No video

MSHIRIKI KUTOKA UGANDA KABIITO AMESOMA VIZURI KULIKO WOTE TUMELIA/"MIMI HAYANIHUSU NI KAZI YA MAJAJI

Пікірлер: 197

  • @saidmbegu7017
    @saidmbegu70173 жыл бұрын

    MW.MNGU AWAJAALIE NYOTE MLIO MSHIKA MKONO KABIITO

  • @muhsinisihaka7739

    @muhsinisihaka7739

    3 жыл бұрын

    Hatukuona kumkosoa hata maramoja

  • @aishahassan8334

    @aishahassan8334

    3 жыл бұрын

    Mashallah

  • @mahmoodalghefeili5370

    @mahmoodalghefeili5370

    3 жыл бұрын

    @@muhsinisihaka7739 yule hakukosolewa sababu hajakosea kilichomkost pumz maskin alipumzika sehem zisizostahil kupumzika

  • @alheidygaltriples5517

    @alheidygaltriples5517

    3 жыл бұрын

    @@mahmoodalghefeili5370 kwl kbsaaaa

  • @khadijanjama8721

    @khadijanjama8721

    3 жыл бұрын

    Aamin

  • @Farryunique
    @Farryunique3 жыл бұрын

    Kabito The Star 🌟🤩 don't give up sheikh, you have a bright future ahead. Allah is with you and our prayers with you. You are the next winner 🏆just improve ur self where you went wrong, and the No. 1 is waiting for you........ In shaa Allah.

  • @nahiyahamdan5281
    @nahiyahamdan52813 жыл бұрын

    I'm very proud of you my younger brother kabito🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬

  • @rayamohammed130
    @rayamohammed1303 жыл бұрын

    Mashaallah Sheikh Nurdin pamoja na ukhty wetu Najat kwa kumfariji Kabiito wetu kipenz cha watanzania,,,ametusimua kwa kweli cku ile yani siamini ila ni mipango ya Allah,,azid kukaza buti mwakani Inshaallah

  • @neemafatu7885
    @neemafatu78853 жыл бұрын

    Ila mimi namkubali sana kabiito .upande wangu nawaamini majaji ila nahisi tunamuhurumia sana kabiito kwa alivyo labda, ukijumlisha na usomaji wake mzuri basi imechangia mara dufu.naamini ushindani ni mkubwa TUWADHANIE MAJAJI VIZURI .

  • @ramsikhamis7083
    @ramsikhamis70833 жыл бұрын

    Niliumia saanaa mm pamoja na marafiki zangu pale uwanjani tukaondoka kwa hasiraa,, mpaka machozii yalinitoka kwa uchungu yaani ata Top 4,,,..!!!apanaaa apanaa jamaniii 😤🙌

  • @UmufarnaUmuAlya
    @UmufarnaUmuAlya4 ай бұрын

    Mashaallh

  • @nuliahkhamis6152
    @nuliahkhamis61523 жыл бұрын

    Kabito mdogo wangu mwenyezi mungu akujalie afya njema. Umejitaidi sana

  • @AbuuAslam-

    @AbuuAslam-

    4 ай бұрын

    Amiin

  • @maimunahassan5047
    @maimunahassan50473 жыл бұрын

    MashaAllah beautiful recitation may Allah protect him

  • @muhammadmassoud5121
    @muhammadmassoud51213 жыл бұрын

    Nawasihi ndugu zangu turidhike na haki iliotendeka majaji wamejitahidi sana. Kazi hiyo ni ngumu sana hakika wamejitahidi.Mashaallah Allah awahifadhi.

