MGOMO KARIAKOO, MADUKA YOTE YAFUNGWA, ZIGO LA LAWAMA TRA "MILIONI 15 "

Пікірлер: 115

  • @XPOSED255
    @XPOSED255Ай бұрын

    MAKONDA PEKE YAKE NDIE ANAEIWEZA DAR angetatua fasta tu

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732Ай бұрын

    TRA wanakula rushwa kupora mitaji ya wafanyabiashara wanajiwekea mifukoni na kwenda kujenga kwao manyanyaso ya haliyajuu

  • @starjay3052
    @starjay3052Ай бұрын

    kichwa kisichokua na akili ni mzigo kwa shingo ila roma

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945Ай бұрын

    This country forgot about democracy...now wanatumia udikteta kuongoza raia...tunataka haki zetu, na TRA mjiangalie , bidhaa haziokotwi uje kujizolea... Dill na hao wavamizi nchini kwetu .. acheni kuwaonea watanzania halisi

  • @OlaisMoses
    @OlaisMosesАй бұрын

    Mimi naona waziri wa fedha awe mfanya biashara hawa watu wanao toka darasani na kuingia TRA hawana uzoefu wa biashara

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vzАй бұрын

    T RA n Mungu, Mtu kariakoo tena serkali mnatesa rai

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162Ай бұрын

    Msifungue maduka Ngoja waone muhimu wenu, atapata wapi pesa za kuishi maisha yao ya kitajiri? Kuendesha V8

  • @BraveMajaliwa-gf7ru

    @BraveMajaliwa-gf7ru

    Ай бұрын

    Wanaofunga ndo wanateseka maana serikali ina vyanzo vingi vya kupata pesa

  • @issaalfani1030

    @issaalfani1030

    Ай бұрын

    ​@@BraveMajaliwa-gf7ru hujui kitu hapo Serikali matumbo joto CAG kila mwaka anatoa tarifa ya upotevu ya maTilion wewe nimoja kati ya wale majizi nini

  • @robertedward1992
    @robertedward1992Ай бұрын

    Mama alitakiwa amtumbue mwiguru .kubebana ndio shiida.

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030Ай бұрын

    Ukiweka pesa unakatwa, ukitoa unakatwa, ukitumiwa wanakata, ukinunua kitu wanakata, ukifungua kiduka washenzi wanajaa kama mlitafuta wote CAG kila mwaka anatangaza upotevu wa Matilion na wanao ziiba wanahamishwa tu mikoa na sio kufungwa au kutaifisha mali zao ila mTanzania anae jihangaikia amekua wakunyonywa kila siku

  • @dorahy1579
    @dorahy1579Ай бұрын

    Mtu alijipiga Rossi kichwani kwa sababu ya TRA. Ni WAKORA hao TRA, wanasumbua watu. TRA Washenzi kweli kweli.

  • @ManJames-bi2oj
    @ManJames-bi2ojАй бұрын

    Kwakweli tra ni kero sijui watu wakifirisika watafanya bihashara wao

  • @starjay3052
    @starjay3052Ай бұрын

    ndiomana tulivopata uhuru watanzania mlinyimwa elimu si ndio mlisoma mwisho darasa la nne 😁😁🤣🤣

  • @edishaa3108
    @edishaa3108Ай бұрын

    Na wao wafunguwe maduka yao halafu wauze wenyewe

  • @JoyceMourice
    @JoyceMouriceАй бұрын

    Wanakera Sana Kodi zimekuwa nyingi mno kwenye cm ukatwe Kodi mara taka mara service Lev mara reseni KERO mama unaipeleka wap hii nchii jamani angalia masikini Tanzania aina matajili kiasi icho

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561Ай бұрын

    Mwigulu ameshindwa kuwasimamia TRA .

