MSHIRIKI KUTOKA UGANDA KABIITO AMESOMA VIZURI KULIKO WOTE TUMELIA/"MIMI HAYANIHUSU NI KAZI YA MAJAJI
Жүктеу.....
Пікірлер: 197
@saidmbegu70173 жыл бұрын
MW.MNGU AWAJAALIE NYOTE MLIO MSHIKA MKONO KABIITO
@muhsinisihaka7739
3 жыл бұрын
Hatukuona kumkosoa hata maramoja
@aishahassan8334
3 жыл бұрын
Mashallah
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
@@muhsinisihaka7739 yule hakukosolewa sababu hajakosea kilichomkost pumz maskin alipumzika sehem zisizostahil kupumzika
@alheidygaltriples5517
3 жыл бұрын
@@mahmoodalghefeili5370 kwl kbsaaaa
@khadijanjama8721
3 жыл бұрын
Aamin
@Farryunique3 жыл бұрын
Kabito The Star 🌟🤩 don't give up sheikh, you have a bright future ahead. Allah is with you and our prayers with you. You are the next winner 🏆just improve ur self where you went wrong, and the No. 1 is waiting for you........ In shaa Allah.
@nahiyahamdan52813 жыл бұрын
I'm very proud of you my younger brother kabito🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
@rayamohammed1303 жыл бұрын
Mashaallah Sheikh Nurdin pamoja na ukhty wetu Najat kwa kumfariji Kabiito wetu kipenz cha watanzania,,,ametusimua kwa kweli cku ile yani siamini ila ni mipango ya Allah,,azid kukaza buti mwakani Inshaallah
@neemafatu78853 жыл бұрын
Ila mimi namkubali sana kabiito .upande wangu nawaamini majaji ila nahisi tunamuhurumia sana kabiito kwa alivyo labda, ukijumlisha na usomaji wake mzuri basi imechangia mara dufu.naamini ushindani ni mkubwa TUWADHANIE MAJAJI VIZURI .
@ramsikhamis70833 жыл бұрын
Niliumia saanaa mm pamoja na marafiki zangu pale uwanjani tukaondoka kwa hasiraa,, mpaka machozii yalinitoka kwa uchungu yaani ata Top 4,,,..!!!apanaaa apanaa jamaniii 😤🙌
@UmufarnaUmuAlya4 ай бұрын
Mashaallh
@nuliahkhamis61523 жыл бұрын
Kabito mdogo wangu mwenyezi mungu akujalie afya njema. Umejitaidi sana
@AbuuAslam-
4 ай бұрын
Amiin
@maimunahassan50473 жыл бұрын
MashaAllah beautiful recitation may Allah protect him
@muhammadmassoud51213 жыл бұрын
Nawasihi ndugu zangu turidhike na haki iliotendeka majaji wamejitahidi sana. Kazi hiyo ni ngumu sana hakika wamejitahidi.Mashaallah Allah awahifadhi.
@rizikirashid11994 ай бұрын
MashaALLAH
@aishamohamed48423 жыл бұрын
Exactly Hata mimi Najat nilikuwa natizama nilijua yeye ndio mshindi nilikuwa disappointed sana kuona Kapito hakushinda
@user-vv1te9fu8q4 ай бұрын
Majaji wako right mashaallah
@hamilhashir44523 жыл бұрын
Kabiito Masha Allah jazaka Allahul khair
@lacroquetalacroqueta68133 жыл бұрын
Allah akubariki sister Najat kwa kazi zako nzuri za khairats katika kila kitu, Allah akupe afya nzuri na furaha katika maisha yako ya hapa na kesho siku ya malipo na waisilamu wote.Fajazakumullahu khairan sister 🥀🌹💮🌸🌸💐💐⚘🌷🌷🌻🌻🌺🍁🍁🍀🍀🌱🍀🌿🌾🌾☘🌱🌴🌳🌲🪴🍂⚘🌷🌼🌼🌻🌺🌺🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍈🍈🍉🍊🍊🍊🍋🍋🍍🥭🥭🍎🍎🍏🍐🍑🍑🍒🍓🫐🥝🥝🍎🍎🍏🍏🍎🍎🍇🍇🍇🍇🍇🍈🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍇🍏🍏🍏🍉🍉🍑🍑🍑🍋🍋🍓🍓🍓🍌🍌🍍🫐🫐🫐🫐🥭🥭🥝🍎🍎🍏🍏🍏🍐🍐🍑🍑🍒🍒🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍒🍒🍒🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍎🍎🍏🍐🍐🍑🍒🍓🍓🍓🍒🍒
@kagujjeramadhan41013 жыл бұрын
Masha Allah
@nasmachoma78143 жыл бұрын
Umeifanya vizuri sana Dada Allah akuzidishie zaidi yaicho mashaallah shekh kishki
@faidhatiamii94253 жыл бұрын
Mashaallah m.mungu amjaalie
@raziaidd23923 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@athumanimgumia72094 ай бұрын
Mungu awajaalie wote walioshiriki na waliopa moyo Kabito, God bless you all for the what made, that is the best way to Go to God. Tabaraka ladhy biyadihil mulku wahuwa ghala kuli shay in Gadiru.