  • @rizikirashid1199
    @rizikirashid11994 ай бұрын

    MashaALLAH

  • @aishamohamed4842
    @aishamohamed48423 жыл бұрын

    Exactly Hata mimi Najat nilikuwa natizama nilijua yeye ndio mshindi nilikuwa disappointed sana kuona Kapito hakushinda

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q4 ай бұрын

    Majaji wako right mashaallah

  • @hamilhashir4452
    @hamilhashir44523 жыл бұрын

    Kabiito Masha Allah jazaka Allahul khair

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta68133 жыл бұрын

    Allah akubariki sister Najat kwa kazi zako nzuri za khairats katika kila kitu, Allah akupe afya nzuri na furaha katika maisha yako ya hapa na kesho siku ya malipo na waisilamu wote.Fajazakumullahu khairan sister 🥀🌹💮🌸🌸💐💐⚘🌷🌷🌻🌻🌺🍁🍁🍀🍀🌱🍀🌿🌾🌾☘🌱🌴🌳🌲🪴🍂⚘🌷🌼🌼🌻🌺🌺🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍈🍈🍉🍊🍊🍊🍋🍋🍍🥭🥭🍎🍎🍏🍐🍑🍑🍒🍓🫐🥝🥝🍎🍎🍏🍏🍎🍎🍇🍇🍇🍇🍇🍈🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍇🍏🍏🍏🍉🍉🍑🍑🍑🍋🍋🍓🍓🍓🍌🍌🍍🫐🫐🫐🫐🥭🥭🥝🍎🍎🍏🍏🍏🍐🍐🍑🍑🍒🍒🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍒🍒🍒🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍎🍎🍏🍐🍐🍑🍒🍓🍓🍓🍒🍒

  • @kagujjeramadhan4101
    @kagujjeramadhan41013 жыл бұрын

    Masha Allah

  • @nasmachoma7814
    @nasmachoma78143 жыл бұрын

    Umeifanya vizuri sana Dada Allah akuzidishie zaidi yaicho mashaallah shekh kishki

  • @faidhatiamii9425
    @faidhatiamii94253 жыл бұрын

    Mashaallah m.mungu amjaalie

  • @raziaidd2392
    @raziaidd23923 жыл бұрын

    Ma shaa Allah

  • @athumanimgumia7209
    @athumanimgumia72094 ай бұрын

    Mungu awajaalie wote walioshiriki na waliopa moyo Kabito, God bless you all for the what made, that is the best way to Go to God. Tabaraka ladhy biyadihil mulku wahuwa ghala kuli shay in Gadiru.

  • @mariamsudi8845
    @mariamsudi88453 жыл бұрын

    Mashaallah tabalakallah

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta68133 жыл бұрын

    MashaaAllah MashaaAllah

  • @fahmimsellem7260
    @fahmimsellem72603 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta22273 жыл бұрын

    😭😭😭😭mashaallah mwenyezi mungu atampa maranyingine inshaallah kasoma.vizuri lakini mahali ndio wanajuwa max zaidi

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis2263 жыл бұрын

    Ma sha ALLAH

  • @sakohassangulled7687
    @sakohassangulled76873 жыл бұрын

    Love you kabiito Allah is with you mashallah

  • @ukhtynaa005
    @ukhtynaa0053 жыл бұрын

    Kabito my younger brother never lose hope come back again next year in shaa Allah for the competition and I do believe that you will make it's better more than this year @Nash005

  • @alikauku7516
    @alikauku75162 жыл бұрын

    Mashallah 🤲🤲🤲

  • @mariammammu9641
    @mariammammu96413 жыл бұрын

    Haiwezekani watu wote tuguswe na usomaji wake alaf sio mshindi.....KABIITO NI MSHINDI WA KWELI

  • @ramsikhamis7083

    @ramsikhamis7083

    3 жыл бұрын

    Ebuu niambiyee ma Dear

  • @suhel5209
    @suhel52093 жыл бұрын

    Imemuathiri sana naona, mungu ampe nguvu

  • @fatimasaid5795
    @fatimasaid57953 жыл бұрын

    Machaallh

  • @rokiroki1825
    @rokiroki18253 жыл бұрын

    Nikweli ndug zangu qur'an inamipangilio ukisoma vibaya unaleta maana tofauti turidhike na masgehe wetu

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    3 жыл бұрын

    @@salamamohamed5805 Watu hawataki kujifunza Qurani wanavutiwa na ushabiki wa sauti ya mtu badala ya kuzingatia huku na usomaji wa Qurani kwa ujumla wake.