  • @bensonmgaya5693
    @bensonmgaya5693Ай бұрын

    Samia hataki kwenda kuwasikiliza anamtuma watu anakosea sana Hilo ni tatizo naagiza Raisi Samia kawasikilize acha kujiweka mbali na Wana nchi wako nchi hujengwa kwa kazi kama hizo TRA ni kitu gani ? Lekebisha eneo hilo

  • @IbrahimHassan-by5ym
    @IbrahimHassan-by5ymАй бұрын

    maendeleo yaanze kwa Raiya , ili waridhike ndio serikali ipate maendeleo , sasa tukimbana Raiya(mfanya biashara ) ujanja ujanja hautoishaaaa TZ

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282Ай бұрын

    TRA au serikali ikusanye kodi na iwe na watu waaminifu na hiyo kodi isidsi hela nyingi ambazo zinaleta hii hali iwe ya wastani pia mlipaji ajiridhishe na ajisikie kilipa.mfano mabango yaliyokuwepo ya electonic yamemebaki mafremu tu serikali inafaidi nini.rushwa pia inawaumiza wengi.Naipenda nchi yangu nzuri sana nilichoona kwenye Media kuwa Tz Kenya Uganda hali ni hiyo nimeumia.aliyekwazika anisamehe

  • @zebedayobiswalo1924
    @zebedayobiswalo1924Ай бұрын

    Nchi ya kipuuzi sana

  • @banegatv5553
    @banegatv5553Ай бұрын

    Noma sana

  • @elijuskikoto392
    @elijuskikoto392Ай бұрын

    TRA ni shida Sana hapa nchini dah

  • @isamony58
    @isamony58Ай бұрын

    Magufuli TUNAKUKUMBUKA daimaa raisi wawanyongo huyu mama na watu wake nishidaa

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    Ай бұрын

    Huna kumbukumbu wewe. Aliweka task force kali sana KARIAKOO. Walikuwa wanaumizwa kichizi...

  • @salehesalehe2967

    @salehesalehe2967

    Ай бұрын

    Nawewe umekufa akili

  • @philemornmutta1597

    @philemornmutta1597

    Ай бұрын

    Mbona hawakufunga maduka ilikuwa hivyo unavodai​@@TamuzaKale

  • @philemornmutta1597

    @philemornmutta1597

    Ай бұрын

    ​@@Sheba4651wewe ni mnufaika wa zama hizi kula Kwa ujanja ujanja

  • @elijuskikoto392

    @elijuskikoto392

    Ай бұрын

    ​@@salehesalehe2967huyo magufuli wako ndo alikuwa hafai kabisaa

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933Ай бұрын

    Swala kama hili ni aibu kwa viongoz , inawezekanaje mtu analipichwa athabu kubwa vile , ina maama Mizgo haithibitiwi kutoka bandarin mpka mzigo unapigwa fail kubwa vle

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronicsАй бұрын

    Midhari TRA wamemwaga unga basi wafanya biashara wamemwaga mboga ubaya ubaya tu .

  • @JoyceMourice
    @JoyceMouriceАй бұрын

    Chanzo Cha yote haya ni mwiguru nchemba uyu wazili ni tatizo Toka akae icho kitengo tozo ni nyingi mno.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491Ай бұрын

    Kwanini mzigo usi chukuliww kodi toka ukiwa bandarini ya nini mje funga maduka ya watu😢

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6kАй бұрын

    Mtaani nako kuna hawa wa leseni,tusiojuwa nao tunawaita TRA,wanakamata bila utaratibu ukiwapa 20 wanakuachia,wakikupeleka ofisini nako unalipia wakidai ni fine,hata rising hupewi,ni wizi mtupu,kuna maduka mengine ukiyatizama hayastahili kulipa hata 20 kwa mwaka,kuna haja ya kuwatizama watu hawa

  • @Immahjr

    @Immahjr

    Ай бұрын

    Hao ni Maafisa masoko "Manispaa"

  • @AnthonySindabaha-de3xb

    @AnthonySindabaha-de3xb

    Ай бұрын

    @@Immahjr nao njaa tuu mie nawajua

  • @iddyissa8110
    @iddyissa8110Ай бұрын

    Mzigo wenyewe ukifika bandarini tayali unalipwa kodo uhunintu

  • @AkyooGood
    @AkyooGoodАй бұрын

    Hamsha hamsha

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578Ай бұрын

    Ramadhani Ntonzwe pumzika kwa amani.

