Walotangulia mbele za haki na waliowahi kuhojiwa katika mkasi, Kibonde, Ruge, Kanumba, Majuto, Sajuki, Banza Stone, Gamba, Komba, Gurumo.
@user-hi8le2vb7z2 ай бұрын
KIBONDE UMKUTE ANAFANYA TANGAZO LA VIDEO,,,😊,,,UYO MZEE NUKSI
@ilovejesus93036 жыл бұрын
Salama una kipindi gani kwa sasa? You know I miss your work jamaniii. Bring back mkasi or tunaomba something new jmn fans tunakumiss
@mydiary39
5 жыл бұрын
Ana kipindi kinaitwa Shabiki On Saturday kila Jumamosi saa 5 asubuhi Eatv
@antybabybintrashid2333
4 жыл бұрын
I love Jesus same to me
@jeffersonsimon4774 жыл бұрын
R.I.P kibonde we miss u broh
@angelntandu46485 жыл бұрын
Salama rudisha hiki kipindi hewani umefanyia watu mahojiano mazuri sana yanaonekana mapya kila siku.hapa ndio watu wanaelewa hawa watu waliongea nini kabla ya kufa
@darlinmamawatatu64115 жыл бұрын
Plz salama bring back mkasi
@fazeelshomary87435 жыл бұрын
Kanumba, Ruge, Kibonde, King Majuto, wote hawa Salama alipata bahati ya kuwahoji kipindi cha uhai wao katika kipindi cha Mkasi. May there souls rest in peace
@gracethomas683
5 жыл бұрын
Fazeel Shomary pia Sajuki
@sandekanyamala24565 жыл бұрын
dah!!... Nilianza kukufuatilia toka kipind hiki kirushwe,Ni wanaume wachache wenye uelewa kama wako,Pumzika kibonde,kila nafsi itaonja mauti
@neycoleclassic44266 жыл бұрын
hawa watangazaji wote, nilikua nawapenda na nitawapenda. maana wana utofauti
@patrickmsuguri5 жыл бұрын
Rip Kibonde ulikuwa smart..
@mohamedalaraimi68135 жыл бұрын
Kibonde katutoka jamani Inna lilah waina ileihi Raj un
@embedodo1112 жыл бұрын
kibonde this interview umeiweza..bigup salama!!
@sadimiko1387
5 жыл бұрын
salama rudisha hichi kipindi tafadhali r.i.p kaka kibonde
@alfanshonde24385 жыл бұрын
Daaa kibonde jaman pumnzika kwa aman
@hurumaevarest16905 жыл бұрын
Salama huwa nakukubali sana ila mwanzo nilikua sikuelewi elewi lakini nakuelewa sasa uko vizuri sana hiki kipindi hebu kiendeleze tena nakukiboresha zaidi. Tunapata elimu kwanjia moja au nyingine. By the way R.I.P Kibonde
@emmanuelimaxxaka7545 жыл бұрын
R.l.p kibonde good Ailaze Roho yako mahali pema pepon Amen🕯🕯🕯🙏🙏🙈
@hadijaangura6572
5 жыл бұрын
RIP KAKA
@emanuel41485 жыл бұрын
Daah jamaa katutoka RIP
@doramwanyika58265 жыл бұрын
Rip kibonde😭😭
@leaherasto9295 жыл бұрын
Rest In Peace Kibonde
@queenyahaya31475 жыл бұрын
R.i.P kibonde 😭😭😭
@user-ik3ey9cs9e5 жыл бұрын
INALILAH WAINAILAYH RAJIUNI.
