follow mkasi on / mkasitv and like us on / mkasitv
Жүктеу.....
Пікірлер: 46
@TheTuney12 жыл бұрын
hahahah Masoud nakupenda sana ..yaani unaongea ukweli mtupu.. 'kuna watu wanakula kwa mikono miwili na wengine mpaka kwa miguu'
@mzeewajambo82934 жыл бұрын
Huyu jamaa ana akili sana Naitizama tena 2019 November
@4weston412 жыл бұрын
Kipanya wewe ni zaidi ya nouma, nakukubali sana.
@kmtenga12 жыл бұрын
good job salama I love u,masoud kadata kabisa hahaa anasema ukweli mtupu,salama usiache kupost episodes hapa tuenjoy raha hizi,pia itakuwa vizuri ukifanya mahojiano na wasanii hasa wanaobaniwa ili tujue ukweli kama kipanya alivoongea kuhusu cloudsfm na management yao
@tumpiliksye11 жыл бұрын
Tanzania ni kisiwa cha vipaji , kichwa kingine hiki
@linegreen2312 жыл бұрын
Hii Inakubalika kabisa na kwa kweli ni moja ya kipindi cha Kitanzania nitakachokua nakifuatilia sana, Inaonekena kipindi hiki kinafunguka sana katika mambo mbali mbali, Big up Salama huu ndio ubunifu tunao uzungumzia kila siku, endelea kuwadaka waje wafunguke ki ukweli kabisa..!
@ellyobedy17532 жыл бұрын
Hatari kumbe miaka10 ishapita kwel siku hazigandi
@rinnionnTV12 жыл бұрын
Real talk KP!Tanzania inahitaji vichwa kama hivi.
@MREMBOMIE12 жыл бұрын
hadidhi yako ni nzuri sana!!!!!!!! hasa sehemu unaayo sema kuwa: watangurie vilema ,watoto, wajawazito na wafuate wenye nguvu... kwa bahati mbaya hili halipo tanzania... haswa wanaume wa kila umli wanazarau sana wasio jiweza! ... mfano kwenye daradara utakuta gibaba zima limejiweka kwenye seat na mbele yake una mama mjamzito au mwenye mtoto anasukumwa , hakuna nafasi...
@Kinsports Жыл бұрын
2023
@TheAlesry12 жыл бұрын
Salama big up hili bonge la show, wewe makali sis
@safinabakari91406 жыл бұрын
Kipindi pekee ambacho salama amekua msikilizaji yaani masoud ni noumaaaaa......
@hamadishee46366 жыл бұрын
God bless you bro kipanya the only gifted media personel in tanzania
@mohdyussah8255 жыл бұрын
Safi sana kp na wote hapo
@enockshija55126 жыл бұрын
Kp you are so creative. I real appreciate and salute you.May God enrich you no matter how the world looks you.Never mind it.
@Namestn11 жыл бұрын
Among the artist that I admire n appreciate in TZ ths guy is among them...he is real n wise....he uses well his talents n connects with the society.... Good work Salama, keep it up....bro...keep t real....we support u.
@mohamedomar403711 жыл бұрын
Nyerere kwa wakati wake kama akisema tumefika mbali kabisa watu wanavaa viatu ni makosa hata kabla ya hiyo uhuru tulikuwa tunavaa viatu kama kawaida ,lakini ameturudisha nyuma sana kielimu na elimu yetu ni ya chini sana hadi leo.
@halimojaimman63019 жыл бұрын
Dah Moja Bonge la SHOW.. SUDI Alinyalisha Sana Katika FIKRA HURU
@ndewerokkrekamoo39826 жыл бұрын
Masood is a genius
@alexmurithi13275 жыл бұрын
2019 gonga like
@luluemerald538011 жыл бұрын
Bravo Kipanya...........
@cuthbertbruce20986 жыл бұрын
Namkubali sana huyo jamaa
@1992alemi12 жыл бұрын
This show is better than the so called TAKE ONE
@sadathassan70595 жыл бұрын
Respect mkuu
@catenzeki6785 жыл бұрын
Napenda busara zako Masoud
@MOchyze8912 жыл бұрын
nimeipenda story ya cake\
@bakarikishaa48894 жыл бұрын
Kipanya gifted
@gabbymaster112 жыл бұрын
wenye vipaji tupo wengi sana ila fulsa ndo chache sana ...... lakini nafikiri kila jambo lina wakati wake
@tequasuphatetareq98587 жыл бұрын
Masoud ni nouma miaka mingi.
