MKATABA MBOVU HASWA HAMUUSEMI,KAMA KUNA MKATABA MBOVU WA KWANZA NI MKATAABA WA MUUNGANO.
Ойын-сауық
Join this channel to get access to perks:
/ @rvsonlinetv
JOIN TO OUR WHATSAP GROUP AS MEMBER OF RVS:
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/KZi1LtLlTmX...
#HABARI #UPDTAEHABARI #RVSONLINETV @RVS
Kwa Habari Moto Moto na zenye uhakika wa kina Si kwengine ni #RVS #ONLINE #TV, Fahari ya WaTanzania wote
Ili Kuwa wa kwanza Kupata Taarifa Zetu basi unge bofya Neno Lilo Andikwa #SUBSCRIBE pamoja na alama ya #KENGELE ili upate habari Zenye Uhakika
RVS SQUAD YETU
WAANDISHI NA WANA HABARI :
1. SALMA MASHAKA MAYUNGA
2.YUSRA SAID SHAABAN
3. ABOU BAKAR ( BABROMA )
4.CHRISTOPHER MARTIN
CAMERA MAN :
1.SEIF PUCHE
2.HAFIDH KHAMIS ( FII )
3.UST KHATIB SALUM
4. HARITH
5.HAFIDH OMAR
EDITOR :
1. SAID KOMBO ALI
2.SEIF PUCHE
HAO NDO WANAOTMBULIKANA N RVS ONLINE TV
== JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NASI RVS ONLINE TV ( +255 772 666778), ( +255 719 700015)
⚫️ Email: rvsteam2020@gmail.com OR rvsteamhabari2020@gmail.com
TEMBELEA WEBSITE YETU YA RVS ONLINE TV👇👇👇👇
👉👉👉👉: www.rvsonlinetv.com
FACEBOOK: / rvsteamhb
INSTAGRAM : / rvstv2020
TWITTER : / online_rvs
Пікірлер: 73
😮😮HAO WAZANZIBARI WANAFIKI WAPO MOTO UNAWASUBIRI 🔥🔥🔥🔥🔥 IN SHAA ALLAH AMEEN YA RABI ALLAMEEN.
Ipo siku dhulma itakaa nyuma na haki haki itajuilikana na kamwe haiwezi potea abadan I LOVE Zanzibar
Hakna krd nyma ni mbele kwa mbele mpaka kieleweke
Huyo ni mtu asiyefikiri,kurudia kosa la mwaka 60 ni ulevi wa madaraka,kosa alilofanya baba yake yeye anakuja kulirudia na kufanya baya zaida kwa watoto wake,Kisa baba yake akifanya kosa,watu siku miaka hii wamesoma ili kijaza matumbo au ?
Mtapewa mkitaka na mkishapewa baada ya muda kadhaa mtaomba wenyewe👏👏
ndio baba tunakukubali
Muungano kwishnei tugawane mbao
Hapa tokea mwanzo tulikosea msingi wa muungano wa bara nao wanataka Tanganyika Yao.
Mbona mh mzrui hatumuoni kwenye harakati hizi
Kwanza bandari ya Zanzibar kupewa muisrail kwanini serekali ishindwe kuiendesha wenzetu tanganyika bara mpaka Leo hii bado hawajaitoa
Ccm ijitafakari toeni mamlaka kwa Zanzibar kelele zimezidi
Ju
OMO MASHAALLAH is my favourite
@khamisjuma7616
Жыл бұрын
+259 itarudi inshallah
Wa Danganyika wanavutia kwao. Kuhusu mkataba wa muungano wa Danganyika äwameufyata sababu unawanufaisha wao na familia zao sisi wa Zanzibar tunaendelea kuporwa haki miliki zetu za nchi yetu ya Zanzibari, ila kuhusu bandari wamekuja juu na kusema mkataba mbovu wa wizi je mlipokuwa mnatupora mamlaka yetu sio wizi?..Au uliona hatuna maumivu na nchi yetu?..
@venslausblaise507
Жыл бұрын
Tumeshawazoea wala Ubuyu...
@Ufalme_
Жыл бұрын
Zanzibar ilipaswa kuwa mkoa na sio kama ilivyo hivi leo Hapa wazee wetu walikosea kidogo leo tusingeweza tukaongea lolote kabisa.
@venslausblaise507
Жыл бұрын
@@Ufalme_ Wilaya tu kama Mafia
@mahfoudhally2879
Жыл бұрын
@@venslausblaise507 wilaya imekufundisheni kiswahili na ikawa lugha yenu ya taifa wilaya imeweza kutoa mtoto wa kike akawa raisi wenu majenerali wenu wakakaza mguu,wilaya imeweza kukufanyeni mpige kelele nyingi kwa kuhofia mtakosa kuiba bandarini jee ingekua nchi
@venslausblaise507
Жыл бұрын
@@mahfoudhally2879 Ndo maana nasemaga hamna akili.. kwan hao maraisi wengine hawakutoka kwenye Wilaya? au wametoka Mbinguni nn? #MaviKabisa
Mbowe ndo chanzo Cha kuwatibua wazanzibar anatakiwa kukamatwa kwa ukabila na uchokoz
Omo owa owa acha watoto zarau itakuwa nchi lhali?