@mariamsudi88453 жыл бұрын
Mashaallah tabalakallah
@lacroquetalacroqueta68133 жыл бұрын
MashaaAllah MashaaAllah
@fahmimsellem72603 жыл бұрын
Mashaallah
@telaamtauta22273 жыл бұрын
😭😭😭😭mashaallah mwenyezi mungu atampa maranyingine inshaallah kasoma.vizuri lakini mahali ndio wanajuwa max zaidi
@jumakhamis2263 жыл бұрын
Ma sha ALLAH
@sakohassangulled76873 жыл бұрын
Love you kabiito Allah is with you mashallah
@ukhtynaa0053 жыл бұрын
Kabito my younger brother never lose hope come back again next year in shaa Allah for the competition and I do believe that you will make it's better more than this year @Nash005
@alikauku75162 жыл бұрын
Mashallah 🤲🤲🤲
@mariammammu96413 жыл бұрын
Haiwezekani watu wote tuguswe na usomaji wake alaf sio mshindi.....KABIITO NI MSHINDI WA KWELI
@ramsikhamis7083
3 жыл бұрын
Ebuu niambiyee ma Dear
@suhel52093 жыл бұрын
Imemuathiri sana naona, mungu ampe nguvu
@fatimasaid57953 жыл бұрын
Machaallh
@rokiroki18253 жыл бұрын
Nikweli ndug zangu qur'an inamipangilio ukisoma vibaya unaleta maana tofauti turidhike na masgehe wetu
@jumamohamed3168
3 жыл бұрын
@@salamamohamed5805 Watu hawataki kujifunza Qurani wanavutiwa na ushabiki wa sauti ya mtu badala ya kuzingatia huku na usomaji wa Qurani kwa ujumla wake.
@ramsikhamis7083
3 жыл бұрын
Ata kama ndo ata Top 4 apana aisee tuseme ma elf ya watanzania wanaolalamika awaijui vizur qur aan
@othmanbakari6033
3 жыл бұрын
@salama Mohammed turidhike kuwa ni qadar ya Allah hakupata nafasi ambayo baadhi walitarajia..na pia majaji walitenda haki kadri Allah alivyowawezesha Mashallah(Allah awazdishie kheri). Ila ukisema kuna aya aliisahau unaweza ukaulizwa ni aya IPI! ...hebu angalia vzr aya alizoulizwa, ..ya 12:10(Surat Yunus), kisha aya ya 50:27(Surat Nnamli), na Aya ya 17:52(Surat At-tur)...Naomba nisaameh kama nmekukwaza, sio lengo langu...Ramadhan Mubarak
@salamamohamed5805
3 жыл бұрын
@@othmanbakari6033 Wala hukunikwazwa tupo kwenye kuelimishana shukran....
@othmanbakari6033
3 жыл бұрын
@@salamamohamed5805 Shukran sana sana...Allah atujaalie mwema...Aamin Aamin.
@user-cf7gw2gi3v3 жыл бұрын
Inshaallah allah atamlipa pepo kwani malipo ya hapa Duniani silolote sichochote nakilakinacho tokea nikadari yake allah
@aliseif87293 жыл бұрын
Mm kwaushauri hao wasklizaji waliokuja kuna watu wana sklz yakutosha wanaijua vzur Quran Kuanzia tahfeedh, hukmu, saut, nasheria nyengine za Quran Lkn kwavile kuna majaj walio chaguliwa Tukubaliane nao Inshaallah
Kabito mungu akujaliye kila lamafanikiy ishaallah🤲🤲🇺🇬
@omanilady3 жыл бұрын
Well done dear Naj.. wa JazaakUmAllah kheir dunia walAakheera kwa wote yaaRab mashekhe wetu majaji wetu na watoto/ndugu zetu wote mahaafidh wa Quraan.. tunamuomba Allah atujaalie sote min ahal’Quraan na vizazi vyetu 🤲🤲🤲 Amen 🙏
@masouddaud40753 жыл бұрын
Allah amfanyie wepec kabito ashiriki tena mwaka ujao
@mbarakbausi65033 жыл бұрын
😭😭😭😭masikini very sad wallah no fear not fear kabisa
@zaidahussenehussene5902 жыл бұрын
Machaalla
@allykeita7043 жыл бұрын
Beautiful voice
@allyfutto87633 жыл бұрын
Mashaallah.