@12345678901247012 жыл бұрын
wanakula na miguuu hahahahaaahahhaha!
@abdallahmakassy30036 ай бұрын
0:17
@abrahimali36285 жыл бұрын
Mkapa hanakitu alichofanya labda kuuwa wapemba
@VictorChrispinSamson12 жыл бұрын
Real shit with real stars... Salama, Deuces!
@danyrobertz207810 жыл бұрын
Tz ni noumaa kwa sasa
@MREMBOMIE12 жыл бұрын
na akiingia kwenye gari anaangalia kama kuna mtoto aliekaa kwenye seat na anamwambia a ondoke il yeye akae... AIBU KUBWAAA!!!!!!!!!!!!!!!!
Sudi nakuelewa japo nilikua sikuelewe ss nakuelewa kupitia mwanao ,mwnao kanielimisha sana pliz sudi naomba tuwasiliane mitandao yngu 0756360274
@MzeeNyundo11 жыл бұрын
Kwa swala la watangazaji kuigana - ni kweli kabisa ya kwamba waTz hajui kubuni na wale wanaobuni, munda mwingi haki zao hazilindwi kwa maana wanaoiga wabunifu ndio wanafaidika.... sheria inabidi zilindwe. Tz ina kila kitu, tunaweza kufanya kila kitu na labda kwenye level ya nchi tajiri ulimwenguni... Ambacho hatuna ni Haki, haki ya muundaji ilindwe na iheshimike ili waTz na nchi itajirike. Bila kuheshimu sheria, hatutafika kokote.
@constantinemanyanda66676 жыл бұрын
Kipanya hajaulizwa swal kaanza story mwenyew
@jasminyiddysulaiman9807
5 жыл бұрын
Genius
@catenzeki678
5 жыл бұрын
Yy ni mtangazaji.Apo anakuonyesha ni jinsi gni anavyopenda utangazaji
@kerinasiyame408012 жыл бұрын
HEY SALAMA MIMI NAITWA MAMA KENNEDY NAISHI AMERICA BOSTON NAPENDA SANA KUANGALIA MKASI NAONA SANA WANAWAKE WENGI . MIMI NA WEWE TUNAWEZA KUFANYA BUSINESS YA VIPODOZI ZAIDI MAWASIANO NUMBER YA SIMU 6176696084 PIA NINA WEBSITE YANGU YA BUSINESS NAOMBA NUMBER YAKO NITAKUPIGIA ILI TUONGEE ZAIDI .
Пікірлер: 46
hahahah Masoud nakupenda sana ..yaani unaongea ukweli mtupu.. 'kuna watu wanakula kwa mikono miwili na wengine mpaka kwa miguu'
Huyu jamaa ana akili sana Naitizama tena 2019 November
Kipanya wewe ni zaidi ya nouma, nakukubali sana.
good job salama I love u,masoud kadata kabisa hahaa anasema ukweli mtupu,salama usiache kupost episodes hapa tuenjoy raha hizi,pia itakuwa vizuri ukifanya mahojiano na wasanii hasa wanaobaniwa ili tujue ukweli kama kipanya alivoongea kuhusu cloudsfm na management yao
Tanzania ni kisiwa cha vipaji , kichwa kingine hiki
Hii Inakubalika kabisa na kwa kweli ni moja ya kipindi cha Kitanzania nitakachokua nakifuatilia sana, Inaonekena kipindi hiki kinafunguka sana katika mambo mbali mbali, Big up Salama huu ndio ubunifu tunao uzungumzia kila siku, endelea kuwadaka waje wafunguke ki ukweli kabisa..!