  • @Kalosishabani
    @KalosishabaniАй бұрын

    TRA kiukweli ni kero

  • @rosesilio9008
    @rosesilio9008Ай бұрын

    Hii tanzania itakuwa tu kama kenya 🇰🇪

  • @tasukutechnologies2573
    @tasukutechnologies2573Ай бұрын

    TRA ni donda ndugu

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502Ай бұрын

    Alooooh

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrikaАй бұрын

    Tra ni tatizo kubwa sana kwa wafanyabishara . Kuna gesti nyingi awalipi kodi na hata risiti awatoi.. unandikiwa kikaratasi. Tra warekebishe na kuangalia hayo malalamiko.

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408Ай бұрын

    jamani mbona tunanua biashara dubai na hakuna risiti. hii lazima ya kukaguana na kulazimishana risiti tunaiga kwa nani. afrika ngumu sana kufanya biashara

  • @IbrahimHassan-by5ym
    @IbrahimHassan-by5ymАй бұрын

    it's fact kwamba Wafanya biashara waeleweshwe wanacholipia kwanza ni MIZIGO yao ama eneo la kufanyia BIAshara, sasa kama mizigo imeshalipiwa bandarini Madukani wanalipia nini?

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vfАй бұрын

    TRA ni wezi tu

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045Ай бұрын

    TRA wafungue biashara darasa, wafungue hardware, saloon, chakula, vipodozi wananchi tukajifunze😂😂😂

  • @annamwanyelele9084
    @annamwanyelele9084Ай бұрын

    TRA hawana tofauti na vifyele vya nguruwe njaa kali

  • @KenedyDesigner
    @KenedyDesignerАй бұрын

    MABOSI WENU WA MADUKA HAWAWATAKI MACHINGA KAKA NA NDIO MAANA WAMWFUNGA

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597Ай бұрын

    Mwiguru kaza kabsa njoo na huku mwz nenda Arusha ddm na sehem zingine

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505Ай бұрын

    acheni kulalamika wapumbavu nyinyi.... toeni hiyo pesa tufanye kampeni ya Mama!!

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies9670Ай бұрын

    Tra ianze ajiri vijana waliokaa mtaani na kufanya biashara hivi vitoto vilivyo toka shule havielewi

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597Ай бұрын

    Mmepandisha kodii mafuta juu bandari zetu lakini bidhaa kununua tz bora ukanunue Uganda wakati mizigo yao wanapitishia kwetu mbona bei zao ni rafiki

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8lyАй бұрын

    Hivi viongozi wa TRA nilini mtaumaliza Huu mgogolo maana imekuwasawa na kidonda ndugu

  • @happymrema7487
    @happymrema7487Ай бұрын

    Toen rizit zinazotakiwa

  • @musamakasi7035
    @musamakasi7035Ай бұрын

    Rais aende akawasikilize wananchi asitumie watu mbona kusafir huwa hatumi wawakilishi hapa anashindwa nn kwenda

  • @omanmct135
    @omanmct135Ай бұрын

    Hatari kwweli

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vzАй бұрын

    Mbona serikali RTC ilishindwa maduka,mnatesa rai rudisheni RTC, ubabe wao police n w kwao,

  • @somaliantz_phones_arena
    @somaliantz_phones_arenaАй бұрын

    Mara hulali usiku kuandikiana mamasage wafunge leseni basi tuone hapa tutafunga maduka mpaka kieleweke

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ubАй бұрын

    Serikali ya hovyo sana hadi kichefuchefu

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4kАй бұрын

    Samia mizigo yako uliyookota majalalani,mfano Chalamila sijui ulimuokota wapi ,full time Chalamila ni mzaha.

  • @simsotv2261
    @simsotv2261Ай бұрын

    Bora sisi wakenya tunajitambua

  • @preciouspeter6126

    @preciouspeter6126

    Ай бұрын

    😂😂😂😂ila wabongo, eti wakenya tunajitambua😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14Ай бұрын

    TRA wakija wanataza rushwa tuuu😂😂😂😂

  • @elijahbaraka9470
    @elijahbaraka9470Ай бұрын

    Ndo yale yakenya aya.

