MHE. RAIS SAMIA AKIWA KATIKA ZIARA YA KITAIFA NCHINI INDIA

Ойын-сауық

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa ziara ya kitaifa nchini India tarehe 09 Oktoba, 2023.

Пікірлер: 135

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55679 ай бұрын

    Ongera sana Rais wangu kwa kazi nzuri👍👍👍❤❤

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j9 ай бұрын

    Hongera sana Madam Samia. Mungu yuko nawe tuongoze vyema na Mungu ndie atakulinda na mafisadi wa ndani na nje. Uko vizuri tunajivunia wewe

  • @candidamuhanika8328
    @candidamuhanika83289 ай бұрын

    Very proud of you mama ❤Big up Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿

  • @Jeremiahlukumay

    @Jeremiahlukumay

    9 ай бұрын

    nothing nothing to proud we are regret to her.

  • @chizashungu1236
    @chizashungu12369 ай бұрын

    Madam President you are so eloquent.I salute you.

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor35699 ай бұрын

    ماشاءالله امنا سمي نرجوا لك خيرا وسرورا لاسثمار في حكومة التنزانيا

  • @ramsonhudson4013
    @ramsonhudson40139 ай бұрын

    India wamekuwa washirika wetu wa Muda mrefu sana tunakushuru sana Mh Rais kwa safari yako hiyo Mungu akutunze 🙏🙏🙏

  • @Jeremiahlukumay

    @Jeremiahlukumay

    9 ай бұрын

    kuanzia lini?na wewe umejuaje?

  • @ramsonhudson4013

    @ramsonhudson4013

    9 ай бұрын

    @@Jeremiahlukumay Nimejifunza siyo kila mtu naweza bishana nae Rudi darasani jifunze utaelewa kwann nimesema hivi

  • @alih561
    @alih5619 ай бұрын

    Huyu ndie mama, mapenzi na huruma ndio sifa yake, mungu akulinde urudi salama

  • @suleimanrashid8495
    @suleimanrashid84959 ай бұрын

    Hongera sana mheshmiwa rais Samia Kwa kuitangaza nchi yetu Tanzania India ni wenzetu hao

  • @Zainab_salat

    @Zainab_salat

    9 ай бұрын

    Hajatangaza yy tangia muda mfano Magufuli

  • @sheikhsabaya7234
    @sheikhsabaya72349 ай бұрын

    Hongera mama chapa kazi. Twakupenda kiongozi wetu

  • @stevenlyimo5133
    @stevenlyimo51339 ай бұрын

    Kitu ng'eli shortcut and clear big up

  • @Karakkuttil
    @Karakkuttil9 ай бұрын

    Thank you Tanzainan president ❤

  • @ipyanahudson7515
    @ipyanahudson75159 ай бұрын

    Was so nice trip of our lovely madam presdent

  • @alanasseri3765
    @alanasseri37659 ай бұрын

    Safii Sana Mama, unaendelea kuifungua nchi Tanzania inazidi kufahamika zaidi Kimataifa

  • @Mwenyekitifx
    @Mwenyekitifx9 ай бұрын

    Mama ❤️🇹🇿

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon41599 ай бұрын

    Huyu ndiye Rais wetu wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

  • @shabanimwinyikhery1174
    @shabanimwinyikhery11749 ай бұрын

    Kazi nzuri mama yetu tunakupenda sana

  • @user-fd7fq5fm9k
    @user-fd7fq5fm9k9 ай бұрын

    Hongere mama

  • @sifaelpyuza3422
    @sifaelpyuza34229 ай бұрын

    Big up mheshimiwa

  • @MaikoLemayan
    @MaikoLemayan9 ай бұрын

    Love. Friend india🎉❤

  • @stevenlyimo5133
    @stevenlyimo51339 ай бұрын

    Hongera sana mama

  • @ClementinaMtumbuka
    @ClementinaMtumbuka9 ай бұрын

    Tunakupenda Mama

  • @allyseleman9531
    @allyseleman95319 ай бұрын

    Mama hasante kwa kuiheshimisha tanzania na raia wake na kuitangaza tanzania taifa lenye amani na ukarimu kwa binadamu wote.

