"MSIGWA FUNGU LA KUKOSA" MCHUNGAJI MWAMBELO AMVAA MSIGWA

IPINDA ONLINE TV....Asante kwa kuchagua Ipinda Online Tv........usisahau kusubscribe Chanel yetu

Пікірлер: 39

  • @Mwamalejr-wg7pt2xm8n
    @Mwamalejr-wg7pt2xm8n13 күн бұрын

    Wale wanao ipenda chadema likes hapa✌️✌️

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    12 күн бұрын

    They don't even know what Saccos is. It's only about propaganda

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    12 күн бұрын

    They don't even know what Saccos is. It's only about propaganda

  • @marakidtz9454
    @marakidtz945414 күн бұрын

    Msigwa Hana Uchungaji wowote

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t2 күн бұрын

    Ahsante baba mchungaji

  • @FortinathaMvikule-cm1im
    @FortinathaMvikule-cm1im13 күн бұрын

    Mtumishi umesema kweli ubalikiwe Sana

  • @FortinathaMvikule-cm1im

    @FortinathaMvikule-cm1im

    13 күн бұрын

    Safi Sana mtumishi

  • @FikiriniMwaluko
    @FikiriniMwaluko13 күн бұрын

    Hapo msigwa kaferi sana bora hata angepumzika siasa.achunge kondoo wa Mungu tu

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo83082 күн бұрын

    Msigwa ni mhuni km wahuni wengine duniani, ana mdomo wa kuropoka lakini elimu ya vyeti ambayo ingemsidia kuwa critical in thinking, hana.

  • @nazarethmwakipembe3246
    @nazarethmwakipembe32469 сағат бұрын

    Asante mchungaji MWAMBELO

  • @timothchidebwe
    @timothchidebwe14 күн бұрын

    Msigwa .na upendo .nawaomba .msikubari .kutumiwa .na.watu .walioinyonya .nchi

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge41813 күн бұрын

    Msigwa na Peneza mjitafakali mwombe radhi mrudi CDM kama walivyofanya akina Nyalandu na Sumae

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up8 күн бұрын

    Mbowe tunamjua .......Msigwa akisema atazunguka nchi NZIMA kumsema vibaya anajisumbua😂😂😂😂 ...atatapika alivyokula KUTOKA CCM

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko580311 күн бұрын

    WELL SAID MCHUNGAJI MSOMI 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @user-ux5nc3uo5m
    @user-ux5nc3uo5m14 күн бұрын

    Nikweli. Msigwa. Hana. Akili. Njaaaa imekimbilia. Kichani. Atajutta

  • @stevensteve7519
    @stevensteve751911 күн бұрын

    Msigwa nakushauri ufanye siasa za kistaarabu kwakuwa umehamia ccm piga kazi za huko usiwaponde chdm unatakiwa uwasaidie wananchi kwa kuyasema yale yanayokera wananchi kama kikokotoo, mikataba mibovu, katiba mpya, tatizo la watu kutekwa au kubambikiziwa kesi, ugumu wa maisha nk. Usipoteze muda kuiponda chadema. Watu wanahitaji kusikia kauli juu ya hayo.

  • @ERNESTSuleiman
    @ERNESTSuleiman13 күн бұрын

    Hapo pastor umesema pointi huyu msigwa nimsaka Tonge kupoteza dira

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk13 күн бұрын

    CHADEMA imejiimarisha zaidi Sasa kuliko wakati wowote tangia kisajiriwe na kimekubaliaka kila pembezoni mwa inchi,

  • @andrewassey5108
    @andrewassey510814 күн бұрын

    Ushamba na njaaaaaaa, rushwa !!!!!!!!!!. Ndo mwisho wa umaarufu. Hata waamini wake wamejua mahubiri yake ni ya hovyo kuliko mavi

  • @amanisanga3251
    @amanisanga325114 күн бұрын

    Uko sahihi baba

  • @neemanziku5403
    @neemanziku540313 күн бұрын

    Kweli kabisa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662Күн бұрын

    Siyo kuwa ni mchungaji sijui kama ni mpaka mafuta. Hana upako wo wote. Kama angekuwa mpaka mafuta angesema kama mchangaji wa Mungu.

