WATOTO WAMWAGIWA FEDHA WAKIIMBA KWA UMAHIRI SHAIRI LA UHURU, DIRA YA TAIFA

KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
Watoto kutoka Zanzibar na Tanzania Bara wakighani kwa umahiri shairi wakati uzinduzi mchakato wa ukusanyaji maoni kutoka kwa wananchi kuhusu Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Rais Samia alifanya uzinduzi huo wakati wa Maadhimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara yaliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma

Пікірлер: 6

  • @fatumakale7004
    @fatumakale7004Ай бұрын

    Maashallah. ❤❤

  • @MimaKhamis-wr7qz
    @MimaKhamis-wr7qz2 ай бұрын

    Mungu awabariki watoto wazuri mmejitaid ila mzidixhe bidii na mazoez kwa wing nawapend wote ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @LoisaJumma
    @LoisaJumma2 ай бұрын

    ❤❤❤❤ ongelen mungu awazidshie

  • @othmanchande7408
    @othmanchande74082 ай бұрын

    Fatma said pambe

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty97783 ай бұрын

    Mmejitahid ila muende Zanzibar kulee kwa wenzenu mukajifunze utenzi wa ushairi kimahadhi mtaweza sanaa tu

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj2 ай бұрын

    Kibibi cha kizanzibar kimekaza icho🎉🎉🎉🎉

Келесі