Mkasi - SO2E13 with Kibonde

Ойын-сауық

mkasi.tv

Пікірлер: 114

  • @MwanamkuuMumbe
    @MwanamkuuMumbeАй бұрын

    ❤ tulimpenda Ila mungu amempenda zaidi

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16505 жыл бұрын

    Walotangulia mbele za haki na waliowahi kuhojiwa katika mkasi, Kibonde, Ruge, Kanumba, Majuto, Sajuki, Banza Stone, Gamba, Komba, Gurumo.

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z2 ай бұрын

    KIBONDE UMKUTE ANAFANYA TANGAZO LA VIDEO,,,😊,,,UYO MZEE NUKSI

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus93036 жыл бұрын

    Salama una kipindi gani kwa sasa? You know I miss your work jamaniii. Bring back mkasi or tunaomba something new jmn fans tunakumiss

  • @mydiary39

    @mydiary39

    5 жыл бұрын

    Ana kipindi kinaitwa Shabiki On Saturday kila Jumamosi saa 5 asubuhi Eatv

  • @antybabybintrashid2333

    @antybabybintrashid2333

    4 жыл бұрын

    I love Jesus same to me

  • @jeffersonsimon477
    @jeffersonsimon4774 жыл бұрын

    R.I.P kibonde we miss u broh

  • @angelntandu4648
    @angelntandu46485 жыл бұрын

    Salama rudisha hiki kipindi hewani umefanyia watu mahojiano mazuri sana yanaonekana mapya kila siku.hapa ndio watu wanaelewa hawa watu waliongea nini kabla ya kufa

  • @darlinmamawatatu6411
    @darlinmamawatatu64115 жыл бұрын

    Plz salama bring back mkasi

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary87435 жыл бұрын

    Kanumba, Ruge, Kibonde, King Majuto, wote hawa Salama alipata bahati ya kuwahoji kipindi cha uhai wao katika kipindi cha Mkasi. May there souls rest in peace

  • @gracethomas683

    @gracethomas683

    5 жыл бұрын

    Fazeel Shomary pia Sajuki

  • @sandekanyamala2456
    @sandekanyamala24565 жыл бұрын

    dah!!... Nilianza kukufuatilia toka kipind hiki kirushwe,Ni wanaume wachache wenye uelewa kama wako,Pumzika kibonde,kila nafsi itaonja mauti

  • @neycoleclassic4426
    @neycoleclassic44266 жыл бұрын

    hawa watangazaji wote, nilikua nawapenda na nitawapenda. maana wana utofauti

  • @patrickmsuguri
    @patrickmsuguri5 жыл бұрын

    Rip Kibonde ulikuwa smart..

  • @mohamedalaraimi6813
    @mohamedalaraimi68135 жыл бұрын

    Kibonde katutoka jamani Inna lilah waina ileihi Raj un

  • @embedodo11
    @embedodo1112 жыл бұрын

    kibonde this interview umeiweza..bigup salama!!

  • @sadimiko1387

    @sadimiko1387

    5 жыл бұрын

    salama rudisha hichi kipindi tafadhali r.i.p kaka kibonde

  • @alfanshonde2438
    @alfanshonde24385 жыл бұрын

    Daaa kibonde jaman pumnzika kwa aman

  • @hurumaevarest1690
    @hurumaevarest16905 жыл бұрын

    Salama huwa nakukubali sana ila mwanzo nilikua sikuelewi elewi lakini nakuelewa sasa uko vizuri sana hiki kipindi hebu kiendeleze tena nakukiboresha zaidi. Tunapata elimu kwanjia moja au nyingine. By the way R.I.P Kibonde

  • @emmanuelimaxxaka754
    @emmanuelimaxxaka7545 жыл бұрын

    R.l.p kibonde good Ailaze Roho yako mahali pema pepon Amen🕯🕯🕯🙏🙏🙈

  • @hadijaangura6572

    @hadijaangura6572

    5 жыл бұрын

    RIP KAKA

  • @emanuel4148
    @emanuel41485 жыл бұрын

    Daah jamaa katutoka RIP

  • @doramwanyika5826
    @doramwanyika58265 жыл бұрын

    Rip kibonde😭😭

  • @leaherasto929
    @leaherasto9295 жыл бұрын

    Rest In Peace Kibonde

  • @queenyahaya3147
    @queenyahaya31475 жыл бұрын

    R.i.P kibonde 😭😭😭

  • @user-ik3ey9cs9e
    @user-ik3ey9cs9e5 жыл бұрын

    INALILAH WAINAILAYH RAJIUNI.

