Doctor tunsomba muwasa8die wananchi WA chini wawe wanaingia hata 5 kuona wagonjwa wordini. Hii inawajenga hata wagonjwa kisaikolojia.Nb hospital za private Kwa wakubwa mbona huingia tu.t7naomba sana hili pro utusaidie
@Jakayamiplayz
Жыл бұрын
unajua kwa nini watu wa hali ya chini wanakufa hovyo hovyo? ni kwa sababu wakiambiwa hawaelewi..ushaambiwa kuna nosocomial infections mahospitalini.. mkiingia kwa msongamano unaambukizwa na unaambukiza pia, sasa kama hilo tu huwezi kulielewa unaanza kuleta siasa na huruma kwenye sayansi, then you have a big problem
@sskondopoleani9616
11 ай бұрын
Halafu usijifananishe na WAKUBWA KWA HERUFI KUBWA, wewe ukipata maambukizi yeyote Tiba ni hapa hapa. Wakubwa bima zao zinaruhusu kubebwa na Air Ambulance kwenda popote, hayo wafanyayo ni kwa ajili yetu, tushukuru na kukubali sheria, hayo yako duniani kooooooote.
@user-mw5xs2wx8n2 ай бұрын
Kumekucha huku una mgonjwa ulipoe bill huku ulipie parking mbona jmn hamna huruma na wananchi
@shufwaaofficialtv130623 күн бұрын
Wekeni taa za kutosha nje hapo
@vibetz9991 Жыл бұрын
Chezea madem waSudan
@abuuramadhan8093 Жыл бұрын
Umeboresha san Hospital ya muhimbili
@misembe8 ай бұрын
Natamani uje ata uwe rais wa hii nchi jamani
@tanzcanmediatv4473 Жыл бұрын
Heee hawa wasudani wameleta msukumo
@mcback4384
Жыл бұрын
Mmmh Mbona ujenzi umeanza ni zaidi ya miezi 6 sasa?
@nassercurtis9579
3 ай бұрын
Msukumo upi wameleta wakati wenyewe wamefika tz tu wameshangaa kuona imejengeka na pasafi sana na watu wake wastaarabu sasa wao wameleta msukumo gani zaidi ni wanafunzi na wametokea nchi yenye changamoto ya kisiasa, hivi wanaweza kuwa bora zaidi ya proffesors?
Пікірлер: 31
I admire you prof, your doing a great job. Mungu akuzidishie 🇹🇿🇹🇿
Keep this Dr as long as he can work so as to improve our health system here..❤
Kazi nzuri prof janabj
Hongera Professor Janabi . Ubarikiwe ❤
Tangu prof janab apewe muhimbili ameleta matibabu ya magonjwa yaliokua yanatibiwa nje ya nchi hongera san Prof janab
Kazi nzur professa janabi
Yn uyu mzeee katulia jamani daaaaa mpka na mwelewa 🤗🤗🤗
Hongera sana Daktari kwa weredi wako!! Keepgoing Prof
Prof ur ze best.....MNH iko🔥🔥🔥
Mungu akuzidishie prof
Nimeelewa Pro....
Mpo sawa kabisa kupunguza mlipuko wa magonjwa
uko sawa prof cha msingi utaratibu ufuatwe na kufanyiwa kazi
Sawa professa Nimekuelewa
Hongera sana Prof. Janabi kwa utawala mzuri
Namkubali sana huyu prof
Professor mungu akuweke una akili mpaka chafu
At least layout imekaa vizuri sasa...mwanza ilikua ni hectic kwakua layout ya eneo ilikua haijakaa sawa
Tulichelewa wap kumpa Prof janab Hospital ya Taifa muhimbili
M/mugu akuzidishie tanzia nd yako Moshi majungu amefariki
Doctor tunsomba muwasa8die wananchi WA chini wawe wanaingia hata 5 kuona wagonjwa wordini. Hii inawajenga hata wagonjwa kisaikolojia.Nb hospital za private Kwa wakubwa mbona huingia tu.t7naomba sana hili pro utusaidie
@Jakayamiplayz
Жыл бұрын
unajua kwa nini watu wa hali ya chini wanakufa hovyo hovyo? ni kwa sababu wakiambiwa hawaelewi..ushaambiwa kuna nosocomial infections mahospitalini.. mkiingia kwa msongamano unaambukizwa na unaambukiza pia, sasa kama hilo tu huwezi kulielewa unaanza kuleta siasa na huruma kwenye sayansi, then you have a big problem
@sskondopoleani9616
11 ай бұрын
Halafu usijifananishe na WAKUBWA KWA HERUFI KUBWA, wewe ukipata maambukizi yeyote Tiba ni hapa hapa. Wakubwa bima zao zinaruhusu kubebwa na Air Ambulance kwenda popote, hayo wafanyayo ni kwa ajili yetu, tushukuru na kukubali sheria, hayo yako duniani kooooooote.
Kumekucha huku una mgonjwa ulipoe bill huku ulipie parking mbona jmn hamna huruma na wananchi
Wekeni taa za kutosha nje hapo
Chezea madem waSudan
Umeboresha san Hospital ya muhimbili
Natamani uje ata uwe rais wa hii nchi jamani
Heee hawa wasudani wameleta msukumo
@mcback4384
Жыл бұрын
Mmmh Mbona ujenzi umeanza ni zaidi ya miezi 6 sasa?
@nassercurtis9579
3 ай бұрын
Msukumo upi wameleta wakati wenyewe wamefika tz tu wameshangaa kuona imejengeka na pasafi sana na watu wake wastaarabu sasa wao wameleta msukumo gani zaidi ni wanafunzi na wametokea nchi yenye changamoto ya kisiasa, hivi wanaweza kuwa bora zaidi ya proffesors?