Mtoto Mwenye kipaji

RC MAKONDA akimsikiliza mtoto NICE NICOLUS SWAI ana miaka 5 mwenye kipaji maalum.

Пікірлер: 126

  • @gracesamson4339
    @gracesamson43394 жыл бұрын

    Ni karama za mungu barikiwa mtoto na ziwa ulilonyonya libarikiwe pia,Ameen

  • @twazihirwajosam725
    @twazihirwajosam7254 жыл бұрын

    Chaliii uko PW mungu naomb akulind kwa sababu dunia hiii kunawtu awapend iv Mungu nawe pamoja na we amen

  • @shamanred2472
    @shamanred24726 жыл бұрын

    I'm from Kenya and I believe every Tanzanian child can be as smart as this one, if we give them the opportunity. He probably has good parents. Love TZ.

  • @titusolesangale1870
    @titusolesangale18703 жыл бұрын

    Mungu umjalie mtoto huyu katika talent take inshallah

  • @osmundibanda6089
    @osmundibanda60897 жыл бұрын

    Daaaahh huyu mtoto nimempenda bure he is very talented my God bless you

  • @dengdior7280

    @dengdior7280

    6 жыл бұрын

    Osmundi Banda I hope you mean May god bless you.

  • @janemlilo2169
    @janemlilo21696 жыл бұрын

    I love my self

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho23613 жыл бұрын

    Huyu mtoto Mungu akimjalia apelekwe shule maalumu kama Tabora Boys enzi zileee.

  • @miriamngosha6856
    @miriamngosha68566 жыл бұрын

    Jaman mungu siku aje anipe utajir nijekuja kuwasaidia watoto wenye talent kama awa dh

  • @yuzarsifbulushy5451
    @yuzarsifbulushy54514 жыл бұрын

    Mashallahh mungu Ambariki.. This Boy He will be a Good Leader in future.may Allah Gives hime a good health n Long life with his parents. Ameen.

  • @milicentjonathan1832
    @milicentjonathan18326 жыл бұрын

    Mungu amtangulie...he is genious

  • @emmanuelreuben5014
    @emmanuelreuben50143 жыл бұрын

    Hatari sana

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo12432 жыл бұрын

    Mungu amlinde,, watu wengine wana umri mkubwa na wengine wameajiriwa maofisini ! mishahara minono ! lakini hiyo lugha inapita kushoto

  • @muhammedomar3539
    @muhammedomar35396 жыл бұрын

    daaaaaah sina lakusema ispokua nawaombea watoto wote mafanikio mema pia nimevutiwa sana sana kiasi ambacho mm pia najihisi niko chini sanna kwa hawa watoto thay are very talented.

  • @guyoibrahim3100
    @guyoibrahim31004 жыл бұрын

    OMG he is genius, may God bless him and give him happy long life

  • @jbdebbielish8483
    @jbdebbielish84835 жыл бұрын

    Genius God bless you abandantly Saudi Arabia watching

  • @farajamwakamyanda3014
    @farajamwakamyanda30146 жыл бұрын

    Nimempenda buree ata mimi sijui kanishinda mweee

  • @bintdhahabu787
    @bintdhahabu7874 жыл бұрын

    mashallah nimempenda bure mtoto huyu big up totoo

  • @aminambukuzi999
    @aminambukuzi9994 жыл бұрын

    Mekapenda jaman natamani kukasikiliza mda wote the way kanavyonyoosha maneno na bila kutetereka good boy😘

  • @alvismumkaranja3360
    @alvismumkaranja33606 жыл бұрын

    Genius boy my God help you

  • @fatumaababy1281
    @fatumaababy12817 жыл бұрын

    MashaAllah...your so talented may God see you through..

  • @asas-gl6el
    @asas-gl6el5 жыл бұрын

    Wao u kill it umewaweza wote keep up....

  • @hassanmseya4283
    @hassanmseya42837 жыл бұрын

    haaaaaaaaaaa mtoto atoa changamoto mwacheni hawe huru kiswahili hajui

  • @esterbhulituma9381
    @esterbhulituma93814 жыл бұрын

    Jamani Hadi nime Lia kwa furàha

  • @user-yl5bv7du6o
    @user-yl5bv7du6o4 ай бұрын

    Jamani alienda wapi uyu mtoto

  • @mesatagirassane4853
    @mesatagirassane48534 жыл бұрын

    essa criança é talentoso, oh meu Deus abençoe ele.

