Msigwa Aripoti CCM Iringa Mjini | Aahidi Kuitumikia CCM kwa Nguvu Zote kama Alivyokuwa CHADEMA
Mchungaji Peter Msigwa ameripoti rasmi katika ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Iringa Mjini ikiwa ni siku chache zimepita tangu aachane na CHADEMA na kujiunga na CCM ambapo amepokelewa kwa shangwe na kufanya mazungumzo maalum na viongozi wa Kamati ya Siasa ya CCM katika ofisi hizo.
Wakati akizungumza mara baada ya kupokelewa katika ofisi za CCM Iringa Mjini Julai 09, 2024, Mchungaji Msigwa amesema kuwa yupo tayari kutoa ushirikiano wa kutosha ili kuwaonesha wananchi ni kwanini wanatakiwa kumuunga Mkono Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa anazofanya kuiletea maendeleo Tanzania.
Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku.
Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani.
Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments.
#FocusDigitoTV
..................
Tufuatilie Zaidi kupitia:
INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV
Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest.
Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing
We Love You | Tunakupenda
Regards
Team FocusDigitoTV
MSIGWA AFUNGUKA SABABU YAKUITOSA CHADEMA KUHAMIA CCM "MIMI NI MTU MZIMA
MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA BAADA YA KUJIUNGA NA CCM, ATAJA SABABU ZILIZOMFANYA AONDOKE CHADEMA.
MBOWE na LEMA WAMLIPUA VIBAYA PETER MSIGWA - WAMWITA MSALITI - WAFICHUA ALICHOKIFUATA
DR.SLAA ANAONGEA SAKATA LA MSIGWA KUHAMIA CCM ZAKARIA OBAD WA CHADEMA KUFICHUA MAZITO
MSIGWA WA CHADEMA AIBUKIA CCM RAIS SAMIA AMPOKEA
Пікірлер: 92
Pesa za Mama Abdul zinfanya kazi
Unaona aibu wewe kwa mungu huendi
Mungu anakuona
Duuuh kweli nchi imeharibika, watu wanajiuza mchana kweupe bila chembe ya soni eti "badala ya ku-compete, kwa nini nisi-collaborate" kumbe kanunuliwa! Yeyote aliyedhani tunauongozi, aanze kujua kwamba kila kitu kimeparaganyoka walioko madarakani kazi yao ni kuhonga watu ili wakae madarakani, basi!! Hatari kubwa...
Huna sela ww kwendaaa
Mzee ameanza kumtukuza mama,😮
Safi sana msigwa
Unanuka mavi Mungu utakupiga kipigo hutaamini maisha yako pesa na vyoote ni vya muda tu cheo cha dhuluma ni laana imeikaribisha nyumbani kwako.
Jimbo tayr Lina mtu ucje ukafikr utachukua jimbo
Mie na familia yangu tulikuwa wafuasi wako ila kwa sasa bye see you sina urafiki na msaliti yaani wewe umeenda kufuata cheo na vipande 30 ukaacha kuwa sauti ya wasio na sauti. Na umekubali kufa kisiasa. RIP
yaani shavu limenona muda mfupi kweli pesa za Samia zimefanya kazi
Katoka Mwenyewe kwa Pesa za Mama tu
Mmmmmmmmmmmh huyo ni msingwa au sion
Mkimbizi mpooo❤
Limekaa kama msukure pumbavu zako msariti usiyekuwa na haya na unatumia jina la kudharilisha uchungaji
Hiyo ndio ccm utatumika baada ya hapo-------
Safi sana Msigwa, umeachana na chama cha kikabila, kidini na kikanda
Msigwa umejidhalilisha, unatembea bila suti. Rushwa na njaa imekudhalilisha.
Mhhh hata haibu hana,ni ufisadi tu
NJAA Mweee 😢