Je, Wajuwa Waswahili ni Nani-! Makala ya Kwanza 2024.

All my videos are meant to inform and educate the viewers in general on very relevant issues.
#trending #trendingshorts #trendingvideo #kenya #africa #global #world #history #culture #swahili #people

Пікірлер: 19

  • @simbajames4334
    @simbajames43346 ай бұрын

    Makala kama hizi binafsi yangu nimetamani sana kuyajua mambo kama haya ndo maana nikachagua somo la historia sekondari ila Cha kushangaza walieleza tofauti na nilivyotarajia ila Mzee wangu Mimi sikujui yaani sijakuona ila nifwatiliavyo makala zako ni kwamba , unajibu maswali yangu ya siku nyingi nilojiuliza nisipate wa kunijuza. Yaani unafunua funika funika nyingi zilokusudiwa kimakusudi, Mimi ni mkristo ila uniruhusu ninene hivi.. Allah hamdhulilahih. nashukuru Mungu kwa kukupa Ari hiyo nafsini mwako ili ifae wengi, wenye masikio wasikie....

  • @stambuliwash.abdillahinass8123

    @stambuliwash.abdillahinass8123

    6 ай бұрын

    Na mimi (binafsi) nashukuru sana kupata mtu mwenye kutumia sana akili yake aliyojaaliwa na Mwenyezi Mngu kwenye kutath'mini mambo muhimu sana ambayo, kama ulivyosema hapo awali, kuwa yamefichwafichwa kusudi ili watu wazozane kutokana na kutoelewa ukweli wa mambo yenyewe yalivyo! Mwenyezi Mngu akujaaliye ufahamu mwema na wenye manufaa kwako (binafsi) na kwa jamii nzima ya wanadamu kwa jumla. Ahsanta sana.

  • @hamso.instructor1508
    @hamso.instructor15086 ай бұрын

    Napenda Sana makala yako Sheh,nangoja mbari za kigiriama nielimike zaidi

  • @stambuliwash.abdillahinass8123

    @stambuliwash.abdillahinass8123

    6 ай бұрын

    Inshaa'Allah, tutafika kueleza kuhusu kila kabila na mbari zao. Shukran.

  • @alfredolaba9532
    @alfredolaba95326 ай бұрын

    Thanks for this incisive introduction. You ought to be a visiting professor of Kenyan Coastal history in our universities. Please continue with the good work. May Allah bless you.

  • @stambuliwash.abdillahinass8123

    @stambuliwash.abdillahinass8123

    6 ай бұрын

    Kwa hakika, mimi sina ilimu ya kualikwa kwenye Vyuo vikuu vya humu nchini mwetu! AlhamduliLlah, nchi jirani (Tanzania) hualikwa ili kuzumzia mambo tafauti ya historia na malimwengu kwa jumla.

  • @Khalid-mf3iu

    @Khalid-mf3iu

    6 ай бұрын

    Alfredo ni jambo la kusikitisha hapa kenya kuna ukweli flani ambao STA akiuweleza hua hawaupendi.

  • @AliMohamed-bp5ji
    @AliMohamed-bp5jiАй бұрын

    Bwa, stambuli, tafadhali unielimishemimi, je huyumtangana, ni mwenyeji wawapi.

  • @zlion-beeast
    @zlion-beeastАй бұрын

    Hivi Bwana,,naomba ueleze kuhusu punjabi

  • @jamalsheikh9610
    @jamalsheikh96106 ай бұрын

    Thanks alot 🙏🙏🙏 from mld jamal sheikh

  • @stambuliwash.abdillahinass8123

    @stambuliwash.abdillahinass8123

    6 ай бұрын

    Maa shaa Allah! JazaakumuLlahu khayran.

  • @salimofficial1263
    @salimofficial12636 ай бұрын

    Wallahi nime penda maktaba yako Bwana Stambuli. Nime nufaika sana kupitia kufuatilia vipindi vyako. Nime jengeka katika self awareness

  • @stambuliwash.abdillahinass8123

    @stambuliwash.abdillahinass8123

    6 ай бұрын

    Nami nafurahi sana kusikia unayoyasema. Na nakuombea uzidi kuwa na moyo huo huo. Ahsanta sana.

  • @abdallahmasare3116
    @abdallahmasare31166 ай бұрын

    Tupo

  • @msellemkassim2515
    @msellemkassim25156 ай бұрын

    Assalam aleykuim ni kabila ngani ya oman naomba ufafanuzi please.

  • @stambuliwash.abdillahinass8123

    @stambuliwash.abdillahinass8123

    6 ай бұрын

    Wa'alaykum salaam. Kabila za Oman ni nyingi. Tafadhali, endelea kufuatilia makala haya, na inshaa'Allah, utazielewa tu. Shukran.

  • @ahmedbaamironlinetv4753
    @ahmedbaamironlinetv47536 ай бұрын

    HAKIKA SISI WASWAHILI WENYE KISWAHILI CHETU HUSUSAN ZANZIBAR TUNA FANYIWA OVYO SANA WALLAH ALLAH ATUJAALIE AFYA NJEMA

  • @ahmedbaamironlinetv4753

    @ahmedbaamironlinetv4753

    6 ай бұрын

    HATA HUKU KWETU ZANZIBAR WANAROPOKWA SANA WA TANGANYIKA MPAKA WAKASEMA HATUNA MAKABILA BASI WAELEWE SISI NI WASWAHILI

  • @Khalid-mf3iu

    @Khalid-mf3iu

    6 ай бұрын

    ​@@ahmedbaamironlinetv4753am from Mombasa....bro kitu ntakunasihi nyinyi kma wazanzibar ni muzidi kueleza historia yenu muwafunze vijana wenu pia....hao watanganyika wanafanya hvo kusudi ili musijijue historia yenu ndo wapate kuwapanda vichwa na kuwadhulumu.