MUONEKANO MPYA WA HOSPITALI YA MUHIMBILI, PROF JANABI AFAFANUA HUDUMA YA KUEGESHA MAGARI

Пікірлер: 31

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 Жыл бұрын

    I admire you prof, your doing a great job. Mungu akuzidishie 🇹🇿🇹🇿

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma323111 ай бұрын

    Keep this Dr as long as he can work so as to improve our health system here..❤

  • @akbarmaulid9624
    @akbarmaulid9624 Жыл бұрын

    Kazi nzuri prof janabj

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma323111 ай бұрын

    Hongera Professor Janabi . Ubarikiwe ❤

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Жыл бұрын

    Tangu prof janab apewe muhimbili ameleta matibabu ya magonjwa yaliokua yanatibiwa nje ya nchi hongera san Prof janab

  • @user-zv4fz8mv4o
    @user-zv4fz8mv4o Жыл бұрын

    Kazi nzur professa janabi

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange775810 ай бұрын

    Yn uyu mzeee katulia jamani daaaaa mpka na mwelewa 🤗🤗🤗

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 Жыл бұрын

    Hongera sana Daktari kwa weredi wako!! Keepgoing Prof

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 Жыл бұрын

    Prof ur ze best.....MNH iko🔥🔥🔥

  • @mzadomwongozo3671
    @mzadomwongozo3671 Жыл бұрын

    Mungu akuzidishie prof

  • @georgekabaka377
    @georgekabaka377 Жыл бұрын

    Nimeelewa Pro....

  • @singidaone5628
    @singidaone56289 ай бұрын

    Mpo sawa kabisa kupunguza mlipuko wa magonjwa

  • @peninajulius4843
    @peninajulius4843 Жыл бұрын

    uko sawa prof cha msingi utaratibu ufuatwe na kufanyiwa kazi

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Жыл бұрын

    Sawa professa Nimekuelewa

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 Жыл бұрын

    Hongera sana Prof. Janabi kwa utawala mzuri

  • @pascojm6816
    @pascojm6816 Жыл бұрын

    Namkubali sana huyu prof

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube5 ай бұрын

    Professor mungu akuweke una akili mpaka chafu

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 Жыл бұрын

    At least layout imekaa vizuri sasa...mwanza ilikua ni hectic kwakua layout ya eneo ilikua haijakaa sawa

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Жыл бұрын

    Tulichelewa wap kumpa Prof janab Hospital ya Taifa muhimbili

  • @user-hu4vs2en5n
    @user-hu4vs2en5n Жыл бұрын

    M/mugu akuzidishie tanzia nd yako Moshi majungu amefariki

  • @thomaskitemi3283
    @thomaskitemi3283 Жыл бұрын

    Doctor tunsomba muwasa8die wananchi WA chini wawe wanaingia hata 5 kuona wagonjwa wordini. Hii inawajenga hata wagonjwa kisaikolojia.Nb hospital za private Kwa wakubwa mbona huingia tu.t7naomba sana hili pro utusaidie

  • @Jakayamiplayz

    @Jakayamiplayz

    Жыл бұрын

    unajua kwa nini watu wa hali ya chini wanakufa hovyo hovyo? ni kwa sababu wakiambiwa hawaelewi..ushaambiwa kuna nosocomial infections mahospitalini.. mkiingia kwa msongamano unaambukizwa na unaambukiza pia, sasa kama hilo tu huwezi kulielewa unaanza kuleta siasa na huruma kwenye sayansi, then you have a big problem

  • @sskondopoleani9616

    @sskondopoleani9616

    11 ай бұрын

    Halafu usijifananishe na WAKUBWA KWA HERUFI KUBWA, wewe ukipata maambukizi yeyote Tiba ni hapa hapa. Wakubwa bima zao zinaruhusu kubebwa na Air Ambulance kwenda popote, hayo wafanyayo ni kwa ajili yetu, tushukuru na kukubali sheria, hayo yako duniani kooooooote.

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n2 ай бұрын

    Kumekucha huku una mgonjwa ulipoe bill huku ulipie parking mbona jmn hamna huruma na wananchi

  • @shufwaaofficialtv1306
    @shufwaaofficialtv130623 күн бұрын

    Wekeni taa za kutosha nje hapo

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Жыл бұрын

    Chezea madem waSudan

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Жыл бұрын

    Umeboresha san Hospital ya muhimbili

  • @misembe
    @misembe8 ай бұрын

    Natamani uje ata uwe rais wa hii nchi jamani

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Жыл бұрын

    Heee hawa wasudani wameleta msukumo

  • @mcback4384

    @mcback4384

    Жыл бұрын

    Mmmh Mbona ujenzi umeanza ni zaidi ya miezi 6 sasa?

  • @nassercurtis9579

    @nassercurtis9579

    3 ай бұрын

    Msukumo upi wameleta wakati wenyewe wamefika tz tu wameshangaa kuona imejengeka na pasafi sana na watu wake wastaarabu sasa wao wameleta msukumo gani zaidi ni wanafunzi na wametokea nchi yenye changamoto ya kisiasa, hivi wanaweza kuwa bora zaidi ya proffesors?

Келесі