MGOMO KARIAKOO, MADUKA YOTE YAFUNGWA, ZIGO LA LAWAMA TRA "MILIONI 15 "
Жүктеу.....
Пікірлер: 115
@XPOSED255Ай бұрын
MAKONDA PEKE YAKE NDIE ANAEIWEZA DAR angetatua fasta tu
@fadhilimusa9732Ай бұрын
TRA wanakula rushwa kupora mitaji ya wafanyabiashara wanajiwekea mifukoni na kwenda kujenga kwao manyanyaso ya haliyajuu
@starjay3052Ай бұрын
kichwa kisichokua na akili ni mzigo kwa shingo ila roma
@rukiyamohammed2945Ай бұрын
This country forgot about democracy...now wanatumia udikteta kuongoza raia...tunataka haki zetu, na TRA mjiangalie , bidhaa haziokotwi uje kujizolea... Dill na hao wavamizi nchini kwetu .. acheni kuwaonea watanzania halisi
@OlaisMosesАй бұрын
Mimi naona waziri wa fedha awe mfanya biashara hawa watu wanao toka darasani na kuingia TRA hawana uzoefu wa biashara
@HamisMghuna-fj3vzАй бұрын
T RA n Mungu, Mtu kariakoo tena serkali mnatesa rai
@hamidabarraball3162Ай бұрын
Msifungue maduka Ngoja waone muhimu wenu, atapata wapi pesa za kuishi maisha yao ya kitajiri? Kuendesha V8
@BraveMajaliwa-gf7ru
Ай бұрын
Wanaofunga ndo wanateseka maana serikali ina vyanzo vingi vya kupata pesa
@issaalfani1030
Ай бұрын
@@BraveMajaliwa-gf7ru hujui kitu hapo Serikali matumbo joto CAG kila mwaka anatoa tarifa ya upotevu ya maTilion wewe nimoja kati ya wale majizi nini
@robertedward1992Ай бұрын
Mama alitakiwa amtumbue mwiguru .kubebana ndio shiida.
@issaalfani1030Ай бұрын
Ukiweka pesa unakatwa, ukitoa unakatwa, ukitumiwa wanakata, ukinunua kitu wanakata, ukifungua kiduka washenzi wanajaa kama mlitafuta wote CAG kila mwaka anatangaza upotevu wa Matilion na wanao ziiba wanahamishwa tu mikoa na sio kufungwa au kutaifisha mali zao ila mTanzania anae jihangaikia amekua wakunyonywa kila siku
@dorahy1579Ай бұрын
Mtu alijipiga Rossi kichwani kwa sababu ya TRA. Ni WAKORA hao TRA, wanasumbua watu. TRA Washenzi kweli kweli.
@ManJames-bi2ojАй бұрын
Kwakweli tra ni kero sijui watu wakifirisika watafanya bihashara wao
@starjay3052Ай бұрын
ndiomana tulivopata uhuru watanzania mlinyimwa elimu si ndio mlisoma mwisho darasa la nne 😁😁🤣🤣
@edishaa3108Ай бұрын
Na wao wafunguwe maduka yao halafu wauze wenyewe
@JoyceMouriceАй бұрын
Wanakera Sana Kodi zimekuwa nyingi mno kwenye cm ukatwe Kodi mara taka mara service Lev mara reseni KERO mama unaipeleka wap hii nchii jamani angalia masikini Tanzania aina matajili kiasi icho
@clemencemkondya8561Ай бұрын
Mwigulu ameshindwa kuwasimamia TRA .