@telaamtauta22273 жыл бұрын
Shukrani sana dada uliye mzawadia mabiito
@hassanajiruu77932 жыл бұрын
Tunaomba majaji walio amua washindi wa tano bora na kabito akuema tafadhalini nawaomba Muelezeni mwalimu wa kabito marekebisho mmnayo hitaji kabito ayarekebishe Mwakani InshaaAllah Tunamuhitaji ashirikishwe Katika Msabaka mwakani InsaaAllah panapo Majaliwa .Sheik Kishki Twaomba litimizwe ombi tafadhal. Mallah awabariki nyote
@zainabjuma62663 жыл бұрын
Huyu kijana katusisimuwa sana ...mashaallah
@mishigambagamba6302
3 жыл бұрын
Yaaani Mimi nililia jamani mtt anasauti maa shaa Allah nilijua atashinda
@abufauzan9417
3 жыл бұрын
@@mishigambagamba6302 shida sio sauti kinachozingatiwa ni ahkam
Sauti ni sawa kapata nahilo ndilo tuliowengi tuna HUKUMU.Majaji wana HUKUMU nyingi zaidi ya Sauti tuu.Mimi naamini sana wenye dhamana yaani majaji.Kwani huyu aliyeshinda sio mtanzania pia:Sasa huwezi changanya HUKUMU na hisia
@nooraallahuakibarumwenyeez30793 жыл бұрын
Nikweli shekhe kishiki uwiislam una sheria zake na Qur ani ina hukumu zake mfano ukikosey herufi 1 tuu kuitamka km ilivyo bc maana ya ile neno inabadilika au ukipunguza herufi 1 maana inabadilika au ukiongeza herufi 1 maana inabadilika haya yote huwez kuyafahamu ww usiyona elimu lazima usome Allah awahifadhi wote waislam na waliyosom
@mufid7073 жыл бұрын
MashaAllah Tabarak Llah
@fatimasaid57953 жыл бұрын
👌❤️❤️❤️❤️❤️❤️👌👌
@kakaamkumbwa1803 жыл бұрын
Majaji 4 tu waliomsikia kabito ni zaidi ya 60.000 kwa mkapa tu bado kupitia tv tz nzima. Nawote hao wamempitisha kabito. Nakosa kubwa lilianzia kwa fundi mitambo kupitia kwa jaji yule wa mweusi Ndio waliomkosesha ushindi kabito kwa makisudi. Kishki hakikisha Majaji wanafanyiwa usaili ili kujuwa uwezo wao .
@zakialustan722
3 жыл бұрын
Nyinyi watanzania muna shida ,nyinyi ni madakatari,marefa,leo mmefika mbali mnajifanya majaji wa Quran ,shame on you
@maymunamakungu62653 жыл бұрын
MaashaAllah Kabito
@rayyanibra40763 жыл бұрын
hata sisi na familie yangu hapa belgium huyo kijana ndio mshindi masha allah kapito
@muhammadmrmj6228
3 жыл бұрын
Nyny hatamkasema alieshinda ndio anae tangazwa nyny mnenogewa na sauti t watu wanaangalia quran inasomwaje hukmu matashi na mengneyo sasa ww hjasoma nyamaza sio utoe ushindi
@sulemohd4812
3 жыл бұрын
Mashallah dada hadinalia
@nyatya199
3 жыл бұрын
@Abubakar Mohammed usiwadhanie vibaya wamejitahidi kiasi chao
@allykeita7043 жыл бұрын
Huo ndio uislam aisee kila kitu ni kadary akxante kabiito
@ukhtynaa0053 жыл бұрын
Justice must be done to kabito .Why this he was expecting alots for this musabaqa .does it's means katika hao washindi watano hawakuwa na makosa hta moja ama mbili katika ahkamu tajweed
@jaybaba27003 жыл бұрын
hamuna la kusema hata mujitetee vp hakika hyo kabiito allah atamlipa pepo zaid ya hyo malipo yenu
@ashrafahiddimtambalala48103 жыл бұрын
Maashaallah
@user-br3sc8bm4t2 жыл бұрын
Mie nimekosa hata nguvu machozi yanamwagika tu yaani Allah ampe subra inshaallah tupo pamoja Ushindi upo mbele yako usikate TAMAA
@zuhuramwarizo98104 ай бұрын
Mashllaha allah. Amuifadhi kijana huyu
@muhammadussama85603 жыл бұрын
Maashallah tabaarakallah
@fatimasaid57953 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@burundishallsmile1day1093 жыл бұрын
👍🏾🙏🏾
@muhamadamingucci68423 жыл бұрын
Allah akuzidishie najat
@mariamhomar3202 жыл бұрын
Mwenyezmungu amuongezee baraka
@mariamhomar320
2 жыл бұрын
Inshaallah
@user-qe8xp6ii1u3 жыл бұрын
Hayo mashindano ni Ya Al hikma foundation.Na sio ya Kimataifa. Kabito amehifadhi vzr ila Hana Tajweed nzur. Na pia haya Mashindani Ni Hayafai kwani yanaharib Msingi wa Dini
@abufauzan9417
3 жыл бұрын
Duh mashindano yanaharibu misingi gani ?? Ebu twambie
@lelasalum5553 жыл бұрын
Kabito mashaalh
@fauziahfamaushebz37403 жыл бұрын
Allah knowz best🙂
@ahmedsalim90023 жыл бұрын
Yani mm cjui kama ntaifuta audio yake tuombe mwakan ashiriki tuuuu
@kassimali73223 жыл бұрын
Mashallah
@AbdallahalmasMikidadi-rx7xw Жыл бұрын
Kweli bhana
@nshonabdll93633 жыл бұрын
Ndo mjue I hk ni ya kapito kbs ndo mana tuna ll mika
@user-gc3ec9wx6z4 ай бұрын
Kanito fanya ujuwe kiswahili bwana
@user-bk2de8ov6c4 ай бұрын
Bismillah mashallah❤
@handenitakuru66964 ай бұрын
Hivi kwani Uganda 🇺🇬 hawaongei kiswahili jamani mpka huyo Kabito haeleiwi au hawezi zungumza kiswahili ?