  • @ramsikhamis7083

    @ramsikhamis7083

    3 жыл бұрын

    Ata kama ndo ata Top 4 apana aisee tuseme ma elf ya watanzania wanaolalamika awaijui vizur qur aan

  • @othmanbakari6033

    @othmanbakari6033

    3 жыл бұрын

    @salama Mohammed turidhike kuwa ni qadar ya Allah hakupata nafasi ambayo baadhi walitarajia..na pia majaji walitenda haki kadri Allah alivyowawezesha Mashallah(Allah awazdishie kheri). Ila ukisema kuna aya aliisahau unaweza ukaulizwa ni aya IPI! ...hebu angalia vzr aya alizoulizwa, ..ya 12:10(Surat Yunus), kisha aya ya 50:27(Surat Nnamli), na Aya ya 17:52(Surat At-tur)...Naomba nisaameh kama nmekukwaza, sio lengo langu...Ramadhan Mubarak

  • @salamamohamed5805

    @salamamohamed5805

    3 жыл бұрын

    @@othmanbakari6033 Wala hukunikwazwa tupo kwenye kuelimishana shukran....

  • @othmanbakari6033

    @othmanbakari6033

    3 жыл бұрын

    @@salamamohamed5805 Shukran sana sana...Allah atujaalie mwema...Aamin Aamin.

  • @user-cf7gw2gi3v
    @user-cf7gw2gi3v3 жыл бұрын

    Inshaallah allah atamlipa pepo kwani malipo ya hapa Duniani silolote sichochote nakilakinacho tokea nikadari yake allah

  • @aliseif8729
    @aliseif87293 жыл бұрын

    Mm kwaushauri hao wasklizaji waliokuja kuna watu wana sklz yakutosha wanaijua vzur Quran Kuanzia tahfeedh, hukmu, saut, nasheria nyengine za Quran Lkn kwavile kuna majaj walio chaguliwa Tukubaliane nao Inshaallah

  • @user-vd7um1bz8b
    @user-vd7um1bz8b3 жыл бұрын

    MashAllah JazakAllah 🙏🙏🙏❤

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb3 жыл бұрын

    Mashallah mashallah mashallah alhamdulillah

  • @suhel5209
    @suhel52093 жыл бұрын

    Najat umefanya kazi nzuri sanaa

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta68133 жыл бұрын

    Asalam Alaikum, MashaaAllah, Ramadhan Mubarak ✨♥Fajazakumullahu khairan 🌹🥀🥀🌺🌻🌻🌼🌼🌷⚘⚘💐🌸🌸💮🌱🌱🌱🌲🌲🌳🌴🌵🌵🌾🌾🌿🌿☘☘🍀🍁🍁🍂🍃🍃🏵🌹🌹🥀🥀🌺🌺🌻🌼🌷💐🌸🌸💮💮⚘⚘🌷🌷🌻🌳🌴🌵🌾🌿🌿🌿🌱🌱🪴🌲🌳🌳🌴🌴🌵🌵🌱🌱🍀🍀🍀🍁🍂🍃🍃🍃🌹🌹🥀🌺🌺🌺🌹🌹🥀🌼🌼🌼🌷⚘⚘⚘⚘⚘⚘⚘⚘⚘⚘🌷🌺🏵🌹🌹🌹🥀🥀🌺🌺🌻🌻🌼🌼🌷⚘⚘💐💐💐💐💐💐💐💐🌸🌸🌸🌸🌸💮💮💮🌹🌹🌹🥀🌺🌻🌻🌼🌷🌷⚘⚘🌹🥀🥀🥀🌺🌺🌻🌻🌼🌼🌷⚘⚘⚘⚘⚘

