Msigwa nakushauri ufanye siasa za kistaarabu kwakuwa umehamia ccm piga kazi za huko usiwaponde chdm unatakiwa uwasaidie wananchi kwa kuyasema yale yanayokera wananchi kama kikokotoo, mikataba mibovu, katiba mpya, tatizo la watu kutekwa au kubambikiziwa kesi, ugumu wa maisha nk. Usipoteze muda kuiponda chadema. Watu wanahitaji kusikia kauli juu ya hayo.
@ERNESTSuleiman13 күн бұрын
Hapo pastor umesema pointi huyu msigwa nimsaka Tonge kupoteza dira
@IsayaSosolo-nx8zk13 күн бұрын
CHADEMA imejiimarisha zaidi Sasa kuliko wakati wowote tangia kisajiriwe na kimekubaliaka kila pembezoni mwa inchi,
@andrewassey510814 күн бұрын
Ushamba na njaaaaaaa, rushwa !!!!!!!!!!. Ndo mwisho wa umaarufu. Hata waamini wake wamejua mahubiri yake ni ya hovyo kuliko mavi
@amanisanga325114 күн бұрын
Uko sahihi baba
@neemanziku540313 күн бұрын
Kweli kabisa
@christinenyagiro6662Күн бұрын
Siyo kuwa ni mchungaji sijui kama ni mpaka mafuta. Hana upako wo wote. Kama angekuwa mpaka mafuta angesema kama mchangaji wa Mungu.
@ndogoroedson19910 күн бұрын
Cyo mtumishi wa mungu bhana toka hapa
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp13 күн бұрын
Najua umwenyekiti wa Kanda wanyasa upon kwajili ya msigwa
@ISDORYCOSTANTINКүн бұрын
Umeongea point msigwa mpumbavu tu sio mchungaji
@marakidtz945414 күн бұрын
Saf
@fredymbilinyi632312 күн бұрын
Anasahau aliko toka
@giftkalenge41813 күн бұрын
Nakushauri tena msigwa rudi o.ba radhi wanachadema ujijengee heshima kama akina sumae na Lowasa na Nyalandu walivyofanya kwa usitawi wako na familia yaki
@NicholousViper2812 күн бұрын
Uko napo ata ama, muepukane na watu wanaohamahama,
@user-lm3lt7xx6l8 күн бұрын
Mm huwa nasema iwe kweli mbowe ana matatizo lakin ndo uzubguke nchi nzima kwa sabab ya mtu 1 haya na hao wengi ambao wanomuamin mbowe wananchi sikuweka ftina hapo km umekwaruzana na mmoja malizana nae siri hapo mjuwe keshakula pesa za watu ccm wanazan mbowe kajiweka husema maalim seif alikubalika ccm wakawa na ftina km hizo
@HamzaHeri9 күн бұрын
IVI NYINYI WACHUNGAJI NA CHADEMA KUNANINI NYUMA YA PAZIA MNAPOTEZA IMANI YENU UMINI WENU WRWE MCHUNGAJI ICHO CHAMA CHAKO KINAUDINI NA UKABILA
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
8 күн бұрын
Wewe kinachokusumbua ni nini ? Kwani wewe huna Dini ? Huna Kabila ? Mbona wewe huko uliko,watu wa familia moja ndo hao hao,wanaochaguana,baba rais,mtoto waziri,mama mbunge ,na wote ni WA dini moja ? Jiulize kwanza kwenye chama chako .
@gerphasntaziha447513 сағат бұрын
Kwani msigwa ameenda CCM kikanisa au kisiasa? Jamani Kabila tu na ukoo ndio huwezi kuhama, ila vingine vyote waweza kuhama, mbona mwaumia alipoamua kusepa zake? Cdm mbona m/kiti wa milele ni mbowe? Msigwa kaongea ukweli. We mchungaji pia unatapatapa.
Amebeba nja kwenye mfuko wa Rambo eti akili kubwa haingozwi na akili ndogo yako wapi?
@user-ih1pk1vs4q12 күн бұрын
Watanzania tushirikiane kodi na tozo zinatupa magonjwa mengi hawa viongozi mm najiuliza wanashida gani hawa? Kwani nilazima tujenge mabarabara kila mwaka ? Ccm tuhurumieni tumechoka sn tumeona uongozi wenu hauwezi kutufikisha popote hamna mbinu Jamani tuachieni nchi yetu pumzikeni tumechoka sn
@othmarluwawilo83082 күн бұрын
Msigwa ni mhuni km wahuni wengine duniani, ana mdomo wa kuropoka lakini elimu ya vyeti ambayo ingemsidia kuwa critical in thinking, hana.
