I can listen to this elder all day long without getting tired. He is a walking history book
@omarhassan235 жыл бұрын
Asante sana kwa Elimu nzuri
@medudesignstudio73065 жыл бұрын
i do love my fellow swahilis do you?
@Ali-nl2du2 жыл бұрын
Assalaam alaykum ustadh Abdurrahim. Asante sana kwa maalumati muhimu kama haya. Umenitia hamu kuifanyia utafiti zaidi lugha ya baba yangu - kimakunduchi. Allah akujaze kheri na akupe umri na afya.
@amehassanrehaniznz7372 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu na yeny kher ndan yako umetufunuwa vichw tulioweng tulikua hatufaham
@arqamhassan63025 жыл бұрын
وقل رب زدني علما
@ramadhanbaraka64742 жыл бұрын
Mimi ni mngozi yaani mswahili mbari yangu ni mklilindini.
@robertodundo22695 жыл бұрын
Abdurahim asante sana kwa kutusimulia historia ya Waswahili. Na ninakuomba kwamba, kwa vile unaufahamu mkubwa wa historia ya Waswahili jitahidi uandike kitabu iwe kama kumbukumbu la utamaduni wenu. Hakuna lugha marufu kama Kiswahilli Africa.
@swahiliwithdavid5910
4 жыл бұрын
nakuona Jatelo (David Ng'wesa)
@kennedymbevi9940
3 жыл бұрын
Great knowledge from abdurahim, what a great scholar. Plz document all these for posterity. As a bajuni, I find we are limited on sources of our culture that is not on print or online
@medudesignstudio73065 жыл бұрын
This knowledge should go on wazanzibari twaupenda uswahili wetu
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Ni huko ndiko Uislamu umepamba moto na Ujanja mwingi
@viva0015
2 жыл бұрын
Wazanzibari walitokea mainland ndio wakavuka wakaenda kisiwani Zanzibar. Watumbatu, wahadimu na wamakunduchi walitokea Kwale County (South of Mombasa) pamoja na wapemba ambao asili yao ni Wabajuni. Wote hawa walitokea Shungwaya more than 2000 years ago
@fatmamohammed98052 жыл бұрын
Eeh! I really like the way you educate us. Twataka kitabu kuhusu hii history. Be blessed Amoo.
@barghashbinsaid9414 Жыл бұрын
Ww hujui histori bajuni ni mwarabu na bantu kutoka shungwaya huna hata haya nenda ukafundishwe histori vizuri
@mawalimedia
Жыл бұрын
@barghashbinsaid9414 Nikafundishwe historia ya urongo? Mutadananywa inni vadhuka mukose hakizenu
@Binjaafar00510 ай бұрын
Abdulrahim ali bakathir wakiungana na istanmbuli aah kwisha tushachukua pwani yetu
@honestyfirst21652 жыл бұрын
Harar city was established by sheikh Abaadir the ancestor of assorted communities called Harari and somali clan sheeqaal. Harar communities included mixture of arabs, Greeks, Turks, Ethnic Ethiopians and Somalis.
@user-ye9er3gr5k4 жыл бұрын
Wabarawa sio waswahili boss..., Usidanganye watu
@ramadhanmusa2878
4 жыл бұрын
Chimbaa
@hassammohammed5046
4 жыл бұрын
Sasa wabarawa nani
@mugishaprimeroger728
3 жыл бұрын
Si ujitokezee bwana utwambie nini sahihi
@abudimuddy517
3 жыл бұрын
Muongo sana huyu mzee analazimiaha wabajuni eti ni waswahili
@abudimuddy517
3 жыл бұрын
Hakuja mswahili daraja la pili.....waarabu walioa waafrika ndio akapatikana mswahili
@111dudi5 ай бұрын
Huwezi kuutoa uarabu katika uswahili. Lugha,mila na desturi za kiswahili zimetoka ndani kwa waarabu
@SWABRASWALEH-nc2lf
3 ай бұрын
Warabu walikuta watu wakishi mwambao wa pwani ndio hao waswahili kuishi na wao kwa mda mrefu ndio lugha pia ikaingiliwa na kua mix na kiarabu. Kama kiswahili cha leo kimekua kama cja kibara kama kinyesi, buriani hizi lugha zimetiwa katika kiswahili kwasababu ya wageni
@aliathuman20782 жыл бұрын
Waswahili ni wahabeshi ama waethopia walioishi pamoja na mijikenda shungwaya lakini asili ya hawa waswahili ni uhabeshi...wao wana lugha asili na kwa vile waliishi pamoja na minikenda kule shingwaya wana maneno ambayo wamegawa na ni marafiki wa tangu jadi....asili haswa ya watu wenye nywele za singa ni bara la kati japo baadhi ya makundi walivuka hadi kazkazini mwa Afrika na kutawala eneo pana la kazkazini mwa bara la Afrika
@viva0015
2 жыл бұрын
True and not true. Waswahili wameingiliana na mijikenda 400 years ago ndio hawa waswahili daraja la pili
@aliathuman2078
2 жыл бұрын
@@viva0015 waswahili wapo aina nyingi kunao wa mvita, amu, wa manga na makundi mengineyo na kila kundi hapa lina asili yake...hawa wa manga ndio kundi kubwa lililochanganyikana na mijikenda na pia walitawanyika hadi pemba kwasababu wao walikua wafanyi biashara.. baadhi ya wa Amu wana uhusiano na kiasilia na wasomali,wa ethopia wa eritrea..wanaitwa watu wa (kush) cushites
@viva0015
2 жыл бұрын
@@aliathuman2078 wamanga ni waomani na wayemen ni hadhrami. Hadhrami ndio walifika mbele ya waarabu wengine wote. Indonesia kuna hadhrami wengi kuliko walioko yemen, India mpaka Madagascar. Hao unaowazungumzia ni daraja la pili bali sio wambari au waasili au wanati. Waasili ni watikuu na wabarawa ambao wako Barawe (banadir coast of somalia), kismayu ni wabajuni na Gobweyn ni wa kuday pia moja wapo jamii ya wabajuni hadi Kisiwa cha Koyama
Hapo kwa wamtang'ata nimekukubali ni ela nenda au awa yaani kuenda ukantangie ni kutafuta asumani mswahili haswa athmani humuita asumani
@hudaasaalim13335 жыл бұрын
Vp unasema watu wa unguja.na.wapemba sio waswahili sisi ni waswahili halisaaa kimila.na kilugha pia. Tunajiita wapemba kwa kua tumezaliwa pemba. Ni kama ulivosema kuwa hao wangozi walipoitia baraka wameziita wabarawa.au walipofika ami wakaajiita.amu.
