MSAFARA WA NABII GEORDAVIE NI KUFURU ARUSHA | WATU WAANDAMANA BARABARANI
Спорт
SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.
Пікірлер: 16
Inafikaje mwisho halafu wew ni muislam kwenye vitabu vyeti vya dini vinasema saidia watu wasio jiweza utapata swawabu ,hyo baraka kubwa nasehemu kubwa ya Ibada hongera Sana
Mtihani mzito wallahi Allah atupe khatma njema amiyn 👏👏maana sio pw😢😢😭
Mungu amtunze mtumishi Nabii Wawatu wake
Baba tunashukuru sana
kweli. Dunia inafikia Mwisho Allah.atujalie khatma njema
Watu wakisaidiwa mnaonqeya wasipo saidiwa mnaonqeya mnatakaje lakini njiye watu
Kama wanaangamiwa ukawaokowe
Watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifa
@henrychacha5592
Жыл бұрын
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa taarifa.
@amanimanase8798
Жыл бұрын
Maarifa gan ww kwenye kusaidia we mwenyewe una njaa ukiwapewa hutoikataa ila fahamu pesa ni haramu kwa namna alioitafta yy ila ukipatiwa ww sio haramu ni mfano tu
@barakaothumani6421
Жыл бұрын
akili zako ndo zimefka mwisho ndugu siwezi kukulaumu
@SamwelMollel-br9md
Ай бұрын
Ukawaokoye kama wanaagamiya nenda nafaya
Hizo m100 si bora angeenda uturuki kwanza akafany surgery ya weupe Maan mikono na uso ni watu wawili tofauti😂😂😂
@delphiniusdeocress9798
Жыл бұрын
Alkua kavaa glovds bana
@samwelmollel602
Жыл бұрын
Kwani sura naanashokivanya inausiano nqani Kama siyo wivu tu inawasumbua nabii mkuu juu Sana wenye wivu mkajikune
@SamwelMollel-br9md
Ай бұрын
Siku ukiasha umalaya ndiyo utajitambuwa nakuasha kuwatukana manabii