  • @gabilugira139
    @gabilugira1399 ай бұрын

    We love you Mama🥰

  • @user-xt2fb5pu9e
    @user-xt2fb5pu9e9 ай бұрын

    Asante mama,tuwakilishe vema

  • @alexandermutakha882
    @alexandermutakha8829 ай бұрын

    Kazi iendelee kwa heshima, amani, upendo na unyenyekevu.

  • @alisaghir4259
    @alisaghir42599 ай бұрын

    Ziara njema our respective mama president!

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji9 ай бұрын

    MAMA YUKO KAZINI ❤❤❤❤

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo90649 ай бұрын

    Safi sana amuone amrish puri huko na sharuk khan

  • @kostajoseph5811
    @kostajoseph58119 ай бұрын

    YAAN HADI NAONA KUA ULICHELEWA KUA RAIS

  • @benjaminkapelah7664
    @benjaminkapelah76649 ай бұрын

    India imekuwa sehemu nzuri kwa kupata mafunzo science na technology

  • @gladnesskombe1664
    @gladnesskombe16649 ай бұрын

    Mungu aendelee kukuongoza baa

  • @2.12carrental6
    @2.12carrental69 ай бұрын

    Moja kati ya vitu navyotegemea Ni kuona Waziri wa Sekta Y viwanda na Biashara Anachangamkia Fursa na Kuleta Ushawishi kwa Kiwaanda Cha Bajaji Kije kujengwa Tanzania...... Mama Kafungua Fursa sisi Tuzitekeleze kwa Vitendo

  • @lovenessitiku6293
    @lovenessitiku62939 ай бұрын

    Gud job mama❤

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi97299 ай бұрын

    Kweli anastahili kwa raisi hekma NA busara NA akili NA uwema NA shujaa dalili nchi imetulia NA maandeleo vizuri sana barabara haspital viwanda kweli anaangaika kwa ajili ya watanzania raisi anajua halali NA haramu ukimtazama tu unampenda kwa allah hapa kazi mama mungu atakulipa tu wala usijali hii dunia akhera kuna mengi sana sana

  • @SalimAbdallah-tg1yo
    @SalimAbdallah-tg1yo9 ай бұрын

    Mitano tena 🔥 🔥 🔥

  • @stevenlyimo5133

    @stevenlyimo5133

    9 ай бұрын

    Tubadilishe katiba tumpe miaka mitano tena

  • @JohnGyunda
    @JohnGyunda9 ай бұрын

    Dah! Pongez nyingi sana kwako mama. Hakika nchi inazidi kufunguka na sisi vjana wako tunazidi kuchapa huku tukiiga falsafa Zak. Hongera sana Mh. RAIS wetu mpendwa👏👏👏

  • @katwigayona8041

    @katwigayona8041

    9 ай бұрын

    Uliifunga wewe nchi ?

  • @josephusimbanilo9500

    @josephusimbanilo9500

    9 ай бұрын

    Ila watu bana ivi kumbe inchi ilikua imefugwa😢 au mm ndio sijui. 😅

  • @katwigayona8041

    @katwigayona8041

    9 ай бұрын

    @@josephusimbanilo9500 ndo shangaa sasa,,eti nchi ilifungwa

  • @jamalimussa4928

    @jamalimussa4928

    9 ай бұрын

    ​@@katwigayona8041😂😂

  • @kulwarobert9542

    @kulwarobert9542

    9 ай бұрын

    ​@@katwigayona8041Mtoa comment anaonekana ni mjinga mmoja aliyejaa u.t.i

  • @monicawilliams949
    @monicawilliams9499 ай бұрын

    👍⭐️🙏🙏

  • @stevenlyimo5133
    @stevenlyimo51339 ай бұрын

    Mama anakagua gwaride India hongera mama hakikisha unatuletea mazuri ya huko pia kumbuka Kassim majaliwa aje awe rais tubadilishe tu katiba

  • @gooleserviceyoutubescandar3450
    @gooleserviceyoutubescandar34509 ай бұрын

    Kaziiendelee Amiiin.