@medudesignstudio73065 жыл бұрын
waswahili tuwe pamoja tusitafute sababu za kubaguana
@francismuiruri90642 жыл бұрын
Where is the history he is talking about? Which books?
@saliscorner79802 жыл бұрын
Beautiful🥰
@guledabdi742 жыл бұрын
Masjid Kiblateyn ipo SOMALIA pia Wasomali ni watu wa kwanza kukubali Uislamu
@yaasirhakim501 Жыл бұрын
Ila unazungumza kiswahili cha ZANZIBAR HASAA
@abdallahshee10854 жыл бұрын
Kwly kabisa asili zetu zinapotea
@yusufchesui57714 жыл бұрын
Aaaah
@geoffreysoloshija19092 жыл бұрын
Kiswahili kisukuma Moja. Solo Mbili. Bhili Tatu. Lyato NNE. Nhine Tano. Satu Sita. Tandatu Saba. Pungati Nane nane Tisa. Kenda Kumi ikumi Kutoka Tanzania bara northern western Tanzania southern of the shores lake victory
@eastzooadmin6416
2 жыл бұрын
Kimijijenda Moja - Mwenga Mbili - mbiri Tatu - tahu Nne - ine Tano - tsano Tendatu - tendahu Kenda - chenda, Haya maneno yote ni ya kimijenda yakageuka kuwa kiswahili baadae
@chaka18974 жыл бұрын
Cc:wallah bin wallah et al
@haarithomar7553 жыл бұрын
Wabajuni safii wako somalia kenya hakuna wabajuni wote ni wagunya
@amourrajab6061
3 жыл бұрын
kuna tofauti ya wabajuni na wagunya
@fikafikan8484
Жыл бұрын
Hakuna mgunya
@user-us6ze8bz3u8 ай бұрын
Assalaam aleikum.mimi niko na suali.mbona hawa wa morroco hili jina la fatma waliita fatima..kama sisi watu wa amu?
@mideyeadde14703 жыл бұрын
Hey! Eti mpaka Mogadishu ni swahili land. Sisi hatuna shida na ndugu zetu waswahili lakini msidae ardhi ya wenyewe.
@alphasystemcurtstv4243 жыл бұрын
Weww acha kuzalilisha wamijikenda uswahilin kwetu
@fikafikan8484
Жыл бұрын
Mijikenda watu wajuzi tu
@mohamedabsi98744 жыл бұрын
We wapromote ugunya na ubajuni mzee...
@abudimuddy517
3 жыл бұрын
Umeonaee
@muhidinali81803 жыл бұрын
Mengi unayoeleza kuhusu historia hasa kwa zanzibar unguja ukimwambiamtu moya haelewi nimuongowwe na lughayoyote inamchanganyiko baadhiya maneno yanaingiliana
@user-sk8bn4zf6p3 жыл бұрын
mbona ngazija lugha yao kama kigiriama?
@Issa_negro Жыл бұрын
Naam! Nimekukubali sana mzee wangu 🙏🏽... lakini swali langu ni mbona somalia kuna kabila ambao usemi wao wafanana na wadigo na wagiriama?
@romancymancyomarcom189
Жыл бұрын
What's the name of the tribe in Somalia???
@Issa_negro
Жыл бұрын
@@romancymancyomarcom189 mushunguli
@romancymancyomarcom189
Жыл бұрын
@@Issa_negro Ok, thanks, i know them but as Wazigula people, thanks anyway...
@romancymancyomarcom189
Жыл бұрын
@@Issa_negro Because Wangazija also in Comoros island their dialect very close to Wagiriama and Wapokomo people...