  • @rashidisaidi8535
    @rashidisaidi85352 ай бұрын

    Gadna na kibonde daah tutawakumbuka sanaaa❤

  • @nickalreadyknows
    @nickalreadyknows5 жыл бұрын

    Asee hichi kipindi kirudishwe Jaman dah

  • @evelynmon6491
    @evelynmon64915 жыл бұрын

    Afadhali salama mwenzetu ulikuwa unamwambia mtu ukweli kama unampenda unampa sifa zake kabla ajafa

  • @salmarajab8707

    @salmarajab8707

    5 жыл бұрын

    K

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen10653 ай бұрын

    😢 SHAME SO much memories

  • @nakukanyatena3060
    @nakukanyatena306011 жыл бұрын

    jameel871 wewe ni sawa na nguruwe, maneno unayo sema ni kama kula mavi yako nafikili ha muonekano wako utakuwa kama nguruwe, hata mkeo unaishi nae kwa maneno ya kijiweni kwa akili huna

  • @antoniageorge5369

    @antoniageorge5369

    5 жыл бұрын

    nakukanya tena una hadabu

  • @zumbaabiyah3184

    @zumbaabiyah3184

    5 жыл бұрын

    Huyo jamaa asamehewe bure, kuna haja kbs SERIKALI HII SIKIVU,IMTAFUTE NDIPO AKILI YAKE ITAKAA SAWA,ana ujasiri gani, wakuongea huo utumbo? KI UKWELI, BNAFSI NIMEUMIA SANA, KUMTUKANA BABA WA TAIFA?!! 😷😱😇😤❗️TCRA, Polisi, tafuta hii Jamaa. 😱😱❗️ili aadabishwe ili liwe fundisho.

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo4111 жыл бұрын

    Yemeni ni nchi maskini sana uarabuni; hivyo hawana nguvu ya kijeshi au kiuchumi kuweza kurudisha influence yao kwenye makoloni ya awali hasa inapohusisha kuwepo kwa malighafi kama mafuta; Wangekuwa na nguvu kijeshi wa kupingana na marekani na wababe wangweza kurudi zanzibar wakafanya uchimbaji wa mafuta yaliyogunduliwa katika bahari pale; Lakini ubavu hawana.

  • @mariyaal5366
    @mariyaal53665 жыл бұрын

    Rip kibonde

  • @TheDinhoDesign
    @TheDinhoDesign12 жыл бұрын

    Salama hivi kuhusu BLOCKING, ulikuwa una uhakika kama FACEBOOK hakuna kitu kama hicho?...FACEBOOK ndio rahisi kushinda TWITTER basi kama hujui nakuabalisha...kuweni makini mnatazamwa na watu wengi so mkiwa vitu vidogo kama hivyo hamu vifahamu inakuwa inatia udhuni,,,maana naona bora nije mimi hapo nisikilizwe!...pamoja sana!