@bensonmgaya5693Ай бұрын
Samia hataki kwenda kuwasikiliza anamtuma watu anakosea sana Hilo ni tatizo naagiza Raisi Samia kawasikilize acha kujiweka mbali na Wana nchi wako nchi hujengwa kwa kazi kama hizo TRA ni kitu gani ? Lekebisha eneo hilo
@IbrahimHassan-by5ymАй бұрын
maendeleo yaanze kwa Raiya , ili waridhike ndio serikali ipate maendeleo , sasa tukimbana Raiya(mfanya biashara ) ujanja ujanja hautoishaaaa TZ
@thadeusmarkiminja2282Ай бұрын
TRA au serikali ikusanye kodi na iwe na watu waaminifu na hiyo kodi isidsi hela nyingi ambazo zinaleta hii hali iwe ya wastani pia mlipaji ajiridhishe na ajisikie kilipa.mfano mabango yaliyokuwepo ya electonic yamemebaki mafremu tu serikali inafaidi nini.rushwa pia inawaumiza wengi.Naipenda nchi yangu nzuri sana nilichoona kwenye Media kuwa Tz Kenya Uganda hali ni hiyo nimeumia.aliyekwazika anisamehe
@zebedayobiswalo1924Ай бұрын
Nchi ya kipuuzi sana
@banegatv5553Ай бұрын
Noma sana
@elijuskikoto392Ай бұрын
TRA ni shida Sana hapa nchini dah
@isamony58Ай бұрын
Magufuli TUNAKUKUMBUKA daimaa raisi wawanyongo huyu mama na watu wake nishidaa
@TamuzaKale
Ай бұрын
Huna kumbukumbu wewe. Aliweka task force kali sana KARIAKOO. Walikuwa wanaumizwa kichizi...
@salehesalehe2967
Ай бұрын
Nawewe umekufa akili
@philemornmutta1597
Ай бұрын
Mbona hawakufunga maduka ilikuwa hivyo unavodai@@TamuzaKale
@philemornmutta1597
Ай бұрын
@@Sheba4651wewe ni mnufaika wa zama hizi kula Kwa ujanja ujanja
@elijuskikoto392
Ай бұрын
@@salehesalehe2967huyo magufuli wako ndo alikuwa hafai kabisaa
@juliusdonard933Ай бұрын
Swala kama hili ni aibu kwa viongoz , inawezekanaje mtu analipichwa athabu kubwa vile , ina maama Mizgo haithibitiwi kutoka bandarin mpka mzigo unapigwa fail kubwa vle
@MauFundiElectronicsАй бұрын
Midhari TRA wamemwaga unga basi wafanya biashara wamemwaga mboga ubaya ubaya tu .
@JoyceMouriceАй бұрын
Chanzo Cha yote haya ni mwiguru nchemba uyu wazili ni tatizo Toka akae icho kitengo tozo ni nyingi mno.
@ilynpayne7491Ай бұрын
Kwanini mzigo usi chukuliww kodi toka ukiwa bandarini ya nini mje funga maduka ya watu😢
@user-id6xo9td6kАй бұрын
Mtaani nako kuna hawa wa leseni,tusiojuwa nao tunawaita TRA,wanakamata bila utaratibu ukiwapa 20 wanakuachia,wakikupeleka ofisini nako unalipia wakidai ni fine,hata rising hupewi,ni wizi mtupu,kuna maduka mengine ukiyatizama hayastahili kulipa hata 20 kwa mwaka,kuna haja ya kuwatizama watu hawa
@Immahjr
Ай бұрын
Hao ni Maafisa masoko "Manispaa"
@AnthonySindabaha-de3xb
Ай бұрын
@@Immahjr nao njaa tuu mie nawajua
@iddyissa8110Ай бұрын
Mzigo wenyewe ukifika bandarini tayali unalipwa kodo uhunintu
@AkyooGoodАй бұрын
Hamsha hamsha
@nsiamasawe4578Ай бұрын
Ramadhani Ntonzwe pumzika kwa amani.
@KalosishabaniАй бұрын
TRA kiukweli ni kero
@rosesilio9008Ай бұрын
Hii tanzania itakuwa tu kama kenya 🇰🇪
@tasukutechnologies2573Ай бұрын
TRA ni donda ndugu
@barakamanga5502Ай бұрын
Alooooh
@uwezawamungumkuu.amaniafrikaАй бұрын
Tra ni tatizo kubwa sana kwa wafanyabishara . Kuna gesti nyingi awalipi kodi na hata risiti awatoi.. unandikiwa kikaratasi. Tra warekebishe na kuangalia hayo malalamiko.