@medhers10502 жыл бұрын
No Qiblatein is not in Lamu, but Zeila, town
@viva0015
2 жыл бұрын
There is one in Lamu Archipelago
@salimomarmkapa3 жыл бұрын
Sheikh wangu hapo unakosea hujatenda haki kabisaa. Najua we ni mkubwa unayatambua mambo mengi ila nakuomba hili usilete ubinafsi tafadhali uswahi umezaliwa Zanzibar, Tanganyika kikafika nakunawili mi sioni Kenya hapa. Kenya waswahili wenyewe wako hapo Mombasa nawengine wachache kando kando, sasa unataka kuleta hoja kama zile za wale wasemao eti Kilimanjaro ni mlima wa Kenya? Samahani mkuu. Ila inawezekana kabla ya wazungu kugawanya Africa inawezekana Mombasa ilikua ipo upande wa Tanzania lakini sio uswahili umetoka Kenya, Wakenya wenyewe kiswahili wanabangaiza bangaiza tu na kukisikia kwa taarifa tu afu unawapa uswahili wasiousihali lahasha.
@fikafikan8484
Жыл бұрын
Ww huna ujuwalo nyamaza
@nasibudarbi26003 жыл бұрын
Wabarawa sio waswahili
@zeyanaharmisuleiman696
2 жыл бұрын
Wewe hujui lugha halisi ya kibarawa ni chimini ni dialect ya kiswahili
@blessingchanne1866
2 жыл бұрын
@@zeyanaharmisuleiman696 hawafanani hata waswahili
@kevinswahili1991
5 ай бұрын
hawafanani kisura au culture au maongezi au kivipi?@@blessingchanne1866
@maxibgtv1332 Жыл бұрын
Harar used to be somali city not habesha
@ramseyhusseinkhamis82585 жыл бұрын
Nyie waswahili hamuelewi histria yenu!
@MK-ps2gw
4 жыл бұрын
ramsey hussein khamis si nyiye na wewe ni nyinyi.
@hassammohammed5046
3 жыл бұрын
Waswahili hawana historia ni mchanganyiko wa kabila tofauti
@1961nungwi Жыл бұрын
Hapo kashatia Kipare aliposema ' mfungate' maana yake ya Saba! Pia kasema Kipare 'mtange Athumani' , maana yake Muite Athumani'....Sasa mbona Kiparee!!!
@hudaaalhussein38413 жыл бұрын
Aus na khazraji ni warabu,mpk vitabuni tumezisoma,
@user-sk8bn4zf6p
3 жыл бұрын
naam lakini aus na khazraj ni makabila ya makkah na Madina na wasaudi hawana historia ya kusafiri kuja africa mashariki
@MohamedAhmed-ix3mf3 жыл бұрын
Mswahili si wahili wala lile ,lazima awe muongo akipita mwanamke lazima angalie makalio yake ,alphabeti lugha ya kiswahili haina
@binabeidsalim6380 Жыл бұрын
Jamani ukweli mbona hamuutaki ? Mswahili Ni mbajuni ndie babuuu Mijikenda mukiambiwa siwaswahili sinakosa nyie na waswahili ni watu mbali mbali Lugha tamaduni mila dini mikoa tafauti na waswahili sasa Muna lazima gani mutake kuitwa waswahili???
@masoudmasoud81382 жыл бұрын
Kiswahili asili yake wapi kenya 🇰🇪 acha zako wee mi nakata muongo
@kanyijoel159
Жыл бұрын
Kiswahili asili yake kenya
@kevinswahili1991
5 ай бұрын
wewe Mkenya or Mtanzania?
@user-ye9er3gr5k4 жыл бұрын
Eti Mogadishu ilikua ikiitwa Swahili land😂😂😂 hatutaki ubajo boss.... Waswahili hawajijui wametoka wpi😂😂😂 mixture of long time
@@user-ye9er3gr5k tumbiri Tu ww karukia mitagaa uko,ya waswaili achana nayo
@user-ye9er3gr5k
4 жыл бұрын
@@ramadhanmusa2878 mie ni mwaraabu na tumbiri ni wewe mswahili mnao firana mkundu Basha mkubwa wewe Tena mwana haramu hata hujui asili yako
@ramadhanmusa2878
4 жыл бұрын
@@user-ye9er3gr5k mwarabu wawapi😅😅 house boy Tu ww waosha chupi zawamanga usjiite mwarabu
@hudaasaalim13335 жыл бұрын
Unguja.wapo indigenous people wamakunduchi tena wazungumza kiswahili chao. Watumbatu. Wahadimu. Washirazi Pemba kuna wabajuni, washirazi ,wakojani. Tena tunazo hata family tree ya family zetu kuwa wengine walitoka barawa .ama kuhusu Ethiopia namekuskia wewe.
@mojambili6372 жыл бұрын
Mzee unatoa elimu ila unaongea kwa chuki na kiubaguzi sana,unaongea kifikra zako zaidi ili kutaka kujifanya bora, hayo ndio yaliyomfelisha ibilisi
@1961nungwi Жыл бұрын
Kwanini watu watoke bara waje Wawa andikie historia Waswahili. Wawahili kwanini hawakuandika wenyewe? Kwa Ujumla woote ni Waswahili tuu! Waafrika basi. Popote Duniania mtaitwa Waafrika tuu! Basi.
@sherkyryusuf34635 жыл бұрын
Wapitakana wapi Sheikh Bakadhir?
