomary2147
Жыл бұрын
Kama huu ni uzushi bas uzushi sasa umetamalaki,haya mtume hakufanya,pia mashindano ya kuhifadhi qur aan ni uzushi maana mtume hakufanya!uislam mpya uliozuka miaka ya90 pia mtume hajauridhia na hakufanya.uislam mpya namaanisha uzushi wa mwezi wa kimataifa,nchi Moja Baba anaswali idd leo Mama anaswali idd kesho,dini hii ya mwezi wa kimataifa mtume pia hajakuwa nayo kwahyo ni bid aa
@yasinomary2147
Жыл бұрын
@@Ali-nl2du hata dini ya mwezi wa kimataifa mtume hakufanya,watu walifunga kwa kufuata matlay ya huko walipo, lakin xilipokuja television na cm,hapo ukazuka uislam mpya miaka ya90,hata mashindano ya kuhifadhi qur aan mtume hakufanya kwahyo pia ni uzushi,wajuzi mtujuze jaman huu uzushi wa mashindano ya kuhifadhi qur aan ibada hii imetoka wapi????na ibada ya kufunga kwa kuifuata saudia imetoka wapi? maana ibada hii imezuka miaka ya
@Ali-nl2du
Жыл бұрын
@@yasinomary2147 Assalaam alaykum akhy. Asante sana kwa kunielimisha. Lengo langu ni kujua tu akhy. Hayo uliyoyataja tujaalie ni uzushi, je hii inakuwa sababu ya kuhalalisha dhikri kama hizi? Maana itakuwa uzushi mmoja unahalalisha uzushi mwengine. Basi si ingekuwa bora tuyawache yote tu, au vipi? Turejee kwenye dini ya Allah kama ilivyokuja kupitia kwa mtume wake SAW.
Hii ni ibada au wanajifurahisha tu?
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Kujfrahsha kwa kumsalia mtume (s.w.a) nijambo zur
@arunamusli504
Жыл бұрын
Elimu yako ni ndogo wewe :::::: sheikh hauwezi kuelewa kitu tuwachie sisi wenyewe
@alijabiri9879
Жыл бұрын
Waulize waliosoma masheikh na maostadh sio wapiga porojo,
@alijabiri9879
Жыл бұрын
Utavo ona ndo ivo ivotu.
@alijabiri9879
Жыл бұрын
Utavo ona ndo ivo ivotu.
Mashaallah
Mashallah
@Mawazobrand
Жыл бұрын
Shukran
@suleimanabdallah5563
Жыл бұрын
mnaosema hayafai Kaeni bora mkemee miziki inawezekana watoto wenu wapo waoimba Mziki ila nmekaa kimyaaaa
@abullazzsuleman2051
Жыл бұрын
Maswahaba wamefanyahiv
@abullazzsuleman2051
Жыл бұрын
Uwislam tunauchukuwa kwanan 2spendeku kufuta ki2kamanz
Mashaallah