@hassankongolilo8408Ай бұрын
jamani mbona tunanua biashara dubai na hakuna risiti. hii lazima ya kukaguana na kulazimishana risiti tunaiga kwa nani. afrika ngumu sana kufanya biashara
@IbrahimHassan-by5ymАй бұрын
it's fact kwamba Wafanya biashara waeleweshwe wanacholipia kwanza ni MIZIGO yao ama eneo la kufanyia BIAshara, sasa kama mizigo imeshalipiwa bandarini Madukani wanalipia nini?
@emmanuelShayo-dk6vfАй бұрын
TRA ni wezi tu
@amanijampion3045Ай бұрын
TRA wafungue biashara darasa, wafungue hardware, saloon, chakula, vipodozi wananchi tukajifunze😂😂😂
@annamwanyelele9084Ай бұрын
TRA hawana tofauti na vifyele vya nguruwe njaa kali
@KenedyDesignerАй бұрын
MABOSI WENU WA MADUKA HAWAWATAKI MACHINGA KAKA NA NDIO MAANA WAMWFUNGA
@philemornmutta1597Ай бұрын
Mwiguru kaza kabsa njoo na huku mwz nenda Arusha ddm na sehem zingine
@mohammedkhimji7505Ай бұрын
acheni kulalamika wapumbavu nyinyi.... toeni hiyo pesa tufanye kampeni ya Mama!!
@smallscaleminingsupplies9670Ай бұрын
Tra ianze ajiri vijana waliokaa mtaani na kufanya biashara hivi vitoto vilivyo toka shule havielewi
@philemornmutta1597Ай бұрын
Mmepandisha kodii mafuta juu bandari zetu lakini bidhaa kununua tz bora ukanunue Uganda wakati mizigo yao wanapitishia kwetu mbona bei zao ni rafiki
@JescaMuyabi-ix8lyАй бұрын
Hivi viongozi wa TRA nilini mtaumaliza Huu mgogolo maana imekuwasawa na kidonda ndugu
@happymrema7487Ай бұрын
Toen rizit zinazotakiwa
@musamakasi7035Ай бұрын
Rais aende akawasikilize wananchi asitumie watu mbona kusafir huwa hatumi wawakilishi hapa anashindwa nn kwenda
@omanmct135Ай бұрын
Hatari kwweli
@HamisMghuna-fj3vzАй бұрын
Mbona serikali RTC ilishindwa maduka,mnatesa rai rudisheni RTC, ubabe wao police n w kwao,
@somaliantz_phones_arenaАй бұрын
Mara hulali usiku kuandikiana mamasage wafunge leseni basi tuone hapa tutafunga maduka mpaka kieleweke
@TitoRufizi-xb2ubАй бұрын
Serikali ya hovyo sana hadi kichefuchefu
@user-gc1ez1yv4kАй бұрын
Samia mizigo yako uliyookota majalalani,mfano Chalamila sijui ulimuokota wapi ,full time Chalamila ni mzaha.
@simsotv2261Ай бұрын
Bora sisi wakenya tunajitambua
@preciouspeter6126
Ай бұрын
😂😂😂😂ila wabongo, eti wakenya tunajitambua😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@msatibongonyuzi14Ай бұрын
TRA wakija wanataza rushwa tuuu😂😂😂😂
@elijahbaraka9470Ай бұрын
Ndo yale yakenya aya.
@BraveMajaliwa-gf7ruАй бұрын
Watu wa Tanzania 🇹🇿 wanaanza kuiga wakenya 😂😂😂na wenyewe wafike mpaka bungeni na farasi 😂
@valenakomba7686Ай бұрын
WENZENU KENYA HAMJAWAONAAA? WASIWAFANYE NYIE WAJIÑGA. AMKENI NA NYINYI MSIWE WATU WA NDIYOO.