@amehassanrehaniznz7372 жыл бұрын
Kiswahil asili yake zanzibar
@viva0015
2 жыл бұрын
Wazanzibari walitokea mainland ndio wakavuka wakaenda kisiwani Zanzibar. Watumbatu, wahadimu na wamakunduchi walitokea Kwale County (South of Mombasa) pamoja na wapemba ambao asili yao ni Wabajuni. Wote hawa walitokea Shungwaya more than 2000 years ago
@kevinswahili1991
5 ай бұрын
wrong
@sheengazi42452 жыл бұрын
Muongo sana wewe mzee kasome tena
@masoudmasoud8138
2 жыл бұрын
Muongo sana huyu mzee kweli nakubaliana na wee izo ni.lugha za makabila zao tu asituchanganye
@Abdikarim_baayo10 ай бұрын
Sasa hii hekaya yako bwana na wa Somali uliwaweka wapi na uasilia wao !?
@fightnightmotivation76892 жыл бұрын
Tandatu/fungate Kwa kimijikenda ni tandahu na fungahe alafu wasema hamukutoka Kwa wamijikenda
@benjaminyeri3842
2 жыл бұрын
Nashangaa pia
@viva0015
2 жыл бұрын
Wamijikenda ni wageni walitokea shungwaya 400 years ago. Mijikenda walitoroka vita baina yao na wagalla huko Shungwaya na walipofika pwani ya afrika mashariki walikuwa wakilipa ada za wanati na Walifika 1592
@kfastak5 жыл бұрын
Kiswahili kinaanziaje Kenya kivp ndungu! Vp Tanga pangni, Bagamoyo na kilwa. Haipngk kwamba nny ni wswhili... Ila Tanzania pia ni wswhili mno kama nny
@bestfitpro874
5 жыл бұрын
kiswahili kilizaliwa kenya na asili ya waswahili ni wanaoishi pwani ya East Africa from Southern Somalia to Northern Mozambique. Sio wanaoishi bara ya kenya na Tanzania
@hassansalim9498
5 жыл бұрын
ikiwa chanzo cha uswahili na kiswahili ni shungwaya na eneo la shungwaya liko kusini mwa Somalia kuanzia Kisimaiyu na zisiwa zake Koyam Ngumi chula chovae Chandaa na mji uitwao shungwaya mpka Leo uko (Burikao )karibu na ras Kiomboni mpakani Kenya yani mijii hii ndio ilo kuwa ikiitwa shungwaya ! leo iweje kuwa kiswahili kiliazia Kenya ???
@haadroon
4 жыл бұрын
@@bestfitpro874 kenya ili aanza juz juzi hata miaka 40 haija fikisha una maanisha kenya ilikuwa kabla ya waswahili na kiswahili imeletwa na wazungu weusi aka kenya
@haadroon
4 жыл бұрын
@@hassansalim9498 kenya ilibuniwa na wazungu huyo alizaliwa ndani ya ukoloni ya wazungu weusi aka kenya ya ki ukristo east africa company AKA kenya ngereza mpya! hajui kusoma ramani !
@maiyaal7inai260
4 жыл бұрын
@@haadroon wewe hujui historia
@gilbertwerema98705 жыл бұрын
Total ignorance
@shafikakrabi8490 Жыл бұрын
Huyu anapoteza watu
@kitomondo2 жыл бұрын
Distorted history of my people.
@sheengazi42452 жыл бұрын
Ati sita ni tandatu loh, muongo huyu Mzee,mijikenda pia sita uita tandahu na sio Kiswahili
@fikafikan8484
Жыл бұрын
Ww mkweli si useme ww mijikenda mulikuja mukuwa watumishi na mukaolewa kasome kitabu cha Ronald ngala hamjafikisha hata miaka miatatu
@yaasirhakim501 Жыл бұрын
Kiswahili ni chetu ZANZIBAR🤣🤣msitwambie kiswahili kimeanzia kenya huku kimeteremka tu io sio Ukweli, UFASAHA tunao sie sio nyie
@sanaamedia8177
Жыл бұрын
Kiswahili cha kale ni kingozi, wangozi ni Kabila ya kenya
@shahabdallah9407
Жыл бұрын
Jirani hata kingereza kmeanza kwke .. usishtuke
@fightnightmotivation76892 жыл бұрын
Hauezi zungumzia Kiswahili na kuwaacha wamijikenda nje, wamijikenda ndo kizazi cha waswahili ila nyie mwataka kuwa waarabu
@muhammadmochenje1409
2 жыл бұрын
Leta evidence wacha porojo za shule taja kitabu cha historia wacha mawazo za chuki mzungumzaji anataja vitabu na ushahidi wewe waleta porojo hapa leta ushahidi au utowe clips zako tuone uhodari wako Ronald ngala mwenyewe alitunga Kitabu 1950 kinaitwa this is my country ametaja haswa wamijikenda walipokelewa na waswahili hapa pwani hata miaka 300 hawana hapa.leta ushahidi wacha uropokaji hapa
@fightnightmotivation7689
2 жыл бұрын
@@muhammadmochenje1409 nimesoma vitabu na nimezungumza na wazee wakanipa historia ,wamijikenda walikuwa singwaya ambayo ni pwani ya somalia na hapo ndipo waswahili walipozaliwa
@fightnightmotivation7689
2 жыл бұрын
@@muhammadmochenje1409 ronald ngala hajakosea manake waswahili walikuwa tayari wametoka shungwaya na kushuka pwani ya kenya,wamijikenda tulipotoka tukapatana nao lamu ndo wakasema ndo kule kwa wayamu (mashemeji) jiulize mbona mmjikenda aitwe mswahili shemeji,hatukupokelewa na waswahili tulipokelewa na waata na wasokoke makabila yanayoitwa walangulo hivi leo
@fightnightmotivation7689
2 жыл бұрын
@@muhammadmochenje1409 kabla mswahili aje pwani ya kenya alikuwa wapi? jibu ni singwaya pale alipozaliwa .washirazi walipokuja pwani ya somalia waliwapata mmijikenda na mpokomo na wakachukua wake wa makabila haya wawili na wanao wakawa waswahili ,ndo maana mmijikenda alipofika lamu akaiitwa lamu wapokomo wakaita yamu kumaanisha mashemeji zao
@anwarsaid9579
2 жыл бұрын
Mm mpaka xaxa najuiliza mbona hawa wabajuni ama hicho kiswahili kina maneno mengi ya kimijikenda
Пікірлер: 137
I can listen to this elder all day long without getting tired. He is a walking history book
Asante sana kwa Elimu nzuri
i do love my fellow swahilis do you?