@rashidisaidi85352 ай бұрын
Gadna na kibonde daah tutawakumbuka sanaaa❤
@nickalreadyknows5 жыл бұрын
Asee hichi kipindi kirudishwe Jaman dah
@evelynmon64915 жыл бұрын
Afadhali salama mwenzetu ulikuwa unamwambia mtu ukweli kama unampenda unampa sifa zake kabla ajafa
@salmarajab8707
5 жыл бұрын
K
@yama_virginhairthequeen10653 ай бұрын
😢 SHAME SO much memories
@nakukanyatena306011 жыл бұрын
jameel871 wewe ni sawa na nguruwe, maneno unayo sema ni kama kula mavi yako nafikili ha muonekano wako utakuwa kama nguruwe, hata mkeo unaishi nae kwa maneno ya kijiweni kwa akili huna
@antoniageorge5369
5 жыл бұрын
nakukanya tena una hadabu
@zumbaabiyah3184
5 жыл бұрын
Huyo jamaa asamehewe bure, kuna haja kbs SERIKALI HII SIKIVU,IMTAFUTE NDIPO AKILI YAKE ITAKAA SAWA,ana ujasiri gani, wakuongea huo utumbo? KI UKWELI, BNAFSI NIMEUMIA SANA, KUMTUKANA BABA WA TAIFA?!! 😷😱😇😤❗️TCRA, Polisi, tafuta hii Jamaa. 😱😱❗️ili aadabishwe ili liwe fundisho.
@josephgomalo4111 жыл бұрын
Yemeni ni nchi maskini sana uarabuni; hivyo hawana nguvu ya kijeshi au kiuchumi kuweza kurudisha influence yao kwenye makoloni ya awali hasa inapohusisha kuwepo kwa malighafi kama mafuta; Wangekuwa na nguvu kijeshi wa kupingana na marekani na wababe wangweza kurudi zanzibar wakafanya uchimbaji wa mafuta yaliyogunduliwa katika bahari pale; Lakini ubavu hawana.
@mariyaal53665 жыл бұрын
Rip kibonde
@TheDinhoDesign12 жыл бұрын
Salama hivi kuhusu BLOCKING, ulikuwa una uhakika kama FACEBOOK hakuna kitu kama hicho?...FACEBOOK ndio rahisi kushinda TWITTER basi kama hujui nakuabalisha...kuweni makini mnatazamwa na watu wengi so mkiwa vitu vidogo kama hivyo hamu vifahamu inakuwa inatia udhuni,,,maana naona bora nije mimi hapo nisikilizwe!...pamoja sana!
@hamzambasha85773 жыл бұрын
R.i.p kibonde jahazi kumepoa Sana now
@motanzanya67235 жыл бұрын
Daaah umauti hauna urafiki ,,,,,,,punzika kwa aman KIBONDE
@marymathew65295 жыл бұрын
R.I.P Kaka Kibonde
@TheSalma19996 жыл бұрын
very professional nimempenda mno huyu kaka pole na msiba
@saidangel8958
5 жыл бұрын
Hapa ulimpa yy pole leo na yy kaenda aisee inauma
@janekapela19675 жыл бұрын
Daaaaah 😢😭
@jeremiahmujinja4451 Жыл бұрын
R. I. P Kibonde
@pikipiki_market5 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@lutemelele96195 жыл бұрын
r.i.p kibonde
@tanzaniamycountry93085 жыл бұрын
R.I.P BROO
@suzanpatrick83815 жыл бұрын
r.I.p baba
@Frankvanmuniko11 жыл бұрын
KIBOBOBOBOBOBOBO a.k.a KIBzzzzz
@shedrackmaluli13735 жыл бұрын
RIP Kibondee
@ahmedkapera69895 жыл бұрын
Nakumbuka ndungu yangu
@hamisreegan37385 жыл бұрын
Pumzka Kwa amani kibonde
@sultankaburutajr74225 жыл бұрын
Pumzika kibonde r. i . p
@a.8565 жыл бұрын
Salama rudisha mkasi dada
@zuhurajuma644
5 жыл бұрын
Kwann
@masoudrashid83815 жыл бұрын
Kaka tumekupenda ila mungu kakupenda zaidi
@raymondkaswaga83345 жыл бұрын
Pumzika kwa amani kaka...sote tulikuja na tutaondoka
@bahatymsungu27795 жыл бұрын
Rip baba
@a.8565 жыл бұрын
Rip baba poleni wte
@rajabk111 жыл бұрын
Salama ana tendency ya kukatisha maswali yake na kulazimisha yake. its her say kwanza the wengine wafuate
@fredyqmaa46807 жыл бұрын
Haya
@kevinbona766910 жыл бұрын
hehehehhehehe eti huwezi blck mtu facbk haya bhana ila sio kosa lako ni kujua ti hop now utakua umeshaelewa
@sistersade90395 жыл бұрын
salama, hivo ulivokua umekaa si ustaarabu wala maendeleo mbele ya mkubwa wako unaemfanyia interview. tizama leo tumempoteza Kibonde, utaweza vipi kurudi myuma. na yeye bila ya shaka alikua pia anaona hivo.