  • @ummuzainab2332
    @ummuzainab23324 жыл бұрын

    Hongera babs

  • @safiaothman1098
    @safiaothman10983 жыл бұрын

    Maa Shaa Aallah

  • @nigothegreat4799
    @nigothegreat47993 жыл бұрын

    Yeeeeeeeeeeeees ma'fuckn son like y'know???

  • @salamakombo3257
    @salamakombo32574 жыл бұрын

    Mashalla mashalla Allah amuongoze

  • @annamalunda2732
    @annamalunda27324 жыл бұрын

    God bless u my Dr

  • @saidngetti2852

    @saidngetti2852

    4 жыл бұрын

    nice nice nce god bless you

  • @seniorlecturerperfectboy5615
    @seniorlecturerperfectboy56155 жыл бұрын

    dg anajuaaaa lecturer ww dg for future

  • @ceciliambui5972
    @ceciliambui59723 жыл бұрын

    Wow

  • @enikereuben2174
    @enikereuben21744 жыл бұрын

    Wawooo so marvellous

  • @agnesalex8579
    @agnesalex85793 жыл бұрын

    Waooooooo

  • @esthersimiyu4634
    @esthersimiyu46345 жыл бұрын

    Hayo ni mapepo naogopa

  • @magencheye2324
    @magencheye23244 жыл бұрын

    Big up

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo25047 жыл бұрын

    GINIUS LILTTLE BOY

  • @davidnyangweso3232
    @davidnyangweso32326 жыл бұрын

    Does he have a small earphones that someone is telling him what to say or how to solve math problems. Or he's just too smart a genius

  • @cliffthepoet9664
    @cliffthepoet96646 жыл бұрын

    wow am from kenya buh that little chap is big time ...salute

  • @lettyciajames6329

    @lettyciajames6329

    6 жыл бұрын

    macx

  • @lettyciajames6329

    @lettyciajames6329

    6 жыл бұрын

    Exxon

  • @lettyciajames6329

    @lettyciajames6329

    6 жыл бұрын

    mapenz

  • @ankotemba7369
    @ankotemba73696 жыл бұрын

    yani nimejiona fala mbele ya huyu mtoto duh apana aseee

  • @cyprianmisana1244
    @cyprianmisana12445 жыл бұрын

    Gud boy🤔🤔🤔🤔🤔👊👊👊👊

  • @jamilaomary945
    @jamilaomary9455 жыл бұрын

    Good

  • @vailethkomradi7606
    @vailethkomradi76065 жыл бұрын

    uyo mtoto ni tare

  • @razansalim532
    @razansalim5324 жыл бұрын

    MashaAllah

  • @glorywiliam1172
    @glorywiliam11723 жыл бұрын

    Baba mdomo wazi mtt atamuumbua

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii16764 жыл бұрын

    Mhhh sijui nisameje

  • @adam5ramadhan154
    @adam5ramadhan1544 жыл бұрын

    Maasha Allah

  • @martinomondi5468
    @martinomondi54686 жыл бұрын

    That boy is genius

  • @lettyciajames6329

    @lettyciajames6329

    6 жыл бұрын

    ex

  • @leilahomar5608
    @leilahomar56086 жыл бұрын

    dadadeki adi lijamaa linachemka alitaka kumuuliza dogo unamfahamu magufuli kwa kingereza likachemka uyo dogo nishida

  • @richardjehas999
    @richardjehas9995 жыл бұрын

    nice my young br

  • @ustadhnassor4809
    @ustadhnassor48095 жыл бұрын

    wow💛

  • @godfreykizila8632
    @godfreykizila86326 жыл бұрын

    Wabongo pichauchi

  • @maryamelyas9382
    @maryamelyas93827 жыл бұрын

    Sina neno mtoto Anajua kila analoulizwa penda sana yeye

  • @markbarige5785

    @markbarige5785

    7 жыл бұрын

    Nace

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid30954 жыл бұрын

    ma sha allah

  • @abrendakalengela3169
    @abrendakalengela31695 жыл бұрын

    Jaman

  • @hermankihama9330

    @hermankihama9330

    5 жыл бұрын

    Anatisha nimempenda saaaana yani.

