MEJA JENERALI MABELE: ALICHOKISEMA RAIS NI AGIZO

DAR ES SALAAM: Mkuu wa jeshi la kujenga taifa afisa mtendaji ambaye pia ni Mkuu wa shirika la ujasiliamali la Jeshi la Kujenga Taifa, SUMA JKT amewataka washiriki wa maonesho kuangalia ubora wa bidhaa ambazo zinatengenezwa na SUMA JKT.
Amesema wao ni wachangiaji kwa serikali kwa kutoa gawiwo na pia wanalipa kodi katika kuhakikisha shughuli za kitaifa zinasonga mbele.
Akimshukuru Rais wa Tanzania Meja Jenerali Rajab Mabele amesema mazingira yaliyopo yanawasaidia wafanya biashara kuingia nchini kama kauli mbiu inavyosema kwamba Tanzania ni mahala sahihi pa Biashara na uwekezaji uwekezaji
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

Пікірлер: 1

  • @stephenjonas4866
    @stephenjonas48664 күн бұрын

    Rais akiongea, kwetu sisi ni maelekezo 😂😂TPDF❤❤🎉🎉

Келесі