@user-ki4sg8yz9j
Жыл бұрын
Mbona hueleweki hicho unachosema?
@KngSully
Жыл бұрын
Tena atukuelewi kabsa cjui una mana gani
Nyie danganyeni lakinijue Tanganyika Haina serikari !lakini Zanzibar inaserikari ! Sasa hapa nani kapunjwa? Jibu liko wazi Tanganyika kapunjwa kwa sababu Hana serikari ya Tanganyika maana kabakina serikari ya kungana ambayo Niya mungano wa nchi ya pamoja Tanzania ilitakiwa bara ndio wararamike maana ndio hawana serika ! ?
@AliSalim-yu4mo
Жыл бұрын
Unadhani kwanini hamuearamiki!(Sisi tunasema hamulalamiki)kwasababu Serikali ya Muungano ndiyo imejivika koti la Tanganyika!hivyo mamlaka ya Zanzibar yako Tanganyika na mfano ni pale Rais wa Zanzibar (marehemu)About Jumbe aliondolewa madaraka I na Baba yenu wa Taifa Nyerere au ilikuwa hujazaliwa wewe?vipi Wazanzibari tuchaguwe rais wetu na aondolewe huko Tanganyika?
@user-ki4sg8yz9j
Жыл бұрын
Kama Tanganyika haina serikali. Hilo bunge linakaa kupitisha bajeti ya nchi gani? Maana znz inalobaraza lake. Pumbavu wee unaropoka tu.
@KngSully
Жыл бұрын
Wew mjinga xan tafuta watoto udanganye ivo,,, me na zanzba zanzba na me
@AliSalim-yu4mo
Жыл бұрын
Kama Tanganyika kapunjwa basi chukuweni Serikali yenu Sisi tuliopunja mutupe ya Muungano ili na nyie mufaidi kama Sisi
@Ali-nl2du
Жыл бұрын
Ndugu Deusi naomba unisikilize kidogo. Mimi mzanzibari na nimeishi pande zote za muungano. Kwa hiyo nawapenda wazanzibari na nawapenda watanganyika (waadilifu). Kuhusu muungano ni hivi - Zanzibar tupo tayari ku reverse hii situation. Tuifute SMZ, halafu SMZ iwe SMT. Ikisha nyie huko ndugu zetu mpate serikali ya Tanganyika isiyo na mamlaka kamili. Mjaribu kwa miaka 5 tu halafu tutazungumza tena. Unajua mambo mengine yanataka uyafanye practically ndio uyafahamu. Nadharia tu huwa haitoshi, kama kupika vile, lazima uingie jikoni ndio uwe chef. Huwezi kusoma vitabu tu na kupanga ingredients/menus kichwani mwako. Je, mpo tayari ndugu zetu wapendwa?
Mbowe kayatibua na ubaguz wake ndo mana kwenye chama chake kakijaza wachaga
Huyu anaongea vizuri ila shida nimoja Watu wa siasa niwaongo mie ninacho amini mbali na mambo yanayo endelea huyu anawapiga vita wenzie na kuzungumza hayo lakn chachu yake nikua raisi siku zijazo maana wanaona ccm hawafai wanaharibu nikweli sote twajua hivo lakn mfano mfupi nikua yeye anayo nafac kubwa katka serikal je amefanya mangapi yamaana kama sio kuradi wenzie Sisi wananchi twapenda viongozi kama yeye lakini Kwahawa watu sio ukitaka kumjua huyu mtizame zito kabwe mtizame tundulisu ndio kundi la chama chake navilio vyao vikubwa wote nikudai kua serikal iliopo madarakan inaharibu Wakat huo huo wanashauri wananchi wasaidie kuwatoa ccm ili waingie wao sasa wanatuaminisha Kwamaneno mazur ila wakipata Ndio tutajua kwel hii nisiasa hawa jamaa hawafai Leo tundulisu ana simama kutete wanzibar ikiwa yeye nimtu wa bara sawa tunakubali pengne ameguswa Lakini hakuna lolote zaidi ya kua anatumia njia hyo ili wapate uraisi kwahvo Ushauri wangu tuwe makini tunao comment tusije kutukanana huku waisilamu kwa waisilamu kwajili ya siasa faida wanapata wao maisha ndio yale yale kwahvo tuwe makini Allah he say that innamal muuminuuna ikh'watun Fa aswlihuu bayna Akhawaykum wattaqu llah lagh'alakum turhamuun
@kassim1262
8 ай бұрын
Yupo serikali lkn kisheria kwnz utambue makamo wapili warais ndio mtendaji mkuu washuhuli za serikali makamu wkwnz nikivuli tu serikalini ndio maana akigoma leo kufanya kazi za kiserekali bdo unakutia shuhuli zinaendelea tu km kawaid uepo wke saw natawi kwenye mjit ulio komaa haliwezi kuufanya mji ukaanguka kwaio usiwe namihemko kwenye hili hii nchi inapelekwa ki ccm zaid kuliko unavyofkiria
@saidsobongo912
8 ай бұрын
@@kassim1262 bac kama umenielewa umejijibu ahsantee
Nyie pandikizeni ubaguzi kitakacho fata hapo kira kisiwa kitadai kua nchi kamiri mtajikua mko wenye mizozo kwajiri ya tamaa zenu za madaraka ,daini kujitenga lakini mjue kujitenga kutawagarim mtakuwa mnakwenda kwa paspoti nakimbizwa na maigresheni kama wakimbizi wakati turikua huru!