  • @user-xj7ek3bo4w
    @user-xj7ek3bo4w4 ай бұрын

    Kabito mungu akujaliye kila lamafanikiy ishaallah🤲🤲🇺🇬

  • @omanilady
    @omanilady3 жыл бұрын

    Well done dear Naj.. wa JazaakUmAllah kheir dunia walAakheera kwa wote yaaRab mashekhe wetu majaji wetu na watoto/ndugu zetu wote mahaafidh wa Quraan.. tunamuomba Allah atujaalie sote min ahal’Quraan na vizazi vyetu 🤲🤲🤲 Amen 🙏

  • @masouddaud4075
    @masouddaud40753 жыл бұрын

    Allah amfanyie wepec kabito ashiriki tena mwaka ujao

  • @mbarakbausi6503
    @mbarakbausi65033 жыл бұрын

    😭😭😭😭masikini very sad wallah no fear not fear kabisa

  • @zaidahussenehussene590
    @zaidahussenehussene5902 жыл бұрын

    Machaalla

  • @allykeita704
    @allykeita7043 жыл бұрын

    Beautiful voice

  • @allyfutto8763
    @allyfutto87633 жыл бұрын

    Mashaallah.

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta22273 жыл бұрын

    Shukrani sana dada uliye mzawadia mabiito

  • @hassanajiruu7793
    @hassanajiruu77932 жыл бұрын

    Tunaomba majaji walio amua washindi wa tano bora na kabito akuema tafadhalini nawaomba Muelezeni mwalimu wa kabito marekebisho mmnayo hitaji kabito ayarekebishe Mwakani InshaaAllah Tunamuhitaji ashirikishwe Katika Msabaka mwakani InsaaAllah panapo Majaliwa .Sheik Kishki Twaomba litimizwe ombi tafadhal. Mallah awabariki nyote

  • @zainabjuma6266
    @zainabjuma62663 жыл бұрын

    Huyu kijana katusisimuwa sana ...mashaallah

  • @mishigambagamba6302

    @mishigambagamba6302

    3 жыл бұрын

    Yaaani Mimi nililia jamani mtt anasauti maa shaa Allah nilijua atashinda

  • @abufauzan9417

    @abufauzan9417

    3 жыл бұрын

    @@mishigambagamba6302 shida sio sauti kinachozingatiwa ni ahkam

  • @ukhtynaa005
    @ukhtynaa0053 жыл бұрын

    Assalamu aleikum warahamatu allahi wabarakatu

  • @missmoona4497
    @missmoona44973 жыл бұрын

    Wallah nami aliniumiza sana, shauku yangu ashinde sauti tu inavutia niliumia sana😭😭😭😭😭😭

  • @salummhina4857
    @salummhina48574 ай бұрын

    Sauti ni sawa kapata nahilo ndilo tuliowengi tuna HUKUMU.Majaji wana HUKUMU nyingi zaidi ya Sauti tuu.Mimi naamini sana wenye dhamana yaani majaji.Kwani huyu aliyeshinda sio mtanzania pia:Sasa huwezi changanya HUKUMU na hisia

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez30793 жыл бұрын

    Nikweli shekhe kishiki uwiislam una sheria zake na Qur ani ina hukumu zake mfano ukikosey herufi 1 tuu kuitamka km ilivyo bc maana ya ile neno inabadilika au ukipunguza herufi 1 maana inabadilika au ukiongeza herufi 1 maana inabadilika haya yote huwez kuyafahamu ww usiyona elimu lazima usome Allah awahifadhi wote waislam na waliyosom

  • @mufid707
    @mufid7073 жыл бұрын

    MashaAllah Tabarak Llah

  • @fatimasaid5795
    @fatimasaid57953 жыл бұрын

    👌❤️❤️❤️❤️❤️❤️👌👌

  • @kakaamkumbwa180
    @kakaamkumbwa1803 жыл бұрын

    Majaji 4 tu waliomsikia kabito ni zaidi ya 60.000 kwa mkapa tu bado kupitia tv tz nzima. Nawote hao wamempitisha kabito. Nakosa kubwa lilianzia kwa fundi mitambo kupitia kwa jaji yule wa mweusi Ndio waliomkosesha ushindi kabito kwa makisudi. Kishki hakikisha Majaji wanafanyiwa usaili ili kujuwa uwezo wao .