@mrafm7285Ай бұрын
Hii mambo ya risiti Kwa nchi hii yatasumbua kila kukicha ni Bora serikali wakaangalia ni mfumo gani mzuri wa kukusanya Kodi Kwa wafanyabiashara bila hivo itakua ni kero
@AmriManengelo-yz5pp
Ай бұрын
Mfumo sio shida shida ni watendaji
@kibasamohamedi8029
Ай бұрын
Kabisa
@annamwanyelele9084Ай бұрын
TRA nikero nikero nikero tena nikero Wana njaa Wana njaa utazani vifyele vya nguruwe
@mussakimaro5588Ай бұрын
Mwigulu amezaliwa na hii serikali hana kwao
@KeyjopАй бұрын
TrA bana asa huo SI uroho Sasa kuanza kiwaingia raia Hadi mfukoni
@teamallyracing1780Ай бұрын
Hi nchi ngumu sana
@uwezawamungumkuu.amaniafrikaАй бұрын
Wanaaribu uchumi wa Nchi. Mama Samia angalie mambo haya. NCHI ipo pabaya. Ndiyo wakutane na Rais maana ndiyo mwenye kauli ya mwisho.
@maggiechristopher8817
Ай бұрын
Anazurura hana muda,
@rajabusalumu1862Ай бұрын
😂😂 hbr za vitambi zinatokea wapi jmn
@user-uz7pw6pj6pАй бұрын
Aise noma sana 😮😮😮😮
@exaverysimon1064Ай бұрын
FUNGEN MADUKA ILA MTAKAPO TAKIWA KURUDISHA HIYO MIKOPO MLO KOPA BENK MSIJE KIANZA KULIA WE MSHA AMBIWA SWALA LENU LINASHUGHULIKIWA SAS SHIDA NINI😢😢😢
@mussakimaro5588
Ай бұрын
umetumwa wewe
@user-jh9yv1zp1lАй бұрын
Hii nchi hain uongoz ten wanchi hawapew haki zao kw hak ,kiongz kutw kuzurul ulaya
@danielamosi6871Ай бұрын
Tax
@evelynsalilaАй бұрын
Selikali inaua soko la kariakoo
@zakayomkemwa6283Ай бұрын
Kidata ndio tatizo aondolewe
@ManJames-bi2ojАй бұрын
Tra mnawafirisi wafanya bihashara
@hamzakimaro3764Ай бұрын
sisi tunampenda sana raisi wetu mama samia suluhu hasan,awe makini na akina MWIGULU wana agenda zao za 2025!!naomba ajifunze kwa mstaafu KIKWETE,alifuta kodi zenye kero kwa wafanyabiashara
@GibsonNtamamilo
Ай бұрын
Tangu lini mtu akamchikia mbwa wake anayemtafutia kitoweo?
@user-wd2bc7bf5x
Ай бұрын
unampenda wew huyo rais wako
@DativanyakatoАй бұрын
Apa ndotunamkumbuka Magufuli jaman
@seliankibasisi5047Ай бұрын
Mi nafikir kugoma sio tatzo ila kero zisemwe zisikike, sio unasema kodi nyingi. Taja kodi zote wajue mnalipa kodi mara ngapi?
@Alexismadimo
Ай бұрын
Wenywe walioweka kodi wanajua
@seliankibasisi5047
Ай бұрын
Hii nchi wenyewe mnaijua wapigaji ni wengi. Huenda kuna kodi zingne hata hazijulikani
@selemankishema5780Ай бұрын
HII SERIKALI AU MATOPE? YAANI FINE MILIONI 15 AU MIE NDIO SIJAELEWA?
@nomoboy152Ай бұрын
#KUFATANAFATANA
@zully756Ай бұрын
Pigeni
@honestmosha6203Ай бұрын
Huyu jamaa siyo mtanzania kujumua??? Kkoo kuna foreigners wengi ila sidhani kama wanavibali vya kuishi nchini
@honestmosha6203
Ай бұрын
Kuchukua kazi
@smallscaleminingsupplies9670
Ай бұрын
We ni Mtanzania
@gweahshoo5120Ай бұрын
Watanzania muwe na uzalendo na committed kwa nchi yenu msifate mkumbo..nchi km china imeendelea kwa wananchi kuwa very committed..Tz watu hawatak kulipa kodi lakin wao ndio wa kwanza kutaka maisha bora...