@princehamad42255 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima
@askaounga64565 жыл бұрын
Vipi mrembo ana sagg
@mihayoonline15734 ай бұрын
Endelea kupumnzika
@rehemahassan47796 жыл бұрын
Pole my bro
@magrethmoses702
5 жыл бұрын
Rlp
@jandaboytztz63145 жыл бұрын
RipKibonde
@angelmacha6136
5 жыл бұрын
R i p kibonde
@AbouDalgubay11 жыл бұрын
Ni kipindi chake sasa unategemea nini? kama unataka useme wewe zaidi then uanzishe chacko ama sivyo??
@ElizabethHosea12 жыл бұрын
Salama, unaweza kuwazuia watu kukuandikia facebook pia :)
Kila nisomapo maoni ya baadhi ya Watanzania wenzangu hususan juu ya masuala ya imani na dini, napata hisia kuwa tunakoelekea ni kule kule kama walipo Jamhuri ya Afrika ya Kati.
@masoudmanya7488
10 жыл бұрын
Kwa kuwa hutujui shida ya kujuana kiimani ndo mana hizi Choko choki zinakuwepo,serious we need kukemea ujinga wa kutetea ujinga wa udini
@ramadhanihayeshi5812
10 жыл бұрын
Masoud Manya Ni hatari sana bro, inatia hofu na kama ulivyosema yatupasa kukemea huu ujinga kwa nguvu zote, halafu kinachonishangaza, ukimuuliza Mtanzania yoyote yule kuhusu mafungamano yake na mtu au watu wa imani tofauti na yake lazima utakuta nao mpaka ndugu wa damu, jamaa na marafiki wa karibu, sasa ifike mahali tukubali jambo hili halina tija wala maslahi kwa taifa letu.
@ombenisomi2210
9 жыл бұрын
Ramadhani Hayeshi Hili ni taztizo kubwa na ukubwa unaongezeka maana nchi imekosa wakukemea kila mtu analalamika ukiona hata wenye kutuonesha njia wanalalamika uone hatari zaidi. Nchi imekua ya wafanya biashara viongozi wanaongoza wanatafuta pesa, nchi hii kila mwenye pesa anawaza kuwa kiongozi. Angalia Prof Lipumba anataka kuwa rais wetu lakini na yeye kashaingia kwenye mkumbo wa dini unawaza anaweza kutusaidia?? We seriously need to change, getting a very respected man like J.K Nyerere will take us years
@ramadhanihayeshi5812
9 жыл бұрын
Inatia hofu Ombeni Somi lakini hapa tusimlaumu Lipumba peke yake, hata wengine pia wapo kwenye mkondo huo wa dini. Kifupi tuseme Misikiti na Makanisa nayo imeamua kuwatumikia watu
@ombenisomi2210
9 жыл бұрын
You are very right Brother!