  • @MockaDrama
    @MockaDrama9 ай бұрын

    Ishu sio kuwa washirika wetu,Ishu ni kama uliwahi pata ajiri yoyote ambayo juu kuna muhindi utajua nini namaanisha. Mueka hazina au malipo akiwa muhindi,mshahara wako mwenyew unabembelez kama unaomba mikopo😢 Utu wao ni mdogo sana hao watu dhidi yetu,Kimsingi wanapaswa kutuheshim tukiwa ndani ya nchi yetu.

  • @catherinepenbin6780
    @catherinepenbin67809 ай бұрын

    India ni nchi nzuri kwa masomo ya science and technology lakini tukisoma tukirudi ni mbinde kusajiliwa hapa sasa sijui kwa nini na they are above us

  • @zenooernest18
    @zenooernest189 ай бұрын

    Uyo alie mkaribisha ni PM MODI?

  • @rumanyikajoe7038
    @rumanyikajoe70389 ай бұрын

    Wenzetu wanatunza mazingira Kwa kupanda miti kama Inavyoonekana. Ila makao makuu ya nchi Dodoma Kila kukicha miti inakatwa. Jangwa linatunyemelea

  • @edwardpeter8569
    @edwardpeter85699 ай бұрын

    🎉

  • @sadikikazembe8883
    @sadikikazembe88839 ай бұрын

    Raisi pekee duniani anayewaza mausiano mazuri na maendeleo wakati raisi wengine wanawaza kupigana tu uko mungu muifadhi na kumpa afya njema raisi wetu wa Tanzania mh SSH. Mimi ni mzalendo wa kweli kwasababu nawapenda viongozi wangu

  • @stevenlyimo5133

    @stevenlyimo5133

    9 ай бұрын

    Safi sana

  • @stevenlyimo5133
    @stevenlyimo51339 ай бұрын

    Mama our President you are in India tuletee mapya Tanzani mama yetu

  • @petromwashusa9948
    @petromwashusa99489 ай бұрын

    Si lazima kila mmoja amuelewe Rais wa nchi. Muhimu mradi anachofanya ni kwa manufaa ya nchi yetu. Zaidi walio wengi wamuelewe. Hongera Mh Rais wetu.

  • @bwagizoselemani8434

    @bwagizoselemani8434

    9 ай бұрын

    Unaweza kutuambia hili linamanufaa gani

  • @jayzeem14
    @jayzeem149 ай бұрын

    Kila la heri Mheshimiwa Rais Dr Samia Suluhu Hassan tuna mengi ya kujifunza kutoka India wamepuga hatua kubwa kwenye elimu, technolojia, Viwanda vidogo vya kati na vikubwa kabisa, Afya na hata utalii! Mahusiano ya kimkakati na India ni muhimu kwetu. Tutafutie wawekezaji wa mskaa ya mawe Kabulo Ileje Mama India wanayatumia kwa wingi bado. Mungu abariki ziara yako.

  • @SaidihusseinAthumani-dy9kw
    @SaidihusseinAthumani-dy9kw9 ай бұрын

    samia piga kazi mama nenda kafungue milango na kubadilishana mawazo uje tujenge tz yetu auna baya mama

  • @AmriaAmria-xh2ff
    @AmriaAmria-xh2ff9 ай бұрын

    Yaap safi sana

  • @violetnjau9312
    @violetnjau93129 ай бұрын

    Kat ya hao waliompokea ni yup Rais wao India?ni huyo Mubaba au ni huyo Mumama

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda13199 ай бұрын

    Sisi tunaitaji maendeleo ktk technology huko mliko kwenda hatuwezi tegemea Kila kitu kununua toka njee ni utumwa ktk mataifa yetu good move but is it what Tanzania need from exelence president Samia sluu Hasan viti lndia this is the question mark to we Tanzania people

  • @Kisaboleonards
    @Kisaboleonards9 ай бұрын

    Umeenda kumalizia na bahari mama hongelaaaa😂

  • @Commentsplus
    @Commentsplus9 ай бұрын

    yani mama unaongea kwa amani sana salutiiii kama waindia tunawamudu hivi

  • @IsraelMungure
    @IsraelMungure9 ай бұрын

    Watu wa utifaki walikua wapi ?