@mimiapa84363 жыл бұрын
Jamani tupeni No tumchangie tuoneshe mapenzi yetu kwake
@najatsaid2326
3 жыл бұрын
Namba ipo kwenye Videos tazama kwa Umakini
@mimiapa8436
3 жыл бұрын
@@najatsaid2326 asante
@ramsikhamis7083
3 жыл бұрын
Mm inaniumaa mpaka machoz yalinitoka nikasepa zangu pale uwanjanii
@nshonabdll93633 жыл бұрын
Yn uyu ndo ilibidi awe wakwanza kbs kapito kasoma vizur kuliko wote
@salamamohamed5805
3 жыл бұрын
Hapo Kuna Aya ameisahau ndio iliyimuangusha
@fatimasaid57953 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭❤️
@RukiyaButoyi-sk5nm4 ай бұрын
Hawo wenye kulalamika eti wajaji hawatenada haki basi hamjuwi kwakweli.skilizeni kile kisomo ca ule kijana aliye toka wakwanza.Allahu Akbar alistahiki kabisa ila na kabito yuko vizuri saaana lakini haki ilitendeka muace kusema bitu hamna ujuzi nabyo please.Majaji walitenda haki kabisa
@telaamtauta22273 жыл бұрын
Hiyo nikweli sheikh kishki angeshinda. Tanzania watu wanngesema.ilishapangwa Bora mashindano huyo wambalii
@fatimasaid57953 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️😭😭😭
@suhel52093 жыл бұрын
Tumchangieni kabito aende umra ishallah
@adilhabib89882 жыл бұрын
Kusoma Alhamdullah kasoma vizur sana lkn kabitto kasoma Tajwid hayo ni mashindao ya Tartil
@suhel52093 жыл бұрын
Me pia huyu mganda nilimtabiri kushinda but nimeshanga sanaa
@muhammadmassoud51213 жыл бұрын
Hata mm nilijua kabito ndio mshindi lakini baada ya kurudia kuwasikiliza mmoja mmoja nimeamini majaji walitenda haki ilio sawa kabisa.
@thakibuiddi18573 жыл бұрын
Sas jman nyie mnaangalia sauti nzuri kuruan inasheriayake nahukumu yake pia sio kuangalia sauti
@ramsikhamis7083
3 жыл бұрын
Wajumbe mpaka kwenye Quran daaa baalaaa...!!! kuna kitu kinaitwa Lead objective ata uku cc kwenye mahakama ipoo lakini kilichotokea daaa very offend
@user-xf3it7nc5n4 ай бұрын
Kwel turidike n majaji wetu walio chaguliwa
@ramadhanimtetu72463 жыл бұрын
KABIITO UMEWEZA AISEE
@mahmoudkaitila16312 жыл бұрын
Wabillahi taufiq
@khadijamgambo68743 жыл бұрын
Hii ndo Tanzania
@MohamedAhmed-dm8zr3 жыл бұрын
Guyzz , the judges wamesoma sana na hawaezi kumdhulumu mtu hivi hivi , Kuna harf alikua haezi kuzitoa vizuri mueleweni hivo msione mtu amesoma sauti nzuri sana mkasema ndo mshindi kumbukeni Kuna Tajweed , Kuna Adaaul Quran , waqf ibtidai angalieni video ma judge wakisema hua wana angalia nini
@nooraallahuakibarumwenyeez30793 жыл бұрын
Kila 1 kajaaliwa makadiliyo yake km mm Allah kanijaaliy sauti nzury san yausomaj pia na ukalili ila kuhifadhi kwangu mtihani hap bd sijajaaliwa km sehemu za kusimama na kuwanza km alivyosom shekhe kishiki wallah sipat ht %1 hhhhh ila kwa sauti na ukalili km kebito nazan nafaulu tunapaswa kuendeley kusoma dini ya Allah na kuijuwa vizury siyo kuchukuliy juu juu simpo ila alivyosom huyo mganda albino nimependa
@rahma_bint_djuma3 жыл бұрын
Aiseeee kabito 🥺🥺
@mbarakbausi65033 жыл бұрын
😭😭😭😭we need to do something for him.........his number please
@manchesterunited7906
3 жыл бұрын
Kabisa boss
@najatsaid2326
3 жыл бұрын
Number the number is in this video look good
@muhammadmrmj62283 жыл бұрын
Walio toa maamuzi wamesoma na wanaijua quran sasa ww ulie kua hujasoma anaweza kuja mtu ana sauti mzur na mwengne ana mbaya wakasoma quran bc utampa alie nasaut mzur kwa7b hujasoma kumbe huyo mwenye saut mzur ndio kakufuru
@allymtungunyu9335
3 жыл бұрын
Mbona munaongea mambo msiyoyajua nyie inamaana mtu akikosea kakufuru? Kasome kwanza ujue hukmu za allah
@muhammadmrmj6228
3 жыл бұрын
@@allymtungunyu9335 ndio quran ukiisoma t bila kuijua unakosea na ubadilisha maana na ukibadili maana ndio ushakufuru na ndio maana tunapomaliza kusoma tuna staghafiru kama nimekisea nisamehet cna mda wa kubishana na ndugu yangu muislam
@muhammadmrmj6228
3 жыл бұрын
@Mtanzania Halisi Thamahani kabla huja reply soma vizr iyo comment yangu uilewe than nimekosea nirekebishe ilasoma vizur kua makini usiwe mwenye kureply t usichokifahamu. Thamahani sana
@abuuammar8900
3 жыл бұрын
Happy wanaolalamika sisemi hawajui kusoma قرآن Bali wamezoea aunt wanapenda kusikiliza nyimbo name wanpenda kuimba nakama niupendeleo mbona hakupewa ushindi mtanzania ? alafu hizo nidhanambaya kuwadhania waislaam waliyokua majaji
@muhammadmrmj6228
3 жыл бұрын
@@abuuammar8900 pp shukran
@ayishaayisha80533 жыл бұрын
Mimi naona kasoma vizuri ni lafuzi tuh .