@gervasmkini63414 жыл бұрын
unanyoa MTU hana nywele
@josephgomalo4111 жыл бұрын
Seminari zinafundisha dini na elimu ya kawaida. Automatically wakristo watakuwa na wasomi wengi hivyo kuwa wengi serikalini; Huweezi soma madras pekee halafu uweze kujiunga na CHUO! au uwe waziri wa fedha!. Nyerere alibadili Pugu, Kwiro na seminaries nyingine kuwa public schools na wasomi wengi waislamu kama Lipumba walisoma kwa juhudi hiyo. Jiulize waislamu wangekubali shule za kiislamu zibadilishwe kuwa shule za wote?
@narrob4teentebeconnexion
5 жыл бұрын
Hao wakristo waliweka maseminari yao kwa lengo la kutunyonya tuu sio wakupe elimu kwa maslahi yako. Ndio maana mpk leo makanisa yamekuwa ni bihashara kama magenge ya mbogamboga. Mkasi, kibonde wapi na wapi na uislam. Waislam ndio walipigania uhuru wa nchi wakiiwa na nyerere kama kijana msomi wakamwachia madaraka, wakristo wangeweza kupambania uhuru zen waache waislam waongoze? Uislam haupo kama akili zako zinavyokutuma........
Kwa hapo kwa Nyerere kukuta watu sio wasomi marehemu hakusema kweli. Wasomi walikuwepo na yeye aliwakuta akaishia kuwafukuza na wengine kuwauwa kwa hofu ya kupinduliwa.
@paulmpazi5358
5 жыл бұрын
Mohamed Othman wasomi waliokuwepo wakati huo walikuwa na elimu ya kikoloni na tabia za kikoloni na ndio waliokuwa wanatumika kuwanyanyasa wazawa.
@mohamedothman9769
5 жыл бұрын
@@paulmpazi5358 Elimu ya kikoloni ndo ikoje hiyo, unataka kusema hata Osca Kambona, Bibititi Mohamed hakusoma.....? Soma historia acha kusikiliza maneno ya watu bro
@mariaedward6946
5 жыл бұрын
Nadhani walikuwepo lakini sio kwa idadi iliyohitajika supply was less than demand
@djsantah9429
5 жыл бұрын
r. I. p kibonde
@lucasdismas4314
3 жыл бұрын
kibonde alisema kweli ila wewe ndio hujui Historia,ngoja nikupe mfano wa Congo,Rais Mobutu alikuta nchi haina msomi hata mmoja wa chuo kikuu Congo nzima na ukubwa wake wote,mimi kuna wazee walinambia wakati wanasoma chuo kikuu hapa Tanzania walikuwa ni wachache mno kiasi kwamba wanafahamiana wote,hapakuwa na wasomi wengi Tz nadhani hata hawakufika 50 (university graduates)
Пікірлер: 114
❤ tulimpenda Ila mungu amempenda zaidi
Walotangulia mbele za haki na waliowahi kuhojiwa katika mkasi, Kibonde, Ruge, Kanumba, Majuto, Sajuki, Banza Stone, Gamba, Komba, Gurumo.
KIBONDE UMKUTE ANAFANYA TANGAZO LA VIDEO,,,😊,,,UYO MZEE NUKSI
Salama una kipindi gani kwa sasa? You know I miss your work jamaniii. Bring back mkasi or tunaomba something new jmn fans tunakumiss
@mydiary39
5 жыл бұрын
Ana kipindi kinaitwa Shabiki On Saturday kila Jumamosi saa 5 asubuhi Eatv
@antybabybintrashid2333
4 жыл бұрын
I love Jesus same to me
R.I.P kibonde we miss u broh
Salama rudisha hiki kipindi hewani umefanyia watu mahojiano mazuri sana yanaonekana mapya kila siku.hapa ndio watu wanaelewa hawa watu waliongea nini kabla ya kufa
Plz salama bring back mkasi
Kanumba, Ruge, Kibonde, King Majuto, wote hawa Salama alipata bahati ya kuwahoji kipindi cha uhai wao katika kipindi cha Mkasi. May there souls rest in peace
@gracethomas683
5 жыл бұрын
Fazeel Shomary pia Sajuki
dah!!... Nilianza kukufuatilia toka kipind hiki kirushwe,Ni wanaume wachache wenye uelewa kama wako,Pumzika kibonde,kila nafsi itaonja mauti
hawa watangazaji wote, nilikua nawapenda na nitawapenda. maana wana utofauti
Rip Kibonde ulikuwa smart..