Assalaam alaykum ustadh Abdurrahim. Asante sana kwa maalumati muhimu kama haya. Umenitia hamu kuifanyia utafiti zaidi lugha ya baba yangu - kimakunduchi. Allah akujaze kheri na akupe umri na afya.
Mungu akupe maisha marefu na yeny kher ndan yako umetufunuwa vichw tulioweng tulikua hatufaham
وقل رب زدني علما
Mimi ni mngozi yaani mswahili mbari yangu ni mklilindini.
Abdurahim asante sana kwa kutusimulia historia ya Waswahili. Na ninakuomba kwamba, kwa vile unaufahamu mkubwa wa historia ya Waswahili jitahidi uandike kitabu iwe kama kumbukumbu la utamaduni wenu. Hakuna lugha marufu kama Kiswahilli Africa.
@swahiliwithdavid5910
4 жыл бұрын
nakuona Jatelo (David Ng'wesa)
@kennedymbevi9940
3 жыл бұрын
Great knowledge from abdurahim, what a great scholar. Plz document all these for posterity. As a bajuni, I find we are limited on sources of our culture that is not on print or online
This knowledge should go on wazanzibari twaupenda uswahili wetu
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Ni huko ndiko Uislamu umepamba moto na Ujanja mwingi
@viva0015
2 жыл бұрын
Wazanzibari walitokea mainland ndio wakavuka wakaenda kisiwani Zanzibar. Watumbatu, wahadimu na wamakunduchi walitokea Kwale County (South of Mombasa) pamoja na wapemba ambao asili yao ni Wabajuni. Wote hawa walitokea Shungwaya more than 2000 years ago
Eeh! I really like the way you educate us. Twataka kitabu kuhusu hii history. Be blessed Amoo.
Ww hujui histori bajuni ni mwarabu na bantu kutoka shungwaya huna hata haya nenda ukafundishwe histori vizuri
@mawalimedia
Жыл бұрын
@barghashbinsaid9414 Nikafundishwe historia ya urongo? Mutadananywa inni vadhuka mukose hakizenu
Abdulrahim ali bakathir wakiungana na istanmbuli aah kwisha tushachukua pwani yetu
Harar city was established by sheikh Abaadir the ancestor of assorted communities called Harari and somali clan sheeqaal. Harar communities included mixture of arabs, Greeks, Turks, Ethnic Ethiopians and Somalis.
Wabarawa sio waswahili boss..., Usidanganye watu
@ramadhanmusa2878
4 жыл бұрын
Chimbaa
@hassammohammed5046
4 жыл бұрын
Sasa wabarawa nani
@mugishaprimeroger728
3 жыл бұрын
Si ujitokezee bwana utwambie nini sahihi
@abudimuddy517
3 жыл бұрын
Muongo sana huyu mzee analazimiaha wabajuni eti ni waswahili
@abudimuddy517
3 жыл бұрын
Hakuja mswahili daraja la pili.....waarabu walioa waafrika ndio akapatikana mswahili
Huwezi kuutoa uarabu katika uswahili. Lugha,mila na desturi za kiswahili zimetoka ndani kwa waarabu
@SWABRASWALEH-nc2lf
3 ай бұрын
Warabu walikuta watu wakishi mwambao wa pwani ndio hao waswahili kuishi na wao kwa mda mrefu ndio lugha pia ikaingiliwa na kua mix na kiarabu. Kama kiswahili cha leo kimekua kama cja kibara kama kinyesi, buriani hizi lugha zimetiwa katika kiswahili kwasababu ya wageni
Waswahili ni wahabeshi ama waethopia walioishi pamoja na mijikenda shungwaya lakini asili ya hawa waswahili ni uhabeshi...wao wana lugha asili na kwa vile waliishi pamoja na minikenda kule shingwaya wana maneno ambayo wamegawa na ni marafiki wa tangu jadi....asili haswa ya watu wenye nywele za singa ni bara la kati japo baadhi ya makundi walivuka hadi kazkazini mwa Afrika na kutawala eneo pana la kazkazini mwa bara la Afrika
@viva0015
2 жыл бұрын
True and not true. Waswahili wameingiliana na mijikenda 400 years ago ndio hawa waswahili daraja la pili
@aliathuman2078
2 жыл бұрын
@@viva0015 waswahili wapo aina nyingi kunao wa mvita, amu, wa manga na makundi mengineyo na kila kundi hapa lina asili yake...hawa wa manga ndio kundi kubwa lililochanganyikana na mijikenda na pia walitawanyika hadi pemba kwasababu wao walikua wafanyi biashara.. baadhi ya wa Amu wana uhusiano na kiasilia na wasomali,wa ethopia wa eritrea..wanaitwa watu wa (kush) cushites
@viva0015
2 жыл бұрын
@@aliathuman2078 wamanga ni waomani na wayemen ni hadhrami. Hadhrami ndio walifika mbele ya waarabu wengine wote. Indonesia kuna hadhrami wengi kuliko walioko yemen, India mpaka Madagascar. Hao unaowazungumzia ni daraja la pili bali sio wambari au waasili au wanati. Waasili ni watikuu na wabarawa ambao wako Barawe (banadir coast of somalia), kismayu ni wabajuni na Gobweyn ni wa kuday pia moja wapo jamii ya wabajuni hadi Kisiwa cha Koyama
Uyu mzee nimubishi anaonekana kbsa.