@adilhabib89882 жыл бұрын
Kwa mfano engekua ni Tajwid enge pewa ushindi moja kwa 1
Пікірлер: 197
MW.MNGU AWAJAALIE NYOTE MLIO MSHIKA MKONO KABIITO
@muhsinisihaka7739
3 жыл бұрын
Hatukuona kumkosoa hata maramoja
@aishahassan8334
3 жыл бұрын
Mashallah
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
@@muhsinisihaka7739 yule hakukosolewa sababu hajakosea kilichomkost pumz maskin alipumzika sehem zisizostahil kupumzika
@alheidygaltriples5517
3 жыл бұрын
@@mahmoodalghefeili5370 kwl kbsaaaa
@khadijanjama8721
3 жыл бұрын
Aamin
Kabito The Star 🌟🤩 don't give up sheikh, you have a bright future ahead. Allah is with you and our prayers with you. You are the next winner 🏆just improve ur self where you went wrong, and the No. 1 is waiting for you........ In shaa Allah.
I'm very proud of you my younger brother kabito🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Mashaallah Sheikh Nurdin pamoja na ukhty wetu Najat kwa kumfariji Kabiito wetu kipenz cha watanzania,,,ametusimua kwa kweli cku ile yani siamini ila ni mipango ya Allah,,azid kukaza buti mwakani Inshaallah
Ila mimi namkubali sana kabiito .upande wangu nawaamini majaji ila nahisi tunamuhurumia sana kabiito kwa alivyo labda, ukijumlisha na usomaji wake mzuri basi imechangia mara dufu.naamini ushindani ni mkubwa TUWADHANIE MAJAJI VIZURI .
Niliumia saanaa mm pamoja na marafiki zangu pale uwanjani tukaondoka kwa hasiraa,, mpaka machozii yalinitoka kwa uchungu yaani ata Top 4,,,..!!!apanaaa apanaa jamaniii 😤🙌
Mashaallh
Kabito mdogo wangu mwenyezi mungu akujalie afya njema. Umejitaidi sana
@AbuuAslam-
4 ай бұрын
Amiin
MashaAllah beautiful recitation may Allah protect him
Nawasihi ndugu zangu turidhike na haki iliotendeka majaji wamejitahidi sana. Kazi hiyo ni ngumu sana hakika wamejitahidi.Mashaallah Allah awahifadhi.
MashaALLAH
Exactly Hata mimi Najat nilikuwa natizama nilijua yeye ndio mshindi nilikuwa disappointed sana kuona Kapito hakushinda
Majaji wako right mashaallah
Kabiito Masha Allah jazaka Allahul khair
Allah akubariki sister Najat kwa kazi zako nzuri za khairats katika kila kitu, Allah akupe afya nzuri na furaha katika maisha yako ya hapa na kesho siku ya malipo na waisilamu wote.Fajazakumullahu khairan sister 🥀🌹💮🌸🌸💐💐⚘🌷🌷🌻🌻🌺🍁🍁🍀🍀🌱🍀🌿🌾🌾☘🌱🌴🌳🌲🪴🍂⚘🌷🌼🌼🌻🌺🌺🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍈🍈🍉🍊🍊🍊🍋🍋🍍🥭🥭🍎🍎🍏🍐🍑🍑🍒🍓🫐🥝🥝🍎🍎🍏🍏🍎🍎🍇🍇🍇🍇🍇🍈🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍇🍏🍏🍏🍉🍉🍑🍑🍑🍋🍋🍓🍓🍓🍌🍌🍍🫐🫐🫐🫐🥭🥭🥝🍎🍎🍏🍏🍏🍐🍐🍑🍑🍒🍒🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍒🍒🍒🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍎🍎🍏🍐🍐🍑🍒🍓🍓🍓🍒🍒
Masha Allah
Umeifanya vizuri sana Dada Allah akuzidishie zaidi yaicho mashaallah shekh kishki
Mashaallah m.mungu amjaalie
Ma shaa Allah
Mungu awajaalie wote walioshiriki na waliopa moyo Kabito, God bless you all for the what made, that is the best way to Go to God. Tabaraka ladhy biyadihil mulku wahuwa ghala kuli shay in Gadiru.