Kibonde katutoka jamani Inna lilah waina ileihi Raj un
kibonde this interview umeiweza..bigup salama!!
@sadimiko1387
5 жыл бұрын
salama rudisha hichi kipindi tafadhali r.i.p kaka kibonde
Daaa kibonde jaman pumnzika kwa aman
Salama huwa nakukubali sana ila mwanzo nilikua sikuelewi elewi lakini nakuelewa sasa uko vizuri sana hiki kipindi hebu kiendeleze tena nakukiboresha zaidi. Tunapata elimu kwanjia moja au nyingine. By the way R.I.P Kibonde
R.l.p kibonde good Ailaze Roho yako mahali pema pepon Amen🕯🕯🕯🙏🙏🙈
@hadijaangura6572
5 жыл бұрын
RIP KAKA
Daah jamaa katutoka RIP
Rip kibonde😭😭
Rest In Peace Kibonde
R.i.P kibonde 😭😭😭
INALILAH WAINAILAYH RAJIUNI.
Gadna na kibonde daah tutawakumbuka sanaaa❤
Asee hichi kipindi kirudishwe Jaman dah
Afadhali salama mwenzetu ulikuwa unamwambia mtu ukweli kama unampenda unampa sifa zake kabla ajafa
@salmarajab8707
5 жыл бұрын
K
😢 SHAME SO much memories
jameel871 wewe ni sawa na nguruwe, maneno unayo sema ni kama kula mavi yako nafikili ha muonekano wako utakuwa kama nguruwe, hata mkeo unaishi nae kwa maneno ya kijiweni kwa akili huna
@antoniageorge5369
5 жыл бұрын
nakukanya tena una hadabu
@zumbaabiyah3184
5 жыл бұрын
Huyo jamaa asamehewe bure, kuna haja kbs SERIKALI HII SIKIVU,IMTAFUTE NDIPO AKILI YAKE ITAKAA SAWA,ana ujasiri gani, wakuongea huo utumbo? KI UKWELI, BNAFSI NIMEUMIA SANA, KUMTUKANA BABA WA TAIFA?!! 😷😱😇😤❗️TCRA, Polisi, tafuta hii Jamaa. 😱😱❗️ili aadabishwe ili liwe fundisho.
Yemeni ni nchi maskini sana uarabuni; hivyo hawana nguvu ya kijeshi au kiuchumi kuweza kurudisha influence yao kwenye makoloni ya awali hasa inapohusisha kuwepo kwa malighafi kama mafuta; Wangekuwa na nguvu kijeshi wa kupingana na marekani na wababe wangweza kurudi zanzibar wakafanya uchimbaji wa mafuta yaliyogunduliwa katika bahari pale; Lakini ubavu hawana.
Rip kibonde
Salama hivi kuhusu BLOCKING, ulikuwa una uhakika kama FACEBOOK hakuna kitu kama hicho?...FACEBOOK ndio rahisi kushinda TWITTER basi kama hujui nakuabalisha...kuweni makini mnatazamwa na watu wengi so mkiwa vitu vidogo kama hivyo hamu vifahamu inakuwa inatia udhuni,,,maana naona bora nije mimi hapo nisikilizwe!...pamoja sana!
