No video

MKRISTO ISHI KATIKA KUSOMA NENO LA MUNGU USIMEZWE NA MITANDAO ADUI AMEKUSUDIA MABAYA|MCH KATEKELA

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 22

  • @HalenBahati
    @HalenBahati4 ай бұрын

    Amina mtumishi wa Mungu ni kweli kabisa kuhusu TikTok,kuna kijana hapa Kenya amekua sana TikTok anaitwa Brain Chira, alikufa kifo cha kutatanisha alizikwa juzi Mungu awasidie watoto wetu haki

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter61064 ай бұрын

    AMEM MTUMISHI KATEKELA MUNGU AKUBARIKI UNA MAFUNDISHO MAZURI SANA

  • @MghambaNasemba
    @MghambaNasemba3 ай бұрын

    Munguakukubarki mtumishi wa Mungu nimejifunza mengikupitia mahubìri yako na shuhuda napenda niulizeswali katika maelezokuhusu chanjo yakorona nakikombe cha babu sikukupata vizuri

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert11714 ай бұрын

    Jamani mimi nampenda Yesu

  • @asnatkwamboka6306
    @asnatkwamboka63064 ай бұрын

    Kweli mtu was mungu, kuna kijana mmoja alikua anasaidia viwete alikufa ,mwingine baba Mona naye kaenda ivyo , Brian shira kaenda evyo whah, tiktok

  • @angelpascal3579
    @angelpascal35794 ай бұрын

    Amen mtumishii

  • @DIGNAJASTIN-dl8yj
    @DIGNAJASTIN-dl8yj4 ай бұрын

    Amen mtumish

  • @RodahAdonice-dz4sm
    @RodahAdonice-dz4sm4 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu atusaidie sana

  • @EZRA-b1c
    @EZRA-b1c4 ай бұрын

    AMEN MTUMISHI WA MUNGU

  • @kakanicodemus3632
    @kakanicodemus36324 ай бұрын

    Mtumishi naomba uelezee kuhusu pasaka

  • @nallymwamba1330
    @nallymwamba13304 ай бұрын

    Amen Amen

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qf4 ай бұрын

    Amen mtumishi

  • @angelamugoywa4917
    @angelamugoywa49174 ай бұрын

    Ameen Bwana yesu abewasifa

  • @alfredkuria7673
    @alfredkuria76734 ай бұрын

    Amina

  • @user-iw1yq3op8f
    @user-iw1yq3op8f4 ай бұрын

    Amina mtumishi mungu akuweke viwango vya juu

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert11714 ай бұрын

    Amen

  • @ainekishagodwin1877
    @ainekishagodwin18774 ай бұрын

    Amina mtumishi

  • @user-sk4zx4nt1q
    @user-sk4zx4nt1q4 ай бұрын

    nakufuatilia sn mtumishi

  • @trophywilson7211
    @trophywilson72114 ай бұрын

    Hawafi Ndugu Kama Hivyo Diamond angeshakufa

  • @carendeborah5687

    @carendeborah5687

    4 ай бұрын

    Wewe wajua diamond Yuko kikao Cha hao wengine?It's either ukuwe na Mungu ama ukuwe hiyo side nyingine ,kama upo tu huna kikao basi wewe utaangamia bila kujua.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson72114 ай бұрын

    Mbona Nabii mkuu hafi ??na Musa Kuhani

  • @carendeborah5687

    @carendeborah5687

    4 ай бұрын

    Umesema vizuri ni Nabii na Kuhani meaning wanatumikia Mungu,,,yuamanisha kama utatrend na huko Kwa Mungu Wala ushetani basi utaliwa juu huna kikao

Келесі