Пікірлер: 39
Wale wanao ipenda chadema likes hapa✌️✌️
@adelinelyaruu3036
12 күн бұрын
They don't even know what Saccos is. It's only about propaganda
@adelinelyaruu3036
12 күн бұрын
They don't even know what Saccos is. It's only about propaganda
Msigwa Hana Uchungaji wowote
Ahsante baba mchungaji
Mtumishi umesema kweli ubalikiwe Sana
@FortinathaMvikule-cm1im
13 күн бұрын
Safi Sana mtumishi
Hapo msigwa kaferi sana bora hata angepumzika siasa.achunge kondoo wa Mungu tu
Msigwa ni mhuni km wahuni wengine duniani, ana mdomo wa kuropoka lakini elimu ya vyeti ambayo ingemsidia kuwa critical in thinking, hana.
Asante mchungaji MWAMBELO
Msigwa .na upendo .nawaomba .msikubari .kutumiwa .na.watu .walioinyonya .nchi
Msigwa na Peneza mjitafakali mwombe radhi mrudi CDM kama walivyofanya akina Nyalandu na Sumae
Mbowe tunamjua .......Msigwa akisema atazunguka nchi NZIMA kumsema vibaya anajisumbua😂😂😂😂 ...atatapika alivyokula KUTOKA CCM
WELL SAID MCHUNGAJI MSOMI 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Nikweli. Msigwa. Hana. Akili. Njaaaa imekimbilia. Kichani. Atajutta
Msigwa nakushauri ufanye siasa za kistaarabu kwakuwa umehamia ccm piga kazi za huko usiwaponde chdm unatakiwa uwasaidie wananchi kwa kuyasema yale yanayokera wananchi kama kikokotoo, mikataba mibovu, katiba mpya, tatizo la watu kutekwa au kubambikiziwa kesi, ugumu wa maisha nk. Usipoteze muda kuiponda chadema. Watu wanahitaji kusikia kauli juu ya hayo.
Hapo pastor umesema pointi huyu msigwa nimsaka Tonge kupoteza dira
CHADEMA imejiimarisha zaidi Sasa kuliko wakati wowote tangia kisajiriwe na kimekubaliaka kila pembezoni mwa inchi,
Ushamba na njaaaaaaa, rushwa !!!!!!!!!!. Ndo mwisho wa umaarufu. Hata waamini wake wamejua mahubiri yake ni ya hovyo kuliko mavi
Uko sahihi baba
Kweli kabisa
Siyo kuwa ni mchungaji sijui kama ni mpaka mafuta. Hana upako wo wote. Kama angekuwa mpaka mafuta angesema kama mchangaji wa Mungu.
Cyo mtumishi wa mungu bhana toka hapa
Najua umwenyekiti wa Kanda wanyasa upon kwajili ya msigwa
Umeongea point msigwa mpumbavu tu sio mchungaji
Saf
Anasahau aliko toka
Nakushauri tena msigwa rudi o.ba radhi wanachadema ujijengee heshima kama akina sumae na Lowasa na Nyalandu walivyofanya kwa usitawi wako na familia yaki
Uko napo ata ama, muepukane na watu wanaohamahama,
Mm huwa nasema iwe kweli mbowe ana matatizo lakin ndo uzubguke nchi nzima kwa sabab ya mtu 1 haya na hao wengi ambao wanomuamin mbowe wananchi sikuweka ftina hapo km umekwaruzana na mmoja malizana nae siri hapo mjuwe keshakula pesa za watu ccm wanazan mbowe kajiweka husema maalim seif alikubalika ccm wakawa na ftina km hizo
IVI NYINYI WACHUNGAJI NA CHADEMA KUNANINI NYUMA YA PAZIA MNAPOTEZA IMANI YENU UMINI WENU WRWE MCHUNGAJI ICHO CHAMA CHAKO KINAUDINI NA UKABILA
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
8 күн бұрын
Wewe kinachokusumbua ni nini ? Kwani wewe huna Dini ? Huna Kabila ? Mbona wewe huko uliko,watu wa familia moja ndo hao hao,wanaochaguana,baba rais,mtoto waziri,mama mbunge ,na wote ni WA dini moja ? Jiulize kwanza kwenye chama chako .
Kwani msigwa ameenda CCM kikanisa au kisiasa? Jamani Kabila tu na ukoo ndio huwezi kuhama, ila vingine vyote waweza kuhama, mbona mwaumia alipoamua kusepa zake? Cdm mbona m/kiti wa milele ni mbowe? Msigwa kaongea ukweli. We mchungaji pia unatapatapa.
Ingekuwa Katina imetungwa upya CCm wangekuwa wanacheza ndondo cup!
Amen 🙏🙏🙏
Amebeba nja kwenye mfuko wa Rambo eti akili kubwa haingozwi na akili ndogo yako wapi?
Watanzania tushirikiane kodi na tozo zinatupa magonjwa mengi hawa viongozi mm najiuliza wanashida gani hawa? Kwani nilazima tujenge mabarabara kila mwaka ? Ccm tuhurumieni tumechoka sn tumeona uongozi wenu hauwezi kutufikisha popote hamna mbinu Jamani tuachieni nchi yetu pumzikeni tumechoka sn
Msigwa ni mhuni km wahuni wengine duniani, ana mdomo wa kuropoka lakini elimu ya vyeti ambayo ingemsidia kuwa critical in thinking, hana.