@SmilingBulldogPuppy-nb9urАй бұрын
Kwanini hamtaki kutoa risiti nyie wapumbavu, wafanyakazi wote wa serikali wanakatwa kodi Pay As You Earn(P.A.Y.E) afu mnaleta upuuzi na aliyenyuma yenu ni lile kundi lililomtoa Daniel Chongolo ukatibu mkuu ccm,lipeni kodi serikalini acheni kukwepa kodi na kutokutoa risiti
@mussakimaro5588
Ай бұрын
Hii nchi iuzwe tu maana mi mwenyewe nachangia 80000 kila mwezi
@smallscaleminingsupplies9670
Ай бұрын
Unajua wafanyabiashara wanalipa kiasi gani
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
Ай бұрын
@@smallscaleminingsupplies9670 tuliza kinyeo shoga mkubwa unafirwa nini wewe unauliza swali linalonuka mavi kama hilo yani watu wote wanakuona mpumbavu wanatakiwa kulipa kodi kutokana na wanachoingiza ndio maana wanatakiwa watoe risiti, maduka mengi kariakoo hawatoi risiti afu unaleta meseji za kishoga apa YESU ALIE HAI Alisema yakaisari(serikali) mpeni kaisari na Ya MUNGU Mpeni MUNGU wafanyabiashara ni wakina nani wakwepe kodi, Huku Wafanyakazi Wanalipa kodi P.A.Y.E bila shuruti pumbavu zenu wafanya biashara mnaokwepa kulipa kodi serikali Ambayo Hata BWANA YESU ALIE HAI Ameiridhia
Пікірлер: 115
MAKONDA PEKE YAKE NDIE ANAEIWEZA DAR angetatua fasta tu
TRA wanakula rushwa kupora mitaji ya wafanyabiashara wanajiwekea mifukoni na kwenda kujenga kwao manyanyaso ya haliyajuu
kichwa kisichokua na akili ni mzigo kwa shingo ila roma
This country forgot about democracy...now wanatumia udikteta kuongoza raia...tunataka haki zetu, na TRA mjiangalie , bidhaa haziokotwi uje kujizolea... Dill na hao wavamizi nchini kwetu .. acheni kuwaonea watanzania halisi
Mimi naona waziri wa fedha awe mfanya biashara hawa watu wanao toka darasani na kuingia TRA hawana uzoefu wa biashara
T RA n Mungu, Mtu kariakoo tena serkali mnatesa rai
Msifungue maduka Ngoja waone muhimu wenu, atapata wapi pesa za kuishi maisha yao ya kitajiri? Kuendesha V8
@BraveMajaliwa-gf7ru
Ай бұрын
Wanaofunga ndo wanateseka maana serikali ina vyanzo vingi vya kupata pesa
@issaalfani1030
Ай бұрын
@@BraveMajaliwa-gf7ru hujui kitu hapo Serikali matumbo joto CAG kila mwaka anatoa tarifa ya upotevu ya maTilion wewe nimoja kati ya wale majizi nini
Mama alitakiwa amtumbue mwiguru .kubebana ndio shiida.
Ukiweka pesa unakatwa, ukitoa unakatwa, ukitumiwa wanakata, ukinunua kitu wanakata, ukifungua kiduka washenzi wanajaa kama mlitafuta wote CAG kila mwaka anatangaza upotevu wa Matilion na wanao ziiba wanahamishwa tu mikoa na sio kufungwa au kutaifisha mali zao ila mTanzania anae jihangaikia amekua wakunyonywa kila siku
Mtu alijipiga Rossi kichwani kwa sababu ya TRA. Ni WAKORA hao TRA, wanasumbua watu. TRA Washenzi kweli kweli.
Kwakweli tra ni kero sijui watu wakifirisika watafanya bihashara wao
ndiomana tulivopata uhuru watanzania mlinyimwa elimu si ndio mlisoma mwisho darasa la nne 😁😁🤣🤣
Na wao wafunguwe maduka yao halafu wauze wenyewe
Wanakera Sana Kodi zimekuwa nyingi mno kwenye cm ukatwe Kodi mara taka mara service Lev mara reseni KERO mama unaipeleka wap hii nchii jamani angalia masikini Tanzania aina matajili kiasi icho
Mwigulu ameshindwa kuwasimamia TRA .