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani14869 ай бұрын

    Ssa wasiotaka maendeleo wataumia bure mma anauweza hasa uongozi tena bora kawashinda wakongwe kina yoweri

  • @stevenlyimo5133
    @stevenlyimo51339 ай бұрын

    Mama kwa kiengereza noma

  • @user-et3de6kk3z
    @user-et3de6kk3z9 ай бұрын

    Jongera mama umeonesha uweledi mkubwa kwa hakika ww sio pocho

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca76029 ай бұрын

    MAMA NAKUKUBALI SANA YAANI NAJIULIZA ULICHELEWA WAPI KUA RAIS ? MUNGU AENDELEE KUKUTUNZA NA KUKUPA MAARIFA MENGI ZAID YA KUTULETEA MAENDELEO, HAKIKA NAKUPENDA ONE DAY NITAKUONA UNIPE KAZ ZA UJENZ WANAWAKE TUNAWEZA

  • @BarakaNtabindi-pq4sd
    @BarakaNtabindi-pq4sd9 ай бұрын

    Mama ongea nao vizur uje na mkataba wa kuwabinafsisha gombe kigoma ziara nyingi oooyeee

  • @user-tq7hd3xg3y
    @user-tq7hd3xg3y9 ай бұрын

    Next dream probably be home around

  • @AdrianoMsungu-jc8tx
    @AdrianoMsungu-jc8tx9 ай бұрын

    Aende akazuru na gaza

  • @kostajoseph5811
    @kostajoseph58119 ай бұрын

    MUNGU AKUTANGULIE KATIKA KUTULETEA MAENDELEO RAIS WETU KIPENZI ,TUNAONA KAZI ZINAENDELEA

  • @saididodi3988
    @saididodi39889 ай бұрын

    Mama uyooo❤

  • @jeffreymgaya7568
    @jeffreymgaya75689 ай бұрын

    Hii mikataba sasa si lazma yote uikubali,,mingine uwe unaikataa,,,mara nyingi mtu anayetaka kizuri huwa ana mtindo wa kunyenyekea,,,

  • @montykhatau6135
    @montykhatau61359 ай бұрын

    Mama ange omba kuonana na watu wa kabila la siddi ambao kiasili ni watu kutoka upwa wa afrika mashariki waliochukuliwa kwenye biashra za utumwa ,pia kuwapa fursa wanaotaka kurudi afrika warudi Mama anaupiga mwingi Nawasalimu kwa salamu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania

  • @akwanzamtenga2174
    @akwanzamtenga21749 ай бұрын

    Mama Samia Hana mume? Kwa nini asimzindikize kwenye hizi ziada?

  • @user-hp2ix5wp6i
    @user-hp2ix5wp6i9 ай бұрын

    Kwa Raha zako mama mungu akupe nini tena?

  • @FatumaMamlo-st8pj

    @FatumaMamlo-st8pj

    9 ай бұрын

    Ampe kepu za miguu😅😅

  • @Commentsplus
    @Commentsplus9 ай бұрын

    kumbe wa india ni washamba yaani wamepoa ngoja waje bongo watafurahi

  • @DorcusPaul-bf9ww
    @DorcusPaul-bf9ww9 ай бұрын

    Mama waombe,mashine za dar cc watu wako wengi wanateseka ugonjwa wa Figo imekua janga na garama Iko juu sanaa😂😂😂😂