  • @BraveMajaliwa-gf7ru
    @BraveMajaliwa-gf7ruАй бұрын

    Watu wa Tanzania 🇹🇿 wanaanza kuiga wakenya 😂😂😂na wenyewe wafike mpaka bungeni na farasi 😂

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686Ай бұрын

    WENZENU KENYA HAMJAWAONAAA? WASIWAFANYE NYIE WAJIÑGA. AMKENI NA NYINYI MSIWE WATU WA NDIYOO.

  • @mrafm7285
    @mrafm7285Ай бұрын

    Hii mambo ya risiti Kwa nchi hii yatasumbua kila kukicha ni Bora serikali wakaangalia ni mfumo gani mzuri wa kukusanya Kodi Kwa wafanyabiashara bila hivo itakua ni kero

  • @AmriManengelo-yz5pp

    @AmriManengelo-yz5pp

    Ай бұрын

    Mfumo sio shida shida ni watendaji

  • @kibasamohamedi8029

    @kibasamohamedi8029

    Ай бұрын

    Kabisa

  • @annamwanyelele9084
    @annamwanyelele9084Ай бұрын

    TRA nikero nikero nikero tena nikero Wana njaa Wana njaa utazani vifyele vya nguruwe

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588Ай бұрын

    Mwigulu amezaliwa na hii serikali hana kwao

  • @Keyjop
    @KeyjopАй бұрын

    TrA bana asa huo SI uroho Sasa kuanza kiwaingia raia Hadi mfukoni

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing1780Ай бұрын

    Hi nchi ngumu sana

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrikaАй бұрын

    Wanaaribu uchumi wa Nchi. Mama Samia angalie mambo haya. NCHI ipo pabaya. Ndiyo wakutane na Rais maana ndiyo mwenye kauli ya mwisho.

  • @maggiechristopher8817

    @maggiechristopher8817

    Ай бұрын

    Anazurura hana muda,

  • @rajabusalumu1862
    @rajabusalumu1862Ай бұрын

    😂😂 hbr za vitambi zinatokea wapi jmn

  • @user-uz7pw6pj6p
    @user-uz7pw6pj6pАй бұрын

    Aise noma sana 😮😮😮😮

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064Ай бұрын

    FUNGEN MADUKA ILA MTAKAPO TAKIWA KURUDISHA HIYO MIKOPO MLO KOPA BENK MSIJE KIANZA KULIA WE MSHA AMBIWA SWALA LENU LINASHUGHULIKIWA SAS SHIDA NINI😢😢😢

  • @mussakimaro5588

    @mussakimaro5588

    Ай бұрын

    umetumwa wewe

  • @user-jh9yv1zp1l
    @user-jh9yv1zp1lАй бұрын

    Hii nchi hain uongoz ten wanchi hawapew haki zao kw hak ,kiongz kutw kuzurul ulaya

  • @danielamosi6871
    @danielamosi6871Ай бұрын

    Tax

  • @evelynsalila
    @evelynsalilaАй бұрын

    Selikali inaua soko la kariakoo

  • @zakayomkemwa6283
    @zakayomkemwa6283Ай бұрын

    Kidata ndio tatizo aondolewe

  • @ManJames-bi2oj
    @ManJames-bi2ojАй бұрын

    Tra mnawafirisi wafanya bihashara

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764Ай бұрын

    sisi tunampenda sana raisi wetu mama samia suluhu hasan,awe makini na akina MWIGULU wana agenda zao za 2025!!naomba ajifunze kwa mstaafu KIKWETE,alifuta kodi zenye kero kwa wafanyabiashara

  • @GibsonNtamamilo

    @GibsonNtamamilo

    Ай бұрын

    Tangu lini mtu akamchikia mbwa wake anayemtafutia kitoweo?

  • @user-wd2bc7bf5x

    @user-wd2bc7bf5x

    Ай бұрын

    unampenda wew huyo rais wako

  • @Dativanyakato
    @DativanyakatoАй бұрын

    Apa ndotunamkumbuka Magufuli jaman

  • @seliankibasisi5047
    @seliankibasisi5047Ай бұрын

    Mi nafikir kugoma sio tatzo ila kero zisemwe zisikike, sio unasema kodi nyingi. Taja kodi zote wajue mnalipa kodi mara ngapi?