Samia hataki kwenda kuwasikiliza anamtuma watu anakosea sana Hilo ni tatizo naagiza Raisi Samia kawasikilize acha kujiweka mbali na Wana nchi wako nchi hujengwa kwa kazi kama hizo TRA ni kitu gani ? Lekebisha eneo hilo
maendeleo yaanze kwa Raiya , ili waridhike ndio serikali ipate maendeleo , sasa tukimbana Raiya(mfanya biashara ) ujanja ujanja hautoishaaaa TZ
TRA au serikali ikusanye kodi na iwe na watu waaminifu na hiyo kodi isidsi hela nyingi ambazo zinaleta hii hali iwe ya wastani pia mlipaji ajiridhishe na ajisikie kilipa.mfano mabango yaliyokuwepo ya electonic yamemebaki mafremu tu serikali inafaidi nini.rushwa pia inawaumiza wengi.Naipenda nchi yangu nzuri sana nilichoona kwenye Media kuwa Tz Kenya Uganda hali ni hiyo nimeumia.aliyekwazika anisamehe
Nchi ya kipuuzi sana
Noma sana
TRA ni shida Sana hapa nchini dah
Magufuli TUNAKUKUMBUKA daimaa raisi wawanyongo huyu mama na watu wake nishidaa
@TamuzaKale
Ай бұрын
Huna kumbukumbu wewe. Aliweka task force kali sana KARIAKOO. Walikuwa wanaumizwa kichizi...
@salehesalehe2967
Ай бұрын
Nawewe umekufa akili
@philemornmutta1597
Ай бұрын
Mbona hawakufunga maduka ilikuwa hivyo unavodai@@TamuzaKale
@philemornmutta1597
Ай бұрын
@@Sheba4651wewe ni mnufaika wa zama hizi kula Kwa ujanja ujanja
@elijuskikoto392
Ай бұрын
@@salehesalehe2967huyo magufuli wako ndo alikuwa hafai kabisaa
Swala kama hili ni aibu kwa viongoz , inawezekanaje mtu analipichwa athabu kubwa vile , ina maama Mizgo haithibitiwi kutoka bandarin mpka mzigo unapigwa fail kubwa vle
Midhari TRA wamemwaga unga basi wafanya biashara wamemwaga mboga ubaya ubaya tu .
Chanzo Cha yote haya ni mwiguru nchemba uyu wazili ni tatizo Toka akae icho kitengo tozo ni nyingi mno.
Kwanini mzigo usi chukuliww kodi toka ukiwa bandarini ya nini mje funga maduka ya watu😢
Mtaani nako kuna hawa wa leseni,tusiojuwa nao tunawaita TRA,wanakamata bila utaratibu ukiwapa 20 wanakuachia,wakikupeleka ofisini nako unalipia wakidai ni fine,hata rising hupewi,ni wizi mtupu,kuna maduka mengine ukiyatizama hayastahili kulipa hata 20 kwa mwaka,kuna haja ya kuwatizama watu hawa
@Immahjr
Ай бұрын
Hao ni Maafisa masoko "Manispaa"
@AnthonySindabaha-de3xb
Ай бұрын
@@Immahjr nao njaa tuu mie nawajua
Mzigo wenyewe ukifika bandarini tayali unalipwa kodo uhunintu
Hamsha hamsha
Ramadhani Ntonzwe pumzika kwa amani.
TRA kiukweli ni kero
Hii tanzania itakuwa tu kama kenya 🇰🇪
TRA ni donda ndugu
Alooooh
Tra ni tatizo kubwa sana kwa wafanyabishara . Kuna gesti nyingi awalipi kodi na hata risiti awatoi.. unandikiwa kikaratasi. Tra warekebishe na kuangalia hayo malalamiko.
jamani mbona tunanua biashara dubai na hakuna risiti. hii lazima ya kukaguana na kulazimishana risiti tunaiga kwa nani. afrika ngumu sana kufanya biashara
it's fact kwamba Wafanya biashara waeleweshwe wanacholipia kwanza ni MIZIGO yao ama eneo la kufanyia BIAshara, sasa kama mizigo imeshalipiwa bandarini Madukani wanalipia nini?