  • @lucyjeremiah877
    @lucyjeremiah8775 жыл бұрын

    God

  • @antoniasaimoni3677
    @antoniasaimoni36776 жыл бұрын

    Safi

  • @ntigarmakobar3169
    @ntigarmakobar31697 жыл бұрын

    we dogo hatareee sana

  • @samuelowusu8462

    @samuelowusu8462

    6 жыл бұрын

    Ntigar Makobar yotub

  • @nancymimo3457
    @nancymimo34577 жыл бұрын

    achakulazimisha mtoto kujua Kiswahili....hataki

  • @mustafassaidsaidmnyanjoka2895

    @mustafassaidsaidmnyanjoka2895

    6 жыл бұрын

    yote ni majliwa ya mwenyezimungu

  • @r-boymnyange3743

    @r-boymnyange3743

    6 жыл бұрын

    Nancy Mimo hahahahaha

  • @shiraann632

    @shiraann632

    6 жыл бұрын

    Mtoto kapenda kizungu

  • @lucyzakaria4258

    @lucyzakaria4258

    4 жыл бұрын

    😂😀😀😀😀😀😀😀😀😂😂😂😂😂😂😂

  • @marrychomola1828
    @marrychomola18284 жыл бұрын

    Da aaaaah

  • @elizabethmwandu287
    @elizabethmwandu2876 жыл бұрын

    Mmm huyu mtoto ni balaa

  • @paschalfrancis9383

    @paschalfrancis9383

    5 жыл бұрын

    Elizabeth Mwandu kweli hatali sehemu gani

  • @rozinaswenya1719
    @rozinaswenya17196 жыл бұрын

    Kashangazi kangu hako jamani.mmmmhh

  • @simonmhanje8251

    @simonmhanje8251

    4 жыл бұрын

    Yuko wapi sasa ivi shangazi yako dah yuko gud sana

  • @nemesdavid7346
    @nemesdavid73464 жыл бұрын

    Mashallah baby boy

  • @Vel42
    @Vel424 жыл бұрын

    Wa!!!!!

  • @princek047
    @princek0475 жыл бұрын

    Baba acha kulazimisha mtoto lugha yenye hataki. Plus hayo maswali.

  • @princek047
    @princek0475 жыл бұрын

    Hayo maswali ata kama......!!!!!???

  • @sarahrashidirashid9384
    @sarahrashidirashid93847 жыл бұрын

    Kuna watu wakasema makonda hajui kingereza naapo nini

  • @brudatv3539

    @brudatv3539

    6 жыл бұрын

    Anajua kingereza lakin kaforg vyet

  • @georgemhalla8853

    @georgemhalla8853

    3 жыл бұрын

    Amechapia Sana, aliposema I was speak, kiswahili. Alitakiwa asema I was speaking kiswahili au Swahili. Tunapotumia was, past tense lazima iwe na I.n.g, kwa mfano I was eating food. Sio I was eat food,

  • @mkenyahalisi1047
    @mkenyahalisi10476 жыл бұрын

    Babake ni nani..anipe mimba na tuachane roho safi

  • @willhector9478

    @willhector9478

    6 жыл бұрын

    Slavian Riziki Unajuaje labda kipaji kimètoka kwa mama, by the way he just murdered English language.

  • @lizadhiambo4760

    @lizadhiambo4760

    6 жыл бұрын

    mkenya halisi hahaha eti mimba he he kwle ww htr

  • @esthersimiyu4634

    @esthersimiyu4634

    5 жыл бұрын

    Hahaha

  • @bosheabdiproductionmediace3653

    @bosheabdiproductionmediace3653

    5 жыл бұрын

    mkenya halisi hhhhhhh ni mimi Babake

  • @aminambukuzi999

    @aminambukuzi999

    4 жыл бұрын

    Haha

  • @ceezbongo9835
    @ceezbongo98356 жыл бұрын

    nimekosa cha kuongea

  • @patmush7516
    @patmush75167 жыл бұрын

    Kwa nini asishiriki shindano la *Child Genius* lililopo Marekani huko atakutana na wenye uwezo kama wake

  • @bonishani638

    @bonishani638

    6 жыл бұрын

    Pat Mush like it's was perfect

  • @dengdior7280

    @dengdior7280

    6 жыл бұрын

    Pat Mush actually he doesn't that much of a English trust me,😂😄😂😂 what a broken English. R.I.P ENGLISH.

  • @jamesgetogo4137
    @jamesgetogo41377 жыл бұрын

    🚶

  • @zenaisitairo9510

    @zenaisitairo9510

    5 жыл бұрын

    UBUNTU TV xde 1w4@\t563…424

  • @evansodhiambo2030
    @evansodhiambo20306 жыл бұрын

    The boy's English is better than that of the guy interviewing him.

  • @peterdemmory2153

    @peterdemmory2153

    6 жыл бұрын

    thanks

  • @ezekieljacob5795

    @ezekieljacob5795

    4 жыл бұрын

    We mchokozi baki huko huko

  • @akinyililian3330
    @akinyililian33306 жыл бұрын

    Kipawa kutoka kwa mungu

  • @frankmpoto5347
    @frankmpoto53473 жыл бұрын

    Hakuna kipaji hapo kipaji hajipo hivyo watafuteni wanaojua kuhusu vipaji kama na huyo mtoto watamuweka miongoni mwa wenyevipaji?