  • @zakialustan722

    @zakialustan722

    3 жыл бұрын

    Nyinyi watanzania muna shida ,nyinyi ni madakatari,marefa,leo mmefika mbali mnajifanya majaji wa Quran ,shame on you

  • @maymunamakungu6265
    @maymunamakungu62653 жыл бұрын

    MaashaAllah Kabito

  • @rayyanibra4076
    @rayyanibra40763 жыл бұрын

    hata sisi na familie yangu hapa belgium huyo kijana ndio mshindi masha allah kapito

  • @muhammadmrmj6228

    @muhammadmrmj6228

    3 жыл бұрын

    Nyny hatamkasema alieshinda ndio anae tangazwa nyny mnenogewa na sauti t watu wanaangalia quran inasomwaje hukmu matashi na mengneyo sasa ww hjasoma nyamaza sio utoe ushindi

  • @sulemohd4812

    @sulemohd4812

    3 жыл бұрын

    Mashallah dada hadinalia

  • @nyatya199

    @nyatya199

    3 жыл бұрын

    @Abubakar Mohammed usiwadhanie vibaya wamejitahidi kiasi chao

  • @allykeita704
    @allykeita7043 жыл бұрын

    Huo ndio uislam aisee kila kitu ni kadary akxante kabiito

  • @ukhtynaa005
    @ukhtynaa0053 жыл бұрын

    Justice must be done to kabito .Why this he was expecting alots for this musabaqa .does it's means katika hao washindi watano hawakuwa na makosa hta moja ama mbili katika ahkamu tajweed

  • @jaybaba2700
    @jaybaba27003 жыл бұрын

    hamuna la kusema hata mujitetee vp hakika hyo kabiito allah atamlipa pepo zaid ya hyo malipo yenu

  • @ashrafahiddimtambalala4810
    @ashrafahiddimtambalala48103 жыл бұрын

    Maashaallah

  • @user-br3sc8bm4t
    @user-br3sc8bm4t2 жыл бұрын

    Mie nimekosa hata nguvu machozi yanamwagika tu yaani Allah ampe subra inshaallah tupo pamoja Ushindi upo mbele yako usikate TAMAA

  • @zuhuramwarizo9810
    @zuhuramwarizo98104 ай бұрын

    Mashllaha allah. Amuifadhi kijana huyu

  • @muhammadussama8560
    @muhammadussama85603 жыл бұрын

    Maashallah tabaarakallah

  • @fatimasaid5795
    @fatimasaid57953 жыл бұрын

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day1093 жыл бұрын

    👍🏾🙏🏾

  • @muhamadamingucci6842
    @muhamadamingucci68423 жыл бұрын

    Allah akuzidishie najat

  • @mariamhomar320
    @mariamhomar3202 жыл бұрын

    Mwenyezmungu amuongezee baraka

  • @mariamhomar320

    @mariamhomar320

    2 жыл бұрын

    Inshaallah

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u3 жыл бұрын

    Hayo mashindano ni Ya Al hikma foundation.Na sio ya Kimataifa. Kabito amehifadhi vzr ila Hana Tajweed nzur. Na pia haya Mashindani Ni Hayafai kwani yanaharib Msingi wa Dini