TRA ni wezi tu
TRA wafungue biashara darasa, wafungue hardware, saloon, chakula, vipodozi wananchi tukajifunze😂😂😂
TRA hawana tofauti na vifyele vya nguruwe njaa kali
MABOSI WENU WA MADUKA HAWAWATAKI MACHINGA KAKA NA NDIO MAANA WAMWFUNGA
Mwiguru kaza kabsa njoo na huku mwz nenda Arusha ddm na sehem zingine
acheni kulalamika wapumbavu nyinyi.... toeni hiyo pesa tufanye kampeni ya Mama!!
Tra ianze ajiri vijana waliokaa mtaani na kufanya biashara hivi vitoto vilivyo toka shule havielewi
Mmepandisha kodii mafuta juu bandari zetu lakini bidhaa kununua tz bora ukanunue Uganda wakati mizigo yao wanapitishia kwetu mbona bei zao ni rafiki
Hivi viongozi wa TRA nilini mtaumaliza Huu mgogolo maana imekuwasawa na kidonda ndugu
Toen rizit zinazotakiwa
Rais aende akawasikilize wananchi asitumie watu mbona kusafir huwa hatumi wawakilishi hapa anashindwa nn kwenda
Hatari kwweli
Mbona serikali RTC ilishindwa maduka,mnatesa rai rudisheni RTC, ubabe wao police n w kwao,
Mara hulali usiku kuandikiana mamasage wafunge leseni basi tuone hapa tutafunga maduka mpaka kieleweke
Serikali ya hovyo sana hadi kichefuchefu
Samia mizigo yako uliyookota majalalani,mfano Chalamila sijui ulimuokota wapi ,full time Chalamila ni mzaha.
Bora sisi wakenya tunajitambua
@preciouspeter6126
Ай бұрын
😂😂😂😂ila wabongo, eti wakenya tunajitambua😂😂😂😂😂😂😂😂😂
TRA wakija wanataza rushwa tuuu😂😂😂😂
Ndo yale yakenya aya.
Watu wa Tanzania 🇹🇿 wanaanza kuiga wakenya 😂😂😂na wenyewe wafike mpaka bungeni na farasi 😂
WENZENU KENYA HAMJAWAONAAA? WASIWAFANYE NYIE WAJIÑGA. AMKENI NA NYINYI MSIWE WATU WA NDIYOO.
Hii mambo ya risiti Kwa nchi hii yatasumbua kila kukicha ni Bora serikali wakaangalia ni mfumo gani mzuri wa kukusanya Kodi Kwa wafanyabiashara bila hivo itakua ni kero
@AmriManengelo-yz5pp
Ай бұрын
Mfumo sio shida shida ni watendaji
@kibasamohamedi8029
Ай бұрын
Kabisa
TRA nikero nikero nikero tena nikero Wana njaa Wana njaa utazani vifyele vya nguruwe
Mwigulu amezaliwa na hii serikali hana kwao
TrA bana asa huo SI uroho Sasa kuanza kiwaingia raia Hadi mfukoni
Hi nchi ngumu sana
Wanaaribu uchumi wa Nchi. Mama Samia angalie mambo haya. NCHI ipo pabaya. Ndiyo wakutane na Rais maana ndiyo mwenye kauli ya mwisho.