  • @hamzambasha8577
    @hamzambasha85773 жыл бұрын

    R.i.p kibonde jahazi kumepoa Sana now

  • @motanzanya6723
    @motanzanya67235 жыл бұрын

    Daaah umauti hauna urafiki ,,,,,,,punzika kwa aman KIBONDE

  • @marymathew6529
    @marymathew65295 жыл бұрын

    R.I.P Kaka Kibonde

  • @TheSalma1999
    @TheSalma19996 жыл бұрын

    very professional nimempenda mno huyu kaka pole na msiba

  • @saidangel8958

    @saidangel8958

    5 жыл бұрын

    Hapa ulimpa yy pole leo na yy kaenda aisee inauma

  • @janekapela1967
    @janekapela19675 жыл бұрын

    Daaaaah 😢😭

  • @jeremiahmujinja4451
    @jeremiahmujinja4451 Жыл бұрын

    R. I. P Kibonde

  • @pikipiki_market
    @pikipiki_market5 жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @lutemelele9619
    @lutemelele96195 жыл бұрын

    r.i.p kibonde

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry93085 жыл бұрын

    R.I.P BROO

  • @suzanpatrick8381
    @suzanpatrick83815 жыл бұрын

    r.I.p baba

  • @Frankvanmuniko
    @Frankvanmuniko11 жыл бұрын

    KIBOBOBOBOBOBOBO a.k.a KIBzzzzz

  • @shedrackmaluli1373
    @shedrackmaluli13735 жыл бұрын

    RIP Kibondee

  • @ahmedkapera6989
    @ahmedkapera69895 жыл бұрын

    Nakumbuka ndungu yangu

  • @hamisreegan3738
    @hamisreegan37385 жыл бұрын

    Pumzka Kwa amani kibonde

  • @sultankaburutajr7422
    @sultankaburutajr74225 жыл бұрын

    Pumzika kibonde r. i . p

  • @a.856
    @a.8565 жыл бұрын

    Salama rudisha mkasi dada

  • @zuhurajuma644

    @zuhurajuma644

    5 жыл бұрын

    Kwann

  • @masoudrashid8381
    @masoudrashid83815 жыл бұрын

    Kaka tumekupenda ila mungu kakupenda zaidi

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga83345 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani kaka...sote tulikuja na tutaondoka

  • @bahatymsungu2779
    @bahatymsungu27795 жыл бұрын

    Rip baba

  • @a.856
    @a.8565 жыл бұрын

    Rip baba poleni wte

  • @rajabk1
    @rajabk111 жыл бұрын

    Salama ana tendency ya kukatisha maswali yake na kulazimisha yake. its her say kwanza the wengine wafuate

  • @fredyqmaa4680
    @fredyqmaa46807 жыл бұрын

    Haya

  • @kevinbona7669
    @kevinbona766910 жыл бұрын

    hehehehhehehe eti huwezi blck mtu facbk haya bhana ila sio kosa lako ni kujua ti hop now utakua umeshaelewa

  • @sistersade9039
    @sistersade90395 жыл бұрын

    salama, hivo ulivokua umekaa si ustaarabu wala maendeleo mbele ya mkubwa wako unaemfanyia interview. tizama leo tumempoteza Kibonde, utaweza vipi kurudi myuma. na yeye bila ya shaka alikua pia anaona hivo.

  • @princehamad4225
    @princehamad42255 жыл бұрын

    Tutakukumbuka daima

  • @askaounga6456
    @askaounga64565 жыл бұрын

    Vipi mrembo ana sagg

  • @mihayoonline1573
    @mihayoonline15734 ай бұрын

    Endelea kupumnzika

  • @rehemahassan4779
    @rehemahassan47796 жыл бұрын

    Pole my bro

  • @magrethmoses702

    @magrethmoses702

    5 жыл бұрын

    Rlp

  • @jandaboytztz6314
    @jandaboytztz63145 жыл бұрын

    RipKibonde

  • @angelmacha6136

    @angelmacha6136

    5 жыл бұрын

    R i p kibonde

  • @AbouDalgubay
    @AbouDalgubay11 жыл бұрын

    Ni kipindi chake sasa unategemea nini? kama unataka useme wewe zaidi then uanzishe chacko ama sivyo??

  • @ElizabethHosea
    @ElizabethHosea12 жыл бұрын

    Salama, unaweza kuwazuia watu kukuandikia facebook pia :)

  • @jandaboytztz6314
    @jandaboytztz63145 жыл бұрын

    #RipKibonde

  • @levinamlingi864

    @levinamlingi864

    5 жыл бұрын

    Yani

  • @TheDinhoDesign
    @TheDinhoDesign12 жыл бұрын

    nywere zimekwisha kichwani mbona unaendelea kunyoa?...una nyoa nini hapo?

