MSAFARA WA NABII GEORDAVIE NI KUFURU ARUSHA | WATU WAANDAMANA BARABARANI

Спорт

SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.

Пікірлер: 16

  • @maulidndunda6965
    @maulidndunda6965 Жыл бұрын

    Inafikaje mwisho halafu wew ni muislam kwenye vitabu vyeti vya dini vinasema saidia watu wasio jiweza utapata swawabu ,hyo baraka kubwa nasehemu kubwa ya Ibada hongera Sana

  • @user-lf9eh4mz1j
    @user-lf9eh4mz1j Жыл бұрын

    Mtihani mzito wallahi Allah atupe khatma njema amiyn 👏👏maana sio pw😢😢😭

  • @katotokazuri7412
    @katotokazuri7412 Жыл бұрын

    Mungu amtunze mtumishi Nabii Wawatu wake

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel6026 ай бұрын

    Baba tunashukuru sana

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Жыл бұрын

    kweli. Dunia inafikia Mwisho Allah.atujalie khatma njema

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Жыл бұрын

    Watu wakisaidiwa mnaonqeya wasipo saidiwa mnaonqeya mnatakaje lakini njiye watu

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Жыл бұрын

    Kama wanaangamiwa ukawaokowe

  • @barakaothumani6421
    @barakaothumani6421 Жыл бұрын

    Watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifa

  • @henrychacha5592

    @henrychacha5592

    Жыл бұрын

    Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa taarifa.

  • @amanimanase8798

    @amanimanase8798

    Жыл бұрын

    Maarifa gan ww kwenye kusaidia we mwenyewe una njaa ukiwapewa hutoikataa ila fahamu pesa ni haramu kwa namna alioitafta yy ila ukipatiwa ww sio haramu ni mfano tu

  • @barakaothumani6421

    @barakaothumani6421

    Жыл бұрын

    akili zako ndo zimefka mwisho ndugu siwezi kukulaumu

  • @SamwelMollel-br9md

    @SamwelMollel-br9md

    Ай бұрын

    Ukawaokoye kama wanaagamiya nenda nafaya

  • @joycekelvin5434
    @joycekelvin5434 Жыл бұрын

    Hizo m100 si bora angeenda uturuki kwanza akafany surgery ya weupe Maan mikono na uso ni watu wawili tofauti😂😂😂

  • @delphiniusdeocress9798

    @delphiniusdeocress9798

    Жыл бұрын

    Alkua kavaa glovds bana

  • @samwelmollel602

    @samwelmollel602

    Жыл бұрын

    Kwani sura naanashokivanya inausiano nqani Kama siyo wivu tu inawasumbua nabii mkuu juu Sana wenye wivu mkajikune

  • @SamwelMollel-br9md

    @SamwelMollel-br9md

    Ай бұрын

    Siku ukiasha umalaya ndiyo utajitambuwa nakuasha kuwatukana manabii

Келесі