@maggiechristopher8817
Ай бұрын
Anazurura hana muda,
😂😂 hbr za vitambi zinatokea wapi jmn
Aise noma sana 😮😮😮😮
FUNGEN MADUKA ILA MTAKAPO TAKIWA KURUDISHA HIYO MIKOPO MLO KOPA BENK MSIJE KIANZA KULIA WE MSHA AMBIWA SWALA LENU LINASHUGHULIKIWA SAS SHIDA NINI😢😢😢
@mussakimaro5588
Ай бұрын
umetumwa wewe
Hii nchi hain uongoz ten wanchi hawapew haki zao kw hak ,kiongz kutw kuzurul ulaya
Tax
Selikali inaua soko la kariakoo
Kidata ndio tatizo aondolewe
Tra mnawafirisi wafanya bihashara
sisi tunampenda sana raisi wetu mama samia suluhu hasan,awe makini na akina MWIGULU wana agenda zao za 2025!!naomba ajifunze kwa mstaafu KIKWETE,alifuta kodi zenye kero kwa wafanyabiashara
@GibsonNtamamilo
Ай бұрын
Tangu lini mtu akamchikia mbwa wake anayemtafutia kitoweo?
@user-wd2bc7bf5x
Ай бұрын
unampenda wew huyo rais wako
Apa ndotunamkumbuka Magufuli jaman
Mi nafikir kugoma sio tatzo ila kero zisemwe zisikike, sio unasema kodi nyingi. Taja kodi zote wajue mnalipa kodi mara ngapi?
@Alexismadimo
Ай бұрын
Wenywe walioweka kodi wanajua
@seliankibasisi5047
Ай бұрын
Hii nchi wenyewe mnaijua wapigaji ni wengi. Huenda kuna kodi zingne hata hazijulikani
HII SERIKALI AU MATOPE? YAANI FINE MILIONI 15 AU MIE NDIO SIJAELEWA?
#KUFATANAFATANA
Pigeni
Huyu jamaa siyo mtanzania kujumua??? Kkoo kuna foreigners wengi ila sidhani kama wanavibali vya kuishi nchini
@honestmosha6203
Ай бұрын
Kuchukua kazi
@smallscaleminingsupplies9670
Ай бұрын
We ni Mtanzania
Watanzania muwe na uzalendo na committed kwa nchi yenu msifate mkumbo..nchi km china imeendelea kwa wananchi kuwa very committed..Tz watu hawatak kulipa kodi lakin wao ndio wa kwanza kutaka maisha bora...
Kwanini hamtaki kutoa risiti nyie wapumbavu, wafanyakazi wote wa serikali wanakatwa kodi Pay As You Earn(P.A.Y.E) afu mnaleta upuuzi na aliyenyuma yenu ni lile kundi lililomtoa Daniel Chongolo ukatibu mkuu ccm,lipeni kodi serikalini acheni kukwepa kodi na kutokutoa risiti
@mussakimaro5588
Ай бұрын
Hii nchi iuzwe tu maana mi mwenyewe nachangia 80000 kila mwezi
@smallscaleminingsupplies9670
Ай бұрын
Unajua wafanyabiashara wanalipa kiasi gani
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
Ай бұрын
@@smallscaleminingsupplies9670 tuliza kinyeo shoga mkubwa unafirwa nini wewe unauliza swali linalonuka mavi kama hilo yani watu wote wanakuona mpumbavu wanatakiwa kulipa kodi kutokana na wanachoingiza ndio maana wanatakiwa watoe risiti, maduka mengi kariakoo hawatoi risiti afu unaleta meseji za kishoga apa YESU ALIE HAI Alisema yakaisari(serikali) mpeni kaisari na Ya MUNGU Mpeni MUNGU wafanyabiashara ni wakina nani wakwepe kodi, Huku Wafanyakazi Wanalipa kodi P.A.Y.E bila shuruti pumbavu zenu wafanya biashara mnaokwepa kulipa kodi serikali Ambayo Hata BWANA YESU ALIE HAI Ameiridhia
Ngoja nicheke 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂😂 😂
@udizungwahimalaya5213
Ай бұрын
Fatuma kweli umecheka😂😂😂😂
Kuweni kama KENYA tu watu tulale barabarani wote
NCHI YENYE VIONGOZI WASHENZI KABISA HII WIZITU NA UONEVU LOL
Acha waziri wa fedha akusanye pesa ili wananchi wafe na njaa wawatawale marehemu
@rukiyamohammed2945
Ай бұрын
😂😂😂😂
@starjay3052
Ай бұрын
me nachekaga tu