WATOTO WAMWAGIWA FEDHA WAKIIMBA KWA UMAHIRI SHAIRI LA UHURU, DIRA YA TAIFA
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
Watoto kutoka Zanzibar na Tanzania Bara wakighani kwa umahiri shairi wakati uzinduzi mchakato wa ukusanyaji maoni kutoka kwa wananchi kuhusu Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Rais Samia alifanya uzinduzi huo wakati wa Maadhimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara yaliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma
Пікірлер: 6
Maashallah. ❤❤
Mungu awabariki watoto wazuri mmejitaid ila mzidixhe bidii na mazoez kwa wing nawapend wote ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤ ongelen mungu awazidshie
Fatma said pambe
Mmejitahid ila muende Zanzibar kulee kwa wenzenu mukajifunze utenzi wa ushairi kimahadhi mtaweza sanaa tu
Kibibi cha kizanzibar kimekaza icho🎉🎉🎉🎉