  • @Rugemalilatv1994
    @Rugemalilatv19947 жыл бұрын

    huyu mtoto akaongoze mkoa flani kuliko yule kilaza

  • @adammkono636

    @adammkono636

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @selemanihussein5073
    @selemanihussein50736 жыл бұрын

    msimuweke mungu namambo yakijini, YESU ANERUDI TANZANIA hahahahaahahaaaaaa, TANZANIA kuwenu makini sasa mnapoelekea kubaya mtajishangaa mi nipozangu. UKIZARAU YA MUSA UTAYAONA YAFIRAUNI. be careful u guys

  • @jicksonnkulikwa6090
    @jicksonnkulikwa60907 жыл бұрын

    MIMI NA SIASA NOOOOOO!!!!! INATOSHA KUONGOZA UMMA ,ILA NIKITEULIWA HAMNA SHIDA NIPO TAYARI KUITUMIKIA NCHI .

  • @saidyaummy6132
    @saidyaummy61325 жыл бұрын

    Messi

  • @ujjju6294
    @ujjju62945 жыл бұрын

    Why are u quiet a child like a grownup u have to be easy with a child that too has

  • @selemanihussein5073
    @selemanihussein50736 жыл бұрын

    huyo mtoto siyobure anatumiwa namajini.... mbona kiswahili hakijuwi vizuri nawakati kingereza siyo lugha yake....kuweni nyinyi ndomana NEY aliwaita MAZOMBI. huyo mtoto anaogozwa najini full stop. kwanza hana uoga anajikubali sana anakitu kinamfanya hivyovyote, ushauri wangu wamuulize mama yake vizuri, huyo jamaa ALIIBIWA NA JINI.

  • @countinguptoupthere5169

    @countinguptoupthere5169

    6 жыл бұрын

    Selemani Hussein jaman naungana na ww sio bure kingereza kakijua wap wakati baba haongei kama mtoto bora angekua kakulia nje ya nchi tungesema lakin bongo tena familia ya kawaida kabsa mm mwenyewe nimekataa sio akiri zake hizo mtoto anamjua makonda kuliko hata mm mtu mzima hapana nimekataa kabsa.

  • @topestamohammed3538

    @topestamohammed3538

    6 жыл бұрын

    Selemani Hussein stop being stupid that is why Americans say africans we have got alow IQ americans have got a lot of kids like this wewe na kende lako ati jini wale waotaja marais wa dunia nzima pia ni jini

  • @heavengift779

    @heavengift779

    5 жыл бұрын

    Seleman Hussein @ we jamaa umekosa akili unge kua karibu nge Ku shoot bullet ya kichwa

  • @heavengift779

    @heavengift779

    5 жыл бұрын

    Topesta Mohammed @ sure, this is a reason why akina trump wanatudis , bcoz of this madness, that is a talent, we have to accept.@@ hint; late rply I was in jail

  • @simonmhanje8251

    @simonmhanje8251

    4 жыл бұрын

    @@heavengift779 😂😂😂😂

  • @frenkpalanjo9511
    @frenkpalanjo95117 жыл бұрын

    wema setu

  • @saiddukani2062

    @saiddukani2062

    6 жыл бұрын

    Frenk Palanjo mambo

  • @rachaelmuthama1487

    @rachaelmuthama1487

    6 жыл бұрын

    Leave the baby alone.he wants to speak English.good for him.wale hamjuhi kizungu kaeni kimya

  • @frankmpoto5347
    @frankmpoto53473 жыл бұрын

    Hapo ni sawa tu na mtoto umsikie anazungumza lugha ya kichina wakati hajawahi kufundishwa halafu useme nikipaji, wapi na wapi hapo? Kipaji kwaufahamu wangu ni mtu kuwa na uwezo fulani au kufanya jambo fulani kwauwezo mkubwa waziada tofauti na wengine lakini bado njia kuu yakufikia uwezo wa juu zaidi huwa wakufanana kwaasilimia kubwa lazima mtu huyo apitie kwa mwalimu

  • @faboge
    @faboge6 жыл бұрын

    perfect child, interviewer is not faring that well

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina58066 жыл бұрын

    I know he knows English but he doesn't speak very well hahaha you need teach child good ways guys

  • @beatriceatieno1509

    @beatriceatieno1509

    4 жыл бұрын

    His yhr

  • @janemlilo2169
    @janemlilo21696 жыл бұрын

    I love my self

Келесі