Mashaallah tabalakallah
MashaaAllah MashaaAllah
Mashaallah
😭😭😭😭mashaallah mwenyezi mungu atampa maranyingine inshaallah kasoma.vizuri lakini mahali ndio wanajuwa max zaidi
Ma sha ALLAH
Love you kabiito Allah is with you mashallah
Kabito my younger brother never lose hope come back again next year in shaa Allah for the competition and I do believe that you will make it's better more than this year @Nash005
Mashallah 🤲🤲🤲
Haiwezekani watu wote tuguswe na usomaji wake alaf sio mshindi.....KABIITO NI MSHINDI WA KWELI
@ramsikhamis7083
3 жыл бұрын
Ebuu niambiyee ma Dear
Imemuathiri sana naona, mungu ampe nguvu
Machaallh
Nikweli ndug zangu qur'an inamipangilio ukisoma vibaya unaleta maana tofauti turidhike na masgehe wetu
@jumamohamed3168
3 жыл бұрын
@@salamamohamed5805 Watu hawataki kujifunza Qurani wanavutiwa na ushabiki wa sauti ya mtu badala ya kuzingatia huku na usomaji wa Qurani kwa ujumla wake.
@ramsikhamis7083
3 жыл бұрын
Ata kama ndo ata Top 4 apana aisee tuseme ma elf ya watanzania wanaolalamika awaijui vizur qur aan
@othmanbakari6033
3 жыл бұрын
@salama Mohammed turidhike kuwa ni qadar ya Allah hakupata nafasi ambayo baadhi walitarajia..na pia majaji walitenda haki kadri Allah alivyowawezesha Mashallah(Allah awazdishie kheri). Ila ukisema kuna aya aliisahau unaweza ukaulizwa ni aya IPI! ...hebu angalia vzr aya alizoulizwa, ..ya 12:10(Surat Yunus), kisha aya ya 50:27(Surat Nnamli), na Aya ya 17:52(Surat At-tur)...Naomba nisaameh kama nmekukwaza, sio lengo langu...Ramadhan Mubarak
@salamamohamed5805
3 жыл бұрын
@@othmanbakari6033 Wala hukunikwazwa tupo kwenye kuelimishana shukran....
@othmanbakari6033
3 жыл бұрын
@@salamamohamed5805 Shukran sana sana...Allah atujaalie mwema...Aamin Aamin.
Inshaallah allah atamlipa pepo kwani malipo ya hapa Duniani silolote sichochote nakilakinacho tokea nikadari yake allah
Mm kwaushauri hao wasklizaji waliokuja kuna watu wana sklz yakutosha wanaijua vzur Quran Kuanzia tahfeedh, hukmu, saut, nasheria nyengine za Quran Lkn kwavile kuna majaj walio chaguliwa Tukubaliane nao Inshaallah
MashAllah JazakAllah 🙏🙏🙏❤
Mashallah mashallah mashallah alhamdulillah
Najat umefanya kazi nzuri sanaa
Asalam Alaikum, MashaaAllah, Ramadhan Mubarak ✨♥Fajazakumullahu khairan 🌹🥀🥀🌺🌻🌻🌼🌼🌷⚘⚘💐🌸🌸💮🌱🌱🌱🌲🌲🌳🌴🌵🌵🌾🌾🌿🌿☘☘🍀🍁🍁🍂🍃🍃🏵🌹🌹🥀🥀🌺🌺🌻🌼🌷💐🌸🌸💮💮⚘⚘🌷🌷🌻🌳🌴🌵🌾🌿🌿🌿🌱🌱🪴🌲🌳🌳🌴🌴🌵🌵🌱🌱🍀🍀🍀🍁🍂🍃🍃🍃🌹🌹🥀🌺🌺🌺🌹🌹🥀🌼🌼🌼🌷⚘⚘⚘⚘⚘⚘⚘⚘⚘⚘🌷🌺🏵🌹🌹🌹🥀🥀🌺🌺🌻🌻🌼🌼🌷⚘⚘💐💐💐💐💐💐💐💐🌸🌸🌸🌸🌸💮💮💮🌹🌹🌹🥀🌺🌻🌻🌼🌷🌷⚘⚘🌹🥀🥀🥀🌺🌺🌻🌻🌼🌼🌷⚘⚘⚘⚘⚘
Kabito mungu akujaliye kila lamafanikiy ishaallah🤲🤲🇺🇬
Well done dear Naj.. wa JazaakUmAllah kheir dunia walAakheera kwa wote yaaRab mashekhe wetu majaji wetu na watoto/ndugu zetu wote mahaafidh wa Quraan.. tunamuomba Allah atujaalie sote min ahal’Quraan na vizazi vyetu 🤲🤲🤲 Amen 🙏
Allah amfanyie wepec kabito ashiriki tena mwaka ujao
😭😭😭😭masikini very sad wallah no fear not fear kabisa
Machaalla
Beautiful voice
Mashaallah.