R.i.p kibonde jahazi kumepoa Sana now
Daaah umauti hauna urafiki ,,,,,,,punzika kwa aman KIBONDE
R.I.P Kaka Kibonde
very professional nimempenda mno huyu kaka pole na msiba
@saidangel8958
5 жыл бұрын
Hapa ulimpa yy pole leo na yy kaenda aisee inauma
Daaaaah 😢😭
R. I. P Kibonde
🔥🔥🔥
r.i.p kibonde
R.I.P BROO
r.I.p baba
KIBOBOBOBOBOBOBO a.k.a KIBzzzzz
RIP Kibondee
Nakumbuka ndungu yangu
Pumzka Kwa amani kibonde
Pumzika kibonde r. i . p
Salama rudisha mkasi dada
@zuhurajuma644
5 жыл бұрын
Kwann
Kaka tumekupenda ila mungu kakupenda zaidi
Pumzika kwa amani kaka...sote tulikuja na tutaondoka
Rip baba
Rip baba poleni wte
Salama ana tendency ya kukatisha maswali yake na kulazimisha yake. its her say kwanza the wengine wafuate
Haya
hehehehhehehe eti huwezi blck mtu facbk haya bhana ila sio kosa lako ni kujua ti hop now utakua umeshaelewa
salama, hivo ulivokua umekaa si ustaarabu wala maendeleo mbele ya mkubwa wako unaemfanyia interview. tizama leo tumempoteza Kibonde, utaweza vipi kurudi myuma. na yeye bila ya shaka alikua pia anaona hivo.
Tutakukumbuka daima
Vipi mrembo ana sagg
Endelea kupumnzika
Pole my bro
@magrethmoses702
5 жыл бұрын
Rlp
RipKibonde
@angelmacha6136
5 жыл бұрын
R i p kibonde
Ni kipindi chake sasa unategemea nini? kama unataka useme wewe zaidi then uanzishe chacko ama sivyo??
Salama, unaweza kuwazuia watu kukuandikia facebook pia :)
#RipKibonde
@levinamlingi864
5 жыл бұрын
Yani
nywere zimekwisha kichwani mbona unaendelea kunyoa?...una nyoa nini hapo?
Salama hio mikao angejamba hahahahah r.i.p kibonde
@antoniageorge5369
5 жыл бұрын
Hadija Abdallah eshima iwepo
Pumzika kwaamani blo mseimie boss RUGe
Mtaalam na mkongwe wa #Jahazi
May your soul rest in eternal peace brother
Kila nisomapo maoni ya baadhi ya Watanzania wenzangu hususan juu ya masuala ya imani na dini, napata hisia kuwa tunakoelekea ni kule kule kama walipo Jamhuri ya Afrika ya Kati.
@masoudmanya7488
10 жыл бұрын
Kwa kuwa hutujui shida ya kujuana kiimani ndo mana hizi Choko choki zinakuwepo,serious we need kukemea ujinga wa kutetea ujinga wa udini
@ramadhanihayeshi5812
10 жыл бұрын
Masoud Manya Ni hatari sana bro, inatia hofu na kama ulivyosema yatupasa kukemea huu ujinga kwa nguvu zote, halafu kinachonishangaza, ukimuuliza Mtanzania yoyote yule kuhusu mafungamano yake na mtu au watu wa imani tofauti na yake lazima utakuta nao mpaka ndugu wa damu, jamaa na marafiki wa karibu, sasa ifike mahali tukubali jambo hili halina tija wala maslahi kwa taifa letu.
@ombenisomi2210
9 жыл бұрын
Ramadhani Hayeshi Hili ni taztizo kubwa na ukubwa unaongezeka maana nchi imekosa wakukemea kila mtu analalamika ukiona hata wenye kutuonesha njia wanalalamika uone hatari zaidi. Nchi imekua ya wafanya biashara viongozi wanaongoza wanatafuta pesa, nchi hii kila mwenye pesa anawaza kuwa kiongozi. Angalia Prof Lipumba anataka kuwa rais wetu lakini na yeye kashaingia kwenye mkumbo wa dini unawaza anaweza kutusaidia?? We seriously need to change, getting a very respected man like J.K Nyerere will take us years
@ramadhanihayeshi5812
9 жыл бұрын
Inatia hofu Ombeni Somi lakini hapa tusimlaumu Lipumba peke yake, hata wengine pia wapo kwenye mkondo huo wa dini. Kifupi tuseme Misikiti na Makanisa nayo imeamua kuwatumikia watu
@ombenisomi2210
9 жыл бұрын
You are very right Brother!