M'barawa mwenyewe kiswahili hakijui wala hakielewi alafu walazimisha waitwe waswahili
@nasibudarbi2600
3 жыл бұрын
Anakijua
Ila mashallah uko vizuri
Hapo kwa wamtang'ata nimekukubali ni ela nenda au awa yaani kuenda ukantangie ni kutafuta asumani mswahili haswa athmani humuita asumani
Vp unasema watu wa unguja.na.wapemba sio waswahili sisi ni waswahili halisaaa kimila.na kilugha pia. Tunajiita wapemba kwa kua tumezaliwa pemba. Ni kama ulivosema kuwa hao wangozi walipoitia baraka wameziita wabarawa.au walipofika ami wakaajiita.amu.
waswahili tuwe pamoja tusitafute sababu za kubaguana
Where is the history he is talking about? Which books?
Beautiful🥰
Masjid Kiblateyn ipo SOMALIA pia Wasomali ni watu wa kwanza kukubali Uislamu
Ila unazungumza kiswahili cha ZANZIBAR HASAA
Kwly kabisa asili zetu zinapotea
Aaaah
Kiswahili kisukuma Moja. Solo Mbili. Bhili Tatu. Lyato NNE. Nhine Tano. Satu Sita. Tandatu Saba. Pungati Nane nane Tisa. Kenda Kumi ikumi Kutoka Tanzania bara northern western Tanzania southern of the shores lake victory
@eastzooadmin6416
2 жыл бұрын
Kimijijenda Moja - Mwenga Mbili - mbiri Tatu - tahu Nne - ine Tano - tsano Tendatu - tendahu Kenda - chenda, Haya maneno yote ni ya kimijenda yakageuka kuwa kiswahili baadae
Cc:wallah bin wallah et al
Wabajuni safii wako somalia kenya hakuna wabajuni wote ni wagunya
@amourrajab6061
3 жыл бұрын
kuna tofauti ya wabajuni na wagunya
@fikafikan8484
Жыл бұрын
Hakuna mgunya
Assalaam aleikum.mimi niko na suali.mbona hawa wa morroco hili jina la fatma waliita fatima..kama sisi watu wa amu?
Hey! Eti mpaka Mogadishu ni swahili land. Sisi hatuna shida na ndugu zetu waswahili lakini msidae ardhi ya wenyewe.
Weww acha kuzalilisha wamijikenda uswahilin kwetu
@fikafikan8484
Жыл бұрын
Mijikenda watu wajuzi tu
We wapromote ugunya na ubajuni mzee...
@abudimuddy517
3 жыл бұрын
Umeonaee
Mengi unayoeleza kuhusu historia hasa kwa zanzibar unguja ukimwambiamtu moya haelewi nimuongowwe na lughayoyote inamchanganyiko baadhiya maneno yanaingiliana
mbona ngazija lugha yao kama kigiriama?
Naam! Nimekukubali sana mzee wangu 🙏🏽... lakini swali langu ni mbona somalia kuna kabila ambao usemi wao wafanana na wadigo na wagiriama?
@romancymancyomarcom189
Жыл бұрын
What's the name of the tribe in Somalia???
@Issa_negro
Жыл бұрын
@@romancymancyomarcom189 mushunguli
@romancymancyomarcom189
Жыл бұрын
@@Issa_negro Ok, thanks, i know them but as Wazigula people, thanks anyway...
@romancymancyomarcom189
Жыл бұрын
@@Issa_negro Because Wangazija also in Comoros island their dialect very close to Wagiriama and Wapokomo people...