Shukrani sana dada uliye mzawadia mabiito
Tunaomba majaji walio amua washindi wa tano bora na kabito akuema tafadhalini nawaomba Muelezeni mwalimu wa kabito marekebisho mmnayo hitaji kabito ayarekebishe Mwakani InshaaAllah Tunamuhitaji ashirikishwe Katika Msabaka mwakani InsaaAllah panapo Majaliwa .Sheik Kishki Twaomba litimizwe ombi tafadhal. Mallah awabariki nyote
Huyu kijana katusisimuwa sana ...mashaallah
@mishigambagamba6302
3 жыл бұрын
Yaaani Mimi nililia jamani mtt anasauti maa shaa Allah nilijua atashinda
@abufauzan9417
3 жыл бұрын
@@mishigambagamba6302 shida sio sauti kinachozingatiwa ni ahkam
Assalamu aleikum warahamatu allahi wabarakatu
Wallah nami aliniumiza sana, shauku yangu ashinde sauti tu inavutia niliumia sana😭😭😭😭😭😭
Sauti ni sawa kapata nahilo ndilo tuliowengi tuna HUKUMU.Majaji wana HUKUMU nyingi zaidi ya Sauti tuu.Mimi naamini sana wenye dhamana yaani majaji.Kwani huyu aliyeshinda sio mtanzania pia:Sasa huwezi changanya HUKUMU na hisia
Nikweli shekhe kishiki uwiislam una sheria zake na Qur ani ina hukumu zake mfano ukikosey herufi 1 tuu kuitamka km ilivyo bc maana ya ile neno inabadilika au ukipunguza herufi 1 maana inabadilika au ukiongeza herufi 1 maana inabadilika haya yote huwez kuyafahamu ww usiyona elimu lazima usome Allah awahifadhi wote waislam na waliyosom
MashaAllah Tabarak Llah
👌❤️❤️❤️❤️❤️❤️👌👌
Majaji 4 tu waliomsikia kabito ni zaidi ya 60.000 kwa mkapa tu bado kupitia tv tz nzima. Nawote hao wamempitisha kabito. Nakosa kubwa lilianzia kwa fundi mitambo kupitia kwa jaji yule wa mweusi Ndio waliomkosesha ushindi kabito kwa makisudi. Kishki hakikisha Majaji wanafanyiwa usaili ili kujuwa uwezo wao .
@zakialustan722
3 жыл бұрын
Nyinyi watanzania muna shida ,nyinyi ni madakatari,marefa,leo mmefika mbali mnajifanya majaji wa Quran ,shame on you
MaashaAllah Kabito
hata sisi na familie yangu hapa belgium huyo kijana ndio mshindi masha allah kapito
@muhammadmrmj6228
3 жыл бұрын
Nyny hatamkasema alieshinda ndio anae tangazwa nyny mnenogewa na sauti t watu wanaangalia quran inasomwaje hukmu matashi na mengneyo sasa ww hjasoma nyamaza sio utoe ushindi
@sulemohd4812
3 жыл бұрын
Mashallah dada hadinalia
@nyatya199
3 жыл бұрын
@Abubakar Mohammed usiwadhanie vibaya wamejitahidi kiasi chao
Huo ndio uislam aisee kila kitu ni kadary akxante kabiito
Justice must be done to kabito .Why this he was expecting alots for this musabaqa .does it's means katika hao washindi watano hawakuwa na makosa hta moja ama mbili katika ahkamu tajweed
hamuna la kusema hata mujitetee vp hakika hyo kabiito allah atamlipa pepo zaid ya hyo malipo yenu
Maashaallah
Mie nimekosa hata nguvu machozi yanamwagika tu yaani Allah ampe subra inshaallah tupo pamoja Ushindi upo mbele yako usikate TAMAA
Mashllaha allah. Amuifadhi kijana huyu
Maashallah tabaarakallah
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
👍🏾🙏🏾
Allah akuzidishie najat
Mwenyezmungu amuongezee baraka
@mariamhomar320
2 жыл бұрын
Inshaallah
Hayo mashindano ni Ya Al hikma foundation.Na sio ya Kimataifa. Kabito amehifadhi vzr ila Hana Tajweed nzur. Na pia haya Mashindani Ni Hayafai kwani yanaharib Msingi wa Dini
@abufauzan9417
3 жыл бұрын
Duh mashindano yanaharibu misingi gani ?? Ebu twambie
Kabito mashaalh
Allah knowz best🙂
Yani mm cjui kama ntaifuta audio yake tuombe mwakan ashiriki tuuuu
Mashallah
Kweli bhana
Ndo mjue I hk ni ya kapito kbs ndo mana tuna ll mika
Kanito fanya ujuwe kiswahili bwana
Bismillah mashallah❤
Hivi kwani Uganda 🇺🇬 hawaongei kiswahili jamani mpka huyo Kabito haeleiwi au hawezi zungumza kiswahili ?