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson19910 күн бұрын

    Cyo mtumishi wa mungu bhana toka hapa

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp13 күн бұрын

    Najua umwenyekiti wa Kanda wanyasa upon kwajili ya msigwa

  • @ISDORYCOSTANTIN
    @ISDORYCOSTANTINКүн бұрын

    Umeongea point msigwa mpumbavu tu sio mchungaji

  • @marakidtz9454
    @marakidtz945414 күн бұрын

    Saf

  • @fredymbilinyi6323
    @fredymbilinyi632312 күн бұрын

    Anasahau aliko toka

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge41813 күн бұрын

    Nakushauri tena msigwa rudi o.ba radhi wanachadema ujijengee heshima kama akina sumae na Lowasa na Nyalandu walivyofanya kwa usitawi wako na familia yaki

  • @NicholousViper28
    @NicholousViper2812 күн бұрын

    Uko napo ata ama, muepukane na watu wanaohamahama,

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l8 күн бұрын

    Mm huwa nasema iwe kweli mbowe ana matatizo lakin ndo uzubguke nchi nzima kwa sabab ya mtu 1 haya na hao wengi ambao wanomuamin mbowe wananchi sikuweka ftina hapo km umekwaruzana na mmoja malizana nae siri hapo mjuwe keshakula pesa za watu ccm wanazan mbowe kajiweka husema maalim seif alikubalika ccm wakawa na ftina km hizo

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri9 күн бұрын

    IVI NYINYI WACHUNGAJI NA CHADEMA KUNANINI NYUMA YA PAZIA MNAPOTEZA IMANI YENU UMINI WENU WRWE MCHUNGAJI ICHO CHAMA CHAKO KINAUDINI NA UKABILA

  • @AlphaxardMRusweka-jr1wi

    @AlphaxardMRusweka-jr1wi

    8 күн бұрын

    Wewe kinachokusumbua ni nini ? Kwani wewe huna Dini ? Huna Kabila ? Mbona wewe huko uliko,watu wa familia moja ndo hao hao,wanaochaguana,baba rais,mtoto waziri,mama mbunge ,na wote ni WA dini moja ? Jiulize kwanza kwenye chama chako .

  • @gerphasntaziha4475
    @gerphasntaziha447513 сағат бұрын

    Kwani msigwa ameenda CCM kikanisa au kisiasa? Jamani Kabila tu na ukoo ndio huwezi kuhama, ila vingine vyote waweza kuhama, mbona mwaumia alipoamua kusepa zake? Cdm mbona m/kiti wa milele ni mbowe? Msigwa kaongea ukweli. We mchungaji pia unatapatapa.

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk13 күн бұрын

    Ingekuwa Katina imetungwa upya CCm wangekuwa wanacheza ndondo cup!

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung215914 күн бұрын

    Amen 🙏🙏🙏

  • @TwalibuKimaro-th5mv
    @TwalibuKimaro-th5mv3 күн бұрын

    Amebeba nja kwenye mfuko wa Rambo eti akili kubwa haingozwi na akili ndogo yako wapi?

  • @user-ih1pk1vs4q
    @user-ih1pk1vs4q12 күн бұрын

    Watanzania tushirikiane kodi na tozo zinatupa magonjwa mengi hawa viongozi mm najiuliza wanashida gani hawa? Kwani nilazima tujenge mabarabara kila mwaka ? Ccm tuhurumieni tumechoka sn tumeona uongozi wenu hauwezi kutufikisha popote hamna mbinu Jamani tuachieni nchi yetu pumzikeni tumechoka sn

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo83082 күн бұрын

    Msigwa ni mhuni km wahuni wengine duniani, ana mdomo wa kuropoka lakini elimu ya vyeti ambayo ingemsidia kuwa critical in thinking, hana.

Келесі