  • @Alexismadimo

    @Alexismadimo

    Ай бұрын

    Wenywe walioweka kodi wanajua

  • @seliankibasisi5047

    @seliankibasisi5047

    Ай бұрын

    Hii nchi wenyewe mnaijua wapigaji ni wengi. Huenda kuna kodi zingne hata hazijulikani

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780Ай бұрын

    HII SERIKALI AU MATOPE? YAANI FINE MILIONI 15 AU MIE NDIO SIJAELEWA?

  • @nomoboy152
    @nomoboy152Ай бұрын

    #KUFATANAFATANA

  • @zully756
    @zully756Ай бұрын

    Pigeni

  • @honestmosha6203
    @honestmosha6203Ай бұрын

    Huyu jamaa siyo mtanzania kujumua??? Kkoo kuna foreigners wengi ila sidhani kama wanavibali vya kuishi nchini

  • @honestmosha6203

    @honestmosha6203

    Ай бұрын

    Kuchukua kazi

  • @smallscaleminingsupplies9670

    @smallscaleminingsupplies9670

    Ай бұрын

    We ni Mtanzania

  • @gweahshoo5120
    @gweahshoo5120Ай бұрын

    Watanzania muwe na uzalendo na committed kwa nchi yenu msifate mkumbo..nchi km china imeendelea kwa wananchi kuwa very committed..Tz watu hawatak kulipa kodi lakin wao ndio wa kwanza kutaka maisha bora...

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9urАй бұрын

    Kwanini hamtaki kutoa risiti nyie wapumbavu, wafanyakazi wote wa serikali wanakatwa kodi Pay As You Earn(P.A.Y.E) afu mnaleta upuuzi na aliyenyuma yenu ni lile kundi lililomtoa Daniel Chongolo ukatibu mkuu ccm,lipeni kodi serikalini acheni kukwepa kodi na kutokutoa risiti

  • @mussakimaro5588

    @mussakimaro5588

    Ай бұрын

    Hii nchi iuzwe tu maana mi mwenyewe nachangia 80000 kila mwezi

  • @smallscaleminingsupplies9670

    @smallscaleminingsupplies9670

    Ай бұрын

    Unajua wafanyabiashara wanalipa kiasi gani

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur

    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur

    Ай бұрын

    @@smallscaleminingsupplies9670 tuliza kinyeo shoga mkubwa unafirwa nini wewe unauliza swali linalonuka mavi kama hilo yani watu wote wanakuona mpumbavu wanatakiwa kulipa kodi kutokana na wanachoingiza ndio maana wanatakiwa watoe risiti, maduka mengi kariakoo hawatoi risiti afu unaleta meseji za kishoga apa YESU ALIE HAI Alisema yakaisari(serikali) mpeni kaisari na Ya MUNGU Mpeni MUNGU wafanyabiashara ni wakina nani wakwepe kodi, Huku Wafanyakazi Wanalipa kodi P.A.Y.E bila shuruti pumbavu zenu wafanya biashara mnaokwepa kulipa kodi serikali Ambayo Hata BWANA YESU ALIE HAI Ameiridhia

  • @FatumaMawingu
    @FatumaMawinguАй бұрын

    Ngoja nicheke 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂

  • @udizungwahimalaya5213

    @udizungwahimalaya5213

    Ай бұрын

    Fatuma kweli umecheka😂😂😂😂

  • @janifajani8875
    @janifajani8875Ай бұрын

    Kuweni kama KENYA tu watu tulale barabarani wote

  • @khadijaalimohd1320
    @khadijaalimohd1320Ай бұрын

    NCHI YENYE VIONGOZI WASHENZI KABISA HII WIZITU NA UONEVU LOL

  • @jumaseif548
    @jumaseif548Ай бұрын

    Acha waziri wa fedha akusanye pesa ili wananchi wafe na njaa wawatawale marehemu

  • @rukiyamohammed2945

    @rukiyamohammed2945

    Ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @starjay3052

    @starjay3052

    Ай бұрын

    me nachekaga tu

Келесі