MGOMO MWINGINE WAFANYAKAZI KIWANDA CHA CHAI NJOMBE, WADAI ZAIDI YA BIL.1, DC KISSA AMBANANISHA HR

Пікірлер: 11

  • @user-zg9zv4ky7m
    @user-zg9zv4ky7m2 күн бұрын

    Hongera sana mkuu wa wilaya

  • @gregory6165
    @gregory61652 күн бұрын

    Acheni siasa nyie viongozi mnauwezo wa kuwasiliana na huyo mwekezaji hata ndani ya saa moja mkajadiliana naye aseme nini tatizo, lakini mnafika hapo mnakuwa na nyie ni kama walalamikaji ili tu kuwafariji wakulima mko upande wao, watu wanafamilia, walipe ada, wauguze, wale.. Miezi minne hawapewi mshahara kweli? Na serikali mpo! Mnafanya kazi gani?? ndiyo mana watu wanamkumbuka magu mambo kama haya angeshafukuza hata huyo mwekezaji

  • @marrypius576
    @marrypius5762 күн бұрын

    Toen huy mkenya msenge msenge tu

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76862 күн бұрын

    MBONA TANZANIA INAWATU WENGI TUU WENYE PESA ILI KUENDESHA HIVO VIWANDA VYA CHAI.

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu85292 күн бұрын

    Wawekezaji awamu hii wanapeta. Kauli za viongozi kuwa wawekazaji wasisumbuliwa zinawapa kiburi. Kwa sasa wawekezaji hawalipi nssf na masilahi sahihi ya wananchi.

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe51322 күн бұрын

    Nchi hii tunawalea Kenya, fikiria tungekuwa tumewekeza Kenya wange kaa kimya? Watanzania tumelogwa? Au viongozi mnajua??!

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76862 күн бұрын

    KUNA MWEKEZAJI HAPOO?. MKENYA TENAA?.

  • @johnpatrickkangethekaranja2057
    @johnpatrickkangethekaranja20572 күн бұрын

    Lipa wafanyikazi Uhuru upon ama ukoloni mambo leo Bongo wake up our neighbours Wake up our sisters and brothers

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76862 күн бұрын

    SASA WA ZIRI WA VIWANDA YUKO WAPII?.

  • @FelixMwinami
    @FelixMwinami6 сағат бұрын

    Sijui watanzania tumelogwaje aise hivi kiongozi unalalamika kweli? chukua hatua mapema chap

Келесі