No Qiblatein is not in Lamu, but Zeila, town
@viva0015
2 жыл бұрын
There is one in Lamu Archipelago
Sheikh wangu hapo unakosea hujatenda haki kabisaa. Najua we ni mkubwa unayatambua mambo mengi ila nakuomba hili usilete ubinafsi tafadhali uswahi umezaliwa Zanzibar, Tanganyika kikafika nakunawili mi sioni Kenya hapa. Kenya waswahili wenyewe wako hapo Mombasa nawengine wachache kando kando, sasa unataka kuleta hoja kama zile za wale wasemao eti Kilimanjaro ni mlima wa Kenya? Samahani mkuu. Ila inawezekana kabla ya wazungu kugawanya Africa inawezekana Mombasa ilikua ipo upande wa Tanzania lakini sio uswahili umetoka Kenya, Wakenya wenyewe kiswahili wanabangaiza bangaiza tu na kukisikia kwa taarifa tu afu unawapa uswahili wasiousihali lahasha.
@fikafikan8484
Жыл бұрын
Ww huna ujuwalo nyamaza
Wabarawa sio waswahili
@zeyanaharmisuleiman696
2 жыл бұрын
Wewe hujui lugha halisi ya kibarawa ni chimini ni dialect ya kiswahili
@blessingchanne1866
2 жыл бұрын
@@zeyanaharmisuleiman696 hawafanani hata waswahili
@kevinswahili1991
5 ай бұрын
hawafanani kisura au culture au maongezi au kivipi?@@blessingchanne1866
Harar used to be somali city not habesha
Nyie waswahili hamuelewi histria yenu!
@MK-ps2gw
4 жыл бұрын
ramsey hussein khamis si nyiye na wewe ni nyinyi.
@hassammohammed5046
3 жыл бұрын
Waswahili hawana historia ni mchanganyiko wa kabila tofauti
Hapo kashatia Kipare aliposema ' mfungate' maana yake ya Saba! Pia kasema Kipare 'mtange Athumani' , maana yake Muite Athumani'....Sasa mbona Kiparee!!!
Aus na khazraji ni warabu,mpk vitabuni tumezisoma,
@user-sk8bn4zf6p
3 жыл бұрын
naam lakini aus na khazraj ni makabila ya makkah na Madina na wasaudi hawana historia ya kusafiri kuja africa mashariki
Mswahili si wahili wala lile ,lazima awe muongo akipita mwanamke lazima angalie makalio yake ,alphabeti lugha ya kiswahili haina
Jamani ukweli mbona hamuutaki ? Mswahili Ni mbajuni ndie babuuu Mijikenda mukiambiwa siwaswahili sinakosa nyie na waswahili ni watu mbali mbali Lugha tamaduni mila dini mikoa tafauti na waswahili sasa Muna lazima gani mutake kuitwa waswahili???
Kiswahili asili yake wapi kenya 🇰🇪 acha zako wee mi nakata muongo
@kanyijoel159
Жыл бұрын
Kiswahili asili yake kenya
@kevinswahili1991
5 ай бұрын
wewe Mkenya or Mtanzania?
Eti Mogadishu ilikua ikiitwa Swahili land😂😂😂 hatutaki ubajo boss.... Waswahili hawajijui wametoka wpi😂😂😂 mixture of long time
@ramadhanmusa2878
4 жыл бұрын
Wee nini doko
@user-ye9er3gr5k
4 жыл бұрын
@@ramadhanmusa2878 kogo wew haujijui, mwana haramu
@ramadhanmusa2878
4 жыл бұрын
@@user-ye9er3gr5k tumbiri Tu ww karukia mitagaa uko,ya waswaili achana nayo
@user-ye9er3gr5k
4 жыл бұрын
@@ramadhanmusa2878 mie ni mwaraabu na tumbiri ni wewe mswahili mnao firana mkundu Basha mkubwa wewe Tena mwana haramu hata hujui asili yako
@ramadhanmusa2878
4 жыл бұрын
@@user-ye9er3gr5k mwarabu wawapi😅😅 house boy Tu ww waosha chupi zawamanga usjiite mwarabu
Unguja.wapo indigenous people wamakunduchi tena wazungumza kiswahili chao. Watumbatu. Wahadimu. Washirazi Pemba kuna wabajuni, washirazi ,wakojani. Tena tunazo hata family tree ya family zetu kuwa wengine walitoka barawa .ama kuhusu Ethiopia namekuskia wewe.
Mzee unatoa elimu ila unaongea kwa chuki na kiubaguzi sana,unaongea kifikra zako zaidi ili kutaka kujifanya bora, hayo ndio yaliyomfelisha ibilisi
Kwanini watu watoke bara waje Wawa andikie historia Waswahili. Wawahili kwanini hawakuandika wenyewe? Kwa Ujumla woote ni Waswahili tuu! Waafrika basi. Popote Duniania mtaitwa Waafrika tuu! Basi.
Wapitakana wapi Sheikh Bakadhir?
Kiswahil asili yake zanzibar
@viva0015
2 жыл бұрын
Wazanzibari walitokea mainland ndio wakavuka wakaenda kisiwani Zanzibar. Watumbatu, wahadimu na wamakunduchi walitokea Kwale County (South of Mombasa) pamoja na wapemba ambao asili yao ni Wabajuni. Wote hawa walitokea Shungwaya more than 2000 years ago
@kevinswahili1991
5 ай бұрын
wrong
Muongo sana wewe mzee kasome tena
@masoudmasoud8138
2 жыл бұрын
Muongo sana huyu mzee kweli nakubaliana na wee izo ni.lugha za makabila zao tu asituchanganye
Sasa hii hekaya yako bwana na wa Somali uliwaweka wapi na uasilia wao !?