  • @hadijaabdallah5477
    @hadijaabdallah54775 жыл бұрын

    Salama hio mikao angejamba hahahahah r.i.p kibonde

  • @antoniageorge5369

    @antoniageorge5369

    5 жыл бұрын

    Hadija Abdallah eshima iwepo

  • @festomlowegypsum8214
    @festomlowegypsum82145 жыл бұрын

    Pumzika kwaamani blo mseimie boss RUGe

  • @ramadhanimagomba7395
    @ramadhanimagomba73956 жыл бұрын

    Mtaalam na mkongwe wa #Jahazi

  • @erickemmanuel9511
    @erickemmanuel95115 жыл бұрын

    May your soul rest in eternal peace brother

  • @ramadhanihayeshi5812
    @ramadhanihayeshi581210 жыл бұрын

    Kila nisomapo maoni ya baadhi ya Watanzania wenzangu hususan juu ya masuala ya imani na dini, napata hisia kuwa tunakoelekea ni kule kule kama walipo Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • @masoudmanya7488

    @masoudmanya7488

    10 жыл бұрын

    Kwa kuwa hutujui shida ya kujuana kiimani ndo mana hizi Choko choki zinakuwepo,serious we need kukemea ujinga wa kutetea ujinga wa udini

  • @ramadhanihayeshi5812

    @ramadhanihayeshi5812

    10 жыл бұрын

    Masoud Manya Ni hatari sana bro, inatia hofu na kama ulivyosema yatupasa kukemea huu ujinga kwa nguvu zote, halafu kinachonishangaza, ukimuuliza Mtanzania yoyote yule kuhusu mafungamano yake na mtu au watu wa imani tofauti na yake lazima utakuta nao mpaka ndugu wa damu, jamaa na marafiki wa karibu, sasa ifike mahali tukubali jambo hili halina tija wala maslahi kwa taifa letu.

  • @ombenisomi2210

    @ombenisomi2210

    9 жыл бұрын

    Ramadhani Hayeshi Hili ni taztizo kubwa na ukubwa unaongezeka maana nchi imekosa wakukemea kila mtu analalamika ukiona hata wenye kutuonesha njia wanalalamika uone hatari zaidi. Nchi imekua ya wafanya biashara viongozi wanaongoza wanatafuta pesa, nchi hii kila mwenye pesa anawaza kuwa kiongozi. Angalia Prof Lipumba anataka kuwa rais wetu lakini na yeye kashaingia kwenye mkumbo wa dini unawaza anaweza kutusaidia?? We seriously need to change, getting a very respected man like J.K Nyerere will take us years

  • @ramadhanihayeshi5812

    @ramadhanihayeshi5812

    9 жыл бұрын

    Inatia hofu Ombeni Somi lakini hapa tusimlaumu Lipumba peke yake, hata wengine pia wapo kwenye mkondo huo wa dini. Kifupi tuseme Misikiti na Makanisa nayo imeamua kuwatumikia watu

  • @ombenisomi2210

    @ombenisomi2210

    9 жыл бұрын

    You are very right Brother!

  • @gervasmkini6341
    @gervasmkini63414 жыл бұрын

    unanyoa MTU hana nywele

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo4111 жыл бұрын

    Seminari zinafundisha dini na elimu ya kawaida. Automatically wakristo watakuwa na wasomi wengi hivyo kuwa wengi serikalini; Huweezi soma madras pekee halafu uweze kujiunga na CHUO! au uwe waziri wa fedha!. Nyerere alibadili Pugu, Kwiro na seminaries nyingine kuwa public schools na wasomi wengi waislamu kama Lipumba walisoma kwa juhudi hiyo. Jiulize waislamu wangekubali shule za kiislamu zibadilishwe kuwa shule za wote?