unanyoa MTU hana nywele
Seminari zinafundisha dini na elimu ya kawaida. Automatically wakristo watakuwa na wasomi wengi hivyo kuwa wengi serikalini; Huweezi soma madras pekee halafu uweze kujiunga na CHUO! au uwe waziri wa fedha!. Nyerere alibadili Pugu, Kwiro na seminaries nyingine kuwa public schools na wasomi wengi waislamu kama Lipumba walisoma kwa juhudi hiyo. Jiulize waislamu wangekubali shule za kiislamu zibadilishwe kuwa shule za wote?
@narrob4teentebeconnexion
5 жыл бұрын
Hao wakristo waliweka maseminari yao kwa lengo la kutunyonya tuu sio wakupe elimu kwa maslahi yako. Ndio maana mpk leo makanisa yamekuwa ni bihashara kama magenge ya mbogamboga. Mkasi, kibonde wapi na wapi na uislam. Waislam ndio walipigania uhuru wa nchi wakiiwa na nyerere kama kijana msomi wakamwachia madaraka, wakristo wangeweza kupambania uhuru zen waache waislam waongoze? Uislam haupo kama akili zako zinavyokutuma........
TEMBELEA UKURASA WETU KUFAHAMU NYOTA YAKO kzread.info/dron/xBrgr6eSdKzbt1PUSZ9dWQ.htmlvideos?view_as=subscriber
Duuuu! E Mola tusaidie tupate akili ZA kujua siku ZA kukaaa hapa duniani!
Nisaidieni takwimu za waliofanya interview na hatunao tena !!!!!!!!
@gracethomas683
5 жыл бұрын
Mama Chris yaaani naona orodha inazidi kupungua tuuu...Mungu awasaidie kwa neema yake.
@badmanno.1650
5 жыл бұрын
Kibonde, Ruge, Kanumba, Majuto, Sajuki, Banza Stone, Gamba, Komba, Gurumo.
@witnessmbwasi892
5 жыл бұрын
Mungu awape kauli dhabiti
Kwa hapo kwa Nyerere kukuta watu sio wasomi marehemu hakusema kweli. Wasomi walikuwepo na yeye aliwakuta akaishia kuwafukuza na wengine kuwauwa kwa hofu ya kupinduliwa.
@paulmpazi5358
5 жыл бұрын
Mohamed Othman wasomi waliokuwepo wakati huo walikuwa na elimu ya kikoloni na tabia za kikoloni na ndio waliokuwa wanatumika kuwanyanyasa wazawa.
@mohamedothman9769
5 жыл бұрын
@@paulmpazi5358 Elimu ya kikoloni ndo ikoje hiyo, unataka kusema hata Osca Kambona, Bibititi Mohamed hakusoma.....? Soma historia acha kusikiliza maneno ya watu bro
@mariaedward6946
5 жыл бұрын
Nadhani walikuwepo lakini sio kwa idadi iliyohitajika supply was less than demand
@djsantah9429
5 жыл бұрын
r. I. p kibonde
@lucasdismas4314
3 жыл бұрын
kibonde alisema kweli ila wewe ndio hujui Historia,ngoja nikupe mfano wa Congo,Rais Mobutu alikuta nchi haina msomi hata mmoja wa chuo kikuu Congo nzima na ukubwa wake wote,mimi kuna wazee walinambia wakati wanasoma chuo kikuu hapa Tanzania walikuwa ni wachache mno kiasi kwamba wanafahamiana wote,hapakuwa na wasomi wengi Tz nadhani hata hawakufika 50 (university graduates)
RIP Kibondee
Rip kibonde
Rip kibonde
Rip kibonde