  • @nairobitv6161
    @nairobitv61619 ай бұрын

    Tangu juzi atuna umeme wala maji

  • @jumaomari3842
    @jumaomari38429 ай бұрын

    Muhimu.sana.hii.ziara.kwa.taifa.kubwa.kama.hili

  • @mwakondoyakub2444
    @mwakondoyakub24449 ай бұрын

    Safari salamA

  • @mwakondoyakub2444
    @mwakondoyakub24449 ай бұрын

    Safari salama

  • @Nufaila442
    @Nufaila4429 ай бұрын

    Hadi Raha yaaan

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba96289 ай бұрын

    dah uraisi amakweri nikazi

  • @StevenSamwel-sc6sq
    @StevenSamwel-sc6sq9 ай бұрын

    U

  • @user-bb7xf1ie7x
    @user-bb7xf1ie7x9 ай бұрын

    Ameongea kizungu ya mtoto wa pp2 hapa kenya

  • @makongoronyerere1564
    @makongoronyerere15649 ай бұрын

    Hongera bibi yetu mwaya, umeezeeka , ijayo utaweza kweli😅

  • @user-ki4sg8yz9j

    @user-ki4sg8yz9j

    9 ай бұрын

    Labda umezeeka wewe. Cheki mdundo mguuni. Kizee anaweza kuvaa hicho kiatu?

  • @ahmedbashash3672

    @ahmedbashash3672

    9 ай бұрын

    Wacha chuki wewe mbwa kazeeka mama yako bichwa limekujaa mavi yako meusi ndio maana chuki tu pumbaaaff

  • @stevenlyimo5133
    @stevenlyimo51339 ай бұрын

    Mama yetu huyo

  • @patrickKitambo

    @patrickKitambo

    9 ай бұрын

    Sema Mama yako

  • @ClementinaMtumbuka
    @ClementinaMtumbuka9 ай бұрын

    Tukumbuke mama

  • @karimkassam571
    @karimkassam5719 ай бұрын

    Huu ndio uongozi ....hasa unapokuwa na mahusiano na mazuri na wenzio....naamini uchumi utakuwa...kwa kasi sana

  • @patrickKitambo

    @patrickKitambo

    9 ай бұрын

    Uchumi upi?

  • @karimkassam571

    @karimkassam571

    9 ай бұрын

    @@patrickKitambo ..uchumi wa nchi

  • @kgbagent9321

    @kgbagent9321

    9 ай бұрын

    Hivi form 4 ulifaulu kweli wewe?

  • @boniphacemasau3068
    @boniphacemasau30689 ай бұрын

    Anaendelea kuuza taifa letu huko kwa kusign mikataba ya ajabu ajabu na mikataba hiyo inaweza kuwa imeandikwa kihindi Yeye ni kuweka signature tu . Jipu hilo litumbuliwe tu maana hamna namna

  • @bongo39

    @bongo39

    9 ай бұрын

    Wacha upumbavu maisha ya mama yako yanakushinda kumuhudumia mpaka asaidiwe na wanaume kula unaingilia ya wengine

  • @boniphacemasau3068

    @boniphacemasau3068

    9 ай бұрын

    @@bongo39 wewe na huyo rais wako wote wapumbavu na mnafirwa. Huyo unayemuita rais mimi namuona ni kama housegirl wa mabeberu na wageni wasio waafrika. Here you’re unasapoti usenge anaofanya. Mtoto wa mbwa wewe

  • @bongo39

    @bongo39

    9 ай бұрын

    Kwsni hujui mama yako ndio mchezo wako wa nyuma kwa nyuma mpaka kakukuza wewe au unajifsnya hujui tena anaujua haswa mchezo mnhhh

  • @boniphacemasau3068

    @boniphacemasau3068

    9 ай бұрын

    @@bongo39 Sawa mimi siongei na msenge kama wewe hata mamako alitombwa ndio akakuzaa na sasa akafungulia kila mtu anamtomba mtaani kawa sungura tope😂😂😂

  • @Jeremiahlukumay

    @Jeremiahlukumay

    9 ай бұрын

    ​@@bongo39wacheni matusi basi watanzania.

  • @michaelmtega8279
    @michaelmtega82799 ай бұрын

    Nothing to normal after 😂😂😂😂😂😂

  • @japhetkarori5230
    @japhetkarori52309 ай бұрын

    Limenyimwa mkono na uyo mama apo mwanzo...adi aibu ..eti anajifanya anapandisha chupi inatera ndani ya dear😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    9 ай бұрын

    Kwani bange yako ulivutia wapi?