  • @abufauzan9417

    @abufauzan9417

    3 жыл бұрын

    Duh mashindano yanaharibu misingi gani ?? Ebu twambie

  • @lelasalum555
    @lelasalum5553 жыл бұрын

    Kabito mashaalh

  • @fauziahfamaushebz3740
    @fauziahfamaushebz37403 жыл бұрын

    Allah knowz best🙂

  • @ahmedsalim9002
    @ahmedsalim90023 жыл бұрын

    Yani mm cjui kama ntaifuta audio yake tuombe mwakan ashiriki tuuuu

  • @kassimali7322
    @kassimali73223 жыл бұрын

    Mashallah

  • @AbdallahalmasMikidadi-rx7xw
    @AbdallahalmasMikidadi-rx7xw Жыл бұрын

    Kweli bhana

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll93633 жыл бұрын

    Ndo mjue I hk ni ya kapito kbs ndo mana tuna ll mika

  • @user-gc3ec9wx6z
    @user-gc3ec9wx6z4 ай бұрын

    Kanito fanya ujuwe kiswahili bwana

  • @user-bk2de8ov6c
    @user-bk2de8ov6c4 ай бұрын

    Bismillah mashallah❤

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru66964 ай бұрын

    Hivi kwani Uganda 🇺🇬 hawaongei kiswahili jamani mpka huyo Kabito haeleiwi au hawezi zungumza kiswahili ?

  • @mimiapa8436
    @mimiapa84363 жыл бұрын

    Jamani tupeni No tumchangie tuoneshe mapenzi yetu kwake

  • @najatsaid2326

    @najatsaid2326

    3 жыл бұрын

    Namba ipo kwenye Videos tazama kwa Umakini

  • @mimiapa8436

    @mimiapa8436

    3 жыл бұрын

    @@najatsaid2326 asante

  • @ramsikhamis7083

    @ramsikhamis7083

    3 жыл бұрын

    Mm inaniumaa mpaka machoz yalinitoka nikasepa zangu pale uwanjanii

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll93633 жыл бұрын

    Yn uyu ndo ilibidi awe wakwanza kbs kapito kasoma vizur kuliko wote

  • @salamamohamed5805

    @salamamohamed5805

    3 жыл бұрын

    Hapo Kuna Aya ameisahau ndio iliyimuangusha

  • @fatimasaid5795
    @fatimasaid57953 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭❤️

  • @RukiyaButoyi-sk5nm
    @RukiyaButoyi-sk5nm4 ай бұрын

    Hawo wenye kulalamika eti wajaji hawatenada haki basi hamjuwi kwakweli.skilizeni kile kisomo ca ule kijana aliye toka wakwanza.Allahu Akbar alistahiki kabisa ila na kabito yuko vizuri saaana lakini haki ilitendeka muace kusema bitu hamna ujuzi nabyo please.Majaji walitenda haki kabisa

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta22273 жыл бұрын

    Hiyo nikweli sheikh kishki angeshinda. Tanzania watu wanngesema.ilishapangwa Bora mashindano huyo wambalii

  • @fatimasaid5795
    @fatimasaid57953 жыл бұрын

    ❤️❤️❤️❤️😭😭😭

  • @suhel5209
    @suhel52093 жыл бұрын

    Tumchangieni kabito aende umra ishallah

  • @adilhabib8988
    @adilhabib89882 жыл бұрын

    Kusoma Alhamdullah kasoma vizur sana lkn kabitto kasoma Tajwid hayo ni mashindao ya Tartil

  • @suhel5209
    @suhel52093 жыл бұрын

    Me pia huyu mganda nilimtabiri kushinda but nimeshanga sanaa

  • @muhammadmassoud5121
    @muhammadmassoud51213 жыл бұрын

    Hata mm nilijua kabito ndio mshindi lakini baada ya kurudia kuwasikiliza mmoja mmoja nimeamini majaji walitenda haki ilio sawa kabisa.

  • @thakibuiddi1857
    @thakibuiddi18573 жыл бұрын

    Sas jman nyie mnaangalia sauti nzuri kuruan inasheriayake nahukumu yake pia sio kuangalia sauti

  • @ramsikhamis7083

    @ramsikhamis7083

    3 жыл бұрын

    Wajumbe mpaka kwenye Quran daaa baalaaa...!!! kuna kitu kinaitwa Lead objective ata uku cc kwenye mahakama ipoo lakini kilichotokea daaa very offend