Jamani tupeni No tumchangie tuoneshe mapenzi yetu kwake
@najatsaid2326
3 жыл бұрын
Namba ipo kwenye Videos tazama kwa Umakini
@mimiapa8436
3 жыл бұрын
@@najatsaid2326 asante
@ramsikhamis7083
3 жыл бұрын
Mm inaniumaa mpaka machoz yalinitoka nikasepa zangu pale uwanjanii
Yn uyu ndo ilibidi awe wakwanza kbs kapito kasoma vizur kuliko wote
@salamamohamed5805
3 жыл бұрын
Hapo Kuna Aya ameisahau ndio iliyimuangusha
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭❤️
Hawo wenye kulalamika eti wajaji hawatenada haki basi hamjuwi kwakweli.skilizeni kile kisomo ca ule kijana aliye toka wakwanza.Allahu Akbar alistahiki kabisa ila na kabito yuko vizuri saaana lakini haki ilitendeka muace kusema bitu hamna ujuzi nabyo please.Majaji walitenda haki kabisa
Hiyo nikweli sheikh kishki angeshinda. Tanzania watu wanngesema.ilishapangwa Bora mashindano huyo wambalii
❤️❤️❤️❤️😭😭😭
Tumchangieni kabito aende umra ishallah
Kusoma Alhamdullah kasoma vizur sana lkn kabitto kasoma Tajwid hayo ni mashindao ya Tartil
Me pia huyu mganda nilimtabiri kushinda but nimeshanga sanaa
Hata mm nilijua kabito ndio mshindi lakini baada ya kurudia kuwasikiliza mmoja mmoja nimeamini majaji walitenda haki ilio sawa kabisa.
Sas jman nyie mnaangalia sauti nzuri kuruan inasheriayake nahukumu yake pia sio kuangalia sauti
@ramsikhamis7083
3 жыл бұрын
Wajumbe mpaka kwenye Quran daaa baalaaa...!!! kuna kitu kinaitwa Lead objective ata uku cc kwenye mahakama ipoo lakini kilichotokea daaa very offend
Kwel turidike n majaji wetu walio chaguliwa
KABIITO UMEWEZA AISEE
Wabillahi taufiq
Hii ndo Tanzania
Guyzz , the judges wamesoma sana na hawaezi kumdhulumu mtu hivi hivi , Kuna harf alikua haezi kuzitoa vizuri mueleweni hivo msione mtu amesoma sauti nzuri sana mkasema ndo mshindi kumbukeni Kuna Tajweed , Kuna Adaaul Quran , waqf ibtidai angalieni video ma judge wakisema hua wana angalia nini
Kila 1 kajaaliwa makadiliyo yake km mm Allah kanijaaliy sauti nzury san yausomaj pia na ukalili ila kuhifadhi kwangu mtihani hap bd sijajaaliwa km sehemu za kusimama na kuwanza km alivyosom shekhe kishiki wallah sipat ht %1 hhhhh ila kwa sauti na ukalili km kebito nazan nafaulu tunapaswa kuendeley kusoma dini ya Allah na kuijuwa vizury siyo kuchukuliy juu juu simpo ila alivyosom huyo mganda albino nimependa
Aiseeee kabito 🥺🥺
😭😭😭😭we need to do something for him.........his number please
@manchesterunited7906
3 жыл бұрын
Kabisa boss
@najatsaid2326
3 жыл бұрын
Number the number is in this video look good
Walio toa maamuzi wamesoma na wanaijua quran sasa ww ulie kua hujasoma anaweza kuja mtu ana sauti mzur na mwengne ana mbaya wakasoma quran bc utampa alie nasaut mzur kwa7b hujasoma kumbe huyo mwenye saut mzur ndio kakufuru
@allymtungunyu9335
3 жыл бұрын
Mbona munaongea mambo msiyoyajua nyie inamaana mtu akikosea kakufuru? Kasome kwanza ujue hukmu za allah
@muhammadmrmj6228
3 жыл бұрын
@@allymtungunyu9335 ndio quran ukiisoma t bila kuijua unakosea na ubadilisha maana na ukibadili maana ndio ushakufuru na ndio maana tunapomaliza kusoma tuna staghafiru kama nimekisea nisamehet cna mda wa kubishana na ndugu yangu muislam
@muhammadmrmj6228
3 жыл бұрын
@Mtanzania Halisi Thamahani kabla huja reply soma vizr iyo comment yangu uilewe than nimekosea nirekebishe ilasoma vizur kua makini usiwe mwenye kureply t usichokifahamu. Thamahani sana
@abuuammar8900
3 жыл бұрын
Happy wanaolalamika sisemi hawajui kusoma قرآن Bali wamezoea aunt wanapenda kusikiliza nyimbo name wanpenda kuimba nakama niupendeleo mbona hakupewa ushindi mtanzania ? alafu hizo nidhanambaya kuwadhania waislaam waliyokua majaji
@muhammadmrmj6228
3 жыл бұрын
@@abuuammar8900 pp shukran
Mimi naona kasoma vizuri ni lafuzi tuh .
Kwa mfano engekua ni Tajwid enge pewa ushindi moja kwa 1