HAYA SASA RVS USO KWA USO NA AL HAJI GOYA AKIELEZEA KWANINI KAACHA KUIMBA .PART 1
Ойын-сауық
Join this channel to get access to perks:
/ @rvsonlinetv
JOIN TO OUR WHATSAP GROUP AS MEMBER OF RVS:
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/KZi1LtLlTmX...
#HABARI #UPDTAEHABARI #RVSONLINETV @RVS
Kwa Habari Moto Moto na zenye uhakika wa kina Si kwengine ni #RVS #ONLINE #TV, Fahari ya WaTanzania wote
Ili Kuwa wa kwanza Kupata Taarifa Zetu basi unge bofya Neno Lilo Andikwa #SUBSCRIBE pamoja na alama ya #KENGELE ili upate habari Zenye Uhakika
RVS SQUAD YETU
WAANDISHI NA WANA HABARI :
1. SALMA MASHAKA MAYUNGA
2.YUSRA SAID SHAABAN
3. ABOU BAKAR ( BABROMA )
4.CHRISTOPHER MARTIN
CAMERA MAN :
1.SEIF PUCHE
2.HAFIDH KHAMIS ( FII )
3.UST KHATIB SALUM
4. HARITH
5.HAFIDH OMAR
EDITOR :
1. SAID KOMBO ALI
2.SEIF PUCHE
HAO NDO WANAOTMBULIKANA N RVS ONLINE TV
== JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NASI RVS ONLINE TV ( +255 772 666778), ( +255 719 700015)
⚫️ Email: rvsteam2020@gmail.com OR rvsteamhabari2020@gmail.com
TEMBELEA WEBSITE YETU YA RVS ONLINE TV👇👇👇👇
👉👉👉👉: www.rvsonlinetv.com
FACEBOOK: / rvsteamhb
INSTAGRAM : / rvstv2020
TWITTER : / online_rvs
Пікірлер: 34
Mm nlikukubali sana wimbo wako umuhimu wa baba watu wengi wazungumzia mama ila la baba nilikukumbal
Namkumbuka sana mwamba tulikuwa tukichukua tungule shirika makambako alikuwa na kubaz zake kaandika m v yaani mistari na vina
Nataka nambazooo
Jamaa aliifumbua macho watu sana na viongoz walishtuka kwa kweli
fantastic nakukubali goyaaa👍
Mashallah kwa wtt wengi na ukawatunz
Yuko vzur anaelimishà
Asalam Alykum Kaka Nakuomba Umesha Tubu Au Umewacha Kuimba Nyimbo Au Mziki Ila Kwa Sautiyako Allah Aliyokujaliya Soma Kur'an Au Soma Nasshid Hapo Nitakusapoti Kk Allah Atakufanyiya Wepesi Katika Kila Jambo Kk Kazi Njema
Kweli hyu kaka analimisha nyimbo zke na zipenda nitofauti nyimbo za bongo
Dha nakukumbuka Sana kule Pemba TV
G O Y A One love.. ✌
Kweli unatoka mbali
Da Kawa mzee hivi?
nyimbo ya zenji bila mapinduzi imekukandamiza..😂pole mpemba
Ama kweli asonakizazi ana watoto tisa(9)🤣🤣😁🙌
🥰🥰🥰🥰
Kamanda
@mohammedhamad5297
Жыл бұрын
Huyu stering wa pemba. Ndio kiongozi mashallah
Aminia mr alhaji goya unasema ukweli
Eeee Alhajiii
Huyu jamaa nomaa yupo na mwenziwe 1 anaitwa Y.B noma naee fanyeni mumtafute na yy mukafanye nae interview
mwandishi unatruzingua mbona unahoji nje ya maadili kama kimekuathiri sisi itatusaidia nini
Kake naomba nambazo
Haliyapemba
Jamaa nilimkubali sana huyu
Hahahha uyo ndo alhaji
Mbn huna mbaya anco
Rudi tena kwa Allah,kaka Umesha ota kongwe ujue muda umefika Wakuelekea kwa Allah mm na ww muda wowote tunaondoka dunian Allah atufishe hali ya kuwa waislamu ila Hurusikia tena kuonyeshwa unaimba, Alhaji
@dee4330
7 ай бұрын
Haimbi tena si anatowa t Story sio mby
Binafs jamaa namkubali sn
kondo umeishia huku rvs
alahaj watoto 13mhhh
Dulisaks
Kake