Hatari kumbe miaka10 ishapita kwel siku hazigandi
Real talk KP!Tanzania inahitaji vichwa kama hivi.
hadidhi yako ni nzuri sana!!!!!!!! hasa sehemu unaayo sema kuwa: watangurie vilema ,watoto, wajawazito na wafuate wenye nguvu... kwa bahati mbaya hili halipo tanzania... haswa wanaume wa kila umli wanazarau sana wasio jiweza! ... mfano kwenye daradara utakuta gibaba zima limejiweka kwenye seat na mbele yake una mama mjamzito au mwenye mtoto anasukumwa , hakuna nafasi...
2023
Salama big up hili bonge la show, wewe makali sis
Kipindi pekee ambacho salama amekua msikilizaji yaani masoud ni noumaaaaa......
God bless you bro kipanya the only gifted media personel in tanzania
Safi sana kp na wote hapo
Kp you are so creative. I real appreciate and salute you.May God enrich you no matter how the world looks you.Never mind it.
Among the artist that I admire n appreciate in TZ ths guy is among them...he is real n wise....he uses well his talents n connects with the society.... Good work Salama, keep it up....bro...keep t real....we support u.
Nyerere kwa wakati wake kama akisema tumefika mbali kabisa watu wanavaa viatu ni makosa hata kabla ya hiyo uhuru tulikuwa tunavaa viatu kama kawaida ,lakini ameturudisha nyuma sana kielimu na elimu yetu ni ya chini sana hadi leo.
Dah Moja Bonge la SHOW.. SUDI Alinyalisha Sana Katika FIKRA HURU
Masood is a genius
2019 gonga like
Bravo Kipanya...........
Namkubali sana huyo jamaa
This show is better than the so called TAKE ONE
Respect mkuu
Napenda busara zako Masoud
nimeipenda story ya cake\
Kipanya gifted
wenye vipaji tupo wengi sana ila fulsa ndo chache sana ...... lakini nafikiri kila jambo lina wakati wake
Masoud ni nouma miaka mingi.
wanakula na miguuu hahahahaaahahhaha!
0:17
Mkapa hanakitu alichofanya labda kuuwa wapemba
Real shit with real stars... Salama, Deuces!
Tz ni noumaa kwa sasa
na akiingia kwenye gari anaangalia kama kuna mtoto aliekaa kwenye seat na anamwambia a ondoke il yeye akae... AIBU KUBWAAA!!!!!!!!!!!!!!!!
masudi sura linang'aa kama kitumbua hahahahaaaaaa
@jacobonael885
6 жыл бұрын
Wee unaangalia kung'aa husikilizi maneno, badilika
i hate mcng any cngo show....good job!!!!
Kipara kinanyorewa jaman nm sn
@neemaemanuel8113
5 жыл бұрын
Sudi nakuelewa japo nilikua sikuelewe ss nakuelewa kupitia mwanao ,mwnao kanielimisha sana pliz sudi naomba tuwasiliane mitandao yngu 0756360274
Kwa swala la watangazaji kuigana - ni kweli kabisa ya kwamba waTz hajui kubuni na wale wanaobuni, munda mwingi haki zao hazilindwi kwa maana wanaoiga wabunifu ndio wanafaidika.... sheria inabidi zilindwe. Tz ina kila kitu, tunaweza kufanya kila kitu na labda kwenye level ya nchi tajiri ulimwenguni... Ambacho hatuna ni Haki, haki ya muundaji ilindwe na iheshimike ili waTz na nchi itajirike. Bila kuheshimu sheria, hatutafika kokote.
Kipanya hajaulizwa swal kaanza story mwenyew
@jasminyiddysulaiman9807
5 жыл бұрын
Genius
@catenzeki678
5 жыл бұрын
Yy ni mtangazaji.Apo anakuonyesha ni jinsi gni anavyopenda utangazaji
HEY SALAMA MIMI NAITWA MAMA KENNEDY NAISHI AMERICA BOSTON NAPENDA SANA KUANGALIA MKASI NAONA SANA WANAWAKE WENGI . MIMI NA WEWE TUNAWEZA KUFANYA BUSINESS YA VIPODOZI ZAIDI MAWASIANO NUMBER YA SIMU 6176696084 PIA NINA WEBSITE YANGU YA BUSINESS NAOMBA NUMBER YAKO NITAKUPIGIA ILI TUONGEE ZAIDI .
@aishamndeme5780
5 жыл бұрын
kerina siyame Q&A