Msigwa Aripoti CCM Iringa Mjini | Aahidi Kuitumikia CCM kwa Nguvu Zote kama Alivyokuwa CHADEMA

Mchungaji Peter Msigwa ameripoti rasmi katika ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Iringa Mjini ikiwa ni siku chache zimepita tangu aachane na CHADEMA na kujiunga na CCM ambapo amepokelewa kwa shangwe na kufanya mazungumzo maalum na viongozi wa Kamati ya Siasa ya CCM katika ofisi hizo.
Wakati akizungumza mara baada ya kupokelewa katika ofisi za CCM Iringa Mjini Julai 09, 2024, Mchungaji Msigwa amesema kuwa yupo tayari kutoa ushirikiano wa kutosha ili kuwaonesha wananchi ni kwanini wanatakiwa kumuunga Mkono Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa anazofanya kuiletea maendeleo Tanzania.
Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku.
Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani.
Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments.
#FocusDigitoTV
..................
Tufuatilie Zaidi kupitia:
INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV
Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest.
Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing
We Love You | Tunakupenda
Regards
Team FocusDigitoTV
MSIGWA AFUNGUKA SABABU YAKUITOSA CHADEMA KUHAMIA CCM "MIMI NI MTU MZIMA
MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA BAADA YA KUJIUNGA NA CCM, ATAJA SABABU ZILIZOMFANYA AONDOKE CHADEMA.
MBOWE na LEMA WAMLIPUA VIBAYA PETER MSIGWA - WAMWITA MSALITI - WAFICHUA ALICHOKIFUATA
DR.SLAA ANAONGEA SAKATA LA MSIGWA KUHAMIA CCM ZAKARIA OBAD WA CHADEMA KUFICHUA MAZITO
MSIGWA WA CHADEMA AIBUKIA CCM RAIS SAMIA AMPOKEA

Пікірлер: 92

  • @omarysheha-lc3cu
    @omarysheha-lc3cu21 күн бұрын

    Pesa za Mama Abdul zinfanya kazi

  • @OswadSanga-hb2vi
    @OswadSanga-hb2vi21 күн бұрын

    Unaona aibu wewe kwa mungu huendi

  • @HulumaKisakali
    @HulumaKisakali14 күн бұрын

    Mungu anakuona

  • @adenmwakalobo760
    @adenmwakalobo76021 күн бұрын

    Duuuh kweli nchi imeharibika, watu wanajiuza mchana kweupe bila chembe ya soni eti "badala ya ku-compete, kwa nini nisi-collaborate" kumbe kanunuliwa! Yeyote aliyedhani tunauongozi, aanze kujua kwamba kila kitu kimeparaganyoka walioko madarakani kazi yao ni kuhonga watu ili wakae madarakani, basi!! Hatari kubwa...

  • @neemanziku5403
    @neemanziku540321 күн бұрын

    Huna sela ww kwendaaa

  • @user-wz3ne2kc3o
    @user-wz3ne2kc3o21 күн бұрын

    Mzee ameanza kumtukuza mama,😮

  • @adammbuba7230
    @adammbuba723021 күн бұрын

    Safi sana msigwa

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala13821 күн бұрын

    Unanuka mavi Mungu utakupiga kipigo hutaamini maisha yako pesa na vyoote ni vya muda tu cheo cha dhuluma ni laana imeikaribisha nyumbani kwako.

  • @piusjuma7384
    @piusjuma738421 күн бұрын

    Jimbo tayr Lina mtu ucje ukafikr utachukua jimbo

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo987021 күн бұрын

    Mie na familia yangu tulikuwa wafuasi wako ila kwa sasa bye see you sina urafiki na msaliti yaani wewe umeenda kufuata cheo na vipande 30 ukaacha kuwa sauti ya wasio na sauti. Na umekubali kufa kisiasa. RIP

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga659121 күн бұрын

    yaani shavu limenona muda mfupi kweli pesa za Samia zimefanya kazi

  • @samsonogunde4508
    @samsonogunde450821 күн бұрын

    Katoka Mwenyewe kwa Pesa za Mama tu

  • @user-rl6vf9tg8m
    @user-rl6vf9tg8m21 күн бұрын

    Mmmmmmmmmmmh huyo ni msingwa au sion

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael793514 күн бұрын

    Mkimbizi mpooo❤

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d21 күн бұрын

    Limekaa kama msukure pumbavu zako msariti usiyekuwa na haya na unatumia jina la kudharilisha uchungaji

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana865421 күн бұрын

    Hiyo ndio ccm utatumika baada ya hapo-------

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima729521 күн бұрын

    Safi sana Msigwa, umeachana na chama cha kikabila, kidini na kikanda

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo830821 күн бұрын

    Msigwa umejidhalilisha, unatembea bila suti. Rushwa na njaa imekudhalilisha.

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s21 күн бұрын

    Mhhh hata haibu hana,ni ufisadi tu

  • @willykomba8376
    @willykomba837614 күн бұрын

    NJAA Mweee 😢

Келесі