Tandatu/fungate Kwa kimijikenda ni tandahu na fungahe alafu wasema hamukutoka Kwa wamijikenda
@benjaminyeri3842
2 жыл бұрын
Nashangaa pia
@viva0015
2 жыл бұрын
Wamijikenda ni wageni walitokea shungwaya 400 years ago. Mijikenda walitoroka vita baina yao na wagalla huko Shungwaya na walipofika pwani ya afrika mashariki walikuwa wakilipa ada za wanati na Walifika 1592
Kiswahili kinaanziaje Kenya kivp ndungu! Vp Tanga pangni, Bagamoyo na kilwa. Haipngk kwamba nny ni wswhili... Ila Tanzania pia ni wswhili mno kama nny
@bestfitpro874
5 жыл бұрын
kiswahili kilizaliwa kenya na asili ya waswahili ni wanaoishi pwani ya East Africa from Southern Somalia to Northern Mozambique. Sio wanaoishi bara ya kenya na Tanzania
@hassansalim9498
5 жыл бұрын
ikiwa chanzo cha uswahili na kiswahili ni shungwaya na eneo la shungwaya liko kusini mwa Somalia kuanzia Kisimaiyu na zisiwa zake Koyam Ngumi chula chovae Chandaa na mji uitwao shungwaya mpka Leo uko (Burikao )karibu na ras Kiomboni mpakani Kenya yani mijii hii ndio ilo kuwa ikiitwa shungwaya ! leo iweje kuwa kiswahili kiliazia Kenya ???
@haadroon
4 жыл бұрын
@@bestfitpro874 kenya ili aanza juz juzi hata miaka 40 haija fikisha una maanisha kenya ilikuwa kabla ya waswahili na kiswahili imeletwa na wazungu weusi aka kenya
@haadroon
4 жыл бұрын
@@hassansalim9498 kenya ilibuniwa na wazungu huyo alizaliwa ndani ya ukoloni ya wazungu weusi aka kenya ya ki ukristo east africa company AKA kenya ngereza mpya! hajui kusoma ramani !
@maiyaal7inai260
4 жыл бұрын
@@haadroon wewe hujui historia
Total ignorance
Huyu anapoteza watu
Distorted history of my people.
Ati sita ni tandatu loh, muongo huyu Mzee,mijikenda pia sita uita tandahu na sio Kiswahili
@fikafikan8484
Жыл бұрын
Ww mkweli si useme ww mijikenda mulikuja mukuwa watumishi na mukaolewa kasome kitabu cha Ronald ngala hamjafikisha hata miaka miatatu
Kiswahili ni chetu ZANZIBAR🤣🤣msitwambie kiswahili kimeanzia kenya huku kimeteremka tu io sio Ukweli, UFASAHA tunao sie sio nyie
@sanaamedia8177
Жыл бұрын
Kiswahili cha kale ni kingozi, wangozi ni Kabila ya kenya
@shahabdallah9407
Жыл бұрын
Jirani hata kingereza kmeanza kwke .. usishtuke
Hauezi zungumzia Kiswahili na kuwaacha wamijikenda nje, wamijikenda ndo kizazi cha waswahili ila nyie mwataka kuwa waarabu
@muhammadmochenje1409
2 жыл бұрын
Leta evidence wacha porojo za shule taja kitabu cha historia wacha mawazo za chuki mzungumzaji anataja vitabu na ushahidi wewe waleta porojo hapa leta ushahidi au utowe clips zako tuone uhodari wako Ronald ngala mwenyewe alitunga Kitabu 1950 kinaitwa this is my country ametaja haswa wamijikenda walipokelewa na waswahili hapa pwani hata miaka 300 hawana hapa.leta ushahidi wacha uropokaji hapa
@fightnightmotivation7689
2 жыл бұрын
@@muhammadmochenje1409 nimesoma vitabu na nimezungumza na wazee wakanipa historia ,wamijikenda walikuwa singwaya ambayo ni pwani ya somalia na hapo ndipo waswahili walipozaliwa
@fightnightmotivation7689
2 жыл бұрын
@@muhammadmochenje1409 ronald ngala hajakosea manake waswahili walikuwa tayari wametoka shungwaya na kushuka pwani ya kenya,wamijikenda tulipotoka tukapatana nao lamu ndo wakasema ndo kule kwa wayamu (mashemeji) jiulize mbona mmjikenda aitwe mswahili shemeji,hatukupokelewa na waswahili tulipokelewa na waata na wasokoke makabila yanayoitwa walangulo hivi leo
@fightnightmotivation7689
2 жыл бұрын
@@muhammadmochenje1409 kabla mswahili aje pwani ya kenya alikuwa wapi? jibu ni singwaya pale alipozaliwa .washirazi walipokuja pwani ya somalia waliwapata mmijikenda na mpokomo na wakachukua wake wa makabila haya wawili na wanao wakawa waswahili ,ndo maana mmijikenda alipofika lamu akaiitwa lamu wapokomo wakaita yamu kumaanisha mashemeji zao
@anwarsaid9579
2 жыл бұрын
Mm mpaka xaxa najuiliza mbona hawa wabajuni ama hicho kiswahili kina maneno mengi ya kimijikenda