@DeusiSetivin-ls9uz
Жыл бұрын
Mtu anapoongea fikiria chuja maneno , epuka maneno ya chuki ,maana kama chuki hio ingekue Toka zamani nchi ingekua ktk matatizo ,lakini kwasababu nchi irikua a amani amani hio inaenderea Hadi Sasa ujue uongozi ukovizuri !
@DeusiSetivin-ls9uz
Жыл бұрын
Tatizo Nini ? Hayo yote unayo ongea Tanganyika hayapo ! tumebabizi mungano ! Borayenu nyinyi mnaserikari ya Zanzibar n
@AliSalim-yu4mo
Жыл бұрын
Wacha iwe hivyo kwani wewe utaathirika na nini?kwani Zanzibar ilianzia baada ya kuungana na nyie!yaani tugawane baada ya kuachana na nyie!kweli nyie muna akili za kuku au za samaki sijuwi?bongo zenu zimeganda barafu hazifanyi kazi zimetewaliwa na ujinga,nadhani bia zinawazingua!
@KngSully
Жыл бұрын
Chuki gan ww mbon kama ujielew, cc na hao wenyako huko tanganyika wenyekubambika chuki ni nani, bandari t umewaona shuuli yao, ubaguz kla sehem, sas wao na cc na walonachuki. Acha ujinga ww, kama ww mzanzbar penda taifa lako
@KngSully
Жыл бұрын
Ubaguz wanao hao wenzako watanganyika ww kama ujui, 😂😂😂😂😂
Fikirieni kipindi nchi ya Kenya iriposema kisiwa Cha Zanzibar nichake kiricho saidia ni mungano wetu wa Tanzania bira Hiro Kenya wange chukua ! Sasa fikiriaeni kwamaki swarahiri ! Maana nimewakumbusha tukii Hiro iri mjue faida ya kungana?
@chingaboy1149
Жыл бұрын
Wew kwanza kajifunze kutofautisha R.l ndio uje ucoment ucomedy wako
@AliSalim-yu4mo
Жыл бұрын
Nadhani wewe na hao Wakenya nyoooteee hamujuwi kitu ujinga umewatawala historia inasema Mombasa ni sehemu ya Zanzibar na si Mombasa Tu Bali hata sehemu ya Dar Hadi kibaha waulize wanaojuwa usiwe mvivu WA kufikiri na kusoma pia
@AliSalim-yu4mo
Жыл бұрын
Na sio kiricho ni kilicho!
@user-ki4sg8yz9j
Жыл бұрын
Kumbe hujui chochote. Mombasa ya kenya ni mali ya zanzibar kama hujui. Mwambao wa Dar, tanga, kilwa na mombasa ya kenya , huu wote mi mwambao wa znz
@KngSully
Жыл бұрын
Tuacheneni nae huyo ndo hao walotupora zanziba zetu ndo anatetea kwao, mungano gan ata ukenda na kibrit tanganyka ni magendo
Hakuna kitu hizi kelele tushazizoweya
@seifabdulwahid4579
Жыл бұрын
Hayo mawazo yk na sisi tunaona ccm haina kitu ndiyo mpk leo hawawezi kuleta Maendeleo
@AliSalim-yu4mo
Жыл бұрын
Kelele utazisahau Tu hakuna mwanzo usio na mwisho
@KngSully
Жыл бұрын
Ipo utajua kama sio kelele ww bado uko ucngizini t, amka ww ucje ukuchukuliwa na mafuriko!
@KngSully
Жыл бұрын
😂😂😂 et kelele t
@AliSalim-yu4mo
Жыл бұрын
Wale woooteee wanachama na wanaoiunga mkono Chadema kutoka Zanzibar nao ndio wasaidizi wa kuikandamiza Zanzibar ni sawa na CCM Zanzibar hawana tofauti ni jora moja tuwaogope zaidi ya corona
Mwachie kidume Mansour
@user-ki4sg8yz9j
Жыл бұрын
Mansour hataki kugombea. Msianze vijineno visokua na tija.
@suleimanalkindy6502
Жыл бұрын
Acha majungu wewe. Kiongozi kwa sasa ni OMO.