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani36099 ай бұрын

    Hiyo ni gari au tractor 🚜

  • @fatmaalnabhani3609

    @fatmaalnabhani3609

    8 ай бұрын

    ​@@ahmedbashash3672Fanya adabu matusi ya nini sasa? Mshenzi mkubwa

  • @simulizizamwanaupwa2644
    @simulizizamwanaupwa26449 ай бұрын

    Naomba kufahamu itifaki kidogo. Mbona siwaoni walinzi wa Rais wetu, hapo anaposhuka mpaka kufikia kwenye hiyo stage?

  • @michaelboniphace3685

    @michaelboniphace3685

    9 ай бұрын

    Kiitifaki Mkuu wa Nchi akiingia Nchi nyingne shughuli yote ya Kiulinzi inakuwa ya Nchi husika isipokuwa Kwa baadhi tu ya Nchi zenye nguvu kiuchumi na Kijeshi kama Marekani,China,Urusi ,Korea zingnezo taratibu za Kiulinzi Kwa kiongozi wao huwa wanazifanya wao nadhani hii kutokuamin Nchi nyingne

  • @simulizizamwanaupwa2644

    @simulizizamwanaupwa2644

    9 ай бұрын

    @@michaelboniphace3685 nashukuru. Kama ndivyo, Itakuwaje kwa nchi ambazo huenda hazina usalama kama yetu?

  • @ibrahimally8073

    @ibrahimally8073

    9 ай бұрын

    Kiitifaki.. rais anapokuwa ktk shughuli za kukaguwa gwaride Hatakiwi kuwa na walinzi wake..

  • @simulizizamwanaupwa2644

    @simulizizamwanaupwa2644

    9 ай бұрын

    @@ibrahimally8073 nashukuru Sana Kaka

  • @makongoronyerere1564

    @makongoronyerere1564

    9 ай бұрын

    Kamlinde ww

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo9 ай бұрын

    Hio deligation yote ya mawaziri na raisi imeenda huko kufanyaje? Mbna kama kodi zetu zinaharibika

  • @Jeremiahlukumay

    @Jeremiahlukumay

    9 ай бұрын

    ndio hivyo mama anaenda kula bata duniani Kwa Kodi zetu.

  • @ahmedbashash3672

    @ahmedbashash3672

    9 ай бұрын

    Kodi unaijua wewe maskini tu

  • @patrickKitambo

    @patrickKitambo

    9 ай бұрын

    @@Jeremiahlukumay miaka 60 ya uhuru mpaka leo kama taifa hatuna dira wala vipaumbele tupo kama kichwa cha mwendawazimu, raisi anaye kuja anakuja na utaratibu wake na vipaumbele vyake

  • @patrickKitambo

    @patrickKitambo

    9 ай бұрын

    @@ahmedbashash3672 ccm mpaka leo iko madarakan sababu ya watu wajinga kama wew

  • @Jeremiahlukumay

    @Jeremiahlukumay

    9 ай бұрын

    @@ahmedbashash3672 wewe hujijui hata kidogo,kumbe wewe hulipagi Kodi?kweli watanzania bado tupo gizani,hata hamjui kuwa ktk kununua Kila bithaa hapo ndio mnakatwa kodi?kumbe ccm imewapumbaza mpaka hamna hata elimu ya Kodi?

  • @abbassalum6824
    @abbassalum68249 ай бұрын

    😀😆

  • @iddyissa8110
    @iddyissa81109 ай бұрын

    Kisha fika India duu

  • @ahmedbashash3672

    @ahmedbashash3672

    9 ай бұрын

    Kwan ajabu pumbaaaf

  • @lusiuskinikuli2276
    @lusiuskinikuli22769 ай бұрын

    Huyu mama simwelewi

  • @DaudEmmanuel-fy8hs
    @DaudEmmanuel-fy8hs9 ай бұрын

    Mnatoa sifa kichaa akivua nguo hadharani pia

  • @shamimageta6651
    @shamimageta66519 ай бұрын

    Ongera mama tunaiman kubwa na wewe

Келесі