  • @narrob4teentebeconnexion

    @narrob4teentebeconnexion

    5 жыл бұрын

    Hao wakristo waliweka maseminari yao kwa lengo la kutunyonya tuu sio wakupe elimu kwa maslahi yako. Ndio maana mpk leo makanisa yamekuwa ni bihashara kama magenge ya mbogamboga. Mkasi, kibonde wapi na wapi na uislam. Waislam ndio walipigania uhuru wa nchi wakiiwa na nyerere kama kijana msomi wakamwachia madaraka, wakristo wangeweza kupambania uhuru zen waache waislam waongoze? Uislam haupo kama akili zako zinavyokutuma........

  • @IshiKistaa
    @IshiKistaa5 жыл бұрын

    TEMBELEA UKURASA WETU KUFAHAMU NYOTA YAKO kzread.info/dron/xBrgr6eSdKzbt1PUSZ9dWQ.htmlvideos?view_as=subscriber

  • @briannyiti208
    @briannyiti2085 жыл бұрын

    Duuuu! E Mola tusaidie tupate akili ZA kujua siku ZA kukaaa hapa duniani!

  • @mamachris6811
    @mamachris68115 жыл бұрын

    Nisaidieni takwimu za waliofanya interview na hatunao tena !!!!!!!!

  • @gracethomas683

    @gracethomas683

    5 жыл бұрын

    Mama Chris yaaani naona orodha inazidi kupungua tuuu...Mungu awasaidie kwa neema yake.

  • @badmanno.1650

    @badmanno.1650

    5 жыл бұрын

    Kibonde, Ruge, Kanumba, Majuto, Sajuki, Banza Stone, Gamba, Komba, Gurumo.

  • @witnessmbwasi892

    @witnessmbwasi892

    5 жыл бұрын

    Mungu awape kauli dhabiti

  • @mohamedothman9769
    @mohamedothman97695 жыл бұрын

    Kwa hapo kwa Nyerere kukuta watu sio wasomi marehemu hakusema kweli. Wasomi walikuwepo na yeye aliwakuta akaishia kuwafukuza na wengine kuwauwa kwa hofu ya kupinduliwa.

  • @paulmpazi5358

    @paulmpazi5358

    5 жыл бұрын

    Mohamed Othman wasomi waliokuwepo wakati huo walikuwa na elimu ya kikoloni na tabia za kikoloni na ndio waliokuwa wanatumika kuwanyanyasa wazawa.

  • @mohamedothman9769

    @mohamedothman9769

    5 жыл бұрын

    @@paulmpazi5358 Elimu ya kikoloni ndo ikoje hiyo, unataka kusema hata Osca Kambona, Bibititi Mohamed hakusoma.....? Soma historia acha kusikiliza maneno ya watu bro

  • @mariaedward6946

    @mariaedward6946

    5 жыл бұрын

    Nadhani walikuwepo lakini sio kwa idadi iliyohitajika supply was less than demand

  • @djsantah9429

    @djsantah9429

    5 жыл бұрын

    r. I. p kibonde

  • @lucasdismas4314

    @lucasdismas4314

    3 жыл бұрын

    kibonde alisema kweli ila wewe ndio hujui Historia,ngoja nikupe mfano wa Congo,Rais Mobutu alikuta nchi haina msomi hata mmoja wa chuo kikuu Congo nzima na ukubwa wake wote,mimi kuna wazee walinambia wakati wanasoma chuo kikuu hapa Tanzania walikuwa ni wachache mno kiasi kwamba wanafahamiana wote,hapakuwa na wasomi wengi Tz nadhani hata hawakufika 50 (university graduates)

  • @shedrackmaluli1373
    @shedrackmaluli13735 жыл бұрын

    RIP Kibondee

  • @jacksonrichard6639
    @jacksonrichard66395 жыл бұрын

    Rip kibonde

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo82935 жыл бұрын

    Rip kibonde

  • @shiraann632
    @shiraann6325 жыл бұрын

    Rip kibonde

Келесі