  • @user-xf3it7nc5n
    @user-xf3it7nc5n4 ай бұрын

    Kwel turidike n majaji wetu walio chaguliwa

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu72463 жыл бұрын

    KABIITO UMEWEZA AISEE

  • @mahmoudkaitila1631
    @mahmoudkaitila16312 жыл бұрын

    Wabillahi taufiq

  • @khadijamgambo6874
    @khadijamgambo68743 жыл бұрын

    Hii ndo Tanzania

  • @MohamedAhmed-dm8zr
    @MohamedAhmed-dm8zr3 жыл бұрын

    Guyzz , the judges wamesoma sana na hawaezi kumdhulumu mtu hivi hivi , Kuna harf alikua haezi kuzitoa vizuri mueleweni hivo msione mtu amesoma sauti nzuri sana mkasema ndo mshindi kumbukeni Kuna Tajweed , Kuna Adaaul Quran , waqf ibtidai angalieni video ma judge wakisema hua wana angalia nini

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez30793 жыл бұрын

    Kila 1 kajaaliwa makadiliyo yake km mm Allah kanijaaliy sauti nzury san yausomaj pia na ukalili ila kuhifadhi kwangu mtihani hap bd sijajaaliwa km sehemu za kusimama na kuwanza km alivyosom shekhe kishiki wallah sipat ht %1 hhhhh ila kwa sauti na ukalili km kebito nazan nafaulu tunapaswa kuendeley kusoma dini ya Allah na kuijuwa vizury siyo kuchukuliy juu juu simpo ila alivyosom huyo mganda albino nimependa

  • @rahma_bint_djuma
    @rahma_bint_djuma3 жыл бұрын

    Aiseeee kabito 🥺🥺

  • @mbarakbausi6503
    @mbarakbausi65033 жыл бұрын

    😭😭😭😭we need to do something for him.........his number please

  • @manchesterunited7906

    @manchesterunited7906

    3 жыл бұрын

    Kabisa boss

  • @najatsaid2326

    @najatsaid2326

    3 жыл бұрын

    Number the number is in this video look good

  • @muhammadmrmj6228
    @muhammadmrmj62283 жыл бұрын

    Walio toa maamuzi wamesoma na wanaijua quran sasa ww ulie kua hujasoma anaweza kuja mtu ana sauti mzur na mwengne ana mbaya wakasoma quran bc utampa alie nasaut mzur kwa7b hujasoma kumbe huyo mwenye saut mzur ndio kakufuru

  • @allymtungunyu9335

    @allymtungunyu9335

    3 жыл бұрын

    Mbona munaongea mambo msiyoyajua nyie inamaana mtu akikosea kakufuru? Kasome kwanza ujue hukmu za allah

  • @muhammadmrmj6228

    @muhammadmrmj6228

    3 жыл бұрын

    @@allymtungunyu9335 ndio quran ukiisoma t bila kuijua unakosea na ubadilisha maana na ukibadili maana ndio ushakufuru na ndio maana tunapomaliza kusoma tuna staghafiru kama nimekisea nisamehet cna mda wa kubishana na ndugu yangu muislam

  • @muhammadmrmj6228

    @muhammadmrmj6228

    3 жыл бұрын

    @Mtanzania Halisi Thamahani kabla huja reply soma vizr iyo comment yangu uilewe than nimekosea nirekebishe ilasoma vizur kua makini usiwe mwenye kureply t usichokifahamu. Thamahani sana

  • @abuuammar8900

    @abuuammar8900

    3 жыл бұрын

    Happy wanaolalamika sisemi hawajui kusoma قرآن Bali wamezoea aunt wanapenda kusikiliza nyimbo name wanpenda kuimba nakama niupendeleo mbona hakupewa ushindi mtanzania ? alafu hizo nidhanambaya kuwadhania waislaam waliyokua majaji

  • @muhammadmrmj6228

    @muhammadmrmj6228

    3 жыл бұрын

    @@abuuammar8900 pp shukran

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha80533 жыл бұрын

    Mimi naona kasoma vizuri ni lafuzi tuh .

  • @adilhabib8988
    @adilhabib89882 жыл бұрын

    Kwa mfano engekua ni Tajwid enge pewa ushindi moja kwa 1

Келесі